Sinema imeisha

003275adb62b6616889f177dc0b02210.jpg
kinachosikitisha ni namna ambavyo hakuna aliyeelewa namna msanii alivyotumia sanaa yake kufikisha ujumbe,
picha inaonyesha watu wanaingilia sehemu ya kutokea ila naona humu kila mtu anajadili muvi kuisha
 
hahahahaahahahaaaaa full ma movie tupo na directer wetu wa ukweli mr bear padlock na sterling wetu ma(MCHUKUANAULI KATIKA DALADALA)
HII MOVIE YA MASHOGA KABLA HAIATOKA ISHAAANZA KUKATALIWA ila nashkuru mungu wapo creative ni wa ukwelimda si mrefu watakuja na nyingine inayobamba maaa iletumbua majipu mara watu hewa mara nini so sad
 
Back
Top Bottom