Sipendi kuambiwa "Oya Vepe?" Ni ujumbe gani ukiuona tu, unajua unaye-chat naye hana akili?

for educational purposes and enjoyment ... Heb tutiririke jumbe ambazo kwako wewe huwa ni za kifala as per your perceptions.

Tukiziona tujirekebishe ili tusionekane mazutwa kwa watu.

Mimi mtu akinisalimia tu "VEPE .. " basi kanikosa ... Simjib text Hadi kesho . Akirudia Tena bas naachana nae.
Ukienda dukani au sehemu ya huduma unakutana na ''karibu bosi''. Hili silipendi kabisa, na wamelikariri wabongo wengi ili kuficha ''ujanja ujanja wa kupiga''. Kwangu mimi ni kama anasema ''karibu bwege''. Nitafurahi kusikia ''karibu mteja''
 
Nikiona mtu amenitimia sms yenye maneno kama uyo badala ya huyo, amna badala ya hamna, ataki badala ya hataki, ajaona badala ya hajaona na upumbavu mwingine unaofanana na huo siwezi kujibu hiyo sms maana nahisi kama nachati na fal,a.

Kama ndiyo ujana hata mimi ni kijana ila sina upumbavu wa kuandika mashudu kama haya.
 
Nikiona mtu amenitimia sms yenye maneno kama uyo badala ya huyo, amna badala ya hamna, ataki badala ya hataki, ajaona badala ya hajaona na upumbavu mwingine unaofanana na huo siwezi kujibu hiyo sms maana nahisi kama nachati na fal,a.

Kama ndiyo ujana hata mimi ni kijana ila sina upumbavu wa kuandika mashudu kama haya.
Ex wangu niliweza kumkamata kwa mambo mengi kwa sababu ya elimu yake ya kuunga-unga na uandishi mbovu. Akinitumia meseji ambayo haina makosa ya kuandika maneno kama ''fanya maalifa'' (fanya maarifa), ''magali yamekuwa shida leo'', najua kabisa kuna mtu mwingine anaandika hizo meseji.
 
Gentleman,
ugumu wa maisha hujenga sumu ya chuki binafsi na hasira ya kiwango cha juu sana ndani ya mioyo ya watu,

na matokeo yake kitu kidogo tu huamsha hasira na ukali kupindukia utadhani simba aliejeruhiwa aise, dah!

salamu haigombwi my friends, ladies and gentlemen na Lahaja katika jamii au urika fulani hakwepeki daima 🐒
 
This makes me sick every time some one sends this sort of a text kwakweli ... Ila hua namchukulia tu... As bas niliahid kua ntambumilia. 🙏😁🙏
Sipendi mtu anaandika kiswanglish
Andika lugha moja tunajua umesoma acha ushamba na usela mavi

Viwanawake vinajiita slay queen ndiyo vitabia hiyo hata kuongea vimebana pua kama dunia inanuka
 
Mara ya kwanza kwenda Arusha, kuna mtu alinisalimia ( ni gani chalii angu) nilihisi roho kutoka aisee tulizichapa sana.
Na kuna zile salamu badala mtu akuite jina anatanguliza tusi utasikia we maku vp?
Kama hujazoea unaeza pigana na kila mtu
 
Hello babe, nikuambie kitu....
If comes from wife it is ok; tofauti na hapo ukijibu in a positive way kuna kitu kizito kitafuata - kitakujeruhi vibaya.

Otherwise, kwa usalama wako be a bit harsh right from the beginning na utakuwa umekimbia majaribu kama Yusufu alivyokimbia jaribu zito la mke wa Farao.
 
Jana nachat na binti mmoja hivi:
Mimi: za shuleni mdogowangu
Yeye: gd2
Mimi: okay pasaka utakuja nyumbani
Yeye: Yh j u
Mimi: sitakuja huko
Yeye: y
Mimi: z
Yeye: aya bhana kama hutaki kuniambia
Mimi: we fala nini me naandika unajibu short
Yeye: bas nisamehe sirudii kaka
 
Back
Top Bottom