Tathmini fupi mechi ya Constantine fc vs Simba fc

Nawapongeza watani wamecheza wastani ila mashabiki wa Simba wameona kuwa team Yao ni changa na coach ana mbinu duni mno

Mchezo ulikuwa wa upande mmoja Kwa maana ya Constantine fc

Constantine fc ni timu ambayo haina mafanikio kwenye mashindano ya kimataifa,
Mafanikio Yao ni kuishia second round katika CAFCC lakini wamewafunga Simba wakongwe kama watoto wadogo

Taifa limepata aibuuuuu

Mousa Camara
Ni goal keeper mzuri mno nadhani anaponzwa na team na alicheza vizuri mno

Kapombe na Tshabalala
Wamecheza vizuri mno, hawa wachezaji wanazeeka na uzuri wao, wana kasi nzuri , wastani mzuri wa kuzuia na kushambulia
Heko kwao

Chemalon na Hamza hapa hamna beki, hawakabi vizuri, hawaruki bichwa wapo goigoi
Che malon ni beki wa kawaita mno, huko kimataifa atawatia aibu mno

Fabrice Ngoma
Huyu ni bonge la mchezaji, nasikia tetesi ati anaachwa lakini sisi watu tunaojua mpira Simba hakuna mchezaji kama Ngoma, amecheza vizuri mno

Okajepha na Aouhor
Hawa ndo wameigharimu Simba
Wamecheza vibaya mno.
Ni wachezaji wa kucheza Mabibo market, wapo Simba Kwa bahati mbaya
Auohor na Pacome ni walevi na unaweza kuona fitness Yao ipo chini kifupi hawajitunzi

Ateba
Mchezaji mzuri nadhani hamna play maker mzuri, wa kum link na mipira

Kibu Denis
Me napenda kumuita Kasongo mbona yeyo🤥 Kwa kifupi akili ndogo hutesa miwili

Ukiona unafungwa na timu za shirikisho yaani za kwenye mashindano ya akina mama, ujue ukija Kwa wakubwa yaani CAFCL utapigwa magoli 16

Ubaya ubwege/ uboya
Acha kumfananisha Prof. Kasongo wetu na vitu vya ajabu. Kasongo anakimbia, anastop na kumkimbiza adui hata kama ni kundi kubwa la mbwamwitu, anampita adui hata kama ni duma, anachenga na kuzunguka 360° akiwa speed kali, hapotezi direction ya mansion lake, anazama kwenye mansion kwa reverse katika speed ileile kali, na adui akisogeza sura yake mlangoni anarushiwa kifusi cha udongo ahangaike nacho!

Yote hayo najua mkuu unayajua vizuri ila unavunga huyaoni. Sasa sijui Professor kakukosea nini hadi useme ana akili ndogo na umfananishe na Kibu? Kibu mfananishe na nzi au kuku alokatwa kichwa, speed kali ila hawajui wanaenda wapi!
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-1769471325.jpeg
 
Simba nguvu moja, tusahihishe makosa tupige hatua bado tuna pointi 12. kwa maana ya mechi nne. Tukishinda zote tunaenda,,, hawa vyura hawanaga jipya.
Mtagongwa sn mwaka huu
 
Ukiona unafungwa na timu za shirikisho yaani za kwenye mashindano ya akina mama, ujue ukija Kwa wakubwa yaani CAFCL utapigwa magoli 16
Umeandika kwa uchungu na mate yakiwa yamejaa mdomoni...

Endelea kulamba ndimu hadi kuchefuchefu kiachane nawe
 
Acha kumfananisha Prof. Kasongo wetu na vitu vya ajabu. Kasongo anakimbia, anastop na kumkimbiza adui hata kama ni kundi kubwa la mbwamwitu, anampita adui hata kama ni duma, anachenga na kuzunguka 360° akiwa speed kali, hapotezi direction ya mansion lake, anazama kwenye mansion kwa reverse katika speed ileile kali, na adui akisogeza sura yake mlangoni anarushiwa kifusi cha udongo ahangaike nacho!

Yote hayo najua mkuu unayajua vizuri ila unavunga huyaoni. Sasa sijui Professor kakukosea nini hadi useme ana akili ndogo na umfananishe na Kibu? Kibu mfananishe na nzi au kuku alokatwa kichwa, speed kali ila hawajui wanaenda wapi!
Umenichekesha sana Mkuu
Samahani mkuu nimemkosea sana professor Kasongo
 
Alafu ushauri wa bure jamani. Hizi timu zikifungwa zile hela za rais basi tuwe tunapewa sie wananchi. Kama hivi wananchi tungekuwa na mil 20 zetu
 
Nawapongeza watani wamecheza wastani ila mashabiki wa Simba wameona kuwa team Yao ni changa na coach ana mbinu duni mno

Mchezo ulikuwa wa upande mmoja Kwa maana ya Constantine fc

Constantine fc ni timu ambayo haina mafanikio kwenye mashindano ya kimataifa,
Mafanikio Yao ni kuishia second round katika CAFCC lakini wamewafunga Simba wakongwe kama watoto wadogo

