Swali kwa Mungu (allah

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Feb 9, 2019
1,460
1,736
Swali la kwanza:

Kwenye kitabu chako cha Qur-an, unasifia kuwa ni kitabu ambacho hakiwezi kubadilishwa maneno yake na maudhui yake Abadan Abadan, je ilikuwaje ukaanza na kushusha kitabu chako cha INJILI ambacho kiliweza kubadilishwa kiurahisi?

Swali la pili:
Kwanini katika kitabu chako cha Qur-an umeweka mkatazo mkubwa kuwa (hauzai wala hauzaliwi wala hauna mshirika) hii imeonyesha kuwa unachukua sana watu wakisema kuwa unazaa na una mshirika, je kwanini usiweke hilo na katika injili, zaburi na torati?

Swali la tatu:

Umesema katika Qur-an kuwa swala yetu na Ibada zetu hazikuongezei chochote wala havikupunguzii chochote katika ufalme wako je kwanini unaonyesha kuchukia sana sisi tunapotenda dhambi?, au madhambi yetu kuna kitu yanapunguza katika ufalme wako?,
 
Biblia na Quran ni hekaya tu.

Quran na Biblia ni hadithi za kusadikika na kufikirika sawa na hekaya za Abunuwasi, Esopo, kalume kenge na Alfu lela ulela.

Allah hayupo.

Yesu hayupo.

Shetani hayupo.
 
Swali la kwanza:

Kwenye kitabu chako cha Qur-an, unasifia kuwa ni kitabu ambacho hakiwezi kubadilishwa maneno yake na maudhui yake Abadan Abadan, je ilikuwaje ukaanza na kushusha kitabu chako cha INJILI ambacho kiliweza kubadilishwa kiurahisi?

Swali la pili:
Kwanini katika kitabu chako cha Qur-an umeweka mkatazo mkubwa kuwa (hauzai wala hauzaliwi wala hauna mshirika) hii imeonyesha kuwa unachukua sana watu wakisema kuwa unazaa na una mshirika, je kwanini usiweke hilo na katika injili, zaburi na torati?

Swali la tatu:

Umesema katika Qur-an kuwa swala yetu na Ibada zetu hazikuongezei chochote wala havikupunguzii chochote katika ufalme wako je kwanini unaonyesha kuchukia sana sisi tunapotenda dhambi?, au madhambi yetu kuna kitu yanapunguza katika ufalme wako?,
Maswali yako mbona mepesi sana

Swali la kwanza
Binadamu ndio waliobadilisha baadhi ya Maneno Kwa maslahi Yao lakini pia na wewe amekupa akili za kujua hayo Sasa kama wewe hautaki kutumia akili yako uliyopewa na Mungu Ili kumjua Mungu hilo ni kosa lako

Chizi hatoenda Jahanamu
Watoto waliokufa kabla ya kubalehe hawataenda Jahanamu

Ila wewe mwenye akili timamu Jahanamu inakuhusu

Kwanini wewe ukiona andiko Yesu anasema yeye si lolote ila ametumwa tu Mungu haulifuati

Inamaana waliochakachua Wana akili kuliko wewe

Lakini pia bado Mungu hajakuacha hivi hivi kaleta mtume na kitabu kingine kukumbusha kuwa huko ulipo siko bado hautaki

Yesu alikuwa Muislam
Alifanya ibada ya kumuabudu Mungu mmoja na alikuwa anasujudu anapofanya ibada ya kumuabudu Mungu wake na hayo maandiko yapo ndani ya Bibilia lakini hautaki kuyafuata

Swali la pili
Quran imekuja kuweka mambo sawa na kuwakosoa wale waliopindisha maandiko ya Mungu
Kilichosemwa ndani ya Quran ndicho kilichosemwa na Taurati, Zaburi na Injili za kweli
Alafu hivyo vitabu Taurati, Zaburi na Injili vilisha pita mda wake Sasa hivi ni muda Quran

Yani wewe kusema unaifuata Injili ni sawa na wewe kusema Kwa Sasa raisi wako ni Kikwete badala ya Samia ukisema hivyo wenye akili watakushangaa

Swali la tatu
Umeambiwa ufanye ibada na ukifanya ibada atakulipa mema hakuachi hivi hivi
Ila usipofanya haumpunguzii kitu Wala haumuongezei kitu na Jahanamu utaenda Kwa kukaidi amri zake
 
Muda umesogea kwelikweliii.
Saiv hata sie wavimba macho tumeanza kuhoji uwepo wa Mungu😂😂😂😂😂😂😂

Pameanza kuchangamka🤔🤔🤔🤔
 
Swali la kwanza:

Kwenye kitabu chako cha Qur-an, unasifia kuwa ni kitabu ambacho hakiwezi kubadilishwa maneno yake na maudhui yake Abadan Abadan, je ilikuwaje ukaanza na kushusha kitabu chako cha INJILI ambacho kiliweza kubadilishwa kiurahisi?

Swali la pili:
Kwanini katika kitabu chako cha Qur-an umeweka mkatazo mkubwa kuwa (hauzai wala hauzaliwi wala hauna mshirika) hii imeonyesha kuwa unachukua sana watu wakisema kuwa unazaa na una mshirika, je kwanini usiweke hilo na katika injili, zaburi na torati?

Swali la tatu:

Umesema katika Qur-an kuwa swala yetu na Ibada zetu hazikuongezei chochote wala havikupunguzii chochote katika ufalme wako je kwanini unaonyesha kuchukia sana sisi tunapotenda dhambi?, au madhambi yetu kuna kitu yanapunguza katika ufalme wako?,
Dini hii ina mungu wake
 
Hivi kama Mapepo yanatambua kwamba Mungu na Yesu wapo sisi wanadamu Katuroga Nani?

Kuna vitu kama wewe si Mtu wa ibada huwezi kuvijua utaishia kuona Kwamba Mungu hayupo.

Mimi sipendi watu wanao kashifu Imani ya mwenzake.

Na Imani hizo ni Christian na Muslim. Maana hizi ndio chimbuko la Kumjua Mungu.

Nivyema kuheshimiana bila kuona Imani yako ndio Bora kuliko nyingine.

Yesu Alisema umwone mwenzako ni Bora kuliko wewe hiyo ndio Ibada na Upendo wa Mungu.
 
Screenshot_20221024-214325.jpg
 
Quran haikaenda kinyume na manabii wa zamani ukiona andiko lipo kinyume na Quran ujue hilo limechakachuliwa

Lakini pia Kuna vitabu wajanja wenu waliokuleteeni ukristo wameificha Ili wakupotezeni vizuri

Injili pekee iliyopo Duniani Kwa Sasa ambayo imeandikwa Kwa mkono wa mwanafunzi wa Yesu ambaye ni BARINABA imefichwa Ili nyinyi wagalatia msiisome

Pia Kuna vitabu vya APOKRIFA navyo vimefichwa Ili nyinyi wagalatia msivisome

Kuna Uzi humu wa mgalatia mwenzako unaitwa

Kwanini mtume Muhammad amepoteza watu

Anasema mtume Muhammad amekopy kutoka vitabu vya APOKRIFA

Kwahiyo wewe mkristo ukiona andiko katika Quran lipo tofauti na mafundisho yako tambua kuwa wewe ndio haupo sawa na sio maandiko ya Mungu

Uzi wa mgalatia mwenzako hu hapa

Muhammad ndiye muanzilishi wa dini ya Uislamu, jamaa ameharibu watu kwa dini na kitabu cha kutunga kwa kuiba kutoka vyanzo hasa vya wayahudi na wakristo waasi ,Quran ni mkusanyiko wa vitabu vya Apokrifa kwa 80%
10% ni TAMADUNI za kiarabu, 10% ni mawazo ya Muhammad

Hadithi 20 Zinazopatikana Katika Qur’an na Vitabu vya Apokrifa

Kwanza nitoe utangulizi

Vitabu vya Apokrifa ni maandiko ya kale yanayohusiana na dini ya Kiyahudi na Ukristo, lakini havikujumuishwa katika Biblia rasmi kwa sababu mbalimbali. Wakristo wengi, hasa wa madhehebu ya Kiprotestanti, walivikataa kwa kuwa viliandikwa katika kipindi ambacho Mungu hakuwa akituma manabii (kipindi kinachoitwa Intertestamental Period au Silent Years – zaidi ya miaka 400 kabla ya ujio wa Yesu). Hata hivyo, baadhi ya madhehebu kama Wakatoliki na Waorthodoksi bado wanatambua baadhi ya vitabu vya Apokrifa.

Licha ya kutokubaliwa kama maandiko rasmi ya kiimani, vitabu hivi vina hadithi nyingi zinazofanana na zile zilizomo katika Qur’an, ambayo iliteremshwa karne kadhaa baadaye. Zifuatazo ni hadithi 20 zilizopo katika Qur’an na zinapatikana pia katika vitabu vya Apokrifa, pamoja na mwaka wa kushuka kwa Aya za Qur’an na mwaka wa uandishi wa vitabu vya Apokrifa.

Hizi ni baadhi ya Hadithi ambazo Muhammad alisimuliwa na wayahudi na wakristo wa apokrifa akazicgukua na unazikuta ndani ya Qur’an ,Leo

Yesu (Isa) kutengeneza ndege kwa udongo na kumpa uhai
Qur’an: Surah Al-Ma’idah (5:110) – Iliteremka takriban mwaka 631 CE
Apokrifa: Infancy Gospel of Thomas (karne ya 2 CE, takriban mwaka 140 CE)

Uzazi wa Bikira Mariamu (Maryam) bila kuguswa na mwanamume
Qur’an: Surah Maryam (19:16-22) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Protoevangelium of James (karne ya 2 CE, takriban mwaka 150 CE)

Yesu kuzungumza akiwa bado mtoto mchanga
Qur’an: Surah Maryam (19:29-30) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Arabic Infancy Gospel (karne ya 6 CE, takriban mwaka 570 CE)
Hadithi ya Mtume Idris (Henoko) kupaa mbinguni
Qur’an: Surah Maryam (19:56-57) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)

Hadithi ya Mtume Nuhu na gharika kuu
Qur’an: Surah Hud (11:36-48) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)

Hadithi ya Mtume Suleiman (Solomon) na majini
Qur’an: Surah An-Naml (27:17-19) – Iliteremka takriban mwaka 616 CE
Apokrifa: Testament of Solomon (karne ya 1-3 CE, takriban mwaka 100-300 CE)

Hadithi ya Kijana wa Maajabu (Ashabul Kahf – Watu wa Pangoni)
Qur’an: Surah Al-Kahf (18:9-26) – Iliteremka takriban mwaka 620 CE
Apokrifa: Seven Sleepers of Ephesus (karne ya 5 CE, takriban mwaka 450 CE)

Kifo cha Nabii Zakariya na namna alivyouawa
Qur’an: Surah Al-An’am (6:85) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
Apokrifa: Protoevangelium of James (karne ya 2 CE, takriban mwaka 150 CE)

Hadithi ya Harut na Marut – Malaika waliokuja duniani kujaribiwa
Qur’an: Surah Al-Baqarah (2:102) – Iliteremka takriban mwaka 623 CE
Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)

Malaika wakimfundisha Nabii Henoko hekima za mbinguni
Qur’an: Surah Maryam (19:56-57) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)

Hadithi ya Dhu’l-Qarnayn (Mtawala wa Mashariki na Magharibi)
Qur’an: Surah Al-Kahf (18:83-98) – Iliteremka takriban mwaka 620 CE
Apokrifa: Alexander Romance (karne ya 3 CE, takriban mwaka 300 CE)

Nabii Abraham (Ibrahim) kuvunjavunja masanamu ya mji wake
Qur’an: Surah Al-Anbiya (21:51-70) – Iliteremka takriban mwaka 622 CE
Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)

Nabii Musa na Samiri – Mchawi aliyewapotosha Waisraeli
Qur’an: Surah Taha (20:85-97) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
Apokrifa: Apocalypse of Moses (karne ya 1 CE, takriban mwaka 50-100 CE)
Nabii Yahya (Yohana Mbatizaji) alivyowekwa wakfu tangu utotoni
Qur’an: Surah Maryam (19:12-15) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Protoevangelium of James (karne ya 2 CE, takriban mwaka 150 CE)

