Tamko: CHAMA cha ACT-Wazalendo kinalaani vikali uamuzi wa Jeshi la Polisi kuzuia mikutano ya hadhara

Tume ya Uchaguzi ni Source Tosha ya Kuandamana Sisi WaTz Dunia Nzima inajua kuwa TANZANIA haina TUME HURU YA UCHAGUZI
Kwani ndio hicho kilichowatoa nje ya bunge? Afteral muwe na angalau akili kidogo basi hata za kuvalia Nguo, nyie hamjui hata mnadai nini, mara Demokrasia, mara Sukari, sasa unakuja na mpya eti tume kama Kenya! Kwani hao wabunge wako walipata ubunge kwa kupitia tume ipi? Machadema akili zenu mbovu sana! Mnapelekeshwa kama mang'ombe.
 
JAMAAA WANAFIKI KWELI MFANO HUYO HECHE WENG WA WANANCH KTK JIMBO LAKE TV HATUNA SO JAMBO LA BUNGE KUONYESHWA LIVE SIO CHANGAMOTO KTK JIMBO LAKE OTHERWISE ANATETEA KWA MASLAHI YAKE BINAFSI NA CHAMA CHAKE.
TBC2 wanaonyesha bunge live miezi miwili sasa ila sijasikia wabunge wakisema bunge sasa linaonyeshwa live bali wameendelea kudai wanataka bunge lionyeshwe live hii inadhihirisha kua wabunge na wananchi walio wengi hawana muda wa kuangalia Tv kama wangekua nao wangeshaona mapema bunge kupitia TBC2
 
Weledi waliliona hili mapema na huu ni mkakati wa makusudi wa kuminya Demokrasia , toka ule uchaguzi wa october 25 na kile kilichojiri kule Zanzibar hali ya mambo inavyoendelea nchini, matamko ya kibabe na kauli tata ni Ishara tosha ya hali mambo ilivyo anzia bungeni utaona kabisa ni jinsi gani Demokrasia haipewi nafasi na watawala.
 
Unasema nini wewe hapa!!??

Mambo ya bungeni na harakati za chama cha siasa za siku kwa siku ni wapi na wapi?

Kama wewe ni polisi basi, you are very ignorant policeman/waman na ndiyo nyie mnaotoa matamko ambayo hata hayana misingi ya kisheria na mikipelekwa mahakamani, mahakama inaona hata aibu kuwabeba na kuwalinda!!

Poor you!!
Maskini, hivi hata unajua sababu zilizowafanya hao ndugu zako wanatake kufanya mikutano na maandamano? Au umekurupushwa tu na mihemko?
 
Maskini, hivi hata unajua sababu zilizowafanya hao ndugu zako wanatake kufanya mikutano na maandamano? Au umekurupushwa tu na mihemko?

Wewe Maboso wewe unajifanya unajua kweli kweli...

Hujui lolote wewe ndugu yangu
 
Kwani ndio hicho kilichowatoa nje ya bunge? Afteral muwe na angalau akili kidogo basi hata za kuvalia Nguo, nyie hamjui hata mnadai nini, mara Demokrasia, mara Sukari, sasa unakuja na mpya eti tume kama Kenya! Kwani hao wabunge wako walipata ubunge kwa kupitia tume ipi? Machadema akili zenu mbovu sana! Mnapelekeshwa kama mang'ombe.
Tutaendelea kupunguza kura za CCM CCM imepoteza Wabunge UKAWA Tumeongeza CCM inaongoza Vijijini Ambapo Asilimia Nyingi Uwezo Wa kufikiri Mdogo UKAWA Tunaongoza Mijini kwa Waelewa Ukawa Town CCM Bush
 
Sasa hivi vijana wa ufipa wamebadili kauli... Ile ya kusema Magu anatekeleza ilani yao wameacha sasa wanamwita dikteta...
Ni kaburu tu simuonei haya hatakidogo'' nasema nikaburu tu hakunatofauti na wale wa afrika kusini, isipokuwa rangi tu
 
Back
Top Bottom