Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,688
- 2,322
Hao vijana watapatikana kwa mfumo upi wa elimu? Kwa sababu vijana wote wanaohitimu vyuo leo wanawaza ufisadi. Wanataka fedha bila kufanya kazi na wanataka anasa!
Mkuu 1961 Nyerere alipokuwa anahamasisha vijana 1954 tulikuwa na elimu? Elimu ni nini? Kwa kiasili binadamu ana elimu ya kutosha, anajua nini ni kitu kizuri nini ni kibaya. Anajua nini ni kuhimu kwa Taifa lake au siyo?