Tamisemi inavyoua ndoto za vijana

OC-CID

JF-Expert Member
Jul 13, 2023
204
490
Umemaliza zako chuo, pengine ni injinia.

Unatafuta kazi mwishowe unaajiliwa halmashauri fulani ambayo kwa muundo wa utawala wapo chini ya Tamisemi.

Mwenzako uliyemaliza nae anapata zake kazi Tanesco, Tanroads au taasisi nyingine.

Gepu linaanzia hapo, huko halmashauri unakutana na madiwani walioshia darasa la 7 ndio mabosi zako wa kwenye miradi. Hakuna uweledi huko.

Wenzako waliopo kwenye mashirika wanapiga posho na semina za kutosha, huko tamisemi unapiga miayo tu, posho zenyewe za manati, over time za kutosha zisizo na malipo.

Tamisemi inaua sana ndoto za vijana wengi
 
Umemaliza zako chuo, pengine ni injinia.

Unatafuta kazi mwishowe unaajiliwa halmashauri fulani ambayo kwa muundo wa utawala wapo chini ya Tamisemi.

Mwenzako uliyemaliza nae anapata zake kazi Tanesco, Tanroads au taasisi nyingine.

Gepu linaanzia hapo, huko halmashauri unakutana na madiwani walioshia darasa la 7 ndio mabosi zako wa kwenye miradi. Hakuna uweledi huko.

Wenzako waliopo kwenye mashirika wanapiga posho na semina za kutosha, huko tamisemi unapiga miayo tu, posho zenyewe za manati, over time za kutosha zisizo na malipo.

Tamisemi inaua sana ndoto za vijana wengi

Ulilia huna kazi, sasa umepata kazi, unaona TAMISEMI haifai inaua ndoto za watu, haya utahamia Tanesco utaanza tena malalamiko oohh hakufai, mitambo chakavu, shirika halina uelekeo, kesho utahamishiwa Tanroads utaanza ujue hapa hakuna viwango, barabara mbovu na ubora wa hovyo, kwanza wezi tu, utahamia kwingine utaanza upuuzi huo huo, usilolijua ww ndio mzigo, huna ndoto, umeshindwa kujiajiri kazi kupiga domo na poorest IQ..!! Hujaelimika na umaskini wako ni sbb ya hiyo tabia yako.

Acha ajira, nenda jiajiri, si umemaliza chuo, una elimu, alafu fanya utakavyo, kuza ndoto yako, acha ujinga nyoko kabisa wee, nyokooo tena, bullshit, rubbish..!!
 
MAENDELEO hayana chama piga kazi huko huko tamisemi mpaka madiwani wakupendekeze uwe DED
 
Umemaliza zako chuo, pengine ni injinia.

Unatafuta kazi mwishowe unaajiliwa halmashauri fulani ambayo kwa muundo wa utawala wapo chini ya Tamisemi.

Mwenzako uliyemaliza nae anapata zake kazi Tanesco, Tanroads au taasisi nyingine.

Gepu linaanzia hapo, huko halmashauri unakutana na madiwani walioshia darasa la 7 ndio mabosi zako wa kwenye miradi. Hakuna uweledi huko.

Wenzako waliopo kwenye mashirika wanapiga posho na semina za kutosha, huko tamisemi unapiga miayo tu, posho zenyewe za manati, over time za kutosha zisizo na malipo.

Tamisemi inaua sana ndoto za vijana wengi
Asieshukuru kidogo hata kikubwa hawezi kushukuru.....
 
Umemaliza zako chuo, pengine ni injinia.

Unatafuta kazi mwishowe unaajiliwa halmashauri fulani ambayo kwa muundo wa utawala wapo chini ya Tamisemi.

Mwenzako uliyemaliza nae anapata zake kazi Tanesco, Tanroads au taasisi nyingine.

Gepu linaanzia hapo, huko halmashauri unakutana na madiwani walioshia darasa la 7 ndio mabosi zako wa kwenye miradi. Hakuna uweledi huko.

Wenzako waliopo kwenye mashirika wanapiga posho na semina za kutosha, huko tamisemi unapiga miayo tu, posho zenyewe za manati, over time za kutosha zisizo na malipo.

Tamisemi inaua sana ndoto za vijana wengi
That's your country, boss. you just have to endure it, hakuna namna.
 
Kuna muda ukiacha kufanya mambo kwa kuangalia marafiki zako
Maisha yako yatakuwa na amani sana
 
Ila wafanyakazi wa Halmashauri wamesahaulika sana kwakweli, Serikali inabdi iwafanyie kitu aisee
 
Wafanya kazi wa serikali njaa kali sana, kazi kuharibu michoro ya watu. Tushachoka kuitwa 'mkuu' mkija bar mje na pesa za kutosha.
 
Umemaliza zako chuo, pengine ni injinia.

Unatafuta kazi mwishowe unaajiliwa halmashauri fulani ambayo kwa muundo wa utawala wapo chini ya Tamisemi.

Mwenzako uliyemaliza nae anapata zake kazi Tanesco, Tanroads au taasisi nyingine.

Gepu linaanzia hapo, huko halmashauri unakutana na madiwani walioshia darasa la 7 ndio mabosi zako wa kwenye miradi. Hakuna uweledi huko.

Wenzako waliopo kwenye mashirika wanapiga posho na semina za kutosha, huko tamisemi unapiga miayo tu, posho zenyewe za manati, over time za kutosha zisizo na malipo.

Tamisemi inaua sana ndoto za vijana wengi
Bora hata hiyo,kuna vyuo vikuu,UPUMBAVU MTUPU.
 
Back
Top Bottom