special schools na matokeo yao-Compare!

Dah! inasikitisha mkuu...maana nikikumbuka idadi ya point 3 tulizoziweka Kibaha (mwaka siri yangu), naona kama hawa wanacheza kabisaaa...

mkuu sio elimu imeshuka,,utungaji wa sasa hivi sio content based bali competence,na mitihani ya miaka yetu na sasa hivi ni tofauti,siku hizi vitu viko hot na well made,,
 
mkuu kisimiri ni special school,,kukuhakikishia hilo mwaka jana ilikuwa ya 3 kitaifa na shule bora ya serikali,,pia kuna kijana hapo ana 1.5 kama t.o wa ilboru,,,so dont them for granted

Spesho skul za NECTA sina hata muda wa kuzichukulia for granted kwani hazina uspesho wowote ule.
 
Kwa matokeo haya nasifu some of these special schools wameweza kushindana na za provate maanaa mzumbe iko namba mbili, Ilboru, Tabora Girls, Kibaha si haba. Shida kubwa iko wa shule za O level sijaona hata moja ya Serikali O level, zote 10 ni private tu. Kwa mantiki hiyo hata mtoto wako au wa nduguyo kama atapata hizi the so called special schools za A level mpeleke tu. Shule nyingi za Private A level hawafanyi vizuri sana, zaidi wanaofanya vizuri both O and A levels ni Marian, Feza, St Mary's Mazinde Juu tu,
 
hongera sana my ilboys! well done wadogo zangu. What a great school it was, and still is.

Bila shaka hamkuwa mnafarua ng'ande na kitei pekee, mlikuwa mnavuka the famous mto tololwa kwenda ng'ambo ilee kupiga shule ya ukweli.

dah nakumbukia sana enzi hizooooo!
 
Huo uspesho school uishie huko huko.mkija huku vyuon ni mwendo wa kuliwa vichwa 2.over
 
Kwa matokeo haya nasifu some of these special schools wameweza kushindana na za provate maanaa mzumbe iko namba mbili, Ilboru, Tabora Girls, Kibaha si haba. Shida kubwa iko wa shule za O level sijaona hata moja ya Serikali O level, zote 10 ni private tu. Kwa mantiki hiyo hata mtoto wako au wa nduguyo kama atapata hizi the so called special schools za A level mpeleke tu. Shule nyingi za Private A level hawafanyi vizuri sana, zaidi wanaofanya vizuri both O and A levels ni Marian, Feza, St Mary's Mazinde Juu tu,

Mie nashangaa private kuwa hot ilhali zilikuwa ni kwa ajili ya failures.
 
Mie nashangaa private kuwa hot ilhali zilikuwa ni kwa ajili ya failures.

hiyo ilikuwa enzi za nyerere! Kipindi hiki cha JK hela za govt school zinaingizwa mfukoni na wahuni wachache wakati jk yeye anapaa angani daily!
Waziri wa elimu mwenyewe kafoji vyeti!
 
hongera sana my ilboys! well done wadogo zangu. What a great school it was, and still is.

Bila shaka hamkuwa mnafarua ng'ande na kitei pekee, mlikuwa mnavuka the famous mto tololwa kwenda ng'ambo ilee kupiga shule ya ukweli.

dah nakumbukia sana enzi hizooooo!

Lesser than 2 years nilikua pale. Mambo yamezidi kua worse tofauti na zamani; walimu wa wizara wanaotumwa kufundisha A level, wanakimbilia O level (incompetent teachers). Migogoro ya kiuongozi pia. So, kwa matokeo haya, ni ushindi mkuu ambao haukutegemewa. Hizi shule zina potential students, kama mazingira yangekua 'special' tungeendelea kuvuna mazao bora sana. Zirudi enzi za scholarship Harvard.

tragedy of the commons
 
Dah! inasikitisha mkuu...maana nikikumbuka idadi ya point 3 tulizoziweka Kibaha (mwaka siri yangu), naona kama hawa wanacheza kabisaaa...

Duh kumbe mkuu watu8 kumbe umesoma pia kibaha..shule yangu pia iyo enzi zetu ilikuwa moto
 
Last edited by a moderator:
Kwa matokeo haya nasifu some of these special schools wameweza kushindana na za provate maanaa mzumbe iko namba mbili, Ilboru, Tabora Girls, Kibaha si haba. Shida kubwa iko wa shule za O level sijaona hata moja ya Serikali O level, zote 10 ni private tu. Kwa mantiki hiyo hata mtoto wako au wa nduguyo kama atapata hizi the so called special schools za A level mpeleke tu. Shule nyingi za Private A level hawafanyi vizuri sana, zaidi wanaofanya vizuri both O and A levels ni Marian, Feza, St Mary's Mazinde Juu tu,

Mkuu ukitazama kianzia nafasi ya 11 mpaka 30....Asilimia 90% ya shule hizo ni private schools..
 
Back
Top Bottom