Tangazo! Tangazo! Kwa wanunuzi wa hisa za Vodacom

"Mategemeo" ni kwamba kila hisa itapata gawio la kama shilingi 30 so ukiwa na hisa 100 utapata 100 x 30 = 3,000 kiasi cha kutosha bia.

Hawajaongeza muda tena kweli? Hisa zote zimeuzika?
Watanzania wengi ni wachawi, wavivu wasioweza kupanga hatima ya kesho yao Amka ukapange future yako nafasi ya uwekezaji ilikuwa wazi ila Kesho mtakuja kuwaita waliowahi fursa kuwa Wauza madawa na Freemanson.
 
Wamejaa humu watu wa marketing Voda sijui wamelazimishwa au wamekuja kwa hiari! Anyway muda mfupi tutajua mauzo yameendaje.
 
Watanzania wengi ni wachawi, wavivu wasioweza kupanga hatima ya kesho yao Amka ukapange future yako nafasi ya uwekezaji ilikuwa wazi ila Kesho mtakuja kuwaita waliowahi fursa kuwa Wauza madawa na Freemanson.
Freemason hawezi kuinvest kwenye faida ya shillingi 30!
 
Watanzania wengi ni wachawi, wavivu wasioweza kupanga hatima ya kesho yao Amka ukapange future yako nafasi ya uwekezaji ilikuwa wazi ila Kesho mtakuja kuwaita waliowahi fursa kuwa Wauza madawa na Freemanson.
Malizia na Wajuaji wenye kulalamika tu. Anyway Fursa ni kwa wachache si lazima wote tuwe matajiri acha wachache tupata wakutukatia nyasi ...!
 
Freemason hawezi kuinvest kwenye faida ya shillingi 30!
Huwezi kuwa na vingi kama hupati kidogo soma theory ya saving itakusaidia cha msingi amewashauri mjitume kwenye maisha. Ametoa ushauri kama wautaka uchukue utakusaidia maishani...!
 
Hii ni zamu ya Mwenye punda kumbeba punda wake.
"Unatakiwa kuwa na masio kusikia"
 
Mimi nafanya miamala ninatuma na kutumiwa pesa kwa mpesa kadirio la chini kwa mwezi ni m3 na ninatumia vocha za elfu 60 kwenye bihashara zangu lakini m M pesa gawio likija utashangaa wananiwekea vishilingi vya ajabu 2256 sijawai kupokea > elfu kumi..... Kwahiyo sijashawishika kuweka pesa. Unaweza kuweka 10m wakati wa gawio unashangaa unapata laki mojaaa... Bora niendelee kulima. Hisa ni mchezo wa matajiri wenye cash
 
Mimi nafanya miamala ninatuma na kutumiwa pesa kwa mpesa kadirio la chini kwa mwezi ni m3 na ninatumia vocha za elfu 60 kwenye bihashara zangu lakini m M pesa gawio likija utashangaa wananiwekea vishilingi vya ajabu 2256 sijawai kupokea > elfu kumi..... Kwahiyo sijashawishika kuweka pesa. Unaweza kuweka 10m wakati wa gawio unashangaa unapata laki mojaaa... Bora niendelee kulima. Hisa ni mchezo wa matajiri wenye cash

Kwa hisa za 10m utapata approximately (Kutegemea dividend ya 30/= share ambayo ndo range tarajiwa)
10,000,000/850 x 30 = 352,941/=
 
naona vijana wa voda wameamua kuanzisha mada na kucomment wenyewe...,hii inaitwa kujitekenya na kucheka mwenyewe... kwa namna navyoona uandishi na uchangiaji wa mada, ni kama vile kuna wadau watatu wako chumba kimoja na PC zao wanauliza na kujijibu wenyewe......
Karibu na wewe maana inaonyesha nawe umekuja kuchangia kutokana kuwa katika hiko chumba.

'Dawa ya mpuuzi kumjibu upuuzi tu:p:p'
 
Tuliza akili zako mwambie aliyekutuma akajisajili na yeye ili aingize sokoni kamuni yake.......
Usiyoilamba yakuwashia nini????!!!Nyambaaaaaf
Endeelini kufarijiana hivyhivyo yani we una hisa zenye thamani ya 85,000 unaota kuwa milionea
 
Kipande kimoja cha hisa currently kinauzwaje vodacom? Halafu leo si ndiyo siku ya mwisho
 
"Mategemeo" ni kwamba kila hisa itapata gawio la kama shilingi 30 so ukiwa na hisa 100 utapata 100 x 30 = 3,000 kiasi cha kutosha bia.

Hawajaongeza muda tena kweli? Hisa zote zimeuzika?
Gawio la 30 kwa muda gani kila mwezi na halafu nikinunua vipande 100 kila kipande ni shilling ngapi?kununua kwa njia ya simu ni salama??
 
Mimi nafanya miamala ninatuma na kutumiwa pesa kwa mpesa kadirio la chini kwa mwezi ni m3 na ninatumia vocha za elfu 60 kwenye bihashara zangu lakini m M pesa gawio likija utashangaa wananiwekea vishilingi vya ajabu 2256 sijawai kupokea > elfu kumi..... Kwahiyo sijashawishika kuweka pesa. Unaweza kuweka 10m wakati wa gawio unashangaa unapata laki mojaaa... Bora niendelee kulima. Hisa ni mchezo wa matajiri wenye cash
Nahisi hapa utakua unachanganya mambo,sasa gawio la mwezi unalopata ni kidogo ndiyo kwa kuwa hujanunua hisa hiyo voda wanakupa tu kwa kuwa mteja wao,hata kama unafanya miamala mikubwa kwa siku,ingia kwwnye soko la hisa uwe sehemu ya umiliki
 
"Mategemeo" ni kwamba kila hisa itapata gawio la kama shilingi 30 so ukiwa na hisa 100 utapata 100 x 30 = 3,000 kiasi cha kutosha bia.

Hawajaongeza muda tena kweli? Hisa zote zimeuzika?
Kwa muda gani hili gawaio??
 
TANGAZO!

Kwa wale Wale walionunua hisa za Vodacom, Majina yenu yamebadilika immediately leo hii kutoka wawekezaji watarajiwa hadi wamiliki na kuingizwa rasmi kwenye kitabu cha Wamiliki wa Vodacom. :);):D
Furahia kuwa mmiliki wa Vodacom Tanzania
[HASHTAG]#WekezaNaVodacom[/HASHTAG]
Habari yako sijaielewa maana companya law navyoifahamu inasema 0% - 20% hapa unakuwa umweka Financial Instrument ambapo mgawo wako unategemea kampuni ikishatoa matumizi yake yote, 20% -49% unakuwa ni associate yaani hapa kama umewekeza 30% na ikatokea kampuni imepata faida ya Tsh.1000 wewe unajimegea 30% ya faida yaani Tsh. 300 yako na mwisho 49% - 100% unakuwa subsidiary hapo tunasema unakuwa mmiliki rasmi wa kampuni sasa hii ya Voda sijaielewa
 
Back
Top Bottom