Hapa si mahali pake! Nenda kanunue Penal code ujisomee na kama mvivu wa kusoma nenda kamuulize mwanasheria wako!Nilichosema si procedure ya uendeshaji wa kesi mahakamani, ni njia aliyotumia huyo mwanasayansi na mwanafalsafa, na ambayo hata mimi ninayotumia, kujiridhisha nisije nikadanganywa au kudanganyika. Mimi nimekuomba kifungu cha sheria au sheria ya hapa kwetu inayosema hivyo ulivyodai.
Najua ulijisemea tu na ndiyo maana unashindwa kuweka hicho kifungu. Kipi ni simple, kuandika yote hayo uliyoandika au kuweka hicho kifungu cha sheria? Any claim must be justified!Hapa si mahali pake! Nenda kanunue Penal code ujisomee na kama mvivu wa kusoma nenda kamuulize mwanasheria wako!
Katika wapumbavu wewe ni nambari one! Hapa tunajadili hoja vifungu vya sheria katafute mahakamani!Najua ulijisemea tu na ndiyo maana unashindwa kuweka hicho kifungu. Kipi ni simple, kuandika yote hayo uliyoandika au kuweka hicho kifungu cha sheria? Any claim must be justified!
hv ni kweli TAKUKURU wanamgwaya Lissu?Mara kadhaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema amedai mtoto wa Rais Samia aitwai Abdul alikwenda nyumbani kwake akiwa na kiongozi wa mmoja wa Chadema kwa ajili ya kumpa rushwa ili alegeze misimamo yake dhidi ya serikali.
Tundu Lissu hakuishia hapo bali amesema Abdul alimweleza kuwa amekwisha gawa rushwa kwa viongozi wengine kadhaa wa Chadema kwa hiyo yeye hatakuwa wa kwanza! Lissu ameweka wazi kuwa rushwa aliyotaka kupewa ni kununuliwa gari.
Pamoja na maelezo yote haya TAKUKURU wamekaa kimya bila kuchukua ya kumuhoji. Je hawajasikia? Na kama wamesikia wanasubiri nini kupata ukweli zaidi na kuchukua hatua za kisheria?
In psychology this is called "projection" - the problem you have you pretend as if it's not yours, but somebody else's. In logic, it's just errenous reasoning (fallacy).Katika wapumbavu wewe ni nambari one! Hapa tunajadili hoja vifungu vya sheria katafute mahakamani!
Hajasema wamshtaki bali wamhoji ili kumjua huyo mtoa rushwaKichwa chako hakiko sawa hajawahi tanka kuwa mtoto wa Mama Samia aitwaye Abdul alitaka kumpa rushwa Usimlishe maneno
Yeye husema Abdul alikuja kutaka kunipa Rushwa nikamwambia kamwambie mama Abdul hivi na hivi
Abdul aweza kuwa kibaka yeyote na mama Abdul aweza kuwa hata mama Natalie
Unamshtaki wapi wakati hakufafanua specifically kwa Details huyo Abdul ni nani na mama Abdul ni nani
Takukuru sio mabwege kama wewe
Alimtaja nimekuwekea video chiniKichwa chako hakiko sawa hajawahi tanka kuwa mtoto wa Mama Samia aitwaye Abdul alitaka kumpa rushwa Usimlishe maneno
Yeye husema Abdul alikuja kutaka kunipa Rushwa nikamwambia kamwambie mama Abdul hivi na hivi
Abdul aweza kuwa kibaka yeyote na mama Abdul aweza kuwa hata mama Natalie
Unamshtaki wapi wakati hakufafanua specifically kwa Details huyo Abdul ni nani na mama Abdul ni nani
Takukuru sio mabwege kama wewe
Kwamba Samia ni mtoa rushwa ili kunufaisha familia yake!Nadhani hii ni moja ya SILAHA atakayoitumia Mh Lissu muda wa kampeni ya 2025.ukifika..miCCM matumbo moto
Jibu lako lipo #49, umemfahamu mama Abdul sasa wewe mbwa?Kichwa chako hakiko sawa hajawahi tanka kuwa mtoto wa Mama Samia aitwaye Abdul alitaka kumpa rushwa Usimlishe maneno
Yeye husema Abdul alikuja kutaka kunipa Rushwa nikamwambia kamwambie mama Abdul hivi na hivi
Abdul aweza kuwa kibaka yeyote na mama Abdul aweza kuwa hata mama Natalie
Unamshtaki wapi wakati hakufafanua specifically kwa Details huyo Abdul ni nani na mama Abdul ni nani
Takukuru sio mabwege kama wewe
Wataanzia wapi? Wakigeuka huku moto wa gas wakigeukia huku makaa ya maweMara kadhaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema amedai mtoto wa Rais Samia aitwai Abdul alikwenda nyumbani kwake akiwa na kiongozi wa mmoja wa Chadema kwa ajili ya kumpa rushwa ili alegeze misimamo yake dhidi ya serikali.
Tundu Lissu hakuishia hapo bali amesema Abdul alimweleza kuwa amekwisha gawa rushwa kwa viongozi wengine kadhaa wa Chadema kwa hiyo yeye hatakuwa wa kwanza! Lissu ameweka wazi kuwa rushwa aliyotaka kupewa ni kununuliwa gari.
Pamoja na maelezo yote haya TAKUKURU wamekaa kimya bila kuchukua ya kumuhoji. Je hawajasikia? Na kama wamesikia wanasubiri nini kupata ukweli zaidi na kuchukua hatua za kisheria?
Mambo ni 🔥Wataanzia wapi? Wakigeuka huku moto wa gas wakigeukia huku makaa ya mawe
Maza wake Dulla ndiye Mama Abduli ?Wanaogopa kumuangushia jumba bovu Mama Dulla
Wanamjua sana ndiyo maana wamepiga kimyaHajasema wamshtaki bali wamhoji ili kumjua huyo mtoa rushwa
Upo sahihi kabsa....Kichwa chako hakiko sawa hajawahi tanka kuwa mtoto wa Mama Samia aitwaye Abdul alitaka kumpa rushwa Usimlishe maneno
Yeye husema Abdul alikuja kutaka kunipa Rushwa nikamwambia kamwambie mama Abdul hivi na hivi
Abdul aweza kuwa kibaka yeyote na mama Abdul aweza kuwa hata mama Natalie
Unamshtaki wapi wakati hakufafanua specifically kwa Details huyo Abdul ni nani na mama Abdul ni nani
Takukuru sio mabwege kama wewe