Kifo cha Kaini baada ya kumuua Abeli
Qur’an: Surah Al-Ma’idah (5:27-31) – Iliteremka takriban mwaka 631 CE
Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)

Hadithi ya Adamu na Hawa kuanguka kutoka Peponi
Qur’an: Surah Al-Baqarah (2:30-38) – Iliteremka takriban mwaka 623 CE
Apokrifa: Apocalypse of Moses (karne ya 1 CE, takriban mwaka 50-100 CE)
Nabii Lut na miji ya Sodom na Gomora
Qur’an: Surah Hud (11:77-83) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)

Mikaeli na Shetani wakigombania mwili wa Musa
Qur’an: Haijatajwa moja kwa moja
Apokrifa: Assumption of Moses (karne ya 1 CE, takriban mwaka 100 CE)

Uzima wa Milele kwa Wateule wa Mungu
Qur’an: Surah Al-Waqi’ah (56:10-40) – Iliteremka takriban mwaka 622 CE
Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)
 
Quran haikaenda kinyume na manabii wa zamani ukiona andiko lipo kinyume na Quran ujue hilo limechakachuliwa

Lakini pia Kuna vitabu wajanja wenu waliokuleteeni ukristo wameificha Ili wakupotezeni vizuri

Injili pekee iliyopo Duniani Kwa Sasa ambayo imeandikwa Kwa mkono wa mwanafunzi wa Yesu ambaye ni BARINABA imefichwa Ili nyinyi wagalatia msiisome

Pia Kuna vitabu vya APOKRIFA navyo vimefichwa Ili nyinyi wagalatia msivisome

Kuna Uzi humu wa mgalatia mwenzako unaitwa

Kwanini mtume Muhammad amepoteza watu

Anasema mtume Muhammad amekopy kutoka vitabu vya APOKRIFA

Kwahiyo wewe mkristo ukiona andiko katika Quran lipo tofauti na mafundisho yako tambua kuwa wewe ndio haupo sawa na sio maandiko ya Mungu

Uzi wa mgalatia mwenzako hu hapa

Muhammad ndiye muanzilishi wa dini ya Uislamu, jamaa ameharibu watu kwa dini na kitabu cha kutunga kwa kuiba kutoka vyanzo hasa vya wayahudi na wakristo waasi ,Quran ni mkusanyiko wa vitabu vya Apokrifa kwa 80%
10% ni TAMADUNI za kiarabu, 10% ni mawazo ya Muhammad

Hadithi 20 Zinazopatikana Katika Qur’an na Vitabu vya Apokrifa

Kwanza nitoe utangulizi

Vitabu vya Apokrifa ni maandiko ya kale yanayohusiana na dini ya Kiyahudi na Ukristo, lakini havikujumuishwa katika Biblia rasmi kwa sababu mbalimbali. Wakristo wengi, hasa wa madhehebu ya Kiprotestanti, walivikataa kwa kuwa viliandikwa katika kipindi ambacho Mungu hakuwa akituma manabii (kipindi kinachoitwa Intertestamental Period au Silent Years – zaidi ya miaka 400 kabla ya ujio wa Yesu). Hata hivyo, baadhi ya madhehebu kama Wakatoliki na Waorthodoksi bado wanatambua baadhi ya vitabu vya Apokrifa.

Licha ya kutokubaliwa kama maandiko rasmi ya kiimani, vitabu hivi vina hadithi nyingi zinazofanana na zile zilizomo katika Qur’an, ambayo iliteremshwa karne kadhaa baadaye. Zifuatazo ni hadithi 20 zilizopo katika Qur’an na zinapatikana pia katika vitabu vya Apokrifa, pamoja na mwaka wa kushuka kwa Aya za Qur’an na mwaka wa uandishi wa vitabu vya Apokrifa.

