SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

Abou Shaymaa

JF-Expert Member
Oct 19, 2022
1,519
3,291
Naaaaaaammmm! Wapenzi na wafuatiliaji wa simulizi za mtunzi wako hodari mahiri kutokea nchi ya mbogoland na sie mwingne ni Edgar Mbogo, baada ya ukimya wa muda mrefu sasa tumerejea tena na kigongo kitaaaaaaamuuuu cha kusisimua kitachokujia hapa hapa Jamii Forums, kina kwenda kwa jina laaaaaa (TEMBELE LA UWANI) ni kwanini la uwaniiiiii? Baki na mimi msimuliaji wako Abou Shaymaa mwanzo mwishooooo.
Naaam simulizi yetu inaanzia huko manispaa ya songea mkoa wa ruvuma huko mnamo mwaka 1997 twende pamoja tukiwa na Mmea Jr moneytalk Firdaus9 Curtain_mastertz Its Pancho mhanuzi wangu Gerrardgerry Che mittoga Daudi 1 aggyd Trimmer Nephew Antoine001 ephen_ Donnie Charlie mbuzi wa mshenga Kacheda mjasiliamali woodpecker24 Mr passion al Majiid Karibuni Sana na sasa tuanze.
 

Attachments

  • 1745035174745.jpg
    1745035174745.jpg
    210.7 KB · Views: 1
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI Mbogo EDGAR
Story inaanza mwaka 1997, week ya kwanza ya mwezi wa tano mida ya saa moja jioni kama sio usiku, maana giza lilishatanda mashariki mwa mji wa songea mkoani Ruvuma, kwenye kitongoji kikubwa sana cha Luhuila mtaa wa Luhuila B, mtaa ulionekana kuchangamka hasa sehemu zenye vilabu vya pombe za kienyeji ambazo hunyweka sana mtaa huu, ambao kwa miaka hiyo ulikuwa unakaliwa na watu wenye kipato cha chini, japo ni kilomita chache toka mjini lakini palikuwa panaonekana kama vile kijijini kutokana na kutawaliwa na nyumba nyingi za hali ya chini ambazo nyingi kati yake hazikuwa na umeme,
Nje ya duka moja la pekee katika mtaa huu wa luhuila B, maarufu kama kwa Frank wa dukani, walionekana watu wengi wakipata mahitaji yao dukani hapo kwa bwana Frank, lakini ukizunguka nyuma kidogo ya duka hilo kwanza tuna kutana na baiskeri ikiwa imelazwa chini, na tukitazama pande wa ukuta wa duka hili tunaweza kumuona kijana mmoja mdogo mwenye umri wa miaka kumi na sita alievalia uniform za shule ya sekondari ya luhuwiko, akiwa amekaa chini kwa kujiegemeza kwenye kiambaza cha duka hilo upande wa nyuma akifichwa na giza akiwa katika hali ya utulivu uliopitiliza, akionekana wazi kujawa na mawazo fulani yaliyo uchonyota moyo wake, na ukimwangalia usoni kwa umakini unagundua kuwa kijana huyu mdogo alikuwa analia kimya kimya, huku mkoba wake wa daftari ukiwa umekaa pembeni yake akionyesha kuwa toka amerudi shule hakuwa ameingia nyumbani kwao, “sijui nime mkosea nini Hilda?” alisikika kijana huyu mdogo akijiuliza kwa sauti ya chini iliyo ambatambatana na kilio cha kwikwi, akionyesha machungu makubwa moyoni mwake.
Ukweli ni kwamba, kijana huyu mdogo anaitwa Higgy kama wenzake hapa shuleni wanavyo penda kumuita, ila kwa wale wanao mfahamu, wanapenda kumuita Higgy wizzy, ila jina lake la kwenye cheti cha kuzaliwa ni Higgno Frank, alikuwa ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekodari ya Luhuwiko, ni kijana ambae alijizolea sifa ya kuwa na sifa nzuri pale mtaani kwako hata shuleni kwao, pia higgno licha ya kuwa na umbo zuri la kiume na sura ya kitanashati pamoja na usafi wa mavazi na mwili tofauti na vijana wengi wa umri wake na walio mzidi waishio luhuila, pia alikuwa msikivu na mwenye nidhamu ya hali ya juu, hakujivunia hali ya uafadhari ya wazazi wake, ambao walionekana kuwa na fedha nyingi baada ya kumiliki duka, aliheshimu kila mmoja na aliongea na kila mmoja tofauti na vijana wengine wakipindi hicho, hata pale mzazi wake anaponunua baiskeri basi ange tembea kifua mbele na dharau nyingi kwa watu wote.
Leo kijana Higgno alikuwa analia kwasababu ya mapenzi, penzi la mschana Hilda Komba ambae ni mwanafunzi mwenzake luhuwiko sekondari, anaeishi jirani yao nyumba ya tatu toka hapo kwao, ukiachilia yeye Higgno na mschana Hilda kuwa wanafunzi pekee toka shule ya msingi Luhuila kwenda kusoma sekodari ya kulipia, baada ya wao na wenzao kufeli mtihani wa darasa la saba na wenzao kukosa watu wa kuwa lipia kwenye shule binafsi, pia wawili hawa walianza urafiki mwaka mmoja uliopita, wakiwa darasa la saba, ilianza taratibu kwa Hilda kujenga mazoea kwa Higgno, akimptia wakati wa kwenda shuleni na kumsubiri wakati wa kurudi, huku wakati wa mapumziko Higgy akimnunulia mschana huyu vitu vidogo vidogo kama bagia bumunda na kashata, hivyo ndivyo vitu ambavyo vilimfanya mschana huyu ajenge urafiki kwa Higgno, ambae alikuwa na uwezo wa kupata fedha ndogo ndogo kuanzia shilingi moja mpaka mia mbili toka kwa baba yake.
Naam siku zilienda urafiki wake na Hilda ukizidi kukuwa, kiasi kwamba kila mtu pale mtaani kwao alihisi kuwa vijana wale walikuwa wana peana dudu, hata wazazi wao walianza kutilia mashaka urafiki ule, japo kwa upande wa wazazi wa Higgno wao hawakuwa wakali, lakini kwa upande wa Hilda walikuwa wakali sana, ilitokea hata siku moja mzee Komba alienda nyumbani kwa mzee Frank na kuongea kwa ukali akimuonya mzee huyo kumkanya mwanae akae mbali na binti yao, lakini walipo gundua kuwa binti mwenye ndie mwenye kimbele mbele wakaacha yaendelee, maana pia walijiridhisha kuwa wawili hawa hawakuwa katika mahusiano ya kimapenzi, ukweli kijana huyu ambae toka amebarehe hakuwahi kuonja kitumbua zaidi ya kumaliza haja zake ndotoni, alijikuta akiaza kupata hisia za mapenzi juu ya mschana Hilda.
Yap mwaka uliisha na wakajikuta wakiwa ndani ya darasa moja katika Luhuwiko sekondari, huku urafiki wao ukizidi kushamili kiasi cha baadhi ya wanafunzi wakihisi wawili hawa ni mtu na mpenzi wake, hasa kutokana na tabia mpya ambayo Hilda aliianzisha, ukiachilia ile tabia yao ya zamani ya kuongozana kwenda na kurudi shuleni ambapo sasa walitumia baiskeri mpya ambayo mzee Frank alimnunulia mwanae, Hilda alianzisha tabia ya wivu kwa Higgno hakutaka amuone akiwa anaongea au ameongozana na mwanafunzi mwingine wakike na ukweli ni kwamba japo Higgno mwenye muonekano wa mvuto kwa mschana wengi pale shuleni, hakuonekana kuhangaikia mschana yoyote, japo walikuwepo waschana wengi wazuri na warembo, ambao ukiwatazama kwa wasi wasi unaweza kusema kuwa waschana wenye kazi zao za maana wamekuja kujiendeleza kielimu.
Ukweli kadiri siku zilivyoenda ndivyo hisia za mapenzi kwa Higgno zilipoanza kuibuka na kujikuta akimtamani Hilda, hata siku moja kabla hawaja funga shule likizo ya pasaka akaamua amueleze ukweli juu ya upendo wake kwake, ilikuwa mida ya saa kumi za jioni wanatembea taratibu kwenye njia nyembamba itokayo barabara kuu ya matogoro kuelekea kwenye mto wa kuvukia mtaani kwao Luhuila, huku Higgno akiwa nyuma anakokota baiskeri, “Hilda unajua pale shuleni kuna watu ni wapenzi?” hivyo ndivyo alivyoanza kuongea Higgno, “najua sana, tena wapo wengi” alijibu Hilda aliekuwa ametangulia mbele huku anajichekesha.
