AisleHii chai ina chai ndani yake.
Hadi rahaKuna mambo duniani..
Karibu my dearMic u so much dia nimekusoma haa haa
Huyu ulumbi noma haa haa
Meona ee alafu mnavyojua kutulaumu sasa uuuwi hamjui tuDuu wanawake wavumilivu sana..
I hutatupa arosto dia au ipo kule nikajisevia kabisa maana si kwa utamu huuKaribu my dear
Hahaha usijali huku kama kawa kesho wahi seatI hutatupa arosto dia au ipo kule nikajisevia kabisa maana si kwa utamu huu
OKHahaha usijali huku kama kawa kesho wahi seat
Chai tayari ina vumbi la congo. Ukisoma tu, mnara.Aisle
ushamaliza kunywa au nikuletee sukari?!
Poa karibu MpenziMambo mpenzi
Uokote usikuaibisheChai tayari ina vumbi la congo. Ukisoma tu, mnara.
Sukari ya nini.