Sunday World: Jeshi la Afrika Kusini liliua zaidi ya wapiganaji 600 wa M23

Hadi Sasa watu zaidi ya 900 Wameuwawa.

Sasa hao M23 ilikuaje wakapoteza wapiganaji wengi kiasi hicho?

Yaani wameiteka Goma Kwa gharama hiyo?

Pia kama ni kweli ilikuaje Wanajenga wa S.A na Tanzania,Burundi,Malawi nk wakashindwa kuzuia kutekwa Kwa Goma?

Kuna harufu ya propaganda hapaize ulauWaW
Waulize kwanini wamesitisha Vita hao m23 wakikupa jibu Rudi hapa
 
Wewe unasimuliwa kwenye kijiwe Cha kahawa chenu Mimi nipo uwanja wa mapambano naona kagame anavyowachakaza Hawa wachumba wa sandf,jw na WA burundi
Huwezi kuwa uwanja wa mapambano wewe pimbi. Uko tu sebuleni kwa shemeji yako aliyeoa dada yako. Unaishi kwa hisani na bando la shemeji halafu unakashifu watu wanakupa taarifa stahiki.
 
Huwezi kuwa uwanja wa mapambano wewe pimbi. Uko tu sebuleni kwa shemeji yako aliyeoa dada yako. Unaishi kwa hisani na bando la shemeji halafu unakashifu watu wanakupa taarifa stahiki.
Hasira za nini binti hizo ni propaganda mnazoleta ukweli nni kwamba mmechapika mpaka mmekimbia goma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa vile waasi huteka vitoto mitaani na kuvipa silaha,hiyo idadi inawezekana.

NB:M23 pekee inaweza kuwa na wapiganaji wenye weledi kwa hisani ya PK huko na hii vita ya sasa inahusu makundi mengi ya waasi yaliyoungana.
 
Kwa vile waasi huteka vitoto mitaani na kuvipa silaha,hiyo idadi inawezekana.

NB:M23 pekee inaweza kuwa na wapiganaji wenye weledi kwa hisani ya PK huko na hii vita ya sasa inahusu makundi mengi ya waasi yaliyoungana.
Hahahaha mshachanganyikiwa na vichapo🤣🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 3224846

Kwa mujibu wa gazeti la Sunday World la Afrika Kusini, Wanajeshi wa Afrika Kusini walipambana vikali na kuwaua waasi 600 wa M23 katika mapigano makali ya saa 24 mjini Sake, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi. Wanajeshi wa Afrika Kusini walifuata sheria za kimataifa kwa kuruhusu waasi kuchukua miili ya wenzao walipoinua bendera nyeupe. Katika mapigano hayo, wanajeshi 14 wa Afrika Kusini waliuawa. Rais Cyril Ramaphosa aliwasifu wanajeshi wake kama mashujaa waliokuwa na ujasiri mkubwa na kujitoa kwa dhati kutekeleza majukumu yao barani Afrika.
Kumkoma nyani gladi
 
View attachment 3224846

Kwa mujibu wa gazeti la Sunday World la Afrika Kusini, Wanajeshi wa Afrika Kusini walipambana vikali na kuwaua waasi 600 wa M23 katika mapigano makali ya saa 24 mjini Sake, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Waasi wa M23 walikusanya miili ya wenzao na kuitia moto ili kuficha ushahidi. Wanajeshi wa Afrika Kusini walifuata sheria za kimataifa kwa kuruhusu waasi kuchukua miili ya wenzao walipoinua bendera nyeupe. Katika mapigano hayo, wanajeshi 14 wa Afrika Kusini waliuawa. Rais Cyril Ramaphosa aliwasifu wanajeshi wake kama mashujaa waliokuwa na ujasiri mkubwa na kujitoa kwa dhati kutekeleza majukumu yao barani Afrika.
Kagame ain't seen nuthin yet!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom