Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,777
- 41,064
- Thread starter
- #41
Mbona unasema ninachosema mimi; au labda kimekuchanganya kichwa cha habari?Pole sana mleta mada.
Umeamua kuja kujifariji hapa JF.
Zama za Magufuli zilishakwisha, na Magufuli hayupo tena, ni mfu.
Usilazimishe mambo, soma alama za nyakati, wewe jua tu mtawala wa sasa ni mama Samia Suluhu. Ndio rais wa sasa, tutake au tusitake tutaucheza muziki wake.