Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
mkuu upo wapi? mwenyewe nimepewa order ya kuchukua watu mbutu
Asante Sana Mkuu,unafanya Kazi Njema Chukua Weng Uwezavyo Ili Waweze Kwenda Kupata Kujua Sera Za Mh.Magufuli..Mungu Akubariki Bila Nyie Watu Wa Vijijini Wasingeweza Pata Kuzijua Sera Zetu Za Ccm..Shawish Weng Zaid Wafike