Taifa limepata aibuuuuu

Mousa Camara
Ni goal keeper mzuri mno nadhani anaponzwa na team na alicheza vizuri mno

Kapombe na Tshabalala
Wamecheza vizuri mno, hawa wachezaji wanazeeka na uzuri wao, wana kasi nzuri , wastani mzuri wa kuzuia na kushambulia
Heko kwao

Chemalon na Hamza hapa hamna beki, hawakabi vizuri, hawaruki bichwa wapo goigoi
Che malon ni beki wa kawaita mno, huko kimataifa atawatia aibu mno

Fabrice Ngoma
Huyu ni bonge la mchezaji, nasikia tetesi ati anaachwa lakini sisi watu tunaojua mpira Simba hakuna mchezaji kama Ngoma, amecheza vizuri mno

Okajepha na Aouhor
Hawa ndo wameigharimu Simba
Wamecheza vibaya mno.
Ni wachezaji wa kucheza Mabibo market, wapo Simba Kwa bahati mbaya
Auohor na Pacome ni walevi na unaweza kuona fitness Yao ipo chini kifupi hawajitunzi

Ateba
Mchezaji mzuri nadhani hamna play maker mzuri, wa kum link na mipira

Kibu Denis
Me napenda kumuita Kasongo mbona yeyo🤥 Kwa kifupi akili ndogo hutesa miwili

Ukiona unafungwa na timu za shirikisho yaani za kwenye mashindano ya akina mama, ujue ukija Kwa wakubwa yaani CAFCL utapigwa magoli 16

Ubaya ubwege/ uboya
Caf walikuwa sahihi kutaka kufuta hii michuano,,timu nyingi ni unga unga mwana kwenye hiki kikombe,,unaweza kumention angalau timu kama 2 ama tatu zenye unafuu nazo ni zamalek, Rs berkane na USM alger zilizobaki zote ni pipa na mfuniko,,na bado unaona kocha wa timu inayojinasibu ni Bora na kubwa anaenda kucheza na kitimu cha dizaini Ile anapaki basi la mabeki 5,,na anapata kigoli cha mazabe mazabe anashindwa kukilinda licha ya kuwa na mabeki 5🤣🤣
Chuma 2 ndani ya dk 4,,
 
Nawapongeza watani wamecheza wastani ila mashabiki wa Simba wameona kuwa team Yao ni changa na coach ana mbinu duni mno

Mchezo ulikuwa wa upande mmoja Kwa maana ya Constantine fc

Constantine fc ni timu ambayo haina mafanikio kwenye mashindano ya kimataifa,
Mafanikio Yao ni kuishia second round katika CAFCC lakini wamewafunga Simba wakongwe kama watoto wadogo

Taifa limepata aibuuuuu

Mousa Camara
Ni goal keeper mzuri mno nadhani anaponzwa na team na alicheza vizuri mno

Kapombe na Tshabalala
Wamecheza vizuri mno, hawa wachezaji wanazeeka na uzuri wao, wana kasi nzuri , wastani mzuri wa kuzuia na kushambulia
Heko kwao

Chemalon na Hamza hapa hamna beki, hawakabi vizuri, hawaruki bichwa wapo goigoi
Che malon ni beki wa kawaita mno, huko kimataifa atawatia aibu mno

Fabrice Ngoma
Huyu ni bonge la mchezaji, nasikia tetesi ati anaachwa lakini sisi watu tunaojua mpira Simba hakuna mchezaji kama Ngoma, amecheza vizuri mno

Okajepha na Aouhor
Hawa ndo wameigharimu Simba
Wamecheza vibaya mno.
Ni wachezaji wa kucheza Mabibo market, wapo Simba Kwa bahati mbaya
Auohor na Pacome ni walevi na unaweza kuona fitness Yao ipo chini kifupi hawajitunzi

Ateba
Mchezaji mzuri nadhani hamna play maker mzuri, wa kum link na mipira

Kibu Denis
Me napenda kumuita Kasongo mbona yeyo🤥 Kwa kifupi akili ndogo hutesa miwili

Ukiona unafungwa na timu za shirikisho yaani za kwenye mashindano ya akina mama, ujue ukija Kwa wakubwa yaani CAFCL utapigwa magoli 16

Ubaya ubwege/ uboya
Mwamba una ugomvi nao mbona umewalabua vibao vya kelebu namna hiyo?
 
Caf walikuwa sahihi kutaka kufuta hii michuano,,timu nyingi ni unga unga mwana kwenye hiki kikombe,,unaweza kumention angalau timu kama 2 ama tatu zenye unafuu nazo ni zamalek, Rs berkane na USM alger zilizobaki zote ni pipa na mfuniko,,na bado unaona kocha wa timu inayojinasibu ni Bora na kubwa anaenda kucheza na kitimu cha dizaini Ile anapaki basi la mabeki 5,,na anapata kigoli cha mazabe mazabe anashindwa kukilinda licha ya kuwa na mabeki 5🤣🤣
Chuma 2 ndani ya dk 4,,
Mbumbumbu watakuja kubisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom