Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,519
- 3,301
Naaaaaaammmm! Wapenzi na wafuatiliaji wa simulizi za mtunzi wako hodari mahiri kutokea nchi ya mbogoland na sie mwingne ni Edgar Mbogo, baada ya ukimya wa muda mrefu sasa tumerejea tena na kigongo kitaaaaaaamuuuu cha kusisimua kitachokujia hapa hapa Jamii Forums, kina kwenda kwa jina laaaaaa (TEMBELE LA UWANI) ni kwanini la uwaniiiiii? Baki na mimi msimuliaji wako Abou Shaymaa mwanzo mwishooooo.
Naaam simulizi yetu inaanzia huko manispaa ya songea mkoa wa ruvuma huko mnamo mwaka 1997 twende pamoja tukiwa na Mmea Jr moneytalk Firdaus9 Curtain_mastertz Its Pancho mhanuzi wangu Gerrardgerry Che mittoga Daudi 1 aggyd Trimmer Nephew Antoine001 ephen_ Donnie Charlie mbuzi wa mshenga Kacheda mjasiliamali woodpecker24 Mr passion al Majiid Karibuni Sana na sasa tuanze.
Naaam simulizi yetu inaanzia huko manispaa ya songea mkoa wa ruvuma huko mnamo mwaka 1997 twende pamoja tukiwa na Mmea Jr moneytalk Firdaus9 Curtain_mastertz Its Pancho mhanuzi wangu Gerrardgerry Che mittoga Daudi 1 aggyd Trimmer Nephew Antoine001 ephen_ Donnie Charlie mbuzi wa mshenga Kacheda mjasiliamali woodpecker24 Mr passion al Majiid Karibuni Sana na sasa tuanze.