Kwa hyo wamezungumza ila Yanga hawataki aondoke? Msimamo wako ni upi? Yanga hawataki Fei aondoke au wanataka ila utaratibu haujafatwa? Huwezi sema wanataka aondoke halafu hapo hapo ukasema kakataliwa.Hivi unajua maana ya mazungumzo? Kwenye mazungumzo inategemea kuna kukubaliwa au kukataliwa. Mason Mount Chelsea still wanamtaka,ila dogo akataka kuongezewa hela,Chelsea kakataa now dogo kawasilisha ombi la kutaka kuuzwa still Chelsea anaonekana hataki kumwachia sababu bado anamkataba wa kuitumikia Chelsea.
Mazungumzo yakifanyika mmaweza mfikie au msifikie makubaliano, ila mwisho wa siku mkataba unasema Fei yupo chini ya Yanga.
Ina maana hata kesi ya Morrison Yanga alibebwa na TFF,maana kamati iliyo sikiliza kesi ya Morrison ndio inayo sikiliza ya Fei.TFF inawabeba Yanga, ndo maana anaenda juu zaidi.
Anaelewa sana, ila anajitoa ufahamuu tyuuh.Labda anampenda sana Hersi, anaamini hakosei.
Nimekupa na Scenario ya Chelsea inamaana huja helewa?Kwa hyo wamezungumza ila Yanga hawataki aondoke?
Kwa hiyo Yanga bado wanataka Fei aendelee kuwepo ndani ya Club?Nimekupa na Scenario ya Chelsea inamaana huja helewa?
Kwenye mazungumzo unaweza kukubaliwa au kukataliwa ila still bado Fei yupo chini ya Yanga kimkataba,kama Mason Mount pamoja na kutaka kuondoka ila bado yupo chini ya Chelsea.
Unajua kila kitu ila unajizima data tyuuh. Fei anaenda CAS.Ina maana hata kesi ya Morrison Yanga alibebwa na TFF,maana kamati iliyo sikiliza kesi ya Morrison ndio inayo sikiliza ya Fei.
Yaah kwani mkataba ndio unao mtaka.Kwa hiyo Yanga bado wanataka Fei aendelee kuwepo ndani ya Club?
Aende akadai haki yake CAS na sisi tutaenda na hoja zetu kudai haki yetu kama tulivyodai TFF.Unajua kila kitu ila unajizima data tyuuh. Fei anaenda CAS.
Ok. Basi kaenda CAS kuishtaki TFF kwa kumlazimisha kuwa mtumwa wa Yanga.Yaah kwani mkataba ndio unao mtaka.
Una hakika kuwa mkataba ulivunjwa instagram?Kuvunja Mkataba Kihuni bila kufuata taratibu.
Mkataba amevunja instagram/facebook bila yanga kujua ,sasa kwenye hiyo clip ameambiwa aseme kwamba alishakaa na Hersi(Yanga) kwa saa 6.
Tutakutana huko huko CAS cha msingi husiache kumchangia.Ok. Basi kaenda CAS kuishtaki TFF kwa kumlazimisha kuwa mtumwa wa Yanga.
Ukutane na nani? Kwani unafanya kazi TFF? Inasemekana Dogo kaishtaki TFF sio Yanga. Ww kutana na Hersi mkumbatie mkataba wake kwa pamoja.Tutakutana huko huko CAS cha msingi husiache kumchangia.
Inasemekana how? Kwani dogo kishaenda CAS?Ukutane na nani? Kwani unafanya kazi TFF? Inasemekana Dogo kaishtaki TFF sio Yanga. Ww kutana na Hersi mkumbatie mkataba wake kwa pamoja.
Anaishtaki TFF kwa kulazimisha kubaki yanga. Yeye alipeleka pendekezo Yanga kuvunja mkataba TFF wakamwambia hapana wewe ni mchezaji wa Yanga.Inasemekana how? Kwani dogo kishaenda CAS?
Sasa anaishtaki TFF kwani mkataba aliingia na TFF.
Tunachanga kila leo mbna. Wala hatushindwiiiiAende akadai haki yake CAS na sisi tutaenda na hoja zetu kudai haki yetu kama tulivyodai TFF.
Cha msingi msiache kumchangia ndugu yenu, aongezee zile mil 110 na zenu aende CAS.
Sawa kishaenda huko CAS?Anaishtaki TFF kwa kulazimisha kubaki yanga. Yeye alipeleka pendekezo Yanga kuvunja mkataba TFF wakamwambia hapana wewe ni mchezaji wa Yanga.
Sawa.Tunachanga kila leo mbna. Wala hatushindwiiii
Kwani si hata kesi ya Morrison yanga walishinda TFF walipoenda CAS nani aliibuka mshindi?Duu wewe mpira hifuatili kabisaaa yaani huna unacho kijua.
Yanga ndiye aliyekata rufaa baada ya kushindwa TFF, ndipo akaenda CAS akashindwa tena kwa mara ya pili na kama hujui mwanasheria anaisimamaia kesi ya Fei ndiye aliye isimamia ya Morrison na kishabwaga mara mbili mpaka sasa ktk kesi ya Fei na huyo huyo Simon.
Duu kumbe mweupe...........
NdioSawa kishaenda huko CAS?
Huyo jamaa mimi nimempa ushindi TFF ili niende nae sawa ila ukweli anaujua ndio maana nikampeleka CAS kiufupi yule simon Patrick sio mwanasheria ni mganga njaa hakuna mwanasheria pale kashawaingiza yanga King mara kibao tu.Kaka Yanga haikushida pale TFF ilishindwa kote kote