Hapo kikapita kimya kifupi, huku kelele za vyuma vya baiskeri na nyayo za viatu vyao vikisikika, ni kama Higgno alikuwa anahesabu ili ikifika tatu, alitoe la moyoni, lakini akashindwa, “unajua watu wanadhania kuwa wewe ni mpenzi wangu?” aliuliza tena Higgno, huku anajichekesha ikiwa ni mzunguko wa kutafuta njia ya kufikisha ujumbe wake, “hata mimi wananiambiaga hivyovyo” alijibu Hilda, huku anacheka chake kama mwanzo, kikapita tena kimya kifupi, safari hii wote wakijichekesha kama machizi, “tena hata mama yako alidhaniaga mimi na wewe ni wapenzi” alisema Higgno huku akicheka cheka sambamba na Hilda, “kwani we hupendi wanavyosema hivyo?” aliuliza Hilda safari hii akigeuka na kumtazama usoni Higgno, hata macho yao yalipokutana wote walishindwa kuendelea kutazamana na Hilda akatazama mbele na kuendelea kujichekesha, “mi napenda, wewe je hupendi?” aliuliza Higgno na hapo mara moja Hilda akajibu, “napenda sana, kwani mwenzio wakiniulizaga kule shuleni wakina Joan nawaambia wewe ni mpenzi wangu” alisema Hilda huku anacheka cheka.
Hapo kikapita kimya kifupi, ni kama kila mmoja alikuwa anatafuta la kumueleza mwenzie, ambapo Hilda ndie aliekuwa wa kwanza, “tena tukifika form two tutaanza kufanya” nikama alikuwa anashauri, na hilo ndilo lilikuwa kama agano, lililotolewa siku ya kwanza walipokubaliana kuwa wapenzi, na kuanzia siku hiyo mapenzi yao nikama yalizidi mara mbili, kila mmoja akishangazwa na urafiki wa wawili hawa ambao sasa hata waliporudi toka shuleni walikutana nyumbani kwa kina Higgno au hata njiani na kuongea mengi kisha kuagana kwenye mida ya saa mbili au saa tatu, hata Hilda alipoulizwa juu ya hilo alisema alikuwa anajisomea kwa akina Higgno, na wazazi wake yani mzee Komba na mke wake hawakuwa na wasi wasi.
Higgno anakumbuka week moja baada ya kufungua shule, mida ya saa nne akiwa amesimama na wenzake wa kidato cha kwanza, anapiga soga (maongezi ya porojo) mala wakaja vijana wawili, Vitus na Talib, ukiachilia umaarufu wa Talib, pia mwanafunzi huyu wa kidato cha nne, alikuwa ni mmoja wa vijana wanaliotokea kwenye familia tajiri, yeye akiongoza kutokea kwenye familia tajiri zaidi pale mkoani, familia ya Mahamud, mwarabu tajiri mkubwa mwenye kumiliki gari mengi ya abria yaliyokuwa yanafanya safari zake mikoa ya Mbeya Iringa, Lindi na Mtwara mpaka huko newala, pia alikuwa ndie tajiri wa kwanza kuleta usafiri wa daladala pale songea mjini, na alikuwa ana daladala zipatazo kumi na nane, ukiachilia hivyo pia alikuwa anamiliki magari ya mizigo yenye kuvuta behewa, la kati na yale ya kitoto, yaani sem trellar na zile za pooling.
Ukiachia hivyo pia alikuwa anamiliki maduka makubwa ya nguo na viatu ya jumla na reja reja, na alikuwa anamiliki magari ya kifahari ya kutembelea yeye na familia yake, ambayo katika gari la gharama ya chini kabisa ni Hyundai ambalo lilikuwa linampeleka na kumrudisha Tarib shuleni, japo kuna baadhi ya watu walisema kuwa Talib hakuwa mtoto wa Mahamud, ila alikuwa anamuita mjomba wake, ikiwa ni kwamba Talib alikuwa ni mtoto wa kaka wa mke wa Mahamud, “nyie Njuka (jina ambalo wanafunzi wakorofi ulitumia kwa form one) mnafanya nini hapa” aliuliza Talib kwa sauti ya kivivu, kama yya mtu alie zidiwa na kilevi iliyo ashiria dalili zote za ukorofi, na wakina Higgno wakageuza shingo zao kuwatazama wawili hawa, ambao licha ya kuwa na sifa ya kuishi kifahari hapa shuleni, pia walikuwa na sifa ya kushiriki kwenye matukio mabaya ya kiovu, ambayo kama sio heshima ya mzee Mahamud, ambae ni mtu mwema mwenye kujari watu, basi Talib asinge kuwepo hapa shule na pengine kufungwa kabisa, “oyaaa Talib una mfahamu huyu dogo?” aliuliza Vitus, akimtazama Higgno kwa macho yake ya kivivu, ambayo usinge jiuliza mara mbili kuwa ametoka kuvuta bangi, Talib nae akamtazama Higgno, ambae pia alikuwa anamtazama, ukweli Talib hakuwa na dalili wala chembe ya kwamba ametokea kwenye familia ya kiarab, nadhani ndio maana hata watu wanasema Mahamud hakuwa baba yake ila ni mjomba wake, “kweli bwana huyu dogo si ndio yule anae ongozana na kile kidemu” alisema Talib, huku akiachia tabasamu fulani la ajabu, ambalo lilifanya meno yake meusi kwa moshi wa sigara na bangi yaonekane, “ndiyo huyu dogo wa kibaskeri” alisema Vitus, ambae kikawaida anatokea kwenye maisha ya chini, lakini urafiki wake na Talib ni kwaajili ya mambo mawili, Talib humtumia Vitus kumtafutia bangi, ambayo yeye huipata kirahisi sana nyumbani kwao lizaborn, wakati urafki wa Vitus kwa Talib ulikuwa ni wa fedha, maana Vitus alikuwa na uhakika wa kupata kila kitu anacho hitaji, pengine hata waschana wazuri aliwapata kwa kuptia urafiki wake na Talib.
Talib aliweka mkono wake wa kulia kwenye bega la Higgno, “dogo yule demu wako lazima ni mtomb..” alisema Talib kwa sauti ile ile ya kivivu, huku macho yake yakiwa kama yamezidwa na usingizi…. NAAM!! NINI KILITOKEA. BASI TUWE PAMOJA NATAKA KUWALETEA SEHEMU YA PILI YA SIMULIZI HII MPYA YENYE KISA CHA KUSISIMUA HAPA HAPA JAMII FORUMS
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA PILI
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA KWANZA : Talib aliweka mkono wake wakulia kwenye bega la Higgno, “dogo yule demu wako lazima ni mtomb..” alisema Talib kwa sauti ile ile ya kivivu huku macho yake yakiwa kama yamezidwa na usingizi. ENDELEA………..
Kisha akaondoka zake na kumuacha Higgno na wenzake wakiwasindikiza kwa macho, ukweli kauli ile ili mchukiza na kumuumiza sana Higgno, ambae ukiachilia kuwa ni kauli chafu ya kashfa, pia alivuta picha kuwa mtu aje atembee na mpenzi wake wakati yeye mwenye bado hajamla kitumbwisi, “hili jamaa linajivunia mali za mjomba wake, sijui Mahamud angekuwa baba yake ange kuwaje?” aliuliza mmoja kati ya wale wanafunzi, “unataka kusema huyu sio mtoto wa Mahamud?” aliuliza mwingine kwa mashangao, “kwani we huoni huyu mweusi ti! wakati Mahamud ni mwarabu, halafu baba yake mimi na mfahamu, hanaga mbele wala nyuma, yupo nyasa anashinda ziwani kila siku ni mlevi nyoko” alisema yule alieanza kuongea maneno yale, “ndiyo bwana Mahmud ana mtoto mmoja tu wakike, chotara hivi ni mzuri kinoma anasoma songea girls, alisema mmoja kati ya wale wanaufunzi, lakini Higgno akaona kama hayo mengine haya muhusu,
Mwenzao Higgno alichukulia ile kauli ya Talib kama ni kauli za kichokozi, lakini week moja mbele Higgno akaanza kuona mabadiliko kwa Hilda, hasa kuto kutumia muda mwingi akiwa na yeye, lakini hakuingiwa na wasi wasi, kwasababu Hilda alikuwa anaambatana na mschana mmoja aliefahamika kwa jina la Joan, japo alionekana kama mapepe fulani hivi, na kila siku zilivyo zidi kusonga ndivyo Hilda alivyo zidi kubadilika, maana week mbili mbele ambapo kilikuwa ni kipindi cha mashindano mbali mbali ya michezo ya shule za sekondari, ndio kama vile Higgno alimpoteza kabisa Hilda, kama angebahatika kumuona asubuhi wakati wa kwenda shuleni basi asinge muona kabisa, na ukizingatia hawakuwa wakikaa darasani kutokana na michezo iliyokuwa inaendelea.
Hata leo wakati alipokuwa anatoka zake shuleni akipitia maji maji kutazama mechi kati ya shule yao ya Luhuwiko na songea boys sec, ilikuwa mida ya saa moja kasoro za jioni, jua lilikuwa linazama, Higgno alikuwa anaparaza pedo za baisker yake juu ya barabara ile ile ambayo siku zote wanapita na Hilda, barabara kuu iendayo matogoro kanisani, lakini sasa wakati anakaribia kuingia kwenye ile barabara nyembamba ya kuelekea mtoni, akaliona gari dogo jeupe aina ya Hyundai likiwa limesimama pembeni ya barabara, mlango wa dereva ukiwa wazi, moja kwa moja Higgno moyo ukamlipuka kwa nguvu, akijua kuwa lile ni gari ambalo huwa linamletaga Talib shuleni, sasa je limefuata nini kule, hapo hapo akakumbuka ile kauli ya Talib, kuwa lazima ata tembea na Hilda.
Higgno alijikaza na kuendelea kupalaza pedor ya baiskeri yake mpaka alipolifikia lile gari, hakusimama zaidi aliendelea kupalaza peda huku akikata jicho kutazama mule kwenye gari kuna nani, alimuona dereva ambae siku zote humleta na kumfuata Talib shuleni, japo inasemekana kuwa talib alikuwa anajua kuendesha gari yeye mwenyewe.
Higgno akaendesha baiskeri mpaka alipoifikia ile barabara nyembamba ambayo sikizote nilazima ashuke na kukokota baskeri yake, nae akafanya kama ilivyo ada, hakika kama angejua asingepita kwenye ile njia, maana alipotembea kama mita mia hivi, akawaona watu wawili, mvulana na mschana, mschana ambae alikuwa amemgeuzia mgongo akiwa amevaa nguo za shule yao, ukweli mapigo ya moyo ya Higgno yakazidi kwenda kasi, maana wazo la haraka lililomjia ni kuwa yule mschana atakuwa ni Hilda wake.
Uamuzi wa pili ambao Higgno aliujutia ni kitendo cha kuamua kujificha na kuwavizia ili aweze kuona kinachoendelea juu ya wale wawili, maana hakuwa na shaka kama yule wakike ni Hilda kwasababu mwafunzi pekee wakike aliekuwa anatokea mtaani kwao ni Hilda pekee, Higgno aliicha baskeri yake kichakani na kisha akatumia uenyeji wake kupita huko huko kichakani kuwavizia wawili wale, ikiwa ni kitendo ambacho mpaka mida hii kina mfanya kijana huyu, yani Higgno ajikute anatoa machozi kwa uchungu wa wivu wa kimapenzi.
Akiwa anasaidiwa na hali fulani ya kigiza giza cha usoni, Higgno alizidi kuvizia, mpaka alipowakaribia wawili wale, ambao sasa aliona wakiwa bado kwenye njia, huku wame kumbatiana na midomo yao imekutana, mwanzo Higgno hakujua walikuwa wanafanya nini, lakini baada ya kuwa vile kwa sekunde kadhaa akawaona wakiachiana, na hapo ndipo Higgno alipo thibitisha kuwa huyu wakike alikuwa ni Hilda, “sasa hapa tutafanyaje?” aliuliza Hilda kwa sauti ambayo ilitokea puani, iliyo ashilia kuchoka, tena uchovu wa kujidekeza, uchovu ambao ulikuwa unahitaji kitu, “kwani we unataka?” iliuliza sauti nzito ya kivivu, sauti ambayo ilionyesha wazi mmiliki wake ni mtumiaji mzuri wa kievi haramu cha bangi, sauti ambayo haikuwa ngeni kwa Higgno ambae bado anaikumbuka ilipo mwambia kuwa “demu wako lazima ni mtomb..” Higgno akamkazia macho Hilda, ambae alimuona akiitikia kwa kichwa kuwa alikuwa anataka, “kwahiyo tuingie porini au hapa hapa?” aliuliza Talib, huku ana papasa kiuno cha Hilda kwa mkono wa kushoto na mkono wakulia ukigusa ziwa la binti huyu, ambae mpaka sasa Higgno alikuwa anaamini kuwa hakuwahi kuingiziwa dudu kwenye kitumbua chake, “hata hapa hapa saa hizi hakuna watu” alijibu Hilda kwa sauti ya chini nyembamba iliyojaa aibu, ukweli roho ilimuuma sana Higgno, ambae alishindwa kukwepesha macho yake na kumuona Hilda akianza kupandisha skert yake, juu na kushusha chupi yake akibakia wazi eneo la chini, huku Talib, yeye akilegeza mkanda wa suruali na kushusha zip, kisha akashusha suruali akikusanyia na nguo yake ya ndani mpaka usawa wa mapaja yake, kisha akamsogelea Hilda na kumkumbatia kwa nyuma, yani akitokea mgongoni na kufanya dudu ya kijana huyu, yani Talib ambayo hata kwa mtazamo wa haraka haraka japo ilikuwa imesimama kwa matamanio na kwa ukubwa wa umri wa Talib, lakini haikuwa na ukubwa kama wa ile ya Higgno mwenyewe, iguse makalio ya Hilda ambae hakuonyesha uoga wowote kwa tendo ambalo linataka Kufuatia, tofauti na hadithi ambazo Higgno alishaga wahi kusikia juu ya siku ya kwanza mschana anapofanya mapenzi kuwa anaumia sana, hivyo lazima awe muoga.
lakini ilikuwa tofauti kwa Hilda ambae ndiyo kwanza aliinama na kubinua makalio yake kwa nyuma, akifanya kila kitu kiwe wazi, hapo Talib akajiweka sawa na kuikamata dudu yake, kisha akailengesha kwenye kitumbua cha Hilda na kuingiza kwa pupa kama vile kulikuwa na kaugomvi fulani, Talib akaanza kupump kwa nguvu na kwa fujo, hakika hakukuwa na dalili ya kwamba Hilda alikuwa hajawahi kufanya mapenzi, kwasababu Higgno aliweza kushuhudia dudu ikizama na kuibuka kama yote, tena kwa fujo kama zote, huku Higgno akihisi kama vile hakuwa na lolote mwili mwake, yani kuanzia pumb.. ata dudu yake, alihisi ikiingia ndani kabasa na kuyeyuka.
Tukio hilo kwa kweli Higgno hakuweza kuendelea kulitazama, maana lilizidi kumuuza roho, hivyo akaamua kuondoka zake taratibu kurudi alikotoka akiipitia baiskeli yake na kupitia barabara kubwa, huku njia nzima akiwaza alicho kishuhudia kwa macho yake, swali alilojiuliza Hilda amemuona yeye anakasoro gani, “au ni umasikini” alijiuliza Higgno, “lakini mbona najitahidi kumpa kila kitu alicho hitaji” ukweli ilikuwa ni sitofahamu kwake, na kubakia na uchungu mkubwa moyoni mwake, “ningejua nisingepita kule” aliwaza Higgno akiwa nyuma ya duka lao, ambapo aliona kuwa ndiyo sehemu nzuri ya kujituliza maumivu yake, “labda alimtishia ndio maana akakubali kufanya nae vile” alijipa moyo Higgno huku anainuka na kuchukua begi lake la daftari na baskeri yake, kisha akaingia ndani mwao kimya, akipanga kufanya siri, juu ya tukio alilolishuhidia kule kichakani, ikiwa kama njia ya kuficha aibu yake.
Week nzima Higgno alionekana kuwa mnyonge, huku akiendelea kushuhudia furaha ikishamili usoni kwa Hilda, ambae sasa hakuwa na muda kabisa wa kuongozana na yeye, hata asubuhi Hilda hakupanda tena baskeri yake, baada yake alipanda daladala za mwarabu Mahamud kama staff, kwa maana hakuna kondakta aliemuuliza nauli, ukweli maisha yalikuwa magumu kwa Higgno kiasi cha kuiona hata shule kuwa ni chungu kwake, maana roho ilimuuma kila alipo waona Hilda na Talib, ambao sasa ni kama walikuwa wapo katika mausiano ya wazi, walionekana mara kwa mara wakiwa pamoja, kama ilivyokuwa yeye siku za nyuma, hata penzi lao halikuwa siri tena, kuna wakati zilisikika tetesi kuwa baadhi ya watu wamesha wakuta mara kwa mara wakifanya mapenzi kwenye vichaka vya maeneo ya karibu na shule, wapo mashuhuda waliosema kuwa wame muona Hilda akifundishwa kuvuta bangi na wakina Talib akiwa pamoja na Vitus na rafiki yake mpya Joan.
Ukweli Higgno licha ya habari zote hizo, lakini hakukata tamaa juu ya mpenzi wake Hilda, aliamini kuwa ipo siku Hilda ata badiri mawazo yake na kurudisha urafiki kama zamani, ndio maana hata siku moja, wakiwa wanakaribia kuanza mitihani, Higgno alimvizia Hilda asubuhi wakati anaenda kupanda daladala na kujaribu kuongea nae, “Hilda samahani, kuna be jambo naomba tuongee” alisema Higgno kwa sauti ya kubembeleza iliyojaa unyenyekevu…….. sijui Higgy Wizzy anataka kuongea nini, sijui Hilda ata jibu nini, endelea kufwatilia mkasa wa TEMBELE LA UWANI.
 
nzuri kiasi chake..Lakini mkuu why usingeleta ya mapigano na uliyochangamka kama ile iliyoisha majuzi ya kina Deus nyati na wakina Kadumya ilikuwa moto sana kabla lile vumbi la UMD halijapoa ungeleta kigongo kingine dizaini ya wale UMD full kashkashi na heka heka.. mm maoni yangu badala ya hii ungeleta "KAPTENI CHUI MCHAFU"ingebamba zaidi maana nayo imechangamka zaidi ya ile ya kina Deus na UMD ubabe mwingi..mkuu fanya kuleta Kapteni chui mchafu hizi za mapenzi na drama sionagi kipya..
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA TATU
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA PILI : Ukweli Higgno licha ya habari zote hizo lakini hakukata tamaa juu ya mpenzi wake Hilda, aliamini kuwa ipo siku Hilda ata badili mawazo yake na kurudisha urafiki kama zamani, ndio maana hata siku moja wakiwa wanakaribia kuanza mitihani Higgno alimvizia Hilda asubuhi wakati anaenda kupanda daladala na kujaribu kuongea nae, “Hilda samahani, kuna jambo naomba tuongee” alisema Higgno kwa sauti ya kubembeleza iliyo jaa unyenyekevu……..ENDELEA…………
huku akiwa ameshuka kwenye baiskeri yake na kuanza kuikokota sambamba na Hilda aliekuwa anatembea taratibu kuelekea kwenye kituo cha daladala look but, “we ongea tu kwani nimekukataza” alijibu Hilda kwa sauti fulani kavu ya kijeuri huku akiwa anaendelea kutembea, “Hilda, naona siku hizi haupo kama zamani, yani umebadilika kabisa au kuna kitu nime kukosea?” aliuliza Higgno kwa sauti ya kinyonge, “sasa kama unaona hivyo unaamua nini?” hilo lilikuwa swali lakini ndilo jibu ambalo alilitoa Hilda bila kupepesa wala kuangalia pembeni zaidi ya kuendelea kutembea kuelekea barabara kuu, “lakini Hilda kumbuka wewe ni mpenzi wangu, nahitaji kuwa na muda wa kukaa na wewe kama ilivyokuwa zamani” alisema Higgno kwa sauti ya kuomboleza iliyo jawa na uhitaji wakuonewa huruma, “kwahiyo we unaona watu kuwa wapenzi ni mpaka waongozane ongozane, kila mtu ajue?” aliuliza Hilda kwa sauti ambayo ilijawa na kiburi, “Hilda mbona zamani hukuwa hivyo, au umepata mwingine na unaamua kuachana na mimi?” aliuliza Higgno pasipo kujua kuwa jibu la swali hilo ni gumu kwake, “kwani wewe unaonaje?” aliuliza Hilda kwa sauti kavu, “mimi sioni chochote nina chojua wewe ni mpenzi wangu, alijibu Higgno na hapo Hilda akasimama kabisa na kumtazama Higgno usoni, “halafu unajiitaje mpenzi wangu wakati anae faidi ni mwingine, wewe mpenzi wangu kivipi, ulisha wahi kuonja uch.. wangu?” swali hili nusu limtoe chozi Higgno, ambae alitulia kwa sekunde kadhaa akimtazama Hilda alieanza kutembea taratibu kuelekea kwenye kituo cha daladala ambacho alisha kikaribia, “sawa Hilda, lakini mimi sitoacha kukupenda, siku yoyote utakapo kuwa tayari niambie nita endelea kukupenda” alisema Higgno, kauli ambayo nikama Hilda aliichukulia maneno ya mkosaji, “bwanee we panda baskeri yako watu wasije kuniona na kunifikiria vibaya” alisema Hilda na kumfanya Higgno azidi kuingia unyonge, “yaani leo kuonekana na mimi ndio kufikiriwa vibaya” aliwaza Higgno huku anapanda baskeri yake na kuondoka zake akiwa amesha kubari matokea juu ya Hilda.
Siku zilienda, ikimlazimu Higgno kuzoea kuwa mbali na Hilda, na kweli alifanikiwa kuzoea na kukubali matokeo, sasa hakujari wala kuwaza lolote juu ya Hilda ambae sifa mbaya zilianza kutapakaa juu yake, ikiwa ni utoro wa shule matumizi ya bangi na kilicho mchafua zaid ni kitendo cha kufanya mapenzi vichakani, akifumaniwa mara kwa mara na wanafunzi wenzao, kitu ambacho kilimshushia heshima yake mschana huyu, yani Hilda na kudharaulika pale shuleni.
Ukweli licha ya kuweza kuweka pembeni mawazo juu ya Hilda, lakini bado moyoni mwake Higgno alikuwa anakiri kuwa Hilda ndie mwanamke pekee alieuteka moyo wake, na aliamini ipo siku atarudi tena mikononi mwake, hasa kipindi ambacho Talib atakuwa amemaliza shule na kutengana nae.******
Siku moja akiwa Higgno akiwa anatoka shule, siku ambayo walikuwa wamemaliza mitihani na kufunga shule, ilikuwa ijumaa jioni, Higgno akiwa anakatiza mitaa ya msufini, maarufu kama pacha nne, pale kwenye maduka na vibanda vya mama ntilie, akitumia njia ya mkato ya kutokea mji mwema, sasa basi wakati anakatiza kwenye yale maduka pale pacha nne akaliona kundi la wanafunzi kama sita au saba hivi mbele yake wakike kwa wakiume, likiwa kati kati ya barabara, hivyo akapiga kengere ili wampishe yeye aendelee na safari yake.
Hakika akutegemea kuwa kinge tokea kile kilicho tokea, maana Higgno akiwa katika mwendo mkali akawaona wale wanafunzi wakigeuka mara moja kutazama baskeri inakotokea, kisha wakaendelea na safari yao wakiwa wametanda barabarani, na mbaya zaid aliwatambua kuwa wale wanafunzi ni wakina Talib Vitus Hilda Joan na wenzao wengine watatu wakiume, hapo sasa Higgno akaona ni lazima afanye juhudi binafsi, kuwakwepa, maana akisema awavamie pasinge kuwa na msamaha kutokana na tabia za ukorofi walizonazo wakina Talib.
