Mtanzania Mzawa
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 401
- 405
Fatilia vizuri utajua tofauti ya hiyo waliyojengewa na mchina na hii ya Tanzania inayojengwa na Mzungu kuanzia gharama na Ubora. ..mzgo wao umeanza kua white Elephant. ..upgaji na siasa vilitawala mradi wa KenyaKenya wameshajenga reli yao zamani acha wapige siasa,lakini KATIBA WANAHESHIMU na wanaheshimiana.