Pamoja na yote hii staili yako ya uandishi kwa kila neno kuanza na herufi kubwa inashangaza na kuchanganya sana...haya Ni Matusi Ya Wazi Kabisa, Huyu Muuaji Anawatukana Akina Mama Na Sikutegemea Kwa Mtu Mwenye Akili Iliyokaa Sawa Kutoa Maneno Kama Haya Mbele Ya Wananchi.
Bibi Helen Kb Na Ananilea N Chukueni Hatua Juu Ya Udhalilishaji Huu Wa Akina Mama Zetu. Yeye Ndiye Anayestahili Kwenda Kulala, Tena Segerea. Ni Bora Angejibu Kalaleni Wenyewe, Lakini Waambieni Wake Zenu Wakalale, Hii Akili Ni Mbopvu
Hebu Wana Jf Ileteni Hii Kauli Ya Huyu Muuaji Tuichambue Vizuri
KibunangoPamoja na yote hii staili yako ya uandishi kwa kila neno kuanza na herufi kubwa inashangaza na kuchanganya sana...
Unauliza ni nani katika nchi hii? Jibu lake ni kuwa alikuwa Bestman katika ndoa ya Mkwere! fullstop.Kwa hilo ktk nchi hii anaruhusiwa hata kubaka hadharani kisha wakasema HAKUKUSUDIA BALI ALIPATA HAMU YA GHAFLA. Mkihoji?, "mna wivu wa kijinga"Huyu ditto ni nani ktk nchi yetu?? je ni mungu mtu?? kwa nini mtuhumiwa aongozane na delegate ya serikali?? ina maana serikali iko proud naye na hakika wanajua wanachokifanya... wanabadilisha njigi ionekane njege.
Lakini ukitembea na mwizi nawe........
Maandishi hayasomeki kwa ufasaha.. hivyo kupunguza uwezekano wa kuelewa mtoa mada anakusudia nini!Kibunango
nini kinachochanganya,ujumbe haueleweki au maandishi hayasomeki?
Maandishi hayasomeki kwa ufasaha.. hivyo kupunguza uwezekano wa kuelewa mtoa mada anakusudia nini!