Fumba na kufumbua Higgno alikata kona kutazama upande wake wa kushoto mwa barabara. ambako kulikuwa na mtaro mdogo ambao hauja jengewa, akaona kuwa hiyo ndiyo sehemu salama, hivyo Higgno akiwa speed na baiskeri yake akaichepusha na kuuvamia mtaro, ambao haukumwacha salama, baskeri ilikita kwa nguvu na kumtupa Higgno, ambae aliangukia mita kadhaa pembeni ya baiskeri yake na kusikilizia maumi kwa sekunde kadhaa, huku akisikia vicheko toka kwa wale wanafunzi wenzake akiwepo mschana Hilda.
Hapo Higgno akainuka, huku shati lake jeupe la shule likiwa limechafuka kwa vumbi jekundu, bila kujifuta vumbi, akaifuata baskeri yake huku bado baadhi yasehemu zake za mwili zikimchonyota kwa maumivu, akaiinua baskeri yake na kuanza kukagua kwa haraka haraka ili aondoke zake kukwepa aibu na machungu ya wale alio waona, yani Hilda na Talib, lakini licha ya baskeri yake kutokuwa na tatizo hakuweza kuondoka, maana Vitus alimuwahi na kuishika baskeri, “we njuka unataka kutugonga na baskeri yako sio” alisema Vitus huku anafungua valve ya tairi la mbele na kutoa hewa, brothe nime kukosea nini lakini…?” aliuliza Higgno kwa sauti iliyojaa malalamiko, lakini hakupewa nafasi ya kumaliza kujilalamisha, akashtuka kofi zito likitua mgongoni kwake, “paah!” na kumfanya ajipnde mgongo kwa maumivu aliyo ya pata” ile anageuka kumtazama aliempiga akamuona Talib akijiandaa kumfyetua mtama, “pumbavu sana wewe dogo, yaani unataka kutugonga na huu mkweche wako halafu una jifanya kuuliza umetukosea nini” alisema Talib huku akirusha mguu wake kumfyatua mtama Higgno ambae aliuona na kuruka kidogo kukwepa, kiasi cha Talib kuyumba kwa kupitiliza na kuivamia baiskeri ya Higgno ambayo sasa ilikuwa imeshikiliwa na Vitus, na kuanguka chini pamoja na baiskeri yenyewe.
Hapo nikama Higgno alikuwa amechokoza nyuki kwenye mzinga wake, maana wote walimvamia na kunza kumshambulia, kasoro wale waschana wawili pekee, ambao walikuwa wamesimama pembeni wakitazama Higgno alivyopewa kipigo pamoja na kuharibiwa matairi ya baiskeri yake kwa kutolewa hewa huku wengine wakibomoa vilivyo bomoleka, kama isingekuwa askari wawili wa jeshi la wanchi waliokuwa wanapita, basi Higgno angeendelea kupigwa vibaya sana na wakina Talib, ambao walikimbia na kuondoka zao kuelekea upande wa mjini.
Ukweli Higgno alizidi kuumia kimwili na kiroho, njia nzima alikokota baikeri yake iliyo haribika vibaya sana, huku anawaza juu ya kile kilicho mtokea, yani mwanamke anyang’anywe, kipigo apokee, na usafiri wake uharibiwe, ukweli machungu makubwa yalimpata Higgno ambae kwa mara ya kwanza alifikiria juu ya kama ange kuwa mchawi, ange waroga wote waliomfanyia hivi wageuke hata vifaranga vya kuku halafu avishike avinyongelee mbali, kwasababu hakuwa na uwezo wa kuwafanya lolote wale jamaa, labda Hilda na Joan peke yao.
Higgno alifika nyumbani kwa kuvizia, tena akisubiri kagiza kaingie kwanza ndipo ajipenyeze ndani, lakini haikusaidia, kwasababu ile Higgno anavuka tu kizingiti cha mlango mama yake nae akaibuka kutoka ndani, wakakutana uso kwa uso, japo kulikuwa na mwanga hafifu wa taa ya kandiri, lakini mama Higgno aliweza kumuona vyema mwanae, “we mtoto jamani, nini kimekukuta mwangu” ilikuwa ni sauti ya mshangao na machungu mengi sana toka kwa mama, huku ana msogelea mwanae na kumkagua, ambae mawazo yake ni kwamba mwanae amepata ajari ya baiskeri, kabla hata Higgno hajajibu, mama akauliza swali la pili, “mwenzio yupo salama kweli?” aliuliza mama Higgno akimaanisha kuwa Hilda nae yupo salama, akidhania kuwa wamepata ajari pamoja, kama walivyo zowea kuongozana kila siku, swali ambalo nikama lilimuongezea machungu Higgno, ambae badala ya kujibu akaondoka na kueleka store ambako aliibwaga baskeri yake na kuelekea chumbani kwake, akimuacha mama yake anamshangaa kwa vumbi lililojaa kwenye shati lake jeupe la shule, Higgno kule chumbani alifika na kujilaza kitandani, kifudi fudi akiuficha uso wake kwenye shuka zake bila kujali kuwa anachafua au vipi, yeye alicho kifanya ni kuzidi kuvuta picha ya tukio la kutandikwa kule pacha nne, huku Hilda akitazama kwa furaha tukio lile.
Ukweli kilicho mshangaza Higgno ni uadui uliokuwepo kati yake na Talib ulitokana na nini, kwanza kabisa mwaka huu ndio anamfahamu kijana huyu, pili yeye ndie alienyang’anywa mwanamke, sasa haya mengine yanatokea wapi na kwanini anafanyiwa hivi,
Wakati Higgno anaendelea kuwaza hayo, mara akaja baba yake mule chumbani kwake akiwa meshika kandiri, “wewe Higgy nini kumekukuta” aliuliza mzee Frank akimsogelea mwanae na kummulika na ile taa, ukweli japo Higgno mwenye hakujibu lakini baba yake aliona wazi jinsi kijana wake wapekee alivyo pondeka pondeka na kuchafuka, “nimeiona baskeri yako, uligongwa na gari au uliingia shimoni?” aliuliza tena baba yake Higgno na ndio wakati ambao Higgno aligundu kuwa mama yeka alikuwa nyuma ya baba yake, “yaani ndio hivyo hivyo, wala hajibu, mimi namfikiria Hilda sijui ana hali gani huko aliko, wacha niende nikaulizie” alisema mama Higgno akitaka kuondoka, lakini mume wake akamzuia, “hebu! subiri kwanza tuongee na Higgno, we ukienda huko utauliza nini?” alizuia baba Higgno, kisha akamgeukia Higgno, “wewe! hebu amka ukaoge kisha uje dukani” alisema mzee Frank, kisha akatoka na kuelekea dukani………….. unadhani Higgy Wizzy ataongea nini mbele ya baba yake huko dukani? tuungane katika sehemu ya nne ya simulizi hii ya TEMBELE LA UWANI hapa hapa JAMII FORUMS
 
nzuri kiasi chake..Lakini mkuu why usingeleta ya mapigano na uliyochangamka kama ile iliyoisha majuzi ya kina Deus nyati na wakina Kadumya ilikuwa moto sana kabla lile vumbi la UMD halijapoa ungeleta kigongo kingine dizaini ya wale UMD full kashkashi na heka heka.. mm maoni yangu badala ya hii ungeleta "KAPTENI CHUI MCHAFU"ingebamba zaidi maana nayo imechangamka zaidi ya ile ya kina Deus na UMD ubabe mwingi..mkuu fanya kuleta Kapteni chui mchafu hizi za mapenzi na drama sionagi kipya..
Usijari tutarudi huko coz hii ni fupi haitachelewa kwisha
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA NNE
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA TATU : “nimeiona baskeri yako uligongwa na gari au uliingia shimoni?” aliuliza tena baba yake Higgno na ndio wakati ambao Higgno aligundu kuwa mama yake alikuwa nyuma ya baba yake, “yani ndio hivyo hivyo wala hajibu, mimi namfikiria Hilda sijui ana hali gani huko aliko, wacha niende nikaulizie” alisema mama Higgno akitaka kuondoka, lakini mume wake akamzuia, “hebu! subiri kwanza tuongee na Higgno, we ukienda huko utauliza nini?” alizuia baba Frank, kisha akamgeukia Higgno, “wewe! hebu amka ukaoge kisha uje dukani” alisema mzee Frank, kisha akatoka na kuelekea dukani…………..ENDELEA……………
Nusu saa baadae Higgno alitoka bafuni alikokuwa anaoga, ambako muda wote alikuwa anajiuliza atamueleza nini baba yake, ambae kiukweli ni kama rafiki yake, maana siku zote humuelewesha jambo kwa upole na busara, sio kwa bakora kama vijana wengi walivyofanyiwa na wazazi wao enzi hizo, baada ya kujiandaa vizuri Higgno alienda dukani kama alivyo agizwa na baba yake, ambapo mida hii ya saa mbili bado wateja huwa ni wengi lakini sio sana.
Hivyo Higgno akamsimulia mkasa mzima baba yake, kuanzia alipo wakuta Hilda na wenzake waliokataa kumpisha, na yeye kuingia mtaroni, na wale wenzake na Hilda kumshushia kipigo akija okolewa na askar wa jeshi la wananchi waliokuwa wanatokea kambini, “hebu nikuulize, inamaana urafiki wako na Hilda umeisha?” aliuliza mzee Frank, kwa sauti fulani ya mshangao, “mbona toka siku nyingi tu! Hilda amepata marafiki wengine” alijibu Higgno, kwa sauti ya upole, “ina maana ulishindwa hata kujitetea kidogo?” aliuliza mzee Frank, “mh! hao watu wenyewe ni form four, tena wanasifika kwa fujo na utemi” alijibu Higgno na kumfanya baba yake atabasamu kidogo, “we unahisi ni kwanini wame kufanyia vile, au wamekupiga bila sababu yoyote” hapo ndipo palikuwa pagumu, lakini Higgno hakuwa na jinsi zaidi ya kueleza ukweli, “ni kwaajili ya Hilda” alisema Higgno na kumsimulia toka siku ile alipo mueleza kuwa lazima atembea na Hilda na mpaka alipowakuta wana zini, na pia alimsimulia mabadiliko ya tabia ya Hilda yakuto kuwa nae jirani, “namimi nikaamua kukaa mbali na Hilda, kwasababu hiyo Talib ana sifa ya kuwa mvuta bangi, niliogopa haya yaliyonikuta leo” alisema Higgno japo alificha mengi katika simulizi ile, kama vile Hilda kufumaniwa mara kwa mara ana zini kwenye vichaka na Talib, pia tabia mpya ya uvutaji wa bangi wa mschana huyu rafiki yake wa zamani, nayo hakumueleza baba yake, “ok! kwahiyo siku hizi Hilda sio rafiki yako kama zamani” aliuliza kwa mara nyinge baba Higgno, hapo Higgno akaitikia kwa kichwa kukubali kuwa Hilda sio rafiki yake tena, hapo mzee frank akatulia kidogo kama vile anatafakari, kisha akamtazama mwanae, yaani Higgno, “sikia Higgno, kwa sasa wewe ni kijana mkubwa, umesha balehe, na unapata hisia za kuwa na mpenzi, japo sio sahihi kwa wewe kuwa na rafiki wa kike kutokana na kuwa wewe bado mwanafunzi, najua ni machungu kiasi gani unayapata kwa sasa juu ya Hilda, lakini ukweli huyo sio mwanamke sahihi kwako, achana nae na uwe makini sana, wakati mwingine unapoingia kwenye urafiki” alisema baba Higgno, wakiwa wanahitimisha maongezi yao na kujiandaa kufunga duka.*****
Yap leo wana jamii forums twendeni nyumbani kwa mzee Komba, lilikuwa ni eneo kubwa kiasi lenye nyumba moja ya tofari za udongo zilizo chomwa na kuezekwa kwa nyasi kama vibanda viwili vidogo vilivyo pembeni ya nyumba hii, ambavyo vilikuwa kushoto na kulia mwa nyumba, kibanda cha kushoto kikiwa ni bafu na choo, na kile cha kulia kilikuwa ni kibanda cha jiko, ambako mama Hilda alikuwa anatoka huku amebeba sinia lililofunikwa na sufulia jeusi lililokuwa lina fuka moshi kwa mbali, ulioambatana na harufu ya ugali, anatoka jikoni na kuelekea kwenye mkeka uliokuwepo nje ya nyumba yao pembezoni mwa ukuta, ambapo alikuwepo mzee Komba, alie kuwa amekaa kwenye kiti kifupi (kigoda), pembeni ya mkeka huo, sijui kwa lugha gani lakini wakati mwingine walikuwa wanauita mpasa, “shida hii, jamani, mpaka koroboi zita ota kutu kwa kukosa mafuta” alilalamika mama Hilda mke wa mzee Komba, huku anaweka sinia lile mkekani akisaidiwa na mwanga wa mbala mwezi, “subiri mwanao amalize shule akuwekee umeme, si unaona anavyosoma kwa bidii” alisema mzee Komba, na hapo mke wake akacheka kidogo, kicheko cha matumaini, “yaani sipati picha nitakavyo kuwa navaa nguo mpya kila sikukuu” alisema mama Hilda huku anarudi jikoni, “ila usiku huu inabidi wawe waangalifu sana huko njiani, maana baskeri ya Higgy sijui kama ina taa” alisema Mzee Komba akimaanisha kuwa mwanae Hilda alikuwa bado hajarudi na alikuwa na Higgno, “huyooo hatajwi” alisikika mama Hilda akisema wakati ana toka jikoni na sufuria dogo jeusi, mkononi sufuria lililo toa siri kuwa lilikuwa linapikiwa kwenye jiko la kuni.
Mzee Komba akainua uso wake kutazama njia ya kuingilia pale nyumbani, akamuona mwanae Hilda akiwa anaingia pale nyumbani kwa mwendo wa kichovu huku ameshika kipande cha gazeti kilicho viligwa nakuacha vijiti vyembamba vya mianzi vikichungulia, mkono mwingine alikuwa amebeba, kitabu kimoja tu mkononi, na kwa kukuibia siri ni kwamba kitabu hicho sio cha masomo, kilikuwa ni kitabu cha simulizi ya UMEKOSEA LAKINI TAMU, toka kwa Mbogo Edgar, “hooo! msomi wangu huyooo” alisema mzee Komba, kwa sauti ya kushangilia, “shikamoo baba” alisalimia Hilda, huku akivua viatu vyake na kujikalisha mkekani kivivu, akisababisha kiskert chake kupanda juu kutokana na ufupi wake, akishindwa kukiweka vizuri, “marahaba msomi wangu, naona umebanwa sana na masomo” aliitikia mzee Komba na wakati huo mama yake alikuwa anawekasufuria kwenye mkeka, “afadhari umewahi mwanangu, maana hawa kauzu (dagaa) wenyewe wa shilingi hamasini tu, sijui tunge gawanaje” alisema mama Hilda huku anaenda kuchukua maji ya kunawa, “si nimekuja na mishikaki ya pale kilabuni” alisema Hilda kwa sauti ya kivivu iliyoonyesha ametumia bangi muda sio mrefu, huku anafungua kipande cha gazeti, na kutoa mishikaki kumi akaiweka pembeni ya sinia ambalo bado lilikuwa lime funikwa na sufuria, mishakaki hiyo ilikuwa inauzwa shilingi kumi kila mmoja, “haaaa! hapo ndipo ulipokosea, si unge niletea hela nikanywe ulanzi” alilalamika baba Hilda yani mzee Komba, “ona sasa we mzee akili zako zilivyo, yaani unaona bora ukanywe ulanzi kuliko kula vizuri, ulanzi wenyewe unaumalizia huko huko kilabuni” alisema mama Hilda akimzodoa mume wake, “nyie wazee acheni kusemana nitawapa mia mbili mkanunue ulanzi” alisema Hilda kwa sauti ile ile ya kivivu, “hayo ndiyo mambo sasa, wacha nile haraka nikachukuwe ulanzi” alisema mzee Komba, wakati huo mke wake alie kuja na maji ya kunawa akiweka vizuri vyakula tayari kwa kuanza kuliwa.
