Tetemeko lingine la ardhi latokea Kumamoto, Japan

Kuna mwingine yuko Uswis anaitwa Embolo
Nimekumbuka mwaka ya 2002 timu ya taifa ya ubelgiji walikuwa na mchezaji anaitwa Mbo jerome Mpenza.

Sasa kuna mechi ilichezwa kati ya belgium na Japan katika uwanja wa Kumamoto. Sasa kuna gazeti nadani ni bigwa liliandika


MBO NDANI YA KUMAMOTO LEO

duh lilileta kizazaa sana nilipo enda nalo home , nakumbuka mshua alilichoma moto maana......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilicheka sana leo nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari ya saa 10 kamili jioni, radio Tumaini FM, mtangazaji Ashura Kishimba alipofika kwenye hilo jina "K..mamoto" akasoma "KAMAMOTO".
😃😃😃 miaka 4 iliyopita....
 
Kumamoto has had: (M1.5 or greater)
  • 7 earthquakes today
  • 22 earthquakes in the past 7 days
  • 22 earthquakes in the past month
  • 40 earthquakes in the past year
The largest earthquake in Kumamoto:
Japan
Earthquake Alerts via Twitter:





Na tetemeko hilo lilikuwa kwa kiwango cha point 7, kwenye Richter Scale.
Ikumbukwe kuwa hili tetemeko ni lile linaitwa secondary earthquake baada ya lile la jana lilkiwa katika kiwango cha 6.2 kwenye Richter Scale.

Poleni sana wakazi wa Kumamoto, Japan.
K.moto
Screenshot_20200419-221319_Maps.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom