Watanzania wengi ni wachawi, wavivu wasioweza kupanga hatima ya kesho yao Amka ukapange future yako nafasi ya uwekezaji ilikuwa wazi ila Kesho mtakuja kuwaita waliowahi fursa kuwa Wauza madawa na Freemanson."Mategemeo" ni kwamba kila hisa itapata gawio la kama shilingi 30 so ukiwa na hisa 100 utapata 100 x 30 = 3,000 kiasi cha kutosha bia.
Hawajaongeza muda tena kweli? Hisa zote zimeuzika?