TFF kama mnampenda Sana Tatu Malogo mtafutieni kazi nyingine

Hiki anachokifanya hapa Tabora kimesababisha nitoke nje kabisa ya uwanja. Siwezi kuendelea kuangalia Mechi inayochezwshwa kama Chandimu. Goli la Kwanza la JKT limetokana na double offside, lakini halitoshi build up imeanzia na foul dhidi ya mchezaji wa Tabora United na refa yuko Mita 4 toka kwenye tukio. Refa anafanya makusudi kuwaondoa Tabora mchezoni.
Kama ni lazima Tatu atumike kwenye soka basi mtafutieni kazini nyingine ofisini.
Amezingua sana leo pamoja na wale wasichana wenzake. Itatokea siku watu watakosa uvumilivu, na hivyo kuishia tu kuwatandika ngumi.
 
Sawa huenda Tabora hawako vizuri kwenye huu mzunguko wa pili, ambapo umewa pelekea kucheza Playoff, lakini pia wana hujumiwa. kwa goli la kwanza la JKT ilikuwa foul mpira kipa aka daka akapiga mbele ilikuwa clear offside ndemla akafunga...! Goli la pili pia ilikuwa through ball mtu alikuwa offside pia...! Hii kuwaadhibu marefa haitoshi especially kwa mechi kama hizi zenye maumuzi ya mtu kubaki Ligi Kuu au lash!
 
Hiki anachokifanya hapa Tabora kimesababisha nitoke nje kabisa ya uwanja. Siwezi kuendelea kuangalia Mechi inayochezwshwa kama Chandimu. Goli la Kwanza la JKT limetokana na double offside, lakini halitoshi build up imeanzia na foul dhidi ya mchezaji wa Tabora United na refa yuko Mita 4 toka kwenye tukio. Refa anafanya makusudi kuwaondoa Tabora mchezoni.
Kama ni lazima Tatu atumike kwenye soka basi mtafutieni kazini nyingine ofisini.
TTF hawana waamuzi wenye weledi inawezekana tatizo liko kwa walimu ambapo hakuna monitoring and evaluation yaani hakuna muendelezo baada ya mafunzo
 
Back
Top Bottom