Tajiri kuingia ufalme wa mbinguni ni ngamia katika tundu la sindano, vipi wanasiasa, tembo katika tundu la sindano?

Kwahiyo utajiri ni dhambi?
Nani amesema? Yesu alichomaanisha ni kwamba utajiri unakufanya ucheze karibu sana na dhambi - dhuruma, dharau, kiburi, majivuno, ushirikina, kufuru nk. Ni matajiri wachache sana wanajali mambo ya Mungu. Kama utajiri ungekuwa dhambi Mungu asingempa Solomani utajiri - na hajatokea mtu tajiri duniani kama alivyokuwa Solomoni. Pia angalia story ya Ayubu - Mungu alimbariki kwa utajiri.
 
Nani amesema? Yesu alichomaanisha ni kwamba utajiri unakufanya ucheze karibu sana na dhambi - dhuruma, dharau, kiburi, majivuno, ushirikina, kufuru nk. Ni matajiri wachache sana wanajali mammo ya Mungu. Kama utajiri ungekuwa dhambi Mungu asingempa Solomani utajiri - na hajatokea mtu tajiri duniani kama alivyokuwa Solomoni. Pia angalia story ya Ayubu - Mungu alimbariki kwa utajiri.
Amen
 
Tatizo matajiri ile kutoa moja kumi ya kila mwezi nishughuli aiseee.

Kuna watu moja yakumi ni milion 100 , sasa hapo inakuaje ??
Ahaaa! Mkuu sasa umeelewa Yesu alimaanisha nini aliposema yule mjane alitoa zaidi sana ya watu wote alipotoa senti zake mbili.

Hili suala la moja ya kumi Mkuu, ilikuwa enzi za sheria ya Torati. Wakati huo hakukuwa na tajiri wa kutisha kwa kuwa watu wa Mungu waliishi katika namna ya usawaziko ambapo matajiri walikuwa na wajibu wa kisheria wa kusaidia masikini bila wao kuwa matajiri kupindukia (Deuteronomy 12:17).

Suala la kuendeleza kanuni ya kutoa moja ya kumi leo ni nafasi viongozi wa kidini wanaitumia kukamua wafuasi wao. Umeona wapi katika maandiko ya Kikristo hili likisisitizwa? Angalia kwamba katika ukristo kanuni ya kutoa michango ni ile iliyoainishwa katika 1 Corinth 16:2 pamoja na 2 Corinth 9:7, kwamba kila Mkristo anatakiwa kutoa mchango kulingana na alivyokusudia yeye mwenyewe, kwa furaha, sio kulazimishwa kwa kanuni ya zamani ya Torati ya moja ya kumi.

Kwa hiyo basi, hili suala la moja ya kumi ni utapeli tu wa kidini kukamua waumini pasipo sababu. Hauna msingi wowote wa kimaandiko. Wewe toa kulingana na ulivyokusudia na Mungu anabariki. Kwani yule mjane alitoa zile senti mbili kama moja ya kumi? Mungu anataka mtu anaetoa kwa furaha sio kuona anatoa kama wajibu wa kutoa moja ya kumi. Na wakati huo huo jiulize huyo mtu anaekudanganya lazima utoe moja ya kumi kama kweli anawakilisha mawazo ya Mungu kwako, au anapingana na maandiko ya Mungu!
 
Wanasiasa ni opportunist, watu wakusikilizia upepo, unaweza ukashangaa ukawakuta mbinguni.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
wallai tena....
 
Just a little education.... Ngamia inayoongelewa katika msemo huo si ngamia mnyama! naona mleta uzi amelinganisha na tembo. Be smart.. tafuta Kamusi ya kiswahili ikusaidie kujua maana nyingine ya neno "Ngamia". You will probably be shocked by the level of ignorance....
Kweli kabisa, ngamia aliyezungumzwa ni ngamia(kamba kubwa ya kufunga vyombo ya baharini mfano meli,mashua) akisoma biblia ya kingereza ataelewa.
 
Nani amekuambia?

Kwa kifupi ni kwamba, neno la Kiebrania lililotumika hapa katika hii sentensi aliyoisema Yesu lilikuwa "kamelos", na lina maanisha ngamia mnyama. Sasa watu wakaja na theory zao kwamba hapana, Yesu hapa alikuwa ametamka neno "kamilos" ambalo ndio linamaanisha kamba.

Sasa suala ni kwamba, ikiwa tunaamini Biblia iliandikwa kwa roho ya Mungu, ina maana waandishi watatu wa hii sentensi aliyotoa Yesu, Mathayo, Marko na Luka, wote walikosea kwa kutumia neno ngamia badala ya kamba? Je turekebishe mistari hii ya Biblia iliyoandikwa na watu walioongozwa na Mungu kwa kuwa watu fulani ambao kwa maoni yao tu walipendekeza kwamba Mathayo, Marko na Luka hawakuwa na nia ya kuandika "kamelos" kama ngamia bali "kamilos" kama kamba?

