Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 26,419
- 80,697
Baraza la Maaskofu kupitia ujumbe wao uliosomwa na Rais wa TEC na Askofu wa Jimbo katoliki Lindi Mhasham Wolfgang Pisa, wameeleza kuwa changamoto zilizojitokeza zinapaswa kufanyiwa marekebisho na ikiwa wenye wajibu wa kufanya hivyo wakiwa na nia basi muda unatosha kabisa.
Aidha amesisitiza utawala wa demokrasia unapaswa kuwajali wapiga kura.
Acheni Janja ianja za muda hautoshi !!.
Tazama video hii
HAKI HAKI HAKI .
Aidha amesisitiza utawala wa demokrasia unapaswa kuwajali wapiga kura.
Acheni Janja ianja za muda hautoshi !!.
Tazama video hii
HAKI HAKI HAKI .