GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Naanza kufundisha watu kiswahili sasa katika wana JF mada "Sugu akabidhiwa ofisi isiyo na samani" katika kiswahili hakuna neno samani kuna neno linaitwa Thamani weka kiswahili sawa.
Nawakilisha
Yaani wewe ndio inabidi tukufundishe sasa kiswahili aisee, kwenye kiswahili lipo neno samani (means furnitures) na neno thamani (means value). Haya ni maneno mawili tofauti kabisa hayashabihiani.