AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,101
Asha, please define "muda mrefu"
I have completely forgotten.... enways Bak ngoja nikumbuke nilimaanisha nini....
Asha, please define "muda mrefu"
Panga umeongea kama vile waendao huko wote wapo single alafu hawajafanya mda mrefu...
ound:Haya banaa
I have completely forgotten.... enways Bak ngoja nikumbuke nilimaanisha nini....
mi nshaibiwa trouser kaumba morogoro ila sa hivi hawawezi mi mwenyewe nina mastratergy ya kufa mtu
Rule na 1. Usikubali changu akachagua guest wewe ndo chagua muende wapi
Rile na 2. Kama ni overnite hakikisha mlango umefungwa na asijue funguo umeficha wapi safe place ka self container ni kwenye tank la flushing water
Rule na 3. Ka una vitu vya thamani viache safe place au conter ya guest
Rule na 4. Usilewe sana kupita kiasi utaibiwa incase na wewe ukitaka kumuingiza mjini mara nyingi hela zao huweka ktk blazia au kwenye pindo za skinitight
Ni hayo tu anyother time nitwapa maujanja zaidi
Watu wengine wako double lakini hawana tofauti na single, kutokana na treatment wanayopata kutoka kwa spouse wao.
Hahahahaha lol! ukiweza kukumbuka usisahau kutujuza Mzima wewe!?
kiranja mkuu , pole muzee but where this place is...? r u in kenya or tanzania. some other time, kama unakumbwa na hali hii acha vitu vyako na hela ndani ya gariiiiiiiii nenda wewe , pesa ya malipo na mkonga tu.