Swali fikirishi:Kwanini tigo tu baada ya kubadili jina TTCL bando zilishuka bei?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,839
20,281
Swali fikirishi:Kwanini tigo tu baada ya kubadili jina TTCL bando zilishuka bei ghafla.

Siku ile ile tigo wamebadili jina na shareholder wakabadilika kwa baadhi, siku hiyo hiyo TTCL bando zilishuka bei ghafla tu.

Maswali yangu ni kuwa TTCL ilikua inahujumiwa au vipi?

Maana haimake sense hata kidogo kwamba tigo waporomoke tu na kubadili jina na nyie siku hiyo hyo bei zishuke bei kuanzia bufee dk hadi mb?

Kuna kitu sio bure!!!
 
Swali fikirishi:Kwanini tigo tu baada ya kubadili jina TTCL bando zilishuka bei ghafla.

Siku ile ile tigo wamebadili jina na shareholder wakabadilika kwa baadhi, siku hiyo hiyo TTCL bando zilishuka bei ghafla tu.

Maswali yangu ni kuwa TTCL ilikua inahujumiwa au vipi?

Maana haimake sense hata kidogo kwamba tigo waporomoke tu na kubadili jina na nyie siku hiyo hyo bei zishuke bei kuanzia bufee dk hadi mb?

Kuna kitu sio bure!!!
hebu weka bei ya vifurushi vya ttcl tuone
 
Swali fikirishi:Kwanini tigo tu baada ya kubadili jina TTCL bando zilishuka bei ghafla.

Siku ile ile tigo wamebadili jina na shareholder wakabadilika kwa baadhi, siku hiyo hiyo TTCL bando zilishuka bei ghafla tu.

Maswali yangu ni kuwa TTCL ilikua inahujumiwa au vipi?

Maana haimake sense hata kidogo kwamba tigo waporomoke tu na kubadili jina na nyie siku hiyo hyo bei zishuke bei kuanzia bufee dk hadi mb?

Kuna kitu sio bure!!!
Weka bei tuhamie
 
Sasa hivi TTCL bando ya 2gb unapata kwa tsh 500 huku kwa tsh 1500 unapata unlimited data mwezi mzima
 
Back
Top Bottom