Wakati wanakula ndipo mama yake Hilda nikama alikumbuka jambo, “mbona siku hizi, sikuoni na Higgy, au ndio kubanwa na masomo?” aliuliza mama Hilda, wakiendelea kula, “haaa! mama mambo gani hayo ya kunitajia huyo zoba” alisema Hilda kwa sauti ya kivivu akionekana hata lugha zake zimebadilika sana na kuwashangaza wazazi wake, “inamaana ume gombana na rafiki yako?” aluliza mama Hilda kwa sauti ya mshangao, “mama bwana, nimesema achana nae huyo lofa, tena leo alituletea ubwege wake wakina Talib wakampiga mpaka amekoma” alisema Hilda kwa sauti ya kivivu, japo ilikuwa ya majigambo, “kwanini sasa umeacha wanampiga rafiki yako?” aliuliza mama Hilda kwa sauti ya mshangao, lakini alionyesha kuwa hakujutia kitendo kile cha mwanae, “tatizo Higgy ana wivu, yeye ameona mimi nimepata marafiki matajiri ndio ananifanyia visa kila siku, leo ndio wamemkomesha” alisema Hilda, “huyu mtoto mbaya sana, ndio maana toka mwanzo sikutaka kabisa we karibu na mwanangu” alisema mama Hilda kwa sauti iliyojaa chuki, “unadhani nitawaacha hivi hivi, lazima nikawape ukweli wao, tatizo bwana Frank na kijana wake wanajiona wao ndio matajiri pekee hapa mtaani hivyo Higgy anavyoona mwenzie amepata marafiki matajiri, anamuonea wivu” alisema mzee Komba kwa sauti iliyoonyesha wazi kujawa na chuki na hasira, huku akipanga ataenda kesho asubuhi nyumbani kwa mzee Frank, maana usiku huu alipanga akanunue ulanzi anywe na mke wake, utakuwa umefanya jambo la mbolea” alisifia mama Hilda.*****
Siku ya pili asubuhi ya saa moja, ndio muda ambao Higgno alishtuka toka usingizini, huku akihisi maumivu katika baadhi ya sehemu zake za mwili kutokana na kipigo cha jana kule pacha nne, wakati ana jiinua kitandani ndipo aliposikia mtu anapiga hodi kwa fujo, na aliposikiliza vizuri alikuwa ni mzee Komba, yani baba yake Hilda, “ina maana humu ndani hakuna watu au kiburi tu!” aliuliza mzee Komba baada ya kubisha hodi mara mbili.
Higgno alitaka kwenda kufungua mlango, lakini akasikia mlango unafunguliwa, “vipi mzee mwenzangu, umetisha sana, utadhania mgambo anafuata kodi ya kichwa” alisema bwana Frank, kwa sauti iliyo jaa utani, japo mwenzie alionekana kuwa, hakuwa katika hali ya utani, “sikia bwana Frank, mkanye mwanao aache matumizi ya bangi, kama ukishindwa kumueleza hilo basi usijisumbue kulipa elfu themanini yako kwaajili ya ada, kwa maana una msomesha mfungwa mtarajiwa, ambae hatokusaidia kwa lolote” alisema kwa hasira mzee Komba, “mzee mwenzangu maneno gani hayo tuna watia laana watoto, hebu temea mate chini” alisema mzee Frank, ambae bado alionekana kuchukulia kama utani juu ya maongezi yale, “we fanya mzaha bwana Frank, lakini chonde chonde, mueleze mwanao aache kuvuta bangi” alisema tena mzee Komba, kwa sauti ile ile ya jazba, “taratibu basi mzee mwenzangu, hebu tulia unieleze Higgy amefanya nini” Higgno akiwa ndani aliweza kumskia baba yake akiongea kwa upole, “sikia bwana Frank, unajua kwa sasa huyu mwanao ameanza tabia fulani za ajabu” alisema mzee Komba, na kutulia kidogo….. Higgy wizzy anazidi kupewa kashafa, ilikujuwa ilikuwaje, tuonane tena hapa hapa Jamii Forums.
 
TEMBELE LA UWANI
SEHEMU YA NNE
MTUNZI Mbogo EDGAR
ILIPO ISHIA SEHEMU YA TATU : “nimeiona baskeri yako uligongwa na gari au uliingia shimoni?” aliuliza tena baba yake Higgno na ndio wakati ambao Higgno aligundu kuwa mama yake alikuwa nyuma ya baba yake, “yani ndio hivyo hivyo wala hajibu, mimi namfikiria Hilda sijui ana hali gani huko aliko, wacha niende nikaulizie” alisema mama Higgno akitaka kuondoka, lakini mume wake akamzuia, “hebu! subiri kwanza tuongee na Higgno, we ukienda huko utauliza nini?” alizuia baba Frank, kisha akamgeukia Higgno, “wewe! hebu amka ukaoge kisha uje dukani” alisema mzee Frank, kisha akatoka na kuelekea dukani…………..ENDELEA……………
Nusu saa baadae Higgno alitoka bafuni alikokuwa anaoga, ambako muda wote alikuwa anajiuliza atamueleza nini baba yake, ambae kiukweli ni kama rafiki yake, maana siku zote humuelewesha jambo kwa upole na busara, sio kwa bakora kama vijana wengi walivyofanyiwa na wazazi wao enzi hizo, baada ya kujiandaa vizuri Higgno alienda dukani kama alivyo agizwa na baba yake, ambapo mida hii ya saa mbili bado wateja huwa ni wengi lakini sio sana.
Hivyo Higgno akamsimulia mkasa mzima baba yake, kuanzia alipo wakuta Hilda na wenzake waliokataa kumpisha, na yeye kuingia mtaroni, na wale wenzake na Hilda kumshushia kipigo akija okolewa na askar wa jeshi la wananchi waliokuwa wanatokea kambini, “hebu nikuulize, inamaana urafiki wako na Hilda umeisha?” aliuliza mzee Frank, kwa sauti fulani ya mshangao, “mbona toka siku nyingi tu! Hilda amepata marafiki wengine” alijibu Higgno, kwa sauti ya upole, “ina maana ulishindwa hata kujitetea kidogo?” aliuliza mzee Frank, “mh! hao watu wenyewe ni form four, tena wanasifika kwa fujo na utemi” alijibu Higgno na kumfanya baba yake atabasamu kidogo, “we unahisi ni kwanini wame kufanyia vile, au wamekupiga bila sababu yoyote” hapo ndipo palikuwa pagumu, lakini Higgno hakuwa na jinsi zaidi ya kueleza ukweli, “ni kwaajili ya Hilda” alisema Higgno na kumsimulia toka siku ile alipo mueleza kuwa lazima atembea na Hilda na mpaka alipowakuta wana zini, na pia alimsimulia mabadiliko ya tabia ya Hilda yakuto kuwa nae jirani, “namimi nikaamua kukaa mbali na Hilda, kwasababu hiyo Talib ana sifa ya kuwa mvuta bangi, niliogopa haya yaliyonikuta leo” alisema Higgno japo alificha mengi katika simulizi ile, kama vile Hilda kufumaniwa mara kwa mara ana zini kwenye vichaka na Talib, pia tabia mpya ya uvutaji wa bangi wa mschana huyu rafiki yake wa zamani, nayo hakumueleza baba yake, “ok! kwahiyo siku hizi Hilda sio rafiki yako kama zamani” aliuliza kwa mara nyinge baba Higgno, hapo Higgno akaitikia kwa kichwa kukubali kuwa Hilda sio rafiki yake tena, hapo mzee frank akatulia kidogo kama vile anatafakari, kisha akamtazama mwanae, yaani Higgno, “sikia Higgno, kwa sasa wewe ni kijana mkubwa, umesha balehe, na unapata hisia za kuwa na mpenzi, japo sio sahihi kwa wewe kuwa na rafiki wa kike kutokana na kuwa wewe bado mwanafunzi, najua ni machungu kiasi gani unayapata kwa sasa juu ya Hilda, lakini ukweli huyo sio mwanamke sahihi kwako, achana nae na uwe makini sana, wakati mwingine unapoingia kwenye urafiki” alisema baba Higgno, wakiwa wanahitimisha maongezi yao na kujiandaa kufunga duka.*****
Yap leo wana jamii forums twendeni nyumbani kwa mzee Komba, lilikuwa ni eneo kubwa kiasi lenye nyumba moja ya tofari za udongo zilizo chomwa na kuezekwa kwa nyasi kama vibanda viwili vidogo vilivyo pembeni ya nyumba hii, ambavyo vilikuwa kushoto na kulia mwa nyumba, kibanda cha kushoto kikiwa ni bafu na choo, na kile cha kulia kilikuwa ni kibanda cha jiko, ambako mama Hilda alikuwa anatoka huku amebeba sinia lililofunikwa na sufulia jeusi lililokuwa lina fuka moshi kwa mbali, ulioambatana na harufu ya ugali, anatoka jikoni na kuelekea kwenye mkeka uliokuwepo nje ya nyumba yao pembezoni mwa ukuta, ambapo alikuwepo mzee Komba, alie kuwa amekaa kwenye kiti kifupi (kigoda), pembeni ya mkeka huo, sijui kwa lugha gani lakini wakati mwingine walikuwa wanauita mpasa, “shida hii, jamani, mpaka koroboi zita ota kutu kwa kukosa mafuta” alilalamika mama Hilda mke wa mzee Komba, huku anaweka sinia lile mkekani akisaidiwa na mwanga wa mbala mwezi, “subiri mwanao amalize shule akuwekee umeme, si unaona anavyosoma kwa bidii” alisema mzee Komba, na hapo mke wake akacheka kidogo, kicheko cha matumaini, “yaani sipati picha nitakavyo kuwa navaa nguo mpya kila sikukuu” alisema mama Hilda huku anarudi jikoni, “ila usiku huu inabidi wawe waangalifu sana huko njiani, maana baskeri ya Higgy sijui kama ina taa” alisema Mzee Komba akimaanisha kuwa mwanae Hilda alikuwa bado hajarudi na alikuwa na Higgno, “huyooo hatajwi” alisikika mama Hilda akisema wakati ana toka jikoni na sufuria dogo jeusi, mkononi sufuria lililo toa siri kuwa lilikuwa linapikiwa kwenye jiko la kuni.
Mzee Komba akainua uso wake kutazama njia ya kuingilia pale nyumbani, akamuona mwanae Hilda akiwa anaingia pale nyumbani kwa mwendo wa kichovu huku ameshika kipande cha gazeti kilicho viligwa nakuacha vijiti vyembamba vya mianzi vikichungulia, mkono mwingine alikuwa amebeba, kitabu kimoja tu mkononi, na kwa kukuibia siri ni kwamba kitabu hicho sio cha masomo, kilikuwa ni kitabu cha simulizi ya UMEKOSEA LAKINI TAMU, toka kwa Mbogo Edgar, “hooo! msomi wangu huyooo” alisema mzee Komba, kwa sauti ya kushangilia, “shikamoo baba” alisalimia Hilda, huku akivua viatu vyake na kujikalisha mkekani kivivu, akisababisha kiskert chake kupanda juu kutokana na ufupi wake, akishindwa kukiweka vizuri, “marahaba msomi wangu, naona umebanwa sana na masomo” aliitikia mzee Komba na wakati huo mama yake alikuwa anawekasufuria kwenye mkeka, “afadhari umewahi mwanangu, maana hawa kauzu (dagaa) wenyewe wa shilingi hamasini tu, sijui tunge gawanaje” alisema mama Hilda huku anaenda kuchukua maji ya kunawa, “si nimekuja na mishikaki ya pale kilabuni” alisema Hilda kwa sauti ya kivivu iliyoonyesha ametumia bangi muda sio mrefu, huku anafungua kipande cha gazeti, na kutoa mishikaki kumi akaiweka pembeni ya sinia ambalo bado lilikuwa lime funikwa na sufuria, mishakaki hiyo ilikuwa inauzwa shilingi kumi kila mmoja, “haaaa! hapo ndipo ulipokosea, si unge niletea hela nikanywe ulanzi” alilalamika baba Hilda yani mzee Komba, “ona sasa we mzee akili zako zilivyo, yaani unaona bora ukanywe ulanzi kuliko kula vizuri, ulanzi wenyewe unaumalizia huko huko kilabuni” alisema mama Hilda akimzodoa mume wake, “nyie wazee acheni kusemana nitawapa mia mbili mkanunue ulanzi” alisema Hilda kwa sauti ile ile ya kivivu, “hayo ndiyo mambo sasa, wacha nile haraka nikachukuwe ulanzi” alisema mzee Komba, wakati huo mke wake alie kuja na maji ya kunawa akiweka vizuri vyakula tayari kwa kuanza kuliwa.
Wakati wanakula ndipo mama yake Hilda nikama alikumbuka jambo, “mbona siku hizi, sikuoni na Higgy, au ndio kubanwa na masomo?” aliuliza mama Hilda, wakiendelea kula, “haaa! mama mambo gani hayo ya kunitajia huyo zoba” alisema Hilda kwa sauti ya kivivu akionekana hata lugha zake zimebadilika sana na kuwashangaza wazazi wake, “inamaana ume gombana na rafiki yako?” aluliza mama Hilda kwa sauti ya mshangao, “mama bwana, nimesema achana nae huyo lofa, tena leo alituletea ubwege wake wakina Talib wakampiga mpaka amekoma” alisema Hilda kwa sauti ya kivivu, japo ilikuwa ya majigambo, “kwanini sasa umeacha wanampiga rafiki yako?” aliuliza mama Hilda kwa sauti ya mshangao, lakini alionyesha kuwa hakujutia kitendo kile cha mwanae, “tatizo Higgy ana wivu, yeye ameona mimi nimepata marafiki matajiri ndio ananifanyia visa kila siku, leo ndio wamemkomesha” alisema Hilda, “huyu mtoto mbaya sana, ndio maana toka mwanzo sikutaka kabisa we karibu na mwanangu” alisema mama Hilda kwa sauti iliyojaa chuki, “unadhani nitawaacha hivi hivi, lazima nikawape ukweli wao, tatizo bwana Frank na kijana wake wanajiona wao ndio matajiri pekee hapa mtaani hivyo Higgy anavyoona mwenzie amepata marafiki matajiri, anamuonea wivu” alisema mzee Komba kwa sauti iliyoonyesha wazi kujawa na chuki na hasira, huku akipanga ataenda kesho asubuhi nyumbani kwa mzee Frank, maana usiku huu alipanga akanunue ulanzi anywe na mke wake, utakuwa umefanya jambo la mbolea” alisifia mama Hilda.*****
Siku ya pili asubuhi ya saa moja, ndio muda ambao Higgno alishtuka toka usingizini, huku akihisi maumivu katika baadhi ya sehemu zake za mwili kutokana na kipigo cha jana kule pacha nne, wakati ana jiinua kitandani ndipo aliposikia mtu anapiga hodi kwa fujo, na aliposikiliza vizuri alikuwa ni mzee Komba, yani baba yake Hilda, “ina maana humu ndani hakuna watu au kiburi tu!” aliuliza mzee Komba baada ya kubisha hodi mara mbili.
Higgno alitaka kwenda kufungua mlango, lakini akasikia mlango unafunguliwa, “vipi mzee mwenzangu, umetisha sana, utadhania mgambo anafuata kodi ya kichwa” alisema bwana Frank, kwa sauti iliyo jaa utani, japo mwenzie alionekana kuwa, hakuwa katika hali ya utani, “sikia bwana Frank, mkanye mwanao aache matumizi ya bangi, kama ukishindwa kumueleza hilo basi usijisumbue kulipa elfu themanini yako kwaajili ya ada, kwa maana una msomesha mfungwa mtarajiwa, ambae hatokusaidia kwa lolote” alisema kwa hasira mzee Komba, “mzee mwenzangu maneno gani hayo tuna watia laana watoto, hebu temea mate chini” alisema mzee Frank, ambae bado alionekana kuchukulia kama utani juu ya maongezi yale, “we fanya mzaha bwana Frank, lakini chonde chonde, mueleze mwanao aache kuvuta bangi” alisema tena mzee Komba, kwa sauti ile ile ya jazba, “taratibu basi mzee mwenzangu, hebu tulia unieleze Higgy amefanya nini” Higgno akiwa ndani aliweza kumskia baba yake akiongea kwa upole, “sikia bwana Frank, unajua kwa sasa huyu mwanao ameanza tabia fulani za ajabu” alisema mzee Komba, na kutulia kidogo….. Higgy wizzy anazidi kupewa kashafa, ilikujuwa ilikuwaje, tuonane tena hapa hapa Jamii Forums.
Nipo kambi, u bze mwingi mpaka napitwa na vtu vyangu hivi,
Shukran sana mkuu,
 
Back
Top Bottom