Tabasamu la Mbwana Samatta akiwa mazoezini KRC Genk, Agosti 17, 2022

Ananiboa tuu akiwa kwenye timu ya taifa
Dah! Ungenishuhudia enzi zangu nacheza mpira, ungekuwa unatabasamu tu muda wote.

Maana nilikuwa napiga magoli ya aina zote!! Ya mbali, ya karibu, ya penati, ya kichwa, ya miguu yote, ya visigino! Huku niliko mpaka kesho naitwa Mzee Pele.
 
Dah! Ungenishuhudia enzi zangu nacheza mpira, ungekuwa unatabasamu tu muda wote.

Maana nilikuwa napiga magoli ya aina zote!! Ya mbali, ya karibu, ya penati, ya kichwa, ya miguu yote, ya visigino! Huku niliko mpaka kesho naitwa Mzee Pele.
Kumbee ulicheza timu ya Taifa?
 
Hapana bhana! Ni timu ya Kijijini kwangu tu huku milimani niliko. Ila ingekuwa ndiyo sasa hivi, nina uhakika kocha wenu Zolan angenipa mkataba faster ili kuokoa jahazi pale mbele.
Aisee sema sasa ulikuosea kuwa huko unakoshabikia
 
Dah! Ungenishuhudia enzi zangu nacheza mpira, ungekuwa unatabasamu tu muda wote.

Maana nilikuwa napiga magoli ya aina zote!! Ya mbali, ya karibu, ya penati, ya kichwa, ya miguu yote, ya visigino! Huku niliko mpaka kesho naitwa Mzee Pele.
Chandimu
 
Back
Top Bottom