Itafuzu endapo Bashite akirisiti form4. Ngokuwina Lesotho.Stars itafuzu Afcon 2019 ili nyie hater's muumbuke!
Kutafuta Political mileage ndio imewaudhi watanzania hadi wanadiriki kusema timu ipoteze.Tatizo, hao ni mfumo mzima wa uendeshaji soka nchini ni wa ki magumashi, na ki zimamoto, wewe mwishoni kabisa ndio mnakuja na slogan, bila maandalizi mazuri!! Juzi kuna timu ya Arusha imejitoa ligi daraja la kwanza kisa wanapokutana na timu za majeshi, zikifungwa mtapigwa ile mbaya na ni marufuku kwa mechi ku recodiwa hata kama una kibali!! Na mkipeleka malalamiko kwenye bodi ya ligi wanayapuuza!! Tatizo sio kushiriki Afcon /kombe la dunia, saudi arabia /iran si kila mala wanashiriki kombe la dunia wanaenda wanachukua sita!! Hao ni wazee wa kudandia treni kwa mbele!! Kutafuta political mileage tu,
Alisikika mwenyekiti wa kamati ya roho mbayaNaiombea Lesotho iifunge Cape Verde 3 bila.
mambo yote yanayowanganisha wananchi wote ukishaanza kuingiza siasa tu jua umeshatengeneza matabaka!!kipindi cha nyuma kwenye hizo sijui kamati za amshaamsha walikuwa wanachukua watu ambao sio watafuta sifa ki vile,kuna kipindi nakumbuka hata zitto alikuwepo kwenye ile kamati na wengine wa ccm,ila hawakuwa waningiza siasa ki vile!!ila sasa HILI LA SASA ,wewe subili labda itokee tufungwe ndio utaona kumbe wengi walikuwa ni wanafiki tu!!!na unaweza kukuta kesho yale madela ya rangi ya mboga mboga yakawa mengi uwanjani!!kwani wal ni wazee wa kudandia mamboKutafuta Political mileage ndio imewaudhi watanzania hadi wanadiriki kusema timu ipoteze.
Hapo ni head to head Kati yetu na Lesotho, Lesotho alitoa draw ya goalless hapa na kwao wakatupiga kimoja. So yeye yupo juu yetu hata tukilingana point na magoli yeye ana advantage kubwa dhidi yetu.hiv hili kundi sijalielewa bado, imekuaje lesotho akawa nafasi ya pili
maana naona kafungwa magori saba
na sisi tumefungwa matano,
magoli yakushinda wote tunayo matatu
hebu mwenye ufafanuzi hapo aise
Sent using Jamii Forums mobile app