KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 34,152
- 81,389
Ha ha sitaki kuamini hakuna nyimbo unazozipenda wewe Kama wewe!Ahsante, naziweka kwenye playlist sasa
Ha ha sitaki kuamini hakuna nyimbo unazozipenda wewe Kama wewe!Ahsante, naziweka kwenye playlist sasa
Wakuu nawasilisha!!! Nikianza na mimi
Nyimbo karbu zote za burna Boy
Wewe☟☟☟
Chadema chadema chademaWakuu nawasilisha!!! Nikianza na mimi
Nyimbo karbu zote za burna Boy
Wewe☟☟☟
Apo kwenye mondSielewi sababu ya kupenda nyimbo kama Kanyaga (Diamond), mapenzi ya huu wimbo yakanifanya niamini Diamond anatumia mbinu nyingine kukubalika
Ule Wimbo wa Ali Kiba, eti Wananita Kipusa, ni upupu tu uliopewa promo
Nyimbo za bongo hip hop nyingi ni kali lakini huwa sielewi kwanini hazipewi hadhi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitakaa Itokee nikamkubali, kwanza anayo dharau kama d*m bk. Bora nishabikie songs za Makhirikhiri kuliko huyo kiumbe.
Zote ambazo sio hip hop
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Plz usikasirike mkuuUle unasema "nataka tangooo...sitaki kibamia" ningekuwa na uwezo ningeufungia kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app