Siri Nzito: TPA (Bandari) walivyowazidi kete Magufuli, Majaliwa

__800x800_5384256e51e66.jpg


Nadhani nyote mnajua kuwa Rwanda, Zambia, DRCongo, na Uganda walikuwa ni watumizi wakubwa wa hii bandari yetu lakini sasa wamegoma na kutokana na ukithiri wa WIZI, UJAMBAZI, RUSHWA, hatutaki kutumia teknolojia ya kisasa, Kodi zisizoeleweka ambazo zinabadilika kila masaa 24 etc.

Lakini pamoja na Rais Magufuli na Kassim Majaliwa kujitahidi lakini ni ngumu sana wao kuweza kufanya chochote kwani Bandari (si ya Dar tuu bali bandari zote za Tanzania) zimekuwa kama vile Cancer na si jipu tena.

Hali hii inatokana na ukweli kuwa kuna wanasiasa waliopo madarakani na wengine wamestaafu kuwa katika kundi linaloitwa THE UNTOUCHABLES kutumia Uongozi na Menejimenti na bodi ya Bandari kukwamisha kwa makusudi jitihada za kuweka mambo wazi kwa njia ya teknolojia.

Lakini hii cabal ya mafisadi (bodi, menejimenti na marafiki zao ambao ni wanasiasa) waliweza kumzidi kete mpaka Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) na ndio maana hata ripoti ya Bandari hamtoiona kwenye website ya CAG!

Lakini haikuishia hapo, special audit ambayo ilitakiwa ifanywe na KPMG nayo ilitupwa pembeni kwani ingeonyesha jinsi gani wafanyakazi wa TPA na hususan Dar es salaam wanavyo manipulate system kuanzia kwenye mageti mpaka kwenye mtandao wa kompyuta (AUTOMATED TERMINAL SYSTEMS (ATM) ambao wanaweza kubadilisha taarifa ambazo hata zile alizonazo Waziri Mkuu Majaliwa zilikuwa ni punje tuu ya gunia la ufisadi unaendelea hapo Bandarini.

Kana kwamba hii haitoshi, hii ATM ilikuwa imewekwa kwa ajili ya kurahisisha mambo kama vile a ship planning, vessel, traffic management, billing and tracking of cargo na hasa ma kontena...

Lakini taarifa ambazo hata TISS (Usalama wa Taifa) walikuwa nazo ni kuwa Bandari ya Dar haina Intergrated Security Systems (ISS) na iliyokuwepo nayo ilichakachuliwa na hili yote ni kurahisisha wizi na ufisafi uliokithiri ambao umebarikiwa na Menejimenti na Bodi ya Bandari. Usalama kama kawaida yao wao walifanya kazi yao kwa weledi uliotukuka lakini ripoti ilipofika kwa vyombo vya juu kama vile Wizara na Polisi hakuna kilichofanywa kwani maslahi ya watu wengi yangeguswa.

Hawa jamaa hawana sana tofauti na Mamlaka nyingine inayoongoza kwa ufisadi Tanzania kwa jina la Tanzania Revenue Authority (TRA), namba mbili ni Wizara ya Ardhi na hawa TPA ni namba tatu. Sasa ukitazama kama zilivyo system za TRA, Wizara ya Ardhi na hawa jamaa wa Bandari kwa kusudi kabisa kila mara majibu yao ni yale yale, system imefeli lakini ukichunguza ni kuwa kuna wajanja wameamua kuibadilisha ili iwe rahisi zaidi kuifanyia manipulation, distortion and breakdown na hii inapelekea Serikali kukosa mapato na pia utaona kabisa kuwa data hizo data zilizomo hazina integrity yoyote ile.

Kwa kifupi ni kuwa mtu yoyote yule anaweza kuingia manually na kubadilisha staus ya cargo kisha unaanza kupigwa kalenda wakai huohuo unapigwa faini ya storage na mengineyo.

Lakini pia shipping lines nao kwa kujua jinsi gani TPA walivyo mafisadi na wenyewe hawajali kuwapatia TPA container loading list ili wafanye reconciliation ya list ya kontena kabla ya billing.

Na kana kwamba hiyo haitoshi, saa zingine visingizio pale bandari vinavyotumika kupiga dili hizi ni umeme kukatika au kuambiwa kuwa mtandao au mfumo wa ki eletroniki umefeli hivyo mambo itabidi yafanywe ki manual manual hivyo watu wanapita tuu kwenye mageti (kote huko watu wanakuwa wamewekwa kupitisha na kugonga mihuri tuuu makaratasi kwa maneno mengine mizigo inapitishwa bila kulipwa ushuru na hakuna anayejali kuweka hizi rekodi kwenye mfumo wa ki elektroniki.

Zaidi ya hayo ni kuwa X-Ray machines zao hazifanyi kazi, Kamera zao hazifanyi kazi, metal detectors nazo hawana na zilizopo zilichakachuliwa na data zote zilizomo kwenye ISS nayo ni feki au zimechakachuliwa, wafanyakazi hawana elimu kwani hawafanyiwi training yoyote ile ya maana na walio na elimu nao washakuwa compromised.

Mimi nashauri TPA iwekwe chini ya emergency taskforce kama enzi zile jiji lilipokuwa chini ya KEENJA hata kwa mwaka mzima, na kama ikishindikana bora tuangalie namna ya kubinafsisha na ubinafsishaji uwe wa wazi, tija, uwe na maslahi kwa taifa, bidding process zote ziwe wazi na kila kitu kiwekwe wazi kwenye mtandao wa Taifa.

Kwa sasa narudi tena kulala nikiamka nitaendelea kuwapa zaidi.

Eee mola... kwani sisi tulikukosea nini na wapi tuliteleza Mungu wetu wa Mbinguni... Kwanini mtu unataka madaraka kwa nguvu then hujui cha kufanya.. Ni nini hiki

Tena unaweza ukaulizwa kwanini nchi yako maskini unasema sijui... Hujui.. Madaraka unataka ya nini.. Uongozi wa nchi si sawa na kuchunga mbuzi... Ni wito wa juu kabisa na kitu cha mwisho kwa mtu mwerevu kukifikiria.. Pale Ikulu wanatakiwa watu wenye personal mission na vision.

Si ni Singapore inalishwa na kujengwa na Bandari tu Jamani...... Kwani Rwanda wana Resources gani hadi wapo juu ivo.

Mheshimiwa Rais John Joseph Pombe Magufuli namuomba Akubariki na Akulinde Mabaya yaliyokuwa au yatakayokuwa yakupate yarudi direct kwa wale waliofanya nchi hii pango la wezi...

Uwe na afya njema na MIMI BINAFSI NI OPPOSITION ILA nakubariki uwe DICTATOR. Please changanya element za Hitler+Ghadafi+Lee Kuan Yew+Kagame= SUPER MAGUFULI.

Kaza uso hasa Rais wetu. Hapo ni Bandari tu.... Je?

1. Tanapa

2. Migodini kule

3. Misitu

4. Ukusanyaji mapato kwenye halimashauri zetu.

5. Gesi iliuzwaje na tunafaidikaje.

6. Na kadhalika na kadhalika na kadhalika.
 
Hizi taasisi zinahitaji OVERHAUL ya management nzima. Hapo ndo pa kuanzia, kisha vibaraka wote kutolewa mdogo mdogo na sheria kali ziwekwe za wahujumu uchumi, mambo ya HUMAN RIGHTS yawekwe kando kwanza.
Hii too much, na kiukweli TRA, TPA, ardhi huko ndo kwenye mauozo namba moja.
 
Kuna jamaa ni mlinzi hapo TPA, anauza mafuta huku mtaani mpaka unashangaa.....tena jana tu nimeona vijana wake wanauzia watu mafuta ya wizi, sisi majirani hatuuzii nafikiri anaogopa mambo yatawekwa hadharani.....ana mahekalu na magari mpaka unajiuliza kama ulinzi wa Bandari unalipa hivi sasa ukiwa ofisa sijui inakuwaje......Magufuli kaza buti manake kuna majipu, cancer na vijipu......Mungu yuko nawe.....
 
JK alishatufikisha JEHANAM Tanzania, kila sehemu ukigusa imeoozaaaaaaa.... Magufuli kasema waziii haya.... sijui JK alitaka kutufanya nn nchi hii... hadi wanawake wenye makalio ukuu wa wilaya wanapewa bure bure tu... JK adhabu yake ni kwa Mungu mbinguni tu...

With no doubts, Magufuli anajua anapambana na CCM, hasa uongozi uliopita, wa JK, am sure ndio maana anasema TUMUOMBEE... sbb JK alisha maliza nchi hii...
 
__800x800_5384256e51e66.jpg


Nadhani nyote mnajua kuwa Rwanda, Zambia, DRCongo, na Uganda walikuwa ni watumizi wakubwa wa hii bandari yetu lakini sasa wamegoma na kutokana na ukithiri wa WIZI, UJAMBAZI, RUSHWA, hatutaki kutumia teknolojia ya kisasa, Kodi zisizoeleweka ambazo zinabadilika kila masaa 24 etc.

Lakini pamoja na Rais Magufuli na Kassim Majaliwa kujitahidi lakini ni ngumu sana wao kuweza kufanya chochote kwani Bandari (si ya Dar tuu bali bandari zote za Tanzania) zimekuwa kama vile Cancer na si jipu tena.

Hali hii inatokana na ukweli kuwa kuna wanasiasa waliopo madarakani na wengine wamestaafu kuwa katika kundi linaloitwa THE UNTOUCHABLES kutumia Uongozi na Menejimenti na bodi ya Bandari kukwamisha kwa makusudi jitihada za kuweka mambo wazi kwa njia ya teknolojia.

Lakini hii cabal ya mafisadi (bodi, menejimenti na marafiki zao ambao ni wanasiasa) waliweza kumzidi kete mpaka Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) na ndio maana hata ripoti ya Bandari hamtoiona kwenye website ya CAG!

Lakini haikuishia hapo, special audit ambayo ilitakiwa ifanywe na KPMG nayo ilitupwa pembeni kwani ingeonyesha jinsi gani wafanyakazi wa TPA na hususan Dar es salaam wanavyo manipulate system kuanzia kwenye mageti mpaka kwenye mtandao wa kompyuta (AUTOMATED TERMINAL SYSTEMS (ATM) ambao wanaweza kubadilisha taarifa ambazo hata zile alizonazo Waziri Mkuu Majaliwa zilikuwa ni punje tuu ya gunia la ufisadi unaendelea hapo Bandarini.

Kana kwamba hii haitoshi, hii ATM ilikuwa imewekwa kwa ajili ya kurahisisha mambo kama vile a ship planning, vessel, traffic management, billing and tracking of cargo na hasa ma kontena...

Lakini taarifa ambazo hata TISS (Usalama wa Taifa) walikuwa nazo ni kuwa Bandari ya Dar haina Intergrated Security Systems (ISS) na iliyokuwepo nayo ilichakachuliwa na hili yote ni kurahisisha wizi na ufisafi uliokithiri ambao umebarikiwa na Menejimenti na Bodi ya Bandari. Usalama kama kawaida yao wao walifanya kazi yao kwa weledi uliotukuka lakini ripoti ilipofika kwa vyombo vya juu kama vile Wizara na Polisi hakuna kilichofanywa kwani maslahi ya watu wengi yangeguswa.

Hawa jamaa hawana sana tofauti na Mamlaka nyingine inayoongoza kwa ufisadi Tanzania kwa jina la Tanzania Revenue Authority (TRA), namba mbili ni Wizara ya Ardhi na hawa TPA ni namba tatu. Sasa ukitazama kama zilivyo system za TRA, Wizara ya Ardhi na hawa jamaa wa Bandari kwa kusudi kabisa kila mara majibu yao ni yale yale, system imefeli lakini ukichunguza ni kuwa kuna wajanja wameamua kuibadilisha ili iwe rahisi zaidi kuifanyia manipulation, distortion and breakdown na hii inapelekea Serikali kukosa mapato na pia utaona kabisa kuwa data hizo data zilizomo hazina integrity yoyote ile.

Kwa kifupi ni kuwa mtu yoyote yule anaweza kuingia manually na kubadilisha staus ya cargo kisha unaanza kupigwa kalenda wakai huohuo unapigwa faini ya storage na mengineyo.

Lakini pia shipping lines nao kwa kujua jinsi gani TPA walivyo mafisadi na wenyewe hawajali kuwapatia TPA container loading list ili wafanye reconciliation ya list ya kontena kabla ya billing.

Na kana kwamba hiyo haitoshi, saa zingine visingizio pale bandari vinavyotumika kupiga dili hizi ni umeme kukatika au kuambiwa kuwa mtandao au mfumo wa ki eletroniki umefeli hivyo mambo itabidi yafanywe ki manual manual hivyo watu wanapita tuu kwenye mageti (kote huko watu wanakuwa wamewekwa kupitisha na kugonga mihuri tuuu makaratasi kwa maneno mengine mizigo inapitishwa bila kulipwa ushuru na hakuna anayejali kuweka hizi rekodi kwenye mfumo wa ki elektroniki.

Zaidi ya hayo ni kuwa X-Ray machines zao hazifanyi kazi, Kamera zao hazifanyi kazi, metal detectors nazo hawana na zilizopo zilichakachuliwa na data zote zilizomo kwenye ISS nayo ni feki au zimechakachuliwa, wafanyakazi hawana elimu kwani hawafanyiwi training yoyote ile ya maana na walio na elimu nao washakuwa compromised.

Mimi nashauri TPA iwekwe chini ya emergency taskforce kama enzi zile jiji lilipokuwa chini ya KEENJA hata kwa mwaka mzima, na kama ikishindikana bora tuangalie namna ya kubinafsisha na ubinafsishaji uwe wa wazi, tija, uwe na maslahi kwa taifa, bidding process zote ziwe wazi na kila kitu kiwekwe wazi kwenye mtandao wa Taifa.

Kwa sasa narudi tena kulala nikiamka nitaendelea kuwapa zaidi.

Asante sana HNIC. Wahusika wameshasikia juu ya kansa hii. Najua wapenda maendeleo na wazalendo wa Taifa hili wataushinda uovu wote.
 
Kikwete alikuta uozo usiomithilika Tanzania nzima na si bandarini tu.

Kaweka miundombinu kisayansi kabisa na alipoondoka kawawachia manager mzuri kabisa wa kuhakikisha kazi zinafanyika.

Ni punguani tu asiyeelewa hayo.
Duh! Nilikuwa nafahamu kuwa unajitoa akili kwa ajili ya kuitetea CCM na Kikwete na jamaa yenu! Ila sikujua kama ni kwa kiwango hicho. Yaaani Kikwete ambaye hata Magufuli anafahamu kuwa ameiharibu nchi wewe unadai kaisaidia Tanzania?
 
Kweli tumwombee Rais wetu aweze kutokomeza haya majipu maana kweli yalishakuwa majipu sugu kha!
 
Ubinafsishaji no, wala sishauri hilo. Tumeshajionea madhara yaliyotokea kutokana na hii sera ya ubinafishaji hivyo nisingependa hilo kosa lijirudie tena. Lakini pia ni kosa kubwa serikali kubinfsisha bandari ambayo ni chanzo kikubwa cha mapato.

Mimi napendekeza Rais Magufuli alitumie jeshi kusafisha na kuweka sawa shughuli za bandari ili bandarini pawe na discipline. Otherwise itakuwa ngumu sana kuisafisha na kuwafanya watu waweze kufuata sheria na taratibu za bandarini.
 
__800x800_5384256e51e66.jpg


Nadhani nyote mnajua kuwa Rwanda, Zambia, DRCongo, na Uganda walikuwa ni watumizi wakubwa wa hii bandari yetu lakini sasa wamegoma na kutokana na ukithiri wa WIZI, UJAMBAZI, RUSHWA, hatutaki kutumia teknolojia ya kisasa, Kodi zisizoeleweka ambazo zinabadilika kila masaa 24 etc.

