ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Hii inawezekana kwa Kikwete
kwani mnashangaa mnadhani matokeo ya kujikomba komba kila siku ni yapi ndio haya sasa
BabaH Kikwete anakuwakilisha wewe, kama kapata aibu ni katika jitihada za kuhakikisha kuwa maisha ya watanzania yanakuwa a little better.Hakuna kujikomba hapo.