Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,062
- 16,753
Kagame ana akili ndefu beyond comprehension!
Rais Samia should emulate Paul Kagame hasa taasisi za mifuko ya hifadhi ya jamii wanazifuja sana fedha zinazo katwa kwa mafanyakazi kila mwezi zinaishia kwenye miradi hisiyo kuwa na kichwa wala miguu - akiajiliwa mzungu pale ubabaishaji utaisha - hata shirika la reli ya TAZARA nalo waajili mtu mweupe reli hisiwe inaendeshwa kisiasa.