kwakina itafakari
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 618
- 1,258
Sasa na yeye alikua analia anataka nini? Hawa wanawake wana matatizo sana
Haa haaa haaa,mkuu unanichekesha sana,watu wamekuja kumchukulia maelezo yeye anaangua kilio!!!
Sasa na yeye alikua analia anataka nini? Hawa wanawake wana matatizo sana
Deshi deshi za nini mkuu? Funguka tuMbunge wangu huyo.sishangai sana navosikia haya,kwa mkazi wa Gairo hawezi kushangaa kusikia hayo, kwani huyo DC wa Gairo ndo iliesemekana ni Shem wa.......ambaye ndie alie.....na Shem wake.mpk kukatokea mtafaruku mama akamgomea baba kuambatana nae kwenda kuwaomba wanakijiji uenyekiti wa Kijiji cha (rubeho).sishangai kwanini stone tangawizi kajua khs hizo msg na maagizo aliyoagiza.n iishie hapo.
Kumbe ben bros ndio Scandinavia mkuu? Nilijua jamaa alipotea kwenye ramani.Agent wa Yutong ni Benbros zamani Scandnavia
Kwanza mtalaamu IT ndio kigogo wa jirani wa DSTV. Sio lakushangaa hilo pia mistari mkuu.Wateule wote wa rais coms zate zipo decorded kwenye tis server pale xxxxx
Kila siku wanacho wasiliana vinasomwa na kusikilizwa sometime "live"
Kama wewe ni mtz unayemiliki mali za over 2B upo kundi la hapo juu ila servers zipo kitaa tofauti
Wapinzani wote NGO zinazo kosoa mawakili kwenye kesi nyeti mpo kundi lenu
RiP privacy
Sent using Jamii Forums mobile app
DC GAIRO iko ndugu na Mama 1.
Dah.
Magufuli naye bana...
Ameshaanza kuingilia mpaka mambo binafsi kabisa ya maisha ya watu.
Sms mbovu mana yake nini??
Ni za vitisho??
Kwa nini DC asiende mahakamani??
Kama ni za mtongozo yeye zinamhusu nini??
Si awaache wamalizane wenyewe hata kama huyo mwanamke ni mke wa mtu??
Spika ataita wangapi wanaotongozana??
Sijakuelewa bado mkuu.DC GAIRO iko ndugu na Mama 1.
Baba 1 iko closeeeee na DC Gairo
Ina maana rais naye kumbe ni mdukuzi?!!!Ngoja tuvujishe meseji za jiwe ili na yeye ajipime. Mambo binafsi ya watu unasemaje hadharani? Eti mke wa mtu kwani yy keshawatumia wake za watu marangapi?
Rais Magufuli amesema atalishangaa bunge kama halitamuita mbunge wa Gairo mh Shabiby na kumhoji kwa vitendo vyake vya kumtumia message zisizofaa Mkuu wa wilaya ya Gairo. DC huyo ambaye ni Mrs wa mtu amekuwa haelewani na mbunge kiasi cha mbunge kuanza kumtumia message za hovyo hata nyakati za usiku.
Je, Shabiby na Assad watagongana kamatini.
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!
Labda alikuwa anatupia jicho hapo kama kwa enjo akashangaa kumbe bibu naye anafukuziaHuyu DC wa Gairo ana ukaribu gani na mkulu hadi ajue msg anazotumiana na Mh Mbunge? Kuna mambo yanaleta ukakasi
Na mkono mrefu ingawa tulikuwa tunaambiwa mtu mwenye mkono mrefu ni mwiziSerikali ina macho!
Kwahiyo akiwepo mjinga mmoja wote wajinga?!Ninaposemaga Bongo ni taifa la wajinga , vichaa wapumbavu huwa niko sahihi 100%
Hugo DC hajui mahakama ziko wapi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ubishi wewe Ben bros wanaagiza Yutong,Higer ni yule wa Dar lux ,Zhong Tong ni New Force kuna Dragon hao sijui nani anayaingizaMkuu hata we umechemka Ben Bros wao ni maagent wa Higer sio YUTONG
Sent using Jamii Forums mobile app