MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,043
- 31,375
mnatanguliza chukiKama kungekuwa kuna ndugu yako huko ungejua kinachoongelewa hapo. You are totally blinded with politics
mnatanguliza chukiKama kungekuwa kuna ndugu yako huko ungejua kinachoongelewa hapo. You are totally blinded with politics
Duuuh mshua alikimbilia huko sjui kama kapona##warudi tuuHuyo anae bisha ni mpumbavu na taahira wa akiri huku ni noma yaani zaidi ya noma na wote waishio katika wilaya ya montipuez wamepewa siku tano tu kuondoka hailishi una mali hauna wewe toka tu
Bwana yule yeye wala hajali tena kimoyomoyo anasema waache wafe tuKuna taarifa tangu jana zilikuwa zikisambaa katika mitandao ya kijamii, kuhusu watanzania waishio Msumbiji wamekamatwa na serikali ya huko na kuuwawa!ikiwa ni pamoja kuwekwa jela kwa kilichoelezwa kuwa waondoke Msumbiji sikwao!! na hata kama ulikuwa na karatasi halali za kuishi huko na kufanya kazi wametiwa ndani pia ,na hawakuwa na mda wakusoma dokment za mtu yoyote!! hata pasi za kusafiria zimechomwa!! hadi jana watu walikuwa hawatoki ndani!!!Inasadikika watu 4 walipoteza uhai!.Na hilo katika kipindi cha PowerBreakfast cha Clouds amesikika mtu akiojiwa na Clouds kuhusu hali ya huko na alikuwa akiomba msaada.
Hivyo tunaomba serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ichunguze hizi tuhuma.
Hao hawajafikishwa hata mahakamani hawana uhusiano na kauli ya jpmMkuu alitamka kama watakuwa wamekutwa na hatia kama ya madawa ya kulevya na kuhukumiwa kunyongwa acha wanyongwe,
Wewe unaweza kujiangalia!? Unaongea utadhani Ni Mkenya!Unauakika kama wameuwawa jiangalie
MOTOCHINI sijui unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili. kwa vyovyote vile akili utakuwa umeiweka rehani na kuitupilia mbali kwenye dust bin. Wabongo wengi huku nje wanakufa sana tu na sometimes serikali haijui chochote kinachoendelea. Kuna wabongo wenye vibali/documents na wengine wamezamia/hawana vibali. Kwa mfano, RSA kuna wabongo wengi wako gerezani kwa makosa mbalimbali mengi yakiwa ya uhalifu. Kuna wengine huuawa na Polisi na ni vigumu kupata taarifa zao. Ishauli serikali yenu ianze jitihada za makusudu za kujua raia wake walioko nje ikiwa ni pamoja na kufuatilia maendeleo yao.Ficha upumbavu wako
Huu ni uchochezi usio na maana