Pre GE2025 Tanga: Sekiboko awataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kumpokea Rais Samia ambaye ni suluhu ya matatizo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Member
Sep 4, 2024
89
132
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga, Husna Sekiboko amewataka Wanakilindi na Wanatanga kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, anayetarajia kuanza ziara mkoani hapa tarehe 23 Februari, 2025.

Akizungumza katika ziara yake aliyoifanya wilayani Kilindi na maeneo mengine, alisema kuwa ikiwa wananchi watajitokeza kwa wingi, itakuwa ni njia mojawapo ya kupata suluhu ya matatizo na changamoto zao

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Sekiboko, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge la Elimu, Utamaduni na Michezo, alisema Rais Samia ni suluhu ya matatizo.

 
Mkoa wa Tanga umebarikiwa kwa vitu vingi, kuanzia watu wake, ardhi yake, huduma za kijamii pamoja na mengine mengi.

Lakini baraka nyingine kubwa ni ujio wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuanzia February 23.

Wana Tanga wako tayari kumpokea Mh. Rais Samia.
 

Attachments

  • VID-20250219-WA0134.mp4
    17.2 MB
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga, Husna Sekiboko amewataka Wanakilindi na Wanatanga kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, anayetarajia kuanza ziara mkoani hapa tarehe 23 Februari, 2025.

Akizungumza katika ziara yake aliyoifanya wilayani Kilindi na maeneo mengine, alisema kuwa ikiwa wananchi watajitokeza kwa wingi, itakuwa ni njia mojawapo ya kupata suluhu ya matatizo na changamoto zao

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Sekiboko, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge la Elimu, Utamaduni na Michezo, alisema Rais Samia ni suluhu ya matatizo.

Machawa labda ndio watampokea sio raia wa kawaida hawana muda naye

Tanga wana jeuri ya kimya
 
Back
Top Bottom