TFF kama mnampenda Sana Tatu Malogo mtafutieni kazi nyingine

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,688
38,282
Hiki anachokifanya hapa Tabora kimesababisha nitoke nje kabisa ya uwanja. Siwezi kuendelea kuangalia Mechi inayochezwshwa kama Chandimu. Goli la Kwanza la JKT limetokana na double offside, lakini halitoshi build up imeanzia na foul dhidi ya mchezaji wa Tabora United na refa yuko Mita 4 toka kwenye tukio. Refa anafanya makusudi kuwaondoa Tabora mchezoni.
Kama ni lazima Tatu atumike kwenye soka basi mtafutieni kazini nyingine ofisini.
 
Hiki anachokifanya hapa Tabora kimesababisha nitoke nje kabisa ya uwanja. Siwezi kuendelea kuangalia Mechi inayochezwshwa kama Chandimu. Goli la Kwanza la JKT limetokana na double offside, lakini halitoshi build up imeanzia na foul dhidi ya mchezaji wa Tabora United na refa yuko Mita 4 toka kwenye tukio. Refa anafanya makusudi kuwaondoa Tabora mchezoni.
Kama ni lazima Tatu atumike kwenye soka basi mtafutieni kazini nyingine ofisini.
Nadhani wale waliokuwa wanalaumu kuwa aliipendelea Simba mechi flani, huenda wakaamini kuwa anachezesha mechi za kimkakati zenye maelekezo maaluma.


Ila ukija upande wa pili, unabaini Tabora inahisaniwa na vigogo ambao wengine wako ndani ya shirikisho, hivyo huenda anachofanya ndo uwezo wake wa kutafsiri sheria umeishia hapo.

Hivyo basi, hii inaitwa ligi yetu kivyetu vyetu
 
Nawasalimu wote ndugu zangu. Jamani Nina shida na namba ya mtu anajiita Nyenyere humu. Naomba mwenye MAWASILIANI yake ANISAIDIE jamani. Nitashukuru sana. Ama naomba kama Nyenyere utaona post hii naomba unitafutie kaka yangu.
 
Tatu Malogo ni refa wa michongo, Yale makosa yaliyokua yakifanyika kati ya Refa wa kati na wasidizi wake ni mipango thabiti.
Ni mambo ya aibu na kuvunja moyo.
Ngoja tuone Kamati ya waamuzi itasemaje au tutaambiwa tunabagua wanawake?
 
Back
Top Bottom