Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,548
- Thread starter
- #21
Usiwatetee kabisa hao e goverment. Nimekwambia nimwchukua kazi za chini kabisa na hao e government najua tovuti ni kazi zao za chini kabisa najua wanayo mambo mengi pengine makubwa lakini kamanhili dogo kimewazingua makubwa itakuane.Tovuti gani waliyo design e-government ambayo wewe hujaikubali. Weka mifano, maana usifikiri tofuvuti zote za serikali wamedesign e-government. Alafu e-government wanakazi zaidi ya kudeal na website tu. Nakumbuka waziri mkuu aliwaambia waka audit mfumo wa bandari
Hadi leo serikalini kuna watu wanatumia gmail au hotmail kwenye mawasiliano ya kiofisi.