Inasikitisha na inaogofya kwa ulimwengu wa kiroho. Tukubalini tu tunaishi nyakati ambazo shetani anafanya kazi wazi wazi na anafanya kazi kwa kasi kuubwa sana, nyakati ambazo mawakala wa shetani wamemwagwa wengi wengi, nyakati ambazo mapepo yanawaingia watu na kuwasababishia kutenda kinyume na kawaida.
I'll pass the ugunduzi debate.
indecent exposure. there's a places in America and Europe where its OK for women to walk topless. apart from the nudists sites of course. (YASSS no more sexualization of boobs, now people will stop making fun of mine)
yes not everything is for everyone. we just need our freedom and your tolerance. nini kuanza kuLable watu kuwa wachawi? kwa huku watu hawacheleweshi tutachomwa kwenye nyumba zetu usiku fasta.
of course i wouldn't start a movement to advocate nudism. i dont think its that serious considering the number of things i could stake.
as I said, I could start/join a club. waarabu wa Pemba tunajuana wenyewe, you uninterested people wouldn't even know!
it will be out of outsiders nose poking that then we'll have to do something to to change things. for bongo that's about 300years from now.
Tunambeep mungu atatupigia
Nilitaka kuuliza hivyo mkuu,..nayy anakuwa uchi au anazingua!??Na uliza huyo bwana Spencer wakati anapiga picha nae anakua uchi au?
Nyie mnaosambaza hizi habari ndo mnaofanya hao wajinga wawe maarufu.mi huyo spencer wala skuwa namjua ila sasa nishamjua na muda si mrefu ntaenda kumgoogle kujua zaidi taarifa zake.chamsingi watu wa sampuli hii ni wakuwadharau na kutowapa air time
Ni ukweli mtupu niliikuta habari kama hii BBC Swahili.
Kwl dunia imevaa sket