Sasa be, amua mwenyewe sambi sako mie simo!
Tusibishane sana hiyo verse kwa kiingereza imeandikwaje ili tujue moja kama ni Kamba au mnyama
 
Tusibishane sana hiyo verse kwa kiingereza imeandikwaje ili tujue moja kama ni Kamba au mnyama
Verse ya kiingereza imeandikwa camel katika tafsiri karibu zote za Biblia. Sasa kama ni hivyo mtu anaetumia lugha ya kiingereza atatafsirije kuwa hiyo camel sio mnyama ni kamba? Maana kama ingekuwa ni kamba wangeandika "rope".
 
Kweli kabisa, ngamia aliyezungumzwa ni ngamia(kamba kubwa ya kufunga vyombo ya baharini mfano meli,mashua) akisoma biblia ya kingereza ataelewa.
Mkuu, nipe quotes za tafsiri za Biblia za Kiingereza zilizoandika kamba badala ya ngamia (nikitegemea wameandika rope badala ya camel)
 
Mkuu, nipe quotes za tafsiri za Biblia za Kiingereza zilizoandika kamba badala ya ngamia (nikitegemea wameandika rope badala ya camel)
Should the word “camel” in Matthew 19:24 be ‘thick rope”?
Kamelon=camel in Greek
Kamilon=thick rope in Aramaic
Find out if Matthew original scripture version was written in Greek or Aramaic.
Am not sure sir. But PM Benjamin Netany is cmng........... We can still ask.!!!!:D
 
Should the word “camel” in Matthew 19:24 be ‘thick rope”?
Kamelon=camel in Greek
Kamilon=thick rope in Aramaic
Find out if Matthew original scripture version was written in Greek or Aramaic.
Am not sure sir. But PM Benjamin Netany is cmng........... We can still ask.!!!!:D

Mkuu, katika chapisho la zamani sana la Kigiriki la Matthew 19:24 (Sinaitic, the Vatican No 1209, and the Alexandrine) neno lililotumika ni lile linamaanisha ngamia na sio kamba. Hivyo tukisema kwamba Yesu alimaanisha kamba ina maana sisi tunapingana na kina Matthew ambao walikuwa na Yesu akiongea maneno hayo, na pia walijua context ya utumiaji wa Yesu wa hayo maneno wakati huo. Kumbuka pia kwamba Matthew aliandika kitabu hiki kwanza kabisa kwa lugha ya Kiebrania, na inaonekana ni yeye mwenyewe alitafsiri kitabu chake kwenda Kigiriki, na katika Kiebrania na Kigiriki inaonekana alitumia neno lile lile lililomanisha ngamia kwenye andiko hili.
 
Wewe jamaa una akili za yule ndege tunaekula na chips....kwa hiyo hilo "fundo" unalosema ndio lingetafsiriwa "camel" kwenye lugha ya kiingereza? Kwa maneno yako, neno "camel" katika tafsiri za kiingereza za Biblia lina maana fundo la uzi, kama vile tu ngamia? Kama neno ngamia katika tafsiri ya kiswahili lingemaanisha fundo la uzi, basi tafsiri ya kiingereza isingetumia neno camel, kwa sababu katika tafsiri huwa hatutafanyi direct translations; kwa mfano ndege turkey huwezi kumtafsiri "ndege wa uturuki" kwa kiswahili, bali bata mzinga. Nyie ndio mnaotafsiri majina kama Livingstone kuwa Jiwelinaloishi

You are probably shocked now by the level of your own ignorance

Mark 10:25 easier for a camel to go through a needle’s eye: Jesus is using hyperbole to illustrate a point. Just as a literal camel cannot go through the eye of an actual sewing needle, it is impossible for a rich man to enter the Kingdom of God if he continues to put his riches ahead of his relationship with Jehovah. Jesus did not mean that no wealthy person would inherit the Kingdom, for he went on to say: “All things are possible with God.”—Mr 10:27

https://www.jw.org/en/publications/bible/study-bible/books/mark/10/#v41010025


What did Jesus mean when He said it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich man to get into heaven?
Question: "What did Jesus mean when He said it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich man to get into heaven?"

Answer:
There are several different schools of thought on what Jesus was referring to in saying it was easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich man to gain eternal life (Matthew 19:24; Mark 10:25; Luke 18:25). The Persians expressed the concept of the impossible by saying it would be easier to put an elephant through the eye of a needle. The camel was a Jewish adaptation (the largest animal in Israel was a camel).

Some theorize that the needle Jesus was speaking of was the Needle Gate, supposedly a low and narrow after-hours entrance found in the wall surrounding Jerusalem. It was purposely small for security reasons, and a camel could only go through it by stripping off any saddles or packs and crawling through on its knees. The problem with this theory is there is no evidence such a gate ever existed. Beyond that, what sane camel driver would go through such contortions when larger gates were easily accessible?

Others claim that the word translated “camel” (Greek: kamelos) should actually be “cable” (Greek: kamilos). Then the verse would read that it is easier for a cable (or rope) to go through the eye of a needle. To believe this, however, brings up more problems than it solves, namely casting doubt on the inerrancy and inspiration of Scripture.

The most likely explanation is that Jesus was using hyperbole, a figure of speech that exaggerates for emphasis. Jesus used this technique at other times, referring to a “plank” in one’s eye (Matthew 7:3-5) and swallowing a camel (Matthew 23:24).

