Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba Kimara, Dar es Salaam alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye uti wa mgongo.
Abela ambaye ni Dada wa Marehemu amethibitisha.
#RIPNduguYetu🙏🏽
.
Taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
Alipougua ghafla: Mdogo wake Kanumba apooza ghafla
Abela ambaye ni Dada wa Marehemu amethibitisha.
#RIPNduguYetu🙏🏽
Taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
Alipougua ghafla: Mdogo wake Kanumba apooza ghafla