Tangazo la tigo linaloitwa "halichachi" linaboa hapa JF

Maguge Maguge

JF-Expert Member
Sep 1, 2016
2,734
1,778
Wapendwa ktk JF,
kila nikifungua ukurasa, hili tangazo linatokea, kibaya zaidi linajaa screen nzima ya simu, kitu ambacho inabidi nihamishe wazo langu kuelekea kuliondoa kwanza,
mi naona bora wangelipunguza lisiwe linajaa kioo cha simu, labda ka kimeo kangu, sijui nyie!
 
linawaingizia hela hata kama ungekua wewe usingekataa hela
 
Lete kibiriti na petroli fasta
 
Njoo PM nikupe ka-softwarw ka bure kabisa unapachika kwenye android phone yako au hata window, matangazo yooote kwishney, hata YouTube kule video yako inastream bila tangazo lolote LA biashara.
 
Njoo PM nikupe ka-softwarw ka bure kabisa unapachika kwenye android phone yako au hata window, matangazo yooote kwishney, hata YouTube kule video yako inastream bila tangazo lolote LA biashara.
mkuu unapenda kutumia huduma bure na matangazo pia hupendi.
 
Mnatumia jf hamlipii hata 100,hao wanaolipia mnaona wanawaboa,unategemea hela za kuendeshea mtandao na kesi za kila Siku zinazofunguliwa zitatoka wapi,vumilia tu kuunga mkono wadhamini wetu!
 
mkuu The Certified umejitahidi kumwelekeza lakini njia uliyotumiwa kumwelekeza siiungi mkono kabisa, labda nikwambie sio wote tunajua hicho unachokijua wewe, tumia busara na lugha nyepesi isiyojaa dharau na kebehi, na kama unaona thread ya mwenzako ni ya kijinga ni vizuri kukaa kimya usipoteze muda wako kuifwatilia, unaambiwa docter ni mjinga kwa mhasibu, naye mhasibu ni mjinga kwa docter,
unaweza kuamini jf hatulipii ila kumbuka bila sisi jf haiwezi kuendesha mambo yake. tigo kuleta tangazo humu si kwa sababu wanafahamiana na max, ila ni kwa sababu ni mtandao wenye watembeleaji wengi zaidi. laiti kama jf ingekuwa na watu wachache sidhani kama hao tigo wangeleta hilo tangazo. tambua kila mtu ana mchango wa kipeke kuwa humu ndani na ana uhuru wa kuanzisha thread yoyote ili mradi anazingatia sheria na maadili ya jamii.

Nikirudi kwa mtoa mada Safari Safi nachoelewa ni kwamba hayo matangazo huja kwa kutegemea kifaa na browser unayotumia, kwa uzoefu wangu nimebaini opera mini browser inaweza kuwa soln
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…