What did Jesus mean when He said it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich man to get into heaven?
You quote what i wrote, and discuss something completely different. None of those things you are copying below means what I said. But, you are quoting factual errors. The first bible was not written in Greek. Continue working hard. I still question your intelligence.
 
You quote what i wrote, and discuss something completely different. None of those things you are copying below means what I said. But, you are quoting factual errors. The first bible was not written in Greek. Continue working hard. I still question your intelligence.
Acha kunikoroganya hapa. Ulianza kwa kunikandia sijui kitu, ignorant, kwa kuwa eti ngamia wa kwenye Bible sio mnyama. Nikakupinga kwa hoja. Sasa where did I personally say first Bible was written in Greek? Or are you disputing that the new testament was written in Greek? You would be very courageous to do that because it is true most of books in that part of the Bible were written in Greek, and some in Aramaic, And books from Genesis to Micah were written in Hebrew. It is possible Matthew first wrote his book in Hebrew and then tanslated it to Greek. You see, I am not a novice on Bible knowledge and history so be careful before you call me ignorant, you will just end up embarrassing yourself.
 
Mkuu, nipe quotes za tafsiri za Biblia za Kiingereza zilizoandika kamba badala ya ngamia (nikitegemea wameandika rope badala ya camel)
Hii ndio ubishani wenye mashiko ungeniwekea hiyo mistari ya biblia ya kiingereza ningeshukuru sana. Umeshinda swahiba kwenye ili. Mie nilipotoshwa na mchambuzi wa Kiswahili wa Clouds FM ndio aliwahi kusema hivyo
 
Hii ndio ubishani wenye mashiko ungeniwekea hiyo mistari ya biblia ya kiingereza ningeshukuru sana. Umeshinda swahiba kwenye ili. Mie nilipotoshwa na mchambuzi wa Kiswahili wa Clouds FM ndio aliwahi kusema hivyo

Tuko wote Mkuu. Angalia ni kitu kinatokea mara nyingi sana, hatutafakari tunayoambiwa na hata tunabisha kwa kuwa kuna mtu huko nyuma alitueleza kitu tofauti na tunachoambiwa na mwingine. Suala la busara ni kuwa na open mind na kufanya utafiti juu ya kile tunachoambiwa badala ya kukikataa kwa sababu tuliambiwa vinginevyo na mtu mwingine, huenda hata ndani ya dini zetu. Angalia hapa, tafsiri mbalimbali za kiingereza za hili andiko, na hakuna inayosema rope;

Matthew 19:24

New World Translation Jw Bible
Again I say to you, it is easier for a camel to get through a needle’s eye than for a rich man to enter the Kingdom of God.”

New International Version
Again I tell you, it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for someone who is rich to enter the kingdom of God."

New Living Translation
I'll say it again--it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the Kingdom of God!"

English Standard Version
Again I tell you, it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.”

Berean Study Bible
Again I tell you, it is easier for a camel to pass through the eye of a needle than for a rich man to enter the kingdom of God."

Berean Literal Bible
And again I say to you, it is easier for a camel to go through the eye of a needle, than a rich man to enter into the kingdom of God."

New American Standard Bible
"Again I say to you, it is easier for a camel to go through the eye of a needle, than for a rich man to enter the kingdom of God."

King James Bible
And again I say unto you, It is easier for a camel to go through the eye of a needle, than for a rich man to enter into the kingdom of God.

Christian Standard Bible
Again I tell you, it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God."

Contemporary English Version
In fact, it's easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to get into God's kingdom."

Good News Translation
I repeat: it is much harder for a rich person to enter the Kingdom of God than for a camel to go through the eye of a needle."

Holman Christian Standard Bible
Again I tell you, it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God."

International Standard Version
Again I tell you, it is easier for a camel to squeeze through the eye of a needle than for a rich person to get into the kingdom of God."
 
Hata kiongozi dikteta kuingia ufalme wa Mungu ni shida kuliko kibaka
 
Nani amekuambia?

Kwa kifupi ni kwamba, neno la Kiebrania lililotumika hapa katika hii sentensi aliyoisema Yesu lilikuwa "kamelos", na lina maanisha ngamia mnyama. Sasa watu wakaja na theory zao kwamba hapana, Yesu hapa alikuwa ametamka neno "kamilos" ambalo ndio linamaanisha kamba.

Sasa suala ni kwamba, ikiwa tunaamini Biblia iliandikwa kwa roho ya Mungu, ina maana waandishi watatu wa hii sentensi aliyotoa Yesu, Mathayo, Marko na Luka, wote walikosea kwa kutumia neno ngamia badala ya kamba? Je turekebishe mistari hii ya Biblia iliyoandikwa na watu walioongozwa na Mungu kwa kuwa watu fulani ambao kwa maoni yao tu walipendekeza kwamba Mathayo, Marko na Luka hawakuwa na nia ya kuandika "kamelos" kama ngamia bali "kamilos" kama kamba?

Sasa be, amua mwenyewe sambi sako mie simo!
Duuhh!!!!!mko vizuri wakuu
 
Back
Top Bottom