Tems jana kashinda tuzo ya Grammy, Zuchu yuko busy kumpikia Diamond kababu na vileja. Hawa wasanii wanakwama wapi?

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,638
4,236
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Tems grammy.png
 
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.

View attachment 3223479

Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.




Watakaofuata ndio wataanza kushinda hizo tuzo kwa sasa hawa wamefanya walichoweza na sidhani kama watazidi walipofika washafika kwenye peak yao.
 
Kuna connection na masuala mengine ya nyuma ya pazia wewe hauyajui. Haujiulizi kwanini burna boy alianza kuchukua sana izo tuzo baada ya kwenda nyumbani kwa pdidy. Mfano uyo Tyla ni industry plant, hana mziki wowote wa maana. Kanye west na michael jackson walishawahi kusema uko kwenye music industry kuna tycons wanaocontrol kila kitu. Watakupa umaarufu watakutumia na wakati ukifika watakushusha. Hao wakina Zuchu bado hawajapenya kwenye system
 
Wakuu,

Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini?

Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho.

Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu.

Ni aibu kubwa sana.


Tems anashinda Grammy, Zuchu yuko busy kumpigia kachori na kababu Diamond.

Why Zuchu na sio Nandy, Maua Sama,Mimi Mars au hawa hawapo busy kuwapikia waume zao.

Hizi tuzo kwa Tz mziki wetu bado sana kuanzia productions, creativity kwa maana ya Uniqueness, lugha,promotion,branding,connection, system iliyo tayari nk,mtawalaumu tu wasanii,ila wasanii wa Nigeria ni level nyingine.

Wasanii wa bongo kwa Zone ya Africa Mashariki na kati wapo vizuri, huko kwingine bado kwani hawana mitaji ya kupush miziki yao kama wanaija.
 
Kuna connection na masuala mengine ya nyuma ya pazia wewe hauyajui. Haujiulizi kwanini burna boy alianza kuchukua sana izo tuzo baada ya kwenda nyumbani kwa pdidy. Mfano uyo Tyla ni industry plant, hana mziki wowote wa maana. Kanye west na michael jackson walishawahi kusema uko kwenye music industry kuna tycons wanaocontrol kila kitu. Watakupa umaarufu watakutumia na wakati ukifika watakushusha. Hao wakina Zuchu bado hawajapenya kwenye system
Wewe ndio umeongea la msingi anyway Jana nimepigwa tukio la maana acha tu demu aliniita kwenye ghetto lake nikale mzigo wakati ndio tunataka tufanye si akaingia mzazi mwizie wakati alishaniambia wameachana na ushahidi kabisa alinioneshea, ugomvi ulikuwa mkubwa sana nusu nusu nichomwe na kitu bahati nzuri au mbaya demu akamuwahi mzazi wake kwa kumpiga kisu yeye me nilikuwa sijui jamaa ana kisu
 
Kuna connection na masuala mengine ya nyuma ya pazia wewe hauyajui. Haujiulizi kwanini burna boy alianza kuchukua sana izo tuzo baada ya kwenda nyumbani kwa pdidy. Mfano uyo Tyla ni industry plant, hana mziki wowote wa maana. Kanye west na michael jackson walishawahi kusema uko kwenye music industry kuna tycons wanaocontrol kila kitu. Watakupa umaarufu watakutumia na wakati ukifika watakushusha. Hao wakina Zuchu bado hawajapenya kwenye system
Tyla ni industry plant!? Na Zuchu je, yeye ni nini!?
 
Back
Top Bottom