The truth behind Malaysia Airlines Flight 370

Hapana sio kweli.Cendy ameshaisoma na kaiweka hapa kama ilivyo.Isome sasa.Mimi natumia simu ya kawaida yenye mtandao kwa hiyo sikuweza kufanya hivyo.
hata website akuna, nahisi unataka upate taarifa kuto kwetu umesikia na kuadithiwa .
 
Moderator Cendy kaiweka hii kitu vizuri.Naomba kuwarahisishia wasomaji wangu uzi wa Cendy ufuate wa kwangu!
Wanadamu tunazo hatari nyingi zinazotukabili kwa sasa.Abiria wa Malaysia Flight 370 waliamini siku ile kwamba wangefika majumbani kwao salama.Hata hivyo haikuwa hivyo.Ipo hatari mbaya iliyokuwa mbele yao.kwa bahati mbaya hatari ile kama zilivyo nyingi siku hizi ni za kutengenezwa.Google"The truth behind Malaysia Airlines Flight 370" kujua kilichotokea.
 
Google inasema Illuminati wameiteka ndege ilikupata kizazi cha baadae, North Korea wameiteka, Putin ameiteka, Aliens wameiteka na mambo mengineeeeee mengi.
 
Si kila kitu kwenye google ni ukweli kama ilivyo kwenye JF. Google ni forum ya kila anayeweza kuweka vitu vyake.

TAHADHARI CHUKUA HATUA
 
S
Wanadamu tunazo hatari nyingi zinazotukabili kwa sasa.Abiria wa Malaysia Flight 370 waliamini siku ile kwamba wangefika majumbani kwao salama.Hata hivyo haikuwa hivyo.Ipo hatari mbaya iliyokuwa mbele yao.kwa bahati mbaya hatari ile kama zilivyo nyingi siku hizi ni za kutengenezwa.Google"The truth behind Malaysia Airlines Flight 370" kujua kilichotokea.
Mkuu sio bure we lazima utakuwa mwalimu uliyefunzwa vyema
 
wahusika wenyew wakishapiga matukio ndo wa kwanza kuingia google kufeed uongo kibao
 
Mtoa mada anaelewa yeye tu kumuelewesha mtu hawezi,
Mtoa mada hana uwezo wa kuchambua na kuanalyze alichoelewa ,
Mtoa mada hana uwezo wa ku weka link anayotaka wote tuifuate ili tuende pamoja.
Kwa kifupi hio thread inaweza kuiita thread hewa.
 
Ashtar and Malaysia flight 370. Tazama conspiracy theories. Utaona wanasema the aircraft was in trouble. They were rescued by ET humans. They are all safe in a distant planet. ET hawawezi kufanya kitu bila kuwaeleza hao. Hao watu wanaitafuta hiyo ndege ni wanafiki. Probably they are planting bombs on the ocean floor.
 
Nimekuambia u-google.Maana yake ni kwamba nenda google halafu type "The truth behind Malaysia flight 370 "halafu search.Utapata uhondo wote hapo.Niki-summarize naweza nikashindwa kuleleta ujumbe sawa sawa.There is alot of information.Ni rahisi sana and quick.Na mimi sina MB za kutosha.
Blaza umesahau kwamba wabongo wengi sio wote lkn! wamezoea kutafuniwa kumezewa na ikibidi kuny.........w..a!!
 
Wala sina maana hiyo.Isipokuwa nataka upate taarifa yote intact.It is very fascinating.Nikiweka hapa ina maana ni summarize,which means unaweza usiipate taarifa kama ilivyo.Jamani nilichofanya kinatosha,sasa na wewe malizia.Ni kwa faida yako.
Angalau nimekuelewa kidogo. Una nia nzuri.
 
Back
Top Bottom