Dr isaya febu
Member
- Jan 17, 2023
- 25
- 219
Ikiwa una changamoto ya upungufu wa damu mwilini zingatia mambo yafuatayo.
1) Usitumie Kahawa, chai wakati wa kula chakula au kunywa dawa za kuongeza damu kwa sababu kahawa/chai huzuia ufyonzwaji (absorption) wa madini chuma kuingia ndani ya mwili.
2) Badala yake tumia vyakula vyenye vitamin C kama vile chungwa, limao , chenza kwa sababu husaidia mwili kufyonza (absorb) madini chuma ya kwa urahisi.
Kumbuka:
Unaweza ukawa na ulaji mzuri wa vyakula vyenye madini ya chuma, lakini kwa sababu ya utumiaji wa kahawa/chai madini ya chuma yakashindwa kufyonzwa vyema tumboni, vilevile upungufu wa Vitamin C ukadhoofisha ufyonzwaji wa madini ya chuma mwilini.
1) Usitumie Kahawa, chai wakati wa kula chakula au kunywa dawa za kuongeza damu kwa sababu kahawa/chai huzuia ufyonzwaji (absorption) wa madini chuma kuingia ndani ya mwili.
2) Badala yake tumia vyakula vyenye vitamin C kama vile chungwa, limao , chenza kwa sababu husaidia mwili kufyonza (absorb) madini chuma ya kwa urahisi.
Kumbuka:
Unaweza ukawa na ulaji mzuri wa vyakula vyenye madini ya chuma, lakini kwa sababu ya utumiaji wa kahawa/chai madini ya chuma yakashindwa kufyonzwa vyema tumboni, vilevile upungufu wa Vitamin C ukadhoofisha ufyonzwaji wa madini ya chuma mwilini.