Hizi ni baadhi ya Hadithi ambazo Muhammad alisimuliwa na wayahudi na wakristo wa apokrifa akazicgukua na unazikuta ndani ya Qur’an ,Leo

Yesu (Isa) kutengeneza ndege kwa udongo na kumpa uhai
Qur’an: Surah Al-Ma’idah (5:110) – Iliteremka takriban mwaka 631 CE
Apokrifa: Infancy Gospel of Thomas (karne ya 2 CE, takriban mwaka 140 CE)

Uzazi wa Bikira Mariamu (Maryam) bila kuguswa na mwanamume
Qur’an: Surah Maryam (19:16-22) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Protoevangelium of James (karne ya 2 CE, takriban mwaka 150 CE)

Yesu kuzungumza akiwa bado mtoto mchanga
Qur’an: Surah Maryam (19:29-30) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Arabic Infancy Gospel (karne ya 6 CE, takriban mwaka 570 CE)
Hadithi ya Mtume Idris (Henoko) kupaa mbinguni
Qur’an: Surah Maryam (19:56-57) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)

Hadithi ya Mtume Nuhu na gharika kuu
Qur’an: Surah Hud (11:36-48) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)

Hadithi ya Mtume Suleiman (Solomon) na majini
Qur’an: Surah An-Naml (27:17-19) – Iliteremka takriban mwaka 616 CE
Apokrifa: Testament of Solomon (karne ya 1-3 CE, takriban mwaka 100-300 CE)

Hadithi ya Kijana wa Maajabu (Ashabul Kahf – Watu wa Pangoni)
Qur’an: Surah Al-Kahf (18:9-26) – Iliteremka takriban mwaka 620 CE
Apokrifa: Seven Sleepers of Ephesus (karne ya 5 CE, takriban mwaka 450 CE)

Kifo cha Nabii Zakariya na namna alivyouawa
Qur’an: Surah Al-An’am (6:85) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
Apokrifa: Protoevangelium of James (karne ya 2 CE, takriban mwaka 150 CE)

Hadithi ya Harut na Marut – Malaika waliokuja duniani kujaribiwa
Qur’an: Surah Al-Baqarah (2:102) – Iliteremka takriban mwaka 623 CE
Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)

Malaika wakimfundisha Nabii Henoko hekima za mbinguni
Qur’an: Surah Maryam (19:56-57) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)

Hadithi ya Dhu’l-Qarnayn (Mtawala wa Mashariki na Magharibi)
Qur’an: Surah Al-Kahf (18:83-98) – Iliteremka takriban mwaka 620 CE
Apokrifa: Alexander Romance (karne ya 3 CE, takriban mwaka 300 CE)

Nabii Abraham (Ibrahim) kuvunjavunja masanamu ya mji wake
Qur’an: Surah Al-Anbiya (21:51-70) – Iliteremka takriban mwaka 622 CE
Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)

Nabii Musa na Samiri – Mchawi aliyewapotosha Waisraeli
Qur’an: Surah Taha (20:85-97) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
Apokrifa: Apocalypse of Moses (karne ya 1 CE, takriban mwaka 50-100 CE)
Nabii Yahya (Yohana Mbatizaji) alivyowekwa wakfu tangu utotoni
Qur’an: Surah Maryam (19:12-15) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
Apokrifa: Protoevangelium of James (karne ya 2 CE, takriban mwaka 150 CE)

Kifo cha Kaini baada ya kumuua Abeli
Qur’an: Surah Al-Ma’idah (5:27-31) – Iliteremka takriban mwaka 631 CE
Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)

Hadithi ya Adamu na Hawa kuanguka kutoka Peponi
Qur’an: Surah Al-Baqarah (2:30-38) – Iliteremka takriban mwaka 623 CE
Apokrifa: Apocalypse of Moses (karne ya 1 CE, takriban mwaka 50-100 CE)
Nabii Lut na miji ya Sodom na Gomora
Qur’an: Surah Hud (11:77-83) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)

Mikaeli na Shetani wakigombania mwili wa Musa
Qur’an: Haijatajwa moja kwa moja
Apokrifa: Assumption of Moses (karne ya 1 CE, takriban mwaka 100 CE)

Uzima wa Milele kwa Wateule wa Mungu
Qur’an: Surah Al-Waqi’ah (56:10-40) – Iliteremka takriban mwaka 622 CE
Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)Bona
Mbona uthibitisho wote umeutoa katika Qur-an tu
 