Lakini pamoja na Rais Magufuli na Kassim Majaliwa kujitahidi lakini ni ngumu sana wao kuweza kufanya chochote kwani Bandari (si ya Dar tuu bali bandari zote za Tanzania) zimekuwa kama vile Cancer na si jipu tena.

Hali hii inatokana na ukweli kuwa kuna wanasiasa waliopo madarakani na wengine wamestaafu kuwa katika kundi linaloitwa THE UNTOUCHABLES kutumia Uongozi na Menejimenti na bodi ya Bandari kukwamisha kwa makusudi jitihada za kuweka mambo wazi kwa njia ya teknolojia.

Lakini hii cabal ya mafisadi (bodi, menejimenti na marafiki zao ambao ni wanasiasa) waliweza kumzidi kete mpaka Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) na ndio maana hata ripoti ya Bandari hamtoiona kwenye website ya CAG!

Lakini haikuishia hapo, special audit ambayo ilitakiwa ifanywe na KPMG nayo ilitupwa pembeni kwani ingeonyesha jinsi gani wafanyakazi wa TPA na hususan Dar es salaam wanavyo manipulate system kuanzia kwenye mageti mpaka kwenye mtandao wa kompyuta (AUTOMATED TERMINAL SYSTEMS (ATM) ambao wanaweza kubadilisha taarifa ambazo hata zile alizonazo Waziri Mkuu Majaliwa zilikuwa ni punje tuu ya gunia la ufisadi unaendelea hapo Bandarini.

Kana kwamba hii haitoshi, hii ATM ilikuwa imewekwa kwa ajili ya kurahisisha mambo kama vile a ship planning, vessel, traffic management, billing and tracking of cargo na hasa ma kontena...

Lakini taarifa ambazo hata TISS (Usalama wa Taifa) walikuwa nazo ni kuwa Bandari ya Dar haina Intergrated Security Systems (ISS) na iliyokuwepo nayo ilichakachuliwa na hili yote ni kurahisisha wizi na ufisafi uliokithiri ambao umebarikiwa na Menejimenti na Bodi ya Bandari. Usalama kama kawaida yao wao walifanya kazi yao kwa weledi uliotukuka lakini ripoti ilipofika kwa vyombo vya juu kama vile Wizara na Polisi hakuna kilichofanywa kwani maslahi ya watu wengi yangeguswa.

Hawa jamaa hawana sana tofauti na Mamlaka nyingine inayoongoza kwa ufisadi Tanzania kwa jina la Tanzania Revenue Authority (TRA), namba mbili ni Wizara ya Ardhi na hawa TPA ni namba tatu. Sasa ukitazama kama zilivyo system za TRA, Wizara ya Ardhi na hawa jamaa wa Bandari kwa kusudi kabisa kila mara majibu yao ni yale yale, system imefeli lakini ukichunguza ni kuwa kuna wajanja wameamua kuibadilisha ili iwe rahisi zaidi kuifanyia manipulation, distortion and breakdown na hii inapelekea Serikali kukosa mapato na pia utaona kabisa kuwa data hizo data zilizomo hazina integrity yoyote ile.

Kwa kifupi ni kuwa mtu yoyote yule anaweza kuingia manually na kubadilisha staus ya cargo kisha unaanza kupigwa kalenda wakai huohuo unapigwa faini ya storage na mengineyo.

Lakini pia shipping lines nao kwa kujua jinsi gani TPA walivyo mafisadi na wenyewe hawajali kuwapatia TPA container loading list ili wafanye reconciliation ya list ya kontena kabla ya billing.

Na kana kwamba hiyo haitoshi, saa zingine visingizio pale bandari vinavyotumika kupiga dili hizi ni umeme kukatika au kuambiwa kuwa mtandao au mfumo wa ki eletroniki umefeli hivyo mambo itabidi yafanywe ki manual manual hivyo watu wanapita tuu kwenye mageti (kote huko watu wanakuwa wamewekwa kupitisha na kugonga mihuri tuuu makaratasi kwa maneno mengine mizigo inapitishwa bila kulipwa ushuru na hakuna anayejali kuweka hizi rekodi kwenye mfumo wa ki elektroniki.

Zaidi ya hayo ni kuwa X-Ray machines zao hazifanyi kazi, Kamera zao hazifanyi kazi, metal detectors nazo hawana na zilizopo zilichakachuliwa na data zote zilizomo kwenye ISS nayo ni feki au zimechakachuliwa, wafanyakazi hawana elimu kwani hawafanyiwi training yoyote ile ya maana na walio na elimu nao washakuwa compromised.

Mimi nashauri TPA iwekwe chini ya emergency taskforce kama enzi zile jiji lilipokuwa chini ya KEENJA hata kwa mwaka mzima, na kama ikishindikana bora tuangalie namna ya kubinafsisha na ubinafsishaji uwe wa wazi, tija, uwe na maslahi kwa taifa, bidding process zote ziwe wazi na kila kitu kiwekwe wazi kwenye mtandao wa Taifa.

Kwa sasa narudi tena kulala nikiamka nitaendelea kuwapa zaidi.
Nimependa ulivyo present hoja yako. Keep up
 
Kikwete alikuta uozo usiomithilika Tanzania nzima na si bandarini tu.

Kaweka miundombinu kisayansi kabisa na alipoondoka kawawachia manager mzuri kabisa wa kuhakikisha kazi zinafanyika.

Ni punguani tu asiyeelewa hayo.
Nilikuwa nasubiri comment yako kwa hamu sana maana wewe na huyu JK sijui alikupa nini?subirini kiama chenu kipo njiani ninyi wote wa msoga mlifanya nchi yetu shamba la bibi
 
Umeeleweka mkuu.... TISS nao wafanye kazi maana kila mahali wanatajwa..... hawa wanatakiwa kuwa invisible na kama walicho kiona hakikufanyiwa kazi waende kwa Magu moja kwa moja..... siku hizi TISS sio invisible tena kila mtu anawajua.....
 
Jinsi ya kutumbua majipu? Pole zako jamii inamuombea salama.
Ni Zaidi ya kutumbua majipu. Naunga mkono vita dhidi ya Rushwa, ila Zaidi ningefurahi kuona wahusika wanachukuliwa Hatua stahiki na si kusimamishwa Kazi, mfano Uchina.
 
Kwenye awamu zilizopita watu kama HNIC walingo'lewa kucha kwa uzalendo wao wa kuweka mambo hadharani na kuelezea kinagaubaga kila kibovu kilichoendelea, wengine waliwekwa ndani na hata kubambikiziwa kesi bandia ilimradi tu waachane na utetezi wao, na wengine hadi kuuawa kabisa maskini wa MUNGU. Sasa leo kama hii Serikali ya JPM itaona kua inafaa basi isiipuuzie taarifa kama hii kwa maana ina bonge la tija kwa Taifa. Wako watanzania ambao ni wazalendo wazuuuri sana ila hawapati nafasi tu ndani ya nchi hii. Chonde chonde Magu na hizi taarifa, tunaomba mzitilie maanani na kuzifanyia kazi kwa maana ni za kweli na ziko wazi. Mungu ibariki Tanzania tusirudi tulikotokan Amina.
 
Wapo watu ambao hawataki kumuona rais akiongea kwa kutumia lugha za ukali na ubabe. Nchi hii imeoza, anatakiwa rais mbabe, mtanzania ukimchekea sana anafanya mambo ya kipuuzi na hawezi kukuheshimu. Niliwahi kushuhudia pale wizara ya ardhi bwana mdogo mmoja anamjibu hovyo bibi anayeweza kumzaa mama yake, tena alikuwa akiongea bila hata ya kumtazama mtu anayemtolea lugha chafu!.

Madudu ni mengi sana, rais asiwacheke watu hata kidogo, watampotezea lengo, yeye na wasaidizi wake. Wazembe sio wa kuwachekea hata kidogo. JK aliwachekea, huu usiendelee kuwa muda wa kuchekeana.
 
Back
Top Bottom