Tatizo la Feisal liko wapi?

Kwa hyo wamezungumza ila Yanga hawataki aondoke? Msimamo wako ni upi? Yanga hawataki Fei aondoke au wanataka ila utaratibu haujafatwa? Huwezi sema wanataka aondoke halafu hapo hapo ukasema kakataliwa.
 
Kwa hyo wamezungumza ila Yanga hawataki aondoke?
Nimekupa na Scenario ya Chelsea inamaana huja helewa?

Kwenye mazungumzo unaweza kukubaliwa au kukataliwa ila still bado Fei yupo chini ya Yanga kimkataba,kama Mason Mount pamoja na kutaka kuondoka ila bado yupo chini ya Chelsea.
 
Nimekupa na Scenario ya Chelsea inamaana huja helewa?

Kwenye mazungumzo unaweza kukubaliwa au kukataliwa ila still bado Fei yupo chini ya Yanga kimkataba,kama Mason Mount pamoja na kutaka kuondoka ila bado yupo chini ya Chelsea.
Kwa hiyo Yanga bado wanataka Fei aendelee kuwepo ndani ya Club?
 
Unajua kila kitu ila unajizima data tyuuh. Fei anaenda CAS.
Aende akadai haki yake CAS na sisi tutaenda na hoja zetu kudai haki yetu kama tulivyodai TFF.

Cha msingi msiache kumchangia ndugu yenu, aongezee zile mil 110 na zenu aende CAS.
 
Kuvunja Mkataba Kihuni bila kufuata taratibu.

Mkataba amevunja instagram/facebook bila yanga kujua ,sasa kwenye hiyo clip ameambiwa aseme kwamba alishakaa na Hersi(Yanga) kwa saa 6.
Una hakika kuwa mkataba ulivunjwa instagram?

Maana sisi tunajua ilitumwa barua kwa email ikifuatiwa na kurejeshwa kwa 112M

Mkataba ukivunjwa kihuni sheria inasemaje?

Sheria inasema mkataba ukivunjwa kihuni mchezaji aendelee kubaki kwenye Club?

Sheria inasema mkataba ukivunjwa kihuni, mkataba unakuwa hujavunjika?
 
Tutakutana huko huko CAS cha msingi husiache kumchangia.
Ukutane na nani? Kwani unafanya kazi TFF? Inasemekana Dogo kaishtaki TFF sio Yanga. Ww kutana na Hersi mkumbatie mkataba wake kwa pamoja.
 
Ukutane na nani? Kwani unafanya kazi TFF? Inasemekana Dogo kaishtaki TFF sio Yanga. Ww kutana na Hersi mkumbatie mkataba wake kwa pamoja.
Inasemekana how? Kwani dogo kishaenda CAS?

Sasa anaishtaki TFF kwani mkataba aliingia na TFF.
 
Inasemekana how? Kwani dogo kishaenda CAS?

Sasa anaishtaki TFF kwani mkataba aliingia na TFF.
Anaishtaki TFF kwa kulazimisha kubaki yanga. Yeye alipeleka pendekezo Yanga kuvunja mkataba TFF wakamwambia hapana wewe ni mchezaji wa Yanga.
 
Aende akadai haki yake CAS na sisi tutaenda na hoja zetu kudai haki yetu kama tulivyodai TFF.

Cha msingi msiache kumchangia ndugu yenu, aongezee zile mil 110 na zenu aende CAS.
Tunachanga kila leo mbna. Wala hatushindwiiii
 
Kwani si hata kesi ya Morrison yanga walishinda TFF walipoenda CAS nani aliibuka mshindi?
We unamuamini kidau na karia.
 
Kaka Yanga haikushida pale TFF ilishindwa kote kote
Huyo jamaa mimi nimempa ushindi TFF ili niende nae sawa ila ukweli anaujua ndio maana nikampeleka CAS kiufupi yule simon Patrick sio mwanasheria ni mganga njaa hakuna mwanasheria pale kashawaingiza yanga King mara kibao tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…