zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,523
- 31,704
Anaongoza kwa lipi??? Hizo mbili amfunge maalim ama??? Maalim alishakuwa makam wa rais na akaunda baraza la mawaziri na cuf yake huyo lipumba alishawahi kuwa na hata halmashauri moja huku bara toka aanze kuwa mwenyekiti wa cuf????Lipumba anaongoza mpaka sasa 2-0 ngoja mpambano uendelee
Hivi leo hii cuf ikifa nani ana lakupoteza maalim au lipumba?? Cuf zanibar haihagawanyika sasa lipumba bila cuf zanzibar anaweza kusimama peke yake na kukijenga chama upya kma alishindwa kwa miaka 20??
Eti hizo 2-0 ni zipi