Tathmini fupi mechi ya Constantine fc vs Simba fc

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
8,573
19,874
Nawapongeza watani wamecheza wastani ila mashabiki wa Simba wameona kuwa team Yao ni changa na coach ana mbinu duni mno

Mchezo ulikuwa wa upande mmoja Kwa maana ya Constantine fc

Constantine fc ni timu ambayo haina mafanikio kwenye mashindano ya kimataifa,
Mafanikio Yao ni kuishia second round katika CAFCC lakini wamewafunga Simba wakongwe kama watoto wadogo

Taifa limepata aibuuuuu

Mousa Camara
Ni goal keeper mzuri mno nadhani anaponzwa na team na alicheza vizuri mno

Kapombe na Tshabalala
Wamecheza vizuri mno, hawa wachezaji wanazeeka na uzuri wao, wana kasi nzuri , wastani mzuri wa kuzuia na kushambulia
Heko kwao

Chemalon na Hamza hapa hamna beki, hawakabi vizuri, hawaruki bichwa wapo goigoi
Che malon ni beki wa kawaita mno, huko kimataifa atawatia aibu mno

Fabrice Ngoma
Huyu ni bonge la mchezaji, nasikia tetesi ati anaachwa lakini sisi watu tunaojua mpira Simba hakuna mchezaji kama Ngoma, amecheza vizuri mno

Okajepha na Aouhor
Hawa ndo wameigharimu Simba
Wamecheza vibaya mno.
Ni wachezaji wa kucheza Mabibo market, wapo Simba Kwa bahati mbaya
Auohor na Pacome ni walevi na unaweza kuona fitness Yao ipo chini kifupi hawajitunzi

Ateba
Mchezaji mzuri nadhani hamna play maker mzuri, wa kum link na mipira

Kibu Denis
Me napenda kumuita Kasongo mbona yeyo🤥 Kwa kifupi akili ndogo hutesa miwili

Ukiona unafungwa na timu za shirikisho yaani za kwenye mashindano ya akina mama, ujue ukija Kwa wakubwa yaani CAFCL utapigwa magoli 16

Ubaya ubwege/ uboya
 
Nawapongeza watani wamecheza wastani ila mashabiki wa Simba wameona kuwa team Yao ni changa na coach ana mbinu duni mno

Mchezo ulikuwa wa upande mmoja Kwa maana ya Constantine fc

Constantine fc ni timu ambayo haina mafanikio kwenye mashindano ya kimataifa,
Mafanikio Yao ni kuishia second round katika CAFCC lakini wamewafunga Simba wakongwe kama watoto wadogo

Taifa limepata aibuuuuu

Mousa Camara
Ni goal keeper mzuri mno nadhani anaponzwa na team na alicheza vizuri mno

Kapombe na Tshabalala
Wamecheza vizuri mno, hawa wachezaji wanazeeka na uzuri wao, wana kasi nzuri , wastani mzuri wa kuzuia na kushambulia
Heko kwao

Chemalon na Hamza hapa hamna beki, hawakabi vizuri, hawaruki bichwa wapo goigoi
Che malon ni beki wa kawaita mno, huko kimataifa atawatia aibu mno

Fabrice Ngoma
Huyu ni bonge la mchezaji, nasikia tetesi ati anaachwa lakini sisi watu tunaojua mpira Simba hakuna mchezaji kama Ngoma, amecheza vizuri mno

Okajepha na Aouhor
Hawa ndo wameigharimu Simba
Wamecheza vibaya mno.
Ni wachezaji wa kucheza Mabibo market, wapo Simba Kwa bahati mbaya
Auohor na Pacome ni walevi na unaweza kuona fitness Yao ipo chini kifupi hawajitunzi

Ateba
Mchezaji mzuri nadhani hamna play maker mzuri, wa kum link na mipira

Kibu Denis
Me napenda kumuita Kasongo mbona yeyo🤥 Kwa kifupi akili ndogo hutesa miwili

Ukiona unafungwa na timu za shirikisho yaani za kwenye mashindano ya akina mama, ujue ukija Kwa wakubwa yaani CAFCL utapigwa magoli 16

Ubaya ubwege/ uboya
Kibu denis akili ndogo utesa mwili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wee jamaa nimecheka hapa. Dah! Wabongo hamkosi misemo
 
Kwa Yanga mbovu hii...Simba kwakweli tuu tuwaache wana dunia yao...
Jana mama alikufa kabisaaa leo baba katimiza walau wtt wamepata mkate mmoja...
 
Kwa Yanga mbovu hii...Simba kwakweli tuu tuwaache wana dunia yao...
Jana mama alikufa kabisaaa leo baba katimiza walau wtt wamepata mkate mmoja...
CAFCC ni mashindano ya ovyo
CAF wenyewe walitaka kuyafuta
 
Nawapongeza watani wamecheza wastani ila mashabiki wa Simba wameona kuwa team Yao ni changa na coach ana mbinu duni mno

Mchezo ulikuwa wa upande mmoja Kwa maana ya Constantine fc

Constantine fc ni timu ambayo haina mafanikio kwenye mashindano ya kimataifa,
Mafanikio Yao ni kuishia second round katika CAFCC lakini wamewafunga Simba wakongwe kama watoto wadogo

Taifa limepata aibuuuuu

Mousa Camara
Ni goal keeper mzuri mno nadhani anaponzwa na team na alicheza vizuri mno

Kapombe na Tshabalala
Wamecheza vizuri mno, hawa wachezaji wanazeeka na uzuri wao, wana kasi nzuri , wastani mzuri wa kuzuia na kushambulia
Heko kwao

Chemalon na Hamza hapa hamna beki, hawakabi vizuri, hawaruki bichwa wapo goigoi
Che malon ni beki wa kawaita mno, huko kimataifa atawatia aibu mno

Fabrice Ngoma
Huyu ni bonge la mchezaji, nasikia tetesi ati anaachwa lakini sisi watu tunaojua mpira Simba hakuna mchezaji kama Ngoma, amecheza vizuri mno

Okajepha na Aouhor
Hawa ndo wameigharimu Simba
Wamecheza vibaya mno.
Ni wachezaji wa kucheza Mabibo market, wapo Simba Kwa bahati mbaya
Auohor na Pacome ni walevi na unaweza kuona fitness Yao ipo chini kifupi hawajitunzi

Ateba
Mchezaji mzuri nadhani hamna play maker mzuri, wa kum link na mipira

Kibu Denis
Me napenda kumuita Kasongo mbona yeyo🤥 Kwa kifupi akili ndogo hutesa miwili

Ukiona unafungwa na timu za shirikisho yaani za kwenye mashindano ya akina mama, ujue ukija Kwa wakubwa yaani CAFCL utapigwa magoli 16

Ubaya ubwege/ uboya
Leta uchambuzi wa Utopolo jana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom