Tanzania viongozi hupatikana kidemokrasia kwa sanduku la kura lakini wafalme na malkia wa Uingereza na Norway huwa hawapigiwi kura pamoja na kuwa hutumia hela za walipa kodi katika shughuli zao.
Malkia na wafalme wa Uingereza na Norway ni ving`ang`anizi wa madaraka ni wao tu kutawala na familia zao.Yaani wanatawala nchi kiukoo.Hamna demokrasia kabisa.Waafrika huwa tunaambiwa kuwepo ukomo wa muda wa uongozi lakini kwao malkia wao na wafalme wao ruksa kuendelea hadi wafe na wakifa wakabidhi watoto wao LOOOO!!!
Kwa kipengele hiki Tanzania kidemokrasia imewazidi mbali Uingereza na Norway.Iko haja uingereza na norway kuja kujifunza demokrasia tanzania.
Tatizo la hawa Wazungu wanazani tu mambumbu kama enzi za ukoloni, kwa sasa hatudanganyiki hata kidogo na watamdanganya Maalim seif na nyumbu wengine wasiojielewa. Wanataka tuwe tunafanya mambo ambayo wao hawapractice ilihali kukidhi mahitaji yao.Tanzania viongozi hupatikana kidemokrasia kwa sanduku la kura lakini wafalme na malkia wa Uingereza na Norway huwa hawapigiwi kura pamoja na kuwa hutumia hela za walipa kodi katika shughuli zao.
Malkia na wafalme wa Uingereza na Norway ni ving`ang`anizi wa madaraka ni wao tu kutawala na familia zao.Yaani wanatawala nchi kiukoo.Hamna demokrasia kabisa.Waafrika huwa tunaambiwa kuwepo ukomo wa muda wa uongozi lakini kwao malkia wao na wafalme wao ruksa kuendelea hadi wafe na wakifa wakabidhi watoto wao LOOOO!!!
Kwa kipengele hiki Tanzania kidemokrasia imewazidi mbali Uingereza na Norway.Iko haja uingereza na norway kuja kujifunza demokrasia tanzania.
sometimes mtu unataman uwe kipofu hili usikutane na uzi kama huu na kuusoma.Tanzania viongozi hupatikana kidemokrasia kwa sanduku la kura lakini wafalme na malkia wa Uingereza na Norway huwa hawapigiwi kura pamoja na kuwa hutumia hela za walipa kodi katika shughuli zao.
Malkia na wafalme wa Uingereza na Norway ni ving`ang`anizi wa madaraka ni wao tu kutawala na familia zao.Yaani wanatawala nchi kiukoo.Hamna demokrasia kabisa.Waafrika huwa tunaambiwa kuwepo ukomo wa muda wa uongozi lakini kwao malkia wao na wafalme wao ruksa kuendelea hadi wafe na wakifa wakabidhi watoto wao LOOOO!!!
Kwa kipengele hiki Tanzania kidemokrasia imewazidi mbali Uingereza na Norway.Iko haja uingereza na norway kuja kujifunza demokrasia tanzania.
an egg laying mammal!Tanzania viongozi hupatikana kidemokrasia kwa sanduku la kura lakini wafalme na malkia wa Uingereza na Norway huwa hawapigiwi kura pamoja na kuwa hutumia hela za walipa kodi katika shughuli zao.
Malkia na wafalme wa Uingereza na Norway ni ving`ang`anizi wa madaraka ni wao tu kutawala na familia zao.Yaani wanatawala nchi kiukoo.Hamna demokrasia kabisa.Waafrika huwa tunaambiwa kuwepo ukomo wa muda wa uongozi lakini kwao malkia wao na wafalme wao ruksa kuendelea hadi wafe na wakifa wakabidhi watoto wao LOOOO!!!
Kwa kipengele hiki Tanzania kidemokrasia imewazidi mbali Uingereza na Norway.Iko haja uingereza na norway kuja kujifunza demokrasia tanzania.
Tanzania viongozi hupatikana kidemokrasia kwa sanduku la kura lakini wafalme na malkia wa Uingereza na Norway huwa hawapigiwi kura pamoja na kuwa hutumia hela za walipa kodi katika shughuli zao.
Malkia na wafalme wa Uingereza na Norway ni ving`ang`anizi wa madaraka ni wao tu kutawala na familia zao.Yaani wanatawala nchi kiukoo.Hamna demokrasia kabisa.Waafrika huwa tunaambiwa kuwepo ukomo wa muda wa uongozi lakini kwao malkia wao na wafalme wao ruksa kuendelea hadi wafe na wakifa wakabidhi watoto wao LOOOO!!!
Kwa kipengele hiki Tanzania kidemokrasia imewazidi mbali Uingereza na Norway.Iko haja uingereza na norway kuja kujifunza demokrasia tanzania.
Zanzibar Seif alipatikana kwa sanduku la kura wezi wa CCM wakapindua matokeo.Tanzania viongozi hupatikana kidemokrasia kwa sanduku la kura lakini wafalme na malkia wa Uingereza na Norway huwa hawapigiwi kura pamoja na kuwa hutumia hela za walipa kodi katika shughuli zao.
Malkia na wafalme wa Uingereza na Norway ni ving`ang`anizi wa madaraka ni wao tu kutawala na familia zao.Yaani wanatawala nchi kiukoo.Hamna demokrasia kabisa.Waafrika huwa tunaambiwa kuwepo ukomo wa muda wa uongozi lakini kwao malkia wao na wafalme wao ruksa kuendelea hadi wafe na wakifa wakabidhi watoto wao LOOOO!!!
Kwa kipengele hiki Tanzania kidemokrasia imewazidi mbali Uingereza na Norway.Iko haja uingereza na norway kuja kujifunza demokrasia tanzania.
Wasizani kuwa wapo juu ya sheria za nchi hii. Lengo pachafuke walete wanajeshi wa kulinda amani yao kama ilivyo hivi sasa ktk nchi nyingi za afrika. Kweli hawa nao ni majipu yatizamwe upya. Na huyo balozi angeenda ccm ingetafsiriwa kuwa kahongwa,sasa huko Cuf kafanywaje? Tena sehemu yenyewe alikoenda Zanzibar. Napata mashaka sana hapa hususan na zile ajenda zao za ndoa flani zile.Kama wana taratibu zao za utawala hata waafrika tuna taratibu zetu wasituingilie kama ambavyo hatuwaingilii
tundu lisu nae mtoto wanan? Acha kudanganya watukwani huuni ufalme wa TANZANIA, watoto wa mwinyi ni wabunge, watoto wa karume mmoja alikuwa rais, mtoto wa jk , MBUNGE, MTOTO WA NYERERE mbunge EALA. ufalme upo bongo sana tu.
Wafalme hao sio watendaji wa serikali, mawaziri wakuu wa nchi hizo ndio marais ,Tanzania viongozi hupatikana kidemokrasia kwa sanduku la kura lakini wafalme na malkia wa Uingereza na Norway huwa hawapigiwi kura pamoja na kuwa hutumia hela za walipa kodi katika shughuli zao.
Malkia na wafalme wa Uingereza na Norway ni ving`ang`anizi wa madaraka ni wao tu kutawala na familia zao.Yaani wanatawala nchi kiukoo.Hamna demokrasia kabisa.Waafrika huwa tunaambiwa kuwepo ukomo wa muda wa uongozi lakini kwao malkia wao na wafalme wao ruksa kuendelea hadi wafe na wakifa wakabidhi watoto wao LOOOO!!!
Kwa kipengele hiki Tanzania kidemokrasia imewazidi mbali Uingereza na Norway.Iko haja uingereza na norway kuja kujifunza demokrasia tanzania.
Wafalme hao sio watendaji wa serikali, mawaziri wakuu wa nchi hizo ndio marais ,
Tanzania viongozi hupatikana kidemokrasia kwa sanduku la kura lakini wafalme na malkia wa Uingereza na Norway huwa hawapigiwi kura pamoja na kuwa hutumia hela za walipa kodi katika shughuli zao.
Malkia na wafalme wa Uingereza na Norway ni ving`ang`anizi wa madaraka ni wao tu kutawala na familia zao.Yaani wanatawala nchi kiukoo.Hamna demokrasia kabisa.Waafrika huwa tunaambiwa kuwepo ukomo wa muda wa uongozi lakini kwao malkia wao na wafalme wao ruksa kuendelea hadi wafe na wakifa wakabidhi watoto wao LOOOO!!!
Kwa kipengele hiki Tanzania kidemokrasia imewazidi mbali Uingereza na Norway.Iko haja uingereza na norway kuja kujifunza demokrasia tanzania.