Mbona uthibitisho wote umeutoa katika Qur-an tu
Sijakuelewa maana hapo Kuna nukuu kutoka katika Quran na vitabu vya APOKRIFA

Kwa mfano

Hadithi ya Mtume Suleiman (Solomon) na majini

Qur’an: Surah An-Naml (27:17-19) – Iliteremka takriban mwaka 616 CE

Apokrifa: Testament of Solomon (karne ya 1-3 CE, takriban mwaka 100-300 CE)
 
Maswali yako mbona mepesi sana

Swali la kwanza
Binadamu ndio waliobadilisha baadhi ya Maneno Kwa maslahi Yao lakini pia na wewe amekupa akili za kujua hayo Sasa kama wewe hautaki kutumia akili yako uliyopewa na Mungu Ili kumjua Mungu hilo ni kosa lako

Chizi hatoenda Jahanamu
Watoto waliokufa kabla ya kubalehe hawataenda Jahanamu

Ila wewe mwenye akili timamu Jahanamu inakuhusu

Kwanini wewe ukiona andiko Yesu anasema yeye si lolote ila ametumwa tu Mungu haulifuati

Inamaana waliochakachua Wana akili kuliko wewe

Lakini pia bado Mungu hajakuacha hivi hivi kaleta mtume na kitabu kingine kukumbusha kuwa huko ulipo siko bado hautaki

Yesu alikuwa Muislam
Alifanya ibada ya kumuabudu Mungu mmoja na alikuwa anasujudu anapofanya ibada ya kumuabudu Mungu wake na hayo maandiko yapo ndani ya Bibilia lakini hautaki kuyafuata

Swali la pili
Quran imekuja kuweka mambo sawa na kuwakosoa wale waliopindisha maandiko ya Mungu
Kilichosemwa ndani ya Quran ndicho kilichosemwa na Taurati, Zaburi na Injili za kweli
Alafu hivyo vitabu Taurati, Zaburi na Injili vilisha pita mda wake Sasa hivi ni muda Quran

Yani wewe kusema unaifuata Injili ni sawa na wewe kusema Kwa Sasa raisi wako ni Kikwete badala ya Samia ukisema hivyo wenye akili watakushangaa

Swali la tatu
Umeambiwa ufanye ibada na ukifanya ibada atakulipa mema hakuachi hivi hivi
Ila usipofanya haumpunguzii kitu Wala haumuongezei kitu na Jahanamu utaenda Kwa kukaidi amri zake
Hivyo vitabu vilivyopindishwa nani aliona orijino copy zake au ziko wapi?
 
Ukitaka majibu ya maswali yote uliyouliza wewe isome Quran vizuri mwanzo mwisho utayapata majibu yako yote humo.
Hapa utapata majibu ya juu juu tu na wengi badala ya kusaidia watakashifu.

Quran ndio kitabu cha mwisho kuletwa duniani na Mtume Muhammad SAW ndiye Mtume wa mwisho hakuna tena Mtume mwingine atakayekuja baada yake ndio mana Mwenyezi Mungu amekilinda kisibadilishwe.
Waislamu wanaamini vitabu vyote vinne ila hivyo vingine vimebadilishwa. Ndio mana utaona kuna bible za kila aina na zimetofautiana sana kila mmoja anasema ya kwake ndio sahihi. Ila Quran yote kwa dunia nzima ni moja tu
 
Hivyo vitabu vilivyopindishwa nani aliona orijino copy zake au ziko wapi?

Luka 1:1
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
Luka 1:2
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
Luka 1:3
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,

Alafu huyo Luka historia yake inasema alikuwa mpagani ni majabu mpagani akuandikie kitabu Cha kumjua Mungu

Injili pekee iliyopo Duniani Kwa Sasa ambayo imeandikwa Kwa mkono wa mwanafunzi wa Yesu ni Injili ya Barinaba na imefichwa Ili nyinyi wagalatia msiisome

kamwambie mchungaji wako akupe Injili ya Barinaba uisome

Muislam akisoma Bibilia ndio anajua kuwa neno hili la ukweli na hili la uongo
 
Back
Top Bottom