TARURA na Yono auction mart wanataka kutudhulumu sisi wakusanyaji wa ushuru hapa Mbeya Mjini

ecolizer baba

Member
Sep 29, 2010
88
310
Kwanza nianze kwa kuwasalimu.

Pili naomba hiki kilio kiwafikie mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mkurugenzi wa jiji la Mbeya, Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano na waziri wa Fedha na Mpango. Ni kuhusu sisi Wafanyakazi wa YONO AUCTION MART na TARUA hapa Mbeya.

YONO AUCTION MART umeingia kama mkusanyaji wa mapito ya PARKING hapa jijini Mbeya toka December 2018. Na tuliandika barua kuomba ajira na tukafanikiwa kupata wachache takribani watu 40.

Tumefanya hii kazi kwa uaminifu mkubwa. Lakini huu ni mwezi wa tatu sasa waajiri wetu kwa maana ya YONO na TARURA wamegoma kutulipa stahiki zetu. Yaani toka hiyo December hadi January na sasa ni February hakuna mfanyakazi hata mmoja aliyelipwa.

Tumefuatilia hadi tumechoka maana kila siku majini yanabadilika. Kutokana na hali hii baadhi ya wenzetu wamekata tamaa. Kiufupi ni kwamba TUMEDHULUMIWA.

Naombeni wahusika waingilie kati ili kutusaidia tulipwe hela zetu kwani baadhi yetu tuna familia lakini nahitaji yetu kama mwajiriwa mmoja mmoja. Yaani tunakosa hata hela ya kula na nauli ya kwenda kazini.

Naomba kuwasilisha.
 
Yono ni matapeli na wezi tu kama wezi wengine kwanza wana laana za watu kibao tu kwa udhulumati wao kupitia amri za mahakama.
 
Kwanza nianze kwa kuwasalimu.

Pili naomba hiki kilio kiwafikie mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mkurugenzi wa jiji la Mbeya, Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano na waziri wa Fedha na Mpango. Ni kuhusu sisi Wafanyakazi wa YONO AUCTION MART na TARUA hapa Mbeya.

YONO AUCTION MART umeingia kama mkusanyaji wa mapito ya PARKING hapa jijini Mbeya toka December 2018. Na tuliandika barua kuomba ajira na tukafanikiwa kupata wachache takribani watu 40.

Tumefanya hii kazi kwa uaminifu mkubwa. Lakini huu ni mwezi wa tatu sasa waajiri wetu kwa maana ya YONO na TARURA wamegoma kutulipa stahiki zetu. Yaani toka hiyo December hadi January na sasa ni February hakuna mfanyakazi hata mmoja aliyelipwa.

Tumefuatilia hadi tumechoka maana kila siku majini yanabadilika. Kutokana na hali hii baadhi ya wenzetu wamekata tamaa. Kiufupi ni kwamba TUMEDHULUMIWA.

Naombeni wahusika waingilie kati ili kutusaidia tulipwe hela zetu kwani baadhi yetu tuna familia lakini nahitaji yetu kama mwajiriwa mmoja mmoja. Yaani tunakosa hata hela ya kula na nauli ya kwenda kazini.

Naomba kuwasilisha.
Habar ecolizer baba, umefikisha ujumbe lakini c vizur kutumia neno Yono wanatudhulumu kama ukiwa hauna uhakika na jambo unalotuhumu, malipo bado mpaka sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom