Ngurumo
Member
- May 26, 2007
- 37
- 86
Huyu karamagi kwanza ameaibisha kabila langu la wahaya kwa kuwa kwenye list ya mafisadi tena wanayofunga umma wa watanzania kwa mikataba mibovu. Hivi hataki kujifunza kuwa bunge lilimfukuza Zitto likafikiri limemaliza kumbe limezaa akina Zitto kibao pale jangwani, sasa huyu Karamagi atakipata kama ameona wanasheria wenzake wanamzidi mkono anayetetea serikali na ameamua kunyamaza kitakacho mpata atajua mwenyewe pamoja na wanamtandao wenzie wa Chama Cha Mafisadi (CCM)
Sisi tunamtazama Karamagi kama Mtanzania, waziri na kiongozi wa serikali yetu, wewe unamtazama kama Mhaya? Akifanya mema au mabaya unamtazama kwa uhaya wake au kwa kiapo chake? Kwani kuna kabila ambao lina watu wema tu, au wabaya tu?
Pole ndugu yangu, lakini...please, let's think beyond this level!