Simulizi -2 Hours of Memories (Espionage and Science)

SEHEMU YA 14

Stella alikuwa akimpenda sana James na alikuwa yupo tayari kuolewa nae kwani hata familia yao pia ilikuwa ikimpenda sana james na walikuwa washamkubali james kua mkwe wao.
Stella alijikuta akilia sana na kujilaumu sana kwa kukubaliana na Lea kuja nae club kwani aliona kilicho sababisha yote ni yeye kukubaliana na Lea kuja club jambo ambalo hata yeye hakuwahi hapo kabla kulifanya kwani hakuwa mtu wa club .
Alijaribu mara kadhaa kupiga simu ya James , lakini haikupatikana hewani na kibaya ni kwamba alikuwa nje ya nchi jambo ambalo lilizidi kumuumiza sana Stella na aliona hatoweza kuisha kwani alikuwa akimpenda sana mwanaume huyo.
“ Ila sina haja ya kulia naamini James ananipenda na atanisamehe katika hili” Alijiongelesha Stella kwa kujipa matumaini na kweli matumaini hayo yalidhaa matunda kwani aliamka na kujiandaa kwa ajili ya kutka na kurudi mahali ambako alikuwa akiishi na marafiki zake
“ Yule mwanaume nitamsaka popote pale na lazima nimfunge ndio ajue nini maana ya mimi kusomea sheria ,hawezi akajaribu kuniharibia maisha yangu mimi, aombe James anisamehe”Hayo ndio maneno ambayo alikuwa akiyazungumza Stella wakati akitoka katika chumba hicho.
Huku upande wa Sebastiani alikuwa akitoa matusi ya nguo akimtukana Masumbuko kwa kile alicho kuwa amemfanyia kwani alijua kabisa kuna kitu alicho fanyiwa na kila alipo kuwa akikumbuka kuwa mwanamke ambae alikuwa akimuinda kwa muda mrefu masumbuko ashamla kitumbua chake alijikuta akipiga ngumi ukutani huku akijikuta akijilaumu kwa kumwamini masumbuko.
Wakati akiendelea kusakamwa na hasira zake za hapa na pale ndipo simu ilianza kutoa mlio ikimaanisha kuwa ilikuwa ikiita .
“Seba vipi mbona kule hotelini nilikuwa sikuelewi” ilisikika sauti nyororo ya mrembo Lea .
“Hunielewi kwani nini kimetokea?”
“Wewe hukumbuki kuwa ulikuwa ukifanya kazi za muhudumu na mtoto kaenda kuliwa na yule Rafiki yako”
“Unasema nilikuwa nafanya kazi za uhudumu mbona sikumbuki chochote”
“Hahaha.. jamni naona Rafiki yako kakufanyia na wewe kama alivyo mfanyia Stella masikini wa Mungu”
“Wewe Lea hebu niache kwanza mpango wako ushafanikiwa na unishukuru mimi na kwasasa hatudaiani mimi na wewe”
“Jamani Seba kwani umesahau kuwa unamtaka Stella au na huyo unampotezea nimuunganishie mtu mwimngine”.
“Hapana Lea bwana sijamaanisha hivyo , namaanisha kuwa sipo sawa kwa sasa hebu tutaongeea kesho .huku akikata simu kwa hasira na kuitupilia kwenye sofa”.
“Huyu mwehu ngoja saivi anaweza akajiona kuwa mshindi , ila ngoja na mimi lazima aingie kwenye mtego wangu , wewe subiri tu”

***
Ilikuwa ni siku nyingine ndani ya jiji la Dar jiji ambalo lillikuwa limechanagamka huku watu wengi wakionekana wakiwa bize wakifanya kazi zao ambazo kwa namna moja ama nyinginea ndio walizo kuwa wakizitegemea kwa kuingiza kitu tumboni pale jua lizamapo .
Kwenye watu walio kua bize siku hio alikuwa ni mrembo Nasma kwani na yeye alikuwa ndani ya ofisi ya msajili akijisajili jina lake kwa ajili ya kuanza chuo rasmi ndani ya chuo hicho .
“Unaitwa nani?”Aliuliza mfanyakazi wa hapo muhudumu
“ Naitwa Nasma Samiri Mswaki”
“Umeomba mkopo au unajitegemea?”
“Hapana najitegemea”
“Mhmh wewe kweli lazima ujitegemee maana sio kwa uzuri huo” Aliongea mwanamke huyo na kumfanya Nasma atabasamu .
“Okey napenda kukuambia kwanzia sasa hongera umekuwa mwanafunzi kamili wa chuo hichi na kwasasa unaweza kwenda na kufata taratibu nyingine”
“Nashukuru sana” Huku akitoka na kumfanya yule msajili amwangalie Nasma na kutingisha kichwa na kujisemaea maneno ambayo hata mimi sikuyajua .
Lakini wakati hayo yote yanaendelea Nasma alikuwa muda wote anamuwaza Masumbuko na kama alivyoambiwa na mfanyakazi wake kuwa hayo yalikuwa mapenzi hata yeye mwenyewe alikiri kuwa hayo yalikuwa ni mapenzi kwani kuna wakati mwingine alikuwa akimfananisha Masumbuko na watu wengine lakini alichoambulia ni kwamba kila alie kuwa akijaribu kumfananisha nae alikuwa sio Masumbuko mwenyewe.
Alijikuta akitamani sana kumuona Masumbuko na alihitaji hilo kama vile mtu alie kuwa anakiu flani hivi ya kunywa maji na asipo kiunywa maji basi hakuwa sawa na hicho ndicho kilicho kuwa kikiendelea katika kichwa cha mrembo huyo .
Na kama ungebahatika kumuona kwa uzuri alio kuwa nao na kile kilicho kuwa kina msumbua basi ungeshangaa ni kwanini mrembo kama huyo anakuwa kwenye majonzi na wakati angekuwa na mwanaume yoyote yule kwani hakuna mwnaume ambae angekuwa ni rijali ambae angemkataa kuwa nae katika mahusiano.
****
Tukirudi huku kwa Najma tokea arudi club alionekana ni mtu mwingi wa mawazo na kuna muda mwingine hata watu waliio kuwa wanamzunguka walimshangaa kwani kuna wakati mwingine alikuwa akiangalia sehemu alikuwa akipaangalia kwa muda mrefu sana kiasi kwamba asipo shtuliwa basi angejikuta akipaangalia hio sehemu bila kuacha , lakini alipo kuwa namaliza alijikuta akitabasamu kana kwamba kitu alicho kkuwa akiangalia kilikuwa kina mfurahisha sana .
“Mdogo wangu mbona nilikuwa na kuita hata hausikii na tokea jana nakuona uko hivi ni nini hiko kinacho kufanya uwe hivyo . aliuliza Rania baada ya kumkuta Najma akiwa kakodolea ukuta akishangaa jambo lililomfanya Najma amshangae kwani likuwa kimwita lakini hakusikia .
“Dada yani hata sielewi sijui ni mapenzi sijui hata ni nini yaani daa..”
“Haa! mdogo wangu usiniambie umeshapenda mwanaume tayari .
“Dada yaani hata sijui kinacho nitokea yaani , ila yote yameanza jana club nadhani kulikuwa na sababu kubwa ya mimi ya kwenda ile sehemu huoni sasa daa! .. wewe dada nenda kazini nitakusimulia wakati utakapo rudi”
“Hahaha .!. haya ngoja niende mimi ila usisahau kunisimulia pale nitakapo rudi” .
Aliongea Rania huku akiwa amependeza kweli kweli na vazi alilo vaa siku hio lilikuwa limempendezesha kweli .
Najma alijikuta akikumbuka kitendo kile cha kutaka kudondoka huku akiwa kwenye uoga mkali lakini alijishangaa akiwa kwenye mikono ya kijana mmoja HB akiwa ameshikilia vizuri Alijikuta akifumba macho na kuyafumbua huku akitabasamu na kama alikuwa akiiona ile sura ya yule kijana
***
Huku upande wa nyumbani kwa Peter alionekana Peter mwenyewe akiwa kwenye maandalizi ya kuelekea kazini kwake kwani siku hio ilikuwa ndiio siku yake ya kwanza katika kufanya kazi kama muajiliwa rasmi katika benki X , jambo mbalo kwa namna moja ama nyingine lilikuwa kidogo lina mpa hamasa na kahisia flani hivi kama tunavyo jua watu wengi wakiwa wakianza kazi katika sehemu flani wanakuwa na hisia flani hivi kama za kutokujiamini kuto kujiammini
Kwa upade wa Peter siku hio alikuwa amevaa kijisuti flani zenye kifungo kimoja ,kijisuti ambacho kilikuwa kikimfanya aonekane bonge la bitoozi na kuwa na unadhifu ambao ulikuwa ni dawa kwa wanawake warembo .
Peter alijiandaa na baada ya kujiangalia katika kioo na kuona sasa muonekano wake uko sawa basii alivuta droo na kutoa ufunguo wa gari yake hio mpya alio inunua kwa bei taslimu milioni mia mbili na nusu , magari ambayo ni kwa watu wachache sana walikuwa nayo hapo mjini .
Aliingia ndani ya gari lake na kisha akalitoa nje kabisa ya geti na hukuwakati huo wakina Steve na mwenzake Masumbuko wakiwa usingizini kwani walioneakana kuchoka sana na Steve hakurudi nyumbni kwao
Huku ndanii ya benki x alionekana mwana CO au boss Shani kama wafanya kazi wengi walivyo kuwa wamezoea kumuita , siku hio alionekana akiwa amependeza kweli kweli siku hiyo jambo ambalo liliwafanya wafanyakazi kumkodolea macho kwani japo alikuwa amependeza lakimni pia hata umbo lake namba nane liliwafanya wanaume wengi siku hio wamkodolee macho kwa kumtamani na siku hio alikuwa amependeza kuliko isivyo kuwa kaiwaida yake, japo ilikuwa mwana mama huyo kwenye swala la kupendeza na kupangilia mavazi alikuwa yupo vizuroi lakini siku hio ni kwamba alikuwa amependeza kuliko siku zote na kufanya aonekane kama kigoli flani hivi na kama mtu angekuwambia mwanamke huyo alikuwa na Watoto wakubwa basi usingeamini .
“Yaani boss kapendeza na hio shepu yake isio potea hadi na muonea wiviu hakika wanaume wanafaidi nyine jamani” Aliongea msichana mmoja anaeitwa Pamela mfanyakazi .
“Ni shida leo kazidisha na kajipodoa huyo..! kwa make up. Hizo ndizo baadhi ya zogo ambazo wafanya kazi walikuwa wakimzungumzia mwanamama huyo alivyo kuwa amependeza na hiko kijisketi chake kilicho ishia juu ya magoti kidogo kama inavyo julikana Wanawake wa mjini .
Na wakati huo aliengia na kuzua pia gumzo ni Rania kwani siku hiyo na yeye alikuwa amependeza sana .
“Uwii! familia imejaliwa hii jamani ..” Pamela alijikuta akishindwa kujizuia baada ya kumuona Rania akiingia kutoka kwenye lift na kumfanya mwenzake alie kuwa pembeni yake atabasamu.
“Jamni leo ni siku ya suprize tu mbona haziishi jamani nifanye kazi mimi..huyo ndo mwanaume sasa” Aliongea Pamela na hapo watu wote wakageuza macho mlangoni na kumwangalia kijana anae ingia akiwa amependeza sana na kuchafua hali ya hewa ndani ya eneo hilo na huyu hakuwa mwingine bali alikuwa ni Peter.
Peter baaada ya kuona wadada wanamshangaa sana siku hio alijikuta akiinua tu mkono na kuwapungia .
Huku ofisini kwa boss Shani muda wote alionekana kujiweka sawa kama mtu alie kuwa akimtarajia boss wake kufika kazini na alitaka amkute kwenye mazingira mazuri.
Peter alifungua mlango wa mkurugenzi na kitendo kilicho mfanya mama boss Shani kuinua uso wake na kuangalia anae ingia na hapo ndipo alipo jikuta kama moyo wake umesimama kwa muda kwani muoenekano wa Petere ulimfanya apagawe .
Alijikuta akiwa kwenye mshangao mpaka pale Peeter alipo msalimia ndipo mama huyo alipo tabasamu na kisha kusimama na kwenda sehemu ya masofa na kukaa huku kile kijisketi kikipanda juu na kuacha mipaja hio ilionona na kutunzwa ikiwa nje nje Peter na yeye alikaa na kujikuta macho yakitua kwenye mapaja ya mwanamama huyo na kumuweka kwenye hali ngumu kwani alisimamisha macho yake kwa sekunde kadhaa kitu ambachoCEO alikishuhudia kabisa na kuona hio ni moja ya pasi moja ndefu ambayoo amefanikiwa katika mpango wake
Peter alimwangalia Mama Rania na Mama Rania hakuchelewa na yeye aliachia tabasamu lake lililo mfanya azidi kuvutia na yeye alilitumia kama moja ya sirraha yake katika kumpumbaza mwanaume yoyote .
“Karibu sana , naona siku ya leo ni siku yako ya kwanza na kidogo una presha”
“Yaani ni kweli najikuta niko hivyo lakini nadhani itashuka pale nitakapo zoea mazingira ya kazi”
“Ni kweli na utazoea tu , na huu ndo mkataba wetu wa kazi nadhani utausoma na baadae utasaini katika hizo sehemu zinazo kutaka kufanya hivyo”
“Okey sawa bosi”
“Okey sasa nadhani ni wakati wako wa wewe kwenda kwa manager ili akuonyeshe ofisi yako”
Basi Peter alinyanyuka na kumuacha mama huyto akimsindikiza kwa macho ya kimatamanio na katika mawazo ya Boss Shani alikuwa akiwaza ni kwa jinsi gani atamfanya Peter kuwa kiben ten chake kwani mume wake kipindi likuwa hamfikishi pale alipo kuwa anapataka na aliona haja zake zinaweza kumalizwa na Peter na kwakuwa alimuona kama kijana mwenye akili sana .
“ Hi! mrembo umependeza ”
“Najua” Alijibu Rania baada ya kuinua macho ni Peter na akarudisha macho kwenye tarakishi yake .
“Aaaa… vibaya hivo jamani ndio jinsi unavyo wahudumia watu wenye shida hivyo mrembo”.
“Naomba uniite meneja si mrembo sawa , na shida yako unaweza ukanambia nitakusadia”
“Okey mrembo nataka unionyeshe ofisi yangu na kunielekeza kazi zinazvyo fanywa”
“Hahaha.. kwahio umekuja kuelekezwa kazi zinavyo fanywa au umekuja kufanya kazi”
“Hebu acha ukali wa kuigiza bhana mrembo hata haufananii na mwonekano wako huo, kuwa original basi twende sawa” Rania aliishia kumwangalia Peeter na kisha alichukuwa karatasi Fulani na kisha akanyanyuka na kumwambia Peter amfuate .
Basi hatimae Peter alipelekwa kwenye moja ya ofisi moja ya kisasa ili kuwa katika mpangilio mmoja mzuri sana na wa kuvutia na kilicho kuwa kina furahisha ni kwamba ofisi hio ilionyesha mazingira ya nje kwa vizuri kabisa .
“Hii ndio ofisi yako na wewe ndio mkuu wa kitengo cha ulinzi wa taarifa zote za benki kwa hi kazii yako itakuwa ni kusimamia timu yako ya ma IT kufanyakazi pamoja na kuhakikisha mtandao wa kibenki unafanya kazi katika usalama wa hali ya juu na kama kuna mapendekezo na maboresho unataka kuyafanya ni wewe , kiufupi ubunifu unaweza ukatumika mahali hapa ili mradi tu usivuruge taarifa za kibenki” Aliongea Rania na kisha akamuonyesha baadhi ya mafaili na wakati huo wote Peter alikuwa akivutiwa sana na mwonekano na uongeaji wa Rania.
Rania alijua Peter alikuwa akimwangalia na hakusema neno kwani baada tu ya kumaliza aliamua kuondoka huku akimwacha Petera katika hali ya kumtazama akitingisha kalio ambalo amejaaliwa nalo .
“Daah huyu mtoto huyu , da!a , sio mama sio mtoto , tutaona kama kweli nitapita salama pasipo kushtakiwa .” Aliojiongelesha Peter huku akitoa makaratasi aliokuwa amepewa na boss na kisha akanza kupitia mkataba huo uliokuwa ukimfurahisha sana kwani mshahara ulikuwa mkubwa kinyume na matarajio yake , kwani likuwa akilipwa milioni tatu kwa mwezi pesa ambazo ni nyingi sana kwake japo kuwa alikuwa na hela tayari za kutosha katika benki akaunti yake lakini hata hizo aliziona ni nyingi na zinamtosha kabisa .
Lakini alifungua tena Bahasha na kukutana na kijikaratasi ambacho alikifungua na kukisoma
“Hio ni namba yangu ya simu nje ya kazi naomba unibipu na mimi nipate namba yako .. by Shani”
Hayo ndio yalikuwa maandishi ya kikaratasi h icho Peter aliisihai kuguna tu na kujisemaea hatimae kisasi kimeanza.
***
Profesa nadhani ni muda wa kuniweka wazi kuhusu huyo mtu ni lini tamtambulisha kwetu kama team ili kumfahamu na kuanza kungalia ni kwa jinsi gani tunaweza kuibadilisha kesho inayokuja katika maswala ya teknolojia”
“Merry nafahamu kweli kuwa kati ya watu ambao wanashauku kuona mambo yanayo kuja ni wewe, lakini naomba ni kuhakikishe tu kwamba muda si mrefu utaona kila kitu kinaenda kama kawaida”
“Ni kweli uyasemayo profesa lakini kuna muda naona kila kitu kinacho endelea kama vile hakipo katika uhalisia flani hivi kwa hio natamani kuona kama ni kweli”
“Ni kweli ila kwa sasa naomba tuendelee kuona ni kwa jinsi gani tunataka kesho yetu iwe nadhani hilo ndio jambo muhimu la kufikiria kwa sasa”
“Naungana na wewe”
“Professa kuna nadharia hapa nimekuja nayo na nafikiri itakuw ni njema sana kama nitakueleza” Aliongea A2 na kumfanya profesa Gladness amwangalie
“Unaweza kuileza , hakuna shaka na mimi nina hamu wa kuona hio nadharia yako ulio kuja nayo”
A1 alikuwa ni roboti ambalo alikuwa ameliunda proffesa Gladness miaka ya nyuma kipindi hicho alipokuwa ameshikiliwa na wamarekani .
Ndani ya kampuni ya A2 yeye ndio alikuwa akihusika na maswala ya sayansi ya mwili yaani Biochemist .
****
Stella alifika usiku usiku mpaka kwenye nyumba ambayo alikuwa amepanga akiwa na marafiki zake .
Na ile alipo gonga tu na Rafiki yake Nusura ndio aliokuwa amekuja kumfungulia mlango na kumshangaa kwanini anarudi wakatii huo
“Vipi shost kulikoni usiku huu si ulikuwa na yule mkaka Virus” Aliongea Nusura baada kufungua mlango na kumkuta ni Rafiki yake .
Stella alimwangalia tu Nusura na kisha kwa mwanga wa taa Nusura alishuhudia Stella akitoa machozi mengi na kisha kupita mpaka chumbani kwake , huku akimuacha Nusura kwenye mshangao na kiulizo .
“Mhmh . makubwa!” Aliongea Nusura na kisha alipita na kuelekea ndani baada ya kufunga mlango , alienda moja kwa moja mpaka chumba cha Rafiki yake Stella kwani walikuwa wakikaa kila mtu chumba chake katika nyumba hio.
Alijaribu kusukuma mlango lakini haukufunguka kwani ulikuwa umefungwa kwa ndani .
Alijaribu kumuita Stella na kumuuliza kuwa yupo sawa, naSstell kwa sauti hafifu aliitika kuwa yupo sawa wataongea kesho.
Na wakati huo wakati Stella akiingia Lea alikuwa akisikia kila kitu kinacho endelea na hakutaka kutoka Zaidi ya kulala kwenye chumba chake
Na nyumba hio ni kwamba ilikuwa imepangishwa na James alikuwa amempangishia mpenzi wake Stella na kwakua nyumba ilikuwa kubwa aliamua kuwaleta rafiki zake kukaa nao.
Nusura hakuwa sawa kimawazo kwani hali alio kuwa amemuona nayo Stella ilimtia wasiwasi , kuna muda alitoka na kwenda kusikiliza kwenye mlango wa Stella na kutaka kugonga lakini alijizuia kurudi zake kulala.
Hatimae ilitimia asubuhi , kwa upande wa Stella hakupata hata usingizi kwani alilia usiku mzima, ilipo timu asubuhi alijaribu kuingia online na kumtumia ujumbe James wake kumuomba msamaha , lakini matokeo yake ujumbe ulisomwa na kisha haukujibiwa , alijaribu kupiga simu moja kwa moja simu iliita mpka ikakatika . Stella alijisikia vibaya kweli na kuanza kulia , wakati akiwa kwenye mazwazo hatimae mlango ulifunguliwa na aliekuwa akigonga likuwa ni lea .
Stella aliamka kivivu na kwenda kufungua mlango huku akijiweka sawa kwa kufufta machozi .
“Vipi shosti mbona umerudi kimya kimya jana hata kuja kutupa kilicho endelea”
Stella kusikia maneno hayo alijikuta akishindwa kujizuia na kuanza kulia na wakati huo na Nusura nae alikuwa ndo anafika .
“Jamani shosti una nini mbona unalia jamani” Aliongea Lea huku akijifanyisha kuwa na huzuni ya kuigiza .
“Stella tuambie nini kimekukuta basi maarafiki zako unatuweka kwenye wakati mgumu “ aliongea Nusura huku hata yeye akitamani kulia kwani hakuwahi kumuona Stella kwenye hali hio tokea akutane nae .
Stella alilia sana kwa kwikwi na alishindwa hata kuongea Zaidi ya kutoa simu na kumpa lea alie ishika na kuangalia messaji za wasapu.
“Jamani jamani ni nini hiki jamani .. aliongea Lea na kumfanya Nusura ampokonye ile simu na kuangalia na kujikuta na yeye akishikwa na simanzi kwa kile alicho kiona na kukisoma aliishia kuweka simu na kumsogelea Stell na kisha akamkumbatia huku akianza kumbembeleza huku na Lea nae akianza kumfarji Stell kwa maneno matamu .
Basi baada ya muda kama nusu saa hatimae walifanikiwa kidogo kumuweka sawa Stella na kumuomba aanze kuhadithia.
“Kwahio unamaanisha pale jana ni kama sio wewe vile au vipi maana sielewi “
“Ndio Lea yaani sikumbuki hata chochote kwani nilijikuta tu nikiwa ndani ya chumba cha ile hoteli”
“Maskini ukute alitumia ndumba yule , maana hata mimi pale jana ujue nilikushangaa sana”
“Lakini Stella wewe hauna haja ya kulia hapa kwa ninacho ona ni kuangalia ni kwa jinsi gani ya kuongea na James na kumuelewesha na pia tumtafute yule kaka kwa njia yoyote ile . aliongea Lea kinafiki mbele ya Rafiki yake .
Maneno kidogo ya marafiki zake yalimtia nguvu kwani alijua James anampenda na atamsamehe kwa kosa hilo kwani ni kosa lake la kwanza kulifanya na isitoshe sio kama alikusudia .
Basi walianza kujiandaa kwa ajili ya kwenda chuoni kwani muda ulikuwa umeenda sana na walikuwa na kipindi saa tatu na nusu .
Lakini ile Stella anamalizia kuvaa kwa ajili ya kwenda chuoni na marafiki zake ndipo simu yake iliita na kuangalia jina mama yake ndio alikuwa akipiga.
“Hellow mama shikamo”
“Stella mwanangu umefanya nini mwanangu , kumbe hayo ndio mambo yako” Ilisikika sauti ya mama yake ikiongea pasipo kupokea hata salamu .
Stella alishindwa hata ajibu nini kwani alijua tu kabisa nyumbani washajua kila kitu na aliishia kunyamaza tu .
“Sikia naomba uje nyumbani leo hii , kata tiketi ya ndege haraka sana uje nyumbani” Na simu hapo hapo ikakatwa.
“Stella alijikuta akitetemeka kwa woga kwani hakutegemea kama wazazi wake washapata taaariafa hio mapema yote hio .
Alijikuta akinyong'onyea na kujikalia kwenye kitanda na kukaa na kuanza kulia kwa kwikwi , alilia sana mpka Rafiki yake Nusura alipoingia kwajili ya kumuambia waondoke kuelekea chuo , na hapo ndipo alipo mkuta Stella kwenye hali hio ambayo kwake pia ilimuumiza.
Stella ilibidi awaambie wenzake kuwa hatoweza kwenda chuo kwani anaeleka nyumbanii kwao kwani taarifa ishawafikia wazazi wake .
“Jamani kuna wanaume hawana dogo yaani kabla hata hujauliza wala kusikia maelezo tayari ushafikisha habari kwa wazazi” Alingea Nusura huku akisonya.
“ Usiseme hivyoo Nusura hata mimi ningefanya hivyo , kwani kila kitu kinajionyesha”
“Sawa shoti ila mimi nakwambia hapo hakuna mwanaume kabisa mwanaume gani huyo”
Wakati yote hayo yakiendelea kwa Lea alijiona kama malkia kwani aliona sasa muda si mefu ana kwenda kukutana na mwanaume anae mpenda .
Kuna muda alitamani kuruka ruka kwani alikuwa akijisikia raha ya ajabu na wakati wote huo alikuwa akichat na James.
Stella aliweka nguo zake kwenye kijibegi kidogo na kisha alitoka na kufunga chumba chake na kuelekea uwanja wa ndege kwa jili ya kurejea nyumnai kwao mwanza.
SEHEMU YA 15
wivu wa hali ya juu sana kwani katika Maisha yake ya ndoa hio ni mara yake ya kwanza kwa mume wake kutoka nje ya ndoa , na alijua tu kabisa kuwa mme wake alikuwa na mwanamke .
Alijikaza na kuziweka zile nguo katika sehemu ya kuhifazia nguo chaafu na kisha alirudi kitandani na kujifunika shuka gubi gubi akigeukia ukutana ni kulala lakini wakati wote huo alikuwa akitokwa na machozi kwani hakuwa akiteggemea kuwa mme wake anaweza kumsaliti hata siku moja kwani alikuwa akimumini sana Samir .
Samir wala hakujali baada ya kumuona mke wake kalala kaamua na yeye kupanda na kujifunika shuka na kuuchapa usingizi .
Asubuhii mtu wa kwanza kuamka alikuwa ni mama rania alijikongoja mpaka bafuni alioga haraka haraka na kurudi na kisha alijiandaa kwenda kazini huku akimuacha mme wake ambae alikuwa ana koroma akionyesha kuwa likuwa na uchomvu wa hang over ya maana .
Mama rania alimwagiza tu msichana wa kazi kuwa amtengee mumewe supu .
Samiri alikuja kuamka muda wa saa tatu , mpaka yeye mwenyewe alijishangaa kwa kulala muda mrefu kama huo na kilicho muamsha ilikuwa ni simu ilio kuwa ikiita .
Aliamka kivivu na kuifuata simu yake na kuona ina la mpigaji ni la Amanda , aliangalia usalama na kisha akapokea simu na kuiweka sikioni na kisha kuongea na Amanda kukutana siku hio tena muda wa jioni baadala ya kutoka kazini .
Wala Samir hakupinga chochote Zaidi ya kukubali
“ huyu mwanamke ashaenda kazini , nitamkomesha mpaka atie adabu “ alijionglesha Samir huku akiingia bafuni na kisha kuoga na akaanza kuvaa nguo na siku hio alidhamiria kuto kwenda kazini .
“ boss mama kaniagiza nikuwekee supu iko tayari “ aliongea mfanya kazi na Samir akatingisha kichwa na kwenda kukaa kwenye meza huku akitengewa supu hio .
“ dadii .. morning “ alisalimia najma huku akiwa amependeza mwenyewe akiwa ameshikilia kijipochi akionesha kabisa muda huo alikuwa akitoka.
“ morning my daughter , ndo safari hio imeanza “
“ ndio dady nina fuatilia usajili wa kampuni yangu kwani niko mbioni kuifungua “
“ safi sana , najivunia sana wewe ni mtoto wangu “
“ thank you dady , halafu dadii nipo in love “ aliongea najma bila hata ya kumuonea aibu baba yake ,kiufupi uzungu ulikuwa umembadilisha kabisa .
“ wow .. hongera .. ni nani huyo mwenye bahati ya kumpata mwanangu .
“ baba sijafahamiana nae nimekutana nae hotelini , na sina maswasiliano nae na silifahamu jina lake , ila nimetokea kumpenda sana baba nataka unisaidie namna ya kumpata .aliongea najma huku akijidekeza mbele ya baba yake na kumfanya Samir hasira zimpande na hata ile hamu ya kuendelea kunywa ile supu ilikata ghafra alijitahidi kujikaza mbele ya mwanae ili asijue kuwa hio taarifa haimfurahishi hata kidogo .
‘ sasa mwanangu hebu nipe taarifa za sehemu amabayo mlio onana na maanisha kwenye hio hoteli ili nijue jinsi ya kumtafuta ‘ aliongea Samir huku akitaka kweli kusikia majibu ya hoteli hio .
“ni lantana hotel ndio tulipo kutana .. huku akimuhadithia jinsi alivyo kutana na mwanaume huyo .
Basi Samir alijikuta akipandwa na hasira nyingi ila pia alifurahi kwa wakati mmoja na kuona kuwa kitendo cha najma kutoficha hisia zake juu ya mwanaume anaempenda ni kizuri kwani atakuja na mbinu sahihi ya kumzuia asikutane na mwanaume huyo .
‘ kadabra .. naomba tukutane ofisini “ alipiga simu na kutoa maagizo hayo
Ni ndani ya nusa saa tu alikuwa ashafika ofisini kwake.
“ sikia kadabra nadhani kazi hamuiwezi ni ujinga gani mnafanya mna shindwa kuweka macho yenu vizuri kwa wanangu ‘ aliongea Samir akiwa amekasirika kweli na haikujulikana kosa lao sahihi lilikuwa lipi .
“ boss unasema unazungumzia nini “
‘ sikia najma kaniambia kuna mwanaume amempenda ila ninyi hata hamfahamu na kila siku mnanihakikishia kuwa mabinti zangu wako salama na mimi nawalipa “ aliongea Samir kwa hasira .. lakini hata ukiangalia ni kwamba kadabra hakuwa na kosa kwani najma kumepnda mwanume sio kosa kwao litakuwa kosa pale wakisindwa kufanya kazi yao ya kumuonya mwanaume anaye pendwa .
‘ lakini boss …”
“ sikia hakuna cha lakini nishawaambia muwafuatilie mpaka kwenye mlango wa chooni , sasa sikia nendeni kwenye hoteli ya lantana meneja wao pale nafahamiana nae mwambieni awaonyeshe kamera za siku ya jumatatu halafu nileteeni cd za siku hio ya jumatatu .
‘sawa boss ..”
“ haya potea”
“ huyo boya anabahati mbaya sana ya kupendwa na mtoto wangu ninaenda kumpoteza kwenye uso wa dunia “ alijisemea Samir huku akiweka tai yake vizuri na kuvuta kiti na kukaa .
****
Stella hakuamini kabisa kuwa james anaweza kumfanyia jambo kama hilo kwani siku zote alikuwa akijuwa kuwa james alikuwa akimpenda sana na hata yeye alikuwa akimpenda sana james na hakuwahi kudhani kuwa kosa moja tu linaweza kupelekea mahusiano yake na james kuvunjika , alijikuta akitoa machozi baada ya kufika ndani ya hoteli ya slipway masaki ambako alijipumzisha siku hio kwani hakutaka kwenda kwenye nyumba alio kuwa nakaa usiku huo.
“ kweli nimwamini siku zote james alikuwa hanipendi , hivi nimekosea nini mpaka kuto samehewa nimejitunza siku zote hizo miaka na miaka kuwakataa wanaume walionesha nia ya kunipenda kabisa kisa yako james kweli leo hii kosa moja tu unavunja mahusino yetu yalio dumu kwa muda wote huo james kweli kweli .. hihi hiii.. “ stella japo alipo waaga wazazi wake alionyesha hana mawazo , ila kiufupi alikuwa akijikaza tu , ila alipo fika ndani ya hoteli hio alijikuta akilia sana hasa baada ya kila muda akiangalia picha alizokuwa amepiga na james wakiwa katika maeneo wakila bata , alijikuta kama haamini na kumpelekea kuinua simu yake na kuanza kuitafuta namba ya james .
Simu iliita na kupokelewa .
“ una shida gani wewe mwanamke , au kuna ulicho sahau “ ni baada tu ya simu kupokelewa.
‘ james tafadhari usinifanyie hivyo nitaishije mimi nakupenda sana james kwanini lakini una nifanyia hivyo .
‘ sikia stella , mimi nilikuwa najua kilakitu ulicho kuwa ukikifanya wala hata usjitetee na isitoshe mimi na wewe kuanzia sasa itabaki kuwa stori tu , na najua hata baba yako ulimsikia alipo ongea kuwa nilikuwa sikupendi na dhani ni kweli , nomba uwendelee tu na Maisha yako stella sahau kuhusu james .
Maneno hayo yalikuwa ni kama mwiba ndani ya moyo wa stella , alijikuta akilia sana siku hio mpaka alipo kuja kupitiwa na usingizi .
Huku upande wa james alionekana akiwa na baba yake wakiwa ndani ya mgahawa mmoja ndani ya jiji la mwanza .
‘ unajua james nilikuwa nawaza ni kwa jinsi gani nitavunja mahusiano yako na yule mwanamke , nilikuwa naogopa sana , kwani nilijua unampenda kweli ila nilicho gundua ni kwamba haumpendi yule mwanamke “
“ hahaha .. baba bwana stella mwanzoni nilikuwa nampenda ila nilipo kutana na alice moyo wangu wote ulitokea kumpenda sana na isitoshe mimi na alice tunaendana sana .
“ hahaha.. that is my boy , unjua kuwa baba yake alice ni Rafiki yangu wa muda mrefu sana na ashawahi kunidokeza kuhusu huyo binti yake ila sikua na jibu la moja kwa moja kwani nilikuwa najua unampenda stella ila nadhani sasa nina majibu yote kwa mzee martini .
“ ni kweli daddy una majibu yote ‘ alongea james na hapo simu yake ilianza kuita na kuona namba ni ya lea , alimuaga baba yake kuwa anakuja mapema .
“niambie mpenzi wangu “ ilisikika sauti ya lea kwenye simu “
“ yes niambie bebi wangu aliongea james “
“ safii.. james unajua ninavyo kupenda nimeshindwa hata kulala , nilikuwa natamani sana kuisikia sauti yako .
“ na mimi nimefurahi kuiskia sauti yako , na nilichogundua stella una nipenda sana dio kama stella muongo muongo anapenda kuonekana mtakatifu , kumbe anafanya mambo yake kisirii siri “
“ ni kweli james na sikupenda uingie kwenye matatizo na ndo maana nimefanya kila njia kukuthibitishaia hilo japo stella ni Rafiki yangu .
“ asante sana mpenzi nina ahidi kukupenda kwa moyo wangu wote lea “
“ asante sana mpenzi nadhani sasa nina weza kulala maana kiasi furani nimeisikia sauti yaoko “.
James japo moyo wake ulibadilika sana juu ya mapenzi yake na stella lakini kitend alicho kifanya stella alikijua ni kitendo kichafu sana na aliapa hata kama amsamhehe hato weza kuwa na mwanamke ambae ana jivika Ngozi ya kondoo kwani alikuwa akimuamini sana stella . kwa upande wa lea na yeye alikuwa akizidi kufa katika penzi la james pasipo kuwa na uhakika kama mwanaume anaye mpenda anampenda na yeye kweli.
“ nakupenda james wangu mimi , stella utanisamehe ila siwezi kukuachia james na kama ni urafiki nipo tayari ufe na nipo tayari unichukie “ alionngea lea wakati alipo maliza kuongea na james wake huku akijifunika na kulala usingizi mnono kweli pasipo kujua kuwa kuna mwenzake ambae kuwa kaichukuwa furaha yake na usiku huo alikuwa akilia .
Hatimae kulikucha stella alijikuta akishtuka kutoka usingizini na kitu cha kwanza ni kuangalia simu yake kuona kama james kamtafuta lakini ni kama mtu alie kuwa akisubiria boti airport kwani mtu ambae anamsubiria wala hakuwa hata na wazo lolote juu yake .
“ james najua kuna kitu kimekupata ila nakupenda sana na sipo tayri kukupoteza kwani naamini hakuna mwanamke anae kupenda kama mimi na utarudi kwangu tu siku ukilifahamu hilo ‘ aliongea stella huku akijimsha kivivu huku akijihisi tumbo kumuuma kwani alikuwa hajatia chochote tumboni mpaka wakati huo .
Stella aliamua kurudi katika hali yake ya kawaida na kujikaza huku akijaribu kujifariji kuwa james atarudi tu kwake siku moja kwani anampenda sana na huku na yeye akiamini kuwa james anampenda
“ james najua unanipenda nab ado hujajua ndani ya moyo wako kuwa unanipenda na siku moja utakuja kulijua hilo na utakuja kwangu kwani na mimi nakupenda na sipo tayari kuwa na mwanaume yoyote yule Zaidi yako .’ aliongea stella huku akijiandaa kwa ajjili ya kwenda mbezi kwa dalali kutafuta nyumba ya kuishi kwani hakutaka kukaa kwenye nyumba ya james ili hali anajua washaa achana .
Lakini jambo moja mbalo lilikuwa lipo kwenye akili yake ni kumtafuta mtu anae itwa virus na aliapa kama atamtafuta kwa njia yoyote ile na kumfunga jera kwa kosa la ubakaji na alipanga siku inayofuata ataenda kwenye ile hoteli kwa ajili kuchukua matukio yalio kamatwa na kamera siku hio .
Kwani alicho kuwa akiamini stella ni kwamba mwanaume virus alimbaka na aliapa kwa kutumia uanasheria wake hio ndio kesi yake ya kwanza kabisa na a aliahidi kuwa lazima kesi hio aishinde.
****
Nasma alianza rasmi chuo katika kozi ya medical dokta kozi ambayo ilikuwa moja ya ndoto yake ya kuwa daktari mkubwa ndani ya Tanzania .
Nasma kama ilivyokuwa kwa ndugu zake na yeye alianza kuvuma ndani ya chuo hicho kwa uzuri , kwani kama ilivyo kuwa imezoeleka katika vyuo vingi kila wanafunzi wapya wanapo anza chuo basi wanafunzi wa miaka mingine huwafuatilia kwa ukaribu sana wanafunzi wa mwaka wa kwanza huhusani wale masharobaro na wapenda ngono , jambo hilo lilimfanya nasma kuanza kuvuma kama moto wa kifuu kwani wanafunzi wengi walionekana kumsifia sana msichana huyo .
‘ oya wadau ebhana ee hebu angalieni huyo demu kule getini , huyo ndo nasma mwenyewe chid nilie kuwa nikimzungumzia . “ aliongea jamaa mmoja ajlikanae kwa jina la rama .
“ oya rama .. rama rama mzea unajua nilikua najua unanizingua mzee kwani najua kabisa macho yako hayajui wanawake na ndo maana sikutaka kuliweka kazini hilo jambo wakati una hadithia .
“ sasa hapo unanaje nimezingua au “
“ baba hapa aisee ni shida huyu demu ni mzuri balaa .. nasema ni shidaa “ aliongea chidi huku akimwangalia nasma alie kuwa aktitembea kimapozi kabisa huku akiwa amevalia kijigauni chake kilicho mpita kidogo magoti na viatu vya mchuchumio na kumfanya wakati anatembea kutingisha kalio . na sio kwamba walikuwa ni wakina rama tu walio kuwa wakimuanagalia msichana huyo ila kulikuwa na wanaume wengi ambao walikuwa wakimkodolea macho na hata nasma mwenyewe alikuwa akijua kabisa anaangaliwa na wala hakulijali hilo kwani a ikuwa ashazoea .
Na uzuri ni kwamba hakuna hata mmoja alie kuwa akijua kuwa nasma ni mtoto wa Samir Tajiri menye wivu na Watoto wake anae walinda kama kuku.
Nasma kila siku alikuwa halali vizuri kwani muda wote alikuwa akimfikiria mwanaume masumbuko mwanaume ambae alikuwa hata halifahamu jina lake , alitamani sana walau hata amuone kwa mbali ili tu roho yake iridhike , hakuwa na raha kabisa kiufpi alikuwa kwenye penzi tena zito na mwanume huyo , lakini juu ya yote alikuwa akitamani amuulize jinsi alivyo wafanya wale vibaka kuanza kupigana wao kwa wao zote hizo zilikuwa ni sababu kadha wa kadha alizo kuwa akitaka kumuona kijana masumbuko , uzuri alio kuwa nao nasma usingeweza kudhania kuwa mwanamke huyo angekuwa anateseka kimapenzi. Kama ilivyookuwa kwa pacha wake na yeye ilikuwa ni hivyo hivyo yeye na pacha wake wote walikuwa kwenye mapenzi mazito kila mmoja akitamani kumuona mwanaume alie kuwa akimpenda .
“nitakupata tu hata inichukue muda gani wewe ndio my first love “ aliongea nasma siku hio baada ya kutoka chuo huku akijiangalia kwenye kioo umbo lake ambalo mungu kaamjalia nalo na muda huo alikuwa kavaa nguo ya ndani tu huku akijiangalia kwenye kioo .
“mwili wangu ni zawadi yako mpenzi wewe ndio mwanaume wangu wa Maisha ‘ aliongea nasma .( jamani masumbuko anabahati natania wadau )
Lakini asicho kijua nasma ni kwamba mwanaume alie kuwa akimuota usiku na mchana alikuwa akikaa jirani yake kabisa kwenye nyumba inayofuata kutoka nyumba yake ilipo , na tabia ya masumbuko kutotoka nje na kushinda ndani a kiangalia tv tu kula. kunya na kulala na kama akitoka basi anatoka nje tu kwenye hio nyumba na kufanya mazoezi na kuingia ndani na kuendelea na kuangalia movie na katuni na ni kwamba toka ajue kutumia internet basi ndo kitu kilimfanya asitoke kabisa .
Huku nasma yeye alikuwa akitoka anakuwa kwenye gari na kwenda chuo na hakutembea wala kujua majirani zake anao ishi nao.
*****
Ndani ya benki x alionekana peter akiwa amebeba juice tatu na keki akiwa amezishikilia kwenye mkono akitoka kwenye lift na moja kwa moja alienda mpaka kwenye meza ya rania kisha akaweka juice juu ya meza .
‘‘ mrembo nimekuletea juice na keki jisevie “ aliongea peter huku rania alitingisha kichwa na kusema asante ila sihitaji .wala peter hakujali aliondoka akiwa ameshilia juice nyingine na kwenda ofisini kwa boss shani , aliingia na kumkuta akiwa ameshika shavu jambo ambalo pita alikuwa akijua kuwa mwana mama huyo alikuwa kwenye msongo wa mawazo.
Boss shani alivyo muona peter alijikuta akitabasamu kinyonge na kuitika salamu ya peter.
“ boss nimeleta juice njoo ukae hapa unywe kidogo kazi na dawa . aliongea peter na kumfanya boss wake kutabasamu ila alimwambia kuwa aiweke atakunywa baadae , jambo ambalo pita haukubaliana nalo alimbembeleza na mama rania aliamka kivivu n kusogea kwenye masofa na kukaa huku kijisketi alicho vaa kupanda juu na kuonyesha mapaja yake yalio nona nje .
Pita sijui alimwambia maneno gani na mama rania alijikuta akicheka sana na huku hali yake ikirudi kabisa ikawa sawa , huku wakianza kupiga story za hapa na pale na ucheshi alio kuwa nao pita ulimfanya mama Shania kucheka sana kuna muda alijikuta akicheka mpaka akijisahau na kutanua miguu yake na kufanya kuwacha uwazi ambao ulimfanya kuonyesha mpaka taiti alio ivaaa kuonekana na pita kuna muda alikuwa akishuhudia kabisa na kujikuta dunguso yake ikivimba ila alikuwa kipotezea na kuifanya irudi .
Pita aliendelea kumfurahisha mama rania na mama rania alijikuta akipoteza kabisa mawazo juu ya mme wake kutoka nje ya ndoa , sasa kuna muda ambao mama shani aalicheka mpaka akajisahau na kuinua mguu kabisa na kumfanya pita aone mipaja hioo na mpaka kitumbua kilicho kuwa kimefichwa na nguo za ndani kilivyo vimba .
Huku kwa rania alikuwa akijua kabisa mama yake hakuwa sawa na alijuwa kabisa tatizo lipo kwa baba yake na mama yake, na alijuwa kwa namna moja wamegombana maana hata hali alio muona nayo mama yake ilimtia huruma kwa wakti mmoja , na hata asubuhi wakati wakutoka ni kwamba mama yake hakunywa kitu chochote na hata ofisini pia . hali hio ilimfanya ajisikie vibaya sana kwani alikuwa akimpenda sana mama yake .
Alijikuta baada ya kumuona pita akielekea ofisini kwa mama yake alijikuta akifuata taratibu kwani ilikuwa nusu saa ilipita tokea pita aingie na alitaka kuona ni kipi kilikuwa kikiendela . na hata wakati anaingia ndani ya ofisi hio na kusikia kicheko cha mama yake wakina pita hawakumuona na aliona kabisa kila kilicho kuwa kinaendelea na kujikuta akipigea na butwaa baada ya kuwaangalia .

SEHEMU YA 16
Rania kitendo cha mama yake kuwa katika hali ambayo hakuzoea kumuona nayo, yeye kama mtu mzima alijua kabisa kuna jambo ambalo linaendelea kati yake na baba yake , hali hio ilimfanya kuwa na hudhuni kwani alikuwa akimpenda sana mama yake kiasi kwamba hakupenda kumuona mama yake akiwa katika hali ya kimawazo .
Peter ndio sababu kuu ya mama yake kurudi katika hali ya kawaida , jambo ambalo kwa Rania lilimfanya amwangalie Peter kwa hali ya maswali ,kwani yeye alijitahidi kuirudisha furaha ya mama yake lakini hakufanikiwa , jambo hilo kwake lilikuwa ni la kushanganza , kwani ni muda mfupi tu kijana huyu kufika ndani ya Kampuni , lakini kwa jinsi alivyokuwa anaongea na mama yake na kucheka ni kama alikuwa na muda mrefu sana ndani ya ofisi hio .

“Vipi meneja wetu naona umesimama unatuangalia , jiunge na sisi kidogo turefresh ia ,na ndani ya ofisi hio .ampuni , lakini kwa jinsi alivyokuwa anaongea na mama yake na kuche mind sio lazima muda wote uwe unafanya kazi ,kuna muda wa kupumzika pia “ Aliongea Peter na kumfanya Rania amwangalie mama yake na mama yake alitabasamu na kumfanya Rania na yeye ajiunge .
Vituko na ucheshi wa kijana huyu Peter mbele ya mama Rania na mwanadada Rania viliwafanya wote kwa pamoja wafurahi mno , na hata yale mawazo ambayo walikuwa nayo yaliwapotea kwa muda ..
Maisha ya Rania na Mama Rania yalibadilika sana , kwanza walitokea kupenda kazi kuliko kupenda kukaa nyumbani , hii ni kutokana na kwamba nyumbani hakukuwa na amani kwani Baba Rania alikuwa amebadilika sana na hakutaka kusikia lolote kutoka kwa mke wake ,na kila wakati mke wake alivyokuwa akimlalamikia juu ya tabia yake ya kuchelewa kurudi nyumbani alichelewa zaidi ..
Mama Rania alikuwa na mawazo lakini alishukuru sana uwepo wa Peter kwani alikuwa akimsaidia sana kufanya kazi zake kwa ufanisi pasipo kuathiriwa na mambo yake binafsi , kwani wakati akiwa hayuko vizuri kimawazo Peter alikuwa akienda na kumpa maneno yalio kuwa yakimfanya awe katika hali nzuri ya kufanya kazi na kusahau ya nyumbani .
Lakini wakati wakiwa kwenye furaha hio ndio Tajiri Samiri roho yake ilivyokuwa ikizidi kumchukia Peter, na kilicho kuwa kikimuumiza Zaidi ni kwamba familia yake walikuwa wakimpenda Peter.
Alikuja kugundua pia kuwa Peter ndio mwanaume ambaye mwanae Najma alikuwa akimzungumzia kila siku juu ya kumpenda na kutaka kusaidiwa kukutanishwa nae.
Lakini sio kwa Najma tu kwani pia kwa upande wa mwanae Nasma alikuja kugundua alikuwa akimtafuta Peter kwani alikuwa ametokea Kumpenda , lakini pia aliona dalili zote kwa mwanae wa kike Rania pia kumpenda kijana Peter, kwa hali hio alijikuta akiwa kwenye hali ya kuchanganyikiwa huku akishindwa kujua ni jambo gani alifanye kwa wakati huo ili kuokoa hali hio inayo endelea katika familia yake .

“ Hemedy Rafiki yangu unajua natafuta kitu cha kumfanya huyu mwana haramu lakini hata sijui nimfanye nini “ Aliongea Samiri siku hio akiwa na rafiki yake ndani ya Level 8 club wakipata bia .
“ Nani huyo unaye mzungumzia? “
“ Rafiki yangu kwani kuna mwingine , si hiki kitoto kinacho itwa Peter sijui hata ni kikabila gani “
“ kwani kafanyaje tena? “
“ Rafiki yangu wee acha tu huwezi kuamini kuwa wanangu wote wametokea kumpenda huyu mwana haramu . Najma , Nasma Na Rania wote wanampenda mwanaume mmoja .”
“ Rafiki yangu hio ni hatari sasa , kwa hio unaniambia kuwa washakuwa wapenzi?”
“ hapana ni kwamba Najma na pacha yake walikutana nae kwa nyakati tofauti .. huku akielezea ..:, na huwezi kuamini saivi wanamtafuta na mbaya zaidi Najma kanipa kabisa hio kazi nimtafute .. tena bila aibu ananiambia kabisa bila woga kuwa ana mpenda “
“ Rafiki yangu hio ndio hasara ya kuwa na watoto wakike tu kwenye familia , ila mimi naomba nikushauri”.
“Mimi naona uliingilie kati hili mapema kwani wakifikia hatua mbaya linaweza kupeleka familia yako kusambaratika maana mimi nayajua mapenzi hasa kwa Watoto wa kike “
“ kwa hio unanishauri nifanye nini ?“
“ Badilisha mbinu yako “ aliongea Hemedy na kumfanya Samiri kwanza kukaa vizuri na kisha kunywa pombe alio kuwa ameweka wenye glass.
****
Najma hakupata usingizi kila siku, alikuwa akimuwaza Peter , na kama ungeambiwa upime mapenzi yake basi ungeyapima kwa kumfananisha na teja wa madawa ya kulevya , kwani kila alilo kuwa akifanya lazima jina la Peter liwepo, hakutoka kwenye ubongo wake , alimfikiria sana , hata wakati mwingine kutoa machozi huku akimlilia M,ungu kumkutanisha na Peter .
Alijitahidia sana kuzunguka hata kurudi ndani ya ile hoteli kwa ajilli ya kumsubiria kila siku kama angemuona akiingia ndani ya hoteli hio lakini ni kama ndoto kwani hakuwahi kumuona , lakini hakuweza kukata tamaa japo alikuwa akifuatwa kila siku na wanaume mbali mbali lakini kila mwanaume anaemtongoza alikuwa akijaribu kumfananisha na Peter, lakini kati ya wote hakuna alieendana nae hata kwa asilimia moja, alikiri kuwa Peter alikuwa ni wa pekee kwake na hakuna wa kuichukua nafasi yake .
Lakini sio kwake tu hata kwa pacha wake Nasma alikuwa kwenye penzi zito sana na kijana Masumbuko , kwani alikuwa akimuota kila siku na hata siku nyingine akilia pale ahisipo kukata tamaa ya kutomuona kijana huyo .
Kwa Nasma na yeye ratiba zake zilikuwa ni kama za pacha wake kwani alikuwa kila akitoka chuo alikuwa akienda sehemu alipo kutana na Peter na Masumbuko kujaribu bahati yake , lakini wapi hakuweza kuwaona kabisa.
Uzuri wake ndani ya chuo cha UDSM ulizidi kumfanya awe maarufu sana na kuzidi kufuatwa na wanaume wengi wakitaka kutoka nae kimapenzi na sio wanachuo tu hata vibopa kutoka mtaani walikuwa wakimfata kwa kumhonga hela hata magari kwa ajili ya kutoka nae kimapenzi ila wote waliambulia jibu linalofana, huku marafiki zake alio kuwa akifahamiana nao hapo chuoni kumshangaa sana kwa kitendo cha kuwakatalia wanaume wengi tena wenye pesa zao , kwani walikuwa wakitafuta bahati kama hio lakini hawakuwahi kuipata , jambo ambalo kwao waliona kuwa Nasma alikuwa akichezea bahati yake . walijaribu kumshauri na kumshawihi kwa njia zote lakini hakuna hata mmoja alieweza kuyumbisha msimamo alio kuwa nao Nasma na jambo moja ambalo lilikuwa ndani ya kichwa chake ni kuwa kuna siku tu atakutana na Masumbuko au Peter na kuziweka wazi hisia zake .
****
Maisha kati ya Peter na Masumbuko yalizidi kusonga huku Peter akijikuta akifurahi sana kuwa na Masumbuko karibu, na hii ni kutokana na wao kuwa na historia sawa ya Maisha yao , Maisha ya kutokuwa na ndugu , Maisha ya kuwa yatima.
Peter alitokea kumpenda sana masumbuko na aliamua rasmi kumfanya ndugu yake kabisa wala sio Rafiki tena na kwa upande wa Masumbuko na yeye alikuwa akimpemnda sana Peter.
Walikuwa kila kitu wakifanya wote hata kula bata walikuwa wakienda wote , Peter hakumtenga kabisa Masumbuko kwa kila mahali alipo kuwa akienda.
Peter alijikuta akiwa na furaha juu ya uwepo wa Masumbbuko kwani kuna muda mwingine alimuona Masumbuko kama malaika ambaye Mungu amemleta katika maisha yake , hasa ukizingatia kuwa wote walikuwa hawana ndugu yaani yatima.
Peter alimchukulia Masumbuko kama ndugu yake na hivyo hivyo Masumbuko alimchukulia Peter kama ndugu yake na sio urafiki tena na hasa ukizingatia tabia alio kuwa nayo Masumbuko ilimfurahisha sana Peter .
Lakini kwa Masumbuko alionekana siku za karibuni kuwa katika mawazo na hii ni kutoka siku ile alipojihusisha na swala la mrembo Stella .
Jambo ambalo lilimuonesha kuwa hayuko sawa ni kitendo cha kutoweza kusimamisha , yaani hakuwa na nguvu za kiume , alitaka kumwambia Peter ila aliona aibu kubwa sana na kujikuta akinyamaza kimya , lakini si kwamba hakulifikiria na kwakuwa uwezo wake wa kufikiria ulikuwa mdogo na kuna wakati ulikuwa unakuja na kupotea basi siku moja alijikuta akipata wazo , na wazo hilo lilikuwa ni kuangalia filamu za ngono .
Kila Peter alipo kuwa akienda chuo ama kazini kwake yeye alikuwa akiingia mitandaoni akitafuta vidio za ngono .
Alikuwa na uelewa mdogo wa kutumia lakini kutokana na Peter alikuwa akimfundisha kila kitu japo hakuweza kukalili na kusoma ila alikuwa amekalili herufi tatu tu “XXX” herufi ambazo ni kama alama ya utambulisho wa vidio hizo mitandaoni..
Alijaribu kuangalia video za ngono za kila aina ili ziweze kumuhamasisha ama kumsisimua ila hakuweza kupata mabadiliko yoyote kwani hakuhisi chochote kabisa hata msisimko alikuwa hana kabisa.
****
Mwanamitindo anae julikana kwa jina la Queen alikuwa akifuatiliwa na watanzania wengi sana na sio Tanzania tu ambako walikuwa wakimfatilia msichana huyo ila ilikuwa ni Afrika Mashariki na kati yote , na tangu aingie nchini alionekana kuwa kivutio kikubwa kabisa kwa wafanya biashara wengi kutokana na umaarufu wake pamoja na uzuri wake alio kuwa nao .
Kampuni nyingi kubwa zilitamani sana kufanya kazi na mrembo huyu lakini kutokana na gharama alizokuwa akitaja katika mikataba kuwa kubwa makampuni mengi yalishindwa kufanya kazi na mrembo huyo .
Wizara ya utalii iliona jambo hilo kama jambo jema iwapo wangemfanya mwana mitindo huyo kuwa balozi wa Tanzania katika kuutangaza utalii , wizara ilikaa chini na kuona kuna manufaa makubwa sana ya kumfanya Queen kuwa mmoja ya mabalozi wake wa utalii kwani waliamini kwa umaarufu wake wa kimataifia ungewafanya watu wengi kuvutiwa na vivutio vya asili Tanzania na watalii wangeweza kuongezeka kutembelea maeneo hayo.
Lakini watu kama walivyokuwa wakijua kuwa mrembo huyo kaja kwa ajili ya utalii na ziara katika nchi yetu lakini haikuwa hivyo kwani jambo kubwa lililokuwa likifuatiliwa na mrembo huyo ambae amejivika sura ya uwana mitindo ni juu ya kumpata kijana anaedhaniwa kuwa na akili nyingi sana(genius) , kijana mwenye muunganiko wa kibailojia na kiumbe kutoka sayari nyingine , kwani kampuni ilo kuwa imemtuma mrembo huyo iliamini kwamba endapo wangempata mtu huyo basi wangeibadilisha dunia katika swala zima la teknolojia(tehama) lakini pia kwa wao kupata faida kubwa kwani wangekuwa wamiliki wa kila vumbuzi itakayofanywa .
Queen kwenye muda wa saa moja alionekana akiwa ndani ya chumba cha hoteli akiwa na mwanadada mtanzania na walionekana kuna jambo ambalo walikuwa wakizungumza kwani hata walinzi ambao serikali ya Tanzania iliwapa majukumu ya kutoa ulinzi kwa mrembo huyo walitolewa kwenye eneo hilo.
“Nadhani wewe ndio shushu(spy) wa STAR LAB” Aliongea Queen huku akiweka mapozi .
“ Ndio ni mimi , kwa majina naitwa Merry , mkuu kaniagiza nikupe ushirikiano wote katika kutimiza misheni ilio kuleta nchini Tanzania .
“ Sawa , lakini naomba nikuulize swali nje ya kazi yako ,” Alimruhusu kwa kutingisha kichwa .
“ Hivi huoni kuwa unakuwa msaliti wa nchi yako , kwani jambo unalolifanya ni jambo ambalo linaweza kuleta mabadiliko makubwa kwenye hii nchi , kwani teknolojia ndio maendeleo . sasa kwanini unaisaliti nchi yako ??“
“Mimi sio kama naisaliti nchi yangu ila nchi ndio ilio anza kunisaliti mimi , nina historia mbaya sana na hii nchi na ndio maana natafuta njia yoyote kuondoka ndani ya hii nchi lakini siwezi kuondoka kwa haraka bila kulipiza kisasi kwa hii nchi” Alijibu mary na jibu hilo lilimridhisha Queen .
“ Okey , hakikisha unanipa kila kitu kinacho endelea na jaribu kuongeza ukaribu wako na Profesa Gladness ili kujua ni kipi ana fikiria na ni nani mtu ambae anamfikiria “
“ Sawa nitajitahidi katika hilo “ aliongea mwanadada mary ambae alikuwa ni mfanya kazi wa kampuni ya EARTH TECH kampuni ilio kuwa ikimilikuwa na profesa Gladness.
***
Stella hakutaka tena kuishi katika nyumba ambayo alikuwa amepangishiwa na James na alikuwa akitaka kuendelea na Maisha yake huku akiahidi moyo wake kutomwamini mwanaume mwingine .
Stella aliwaambia marafiki zake kwa ajili ya yeye kuhama kwani yeye ndio alikuwa akiwafanya marafiki zake hao wakae hapo , Lakini kutokana na mahusiano yake na James kufika kikomo ,basi aliwaambia kuwa wahame wote kwani kapata nyumba nyingine ya kuishi katika eneo la Mbezi beach .
Nusura hakukubaliana na Stella kwa sabababu alikuwa na mchumba wake ambae kila siku alikuwa akimlazimisha waishi wote hivyo hakuwa tayari kuondoka na kwenda kuishi na Stella.
Kwa upande wa Lea yeye alisema nyumba hio atailipia mwenyewe na hela zake kwa hio ataendelea kukaa hapo hapo . basi Stella hakuwa na jinsi Zaidi ya kumpa namba ya simu Lea akimwambia kuwa awasiliane na mwenye nyumba ili kufanya malipo na hela hizo arudishiwe james kwani alikuwa amepanga nyumba hio kwa kodi ya miaka miwili.
Lea alikubaliana na Stella kinafiki kwani alichokuwa akitaka ni hicho, Stella kuondoka ili awe anaishi mwenyewe ili kufurahia penzi lake yeye na James .
Kiufupi Stella alikuwa katika giza tena giza totoro kwani hakujua kuwa mkandarasi wa kila kitu alikuwa ni rafiki yake Lea tena rafiki alio kuwa akimthamini sana na kumuamini, lakini rafiki huyo ndie rafiki wa kumfanya Stella leo hii kile kicheko ambacho kilikuwa kikipendwa na wanaume wengi wanapo muangalia Stella kutoweka .
Stella alianza maisha mapya katika eneo la Mbezi Beach kwenye nyumba moja kubwa ya ghorofa mbili ,yeye akiwa katika ghorofa ya juu ambayo alipangisha huku chini yake mwenye nyumba akimwambia kuwa kuna mtu kapanga ila yupo nje ya nchi kimasomo .
Uzuri wa nyumba ile ni kwamba ilikuwa karibu na baharini na pia ilikuwa na eneo kubwa halafu ilikuwa na ukuta mrefu na ilikuwa na mazingira ya kutulia.
Stella aliamua kumuweka James kiporo na kuanza kuwa bize na kitabu kwani alikuwa kwenye muhula wa mwisho na alitamani kufaulu na GPA kubwa
Huku maisha ya unafiki ya Lea na Stella ya kuendelea , huku Stella akizidi kumuamini sana Lea na kumchukulia rafiki mzuri kwake na tena zaidi ya ndugu .
Lakini kwa upande wa Lea alikuwa akizidi kuzama katika penzi na James kwani muda wote alikuwa akimuwaza James , penzi lao lilikuwa la siri sana na alio omba liwe la siri ni Lea mwenyewe kwani hakutaka kugombana na Stella kabla ya kumaliza chuo.
****
“Mbinu gani nifanye Hemedy ? “
“ Sikia Samir unajua wanao haujawapa uhuru japo wanajua kuwa wapo huru na wanaume ambao wametokea kuwapenda mfano Rania kila mwanaume alietokea kumpenda alimuacha na hii ni kutokana na wewe kuwatishia wanaume waliompenda na yeye kuachwa bila sababu , jambo hili kwake lazima limuumize kisaikolojia na kujiona ni mwenye nuksi “
“ Ndio ni kweli , ashawahi kusema hivyo “
“ Sasa kama itatokea kijana ambae atakuwa na msimamo ambae hatayumbishwa na vitisho vyako na kuonyesha nia ya kuwa na Rania kwa hali yoyote ile ni hakika kuwa mwanao huyu atampenda mpenda huyo kijana na kwa dalili ninazo ona Peter ndio mtu ninaemzungumzia sasa“
“ Yaani hilo ndio linalo nichanganya zaidi na kuniogopesha Hemedi “
“ Lazima likuogopeshe hata ingekuwa mimi ningekuwa hivyo hivyo , sasa hebu fikiria Rania atakufa na kuoza kwa Peter na Nasma nae hivyo hivyo anaweza akakutana na huyo Peter na Najma nae hivyo hivyo wote watakuwa wamempenda mtu mmoja na si kumpenda ni Zaidi ya kumpenda na kumbuka wanao hawajawahi kupenda , hapo ndipo litakuwa balaa vita ya pili ya Dunia kisababishi mapenzi”
‘ Sikia Hemedi unajua unasema maneno mengi na hicho ndicho kinacho nichanganya , hebu niambie hio mbinu “.
“ Mimii nakushauri watafutie wanaume wa kuwaoa kabla mambo hayajawa magumu Rafiki yangu , najuwa wale ni warembo na hakuna mwanaume wa kuwakataa , tafuta familia ambayo unaona inafaa, ambayo wana watoto wa kiume wakutanishe then anza kuongea kuhusu ndoa , na hili mshirikishe na mkeo “
“Unafikiri itawezekana ?“
“ Ndio lazima itawezekana tumieni nafasi yenu kama wazazi na pia huyo Peter kama vipi tafuta njia ya kumpoteza , wakimkosa hawatakuwa na jinsi “
“ Hapo nimekukubalia ni mpango mzuri , sasa kwakuwa wewe ni Rafiki yangu naomba unisaidie katika hili wewe mtafutie mchumba Rania mimi nitadeal na Najma na mama yake atadeal na Nasma .”
“ Sikia Rafiki yangu kuhusu Rania tayari nina mtu sahihi kwake na nilikuwa nikitaka kukueleza hili “ aliongea Hemedi na kumfanya Samir kukaa vizuri kumsikiliza .
“ Nani ?”
“Ni mimi mwenyewe unajua natafuta kuoa mke wa pili na nimemuona Rania anafaa kuwa mke wangu wa pili “ Aliongea Hemedi bila hata kupepesa macho na kumfanya Samir kutoa macho na kujikuta misuli ya uso ikianza kusimama .




SEHEMU YA 17
Hemedi ni Tajiri kama ilivyo kuwa kwa Samir na yeye alikuwa mmoja ya wafanya biashara wakubwa ndani ya jiji la dar es salaamu , kwani alikuwa akimiliki baadhi ya vituo vya mafua na mabasi yaendayo mikoni na nchii za jirani , alipata kujuana na Samir kutokana na maswala ya kibiashara , ndipo urafiki wao ulipozaliwa na walikuwa wakisaidiana katika kazi mbalimbali na Samir hususani zihusuzo biashara.
Lakini tofauti ya Samir na hemedi ni kwamba hemedi yeye alikuwa mzee wa totozi , japo alikuwa na mke lakini hakuacha kutumia hela zake katika kula vitumbua vya mabinti wachanga .
Lakini katika harakati zake hizo alijikuta kumpenda sana na kumtamani mtoto wa Rafiki yake yaani Rania , kwani kila alipo kuwa akimwangalia msichana huyo alikuwa akijikuta akitamani hata awe nae mara moja tu kwenye kitanda cha sita kwa sita ili amuonje mwanadada huyo , kwani uzuri alio kuwa nao Rania ulikuwa ni wa ajabu na katika wanawake alio kuwa amekwisha kulala nao hakuna hata mmoja ambae anamfikia Rania na hilo alilikiri na siku zote alikuwa akifikiria mbinu mbalimbali za kumnasa mwanadada huyo lakini alikuwa akimuogopa sana Samir kwani alikuwa akijua kabisa Samir alikuwa akiwalinda sana Watoto wake na isitoshe pia alikuwa akimjua Rafiki yake kwa wivu na ndio maana alikuwa akitafuta muda sahihi na njia sahihi ambazo angempata Rania pasipo kuathiri urafiki wake na Samir .
Na siku moja alivyokuwa yupo ofisini kwake kijana wake alimletea taarifa zote za kile kinacho endelea kwa watoto wote wa Samir na hata kabla Samir hajamwambia kuwa Watoto wake wamempenda mwanamme mmoja , alikuwa akilifahamu na aliona huo ndio wakati wa kumshawishi Samir ili amuoe Rania na aliona ana nafasi kubwa ya kufanikiwa hilo kwani aliona hata Samiri mwenyewe asingependa watoto wake kumpenda mwanaume mmoja .
****
“Hemedi unajua kama si jakusikia vizuri hivi kwa hio una maanisha ..” Aliongea Samir huku akionesha dhahiri hakufurahishwa na maneno ya Hemedy
“ Sikia rafiki yangu wewe saivi upo kwenye hatari ya kuisambaratisha familia yako ,hebu jaribu kuangalia hali halisi ilivyo utaona Watoto wako wapo hatarini sana kuingia kwenye mtego wa Peter na mimi kwa ninavyo jua yule kijana hajaja pale benki kwa ajili ya wema, kaja kuisambaratisha familia yako ,pili hakuna mwanaume sahihi wa kumuoa Rania kwani wengi watempendea pesa tu na wakishazipata anaweza akaachwa na wewe pia unataka mali zako ziwe salama , na mtu sahihi wa kukusadia hilo ni mimi tu kwani nikishamuoa Rania nitampa ujauzito akijifungua atamtumia mtoto kumiliki mali zako mpaka pale mtoto atakapo kuwa mkubwa na mali zako zitakuwa salama kuliko kuwapa mali zako wapiti njia “ Aligida pombe yote iliokuwa kwenye glass.
“ Hapana Hemedi nampenda sana Rania na isitoshe wewe ni kama baba yake nikikupa umuoe Rania anaweza kunichukia milele , hapana siko tayari kwa hilo “
“ Sikia Rafiki yangu mimi sikusukumi kimaamuzi kwa hilo ila nataka kukusaidia na msala unao kuja , halafu pia ukikubali ninayo njia nzuri ya kumpoteza Peter bila hata ya mtu yoyote kujua , nina jeshi langu ni kitendo cha kutoa oda tu “ Hapa hemedi alikuwa akijaribu kumshawishi rafiki yake akubali ombi lake hivyo anajaribu mbinu mbalimbali kumfanya Samiri afanye maamuzi .
“ Hapana Hemed hata hivyo siko tayari , Rania hato kubali ‘ Aliongea Samir na kisha kuamka na kuondoka zake akimwacha Hemedi nyuma akitabasamu
“Rafiki yangu huna ujanja yule kijana lazima atakufanya unipe Rania nimle kitumbua na mali zako zote zitakuwa mikononi mwangu “ Alijiongelesha Hemedi huku akiagiza bia nyingine .
****
Stella japo alikuwa akisoma kwa juhudi zote lakini alikuwa na hasira sana juu ya mwanaume ‘Virus’ na alikwisha kuapia kuwa akimaliza tu chuo mwanaume wa kwanza kumshugulikia na kumuonyesha kwanini alisoma sheria ni mwanaume Virus kwani alitafsiri kitendo kile kama ubakaji na yeye alijiweka kwenye kundi la wanawake walio bakwa.
Jambo hilo lilikuwa likimuumiza kichwa sana na kumpa mawazo na hasira kwa wakati mmoja kwani kila alipo kuwa akikumbuka kitumbua chake kimeliwa bila ridhaa yake alijiikuta akidondosha chozi na kujiwekea nadhiri kwamba lazima amfunge Virus kwa namna yoyote ile .
Lakini jambo ambalo lilizidi kuamsha hasira zake ni swala la kwenda kwenye ile hoteli na kukuta matukio ya kamera ya siku ile hayakuwepo huku wasimamizi wa kamera zile wakisema kuwa kuna mwanume aliekuja kuzichukuwa .
Taarifa hio ilimpa mashaka na hasira sana Stella na kuona kabisa kuwa mwanaume yule alipanga kabisa kutumia kitumbua chake , alimlaani sana Masumbuko kama alivyo kuwa akimjua kwa jina la Virus na kumuona kama mwanaume ambae ndio alie haribu Maisha yake na kuichukuwa furaha yake , pasipo kujua kuwa siku ile hakuguswa na masumbuko zaidi ya kujichezea mwenyewe na mwanaume anae mtafuta ni masikini ya Mungu hana nguvu za kiume ambazo zinge muwezesha kumbaka .
Huku upande wa Sebastian na yeye hakutaka kabisa kukubali aliahidi lazima amfanyie Masumbuko kitu mabacho hatokuja kukisahau kwenye Maisha yake kwa kitendo cha kumla kitumbua mwanamke ambae alikuwa akimhangaikia kwa siku nyingi kwa ajili ya kupata penzi lake,
Na njia moja aliona inafaa ni kujipendekeza kwa Stella na njia hio alikuwa amepewa na Lea ,
Lea alikuwa akijua kuwa Stella anamtafuta mwanaume alie kuwa anaitwa Virus na kwakuwa Lea alikuwa akimjua mwanamme huyo, hivyo aliamua kwenda kumwambbia Sebastiani asichezee nafasi hio .
“ Sebastian hii ndo njia sahihi ya kuweka ukaribu wako na Stella, cha kufanya wewe tengeneza uongo mtakatifu(holy lies) ya kwamba unamjua Virus na ikibidi umtengenezee Ushahidi ambao atakuamini nao.
“Kwahio una maanisha nitumie udhaifu wa Stella ili niwe nae karibu?”
“Yeah! .. wewe ni mtu mzima najua unajua nini cha kufanya anza kufikiria njia ili kumfanya Stella awe mwanamke wako ,mimi ushanisaidia na huo ushauri ni kama malipo ya msaada wako “
Sebastiani alijikuta akifurahi sana kwa taarifa ile na aliona lazima kwa njia hio ampate Stella huku akimbebesha kesi nzima Masumbuko .
“Masumbuko wewe lazima uende jela miaka therathini nakwambia ulinigusa pabaya sana.. this is good plan”Aliongea sebastiani huku akijiona mshindi .
Siku iliofuata hakutaka kufanya makosa alianza kujipendekeza kwa Stella , huku kila siku alikuwa akimtumia Lea kwenda kula chakula cha mchana pamoja na Stella kila wakitoka chuoni , na kwa Lea nae alizidi kumpamba Sebastian mbele ya Stella .
Sebastiani aliweka ucheshi mwingi huku akifokasi(makini) sana kumchangamsha Stella na kweli kadri siku zinavyozidi kusonga Stella alijitokea kumzoea Sebastian na hata siku nyingine walikuwa wakitoka na kwenda kula bila hata ya Lea kuwepo .
Sebastiani alianza kumsoma Stella kwa vile vitu alivyokuwa akivipenda na kwa msaada wa Lea alifanikiwa kwa kiasi kikubwa na kipindi hicho na Lea nae alikuwa akiendelea na mapenzi ya siri na James na James kwa wakati huo alikuwa nje ya nchi kikazi na ni mara chache sana alikuwa akirudi nchini na kukutana na Lea na kula mbususu kwa siri sana na kisha kuondoka .
Lea alikuwa na furaha sana kwa wakati huo, hasa pale alipo kuwa akiona kabisa James alikuwa akimpenda , kutokana na mambo ambayo James alikuwa akimfanyia kwani hata Stella hakuwahi kufanyiwa mambo kama hayo.
Huku urafiki kati ya Sebastian na Stella ukizidi kukuwa kiasi kwamba Stella hata yale mawazo yaliokuwa yakimsumbua kupungua , lakini licha ya yote Sebastian aliona kabisa kuwa Stella hakuwa huru akiwa nae jambo ambalo lilimfanya kuona kuna kitu cha ziada anatakiwa kufanya na hapo ndipo alipo kumbuka kete yake adhimu alio ificha ya kumjua Masumbuko .
“ Stella ukweli najua kile kilicho tokea kwani siku ya tukio nilikuwepo” Huu ulikuwa ni mwendelezo wa maongezi ya Stella na Sebastiani .
“ Una maanisha nini Sebastian “ Aliongea Stella siku hio walipo kwa wakipata chakula cha mchana .
Sebastian alijiweka vizuri na kumweleza vizuri Stella kwani hakutaka kumkwaza ,kwani Stella jambo hilo lilikuwa kama ni siri yake japo na urafiki wao kuwa mkubwa kwa wakati huo lakini Stella hakuwahi kumuambia Sebastiani kabisa , kwake jambo hilo lilikuwa ni la kujidharirisha .
Stella alijikuta akitokwa machozi na aibu pia kwani hakutegemea kuwa kuna mtu mwingine ambae alikuwa anajua kuwa alikuwa ameliwa Mbususu yake bure bure .
Sebastiani alijitahidi kumbembeleza na kumuhakikishia kuwa jambo hilo analijua yeye mwenyewe lakini kwa Stella hakukubaliana na Sebastian kwani aliona kama Sebastian alijua basi watu wengi watakuwa wanajua kuwa aliliwa Mbususu yake aliokuwa akiithamini sana bila ridhaa yake yaani kubakwa .
Stella aliamka na kuchukua mkoba wake na kisha akaita taksi na kurudi nyumbani , alijiikuta akilia sana baada ya kufika nyumbani kila akikumbuka tukio akiwa hotelini tena akiwa uchi na kuona sehemu zake za siri zikionyesha kutumika , alijikuta akilia sana na kujiona hana thamani tena , hasira zidi ya mwanaume aliekuwa akimjua kwa jina la Virus zilizidi kuongezeka Zaidi .
Sebastini alijikuta akijilaumu kwa kumwambia Stella juu ya jambo lile , alijilaumu kwa kuona labda haukuwa muda sahihi ambao alitakiwa kumwambia Stella juu ya lile jambo , alijaribu mara kadhaa kuwasilina na Stella kwakumpigia simu lakini simu haikupokelewa , alichoamua ni kutuma ujumbe wa maandishi lakini hakupata majibu , ndipo alipo amua kumwambia Lea, na Lea na yeye alimwambia Sebastian kuwa atulie kwanza mpaka pale Stella akitulia kwani alikuwa akimjua sana anapokuwa hayupo sawa anapenda kuwa peke yake ..
Basi hatimae Sebastian alitulia baada ya masaa kadhaa akiwa getoni kwake , ndipo wakati anaanza kusinzia ndipo alipo ona simu yake kupata uhai na mpigaji ni Stella .alijikuta akiipokea kwa haraka haraka na kuiweka sikioni .
Basi baada ya kuwasiliana na Stella , Sebastian aliachia tabasamu baada ya Stella kumwambia kuwa asiwe na shaka kwani wala hakukasirika ni kwamba tu jambo hilo kila akilikumbuka lina mfanya ana kuwa katika wakati mgumu .
Basi Sebastian alimhakikishia kabisa kuwa atafanya juu chini kuupata Ushahidi na yeye pia atakuwa shahidi wake mahakamani kama tu atamuhitaji ili kumfunga Masumbuko na stela alimjibu.
“ Nashukuru sana dear kwa kunijali umekuwa Rafiki mzuri kwangu na kuna muda mwingine unanifanya nisahau kile kilicho tokea , asante sana mpenzi , lakini kwa sasa sitaki kwanza kujihusisha na hili swala kwani nina mitihani ilio mbele yangu “
“ Nafahamu sana Stella na naelewa wakati unao pitia kwa sasa na mimi nipo na wewe bega kwa bega , na nakuunga mkono kwa sasa ufokasi kwenye mitihani ilio kuwa mbele yako , lakini mimi nitakuwa tayari wakati wowote utakao nihitaji .”
*****
Tabia ya Samir ya kuchelewa nyumbani haikubadilika kabisa , kwani alikuwa anachelewa kurudi nyumbani na hata akirudi nyumbani alikuwa amechoka na kuishia usingizini , jambo ambalo kwa mama Rania kama mwanandoa ambae ana mapenzi na mume wake kwake lilikuwa kama pigo kubwa sana kwake .
Alikuwa na mawazo mengi sana juu ya mume wake na kila njia alio kuwa akiifikiria kwa ajili ya kumbadilisha mume wake hakupata jibu , kwani alijaribu kumlalamikia mme wake juu ya tabia hio ya kuchelewa nyumbani , ila ni kama alikuwa akichochea moto kwani alipo kuwa akilalamika , Samir aliongeza saa lingine mbele .
Na kwa upande wa Samir alikuwa akimkomoa mke wake na aliona kama ana muadhibu na alihitaji heshima na utawala wake yeye kama mwanaume urudi katika familia na yeye kusikilizwa kile ambacho anasema sio kupingwa.
“ Mama Rania kama unataka niwahi kurudi nyumbani kuna jambo moja tu ambalo kama upo tayari kulifanya basi nitawahi kurudi nyumbani na kukupa penzi motomoto .’ Aliongea Samiri siku hio Mama Rania alivyo muambia mme wake kuwa awahi kurudi nyumbani kwani amemiss sana mkuyenge .
“ Mume wangu kwani kuna kipi ambacho nishawahi kupinga ,mbona katika kumbukumbu zangu najua sijawahi kwenda kinyume na wewe “
“Kwa hio unataka nikukumbushe au unajifanya umesahau , hivi unajua kuwa ni kwa kiasi gani mimi mnanitesa kisaikolojia “
“ Kwani kuna shida gani mume wangu , na kama ipo kwanini tusikae tukayazungumza tukayamaliza, unajua ni kwa jinsi gani na kupenda mume wangu .”
“ Sikia mam rania sina cha kuzungumza ila kama unataka naomba Peter ukamfukuzze pale benki kwani sipendi mnavyo chekeana chekeana na yule mtoto “
“ I can`t do that my lovely husband , firing someone with no specific reason it`s an act of violating labour law of this country, he may sue us and we will lose our reputation as Bank ” Mume wangu siwezi kufanya jambo kama hilo kwani ni kuvunja sheria za nchi,kumfukuza mtu akiwa hakuna sababu anaweza lutushitaki na kupoteza heshima yetu kama benkii , mume wangu “
“ basi hakuna shida endelea kuzingatia sheria za muungano kama jaji “ aliongea Samir kwa dharau na hasira kisha akatoka zake na kwenda kazini .
Mama Rania alipata msongo wa mawazo sana na isitoshe alikuwa ana siku nyingi akiwa hajaguswa na mume wake , kwani japo ya Samir kutotimiza haja zake lakini hivyo hivyo alikuwa amezoea na alikuwa akimvumilia , kuna muda hisia zilikuwa zikimpanda sana na alijaribu kujipunguzia mwenyewe , lakini kadri siku zinavyo enda alijikuta akihitaji sana kufanya tendo .
Peter aliendelea kufanyakazi ndani ya Benki huku akimalizia pia chuo kwani alikuwa yupo muhula wa mwisho mwaka wa mwisho.
“ Niambie mrembo” Alisalimia Peter mara tu baada ya kufika kazini siku hio na Rania alinyanyua shingo na kuachia tabasamu ambalo lillifanya mashavu yake kubonyea na kuzidi kumpendezesha .
“ Niko poa kabisa “
“Peter unahitajika ofisini kwa boss “ Ilisikika sauti ya ‘Secretary’(sekretari).
Peter alinyooka moja kwa moja mpaka kwa boss wake lakini ile anaingia tu Mama Rania aliinuka na kumkubatia, jambo ambalo liliibua maswali kwa Peter kwani sio kawaida kabisa .
“Peter wewe ndio unanifanya najisikia furaha sana kila wakati ninapokuwa sipo sawa , uwepo wako hapa unanifanya nijisikie kidogo kuwa katika hali nzuri “ Aliongea Mama Rania huku akimwachia Peter taratibu huku akimwangalia usoni na alichogundua Peter ni kwamba siku hio boss wake huyo alikuwa na joto kali , kiasi ambacho Peter kwa kutumia elimu yake ya biolojjia aliligundua kuwa yupo kwenye siku za hatari .
“ Boss wala usiwaze mimi nipo hapa sio kwa ajili tu ya kufanya kazi ila na kuhakikisha mazingira ninayo fanyia kazi yanakuwa na amani na hii itapelekea watu kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa “
Aliongea Peter na kumfannya Mama Rania atabasamu na kwenda kukaa kwenye sofa .
“Nataka kujua ratiba zako za chuo kwa sasa “
“ Saivi tupo kwenye field ya mwisho , na mimi kwakuwa nafanya kazi hapa sina haja ya kufanya field “
“ Kama ni hivyo sawa , sasa kuna tawi lahitajika kufunguliwa mkoani Tanga wilaya ya Lushoto , mimi ndio nitahusika katika uzinduzi huo hivyo kabla ya kulifungua lazima niangalie miundombinu ya benki ,sasa nataka na wewe ukaangalie mambo ya Data security , kwakuwa umeleta mfumo mpya itakuwa muhimu kwenda wewe moja kwa moja kuuweka “
“Sawa hakuna shida nadhani hilo lipo ndani ya uwezo wangu na kwakuwa linahusu kazi basi tutaambatana kwenda na nikirudi nita weka semina kwa IT ili mfumo huu uweze kutumika kwa nchi nzima kwa matawi yote “
Basi peter kwakuwa safari ilikuwa ikianza kesho basi aliruhusiwa kuondoka mapema lakini alimwambia boss wake kuwa hana haja ya kujiandaa hivyo ataondoka mchana . Mama Rania siku hio aliondoka kwa ajili ya kwenda benki kuu kwenye maswala yake ya kikazi .
“ Hi! “ Alimsalimia Rania
“ Hi too“
“ Muda wa kula huu twende tukale “ Aliongea Peter na kumfanya Rania atabasamu na kuinuka na wakaongozana ,huku rania akitangulia.
“ Mbona unatabasamu? “ Aliuliza Rania wakati wanaletewa chakula na kuanza kula .
“Nimekumbuka jinsi ulivyo kuwa unanichuniaga halafu ukijifanya unanichukia”
“Wala sikuwa nikijifanya nilikuwa nakuchukia kweli “
“ Aaa.. wapi hio roho haipo ndani yako kabisa na niligundua tokea siku naingia hapa “
“Mh muongo umejuaje?“
“Muonekano wako unaonyesha kabisa na jinsi unavyo ongea , unaongea na sauti nzuri , sura nzuri , na kila unacho kifanya kinakuwa kizuri Mungu hawezi kufanya kosa kama hilo la kukupa kila kitu kizuri halafu asikupe roho nzuri “
“ Haha .. unavituko wewe yaani “
“ Sema naomba umsamehe baba yangu , inaniuma kile alichokufanyia kule Mlimani city na nisamehe na mimi kama ningejua una roho nzuri kama hii ningeomba radhi mapema “ Aliongea rania kwa majonzi
“ Sikia Rania wewe ni msichana mzuri sana katika macho ya watu, na ukiachana na hivyo familia yako pia inauwezo wa kiuchumi mkubwa , kwa hio baba yako kafanya vile kutokana na upendo kwani anaogopa ukiwa na mwanaume ambae atakuchezea kwa hio wala simchukii baba yako , ila namshukuru kwa kukulinda kwani unavutia sana hakika “
“ Asante sana Peter hakika wewe ni moja ya vijana wenye uelewa mkubwa natamani ningekuwa Rafiki yako”
“ Jamani kwanini ,halafu mbona umekuwa mnyonge ghafla ?“
“ Naogopa ukinikimbia kama wengine walivyokuwa wananikimbia pale ninapo anza kuwazoea “ Aliongea Rania na kujikuta akitoka machozi na Peter alimuonea huruma na kuinuka kisha akamwinua Rania na kisha kumwangalia usoni hakujali macho ya watu yanayowaangalia kwa wakati huo .
“ Rania sikia hao walio ondoka na kukuacha hawaja kuacha kabisa na wala usifikirie hivyo Mungu ndio kawatoa kwenye Maisha yako kwani huenda walikuwa watu wabaya na Mungu alikuwa akikuangalia hatua zako na kukulinda “
“ Kweli? “
“Ndio na mimi siwezi kukucha kamwe na nipo tayari kwa lolote na kufanya lolote ili mradi nikulinde , wewe ni mwanamke ambae nimekaa na wewe kwa muda mfupi sana ila nilichogundua ni kwamba Rania wewe ni baraka katika Maisha yangu umenifanya nibadili mtazamo juu ya wanawake “ Aliongea Peter na haikujulikana alikuwa anaigiza au ndo mpango wake wa kisasi ndo ulikuwa unaendelea maana alizungumza maneno hayo kwa hisia sana .
Rania alijikuta akikumbatiana na Peter huku akijihisi msisimko wa ajabu sana . huku peter akiwa amemshika mkono , waliokuwa hapo mgahawani walikuwa wakimuonea wivu mno kijana Peter , kwani Rania alikuwa mrembo sana .
“ Rania unaona huu mkono sitouachilia na naomba usiuachilie nataka niwe Rafiki yako kwanzia sasa na hata ikiwa Zaidi ya Rafiki yako nipo tayari kwa lolote” Aliongea na wakati huo walikuwa wameshikana mikono , huku Rania akiwa anaangalia namna walivyoshikana , ilikuwa ni picha la kutisha la kimahaba kwa waliokuwa eneo hilo .
“Asante sana najisikia furaha kukutana na wewe “
“Usijali Rania kila ufanyalo kumbuka nipo na wewe” Huku akiingiza mkono ndani ya mfuko wake na kutoa kidude flani ambacho kwa macho ya haraka haraka kilikuwa ni vile ambavyo vilikuwa vikitumika kushikilia funguo , japo hiko kilikuwa na muundo wa tofauti kidogo kwani kilikuwa ni silver(shaba) kabisa na kiling`aa sana na kilikuwa na herufi mbili katikati zilizozungukwa na duara .
“ HHHii ni holder ya funguo ina maana kubwa kwangu na huu ndio uthibitisho wa kwamba mimi na wewe ni marafiki ”
Huku Rania akimwangalia kwa macho ya huzuni kwani alijua kuwa kesho hatomuona Peter kutkana na safari yake kuelekea mkoani Tanga.
UNAWEZA PATA SOFTCOPY YA SIMULIZI HII YOTE.

SIMULZI ZANGU NYINGINE NI
-UMOJA NAMBA TISINI NA SABA
-NDOTO ZA KIKANUNI
-BOOK OF ALL NAMES (UMOJA NAMBA TISINI NA SABA )
-MY DREAM MY FAVOURITES)

KUHUSU UTARATIBU WA MALIPO
WASILIANA NAMI KWA KUGUSA HAPAA
 
SEHEMU YA 18
“Boss mwenyewe unarudi kutoka kazini “ Aliongea Steve baada ya Peter kufika nyumbani na kumkuta rafiki yake .
“Yeah nishakuwa boss saivi nafanya kazi katika kampuni kubwa tena benki hela zinakokaa , lazima unite boss .”
“Yeah , ila unabahati sana , unajua washikaji kila ninae mwambia kuwa unafanya kzi kwenye ile benki hakuna hata mmoja ambae ana niamini “
“ Usiwalazimishe kuamini , vipi lakini mambo yako ya field ?“
“Field iko vyema nimepata kwenye kampuni moja ya Telecom kule Posta ndiko ninako fanyia “
“ Anhaa kumbe tuko upande mmoja “
“Yeah , mrembo Rania na kisasi chako umefikia wapi au ndo unambwela “
“Kisasi kinaenda kiurahisi sana tofauti na nilivyofikiria , yaani si tumii hata nguvu”
“Eii.... wewe jamaa muongo sana , yule Rania ni mgumu wewe utampataje kirahisi hivyo , hebu acha Kamba zako hizo “
“Shida yako husadiki , ila nataka nikirudi kutoka Tanga nikuonyeshe uone kama nadanganya au wewe ndio mwenye ugonjwa wa kuto kuniamini “
“Acha wee waenda tanga kufanyae tena? “
“Naenda kwa ajili ya kazi huko na boss “
“Mhmh! , kweli naona ushaanza kuaminika kiasi hicho mpaka unaenda na boss”
“Sio kuaminika ni kwamba mfumo mpya wa ulinzi bado haueleweki kwa IT wengi kwa hio natakiwa kuurekebisha mimi mwenyewe “
“Halafu yule boss wako ana lishepu hilo , yule nakubali ani bemende “
“Aaaa… mke wa mtu yule na ni kama mama yako yule”
“Ana umama gani , hivi unafikiri yule akikutega upo chumbani nae utachomoka kama wewe ni mwanaume rijali , lazima uingie ndo utajua huyo sio mama yako ni umri tu ila tuyaache hayo”
“ Sema huyu mshikaji wako una mpango gani nae au ndo umemfanya House boy“
“ Masumbuko nina malengo nae nataka nikirudi nimfundishe kusoma na kuhesabu halafu nimtafutie biashara ya kufanya”
“Peter wewe hata usijisumbue kuniletea mwalimu au kutaka kunifundisha kwani sitaelewa kitu” Aliongea masumbuko na kumfanya Peter amwangalie huku akisogea pale kwenye sofa alipo kaa .
“Sikia Masumbuko , sijui alie kuambia kuwa huna uwezo wa kusoma na kuelewa ,ila mimi nina fahamu kabisa kuwa wewe unaweza ukasoma na kuelewa ,sema haujapata mwalimu mzuri kwa hio kuanzia sasa jua wewe una akili na unaweza kusoma na ukaelewa umesikia? “
“Ndio nimekuelewa “ Alijibu Masumbuko kwa heshima kwani hakuwahi kumuona Peter akiwa kwene hali hio ya kuwa siriasi
“Naona mshakuwa ndugu kamili kwa sasa “
“ Yeah , yaani nafurahi sasa hivi nyumbanii kuna mtu ambae naweza kumuongelesha wakati wote , nimechoka kuishi mwenyewe , hivi wewe Steve unajisikiaje unatoka shule unarudi nyumbni huku ukijua kabisa hakuna mtu , na hata pale unapokuwa na tatizo huna mtu wa kusema huyu ni ndugu yangu naweza kumuita au kumpigia simu kumuomba msaada “
“Ndio ni maisha magumu sana kiufupi sipatii hata picha lakini cha kumshukuru Mungu ni kwamba bado kakuweka hai na kukupigania mpaka sasa”
“Ndio , nilikuwa nampenda sana mama yangu na nitaendelea kumpenda daima huko aliko , alinipigania yeye mwenyewe kanikuza kwenye mazingira magumu mpaka alipo patwa na umauti , ila naamini siku moja tu nitakuja kumpata alie husika na ajali ile”
“Peter rafiki yangu kwanini usisahau yote hayo ile ilikuwa ni ajali ya kawaida tu kama polisi walivyo sema , kwanini unataka kuweka visasi moyoni , mimi nikajua ulikwisha sahau”
“ Hapana Steve siwezi kusahau kabisa yaani , na hakuna mtu wa kunishawishi , nakaa kimya tu kutokana na kwamba sitaki kisasi kifute ndoto zangu kwani naamini hata mama hatofurahia kabisa akiniona naishi kwa ajili ya kulipiza kisasi”
“Kwa hio Peter kumbe mama yako alikufa kwa ajali”Aliuliza masumbuko
“ Ndio ni story ndefu Masumbuko sipendi kuikumbuka kabisa “
“Hata mimi mama yangu alikufa kwa ajali “ Aliongea Masumbuko na kumfanya Peter amwangalie kwa maswali .
“Alikufa kwa ajali gani ??”
****
“ Nakuona unavyo mfanya mtoto akolee rafiki yangu “
Aliongea Lea akiwa amejilaza pembeni kwenye viti vya kuegamia huku akiwa ameshikilia kikombe cha pombe (Solo cup) Pembeni yake kushoti akiwepo Sebastiani akiwa amekaa mkao kama wake wote alikuwa wamevaa mavazi ya kuogela huku wakimwangalia Stella alie kuwa katika Swimming pool akiogelea kwa ustadi mkubwa ,alikuwa akizama na kwenda kuibukia mbeleni , kiufupi alikuwa kama kivutio siku hio katika eneo hilo kwani uzuri alio kuwa nao wa maji ya kunde ulikuwa ukivutia sana na shepu ambayo mungu amembariki nayo ilizidi kufanya kuonekana mzuri na hata pale alipo kuwa akiingia na kuibuka kwenye maji alifanya kuonekana kama malaika
“Huyu mwanamke mzuri sana , nimeona wanawake wazuri ila huyu ni kiboko , yaani hata huyu bwana wako namuona fala kumuacha kimwana kama huyu”
“Aacha hizo ujue Sebastian kwani kuwa mzuri ndio kupendwa ,ingekuwa wanawake walio na sura mbaya hawaolewi sasa”.
“Acha wivu wewe.. kiufupi pale haumfikii hata kwa dawa , Stella mzuri na pia ana roho nzuri , na ndio maana anazidi kuwa mzuri , sio kama wewe”
“Sikia seba.. huo utani sitaki , yote nilio yafanya nimefanya kwakuwa nampenda sana James na ningemkosa ningekuwa mwehu , mimi ni tofauti na Stella huoni hata hali yake kwa sasa ni nzuri , mimi nisingeweza roho yangu nyepesi”
“Hahaha.. kwahio ulijuaje kama Stella ataweza .. hio ndio roho mbaya ninayo zungumzia sasa, kujijali mwenyewe pasipo kumjali mwingine”
“Sikia seba utaniudhi sasa hivi , jishaue tu na wakati mimi ndio nakufanya uwe na Stella , fikiria tu siku atakavyojua ulikuwa kwenye mpango wa kumuachanisha na boyfriend wake sijui atakufanya nini”
“Basi yaishe mrembo ee , nilikua natoa ya moyoni , lakini nina furaha maana sasa hivi ninae Stella nahisi Dunia yote yangu , japo hajanikubalia ila naamini atanikubalia tu”.
“Halafu seba hivi utakuwa mzito mpaka lini , wewe unavyo endelea kuamini , utajikuta mtoto sio wako , wewe humuoni alivyokuwa mzuri wewe haya tu zembea”
“Kwa hio wewe nataka nifanyaje , na wakati unaona Stella mwenyewe bado anaonekana ana majonzi sema anajikaza kuonekana yupo sawa”
“Ndio maana nakwambia jitahidi umsahaulishe mtoto huyo na jijengee mazingira akuone mwanaume wa tofauti na wengine , mfanye akuamini “
“Najitahidi sana ”
“Bado.. , sasa sikia Stella jambo ambalo lina muumiza kwa sasa ambalo ni kama udhaifu wake mkubwa ni kumfunga Masumbuko huyo rafiki yako , lakini kumbuka akimpata Masumbuko basi na wewe umekamatika na Stella hatokuamini tena na anaweza akakufunga na wewe, maana anaijua sana sheria na utakuwa umekosa kila kitu na mimi sipo tayari kwa hilo”
“Sasa nifanyaje mbona kama unanitisha , mimi akinikamata nakuunganisha”
“ Huo ndio utakuwa umama sasa , hautokuwa mwanaume wewe inabidi ufikiria namna ya kujitoa kwenye kesi ili hata Masumbuko siku atakayo kamatwa wewe hautahusika moja kwa moja, anza kutengeneza ushahidi wa lile tukio kuwa haukushusika na pia tafuta ushahidi au hata kwa kuutengeneza ili umfanye Masumbuko kuwa na hatia moja kwa moja”
“Seba nimefurahi kweli leo asante kwa kunileta hapa , unajua nilikuwa nasikia Sea breeze ila sikujua kuwa pako vizuri kama hivi” Aliongea Stella na kuwafanya Lea na sebastiani kukanyamaza.
“ Ni kweli Stella yaani pazuri ,tupigeni picha basi” Aliongea lea huku akimsogela Stella aliekuwa akijifuta maji na taulo .
“Seba kaa na Stella basi niwapige picha” Aliongea lea na kuwafanya Stella amwangalie Sebastian na Sebastian alimwangalia Stella na kisha wakatabasamu kwa pamoja na kwa ushawishi wa Lea basi walikubali na kupigwa picha na Stella”
“Nitawatumia hizi” Aliongea Lea huku akitabasamu sana maana zilitoka kama alivyokuwa anataka .
****
Huku nyumbaani kwa Mama Rania alionekana Najma akitoka kwenye chumba chake akipiga miayo akielekea chini kwenye sebule yao na muda huo ilikuwa ni muda wa saa saba mchana .
“Hi! dad good afternoon!” Alisalimia Najma baada ya kumuona baba yake wakati tu alipofika sebuleni wakati huo baba yake alikuwa akiingia na sijui alifata nini maana siku hioo alionekana kuwahi kurudi jambo ambal sio kawaida yake .
“Naona leo umewahi , maana nakuona ukirudi saa sita au saa saba usiku “
“Leo kuna kitu nimerudi kuchukua mara moja na nitarejea baada ya muda kidogo , wewe mbona haujatoka kwenda kwenye mandalizi ya ufunguzi wa kampuni yako”.
“Nimetoa tu maagizo kwa wafanyakazi wangu siku hizi sipendi hata kutoka”
“Unaonekana kuwa na jambo maana si kawaida yako my princess“
“Yeah dadie ni juu ya yule mkaka , I am head over heels for him, please help me to find him dadii please “ (Ninamuwaza yeye tu baba )Akijidekeza kwa baba yake .
“My daughter nafanya kila njia kuhakikisha nina mpata and very soon tu utasikia taarifa ya kufurahisha maana timu yangu ipo uraiani huko inamtafuta “
“Asante sana dad ndio maana nakupenda I real love you dad “ Aliongea Najma maana alikuwa na uzungu mwingi yaani alikuwa hamuogopi baba yake kabisa ,watoto wengi wa kiafrika kumwambia baba ya kuwa wapo kwenye mapenzi ni swala gumu sana na kwao linaonekana kama ni utomvu wa nidhamu , ila kwa maisha ya wenzetu uzunguni huko ni swala la kawaida , pia baadhi ya familia za kiafrika washaathirfika na tamaduni za kizungu .
“Vipi na dada yako , unataka kuolewa kabla yake?”
“Dada naye anaanza kuwa kama mimi tu “ Alingea Najma nakumfanya Samir kumwangalia kwa mshangao , huku wakikaa kwenye masofa ya hapo sebuleni .
“Unamaanisha nini kuwa anaanza kuwa kama wewe?”
“Siku hizi hata si muelewi kuna mkaka nadhani kaanza kazi kwenye benki yetu sasa kila saa dada anamzungumzia mara amsifie na hata wakati mwingine usiku anaota akiongea huku akilitaja jina lake”
“Sasa yeye anakuwaje kama wewe , wewe si mwanaume unaempenda ,wewe ni tofauti na Rania “
“ Hata kama Dady nataka niende hapo kazini kwao nikwamuone huyo mwanume anae mchanganya dada yangu yukoje koje huyo “ Alingea Najma na kumfanya baba yake mapigo kuongezeka maana alijua kama ataenda basi anaenda kukuutana na Peter mwanaume anae mtafuta .
“Sikia unaonaje tukienda wote,mimi na wewe ,ninataka kumuona huyo mwanume kama kweli anamfaa mwanangu Rania maana nawajua wanaume waongo sana “
“Sure dad , nitakuambia siku nikipanga kwenda kumuona ili twende wote “
“Hapana Najma mimi nina kazi nyingi so nitakuambia siku nzuri ya kwenda”
“Sawa dad , but I cant wait , better make it soon dady “
“Worry out my daughter , but promise we do this together right “(Usijali mwanangu lakini hii ni ahadi ua sisi kwenda pamoja )
“Yess dady “
Samir alijikuta akitoka hapo huku akijifuta jasho maana anaona kazi inazidi kuwa ngumu watoto wake wanamchanganya vibaya .
“Nisipo fanya kitu hawa wapuuzi watakutana na inaweza kuleta matatizo kwa wote , inabidi nifanye kitu mapema kabla jambo baya halijatokea ,sina jinsi inabidi Rania aolewe na Hemedi , halafu anisaidie kumwangamiza Peter ili hawa mapacha wanaojifanya wanajua kupenda , nawaletea habari ya kifo tu”Alijiwazia huku akiingia chumbani kwake kwa ajili ya kuchukua kitu kilichomrudisha nyumbani .














SEHEMU YA 19
Samiri alikuwa kweli amedhamiria kumfanya Rania aolewe , aliamini njia ya kumuepusha na Peter ni ndoa .
Hivyo hakuwa na jinsi zaidi kumkubali rafiki yake awe mkwe, sababu hakuwa na cha kupoteza Ramia aolewapo na Hemedi , pia mali zake zingekuwa salama kuliko watoto wake kuwa na mahusiano na kijana Peter .
Alishangaa wakati mwingine ni kwanini alikuwa akimchukia sana Peter na kujithamini wapi chuki hio imetokea mpaka kuwa na nguvu ya kutomtaka kijana huyo kuingia katika maisha ya wanae , lakini hisia zake zilimwambia Peter hakuwa mtu sahihi kwa wanae zaidi ya maslahi na pia hakuamini kama kijana huyo alikuwa na mapenzi ya dhati kwa wanae , lakini pia aliona hatari ilioko kwa kijana huyo kupendwa na familia yake yote .
Siku hio wakati akiwa nyumbani alijihisi kuboreka kubakia hpo kwa muda mrefu ,lakini pia hata ile muwashawasha wa kwenda kutembea uliongezeka mara baada ya kuona meseji ya mchepuko wake Amanda , aliingia bafuni na kujiswafi .
Na kisha akaanza kujiandaa lakini wakati anachukua ufunguo ndio Mama Rannia alikuwa akiingia kutokea kazini.
Mwana mama huyu japo mume wake alikuwa akimnunia ila hakuacha kuonyesha heshima kwa mume .
“Haa ! Mume leo naona umewahi kurudi kazini”
“Ndio kuna kitu nilifuata ila ninaondoka na nitachelewa kurudi”
“Sawa mimi kesho nasafiri kikazi , unaonaje leo ukiwahi kurudi nyumbni mume wangu nimekumisi sana mpaka najisikia vibaya jamani”
Samiri wala hakujibu neno lolote zaidi ya kufungua mlango lakini kutokomea lakini sekunde mbili mlango ulifunguliwa tena na alikuwa ni Samiri , Mama Rania alimwangalia.
“Nimesahau kukutakia safari njema”
Aliongea na kisha alifunga mlango ,mwanamama huyu chozi lilimtoka na kujawa na hudhuni ,hakuamini kabisa mabadiliko ya mumewe kiasi cha kutomjali.
Alikaa kwenye kitanda akifikiria kosa gani amelifanya mpaka hali ya ndoa yake kufikia hatua hio , kuna muda alitamani hata kumfukuza Peter kazini ili hali ya ndoa yake irudi kama awali , lakini akikumbuka kuwa Peter alikuwa tegemezi katika kuimarisha ulinzi wa benki ,wazo alilitupilia mbali , ni zaidi ya mwezi yeye na mume wake kuishi kama dada na kaka
****
Ndani ya hoteli ya Coral Beach alionekana Lea siku hio ndani ya chumba kikubwa cha hadhi ya juu akiwa ameshikiliwa kiuno na James huku akiingiza mwiko wake ndani na kutoa huku kimwana huyo akitoa miliio ya kimahaba ,alionekana dozi anayopewa na james haikuwa ya kawaida .
James alikuwa akimkunja kama kambale na alionekana kubobea kweli kwenye mambo ya sita kwa sira kwani alionekana shughuli kuimudu vizuri takribani dakika kumi na tano walikuwa washamaliza na wote kufika ukingoni.
“Asante sana Hubby “ Aliongea Lea huku akimwangali James usoni aliekuwa akihema kama mbwa alie kimbia maili nyingi “
“Hauna haja ya kushukuru mpenzi wangu mimi hii ndo kazi yangu ya kuhakikisha kwamba nakuridhisha ili usije ukanitoroka ukaenda kwa wengine kwani nitaumia sana mpenzi , nimeumizwa na Stella sitaki kuumizwa na wewe tena”
“Usiwe na wasiwasi mpenzi kwa ninavyokupenda haitokuja itokee eti nakusaliti mpenzi wangu , mimi niwako tu peke yako , unavyo niacha ndivyo unavyo nikuta “
“Hata mimi nakupenda sana Lea na sipo tayari kuuona huu uso wako unatoa machozi kisa mimi kukusaliti , kwanza nataka ukimaliza tu chuo nakuoa”
“Kweli mpenzi , uko siriasi “
“Ndio kwani wewe hautaki kuolewa ,
“Nataka mpenzi ila unajua mapenzi yetu hayana uhuru kwani lazima kila siku tukifanya yetu tujifiche ili Stella asione , natamani kutembea na wewe kila mahali kuonyesha ulimwengu mzima kama napendwa na wewe james mwanume wa maisha yangu ”
Aliongea Lea kwa hisia kubwa na walianza akuchokozana tena, na kwa mara nyingine wakaingia kwenye tendo hilo la kuzini na walidumu kwa dakika kama ishirini , na kati yao hakuna hata mmoja alie kuwa akikumbuka kondomu walionekana kuaminiana.
“Vipi mpenzi lini tena warudi Kenya?”
“Kesho narudi ,nitakuwa huko kwa mwezi mmoja , halafu haujaniambia Stella anaendelaje kwa sasa , si rafiki yako?” Aliuliza James na lea kumuona bado anawasiwasi na hali ya Stella.
“Anaendelea vizuri tu wala hakuwazii , ngoja nikuoneshe maana saivi ana mpenzi mpya na hana habari na wewe “ Aliongea huku akimuonyesha baadhi ya picha ambazo zilimuonesha Stella akiwa kwenye kivazi cha kuogelea ,James alisisimka baada ya kuona umbile la Stella
Lea alikuwa akifanya kumuonesha James ,alimjunesha za Stella na Sebastian wakiwa kwenye pozi mbele ya Swimming pool
“Huyu ndio mpenzi wake mpya ?”
“Ndio huoni walivyo pendeza “
“ Hongera yake , nilijua tu kama hanipendi huyu mwanamke nilikuwa namwamini sana kumbe mchafu namna hii , sitokuja kumsamehe “
“ Usimchukie sana mpenzi , kwanza upo na mimi mwanamke ninaye kupenda , haina haja ya kumuwazia Stella tena” Aliongea Lea huku Stella akielekea bafuni akimwacha James.
James alishika simu yake na kuwasha data na kuangalia message za Watsapp, alijikuta akitabasamu baada ya kuona jumbe kutoka kwa jina la Business partner ,jumbe ya sauti (voice notes) , aliweka ‘Earphone’ masikioni na kusikiliza huku tabasamu pana likiwa limeupamba uso wake , inaonekana jumbe hio ilimfurahisha mno , pale alipomuona Lea anatoka bafuni ndio akajikausha na kuweka simu pembeni baada ya kufuta ule ujumbe .
****
Ilikuwa ni siku nyingine siku ambayo Mama Rania na kijana Peter walikuwa kwenye gari moja aina ya Range Rover Spot huku dereva akiwa Peter akiwa makini na usukani , pembeni yake alikuwa ni Mama rania alieonekana kusinzia, hakuwa na habari kabisa kwa alivyojiachia kwani sketi aliovaa ilikuwa imepanda mpaka kwenye mapaja ,ukizingatia pia kigauni alicho vaa kilikuwa chepesi sana , mwanamama huyu hayo ndio maisha yake ,alikuwa na uzungu mwingi hata kazini kwake.
Gari ilizidi kuyoyoma na ndani ya masaa manne gari ilikuwa ikipita sehemu moja inayoitwa Soni hapa ndio Mama rania alishtuka kutoka usingizini .
“Nimelala sana?”
“Yeah ndio tuko eneo moja linaitwa Soni na muda si mrefu tunafika lushoto mjini “
“ Aisee nimelala”
“Unaonekana kuchoka sana”
“Yeah nimechoka sana jana sikulala kabisa mpaka kuna kucha “
“Tatizo lilikuwa ni nini sasa ?”Aliuliza Peter huku akiwa makini zaidi na barabara kwani makona yalikuwa mengi .
“Mambo ya kawaida tu , halafu kuna baridi huku” Aliongea Mama Rania baada ya kupandisha kioo.
“Ndio huku ni juu milimani , milima ya Usambara , ni kuzuri kweli nishawahi kufika mara nyingi nyingi kuna baridi ,ila kuna maeneo mazuri ya kutembelea”
“Kumbe nipo na mwenyejii, basi inabidi unipeleke peleke hayo maeneo ya vivutio nikaone na mimi”
“Hilo hata usijali Boss”
Walitumia masaa machache sana kufika Soni, na moja kwa moja waliingia Lushoto mjini na kwakuwa ailikuwa mapema sana , waliingia kunywa chai kwenye mgahawa na baada ya hapo wakaanza ukaguzi ndani ya jengo hilo la benki , na Peter yeye akiwa na kazi ya kuweka mfumo mpya kwenye tarakishi pamoja na vimashine flani vya mtandao .
Kazi ilifanyika kwa masaa manne mpaka kuisha na iliisha mapema kabla hata ya muda ambao walipanga kuutumia , baada ya kazi zote hatimae waliondoka huku wote wakiingia kwenye gari na kuelekea kwenye hoteli moja maarufu sana ndani ya Lushoto ilio kuwa ikijulikana kama “IRENTE VIEW “ hii ni hoteli moja nzuri sana ilio kuwa ikimilikiwa na marehemu raisi mstaafu Benjamini mkapa , ilikuwa juu ya mlima na ukiangalia kwa chini unaona maeneno ya tambarare , kama nji za kwenda Moshi , Mazinde na baadhi ya maeneo mengine ni eneo zuri kweli kwa hoteli hio kuwepo .
:Jamani kuzuri huku , kuna mazingira safi hadi raha na hewa safi kabisa “ Aliongea Mama Rania wakati wakitoka kwenye gari baada ya kuingia ndani ya hoteli hio.
****
Tajiri Samir hakurudi nyumbani siku ambayo mke wake alikuwa amemuambia kuwa kesho yake atasafiri kikazi na wala hakujua kabisa mke wake alikuwa amesafiri kuelekea wapi Zaidi ya kujua yupo safari kikazi .
Usiku wa siku hio Mama Rania alimsubiri sana , alikuwa akitamani kupata haki yake ya ndoa na alikuwa kwenye hali mbaya sana , lakini Samir hakurudi kabisa kwani mchepuko ulikuwa umemshikilia sana siku hio .
“Umeamkaje mpenzi?” Aliuliza Amanda ,alikuwa amekaa kwenye Dressing table akijipodoa ,ilikuwa ni muda wa asubuhi na Samir ndio kwanza alikuwa akitoka usingizini .
“Jana umeniweza kweli yaani nimesahau kabisa kurudi nyumbani “
“Nipo hapa kwa ajili ya kukusahaulisha kuhusu mkeo maana najua upo kwenye wakati mgumu sana wewe ni familia yako “
“Ni kweli , ila yataisha tu ,”
“Vipi mke wako leo si atakuwa na presha huko”
“Kweli na anavyonipenda sidhani kama jana alilala, maana kila siku namkuta yupo macho ananisubiria , halafu aliniambia kuwa anasafiri kikazi”
“Masikini saivi atakuwa na mawazo safari nzima”Aliongea Amanda pasipo kujali kuwa anaye mfanyia hivyo ni mwanamke mwenzake na anaiharibu nda ya mwanamke mwenzie.
****
Sebastiani alikuwa ndio kwanza kutoka chuoni , aliingia ndani kwake na kisha akajirusha kwenye sofa lilipo ndani ya chumba chake .
“Stella unaninyima usingizi , ila nitakupata tu kwa namna yoyote ile upo ndani ya mawazo yangu sana , nakufikiria kila wakati” Alijiwazia sebastiani huku akiangalia feni inavyozunguka .
“Inabidi nikusaidie katika swala lako na Masumbuko na naamini kupitia hili lazima unipende mwenyewe”
Alinyanyuka na kuweka begi lake lilibeba tarakishi mpakato kwenye meza na kisha, alivua nguo zake na kuingia bafuni ,chumba chake kilikuwa ni self container , alimaliza kuoga na kuanza kujifuta maji , kuna wazo lilimjia ambalo lilimfanya atabasamu .
“Aliifuata simu yake na kisha akamtafuta Steve na kumuuliza yuko wapi na alijibiwa kuwa yupo kazini bado , aliuliza na kuhusu Masumbuko na kupewa jibu kuwa yupo nyumbani na Peter alikuwa mkoani kikazi . majibu hayo yalimfanya atabasamu na kuvaa nguo zake na kujiandaa haraka haraka .
“Hapa naenda kwa masumbuko kuchukua ushahidi au kuutengeneza na hivyo hana akili atajaa tu” Alijiongelesha huku akitabasamu kinafiki.
























SEHEMU YA 20


Sebastian alipanda daladala na moja kwa moja alielekea Mbezi Beach nyumbani kwa Peter na Masumbuko , kutokana na muda huo kutokuwa na foleni kubwa , alitumia dakika arobaini na tano hivi kufika Mbezi Beach , alikuwa akipahafamu sehemu ambayo alikuwa akiishi Peter , alivuka barabara na kunyoosha juu kabisa mpaka nyumbani wanapoishi .
Masumbuko wala hakuwa na habari kwani muda huo alikuwa akiangalia muvi kama kawaida yake maana alikuwa akipenda sana TV.
Alisikia mlango unagongwa na akanyanyuka na kusogelea na kuchungulia kwanza ni nani anaye gonga na alivyo muona ni Sebastian kwanza aliogopa na kuanza kujishauri kufungua ama asifungue , lakini mlango ulizidi kugongwa ndipo alipo kata shauri na kufungua mlango .
“ Wewe fala nagonga hata haufungui , ulikuwa umelala nini?”
“Hamna nilikua najishauri nifungue au nisifungue “
“ Ulijua anaye gonga alikuwa mimi au? “
“ Ndio nilichungulia kabla ya kufungua”
“Sasa kwanini ulikuwa unajishauri kufungua , au ulikuwa unaogopa yale ya siku ile , yale yalipita na sina time nayo chukulia poa tu “
“ Unasema kweli ?”
“Ndio namaanisha , mimi siwezi kukosana na mwanaume mwenzangu kisa demu”
“ Asante sana , mimi hata siku ile sijui nilifikiria nini maana nilijikuta tu nimefanya vile “
“Vipi umefanya” Aliuliza huku akikaa kwenye sofa
“Si kukufanya uwe muhudumu”
“Hahaha... sema ulichonifanyia wewe boya ,ndio hivyo nimekusamehe maana Peter ni rafiki yangu na wewe pia umekuwa rafiki yangu kuanzia leo na kuendelea”
“Asante Sana”
“Peter yuko wapi?”
“Kasafiri “ Alijibu Masumbuko huku akikaa na yeye maana muda wote alikuwa amesimama . wakati huo Sebastian na yeye alikaa vizuri nakutoa simu yake akatachi akapangusa pangusa na kugusa ,ilikuwa simu janja ,kisha akamwangalia Masumbuko .
“ Masumbuko halafu unajua ile siku ulinishangaza sana hivi ulimla yule mwanamke ?”
“Ndio nilimpiga kitu safi mpaka akazimia nikaachana nae maana pale nilimpa kumbukumbu za masaa mawili”
“ Haha .. kwahio ni kama ulimpiga changa la macho na ukala kitumbua si ndio?”
“Yeah nilimbadilisha mawazo sijampiga changa la macho “
“Sasa kwani kuna utoafauti gani kati ya changa la macho na kumbadilisha mtu mawazo?”
“Mimi Sijui jibu wewe”
“Namaanisha si kama umembaka vile?”
“ Kwani kumbaka mtu inakuwaje kuwaje?”
“ Si kama kumfanya bila ya kujua anacho fanyiwa, hapo utakuwa umebaka mtu kwa sababu alikuwa hajui “
“Ndio nimembaka basi”
Basi Sebastian aliaga huku akimwambia Masumbuko kuwa amekuja kwa jili ya kuonana na Peter ila kwa sababu hakuwepo alisema atakuja siku nyingine .
Sebastian alifika geto kwake huku akitabasamu na kutoa simu yake na kuanza kuplay na hapo hapo ikaanza kusikika sauti ya Masumbuko .
”Ahahaha.. nimembaka basi , masumbuko wewe huna akili na utaenda jela bila ya kupenda fala wewe”Aliongea Sebastian huku akitoa ile memory kadi na kuweka kwenye kijiboksi hapo ndani . .
*****
Tajiri Samir alikuwa amedhamiria kwa silimia mia kuwa lazima afanye maamuzi mapema , kwani kila alipo fikiria kuwa Rania ashaanza kuwa na hisia na Peter alipata wasiwasi hali hio aliiona kama bomu linalotaka kulipuka na ni yeye tu ambae anaweza kulitengua .
Wakati akiwa ofisini kwake alitoa simu yake na kumpigia rafiki yake Hemedi na kumwambia kuwa jioni wakutane maeneo yao ya kukutania kwani ana jambo la kumwambia .
Basi baada yakufanya kazi na kumaliza tayari ilikuwa ni mida ya jioni ambayo alipanga kukutana na tajiri Hemedi katika hoteli ya Kilimanjaro kwani hapo ndipo makazi ya Hemedi akitaka kujivinjari na mwanamke yeyote yule .
Samiri alifika nakuegesha gari yake na kwakuwa aliambiwa na bwana Hemedi kuwa wakutane kwenye chumba alichokuwa anapendelea kuchukua hotelini hapo , basi Samir alipandisha juu kabisa mpaka kwenye chumba hicho.
Alifungua mlango na kuingia ,alimkuta Hemedi akiwa na mwanamke mmoja alie valia chupi tu , Hemedi baada ya kumuona rafiki yake alimruhusu yule mwanadada aondoke huku akimminya kalio .
Kitendo kile alikishuhudia Samir na kujikuta akipandwa na hasira hasa alipo fikiria kuwa huyo ndio mwanume ambaye anapaswa kumpa Rania kwa ajili ya kumuoa .
“ Niambie Samir , umefikiria juu ya ombi langu?” Aliongea huku akimimina pombe kwenye glass na kumpa Samir , huku Samir wakati huo alikuwa na hasira kila akifikiria vitendo vichafu vya Hemedi alijiona kabisa huyo hafai kabisa kumuoa mwanae.
“ Ndio nimefikiria”
“ Haya niambie baba mkwe”
“ Sikia Hemedi nimegundua wewe sio rafiki yangu umnafiki , unatumia nafasi ya matatizo yangu ili kumpata mwanangu , sasa mimi kama baba yake sipo tayari kwa hilo.”
“ Samir wewe ni rafiki yangu sana na tumesaidiana katika mengi na unanijua vizuri , kwani kuna shida gani ya mimi kumuoa mwanao?: na kwanza wewe unakuwa kwenye nafasi nzuri kwani Rania utampa mali zako na mimi sina shida na mali zake atazitunza na kumpa mwanae atakae mzaa na hakutakuwa na mgogoro wa mali zangu na watoto wangu wakubwa sasa hiko unacho kichukia ni kipi, mbona kuna watu wengi tu wazima wana oa mabinti “
“Sikia Hemedi wewe ni mnafiki sana na nia yako nishaijua wewe kwa kupenda kwako ngono najua unamtaka na mtoto wangu kwa ajili ya kumchezea , hivi na hio tabia yako kweli naweza nikakupa kweli mtoto wangu mimi si nina mchimbia kaburi mwenyewe “
“ Sikia Samir ni kweli unajua tabia yangu ila ni kuhakikishie kuwa nipo tayari kubadilika kwa ajili ya Rania kwasababu sijampenda Rania jana wala leo , ni muda mrefu sana na nilikuwa nikiogopa sana kukuambia hilo lisije lika leta athari kwenye urafiki wetu”
“ Kwa hio ulisubiri mpaka sasa ambapo nina matatizo ndio kuniambia kwakuwa unajua kabisa sitokuwa na jinsi?”
“ Sio hivyo rafiki yangu , ni kwamba sipo tayari kumuona Rania anampenda mtu mwingine na wakati mimi nipo hai , na isitoshe pia sitaki na familia yako kusambaratika na kuingia kwenye migogoro kisa mwanaume , tena mwanaume ambae hana mbele wala nyuma”
“ Hio sio sababu ya kutosha ya mimi kukupa mtoto wangu”
“Sababu kubwa ni hii hapa” Alivuta bahasha moja na kutoa picha na kuzimwaga mezani na hapo ndipo Samir aliona kama akili yake haifanyi kazi vizuri kwani aliona picha zikimuonesha Rania akibusiwa kwenye paji la uso na Peter”
“ Nadhani umeona sasa, hio nayo ni sababu kwani inanikasirisha sana kumuona mwanmke ninae mpenda akibusiwa hivyo na hio ni kwenye paji la uso kesho na kesho kutwa atabusiwa kwenye lipsi na kumpa kabisa kitumbua , nadhani kwa kiburi ambacho watoto wako wamerithi kutoka kwako sijui utamwambia nini akuelewe kuwa umemtafutia mchumba wa kumuoa”
Samir alijikuta akikaa chini na kunywa glass yote ya bia na kuisikilizia inavyo choma koo na kisha akatulia na kuanza kufikiria huku akiziangalia picha zilizo kuwepo hapo mezani , alipeleka mawazo yake kwa Rania na kufikiria ubishi wake na msimamo wake pale anapohitaji kitu , akamfikiria Nasma
ujeuri aliokuwa nao , akamfikiria Peter na yeye na kuanza kumpima sifa zake kama anafaa kuwa na mwanae hata mmoja aliona hafai.
“ Unajua Samiri wewe hata kuua mtu najua hauwezi , ila mimi nitakusadia kumpoteza kijana Peter kwajili ya kuwaokoa wanao “ Aliongea Hemedi na kumfanya Samir aliekuwa kwenye mawazo amwangalie na kujiuliza hitaji lake kuu ni nini , alijibu kuwa kujiambia kuwa hitaji lake kuu ni Peter kupotea katika uso wa Dunia ili kuiokoa familia yake.
“ Una uhakika juu ya hilo la kumpoteza Peter “
“ Ndio hilo naweza sana na lipo ndani ya uwezo wangu ,ni wewe tu kunipa baraka nimuoe mwanao na wewe utumie ubaba kumfosi mwanao nimuoe na mimi najua jinsi ya kumpata Rania kama ndio jambo ambalo lina kuumiza kichwa .
Samir alimwangalia rafiki yake huyo ambae dakika chache za nyuma alikuwa akimwamini sana katika kumwambia shida zake , kwake aliona mazungumzo hayo yalikuwa ni kama ya kibiashara.
“ Daah..! “ Aliongea Samiri na kukatishwa na simu ilokuwa ikitoa mlio wa sauti ikioonesha kuwa kuna mpigaji , alitoa na kuona ni namba ngeni .
“ Boss za siku nyingi!”
“ Salama nani mwenzangu?”
“ Ni mimi Krispine kutoka kampuni ya POPOTE TUNAFIKA , ulinipa kazi nifuatilie taarifa za yule mwanamke ,nimepata taarifa yake na mwanae”
“Uko wapi?”
“Nipo Ubungo”
“ Nakuja “
“Hili tutaongea siku nyingine Hemedi” Aliongea Samir na kisha kuondoka .
****
Tukiingia ndani ya mji wa Lushoto , alionekanna Mama Rania akiwa kwenye chumba chake ndani ya hoteli , baada ya kila mtu kuchukua chumba .
Chumba cha Peter kikiwa kipo mkabala na chumba cha Mama Rania , hoteli ilikuwa na mazingira ya kuvutia sana kwani chumba kilionekana kuwa kizuri mno .
Mama Rania alikuwa amekaa kwenye kitanda chake akionekana kuwa na mawazo , akiwa ameshikilia simu yake , ni kama alikuwa akisubiria mtu amtafute . na nikweli alikuwa akisubiria ujumbe ama simu kutoka kwa mume wake , kwani tokea alivyo ondoka jana yake nyumbani hakurejea kabisa , na mbaya Zaidi ni kwamba na yeye ameondoka bila ya kuonana nae , japo alikuwa akijua kuwa mume wake alikuwa akichepuka lakini hakuacha kumpenda mume wake na alitaka tu kujua hali ya mme wake kuwa anandeleaje .
Wakati akiwa kwenye mawazo akiwa amekaa kwenye sofa , jina la ‘My favourite Naa’ lilisomeka kwenye kioo cha simu yake janja ukiambatana na mlio wa sauti wa wimbo wa ‘Alan walker –Faded’, alikuwa ni mwanadada Nasma ,alitabasamu huku akiipokea na kuweka sikioni na kuanza kuongea na mwanae . alionekana kuna jambo la kufurahisha ambalo alikuwa akiongea na mwanae huyo maana hali yake ilibadilika na kuonekana kutabasamu .
Mama Rania alijikuta akitamani kupiga soga na Peter mara baada ya kumaliza kuongea na simu , kwani alikuwa amemzoea sana Peter na hususani akiwa kwenye hali ya mawazo mara nyingi mtu ambae amekuwa tabibu wake wa kumrudisha katika hali sawa alikua ni Peter , alinyanyuka kivivu na kuchukua kitenge chake na kujifunga huku akiwa amevalia kijisketi chake chepesi kwa ndani alitoka na kwenda mpaka kwenye chumba cha Peter , aligonga na kusubiria na baada ya muda Peter alifungua mlango hukua akiwa amevalia singlend na bukta lake .
“ Vipi naweza kuingia? “ Aliongea Mama Rania huku akimwangalia Peter usoni aliejifikiria kwa sekunde na kisha alimruhusu mama huyo na kuingia
“ Najihisi upweke kukaa mwenyewe nimeona nije unichangamshe
changamshe maana naona kama mawazo yananiandama”Aliongea Mama Rania
na Peter kwa akili yake ya haraka alijua kabisa mama huyo alikuwa akisumbuliwa na mawazo kwani kule njiani alikumbuka alimwambia kuwa hakulala kabisa usiku wa jana mpaka kunakucha .
“ Basi stori zilianza , na kama kawaida Peter kwakuwa alikuwa haishiwi na stori za uongo na kweli Mama Rania hali yake ya furaha hatimae ilikuwa imerudi kwa kiasi fulani , uzuri wa kile chumba ni kwamba kilikuwa na sehemu ya kukaa yaani kulikuwa na masofa(master suite room) ambayo yamepangwa na yalikuwa yakiruhusu watu kama watatu kukaa .
Baada ya kupiga stori kwa muda mrefu , huku hali ya hewa ya Lushoto ikizidi kuwapa kajiubaridi na kumfanya Mama Rania atoe ile khanga alio jifunga na kujifunika mabegani na wakati huo walikuwa wamehamia kwenye kungalia onyesho fulani la wanamuziki kutoka Marekani wakionyesha uwezo wa kwenye kuimba(Stage perfomance ) , sasa Peter alidhania mama Rania anapenda kile alichokuwa akiangalia kumbe mwenzake alikuwa ashalala muda na saa ilikuwa ikisoma saa nne usiku muda huo , Peter muda wote alikuwa akijua kuwa na mwenzake yupo makini kwenye kuangalia maana alikuwa akiona vijiaibu flani hivi vya kugeuka na kumwangalia Mama Rania usoni. Na hakujua kwa nini alikuwa na hali hio .
Baada ya dakika kadhaa alijikuta akigeuka na kumwangalia Mama Rania , hapo ndipo alipo gundua kumbe mwenzake ashapotelea usingizini muda mrefu huku akijiegamiza vibaya kwenye lile sofa ,Peter alimwangalia na kuona kweli boss wake kachoka , aliamua kunyanyuka lakini mara Mama Rania kwa jinsi alivyo kuwa ameegamia lile sofa alijikuta akielekea chini na Peter kwa uharaka wake alijikuta akichuchumaa na kumdaka na hapo Mama Rania ndipo alipo kuja kushituka akiwa kwenye kifua cha mwanaume na uso umekaribiana na wa Peter huku akihisi pumzi ya joto ya kijana , kwakuwa kijisketi alicho vaa kilikuwa kifupi kwani hizo ndio nguo zake , basi mapaja yote yalikuwa yamegusana na miguu ya Peter kwani alikuwa amevalia bukta .
Mama Rania alijikuta akihisi joto Fulani na pumzi ya Peter ilio kuwa ikimpumulia na kujikuta hisia za mapenzi zikimpanda na kwa upande wa Peter kama mwanaume rijali alikuwa akihisi joto la ajabu sana kutoka kwenye mwili wa Mama Rania na kujikuta dunguso yake kusimama wima na kugusa mapaja ya Mama Rania.
Mama Rania alijikuta akishusha mdomo wake taratibu kwa Peter , kisha lips zikagusana na kwakuwa Peter alikuwa mgeni alikuwa haelewi haelewi chakufanya alikuwa kama mtu aliepigwa shoto na kuhitaji kunasuliwa , Mama Rania alicharuka kwani hisia zilikuwa zimempanda kiasi kwamba kwa hali alio kuwa nayo shetani asingeweza kujizuia , na ukizingatia hajakutana na mwanaume kwa muda mrefu hali ilikuwa mbaya kwake alijisemea liwalo na liwe .
Mama Rania alimshika Peter mkono na kuushikisha kwenye mapaja yake karibu kabisa na kitumbua na kumfanya Peter ahisi msisimko wa ajabu sana na uliongezeka pale Mama Rania alipogusa dunguso ya Peter.
Peter alishindwa kabisa kujizuia kwani hisia zilikuwa zipo juu na ukizingatia kuwa hakuwahi kufanya kitendo hicho tokea azaliwe, basi kujikontrol ilikuwa ni ngumu sana kwa kijana kama Peter kwani alianza kabisa kutoa ushirikiano , Mama Rania alinyanyuka na kumuinua Peter huku wakipeana juisi ya mdomoni na mwanzoni Peter alikuwa hajui hatua ila muda ulivyo zidi kwenda alijikuta akianza kuwa fundi , Mama Rania alishusha nguo yake ya ndani pasipo kuvua ile sketi na kisha akatoa na sidiria na kijiblazia alichovaa, alichukua mkono wa Peter na kushikisha kwenye hazina yake na Peter alielewa somo na kutumbukiza kidole na kuanza kazi ya kusugua na kumfanya Mama Rania atoe miguno huku akijinyonga nyonga , Mama Rania aliona kama anacheleweshwa kwani wakati huo hata haikueleweka Peter alivua saa ngapi lile libukta ,wakati huo msumali ulikuwa dede na umetuna ,Mama Rania aliinama na kupandisha kile kijisketi juu kabisa na kumwachia Peter kazi na Peter mwenyewe hakuzubaa maana akili yake hapo ilikuwa haifanyi kazi vizuri , aliingiza mtwangio wake na kumfanya mama wa watu apanue mdomo na kukugugumia kwa utamu kama wote.
Baada ya nusu saa mbele Peter alionekana fahamu kumrudia huku Mama Rania akiwa hana nguo hata moja na Peter nae alivaa bukta lake haraka haraka na kuangalia pembeni kwani alianza kujutia kwa kile alichofnya , kwani aliona kabisa ashakwisha lala na mke wa mtu.
Kwa Mama Rania wala hakuwa hata na wasiwasi , tena tabasamu lilionekana likipamba uso wake , kwake kufika kileleni lilikuwa ni historia ya muda mrefu na histora hio ndio imejirudia siku hio akiwa na kijana mdogo Peter , alitambua wasiwasi aliokuwa nao Peter hivyo aliamua kumsogelea na kisha alimkumbatia huku akimwagia sifa kedekede .
Naam ! Liwalo na liwe .
****
Samiri aliendesha gari lake kwa haraka kubwa ili kuwahi sehemu ambayo amepanga kuonana na bwana Krispine ambae ni mfanya kazi wa kampuni ya kutafuta watu ijulikanayo kwa jina la “POPOTE TUNAFIKA” , alitumia muda wa saa limoja tu kutoka mjini Posta mpaka Ubungo Landmark Hotel , sehemu ambayo ndio alipo panga kukutana na bwana huyo .
“Za Siku Nyingi Boss” Alisalimia kijana mdogo kabisa alie valia suti yake safi kwa heshima kabisa , huku akiweka mkoba wake pembeni .
“ Salama kabisa namshukuru mwenyezi Mungu kwa kila hali”
“Nimechelewa kidogo kulikamilisha zoezi hili, kutokana na kwamba sikua na muongozo wowote katika kumtafuta ila nashukuru nimefanikiwa kumpata .
“Niambie anapatikana wapi?” Aliuliza Samir kwa shauku kubwa ya kutaka kujua sehemu ambayo anapatikana
“Kwa majina anaitwa Irene mshana ni mwenyeji wa mji wa Arusha sehemiu alipozaliwa:”Alipozi kidogo huku akifungua makaratasi yalio kuwa kwenye begi lake hilo .
“Alihamia jijini Dar kwa ajili ya kutafuta maisha baada ya mama yake kufariki kwa ugonjwa wa maralia , kuhusu taarifa za baba yake na ndugu kwa ujumla sijazipata .
Hapa jijini alikuwa akiishi maeneo ya Sinza mpaka alipo jifungua mtoto wa kiume ndipo alipo hama , na taarifa kwa sehemu alipo hamia hazijafahamika kwa undani Zaidi ,lakini nimefahamu kuwa alijifungua mtoto wa kiume lakini jambo la kusikitisha ni kwamba kwa utafutaji wa kampuni tumeweza kugundua kuwa mwanamama huyu alipoteza maisha yeye pamoja na mwanae.”
Samir alijikuta kwenye mshangao mkubwa sana na maumivu makali baada ya kusikia kuwa wote wawili walipoteza maisha hapo hapo .
“ Samir alijikuta akinyong`onyea baada ya taarifa hio kwani ilikuwa ni taarifa ambayo ilisikitisha mno mbali na mategemeo yake , hasa alipo sikia kuwa mwamke yule alijifungua mtoto wa kiume ambae anamtafuta usiku na mchana ili kuja kumrithisha mali zake kwani hakuwa na uhakika na maamuzi ya mali zake kuzirithisha kwa wanae wa kike .
“Ni hayo tu mheshimiwa na kama kuna jipya nitakalo libaini basi nitakuambia mapema iwezekenzvyo “ Aliongea bwana yule na kisha akapeana mkono na Samir na kisha kuondoka .
Alikaa chini na kujifikiria kwa muda huku akihuzunika kwa uzembe wake ,lakini mwishowe alikubaliana na hali halisi kwa kuona kwamba hayo yote yalikuwa mapenzi ya Allah.
Alijkuta akitoa simu yake na kumpigia tajiri Hemedi rafiki yake
“Una baraka zangu zote, nipo tayari kukupa mtoto wangu umuoe ila kwa masharti makuu mawili la kwanza ubadili tabia yako , kwani sipo tayri kumuona mwanangu akilia kwa kuumizwa na tabia yako ,na pili najua wewe ni mtu mwenye mtandao mkubwa sana kwa hio naomba umpoteze kijana Peter kwenye uso wa hii Tanzania maana sitaki kumuona akihusika na familia yangu “ Alisema maneno hayo Samir na kisha akaagiza chupa ya bia na kuanza kunywa hapo hapo hotelini na alipanga siku hio alewe chakari kutoa mawazo.
Wahenga wanasema”Majuto ni mjukuu” na “usiloijua ni kama usiku wa kiza kinene .






SEHEMU YA 21

Peter aliekuwa amegeuka upande wa dirishani alikuwa akiona hata aibu ya kumwangalia mama huyo , kwani kitendo walicho kifanya muda mfupi ulio pita kilikkuwa ni kitendo ambacho alikiona kama ushetani au dhambi kubwa sana japo hakuwa na dini , ila aliamini kuwepo kwa Mungu mhukumu wa watu wenye dhambi na yeye aliona kuwa amefanya dhambi kulaa na mke wa mtu, ilishangaza kwa yeye kujutia kwani moja ya malengo yake katika kisasi chake ni kutembea na familia nzima ya Samiri .
Peter aliitoa mikono ya Mama Rania na kisha kumgeukia na hapo ndipo alipo kosea kwani ile anageuka tu Mama Rania alikuwa tayari ashapeleka mdomo wake na kuanza kumyonya midomo , Peter aliannza kuleta ugumu lakini aliposhikwa dunguso yake na mikono milaini ya mama huyo alijikuta akinywea kama maji kwenye mtungi na kumuacha afanye kile anacho taka , mchezo uliendelea kwani walisogea mpaka kitandani na Peter kusukummwa kitandani na boss wake Shani au Mama Rania na kisha akamvua bukta na kutupa kwenye kona ,Mama huyu alishika kirungu na kuanza kuchezea jambo ambalo lilimfanya Peter awehuke kwani kitu anacho fanyiwa kilikuwa ni cha levo ya ktabu cha ‘Super Erotic Romance’ mama alikuwa akijua mambo kwani yeye alikuwa tayari ameolewa ukiachana na historia ya nyuma ya maisha yake kabla ya ndoa ,alijua mbinu jinsi ya kumpoteza mwanaume yeyote yule kwenye dunia ya mapenzi, Peter hakufurukuta kwani alikuwa kwenye sayari nyingine kabisa , sayari ambayo hakuna mtaalamu yoyote wa mambo ya anga amefanikiwa kuiona kwa Darubini .
“Liwalo na liwe” Aliongea Peter na kumshika Shani na kumgeuza hata Shani mwenyewe alishangaa kitendo hicho cha Peter kumgeuza kwanguvu kama mbogo . alimkunja kama kambale na kuingiza mtwagio wake maana ulikuwa mkubwa wa haja na kwakuwa Mama Rania katika kujifungua kwake kote ilikuwa ni kwa njia ya upasuaji basi eneo lake lilikuwa kama la binti mdogo .
Peter alimpelekea moto mama huyu Rwanda magere anaziiita Bakora za kimkakati , haikujulikana hata ujuzi alikuwa ameutolea (hivi vitu tunazaliwa navyo ni asili ) ,Mama Rania au ukipenda muite Shani alikunjwa na kukunjuliwa na kunyoooshwa na kupinduliwa , akafika kitonga akashuka akapanda tena akashuka akapanda tena na kushuka tena na kujikuta akiweka historia ya kuukwea na kuupanda mlima kitonga kwa mara kibao.
“Asante sana mpenzi , yaani hata siamini nikajua unajuwa kuchezesha vidole kwenye komputa tu kumbe hata kwenye mwili wa mtu uko vizuri ,umenifanyia kitu ambacho sitakaa chini na kuukosa uhondo huu “ Alijidekeza kabisa huku akitoa sifa zote kwa Peter huku akisahau kabisa mkononi ana pete ya ndoa .
Basi ukawa mwanzo na mwendelezo wa kupanda vilima na kushuka , siku tatu zote walizo kuwa katika jiji hilo la Lushoto kwaminajiri ya kufungua benki katika wilaya hilo uliambatana na ufunguzi wa mapenzi yao yasio na kibali mbele za Mwenyezi Mungu, walitembea kwenye vivutio vyote vya utalii vilivyopo ndani ya wilaya hio , huku kila siku wakirudi kupeana dudu , hata chumba alicho chukua Peter ilibidi akirudishe tu kwani alikuwa hakitumii tena, ilikuwa ni mwendo wa kupeana dudu tu , kiufupi sio Mama Rania sio Peter wote walinogewa , Peter alinogewa na vitu alivyo kuwa akipewa na mama huyo na Mama Rania na yeye alijikuta hata akimdharau mume wake kabisa na kuona sasa wako droo.
“Peter mpenzi wangu nakupenda sana , yaani natamani ungekuwa wewe ndio mume wangu “ Aliongea huyu kwa mapozi kabisa ukidhania ni binti wa miaka therathini au ishirini na hajawahi kuzaa kumbe ana mitoto tena mikubwa na mizuri kabisa ambayo ipo kwenye lika la kuolewa na kuwa na familia kama kijana Peter. .
“Nakupenda pia mpenzi , siku zote sikujua kumbe hii sehemu inanoga kiasi hiki” Huku akimshika na wakati huo walikuwa kwenye gari kuelekea hotelini wakitokea eneo moja linaitwa Mkuzi huko kwenye vivutio vya utalii , na mama Rania hakuwa hata na wasiwasi yaani alikuwa akijiona dunia nyingine kabisa na alitamani kabisa kutorudi nyumbni ,wakae tu huko hata mwezi mzima , na kwa Peter alikuwa amenogewa na yeye alitamani alekitumbua tu kwani utamu aliokuwa akihisi wakati akichovya kibuyu hicho cha asali haukuwa wakawaida laiti angejua kuwa mwanamke ambae ana mkunja kila siku na kumkunjua na kuonesha ubabe wake ni mwanamke alie husika na mauaji ya mama yake sijui angefanya nini na kwa Mama Rania na yeye laiti angejua kuwa mwanaume huyo alio kuwepo hapo ndio mtoto aliotoa maagizo kwa ajili ya kuuliwa na pia ni mtoto wa mume wake na kaka wa wanae sijui ingekuwaje .
“Vipi nikununulie ndizi naona zimeiva na zinavutia “ Aliongea Peter baada ya kufika eneo moja liitwalo Magamba .
“Ndio nunua “ Alijibu Mama Rania huku akijilaza kwenye kiti.
“Peter alitoa wallet yake kutoa hela kwa ajili ya kulipa , lakini ile anachomoa hela kulidondoka kitu kutoka kwenye waleti yake alinunua kwanza zile ndizi na kisha na kuziweka mbele na kisha aliinama na kuokota , alijikuta macho yakimtoka na hapo hapo akakumbuka siku ambayo Rania alimletea waleti yake .
****
Rania tokea Peter aondoke alijikuta kwenye wakati mgumu sana , kwani kila akikumbka tukiio la Peter kumbusu kwenye paji la uso mwili wote ulikuwa ukimsisimka , kila saa alikuwa akiangalia kidani cha holder ya funguo alicho pewa na Peter , huku akikumbuka maneno yake kuwa huo ni kama ushahidi wa wao kuwa marafiki, alijikuta akitabasamu usiku huo , huku akijiviringisha kwenye kitanda .
“Lakini yupo kimya sijui ujumbe wangu hakuupata?? “ Alijiongesha mwenyewe huku akionekana kabisa kuna ujumbe alimtumia Peter haikujulikana kamtumia kwa njia gani ila alionekan kabisa kuna ujumbe ambao alikuwa amemtumia Peter na alikuwa akisubiria majibu.
“Sis....” Ilisikika sauti ikiit na kumfnya Rania alie lala kugeuka na kuangalia mlangoni.
“Waoh!, Nasma.. karibu sana, leo umekuja kutusalimia jamani nimekumisije mdogo wangu” Kumbe alikuwa ni Nasma.
“Nimekumiss pia mrembo , leo nimekuja kabisa kulala na ndio maana unaniona usiku”
“That is great , karibu sana mdogo wangu yaani ungejua nilivyo kumiss wewe acha tu , sema majukumu ndio yananibana nimeshindwa kuja kukusalimia huko nyumbni kwako”
“Mewe muongo , ila nafurahi nimekuona , unazidi kuwa mzuri tu dada yangu”
“Ahahaha jamanii.. wakati wewe ndio mzuri katika familia yetu kuliko wote”
“Ahaha.. sio kweli wote tunalingana” Aliongea Nasma huku wakionekana kufurahia kuonana, kwani japo walikuwa wakiishi kwenye jiji moja lakini ni mara achache sana kwa wao kuonana ,Nasma yeye alikuwa kiishi sehemu yake , kutokana na kwamba yeye haelewani kabisa na baba,Nasma hakupenda ukoloni wa baba yake.
“Jamani chakula atayari , dada Najma anawasubiri”Aliongea mfanya kazi wa ndani akiwakaribisha kwenda kula achakula cha usiku.
“Najma mambo!” Alisalimia Nasma baada ya kumkuta pacha wake kwenye meza akiwasubiri maana ndio ulikuwa utaratibu lazima kuwasubiri watu wote wafike kwenye meza ndipo uanze kujipakulia na kama sio sheria hio Najma angekuwa ashajipakulia mapema mno..
“Safi nakuona karibu” Aliongea Najma kwa kujilazimisha .
“Hata mimi nakuona tokea miaka mingi tulipo achana tokea uende masomoni umebadilika na umezizi kuwa mzuri “
“Ndio ila najua si kushidi wewe” Aliongea najma huku akijipakulia chakula
“Halafu jamani baba siku hizi anachelwa “
“Nani anachelewa ?: , mimi hapa nimerudi “ Ilisikika sauti kutoka mlangoni na Samir alionekana akiingia huku amelewa chakali huku akiyumba yumba na kuwasogelea wanae .
“Watoto wangu warembooo.. naonaaa… leo mmekusanyika kunijadili .. mimi baba yenu , ..hiki kikao chenu tukipe jina gani vilee.. eti Nasma mtukutu ... aa... mimi nakiita kikao cha masimango”Aliongea Samir kilevi na kumfanya najma aamke na kumkalisha baba yake kwenye kiti .
“Dadii.. mbona uko hivi leo jamanii “.
“Nilikuwa nasherehekea”Aliongea
“Ulikuwa unasherehekea nini ?”
“Najma msaidieni baba aende chumbni kwake acha kumuuliza maswali”Aliongea Rania
“Nilikuwa nasherehekea kupatikana kwa mchumba wa Rania “Aliongea kilevi na kumfanya Rania ashituke na kumwangali baba yake huku Nasma na Najma wakimsadia baba yao apande ngazi kueekea juu chumbani
“Hii tabia ya baba kulewa kaanza lini Najma?”Aliuliza Nasma
“Mimi hata najua sasa , ila kaanza wiki ya tatu hii na leo kawahi “
Nasma ndio alikuwa kulwa na Najma alikuwa doto.
Basi walirudi na kuanza kupiga stori , huku Rania akiwahadithia kuwa yupo mbioni kupata mchumba jambo aambalo wadogo zake walishangaa huku wakitabasamu .
“Anaitwa nani huyo ?”
“Anaitwa Peter”Alijibu bila hata ya wasiwasi
“ Jamanii ..natamani kumuona , kwa hio mshaanza kuwa na mahusiano au ni mapenzi ya mtu mmoja “ Aliuliza Nasma
“ Bado ila naamini ana nipenda maana ashanipa zawadi na kasema yeye ni tofauti na wanaume waliopita , kasema hayuko tayari kuniacha”
“wow ! jamanii.., am so so happy for you sis..”Aliongea Nasma
“Na wewe Nasma vipi ?”
“ Yes , yes .. me too” Alijibu huku akijifumba uso kwa mikono na kumfanya Rania acheke na Najma kumwangalia huku akilazimisha tabasamu .
“Haha what ! ,So all of us we are in love , how if we arrange a day kukutanishana sisi wote na wapenzi wetu au mnaonaje? Aliongea Rania
“Kwa hio hata Najma ana mpezi tayari ?”
Hapo ndipo alipo haribu kwani Najma aliondoka bila ya kusema kitu na kukimbilia ndani kwake , alifika na kujikuta akianza kulia kilio cha kwikwi.
“Uko wapi , mbona sikuoni , mbon aunaufanya mtima wangu kuwa katika maumivu kwa kiasi hiki , nakupenda njoo unitoe kwenye haya haya mawingu ya sintofahamu” Aliongea Najma kwa hisia huku akitoa machozi laiti angejua mwanaume anae mlilia ni kaka yake angeacha mara moja, lakini ndo hivyo kosa si lake kupenda kosa linaanzia kwa baba kumtelekeza mwanamke huku ilihali akijua ni damu yake , sasa watoto wanakuja kumpenda mwanaume huyo huyo ,huku mama nae akinogewa na mwaname huyo huyo
“Wanaume wajibikeni na matendo yenu madhara yake yanakuja kuwa makubwa sana na ni kama haya yanayo onekana kwa familia hi ” Maneno ya mwandishi yanywe au yateme
“Halafu mbona na wewe umenuna ghafla “ Aliuliza Rania .
“Sijakutana na mpenzi wangu bado , kwani tumekutana mara moja tu na jina simjui” Aliongea Nasma nakumfanya na yeye kushangaa
“Mhmh! basi wewe na Najma mko sawa “
“Una maanisha nini dada ?”
“ Namaanisha na yeye amependa mwanaume ambae hamjui”
Nasma na yeye alishangaa huku akimuelewa pacha wake ni maumivu kiasi gani aliokuwa akipitia kwani alikuwa akijua ni jinsi gani inauma kumpenda mtu ambae bado haujamfahamu vizuri na huna namna ya kuonana huku ukisubiria bahati ya Mungu kuwakutanisha tena ..
****
Peter alijikuta akichukua ile picha na kuigeuza nyuma na kuona maneno yameandikwa , Mama Rania alikuwa akimuangalia hivyo aliamua kuweka ile picha kwenye waleti na kisha akaendela na safari .
walifika ndani na kisha waliagiza chakula na kuanza kula na kumaliza na kisha wakaanza kuangaliia movie huku wakiwa wamekaa kwenye pozi la kimahaba kabisa , hakuna hata mmoja alie kuwa na wasiwasi.
“Nikifika nataka kukununulia nyumba kubwa mpenzi”
“Unasema kweli?”
“Ndio natamani hata ya kuishi na wewe , ila nina mume nitakununulia nyumba na nitakuwa nakuja mara kwa mara kufurahia penzi letu”
“Asante mpenzi nakupenda sana”Huku wakianza kunyonyana na hata ile muvi ikaachwa kuangaliwa na kuanza kunyanduana na kijana huyu ambae kusudi la kwendca kufanya kazi kwenye benki anayosimamia mwanamama huyu ni kwa sabababu alitaka kulipiza kisasi kwa Samiri kwa kitendo cha kumdharau , na katka kisasi chake hicho alikuwa amedhamiria kulala na wanae wote ,lakini sasa anamkula mama mtu huku watoto wa mama huyu wakiliwazia penzi la Peter yaani kisasi kinajilipa chenyewe .
Kwa yaliokuwa yanafanywa na wawili hawa pamoja na historia zao ilikuwa ni jambo la kutisha kweli kweli ,Mama Rania hakumuona tena Peter kama mtoto , tena mtu ambae alikuwa anapaswa kutembea na mwanae Rania , alimuona kama mwanaume Tena mwanaume wa kukidhi haja zake zote .
Baada ya kumaliza kufanya waliokuwa wanafanya mambo ambayo \mnele za Mungu hayakuwa na kibali , Mama Rania alipotelea usingizini , na Peter alitumia wasaa huo kuangalia kile alichokuwa na hamu ya kuona muda wote
Ilikuwa ni picha ya mrembo Rania picha ambayo ilikuwa imekatwa kipande na kufanywa kama passport , huku ikimuonesha kimwana huyo kupendeza kweli kwa tabasamu lililopamba uso wake ,Aliangalia kwa sekunde kadhaa picha hio na kisha aliigeuza nyuma na kusoma vimaandishi vidogo vilivyoandikwa . “Najua ni kipindi kifupi nimekufahamu ila umekuwa na mchango mkubwa sana kwenye furaha yangu na umenitoa kwenye kiza kinene sana juu ya mtazamo wangu kuhusu wanaume nimegundua kuwa wewe ni mwanaume wa kipekee sana , na mwanume ambae ninaweza kuishi nae , nimetokea kukupenda sana Peter nipo tayari kuwa mpenzi wako naomba unikubalie na usinione mimi kama maaya ni hisia zangu juu yako nitasubiri jibu lako ni mimi rania nakupenda sana peter naomba unifikire na unipe jibu linalotoka ndani ya moyo wako sitaki kuumia tena”

Peter alijikuta jasho likimtoka huku akiwa haamini kwa kile anacho kisoma , kwa upande wake ilikuwa ni jambo ambalo angeshangilia kwani ni kitu alicho kuwa akikitaka kwa mrembo huyo kutoa bikra tu na kuondoka zake kwani aaatakuwa kashalipa kisasi , ila maneno yale yalimfanya apatwe kutokana na kwamba japo maandihi yale yalikuwa machache lakini aligundua kuwa yalikuwa yamebeba hisiaa nzito mno .
















SEHEMU YA 22
“Nadhani ni wakati wa kutafuta mrithi wangu sasa nishachoka kuongoza kampuni nataka nibakie kwenye bodi tu ya kampuni” Aliongea Profesa Gladness.
“Sasa profesa utamwachia nani kampuni , wakati hakuna mtu ambae anafikia hata nusu yako”
“Mary ukiona natamka haya maneno jua nishapata mtu wa kukalia kiti changu”
“Ni yule mtu anae husishwa na viumbe kutoka sayari nyingine au kuna mwingine?”
“Kuhusu hilo nitaliweka wazi hivi karibuni haina haja ya kuwahi kuwaambia” Aliongea profesa Gladness bila ya kumtajia jina Mary kwani alikuwa ni shushu na hapo alikuwa yupo kiuchunguzi Zaidi kwa kile kilicho kuwa kinaendelea .Na uzuri wa profesa Gladness hakuwa akimuani mtu , na hio ndio slogani yake..
“Boss kuna wageni wako wamekuja kukutembelea “ Aliongea Mary na kumruhusu awaingize.
“ Haa…!! Mom .., dadii” Aliongea Gladness na kuwakumbatia wazazi wake ambao alikuwa ni Rafaeli na Nifani
“Mmerudi lini nchini ?”
“Ndio tumeingia leo hii nchini ,tumepitia KIA”
Gladness alifurahi sana kukutana na familia yake hio , kwani ni kipindi kirefu kidogo tokea wasafiri , kwani walikuwa wakila bata tu , na kutembelea nchi mbali mbali .
Basi familia hio walitoka na kwenda nyumbani kwa gladness sehemu ilo kuwa ikijulikana kama kijiji cha maroboti au Village G.
“UNAITWA RAFAELI MSWAKI UNAMIAKA 65 ,UFANYAJI KAZI WA TEZI YA MAFUTA MWILINI IMEPUNGUA KUFIKIA NUSU YA UZALISHAJI WAKE , PRESHA YAKO NI 137/88mmhg …, NGOZI ISHAANZA KUKUNJAMANA , UWEZO WA KUFANYA MAPENZI UMEPUNGUA KUFIKIA ROBO TATU,KWA MAKADIRIO UMEBAKISHA MIAKA SI CHINI YA KUMI KAMILI UTAKUWA USHAKUFA”
Ni baada ya kuingia tu ndani ya nyumba ya profesa Gladness na roboti lifahamikalo kwa jina la Nimrod lilimscan(skani) Rafeali na kutoa hayo maneno.
“ Nimrod tulia “ Aliongea Gladness na roboti hilo likiondoka zake huku lishaharibu hali ya hewa kwa kiherehera cha kumchunguza kila mgeni anaeingia nyumbani kwa Profesa Gladness.
“Daaa! Wewe mtoto maroboti yako yashaanza kunipa stress” Aliongea Rafeli kwani alikuwa hajui kuwa kabakisha miaka kumi mpaka kufariki kutokana na maneno na uchunguzi wa Nimrodi.
“Hapanna baba kuna muda mwingine yanakosea” Alijitetea gladness huku akimwangalia Rafaeli ambae alionekana kweli ashaanza kuwa mzee kibabu .
“Umesikia mke wangu huko ,nimebakisha miaka kumi tu kufa “
“Mume wangu bwana hayo ni maroboti “
“Kama ni maroboti basi ngja niliiite likuchunguze na wewe na wewe”
“ Hapana .. hapana .. mimi sitaki kujua nitakufa lini”
“Ahaha .. wewe si umesema hayo ni maroboti .. mbona unaogopa sasa”
“Ahahaha..mume wangu wewe anza kukaa na watoto wako vizuri na tumia muda mwingi kuwa nao “
“Ila limenidhalilisha lilivyo sema , siiwezi kazi ya chumbani vizuri .. hii dunia inavyo endelea hivi hatutaweza tunza siri kweli”
“Hahaha .. mume wangu ushakuwa babu tayari bhana “
“Na wewe si bibi kizee”
Hao walikuwa ni Rafeli na Nifani wakiwa nyumbani kwa mtoto wao mkubwa Gladness.
*****
Masumbuko kama kawaida yake alikuwa kapiga zake nne hana habari huku pembeni akiwa na vijifuko vya Ice cream akiwa anakula na kilicho kuwa kikiangaliwa kwenye TV kilikuwa ni filamu za ngono , maana kila siku kwake alikuwa akiangalia kwa dozi
Alikuwa haamini kama kweli hana nguvu za kiume
“Aaa…. Masumbuko vipi tena na hizo video “ Aliongea Peter huku akionekana kushika kijibegi na muda huo alikuwa akionekana kabisa kuwa alikuwa akitoka safarini na ndio anarudi.
“ Zinanitia mzuka na mori mori” Aliongea masumbuko na kumfanya Peter atabasamu .
“Wewe si uneenda tu hapo nje na kumpa mwanamke kumbukumbu ,unamleta humu ndani unafanya yako , kama siku ile “
“Una maanisha kama kubaka vile , si ndio “
“ Nani kakwambia kubaka , pale haulazimishi mtu bhana “
“Yule mshikaji alikuja na akaniambia kuwa kitendo kile ni kubaka “
“Mshikaji gani huyo ambae una mzungumzia ?”
“ Yule wa siku ile , Sebastiani yule”
“ Kwa hio alikuaja hapa nyumbni na ukamfungulia?”
“Ndio alikuwa anagonga mlango kwa nguvu , ndio nikamchungulia na nilivyo muona ni yeye nikajiuliza nifungue au nisifungue ila ndio nikajikuta nishafungua mlango”
“Na alisemaje sasa?”
“Hana tu ndio alinisifia tu kuwa yule mwanamke nilimpa dozi kali ya kumbaka”
Peter ilibidi amuangalie tu Masumbuko na kisha kutabasamu maana aliona kichwa cha ndugu yake huyo wa hiari kilikuwa signal zinasoma na kupotea .
Basi Peter baada ya kuweka vitu vyake vizuri alikaa sebleni huku akionekana kuna jambo linamsumbua kwani aliionekana al kiwa kwenye mawazo , huku masumbuko yeye akiwa hana hata habari .
“Peter haya magorofa marefu ushawahi kuingia?”
“Aliuliza Masumbuko na kumshtua Peter alie kuwa kwenye mawazo .
“ Sikia Masumbuko , utaniuliza baadae sasa hihvi ngoja kuna sehemu naenda maramoja “ aliongea Peter na hapo hapo akatoka hadi nje na hakuchukua gari Zaidi ya kuchukua ufunguo wa honda yake .
“Ngoja na mimi nikazunguke zunguke huko mjini “ Aliongea Masumbuko huku akivaa nguo nyingine na kuchukua buku na kutoka . alitembea mpaka barabarani na kupanda daladala inayoelekea tegeta nyuki kwenda kariakoo “
“ Unaenda wapi?”
“Gari linapo simama “ Alijibu na kuingia ,muonekano wa masumbuko ulikuwa umebadilika kwa kiasi kikubwa kwani alianza kunenepa sio kama alivyo anza kuja, kwani alikuwa akionekana amekauka ngozi ,sasa alikuwa amejaa na kifua utadhaniaa alikuwa anapiga chuma bau kwenda gym
****
MAREKANI (USA)
Katika jiji la Calforinia Alionekana profesa Snart akiwa na mwanaume mmoja hivi mwenye muonekano kama wa kiarabu ndani ya hoteli ijulikanao kwa jina la The Royal iliopo katikati kabisa ya jiji hilo .
“Paco , lete habari za misituu ya amazon .“
“ Mkuu kwanza nafurahi sana kwa kunipa ofa ya kutembelea jiji hili , unajua kutokana na kazi yangu nakuaga sina hata muda wa kufika huku ,kwani hata hali yake ya hewa sio nzuri kama ya kule msituni “
“ Yeah paco upo ndani ya jiji lenye makazi ya watu wengi na shughuli nyingi lazima hali ya hewa iwe tofauti na ya msituni “
“ Yea ni kweli “
“Uliniambia una taarifa muhimu kuhusu Queen ya kuniambia?”
“ Ndio kwanza yuko wapi kwa sasa nataka kumuona kabla sijakueleza taarifa yenyewe “
“Paco , Paco , Queen wa sasa ni mtu maarufu sana na hata nikiuonesha saivi sijui kama utamtambua kama ulivyo kuwa unamuona kule msituni , sasa hivi ni Zaidi ya mrembo “
“ Una maanisha nini kusema hivyo?”
“ Sikia Queen ile ni siraha yangu , yule ni Zaidi ya bomu la nyuklia , kwanza ana akili , hana utu kabisa na pili hajui chochote kuhusu Mungu , na harufu inayo mfurahisha ni kuona damu ya mtu inamwagika muda wote , na pia hana hisia za mapenzi kabisa kama unavyofikiria ni kwamba hawezi kupenda mwanaume yeyote yule , kwani yule muundo wake sio kama wa binadamu wa kawaida , yule nimemtengeneza na nilipata hasara kubwa kwa ajili yake lakinni mpango wangu ulifeli”
“ Una maanisha nini ukisema umemtengeneza Sbart?”
“ Yule hajazaliwa kama wewe ulivyo zaliwa na wazazi wako na pia una ndugu, Queen yule hana ndugu wala wazazi , na kwangu Queen ni kama kifaa changu cha kazi , kwani ninapo agiza kinafanya , sasa nadhani hakuna haja ya kumfatilia sana Queen maana kazi yako ulishamaliza ya kumfundisha Queen , sasa wewe niambie hilo jambo ambalo unataka kuniambia “
“ Ni Kwamba Queen kunamuda nilikuwa kama simuelewi, ni kama anajua kumsoma mtu kila anacho kifikiria akimwangalia tu kwenye macho , kwani wakati nikichukua mazoezi nae alikuwa akinipiga mapigo ambayo hata siyaelewi ,kila pigo nililokuwa nikifikiria kumpiga nalo , ni kama tayarri alikuwa ashajua kile ninacho kifikiria na anakuwa tayari ashajua udhaifu wa pigo langu na anakuwa ananichakaza na kipigo kibaya sana”
“Una maanisha nini kusema hivyo bwana Paco?” Aliongea Snart kwani taarifa hio ilikuwa ni mpya kwake .
“ Mkuu Queen ni hatari sana , kwani ana uwezo ambao sio wa kawaida kama binadamu”
Aliongea bwana Paco ambae ndie alikuwa ni master(mkufunzi wa kimapigano) wa Queen wakati alivyo kuwa nchini brazili kwenye msitu wa amazon , ndie alie kuwa akimfundisha Queen kuua , kwani walikuwa wakienda na kukamata watu na kuwanyonga na kuwachinja bila hata huruma ,nakuwaua wanyama wakali sana kama Anaconda joka anae patikana kwenye msitu huo , Chui na Simba na mafunzo hayo Queen aliyaweza kwa muda mfupi tu.
“Nadhani misheni yangu haikufeli(it was not a failed mission) , Queen atakuwa anaficha uwezo wake inanibidi kufanya utafiti upya. “ Aliongea huku akivaa koti lake la kuingilia maabara yake ndani ya kasri lake ndani ya hapo Calfornia alikuwa akiwaza maneno alioongea Paco mara baada ya kukutana nae hotelini . .
****
Masumbuko alikuja kushushwa na gari katika kituo kimoja kilicho kuwa kina fahamika kama muhimbili na hio ni baada ya kuvutiwa na majengo yalio kuwepo katika eneo hilo ,ndio maana alimwambia konda kuwa keshafika anataka kushushwa.
Alianza kutembea huku akishangaa majengo hayo na muda huo ulikuwa ni saa kumi inaenda kama na robo hivi , alinyooshana kinjia flani kinapandisha kwenda juu kwani kulikuwa na kijimlima na kutokezea kwenye barabara mbele huko kwenye mtaa mmoja ujulikanao kwa jina la mindu, alinyoosha na bara bara hiio na kuja kufika sehemu moja kwa mbele yake kulikuwa kukinekana mwendokasi inazunguka na kuna kibao kikubwa kilicho andikwa ‘HOSPITALI YA MUHIMBILI’.
“Mama hivi ni vidude gani?” Aliongea Masumbuko baada ya kufika kwa mama mmoja alie kuwa akiuza koni , sasa Masumbuko aliona vile vya kuwekea koni ndivyo alivyo kuwa akiulizia.
“Ni koni hizi ni miatano tu moja “
“ Hii inatosha alitoa Masumbuko mia nne na kumuonesha yule mama , na hi ni hela alio rudishiwa chenchi kwenye ile buku (elfu moja)ya nauli maana gharama za usafiri ilikuwa ni mia sita na hapo alitoa yote na mama yule ampatia .
“ Kumbe tamu hivi nitakuwa nakutembelea mara kwa mara “
“ Sawa lakini siku nyingine nitakuuzia kwa miatano “
“ Sawa “
Aliongea huku akitemeba huku na huko akishangaa shangaa mpaka inatimia saa kumi na moja na nusu alijikuta amezunguka amezunguka na kurudi pale pale muhimbili , Alipanda gari bila ya kujiuliza ana nauli ,gari alio panda ilikuwa inaenda Masaki na ilikuwa imejaza kweli na Masumbuko aliwekwa mwisho kabisa ya gari kiasi kwamba kwa jiinsi watu walivyo kuwa wamejaa hata konda ingekuwa ni vigumu kwake kupita na kuomba nauli.
“ Hivi ule mtaa tunao kaa unaitwaje?”Alikuwa akijiuliza kwenye gari huku linaondoka maana hakujua ile sehemu jina.
“Ila nitapaona tu halafu nitashuka”
Sasa konda kwakuwa nafasi ilikuwa imebana sana , alikuwakichukua nauli kila unapo shuka.
“Macho ,Macho hio , kuna anaeshuka ?”Aliongea konda na hapo hapo Masumbuko akaropoka kwa sauti nimefika mpaka watu wakamwangalia.
“Njoo sasa umekaa huko nyuma halafu unajua unashukia hapa karibu”
Aliongea konda baada ya gari kusimama huku Masumbuko aliependeza akishuka , kwa jinsi alivyo kuwa amependeza usingedhania kuwa wakati huo hakuwa na kitu chochote mfukoni hata nauli .
“Toa hela , unapoteza muda bwana , unashangaa nini?” Masumbuko alimwangalia yule konda huku akiwaza afanye kama kawaida yake maana alijua nauli hana .
“Usijali nitamlipia” ilisikika sauti moja nyororo na kufanya hata wale walio kuwa kwenye daladala wamwangalie anaeongea , lakini ni kwamba tayari alikuwa ashachelewa maana Masimbuko ashachezesha jicho tayari na kumpachika masaa mawili ya kumbukumbu.
“Aaa.. aa hapana . ashalipa tayari mremboo hata usisumbuke ” Aliongea konda huku akigwaya gwaya na kufanya abiria waanze kucheka na hata dereva mwenyewe alijikuta akicheka na hapo ndipo ikawa gumzo kwenye daladala maana wengi walijua konda alichanganyikiwa na yule mrembo na ndio maana alikubali Masumbuko kashalipa, wengi walimhurumia pasina kujua uwezo Masumbuko. .
“Sema ni haki yake aisee , unajua yule mwanake ni mrembo sijapata ona .. na kwa ile sauti konda ni haki yake kuchanganyikiwa , ila kanifurahisha sana leo
.. hakuna mwanaume mjanja mbele ya utamu “ Aliongea jamaa mmoja lio kuwa amevaa kanzu kasimama kwenye daladala hio alikuwa na rafudhi ya kipemba .
“Nyie mnaongea nini nyie , mimi siwezi kuchanganywa na mwanamke, yule chalii kalipa kabisa nina uhakika.” Aliongea konda na hapo ndipo vicheko vilivyo zidi kabisaa
“Aisee nilikuwa na stress ila zishaisha daah .. aisee” Aliongea jamaa mmoja nae alieshikilia mfuko mdogo hivi uliokuwa na samaki akionekana kufurahishwa sana na hilo tukio.
****
Peter alisimamisha honda yake kwenye nyumba moja maeneo ya makongo juu na kisha akabonyeza kengele na hapo mlinzi alifungua
“Bwana Peter karibu sanaaa..” Aliongea mlinzi alionekana kumfahamu Peter
“Nimemkuta Steve?”
“Ndio yupo hajatoka leo “
Basi Peter alienda moja kwa moja mpaka ndani ya nyumba hio ilikuwa nzuri sana kwa jinsi ilivyojengwa.
“Mwanagu huyo , nona leo umekuja kutusalimia?”
“Ndio mama shikamoo “
Huku wakisalimiana kwa furaha na huyo mama aliononekana kuwa mkarimu kweli , alikuwa mnene kiasi mfupi alievalia dera lililoacha mabega wazi.
“Nimemfata Steve “ Aliongea Peter na kuambiwa kuwa yupo chumbni kwake aende tu.
“ Mzee mwenyewe naona usharudi karibu”
“Yeah mzee , nimerudi, nina mawazo nikona nije kabisa nisikusumbue kwa kukuita magetoni”
“Mawazo gani tena mzee si umetoka safarini?”


“Mambo ya kisasi mzee, naona kama kigumu vile kutekelezeka , unajua nilikuwa nachukulia simple sana ila sasa na uona ugumu wake”
“Ugumu gani sasa wewe si ulikuwa wajisifia kuwa unaswaga nyingi kibao , tantalila nyingii sasa umepigwa kibuti ndio unaona ugumu “
“Si hivyo ndugu yangu , simaanishi hvyo yaani bora hata ningepigwa hiko kibuti , lakini sasa hivi nishamla mke wa Samir tayari na mtoto wake kanambia ananipenda na anasubiria jjibu langu”
“ Unasema ushakula kitumbua cha lile limama tayari na lile lishepu “ Aliongea Steve kama haamini vile kwani aliona kama masihala vile , kwa maneno alio kuwa akizungumza . na wakati wanaongea ndio hapo , simu ya Peter ilitoa mlio kuwa ilikuwa inaita .
“ Oya huyu hapa anapiga kama huamini ngoja niweke loud speaker” Aliongea huku akipokea na kuweka loudspeaker .




SEHEMU YA 23

Peter aliweka simu ile kwenye loudspeaker baada tu ya kupokea na kuanza kuongea na Mama Rania.
“Vipi mpenzi mbona unachelewa kupokea simu?” Ilisikika sauti iliokuwa ikilalama na kumfanya Steve kutoa jicho kama kabanwa na mlango kwani hakuamini kabisa kile anacho kisikia , na sio kama jambo hilo ni geni kwake kuona kijana kufanywa kiben ten , lakini hadhi na heshima alio kuwa nayo mama huyo ni vitu ambavyo kwake aliona kama ajabu vile.
“Nilikuwa nipo chumbani simu niliacha living room (sebuleni) “ Aliongea uongo Peter.
“ Jamani mpenzi unajua nilivyo kumiss , natamani sana tukutane hata twende mzunguko mmoja “ Aliongea Mama Rania .
Laiti angejua kuwa amewekewa loudspeaker asingeongea hilo neno , Peter hakutaka Steve aendelee kusikiliza , alitoa loudspeaker na kulala kabisa kitandani na kuanza kuongea huku Steve yeye alikuwa amesimama kama mnara akimwangalia rafiki yake , na kuna kitu alikuwa ashakigundua kwa Peter alikuwa ameona dalili zote za rafiki yake kuonogewa , alikuwa mzoefu wa hayo mambo .
“Daah..! unajua ni hatari hio rafiki yangu”
“ Naelewa , ila Steve yaani kila nikiongea na huyu mwanamke dudu inasoma channeli hapo hapo na mawazo yangu yanabadilika”.
“Fanaleki ushanogewa wewe , na hivyo ni mwanamke wako wa kwanza kazi unayo , mimi naogopa tu mume wake akijua sijui atakufanyaje, naogopa sana ukiingia kwenye matatizo”
“Steve ndio maana nipo hapa unipe ushauri wewe ni rafiki yangu naamini utanipa ushauri mzuri”
“Sasa wewe unataka mimi ni kwambie nini na wakati wewe mwenyewe ulisema unaenda kwenye ile benki kwa ajili ya kisasi ,lakini saivi unaonekana umenogewa tayari , mimi nakushauri uache kabisa hio misheni yako , lakini kuhusu huyo Rania na mama yake , kaa chini fikiria , jiulize maamuzi utakayo fikiria na kuamua yatakuwa na madhara gani ukishalijua hilo basi mimi sitoingilia maamuzi yako ,lakini nakupa hint tu , kwamba unacho kifanya sio kizuri na ni hatari sana ,mke wa mtu sumu ndugu yangu”
“Poa mzee mimi nitafikiria cha kufanya , ila asante sana kwa maneno yako , ngoja nirudi home ni muwahi Masumbuko” Aliaga na Steve alimsindikiza mwenzie.
****
Nasma baada ya kukaa siku kama nne nyumbni kwao , hatimae aliamua kuondoka na kurejea sehemu alio kuwa akiishi , japo ya Rania kumbembeleza sana kuhusu kubaki kwani ana ichangamsha familia , lakini hakukubali na mama yake pia alijaribu kumshawishi lakini alisimamia msimamo wake .
Alipanda kwenye gari yake na siku hio alikuwa akiendesha yeye mwenyewe pasipo ya kuwa na Lucy mfanyakazi wake , aliendesha gari lake mpaka kufikia maeneo ya Macho , sasa wakati yuko kakodoa macho barabarani kionyesha umakini katika barabara hio ndipo daladala ilio kuwa ikija upande wake ilisimama mita chache mbele yake , hapo ndipo mapigo yake ya moyo na mshangao kwa ujumla vikamtawala, kwani mwanaume alie kuwa akimuota usiku na mchana alimuona kabisa mbele yake , kwanza aliona kama kamfananisha lakini kadri alivyo sogelea gari lile ndipo alipo kuja kugundua kuwa ni yeye.
Alipita daladala ile na kisha kasimamisha kwa mbele na kutoka haraka haraka huku akiwa kabisa amesahau kufunga hata mlango na kukimbilia sehemu ile , ndipo alipogundua kuwa mwanaume yule hana nauli na alikimbia na kisha kumwambia konda kuwa atamlipia , lakini kilichomshangaza kwa mara ya pili kwani mara ya kwanza jambo kama hilo lilikuwa likitokea tena ,pale konda alipomuambia kuwa ashalipa na wakati kwa masikio yake kabisa alisikia konda huo akimdai Masumbuko nauli , lakini kutokana na hamu yake kubwa ilikuwa ni kumuona Masumbuko aliachana na hilo swala na kisha kumsalimia .
“Mambo!” Alisalimia kwa shauku kubwa Nasma huku akimwangalia Masumbuko ambae wala hakuwa hata na time nae kwani alikuwa bado akishangaa hayo maeneo kana kwamba ataiona nyumba wanayoishi .
“Hivi sista naomba nikuulize , hivi unajua eneo ambalo lina magorofa magorofa machache halafu .. halafuu.. enhee .. kuna shule halafu na barabara .. halafu..nini tenaa.. kwa mbele kabisa kuna kanisa kubwa .. unaijua hio sehemu?”
Aliongea Masumbuko huku akionekana kabisa yuko seriasi na swali lake na kwa Nasma alikuwa akishangaa maana swali lenyewe hajalielewa .
.“Mambo kwanza” Aliendelea kusalimia Nasma kwani kwanza alikuwa ana aibu na hata hapo alikuwa hajui afanye , kwani ni kweli alikuwa akihitaji kuonana na Masumbuko lakini hakuwahi kufikiria siku akionana nae ataanza anza vipi kuongea nae na ndio maana aliendelea kusalimia lakini kwa masumbuko wala hakuwa na habari kichwa chake wakati huo kiliwaza nyumbani tu.
“Ila hapa sio penyewe hapa , sijui patakuwa ni upande gani ule . halafu .. , dada mbona haunijibu sasa “
“Sijakuelewa “
“ Ni kweli huwezi kuelewa maana nina maswali magumu” Huku akiondoka na kumfanya Nasma amwangalie Masumbuko akichapa raba hana hata habari kuwa mtu alie mfuata alikuwa akikesha usiku na mchana kumtafuta na kumuwazia alijikuta chozi likimdondoka bila hata ya kujua .. sasa wakati ameduaa akimwangalia Masumbuko ndipo alipo kuja kama kuzinduka na kuita
“Kaka , nisubiri” Masumbukoo alisimama na kumwangalia Nasma anae mkimbila .. na kwa jinsi alivyokuwa akimkimbilia kwa mapozi na uzuri wake na jinsi Masumbuko alivyo kuwa akumwangalia ilikuwa ina pendeza kama vile ni filamu za kihindi.
“Nimepajua hio sehemu ulio kuwa unasema”
“ Kweli … kuna kanisa .. kuna shule kwa nyuma na barabara katikati … si ndio ni hapo”
“Ndio “
Jibu hilo lilimfanya Masumbuko aachie tabasamu na kuufanya uhendsome wake uonekane na kumfanya Nasma amwangalie kama anamshangaa ..
“Twende kwenye gari .. nikupeleke “ Masumbuko hakuleta shida kwani hi ndio jambo ambalo lilikuwa likimpa shida kwa wakati huo na hivyo alimchukulia Nasma kama mtu ambae anaweza kumpatia msaada .
Basi aliingia kwenye gari na safari ikaanza na kwa Nasma kwakuwa alikuwa ana kichwa chepesi sana kuelewa ni kwamba aligundua kuwa Masumbuko yuko , kwenye hali ya wasiwasi na ndio maana hakuwa akimpa ushirikiano .
“Kwa hio kaka ulikuwa umepotea?”
“ Ndio mimi ni mgeni na haya maeneo “ Aliongea Masumbuko huku akiangalia nje ya gari na muda huo kajigiza kalikuwa kashaanza kuingia , na kuna wakati Nasma alikuwa akimwangalia Masumbuko kwenye kioo .. aliishia kutabasamu tu na alionekana moyo wake kuwa na Amani na furaha sana . Kwani aliamini mwanaume alie kuwa akimtafuta hatimae amempata .
“Hapo hapo nimepaona simamisha gari “ Aliongea Msumbuko kwa sauti na kumfanya Nasama asimamishe gari na masumbuko kuomba kufunguliwa mlango , na Nasma alipo mfungulia tu tayari alikuwa ameshatoka tayari kwenye gari .
“ Dada asante sana .. nimepafahamu ni hapa kabisa “ Aliongea Msumbuko na kwa wakati huo walikuwa washafika eneo la Mbezi Beach ilikuwa ni bahati kwa masumbuko kwani isingekuwa Nasma kuishi hayo maeneo asingeweza kurudi nyumbani. .
Masumbuko alindoka huku akisubiria kuvuka barabara na kumfanya Nasma na yeye kutoka kwenye gari na kumfuata Masumbuko kwa nyuma hakutaka kumpoteza tena , lakini kilichomshangaza Nasma ni kwamba nyumba alio ingia Masumbuko ni nyumba ya pili na ya kwake ilipo.
“Yaani kumbe huyu mkaka kumtafuta kote kule kumbe ni jirani yangu “ Aliongea Nasma huku akijikuta akitabasamu tu nakuona kuwa mageti muda mwingine yanakuwa hayasaidii maana yanafanya usijuane na majirani, alikaa kama dakika kama tano akiangalia nyumba hio ilioenda hewani kwa gorofa nne na kisha akatoka akafara gari yake na kwenda hapo mpaka kwenye nyumba yake na kuingia na kisha akampa mlinzi ufunguo akimwambia akachukue gari ameliacha kituoni , mlinzi alishangaa ila alichukua ufunguo kwani hakuruhusiwa kuuliza swali .
***
“Ulikuwa umeenda wapi umenifanya niwe kwenye wakti mgumu kiasi hicho “ Aliongea Peter huku akionekana kuwa na wasiwasi sana .
“ Nilienda kula bata kidogo ndio nimerudi “
“Nikajua umepotea huko njiani . inabidi kesho nikakununulie simu “
“Mimi siwezi kupotea ni mgeni lakini nayajua maeneo vizuri”Aliongea Masumbuko na kumfanya Peter atabasamu na alichogundua alijua kuwa Masumbuko alikuwa akipenda sana kujisifia .
“ Haya lakini usitoke toke tu utapotea au kugongwa na gari huko ndugu yangu , unafikiri nitaishije “
Aliongea na kuachana na Masumbuko kwani alijua pia ni mtu mzima hatakiwa kumlinda ila anatakiwa kumuonyesha mazingira na kumtembeza tembeza ili asipotee.
*****
Siku ilio fuata Peter hakwenda kazini na alibaki nyumbni kwani alikuwa amepewa siku mbili za kubaki nyumbani , kwenye muda wa saa kumi na moja ndio muda ambao Peter alipigiwa simu na Mama Rania kuwa wakutane barabarani kwenye kanisa la KKKT usharika wa Mbezi Beach .
Peter alivaa vizuri na kisha akatoka zake baada ya kumuaga Masumbuko ambae alikuwa akichezea simu ambayo amenunnuliwa asubuhi hio
“Peter aliingia kwenye gari yake , maana Mama Rania alimwambia kuwa aje na gari yake , baada ya kufika tu kweli alimuona Mama Rania aliekuwa amevalia gauni flani lenye mikanda huku akiwa ameshikilia pochi kubwa na alikuwa amependeza kweli ,kwa jjinsi alivyokuwa akionekana utadhani ni mwanmke ambae anaenda dating kwa mara ya kwanza , Peter alienda kufunga beki kwenye miguu ya mama huyo na kufungua kioo na kumfanya Mama Rania atabasamu na kuingia kwenye gari na kisha likaondoshwa na kwa maelekezo ya Mama Rania walikuja kukunja baada ya kufika eneo moja linaitwa jogoo na kuchukua upande wa kulia na gari ilitembea kwa dakika kadhaa na ikasimama nje ya geti kubwa na baada ya dakika kadhaa gari hio iliingizwa ndani ya jumba hilo , hapo ndipo Peter alipo patwa na mshangao kwani jumba hilo lilikuwa moja ya jumba kubwa sana na lilikuwa na mazingira mazuri kwani kulikuwa na swiming pool upande wa kushoto ukiingia ilio zungukwa na bustani na majani yalio chongwa kwa ustadi mkubwa sana , jengo hilo limepakwa rangi ya kuvutia nyeupe lakini ilio fifia na kupendeza sana .
“ Kwanini tuko hapa?” Aliuliza Peter maana alikuwa akiona mapicha picha tu .
“Hii ndio itakuwa nyumba yako mpenzi ‘ Aliongea Mama Rania .
“ Whaat.. usiniambie kuwa umeinunua hii”
“Sijainunua leo wala jana ilikuwa ni yangu ,japo hakuna mwanafamilia anae ijua na sasa nasema nyumba hii ni ya kwako mpenzi wangu na tutakuwa tunakutana hapa unipe vitu” Aliongea Mama Rania na kumfanya Peter moyo upige kwa nguvu kwani hakuamini kuwa jumba hilo ni la kwake alianza kuona faida za kutoka na majimama..
“Mimi bado hata sijasadiki kabisa “ Aliongea Peter na Mama Rania akaachia tabasamua na kumshika mkono Peter na kisha kumvuta na wakaingia ndani .
“Chukua hio bahasha mpenzi ‘ Aliongea Mama Rania na kumfanya Peter aisogelee hio bahasha na kuifungua na ilikuwa ni hati ya nyumba na jina lake ndilo lili kuwa ndani ya hio hati .
“Peter nayafanya haya yote kwaku nakupenda na sitotaka unisaliti , nitakupa chochote utakacho kitaka , ila nakuomba usinisaliti”
Peter hakujibu Zaidi ya kumsogelea mama huyo na kuanza kupigana naye mabusu na kisha wakaanza kazi na kitu alicho pewa Mama Rania siku hio alijikuta kama yuko kwenye dunia nyingine kabisa na hakuwa kwenye ulimwengu halisi .
Walidumu kwa masaa kadhaa na kisha wakarudia tena na tena na tena na kujikuta wakipitiwa na usingizi kabisa tena wakiwa sebleni .
****
Peter alianza kukolea kwenye penzi la Mama Rania au bosi wake , japo walikuwa wakifanya mambo yao kwa siri sana na hakuna mtu hata mmoja ambae aliweza kujua kuwa wawili hao walikuwa wapenzi, kwani walikuwa wakiwekeana heshima feki wakiwa kwenye kazi , lakini wakitoka nje ya kazi walikuwa wapenzi.
Huku kwa Rania nako mambo yalizidi kuwa magumu kwani , kwani alikufa na kuoza kwa Peter , alitamani sana kuwa karibu na Peter kila saa na hata wakati mwingine Mama Rania alianza kuogopa, kwani kwa macho ambayo mwanae alikuwa akimwangalia Peter hayakuwa yakawaida, zilipita kama wiki mbili hivi ndipo Peter na Rania wote waliacha kufika kazini kutokana na chuoni mitihani ilikuwa inakaribia na walitakiwa kujiandaa .
Sasa hapo ndipo ukaribu wa Peter na na Rania kuongezeka kwani walikuwa wakisoma wote chuo kimoja na ilikuwa Rania akitoka mapema kwenye kipindi na Peter akiwa bado hajatoka basi atamsubiri mpaka atoke na waongozane wote , kunywa chai ama kula.
Rania alizidi kumzoea Peter kiasi kwamba kila siku , kila saa na kila sekunde alitamani kumuona Peter tu , kwa upende wa Peter jinsi Rania alivyo kuwa akimuonyeshea mapenzi , basi alizidi kuwa na mawazo juu ya rania , yeye , kila alivyo kuwa karibu ya Rania alijikuta moyo wake kumpenda sana Rania.
Alitamani atamke neno nakupenda ili myo wake utulie lakini hakuweza hilo , kwani kila alipo kumbuka kuwa tayari ana mahusiano na mama yake basi hakutaka kabisa kumuumiza rania huko mbeleni pindi atakapoujua ukweli , kuna muda alikaa chini na kuyafikiria matendo yake aliona kabisa kile kisasi katika kichwa chake kinaanza kusahalulika kabisa , kwani mpango wake ulikuwa ni kumfanya Samir atoe machozi kwakitendo ambachoo alikwisha kumfanyia.
Siku moja wakati Peter anatoka chuo akitembea na rafiki yake Steve , ndipo Rania alipo kuja kumuita na kumwambia kuwa kuna jambo anataka kuongea nae na ni muhimu kwake , basi Peter japo aliogopa kile alicho kuwa anaenda kuambiwa na Rania ila alijikaza na kuondoka na Rania mpaka kwenye gari lake .
“Peter najua kama ujumbe wangu nilio kuandikia uliona?”
“Ndio niliuona Rania “ alijibu Peter huku moyo ukipiga kwa nguvu .
“Peter nataka kujua jibu kwani nimeshindwa tena kusubiria naomba nisikie jibu lako leo”
Aliongea Rania hapo nakumfanya Peter jasho limtoke kwani hapo alikuwa amebanwa sehemu yenyewe .
“Rania najua unanipenda sana na mimi sitaki kukuficha nakupenda sana ila kwasasa sitaki kuanzisha mahusiano maana akili yangu haipo sawa na sijajiandaa kisaikolojia kabisa , na wewe ni mwanamke wa kipekee naomba muda niweke mambo yanguu sawa halafu nitakuambia Rania please, sitaki kuja kukuumiza kwa kutokuwajibika maana mahusiano ni uwajibikaji baina ya wapenzi” Aliongea Peter kwa hisia na ukimtazama hutoamini kama ni yule ambae alikuwa anataka kulipiza kisasi , mapenzi yameyeyusha kila kitu na kilicho baki kwenye moyo wake ni hisia za uhitaji tu , japo alijitahidi sana kutokumpenda Rania lakini ni kwamba alikuwa akijidanganya kwani kadri alivyo kuwa akimfosi atoke kwenye moyo wake ndivyo alivyo kuwa akizidi kumpenda.
“Sawa Peter nitasubiri , ila jua wewe ndio mwanume wangu wa kwanza kukupenda kwa kiasi hiki , nakupenda Peter “ Aliongea Rania mpaka chozi linamtoka mtoto wa kike na kumfanya Peter moyo umuume sana , alijkuta akimkumbatia .
“ Nakupenda Sana Rania , nakupenda sana ila naomba univumilie sawa “ aliongea Peter huku akimwangalia usoni na Rania akakubali kwa kichwa kuwa amekubaliana nae , na Peter alitoka kwenye hilo gari baada ya simu yake kutoa mlio ikionyesha kabisa kuwa inaita na mpigaji alikuwa ni Mama rania. .
Shida moja alio kuwa nayo Peter ni kwamba kila anpo ongea na Mama Rania mwili wake ulikuwa ukimsisimka sana na kuhitaji kufanya ngono .
Peter aliongea na Mama Rania na waliahidiana kuwa wakutane bila kukosa siku hio wakapeane dudu , na Peter hakupindua alikubali , maana kwa wakati huo na yeye alikuwa akipenda sana kitumbua cha mama rania .
****
Upande wa Najma nae mambo yalikuwa mambo kwani kila siku alikua akimfikiria tu mwanaume anae mfahamu kwa sura , japo maswala yake ya kufungua kampuni yake ya urembo yalikuwa yakimfanya kuwa bize sana , ila hakumsahau Peter hata mara moja .
Alikuwa akiamini kuwa lazima atamuona tu , wanaume walimtongoza kila kukicha lakini hakuna aliepewa nafasi hata mmoja hata ya kumshika tu hakuna alie pewa nafasi hio , watu na pesa zao walimchombeza kwa hongo lakini mwandada hakuteteleka , alikuwa akimuwaza Peter .
Upande wa Nasma na yeye alikuwa ashajua Masumbuko anapo kaa lakini kilicho kuwa kikimsumbua ni kwamba alikuwa na aibu na pia hakutaka kujilasisha kwa Masumbuko .
Kuna kipindi alikuwa ni kama mtoto kwani alikuwa akienda mpaka katka geti la Masumbuko kwa ajili ya kugonga lakini aliishia kurudi tu kwani hakukua na sababu ya kumuona Masumbuko na alifikiria kuwa akimuona atamwambiaje kwani alikuwa na aibu sana .
Masumbuko yeye muda wote alikuwa akiwazia ni kwa jinsi gani atakuwa na uwezo wa mnara wake kusoma channel kwani , kwa jinsi alivyo kuwa akijua na uwezo wake wa kufikiria ulipooishia ni kuangalia filamu za ngono tu huku akijifaliji kuwa utaamka tu .
“Utasimama tu “Aliongea huku akiuchezea uume wake
******
“Boss nimegundua Madam anapo elekea “ Ilisikika saiti kwnye simu Samir akiwa ofisini
“ Endelea kumfatilia na kila kinacho endelea utaniambia “
“ Sawa boss “
Samir ni kama kibao kilikuwa kimemgeukia kwani alikuwa hamuelewi kabisa mke wake , kwani hakumsubiri tena kama zamani wakati yeye akichelewa , kwani kila alipo rudi alimkuta mke wake alishapotelea kwenye usingizi mzito na wala hakuwa na habari na hata akiamka , alikuwa haulizi chochote na kilicho kuwa kikimuuma sana Samir ni kwamba hata ile mke wake kuomba gemu aliacha kabisa , na pia mke wake hakuwa hata na mawazo kama mwanzoni na alionekana kuwa mwenye furaha.
Hapo ndipo Samir alipoanza kurudi nyumbni mapema kama zamani , na kurudisha mapenzi kwa mkewe , lakini ni kwamba Mama Rania alionesha hali ya kutokuwa kabisa na time na yeye na mara nyingi usiku alionekana akichat na simu huku akitabasamu jambo ambalo lilianza kumfanya kuwa na wivu na kuona kabisa kuwa mkewe kashapata mchepuko , kila akizifikiria hisia hizo alijikuta akipandwa na wivu mkali sana na kumchoma , alivumilia sana lakini kuna siku alijikuta akikosa uvumilivu na alitaka kujua kile kinacho endelea na aliapia kama atagundua kuna mwanaume anaetoka na mke wake kimapenzi ange muua , swala hilo lilimnyima usingizi kabisa
Siku aliojikuta roho kumuuma na kujihisi kuna ninja anakata kata vipande kwenye tumbo lake ni siku alio omba tendo kwa Mama Rania , kwani ile ana peleka mkono kumshikashika Mama Rania , mkono ulitolewa na Mama Rania akainua kichwa na kumwambia neno moja tu .
“ Naomba usinisumbue nimechoka nina mambo mengi ya kufikiria natakiwa kulala mapema “
Alijikuta akiipandwa ma hasira na kukosa hata hamu ya kulala hapo ndani kwake na alicho kifanya ni kutoka usiku huo huo na kwenda bar .
Na kuanzia siku hio alikuwa akimuinda sana Mama Rania ili apate kujua mwanaume anae toka na mke wake na kwa upande wa Mama Rania alikuwa akiwaza dudu ya kijana Peter tu masaa yote kwani kila akifikiria dudu ya kijana Peter inavyo muingia na utamu anao usikiaga basi mizuka ilikuwa ikimpanda hapo hapo na hata kazi hakuweza kufanya vizuri .
Basi siku ambayo Mama Rania alipanga kukutana na Peter muda wa saa tisa , ndio muda ambao kijana wa boss Samir alikuwa akimfatilia nyuma kwa siri sana .





SEHEMU YA 24
Mama rania wala hakuwa na wasiwasi wakufatiliwa kwani aliendesha gari yake kuelekea upande wa Tegeta ambako ndio kulikuwa na nyumba ambayo amemnunulia Peter kama zawaidi ya kupewa dudu.
Lakini pasipo kujua kuwa kuna mtu anamfatilia nyuma aliendesha gari yake na kwa wakati huo ndio alikuwa anapita mwenge huku kijana aliepewa kazi na Samir alihakikisha kuwa hampotezi kabisa mama huyo kwani alielewa nini maana ya kile kitakacho tokea kama tu atakuja kumpoteza kwene macho yake na ndio maana alikuwa akiendesha karibu kabisa na gari ya Mama Rania na hakutaka kuipita , kwani ilivyo kuwa ikipunguza mwendo na yeye alikuwa akipunguza mwendo na huyu alie kuwa akimfatilia alikuwa si mwingine ila ni Kadabra , kijana machachali kabisa kwenye kazi hio ya kufatilia watu , kwani hio ndio kazi yake kubwa ambayo ilikuwa ikimuweka mjini kazi ya Ubodigadi na kufatilia watu .
Mama rania alipita lugalo yote na kuingia Mbezi Beach huku Kadabra akiwa nyuma , lakini ilipo karibia karibu na kanisa la Mbezi Beach la kilutheri gari ya Mama Rania ilikata kulia na kuelekea upande kama unaelekea shule ya sekondari Mbezi Beach , upande ambao ulikuwa ndio maeneo ambayo Peter na Nasma walikuwa wakikaa, Mama Rania aliendesha gari na kuja kuingia kwenye nyumba ya Peter , na wakati gari ikiingia sehemu hio na Kadabra alikuwa akipita geti hilo kwa mwendo wa taratibu sana huku akikodolea geti hilo macho na kwenda kusimama mbele kabisa na kutoka huku akijifanya anaongea na simu , lakini hakukaa sana gari ya Mama Rania , ilitoka na taratibu na kisha ikachukua njia ya kulekea Tegeta na Kadabra hakutaka kupoteza muda alikimbilia gari yake na kisha kuingia harakaharaka na kuliwasha na kisha kuliungia gari la Mama Rania na uzuri ni kwamba aliliona kabisa na lilikuwa karibu yake , baada ya kufikia eneo la jogoo gari lilikunja kulia na kisha likatembea mita chche kutoka barabara kuu na hatimae likaja kusimama kwenye ile nyumba na Mama Rania na gari ,Kadabra aliishuhudia kabisa ikiingia na hapo ndipo alipo alipo toa simu yake na kumpigia Samir na lilisikika neno moja tu.
“ subiri hapo hapo nina kuja , nataka nikiua unisaidie kutoa hio mizoga”.
Samir alikuwa na hasira kweli na wivu ulikuwa umemkaba kooni ,yaani hata kuhema ilikuwa ni shida kwani kila alipo fikiria swala la mke wake kuwa na mchepuko kiasi cha yeye kudharauliwa ,kilimuuma sana tena Zaidi ya kuuma , kwani hata chakula kila siku alipo kuwa akila kilikuwa hata sio kitamu kwake.

Samir alijikuta akipandwa na hasira mara mbili baada ya kusikia mke wake kaingia kwenye nyumba ambayohaifahamu aliishia kutoa matusi ya nguoni na kisha akachukua bastola yake na kuiweka kiunoni na kisha kutoka hapo na alipishana na secretary wake alie shika mafaili alijaribu kumsimamisha lakini hata sijui alisikia kwa wakati huo kwani akili yake kwa muda huo ilikuwa ikiongozwa na hisia , alipanda gari na kulitoa ofisini hapo kwa spidi ya ajabau mpaka mlinzi akamshangaa bosss wake .
Samiri alitembea na gari isivyo kawaida , na aliishia kutukana tu madereva ambao walikuwa hawataki kumpisha , kuna mdada mmoja alikuwa akiendesha Spacio , yake na Samir alikuwa akimpigia honi kumpisha , lakini mdada huyo wala hakujali , sasa Samiri alipo pata nafasi upande mwingine ya kupita , alimwangalia mdada huyo na huku mdada huyo akimwangalia , na Samir aliishia kumnyooshea kidolea cha kati akimtusi na dada yule aaliishia kusikitika tu.
Baada ya kama dakika ishirini hivi Samir alikuwa ndio anaingia sehemu alio elekezwa na Kadabra
“Ndio Hapa” Aliuliza Samir kwa jazba huku akilisogelea geti ,lakini kadabra alimzuia
“ Boss utawashitua ,sisi tunataka tuone kinacho endelea” Aliongea Kadabra
“Sasa tunafanyaje”
“Ngoja nikuoneshe”
Kadabra aliilisogelea lile geti na kuliangalia na kisha kugonga mlango mdogo kwa stali ya chini kabisa ambayo haileti bughuza na hakutumia kengele , ila yeye aligonga geti hilo na ndani ya dakika moja ndipo walipo sikia komeo likifunguliwa na kajidirisha kadogo kakafunguliwa na akatokea mlinzi.
“Niwasaidie nini?” aliuliza na kumfanya kadabra aangalie upande wa kulia na kushoto na kungalia uwepo wa watu .
“Boss Wangu pale ana shida na wewe .. kuna vitu anataka akuulize” Aliongea Kadabra huku akitoa waleti yake na kumuonesha mlinzi kuwa kazi hio ina malipo .
Mlinzi alivyo ona pesa , hakuzubaa alifungua kageti haraharaka na kisha kutoka ,lakini ni kama kosa kwake kwani ile anafungua tayari Kadabra ashamsogelea kwa staili ya kupiga roba na kumkaba kwa nyuma yule mlinzi na kisha kuingia nae ndani ya geti na kwenda kumtuliza kwenye kibanda chake baada ya kupoteza fahamu na Kadabra , alimwita Samir kwa ishara na hapo Samir akingia na geti likafungwa kabisa na funguo .
Samir mapigo yake yalikuwa yanapiga kwa nguvu kwani katika maisha yake hajawahi kufumania , kwani alikuwa akizisikia tu hizo habari za watu kufumania wake zao lakini hajawahi kukutwa na msala kama huo wa yeye kumfumania mtu tena mke wake , alisogea huku akjihisi kama presha inapanda kwa kiasi kikubwa hasa alipo kuwa akisikia sauti za mahaba kutoka ndani na kwa namna moja alijua kabisa watu hao wako sebleni wanafanya yao .
“Aisiiiii…eeeh… mpenziii… nakupenda… agha…. Nakuja mpenzi ..,. usichomoe mwagia humo humoo .. mpenziii.. aaa…”
Alijikuta roho ikimuuma sana na hasira zikizidi kumjaa na kukosa uvumilivu kabisa , kwani sauti za mahaba alizo sikia tena akisikia kabisa mwagia humoo humo alijikuta presha na roho ya mauji vikimpanda na alikosa kabisa uvumilivu , aalisukuma mlango ambao ulikuwa haujafungwa vizuri na kuingia kama mwanajeshi na kuachia risasii.. akimlenga mwanaume aliekuwa akionekana uchi akishusha kiuno na kupandisha.
“Paa..” Ulikuwa ni mvumo wa risasi uliosikikakwa nguvu
****
Nasma alikuwa amekaa sebleni huku akionekana kuwa kuna jambo ambalo alikuwa akilifikiria na jambo hilo lilikuwa likimhusu Masumbuko , japo tokea waachane siku ile kwenye gari , pasipo kuongea jambo lolote lakini kuna jambo ambalo alikuwa akiliona kwa Masumbuko kama haliko sawa , na muda huo alikuwa akijaribu kuunganisha matukio na kuona kweli kuna kitu kipo kwa Masumbuko na kitu hicho alikuwa akitamani sana kukifahamu .
“Ila mimi ni mjinga sana yaani mtu yuko jirani yangu nasumbuka kichwa changu tu hapa” Aliongea Nasma na kumfanya Lucy aliekuwa kakaa kwenye sofa kwa kujiachia akiangalia tv amwangalie.
“Nini Nasma , unaongea na mimi ?”
“Hapana , kuna sehemu naenda hapo nje nakuja sasa hivi”
“Niagize mimi nitaenda kukuchukulia , hakuna haja ya wewe kwenda”
“Nimetaka kwenda mwenyewe Lucy wee kaa hapo nakuja” Aliongea Nasma na kisha akatoka na kutembea mpaka kwenye geti la nyumba ambayo anaishi Masumbuko , aligonga na kisha alikuja mlinzi na kufungua na kumuuliza maswali na kisha aliruhusiwa kuingia.
“Samahani naulizia floor ambayo anaishi mkaka fulani hivi mweusi rangi ya chocholate” Aliuliza baada ya kuingia ndani hapo na kuwakuta Anjeli na marafiki zake wakipiga stori .
“Mhmh , hapa kuna wengi , lakinii.. hebu nenda namba nne “ Aliongea Angeli huku wote wakimwangalia Nasma kwa uzuri alio kuwa nao.
“Jamani kuna wadada wazuri .. akii..Mungu ningekuwa mimi ningekuwa danga la jiji hili lote” Aliongea Angeli huku akiungwa mkono na marafiki zake
Masumbuko alikuwa amelala fofo kwenye sofa huku Steve ambae alikuja kumsalimia rafiki yake Peter akiwepo akiangalia muvi kwenye laptop yake , na ndio wakati huo ambao Nasma aligonga Mlango na Steve ndio aliesikia na kwenda kufungua,macho yalimtoka na kujikuta akifikicha macho.
“Mambo “ Alisalimia Nasma huku akiweka tabasamu lililomuacha hoi Steve na kujikuta akimwangalia usoni Nasma na mpaka Nasma mwenyewe akaona haya na kuangalia chini.
“ Aaa poa karibu “ Aliongea Steve huku akimwangalia Nasma na alikuwa amesimama tu hapo mlangoni na alijifikiria, ila akaona aingie tu .. alisogeea mpaka kwenye sofa moja refu , kwani hapo ndani kulikuwa na masofa manne na moja lilikuwa karibu na tv na hili lilikuwa ni dogo na dogo lingine lili kuwa upande wa kulia mbali kidogo na Tv na refu kakalia Steve , ila la karibu kabisa ambalo ndilo la kwanza ukiingia hapo ndani kalalia Masumbuko .
Nasma alisogea na alikuwa na wasiwasi sana kwani ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuingia katika vyumba ya wanaume tu , kwani hakuwahi kufanya hapo kabla , alisogea na ndipo alipo muona Masumbiuko aliejinyoosha kwenye sofa akiendesha jenereta kwani alikuwa amepitiwa na usingizi mzito sana .
Nasma alikaa pembeni ya kichwa cha masumbuko kwani alikuwa ameacha nafasi kidogo ambayo ilimuwezesha kukaa , ila wakti anakaa kichwa cha masumbuko kilimgusa kwani mtoto nae alikuwa amejaliwa chungu sio poa.
“Ngoja ni kuletee juisi” Aliongea Steve kwa kubabaika kwani alikuwa ni kama haamini ,kuna muda aliona labda mwanadada huyu alikuwa amepotea njia.
Masumbuko nae muda huo ndio usingizi unaisha na alikuwa akijifikicha macho huku Nasma alikuwa akimwangalia kwa macho yenye mahaba mazito , Masumbuko alianza kunusa kama mbwa maana alisikia harufu nzuri sana kwenye pua zake na wakati anafanya kitendo hicho alikuwa amefumba macho .
“Peter leo sijui kakaribisha jini” Aliongea Msumbuko huku akifungua macho akiangalia juu na hapo ndipo macho yake yakagongana na ya nasma alie kuwa akimwangalia huku akitabasamu na Masumbuko alipo fungua macho alijikuta akishangaa na kumfanya Nasma atoe kicheko.
Na kitendo hicho Steve alikuwa akikishuhudia na aliona kama anangalia sinema VR Gasses (hizi ni miwani ambazo unaweza ukaangalia muvi au kucheza gemu kwa mazingira ya 3D na kukupa hali ya kama unakiona kitu katika mazingira halisi ) ,maana jinsi Nasma alivyo inama na Masumbuko alie kuwa kalala na walivyo kuwa wanaangaliana ilikuwa ni kama sinema la kifilipino .
“Dada juisi hii hapa”
Aliongea Steve na kumfanya Nasma amwangalie na kuachia tabasamu na kisha kusema asante , na kumfanya Steve ahisi sauti hio ilikuwa ipo tumboni ,ikitekenya maini yake.
Masumbuko mara alishtuka maana sijui alifikiria nini na alinyanyuka haraka haraka na kumshika Nasma mkono na kumfanya Nasma amwangalie huku akitabasamu na Masumbuko alimnyanyua Nasma na kumpeleka karibu na mlango wa jikoni ambapo mtu wa sebleni hawezi kuona
“Usije ukasema siku ile tulikutana na nilipotea na wewe ndio ulio nileta maana niliwaambia nalijua sana jiji sasa usije ukaniumbua , yaani kimyaa shiiip” Aliongea akimnong`oneza Nasma na kumfanya Nasma atabasamu na kuhisi msisimko wa ajabu kwani alihisi pumzi ya Masumbuko .
“Hapa leo nadhani kwa mara yangu ya kwanza ndio naangalia tamthiliya la kifilipino laivu bila chenga aliongea Steve baada ya kumuona Masumbuko akimwambia jambo Nasma.
*****
Boss mkuu kapiga simu kuhusu ule mzigo wa Congo “ Aliongea jamaa mmoja mrefu mweusi aliekuwa na mwili ulio jazia na akiwa amevaa miwani .
“ Ramso nadhani wewe unajua nini cha kufanya hapa , na nimeona una majukumu mengi sana, lakini nataka nikupe jukumu lingine na hilo .
“Jukumu gani hilo boss?”
“Nataka kwanzia sasa uwe karibu na Rania kwa kila anacho kifanya kwani muda si mrefu nitakwenda kumuoa”
“Boss una amini atakubali?”
“ Ramso unafikiri ninasema jambo bila mpango , yeye akubali asikubali ila lazima nimuoe kwa namna yoyote ile kwani baba yake tayari yupo hapa kiganjani na hana pakwenda na mama yake na yeye nina udhaifu wake mkubwa sana na nikumuonesha huo tu hatokuwa na la kusema zaidi ya kunipa baraka zote.”
Aliongea Hemedi akiwa nyumbani kwake eneo la Mapinga Bagamoyo na ndani ya jumba hilo ilikuwa ni kama ikulu kwani walionekana mabodigadi wengi walio valia suti safi wakiwa wana hakikisha ulinzi na haikueleweka walikuwa ndio wanamlinda huyo Hemedi au kuna la ziada kwani kama tujuavyo Hemedi ni mfanya biashara wa mabasi .
“Sawa Boss nitalifatilia hilo”
“ Kingine hakikisha huyo panya (Peter ) hafanyi lolote kwa huyo mwanamke , kwani ndio roho yangu na nadhani nikishampata rania roho yangu iatulia na nitatulia nae ,huyu paka kama isingekuwa analindwa na Bosco ningekuwa nishampoteza muda mrefu sana”
“Boss unamaanisha wetu anamfahamu Peter”.
“Ndio ana mfahamu vizuri sana na namheshimu sana Bosco kwani kanifikisha hapa nilipo leo hii, ila asinenipa maelekezo ya kutomgusa Peter ningekuwa nishampoteza muda mwingi sana”
Aliongea Hemedi na kumfanya Ramso ashangae , kwani sio jambo la kawaida kwa tajiri mkubwa kama Bosco kumjua Peter , kwani Bosco alikuwa ni tajri mkubwa ndani ya Congo mwenye mtandao mkubwa wa madawa ya kulevya na alikuwa ni supplier(msambazaji) kwenye nchi nyingi sana ikiwemo Tanzania alikuwa akifahamika kwa jina la The Don.
*****
Ndani ya uwanja wa kimaaifa wa Julius kambarage nyerere (JNIA) , alionekana mrembo Najma akiwa na bodigadi wake akitoka eneo la ‘Arrival’ yaani wanofika, akiwa amependeza kwelikweli na alionekana kabisa alikuwa safarini na ndio anarudi .
“Rehema naomba usinipeleke nyumbni kwanza nataka nikakae Serena mpaka nitakapo kamilisha ufunguzi wa kampuni yangu” Aliongea huku akitembea kimadaha kabisa na kuingia kwenye gari.
Gari ilitembea mpaka kwenye hoteli ya Serena ikitumia masaa machache tu kuingia kwenye hoteli hio ya hadhi ya juu na kisha mrembo huyo akaingia . na kwenda moja kwa moja mpaka mapokezi na kuchukua chumba .
“Leo unaonekana kuwa nafuraha kuliko siku zote nilizo kuzoea”Aliongea Rehema huku akiingiza mizigo ya Najma ndani ya chumba hicho .
“Acha tu nitakwambia kila kitu ila kwa sasa kuna mambo makuu mawili nataka kuyatimiza ndani ya mwezi mmoja .
“Hongera yako ,kama kuna jambo ambalo unataka kulifanikisha pia ni mwanzo wa mafanikio na ni uthamani katika uso wa dunia kwani hauvuti hewa bure , hakuna jambo zuri kuwa na sababu ya kuishi”Aliongea rehema na kisha waliagana kwa ajili ya kukutana siku inayo fuata.
Najma alifungua begi lake nakutoa laptop na kisha akawasha mtandao wa Skype na kisha akabonyeza kwenye hio laptop na likaja jina la A2
“Hello A2 “ Aliongea Najma kwa mapozi . (A2 ni Artificial intelligence roboti ambayo ilitengenezwa na Profesa Gladness , roboti ambayo inafanana kwa kila kitu na binadamu wa kawaida unaweza ukamfahamu roboti A2 kutoka kwenye simulizi ya MY DREAM MY FAVOURITE)
“Hello Beuty Najma .”
“ Nimefurahi sana kuwasiliana na wewe A2 na niliongea na aunt(shangazi) na kaniambia nikuombe msaada unaweza kunisaidia kwenye tatizo langu .
“Ndio alinidokezea na ni kwamba tatizo lako linaweza kufanyiwa kazi kisayansi kutokana na kwamba sasa kuna teknolojia ya kuweza kufanya komputa kutoa picha yoyote ile unayohitaji kutoka katika mawazo yako”
“Naweza kufika lini ili swala langu uweze kulitatua?”
“Kesho asubuhi unaweza ukafika nitakusadia hakika “
Hili ni roboti A2 liliotengenezwa na profesa gladness, na lilikuwa lipo kwenye moja ya kitengo cha usalama wa nchi , kitengo ambacho kilibadilishwa jina kutoka kwenye jina la the Hollic Shadow na kwenda kuitwa jina la AFRICA MULTNATIONAL CYBER SECURITY (AMCS) na kiongozi wa kundi hili alikuwa hajulikani jina lake , kwani kitengo hichi kilikuwa kikifanya kazi zake kwa siri sana na hata wafanyakazi walikuwa hawafahamiki .
UNAWEZA PATA SOFTCOPY YA SIMULIZI HII YOTE.

SIMULZI ZANGU NYINGINE NI
-UMOJA NAMBA TISINI NA SABA
-NDOTO ZA KIKANUNI
-BOOK OF ALL NAMES (UMOJA NAMBA TISINI NA SABA )
-MY DREAM MY FAVOURITES)

KUHUSU UTARATIBU WA MALIPO
WASILIANA NAMI KWA KUGUSA HAPAA



mawasiliano 0687151346
 
SEHEMU YA 18
“Boss mwenyewe unarudi kutoka kazini “ Aliongea Steve baada ya Peter kufika nyumbani na kumkuta rafiki yake .
“Yeah nishakuwa boss saivi nafanya kazi katika kampuni kubwa tena benki hela zinakokaa , lazima unite boss .”
“Yeah , ila unabahati sana , unajua washikaji kila ninae mwambia kuwa unafanya kzi kwenye ile benki hakuna hata mmoja ambae ana niamini “
“ Usiwalazimishe kuamini , vipi lakini mambo yako ya field ?“
“Field iko vyema nimepata kwenye kampuni moja ya Telecom kule Posta ndiko ninako fanyia “
“ Anhaa kumbe tuko upande mmoja “
“Yeah , mrembo Rania na kisasi chako umefikia wapi au ndo unambwela “
“Kisasi kinaenda kiurahisi sana tofauti na nilivyofikiria , yaani si tumii hata nguvu”
“Eii.... wewe jamaa muongo sana , yule Rania ni mgumu wewe utampataje kirahisi hivyo , hebu acha Kamba zako hizo “
“Shida yako husadiki , ila nataka nikirudi kutoka Tanga nikuonyeshe uone kama nadanganya au wewe ndio mwenye ugonjwa wa kuto kuniamini “
“Acha wee waenda tanga kufanyae tena? “
“Naenda kwa ajili ya kazi huko na boss “
“Mhmh! , kweli naona ushaanza kuaminika kiasi hicho mpaka unaenda na boss”
“Sio kuaminika ni kwamba mfumo mpya wa ulinzi bado haueleweki kwa IT wengi kwa hio natakiwa kuurekebisha mimi mwenyewe “
“Halafu yule boss wako ana lishepu hilo , yule nakubali ani bemende “
“Aaaa… mke wa mtu yule na ni kama mama yako yule”
“Ana umama gani , hivi unafikiri yule akikutega upo chumbani nae utachomoka kama wewe ni mwanaume rijali , lazima uingie ndo utajua huyo sio mama yako ni umri tu ila tuyaache hayo”
“ Sema huyu mshikaji wako una mpango gani nae au ndo umemfanya House boy“
“ Masumbuko nina malengo nae nataka nikirudi nimfundishe kusoma na kuhesabu halafu nimtafutie biashara ya kufanya”
“Peter wewe hata usijisumbue kuniletea mwalimu au kutaka kunifundisha kwani sitaelewa kitu” Aliongea masumbuko na kumfanya Peter amwangalie huku akisogea pale kwenye sofa alipo kaa .
“Sikia Masumbuko , sijui alie kuambia kuwa huna uwezo wa kusoma na kuelewa ,ila mimi nina fahamu kabisa kuwa wewe unaweza ukasoma na kuelewa ,sema haujapata mwalimu mzuri kwa hio kuanzia sasa jua wewe una akili na unaweza kusoma na ukaelewa umesikia? “
“Ndio nimekuelewa “ Alijibu Masumbuko kwa heshima kwani hakuwahi kumuona Peter akiwa kwene hali hio ya kuwa siriasi
“Naona mshakuwa ndugu kamili kwa sasa “
“ Yeah , yaani nafurahi sasa hivi nyumbanii kuna mtu ambae naweza kumuongelesha wakati wote , nimechoka kuishi mwenyewe , hivi wewe Steve unajisikiaje unatoka shule unarudi nyumbni huku ukijua kabisa hakuna mtu , na hata pale unapokuwa na tatizo huna mtu wa kusema huyu ni ndugu yangu naweza kumuita au kumpigia simu kumuomba msaada “
“Ndio ni maisha magumu sana kiufupi sipatii hata picha lakini cha kumshukuru Mungu ni kwamba bado kakuweka hai na kukupigania mpaka sasa”
“Ndio , nilikuwa nampenda sana mama yangu na nitaendelea kumpenda daima huko aliko , alinipigania yeye mwenyewe kanikuza kwenye mazingira magumu mpaka alipo patwa na umauti , ila naamini siku moja tu nitakuja kumpata alie husika na ajali ile”
“Peter rafiki yangu kwanini usisahau yote hayo ile ilikuwa ni ajali ya kawaida tu kama polisi walivyo sema , kwanini unataka kuweka visasi moyoni , mimi nikajua ulikwisha sahau”
“ Hapana Steve siwezi kusahau kabisa yaani , na hakuna mtu wa kunishawishi , nakaa kimya tu kutokana na kwamba sitaki kisasi kifute ndoto zangu kwani naamini hata mama hatofurahia kabisa akiniona naishi kwa ajili ya kulipiza kisasi”
“Kwa hio Peter kumbe mama yako alikufa kwa ajali”Aliuliza masumbuko
“ Ndio ni story ndefu Masumbuko sipendi kuikumbuka kabisa “
“Hata mimi mama yangu alikufa kwa ajali “ Aliongea Masumbuko na kumfanya Peter amwangalie kwa maswali .
“Alikufa kwa ajali gani ??”
****
“ Nakuona unavyo mfanya mtoto akolee rafiki yangu “
Aliongea Lea akiwa amejilaza pembeni kwenye viti vya kuegamia huku akiwa ameshikilia kikombe cha pombe (Solo cup) Pembeni yake kushoti akiwepo Sebastiani akiwa amekaa mkao kama wake wote alikuwa wamevaa mavazi ya kuogela huku wakimwangalia Stella alie kuwa katika Swimming pool akiogelea kwa ustadi mkubwa ,alikuwa akizama na kwenda kuibukia mbeleni , kiufupi alikuwa kama kivutio siku hio katika eneo hilo kwani uzuri alio kuwa nao wa maji ya kunde ulikuwa ukivutia sana na shepu ambayo mungu amembariki nayo ilizidi kufanya kuonekana mzuri na hata pale alipo kuwa akiingia na kuibuka kwenye maji alifanya kuonekana kama malaika
“Huyu mwanamke mzuri sana , nimeona wanawake wazuri ila huyu ni kiboko , yaani hata huyu bwana wako namuona fala kumuacha kimwana kama huyu”
“Aacha hizo ujue Sebastian kwani kuwa mzuri ndio kupendwa ,ingekuwa wanawake walio na sura mbaya hawaolewi sasa”.
“Acha wivu wewe.. kiufupi pale haumfikii hata kwa dawa , Stella mzuri na pia ana roho nzuri , na ndio maana anazidi kuwa mzuri , sio kama wewe”
“Sikia seba.. huo utani sitaki , yote nilio yafanya nimefanya kwakuwa nampenda sana James na ningemkosa ningekuwa mwehu , mimi ni tofauti na Stella huoni hata hali yake kwa sasa ni nzuri , mimi nisingeweza roho yangu nyepesi”
“Hahaha.. kwahio ulijuaje kama Stella ataweza .. hio ndio roho mbaya ninayo zungumzia sasa, kujijali mwenyewe pasipo kumjali mwingine”
“Sikia seba utaniudhi sasa hivi , jishaue tu na wakati mimi ndio nakufanya uwe na Stella , fikiria tu siku atakavyojua ulikuwa kwenye mpango wa kumuachanisha na boyfriend wake sijui atakufanya nini”
“Basi yaishe mrembo ee , nilikua natoa ya moyoni , lakini nina furaha maana sasa hivi ninae Stella nahisi Dunia yote yangu , japo hajanikubalia ila naamini atanikubalia tu”.
“Halafu seba hivi utakuwa mzito mpaka lini , wewe unavyo endelea kuamini , utajikuta mtoto sio wako , wewe humuoni alivyokuwa mzuri wewe haya tu zembea”
“Kwa hio wewe nataka nifanyaje , na wakati unaona Stella mwenyewe bado anaonekana ana majonzi sema anajikaza kuonekana yupo sawa”
“Ndio maana nakwambia jitahidi umsahaulishe mtoto huyo na jijengee mazingira akuone mwanaume wa tofauti na wengine , mfanye akuamini “
“Najitahidi sana ”
“Bado.. , sasa sikia Stella jambo ambalo lina muumiza kwa sasa ambalo ni kama udhaifu wake mkubwa ni kumfunga Masumbuko huyo rafiki yako , lakini kumbuka akimpata Masumbuko basi na wewe umekamatika na Stella hatokuamini tena na anaweza akakufunga na wewe, maana anaijua sana sheria na utakuwa umekosa kila kitu na mimi sipo tayari kwa hilo”
“Sasa nifanyaje mbona kama unanitisha , mimi akinikamata nakuunganisha”
“ Huo ndio utakuwa umama sasa , hautokuwa mwanaume wewe inabidi ufikiria namna ya kujitoa kwenye kesi ili hata Masumbuko siku atakayo kamatwa wewe hautahusika moja kwa moja, anza kutengeneza ushahidi wa lile tukio kuwa haukushusika na pia tafuta ushahidi au hata kwa kuutengeneza ili umfanye Masumbuko kuwa na hatia moja kwa moja”
“Seba nimefurahi kweli leo asante kwa kunileta hapa , unajua nilikuwa nasikia Sea breeze ila sikujua kuwa pako vizuri kama hivi” Aliongea Stella na kuwafanya Lea na sebastiani kukanyamaza.
“ Ni kweli Stella yaani pazuri ,tupigeni picha basi” Aliongea lea huku akimsogela Stella aliekuwa akijifuta maji na taulo .
“Seba kaa na Stella basi niwapige picha” Aliongea lea na kuwafanya Stella amwangalie Sebastian na Sebastian alimwangalia Stella na kisha wakatabasamu kwa pamoja na kwa ushawishi wa Lea basi walikubali na kupigwa picha na Stella”
“Nitawatumia hizi” Aliongea Lea huku akitabasamu sana maana zilitoka kama alivyokuwa anataka .
****
Huku nyumbaani kwa Mama Rania alionekana Najma akitoka kwenye chumba chake akipiga miayo akielekea chini kwenye sebule yao na muda huo ilikuwa ni muda wa saa saba mchana .
“Hi! dad good afternoon!” Alisalimia Najma baada ya kumuona baba yake wakati tu alipofika sebuleni wakati huo baba yake alikuwa akiingia na sijui alifata nini maana siku hioo alionekana kuwahi kurudi jambo ambal sio kawaida yake .
“Naona leo umewahi , maana nakuona ukirudi saa sita au saa saba usiku “
“Leo kuna kitu nimerudi kuchukua mara moja na nitarejea baada ya muda kidogo , wewe mbona haujatoka kwenda kwenye mandalizi ya ufunguzi wa kampuni yako”.
“Nimetoa tu maagizo kwa wafanyakazi wangu siku hizi sipendi hata kutoka”
“Unaonekana kuwa na jambo maana si kawaida yako my princess“
“Yeah dadie ni juu ya yule mkaka , I am head over heels for him, please help me to find him dadii please “ (Ninamuwaza yeye tu baba )Akijidekeza kwa baba yake .
“My daughter nafanya kila njia kuhakikisha nina mpata and very soon tu utasikia taarifa ya kufurahisha maana timu yangu ipo uraiani huko inamtafuta “
“Asante sana dad ndio maana nakupenda I real love you dad “ Aliongea Najma maana alikuwa na uzungu mwingi yaani alikuwa hamuogopi baba yake kabisa ,watoto wengi wa kiafrika kumwambia baba ya kuwa wapo kwenye mapenzi ni swala gumu sana na kwao linaonekana kama ni utomvu wa nidhamu , ila kwa maisha ya wenzetu uzunguni huko ni swala la kawaida , pia baadhi ya familia za kiafrika washaathirfika na tamaduni za kizungu .
“Vipi na dada yako , unataka kuolewa kabla yake?”
“Dada naye anaanza kuwa kama mimi tu “ Alingea Najma nakumfanya Samir kumwangalia kwa mshangao , huku wakikaa kwenye masofa ya hapo sebuleni .
“Unamaanisha nini kuwa anaanza kuwa kama wewe?”
“Siku hizi hata si muelewi kuna mkaka nadhani kaanza kazi kwenye benki yetu sasa kila saa dada anamzungumzia mara amsifie na hata wakati mwingine usiku anaota akiongea huku akilitaja jina lake”
“Sasa yeye anakuwaje kama wewe , wewe si mwanaume unaempenda ,wewe ni tofauti na Rania “
“ Hata kama Dady nataka niende hapo kazini kwao nikwamuone huyo mwanume anae mchanganya dada yangu yukoje koje huyo “ Alingea Najma na kumfanya baba yake mapigo kuongezeka maana alijua kama ataenda basi anaenda kukuutana na Peter mwanaume anae mtafuta .
“Sikia unaonaje tukienda wote,mimi na wewe ,ninataka kumuona huyo mwanume kama kweli anamfaa mwanangu Rania maana nawajua wanaume waongo sana “
“Sure dad , nitakuambia siku nikipanga kwenda kumuona ili twende wote “
“Hapana Najma mimi nina kazi nyingi so nitakuambia siku nzuri ya kwenda”
“Sawa dad , but I cant wait , better make it soon dady “
“Worry out my daughter , but promise we do this together right “(Usijali mwanangu lakini hii ni ahadi ua sisi kwenda pamoja )
“Yess dady “
Samir alijikuta akitoka hapo huku akijifuta jasho maana anaona kazi inazidi kuwa ngumu watoto wake wanamchanganya vibaya .
“Nisipo fanya kitu hawa wapuuzi watakutana na inaweza kuleta matatizo kwa wote , inabidi nifanye kitu mapema kabla jambo baya halijatokea ,sina jinsi inabidi Rania aolewe na Hemedi , halafu anisaidie kumwangamiza Peter ili hawa mapacha wanaojifanya wanajua kupenda , nawaletea habari ya kifo tu”Alijiwazia huku akiingia chumbani kwake kwa ajili ya kuchukua kitu kilichomrudisha nyumbani .














SEHEMU YA 19
Samiri alikuwa kweli amedhamiria kumfanya Rania aolewe , aliamini njia ya kumuepusha na Peter ni ndoa .
Hivyo hakuwa na jinsi zaidi kumkubali rafiki yake awe mkwe, sababu hakuwa na cha kupoteza Ramia aolewapo na Hemedi , pia mali zake zingekuwa salama kuliko watoto wake kuwa na mahusiano na kijana Peter .
Alishangaa wakati mwingine ni kwanini alikuwa akimchukia sana Peter na kujithamini wapi chuki hio imetokea mpaka kuwa na nguvu ya kutomtaka kijana huyo kuingia katika maisha ya wanae , lakini hisia zake zilimwambia Peter hakuwa mtu sahihi kwa wanae zaidi ya maslahi na pia hakuamini kama kijana huyo alikuwa na mapenzi ya dhati kwa wanae , lakini pia aliona hatari ilioko kwa kijana huyo kupendwa na familia yake yote .
Siku hio wakati akiwa nyumbani alijihisi kuboreka kubakia hpo kwa muda mrefu ,lakini pia hata ile muwashawasha wa kwenda kutembea uliongezeka mara baada ya kuona meseji ya mchepuko wake Amanda , aliingia bafuni na kujiswafi .
Na kisha akaanza kujiandaa lakini wakati anachukua ufunguo ndio Mama Rannia alikuwa akiingia kutokea kazini.
Mwana mama huyu japo mume wake alikuwa akimnunia ila hakuacha kuonyesha heshima kwa mume .
“Haa ! Mume leo naona umewahi kurudi kazini”
“Ndio kuna kitu nilifuata ila ninaondoka na nitachelewa kurudi”
“Sawa mimi kesho nasafiri kikazi , unaonaje leo ukiwahi kurudi nyumbni mume wangu nimekumisi sana mpaka najisikia vibaya jamani”
Samiri wala hakujibu neno lolote zaidi ya kufungua mlango lakini kutokomea lakini sekunde mbili mlango ulifunguliwa tena na alikuwa ni Samiri , Mama Rania alimwangalia.
“Nimesahau kukutakia safari njema”
Aliongea na kisha alifunga mlango ,mwanamama huyu chozi lilimtoka na kujawa na hudhuni ,hakuamini kabisa mabadiliko ya mumewe kiasi cha kutomjali.
Alikaa kwenye kitanda akifikiria kosa gani amelifanya mpaka hali ya ndoa yake kufikia hatua hio , kuna muda alitamani hata kumfukuza Peter kazini ili hali ya ndoa yake irudi kama awali , lakini akikumbuka kuwa Peter alikuwa tegemezi katika kuimarisha ulinzi wa benki ,wazo alilitupilia mbali , ni zaidi ya mwezi yeye na mume wake kuishi kama dada na kaka
****
Ndani ya hoteli ya Coral Beach alionekana Lea siku hio ndani ya chumba kikubwa cha hadhi ya juu akiwa ameshikiliwa kiuno na James huku akiingiza mwiko wake ndani na kutoa huku kimwana huyo akitoa miliio ya kimahaba ,alionekana dozi anayopewa na james haikuwa ya kawaida .
James alikuwa akimkunja kama kambale na alionekana kubobea kweli kwenye mambo ya sita kwa sira kwani alionekana shughuli kuimudu vizuri takribani dakika kumi na tano walikuwa washamaliza na wote kufika ukingoni.
“Asante sana Hubby “ Aliongea Lea huku akimwangali James usoni aliekuwa akihema kama mbwa alie kimbia maili nyingi “
“Hauna haja ya kushukuru mpenzi wangu mimi hii ndo kazi yangu ya kuhakikisha kwamba nakuridhisha ili usije ukanitoroka ukaenda kwa wengine kwani nitaumia sana mpenzi , nimeumizwa na Stella sitaki kuumizwa na wewe tena”
“Usiwe na wasiwasi mpenzi kwa ninavyokupenda haitokuja itokee eti nakusaliti mpenzi wangu , mimi niwako tu peke yako , unavyo niacha ndivyo unavyo nikuta “
“Hata mimi nakupenda sana Lea na sipo tayari kuuona huu uso wako unatoa machozi kisa mimi kukusaliti , kwanza nataka ukimaliza tu chuo nakuoa”
“Kweli mpenzi , uko siriasi “
“Ndio kwani wewe hautaki kuolewa ,
“Nataka mpenzi ila unajua mapenzi yetu hayana uhuru kwani lazima kila siku tukifanya yetu tujifiche ili Stella asione , natamani kutembea na wewe kila mahali kuonyesha ulimwengu mzima kama napendwa na wewe james mwanume wa maisha yangu ”
Aliongea Lea kwa hisia kubwa na walianza akuchokozana tena, na kwa mara nyingine wakaingia kwenye tendo hilo la kuzini na walidumu kwa dakika kama ishirini , na kati yao hakuna hata mmoja alie kuwa akikumbuka kondomu walionekana kuaminiana.
“Vipi mpenzi lini tena warudi Kenya?”
“Kesho narudi ,nitakuwa huko kwa mwezi mmoja , halafu haujaniambia Stella anaendelaje kwa sasa , si rafiki yako?” Aliuliza James na lea kumuona bado anawasiwasi na hali ya Stella.
“Anaendelea vizuri tu wala hakuwazii , ngoja nikuoneshe maana saivi ana mpenzi mpya na hana habari na wewe “ Aliongea huku akimuonyesha baadhi ya picha ambazo zilimuonesha Stella akiwa kwenye kivazi cha kuogelea ,James alisisimka baada ya kuona umbile la Stella
Lea alikuwa akifanya kumuonesha James ,alimjunesha za Stella na Sebastian wakiwa kwenye pozi mbele ya Swimming pool
“Huyu ndio mpenzi wake mpya ?”
“Ndio huoni walivyo pendeza “
“ Hongera yake , nilijua tu kama hanipendi huyu mwanamke nilikuwa namwamini sana kumbe mchafu namna hii , sitokuja kumsamehe “
“ Usimchukie sana mpenzi , kwanza upo na mimi mwanamke ninaye kupenda , haina haja ya kumuwazia Stella tena” Aliongea Lea huku Stella akielekea bafuni akimwacha James.
James alishika simu yake na kuwasha data na kuangalia message za Watsapp, alijikuta akitabasamu baada ya kuona jumbe kutoka kwa jina la Business partner ,jumbe ya sauti (voice notes) , aliweka ‘Earphone’ masikioni na kusikiliza huku tabasamu pana likiwa limeupamba uso wake , inaonekana jumbe hio ilimfurahisha mno , pale alipomuona Lea anatoka bafuni ndio akajikausha na kuweka simu pembeni baada ya kufuta ule ujumbe .
****
Ilikuwa ni siku nyingine siku ambayo Mama Rania na kijana Peter walikuwa kwenye gari moja aina ya Range Rover Spot huku dereva akiwa Peter akiwa makini na usukani , pembeni yake alikuwa ni Mama rania alieonekana kusinzia, hakuwa na habari kabisa kwa alivyojiachia kwani sketi aliovaa ilikuwa imepanda mpaka kwenye mapaja ,ukizingatia pia kigauni alicho vaa kilikuwa chepesi sana , mwanamama huyu hayo ndio maisha yake ,alikuwa na uzungu mwingi hata kazini kwake.
Gari ilizidi kuyoyoma na ndani ya masaa manne gari ilikuwa ikipita sehemu moja inayoitwa Soni hapa ndio Mama rania alishtuka kutoka usingizini .
“Nimelala sana?”
“Yeah ndio tuko eneo moja linaitwa Soni na muda si mrefu tunafika lushoto mjini “
“ Aisee nimelala”
“Unaonekana kuchoka sana”
“Yeah nimechoka sana jana sikulala kabisa mpaka kuna kucha “
“Tatizo lilikuwa ni nini sasa ?”Aliuliza Peter huku akiwa makini zaidi na barabara kwani makona yalikuwa mengi .
“Mambo ya kawaida tu , halafu kuna baridi huku” Aliongea Mama Rania baada ya kupandisha kioo.
“Ndio huku ni juu milimani , milima ya Usambara , ni kuzuri kweli nishawahi kufika mara nyingi nyingi kuna baridi ,ila kuna maeneo mazuri ya kutembelea”
“Kumbe nipo na mwenyejii, basi inabidi unipeleke peleke hayo maeneo ya vivutio nikaone na mimi”
“Hilo hata usijali Boss”
Walitumia masaa machache sana kufika Soni, na moja kwa moja waliingia Lushoto mjini na kwakuwa ailikuwa mapema sana , waliingia kunywa chai kwenye mgahawa na baada ya hapo wakaanza ukaguzi ndani ya jengo hilo la benki , na Peter yeye akiwa na kazi ya kuweka mfumo mpya kwenye tarakishi pamoja na vimashine flani vya mtandao .
Kazi ilifanyika kwa masaa manne mpaka kuisha na iliisha mapema kabla hata ya muda ambao walipanga kuutumia , baada ya kazi zote hatimae waliondoka huku wote wakiingia kwenye gari na kuelekea kwenye hoteli moja maarufu sana ndani ya Lushoto ilio kuwa ikijulikana kama “IRENTE VIEW “ hii ni hoteli moja nzuri sana ilio kuwa ikimilikiwa na marehemu raisi mstaafu Benjamini mkapa , ilikuwa juu ya mlima na ukiangalia kwa chini unaona maeneno ya tambarare , kama nji za kwenda Moshi , Mazinde na baadhi ya maeneo mengine ni eneo zuri kweli kwa hoteli hio kuwepo .
:Jamani kuzuri huku , kuna mazingira safi hadi raha na hewa safi kabisa “ Aliongea Mama Rania wakati wakitoka kwenye gari baada ya kuingia ndani ya hoteli hio.
****
Tajiri Samir hakurudi nyumbani siku ambayo mke wake alikuwa amemuambia kuwa kesho yake atasafiri kikazi na wala hakujua kabisa mke wake alikuwa amesafiri kuelekea wapi Zaidi ya kujua yupo safari kikazi .
Usiku wa siku hio Mama Rania alimsubiri sana , alikuwa akitamani kupata haki yake ya ndoa na alikuwa kwenye hali mbaya sana , lakini Samir hakurudi kabisa kwani mchepuko ulikuwa umemshikilia sana siku hio .
“Umeamkaje mpenzi?” Aliuliza Amanda ,alikuwa amekaa kwenye Dressing table akijipodoa ,ilikuwa ni muda wa asubuhi na Samir ndio kwanza alikuwa akitoka usingizini .
“Jana umeniweza kweli yaani nimesahau kabisa kurudi nyumbani “
“Nipo hapa kwa ajili ya kukusahaulisha kuhusu mkeo maana najua upo kwenye wakati mgumu sana wewe ni familia yako “
“Ni kweli , ila yataisha tu ,”
“Vipi mke wako leo si atakuwa na presha huko”
“Kweli na anavyonipenda sidhani kama jana alilala, maana kila siku namkuta yupo macho ananisubiria , halafu aliniambia kuwa anasafiri kikazi”
“Masikini saivi atakuwa na mawazo safari nzima”Aliongea Amanda pasipo kujali kuwa anaye mfanyia hivyo ni mwanamke mwenzake na anaiharibu nda ya mwanamke mwenzie.
****
Sebastiani alikuwa ndio kwanza kutoka chuoni , aliingia ndani kwake na kisha akajirusha kwenye sofa lilipo ndani ya chumba chake .
“Stella unaninyima usingizi , ila nitakupata tu kwa namna yoyote ile upo ndani ya mawazo yangu sana , nakufikiria kila wakati” Alijiwazia sebastiani huku akiangalia feni inavyozunguka .
“Inabidi nikusaidie katika swala lako na Masumbuko na naamini kupitia hili lazima unipende mwenyewe”
Alinyanyuka na kuweka begi lake lilibeba tarakishi mpakato kwenye meza na kisha, alivua nguo zake na kuingia bafuni ,chumba chake kilikuwa ni self container , alimaliza kuoga na kuanza kujifuta maji , kuna wazo lilimjia ambalo lilimfanya atabasamu .
“Aliifuata simu yake na kisha akamtafuta Steve na kumuuliza yuko wapi na alijibiwa kuwa yupo kazini bado , aliuliza na kuhusu Masumbuko na kupewa jibu kuwa yupo nyumbani na Peter alikuwa mkoani kikazi . majibu hayo yalimfanya atabasamu na kuvaa nguo zake na kujiandaa haraka haraka .
“Hapa naenda kwa masumbuko kuchukua ushahidi au kuutengeneza na hivyo hana akili atajaa tu” Alijiongelesha huku akitabasamu kinafiki.
























SEHEMU YA 20


Sebastian alipanda daladala na moja kwa moja alielekea Mbezi Beach nyumbani kwa Peter na Masumbuko , kutokana na muda huo kutokuwa na foleni kubwa , alitumia dakika arobaini na tano hivi kufika Mbezi Beach , alikuwa akipahafamu sehemu ambayo alikuwa akiishi Peter , alivuka barabara na kunyoosha juu kabisa mpaka nyumbani wanapoishi .
Masumbuko wala hakuwa na habari kwani muda huo alikuwa akiangalia muvi kama kawaida yake maana alikuwa akipenda sana TV.
Alisikia mlango unagongwa na akanyanyuka na kusogelea na kuchungulia kwanza ni nani anaye gonga na alivyo muona ni Sebastian kwanza aliogopa na kuanza kujishauri kufungua ama asifungue , lakini mlango ulizidi kugongwa ndipo alipo kata shauri na kufungua mlango .
“ Wewe fala nagonga hata haufungui , ulikuwa umelala nini?”
“Hamna nilikua najishauri nifungue au nisifungue “
“ Ulijua anaye gonga alikuwa mimi au? “
“ Ndio nilichungulia kabla ya kufungua”
“Sasa kwanini ulikuwa unajishauri kufungua , au ulikuwa unaogopa yale ya siku ile , yale yalipita na sina time nayo chukulia poa tu “
“ Unasema kweli ?”
“Ndio namaanisha , mimi siwezi kukosana na mwanaume mwenzangu kisa demu”
“ Asante sana , mimi hata siku ile sijui nilifikiria nini maana nilijikuta tu nimefanya vile “
“Vipi umefanya” Aliuliza huku akikaa kwenye sofa
“Si kukufanya uwe muhudumu”
“Hahaha... sema ulichonifanyia wewe boya ,ndio hivyo nimekusamehe maana Peter ni rafiki yangu na wewe pia umekuwa rafiki yangu kuanzia leo na kuendelea”
“Asante Sana”
“Peter yuko wapi?”
“Kasafiri “ Alijibu Masumbuko huku akikaa na yeye maana muda wote alikuwa amesimama . wakati huo Sebastian na yeye alikaa vizuri nakutoa simu yake akatachi akapangusa pangusa na kugusa ,ilikuwa simu janja ,kisha akamwangalia Masumbuko .
“ Masumbuko halafu unajua ile siku ulinishangaza sana hivi ulimla yule mwanamke ?”
“Ndio nilimpiga kitu safi mpaka akazimia nikaachana nae maana pale nilimpa kumbukumbu za masaa mawili”
“ Haha .. kwahio ni kama ulimpiga changa la macho na ukala kitumbua si ndio?”
“Yeah nilimbadilisha mawazo sijampiga changa la macho “
“Sasa kwani kuna utoafauti gani kati ya changa la macho na kumbadilisha mtu mawazo?”
“Mimi Sijui jibu wewe”
“Namaanisha si kama umembaka vile?”
“ Kwani kumbaka mtu inakuwaje kuwaje?”
“ Si kama kumfanya bila ya kujua anacho fanyiwa, hapo utakuwa umebaka mtu kwa sababu alikuwa hajui “
“Ndio nimembaka basi”
Basi Sebastian aliaga huku akimwambia Masumbuko kuwa amekuja kwa jili ya kuonana na Peter ila kwa sababu hakuwepo alisema atakuja siku nyingine .
Sebastian alifika geto kwake huku akitabasamu na kutoa simu yake na kuanza kuplay na hapo hapo ikaanza kusikika sauti ya Masumbuko .
”Ahahaha.. nimembaka basi , masumbuko wewe huna akili na utaenda jela bila ya kupenda fala wewe”Aliongea Sebastian huku akitoa ile memory kadi na kuweka kwenye kijiboksi hapo ndani . .
*****
Tajiri Samir alikuwa amedhamiria kwa silimia mia kuwa lazima afanye maamuzi mapema , kwani kila alipo fikiria kuwa Rania ashaanza kuwa na hisia na Peter alipata wasiwasi hali hio aliiona kama bomu linalotaka kulipuka na ni yeye tu ambae anaweza kulitengua .
Wakati akiwa ofisini kwake alitoa simu yake na kumpigia rafiki yake Hemedi na kumwambia kuwa jioni wakutane maeneo yao ya kukutania kwani ana jambo la kumwambia .
Basi baada yakufanya kazi na kumaliza tayari ilikuwa ni mida ya jioni ambayo alipanga kukutana na tajiri Hemedi katika hoteli ya Kilimanjaro kwani hapo ndipo makazi ya Hemedi akitaka kujivinjari na mwanamke yeyote yule .
Samiri alifika nakuegesha gari yake na kwakuwa aliambiwa na bwana Hemedi kuwa wakutane kwenye chumba alichokuwa anapendelea kuchukua hotelini hapo , basi Samir alipandisha juu kabisa mpaka kwenye chumba hicho.
Alifungua mlango na kuingia ,alimkuta Hemedi akiwa na mwanamke mmoja alie valia chupi tu , Hemedi baada ya kumuona rafiki yake alimruhusu yule mwanadada aondoke huku akimminya kalio .
Kitendo kile alikishuhudia Samir na kujikuta akipandwa na hasira hasa alipo fikiria kuwa huyo ndio mwanume ambaye anapaswa kumpa Rania kwa ajili ya kumuoa .
“ Niambie Samir , umefikiria juu ya ombi langu?” Aliongea huku akimimina pombe kwenye glass na kumpa Samir , huku Samir wakati huo alikuwa na hasira kila akifikiria vitendo vichafu vya Hemedi alijiona kabisa huyo hafai kabisa kumuoa mwanae.
“ Ndio nimefikiria”
“ Haya niambie baba mkwe”
“ Sikia Hemedi nimegundua wewe sio rafiki yangu umnafiki , unatumia nafasi ya matatizo yangu ili kumpata mwanangu , sasa mimi kama baba yake sipo tayari kwa hilo.”
“ Samir wewe ni rafiki yangu sana na tumesaidiana katika mengi na unanijua vizuri , kwani kuna shida gani ya mimi kumuoa mwanao?: na kwanza wewe unakuwa kwenye nafasi nzuri kwani Rania utampa mali zako na mimi sina shida na mali zake atazitunza na kumpa mwanae atakae mzaa na hakutakuwa na mgogoro wa mali zangu na watoto wangu wakubwa sasa hiko unacho kichukia ni kipi, mbona kuna watu wengi tu wazima wana oa mabinti “
“Sikia Hemedi wewe ni mnafiki sana na nia yako nishaijua wewe kwa kupenda kwako ngono najua unamtaka na mtoto wangu kwa ajili ya kumchezea , hivi na hio tabia yako kweli naweza nikakupa kweli mtoto wangu mimi si nina mchimbia kaburi mwenyewe “
“ Sikia Samir ni kweli unajua tabia yangu ila ni kuhakikishie kuwa nipo tayari kubadilika kwa ajili ya Rania kwasababu sijampenda Rania jana wala leo , ni muda mrefu sana na nilikuwa nikiogopa sana kukuambia hilo lisije lika leta athari kwenye urafiki wetu”
“ Kwa hio ulisubiri mpaka sasa ambapo nina matatizo ndio kuniambia kwakuwa unajua kabisa sitokuwa na jinsi?”
“ Sio hivyo rafiki yangu , ni kwamba sipo tayari kumuona Rania anampenda mtu mwingine na wakati mimi nipo hai , na isitoshe pia sitaki na familia yako kusambaratika na kuingia kwenye migogoro kisa mwanaume , tena mwanaume ambae hana mbele wala nyuma”
“ Hio sio sababu ya kutosha ya mimi kukupa mtoto wangu”
“Sababu kubwa ni hii hapa” Alivuta bahasha moja na kutoa picha na kuzimwaga mezani na hapo ndipo Samir aliona kama akili yake haifanyi kazi vizuri kwani aliona picha zikimuonesha Rania akibusiwa kwenye paji la uso na Peter”
“ Nadhani umeona sasa, hio nayo ni sababu kwani inanikasirisha sana kumuona mwanmke ninae mpenda akibusiwa hivyo na hio ni kwenye paji la uso kesho na kesho kutwa atabusiwa kwenye lipsi na kumpa kabisa kitumbua , nadhani kwa kiburi ambacho watoto wako wamerithi kutoka kwako sijui utamwambia nini akuelewe kuwa umemtafutia mchumba wa kumuoa”
Samir alijikuta akikaa chini na kunywa glass yote ya bia na kuisikilizia inavyo choma koo na kisha akatulia na kuanza kufikiria huku akiziangalia picha zilizo kuwepo hapo mezani , alipeleka mawazo yake kwa Rania na kufikiria ubishi wake na msimamo wake pale anapohitaji kitu , akamfikiria Nasma
ujeuri aliokuwa nao , akamfikiria Peter na yeye na kuanza kumpima sifa zake kama anafaa kuwa na mwanae hata mmoja aliona hafai.
“ Unajua Samiri wewe hata kuua mtu najua hauwezi , ila mimi nitakusadia kumpoteza kijana Peter kwajili ya kuwaokoa wanao “ Aliongea Hemedi na kumfanya Samir aliekuwa kwenye mawazo amwangalie na kujiuliza hitaji lake kuu ni nini , alijibu kuwa kujiambia kuwa hitaji lake kuu ni Peter kupotea katika uso wa Dunia ili kuiokoa familia yake.
“ Una uhakika juu ya hilo la kumpoteza Peter “
“ Ndio hilo naweza sana na lipo ndani ya uwezo wangu ,ni wewe tu kunipa baraka nimuoe mwanao na wewe utumie ubaba kumfosi mwanao nimuoe na mimi najua jinsi ya kumpata Rania kama ndio jambo ambalo lina kuumiza kichwa .
Samir alimwangalia rafiki yake huyo ambae dakika chache za nyuma alikuwa akimwamini sana katika kumwambia shida zake , kwake aliona mazungumzo hayo yalikuwa ni kama ya kibiashara.
“ Daah..! “ Aliongea Samiri na kukatishwa na simu ilokuwa ikitoa mlio wa sauti ikioonesha kuwa kuna mpigaji , alitoa na kuona ni namba ngeni .
“ Boss za siku nyingi!”
“ Salama nani mwenzangu?”
“ Ni mimi Krispine kutoka kampuni ya POPOTE TUNAFIKA , ulinipa kazi nifuatilie taarifa za yule mwanamke ,nimepata taarifa yake na mwanae”
“Uko wapi?”
“Nipo Ubungo”
“ Nakuja “
“Hili tutaongea siku nyingine Hemedi” Aliongea Samir na kisha kuondoka .
****
Tukiingia ndani ya mji wa Lushoto , alionekanna Mama Rania akiwa kwenye chumba chake ndani ya hoteli , baada ya kila mtu kuchukua chumba .
Chumba cha Peter kikiwa kipo mkabala na chumba cha Mama Rania , hoteli ilikuwa na mazingira ya kuvutia sana kwani chumba kilionekana kuwa kizuri mno .
Mama Rania alikuwa amekaa kwenye kitanda chake akionekana kuwa na mawazo , akiwa ameshikilia simu yake , ni kama alikuwa akisubiria mtu amtafute . na nikweli alikuwa akisubiria ujumbe ama simu kutoka kwa mume wake , kwani tokea alivyo ondoka jana yake nyumbani hakurejea kabisa , na mbaya Zaidi ni kwamba na yeye ameondoka bila ya kuonana nae , japo alikuwa akijua kuwa mume wake alikuwa akichepuka lakini hakuacha kumpenda mume wake na alitaka tu kujua hali ya mme wake kuwa anandeleaje .
Wakati akiwa kwenye mawazo akiwa amekaa kwenye sofa , jina la ‘My favourite Naa’ lilisomeka kwenye kioo cha simu yake janja ukiambatana na mlio wa sauti wa wimbo wa ‘Alan walker –Faded’, alikuwa ni mwanadada Nasma ,alitabasamu huku akiipokea na kuweka sikioni na kuanza kuongea na mwanae . alionekana kuna jambo la kufurahisha ambalo alikuwa akiongea na mwanae huyo maana hali yake ilibadilika na kuonekana kutabasamu .
Mama Rania alijikuta akitamani kupiga soga na Peter mara baada ya kumaliza kuongea na simu , kwani alikuwa amemzoea sana Peter na hususani akiwa kwenye hali ya mawazo mara nyingi mtu ambae amekuwa tabibu wake wa kumrudisha katika hali sawa alikua ni Peter , alinyanyuka kivivu na kuchukua kitenge chake na kujifunga huku akiwa amevalia kijisketi chake chepesi kwa ndani alitoka na kwenda mpaka kwenye chumba cha Peter , aligonga na kusubiria na baada ya muda Peter alifungua mlango hukua akiwa amevalia singlend na bukta lake .
“ Vipi naweza kuingia? “ Aliongea Mama Rania huku akimwangalia Peter usoni aliejifikiria kwa sekunde na kisha alimruhusu mama huyo na kuingia
“ Najihisi upweke kukaa mwenyewe nimeona nije unichangamshe
changamshe maana naona kama mawazo yananiandama”Aliongea Mama Rania
na Peter kwa akili yake ya haraka alijua kabisa mama huyo alikuwa akisumbuliwa na mawazo kwani kule njiani alikumbuka alimwambia kuwa hakulala kabisa usiku wa jana mpaka kunakucha .
“ Basi stori zilianza , na kama kawaida Peter kwakuwa alikuwa haishiwi na stori za uongo na kweli Mama Rania hali yake ya furaha hatimae ilikuwa imerudi kwa kiasi fulani , uzuri wa kile chumba ni kwamba kilikuwa na sehemu ya kukaa yaani kulikuwa na masofa(master suite room) ambayo yamepangwa na yalikuwa yakiruhusu watu kama watatu kukaa .
Baada ya kupiga stori kwa muda mrefu , huku hali ya hewa ya Lushoto ikizidi kuwapa kajiubaridi na kumfanya Mama Rania atoe ile khanga alio jifunga na kujifunika mabegani na wakati huo walikuwa wamehamia kwenye kungalia onyesho fulani la wanamuziki kutoka Marekani wakionyesha uwezo wa kwenye kuimba(Stage perfomance ) , sasa Peter alidhania mama Rania anapenda kile alichokuwa akiangalia kumbe mwenzake alikuwa ashalala muda na saa ilikuwa ikisoma saa nne usiku muda huo , Peter muda wote alikuwa akijua kuwa na mwenzake yupo makini kwenye kuangalia maana alikuwa akiona vijiaibu flani hivi vya kugeuka na kumwangalia Mama Rania usoni. Na hakujua kwa nini alikuwa na hali hio .
Baada ya dakika kadhaa alijikuta akigeuka na kumwangalia Mama Rania , hapo ndipo alipo gundua kumbe mwenzake ashapotelea usingizini muda mrefu huku akijiegamiza vibaya kwenye lile sofa ,Peter alimwangalia na kuona kweli boss wake kachoka , aliamua kunyanyuka lakini mara Mama Rania kwa jinsi alivyo kuwa ameegamia lile sofa alijikuta akielekea chini na Peter kwa uharaka wake alijikuta akichuchumaa na kumdaka na hapo Mama Rania ndipo alipo kuja kushituka akiwa kwenye kifua cha mwanaume na uso umekaribiana na wa Peter huku akihisi pumzi ya joto ya kijana , kwakuwa kijisketi alicho vaa kilikuwa kifupi kwani hizo ndio nguo zake , basi mapaja yote yalikuwa yamegusana na miguu ya Peter kwani alikuwa amevalia bukta .
Mama Rania alijikuta akihisi joto Fulani na pumzi ya Peter ilio kuwa ikimpumulia na kujikuta hisia za mapenzi zikimpanda na kwa upande wa Peter kama mwanaume rijali alikuwa akihisi joto la ajabu sana kutoka kwenye mwili wa Mama Rania na kujikuta dunguso yake kusimama wima na kugusa mapaja ya Mama Rania.
Mama Rania alijikuta akishusha mdomo wake taratibu kwa Peter , kisha lips zikagusana na kwakuwa Peter alikuwa mgeni alikuwa haelewi haelewi chakufanya alikuwa kama mtu aliepigwa shoto na kuhitaji kunasuliwa , Mama Rania alicharuka kwani hisia zilikuwa zimempanda kiasi kwamba kwa hali alio kuwa nayo shetani asingeweza kujizuia , na ukizingatia hajakutana na mwanaume kwa muda mrefu hali ilikuwa mbaya kwake alijisemea liwalo na liwe .
Mama Rania alimshika Peter mkono na kuushikisha kwenye mapaja yake karibu kabisa na kitumbua na kumfanya Peter ahisi msisimko wa ajabu sana na uliongezeka pale Mama Rania alipogusa dunguso ya Peter.
Peter alishindwa kabisa kujizuia kwani hisia zilikuwa zipo juu na ukizingatia kuwa hakuwahi kufanya kitendo hicho tokea azaliwe, basi kujikontrol ilikuwa ni ngumu sana kwa kijana kama Peter kwani alianza kabisa kutoa ushirikiano , Mama Rania alinyanyuka na kumuinua Peter huku wakipeana juisi ya mdomoni na mwanzoni Peter alikuwa hajui hatua ila muda ulivyo zidi kwenda alijikuta akianza kuwa fundi , Mama Rania alishusha nguo yake ya ndani pasipo kuvua ile sketi na kisha akatoa na sidiria na kijiblazia alichovaa, alichukua mkono wa Peter na kushikisha kwenye hazina yake na Peter alielewa somo na kutumbukiza kidole na kuanza kazi ya kusugua na kumfanya Mama Rania atoe miguno huku akijinyonga nyonga , Mama Rania aliona kama anacheleweshwa kwani wakati huo hata haikueleweka Peter alivua saa ngapi lile libukta ,wakati huo msumali ulikuwa dede na umetuna ,Mama Rania aliinama na kupandisha kile kijisketi juu kabisa na kumwachia Peter kazi na Peter mwenyewe hakuzubaa maana akili yake hapo ilikuwa haifanyi kazi vizuri , aliingiza mtwangio wake na kumfanya mama wa watu apanue mdomo na kukugugumia kwa utamu kama wote.
Baada ya nusu saa mbele Peter alionekana fahamu kumrudia huku Mama Rania akiwa hana nguo hata moja na Peter nae alivaa bukta lake haraka haraka na kuangalia pembeni kwani alianza kujutia kwa kile alichofnya , kwani aliona kabisa ashakwisha lala na mke wa mtu.
Kwa Mama Rania wala hakuwa hata na wasiwasi , tena tabasamu lilionekana likipamba uso wake , kwake kufika kileleni lilikuwa ni historia ya muda mrefu na histora hio ndio imejirudia siku hio akiwa na kijana mdogo Peter , alitambua wasiwasi aliokuwa nao Peter hivyo aliamua kumsogelea na kisha alimkumbatia huku akimwagia sifa kedekede .
Naam ! Liwalo na liwe .
****
Samiri aliendesha gari lake kwa haraka kubwa ili kuwahi sehemu ambayo amepanga kuonana na bwana Krispine ambae ni mfanya kazi wa kampuni ya kutafuta watu ijulikanayo kwa jina la “POPOTE TUNAFIKA” , alitumia muda wa saa limoja tu kutoka mjini Posta mpaka Ubungo Landmark Hotel , sehemu ambayo ndio alipo panga kukutana na bwana huyo .
“Za Siku Nyingi Boss” Alisalimia kijana mdogo kabisa alie valia suti yake safi kwa heshima kabisa , huku akiweka mkoba wake pembeni .
“ Salama kabisa namshukuru mwenyezi Mungu kwa kila hali”
“Nimechelewa kidogo kulikamilisha zoezi hili, kutokana na kwamba sikua na muongozo wowote katika kumtafuta ila nashukuru nimefanikiwa kumpata .
“Niambie anapatikana wapi?” Aliuliza Samir kwa shauku kubwa ya kutaka kujua sehemu ambayo anapatikana
“Kwa majina anaitwa Irene mshana ni mwenyeji wa mji wa Arusha sehemiu alipozaliwa:”Alipozi kidogo huku akifungua makaratasi yalio kuwa kwenye begi lake hilo .
“Alihamia jijini Dar kwa ajili ya kutafuta maisha baada ya mama yake kufariki kwa ugonjwa wa maralia , kuhusu taarifa za baba yake na ndugu kwa ujumla sijazipata .
Hapa jijini alikuwa akiishi maeneo ya Sinza mpaka alipo jifungua mtoto wa kiume ndipo alipo hama , na taarifa kwa sehemu alipo hamia hazijafahamika kwa undani Zaidi ,lakini nimefahamu kuwa alijifungua mtoto wa kiume lakini jambo la kusikitisha ni kwamba kwa utafutaji wa kampuni tumeweza kugundua kuwa mwanamama huyu alipoteza maisha yeye pamoja na mwanae.”
Samir alijikuta kwenye mshangao mkubwa sana na maumivu makali baada ya kusikia kuwa wote wawili walipoteza maisha hapo hapo .
“ Samir alijikuta akinyong`onyea baada ya taarifa hio kwani ilikuwa ni taarifa ambayo ilisikitisha mno mbali na mategemeo yake , hasa alipo sikia kuwa mwamke yule alijifungua mtoto wa kiume ambae anamtafuta usiku na mchana ili kuja kumrithisha mali zake kwani hakuwa na uhakika na maamuzi ya mali zake kuzirithisha kwa wanae wa kike .
“Ni hayo tu mheshimiwa na kama kuna jipya nitakalo libaini basi nitakuambia mapema iwezekenzvyo “ Aliongea bwana yule na kisha akapeana mkono na Samir na kisha kuondoka .
Alikaa chini na kujifikiria kwa muda huku akihuzunika kwa uzembe wake ,lakini mwishowe alikubaliana na hali halisi kwa kuona kwamba hayo yote yalikuwa mapenzi ya Allah.
Alijkuta akitoa simu yake na kumpigia tajiri Hemedi rafiki yake
“Una baraka zangu zote, nipo tayari kukupa mtoto wangu umuoe ila kwa masharti makuu mawili la kwanza ubadili tabia yako , kwani sipo tayri kumuona mwanangu akilia kwa kuumizwa na tabia yako ,na pili najua wewe ni mtu mwenye mtandao mkubwa sana kwa hio naomba umpoteze kijana Peter kwenye uso wa hii Tanzania maana sitaki kumuona akihusika na familia yangu “ Alisema maneno hayo Samir na kisha akaagiza chupa ya bia na kuanza kunywa hapo hapo hotelini na alipanga siku hio alewe chakari kutoa mawazo.
Wahenga wanasema”Majuto ni mjukuu” na “usiloijua ni kama usiku wa kiza kinene .






SEHEMU YA 21

Peter aliekuwa amegeuka upande wa dirishani alikuwa akiona hata aibu ya kumwangalia mama huyo , kwani kitendo walicho kifanya muda mfupi ulio pita kilikkuwa ni kitendo ambacho alikiona kama ushetani au dhambi kubwa sana japo hakuwa na dini , ila aliamini kuwepo kwa Mungu mhukumu wa watu wenye dhambi na yeye aliona kuwa amefanya dhambi kulaa na mke wa mtu, ilishangaza kwa yeye kujutia kwani moja ya malengo yake katika kisasi chake ni kutembea na familia nzima ya Samiri .
Peter aliitoa mikono ya Mama Rania na kisha kumgeukia na hapo ndipo alipo kosea kwani ile anageuka tu Mama Rania alikuwa tayari ashapeleka mdomo wake na kuanza kumyonya midomo , Peter aliannza kuleta ugumu lakini aliposhikwa dunguso yake na mikono milaini ya mama huyo alijikuta akinywea kama maji kwenye mtungi na kumuacha afanye kile anacho taka , mchezo uliendelea kwani walisogea mpaka kitandani na Peter kusukummwa kitandani na boss wake Shani au Mama Rania na kisha akamvua bukta na kutupa kwenye kona ,Mama huyu alishika kirungu na kuanza kuchezea jambo ambalo lilimfanya Peter awehuke kwani kitu anacho fanyiwa kilikuwa ni cha levo ya ktabu cha ‘Super Erotic Romance’ mama alikuwa akijua mambo kwani yeye alikuwa tayari ameolewa ukiachana na historia ya nyuma ya maisha yake kabla ya ndoa ,alijua mbinu jinsi ya kumpoteza mwanaume yeyote yule kwenye dunia ya mapenzi, Peter hakufurukuta kwani alikuwa kwenye sayari nyingine kabisa , sayari ambayo hakuna mtaalamu yoyote wa mambo ya anga amefanikiwa kuiona kwa Darubini .
“Liwalo na liwe” Aliongea Peter na kumshika Shani na kumgeuza hata Shani mwenyewe alishangaa kitendo hicho cha Peter kumgeuza kwanguvu kama mbogo . alimkunja kama kambale na kuingiza mtwagio wake maana ulikuwa mkubwa wa haja na kwakuwa Mama Rania katika kujifungua kwake kote ilikuwa ni kwa njia ya upasuaji basi eneo lake lilikuwa kama la binti mdogo .
Peter alimpelekea moto mama huyu Rwanda magere anaziiita Bakora za kimkakati , haikujulikana hata ujuzi alikuwa ameutolea (hivi vitu tunazaliwa navyo ni asili ) ,Mama Rania au ukipenda muite Shani alikunjwa na kukunjuliwa na kunyoooshwa na kupinduliwa , akafika kitonga akashuka akapanda tena akashuka akapanda tena na kushuka tena na kujikuta akiweka historia ya kuukwea na kuupanda mlima kitonga kwa mara kibao.
“Asante sana mpenzi , yaani hata siamini nikajua unajuwa kuchezesha vidole kwenye komputa tu kumbe hata kwenye mwili wa mtu uko vizuri ,umenifanyia kitu ambacho sitakaa chini na kuukosa uhondo huu “ Alijidekeza kabisa huku akitoa sifa zote kwa Peter huku akisahau kabisa mkononi ana pete ya ndoa .
Basi ukawa mwanzo na mwendelezo wa kupanda vilima na kushuka , siku tatu zote walizo kuwa katika jiji hilo la Lushoto kwaminajiri ya kufungua benki katika wilaya hilo uliambatana na ufunguzi wa mapenzi yao yasio na kibali mbele za Mwenyezi Mungu, walitembea kwenye vivutio vyote vya utalii vilivyopo ndani ya wilaya hio , huku kila siku wakirudi kupeana dudu , hata chumba alicho chukua Peter ilibidi akirudishe tu kwani alikuwa hakitumii tena, ilikuwa ni mwendo wa kupeana dudu tu , kiufupi sio Mama Rania sio Peter wote walinogewa , Peter alinogewa na vitu alivyo kuwa akipewa na mama huyo na Mama Rania na yeye alijikuta hata akimdharau mume wake kabisa na kuona sasa wako droo.
“Peter mpenzi wangu nakupenda sana , yaani natamani ungekuwa wewe ndio mume wangu “ Aliongea huyu kwa mapozi kabisa ukidhania ni binti wa miaka therathini au ishirini na hajawahi kuzaa kumbe ana mitoto tena mikubwa na mizuri kabisa ambayo ipo kwenye lika la kuolewa na kuwa na familia kama kijana Peter. .
“Nakupenda pia mpenzi , siku zote sikujua kumbe hii sehemu inanoga kiasi hiki” Huku akimshika na wakati huo walikuwa kwenye gari kuelekea hotelini wakitokea eneo moja linaitwa Mkuzi huko kwenye vivutio vya utalii , na mama Rania hakuwa hata na wasiwasi yaani alikuwa akijiona dunia nyingine kabisa na alitamani kabisa kutorudi nyumbni ,wakae tu huko hata mwezi mzima , na kwa Peter alikuwa amenogewa na yeye alitamani alekitumbua tu kwani utamu aliokuwa akihisi wakati akichovya kibuyu hicho cha asali haukuwa wakawaida laiti angejua kuwa mwanamke ambae ana mkunja kila siku na kumkunjua na kuonesha ubabe wake ni mwanamke alie husika na mauaji ya mama yake sijui angefanya nini na kwa Mama Rania na yeye laiti angejua kuwa mwanaume huyo alio kuwepo hapo ndio mtoto aliotoa maagizo kwa ajili ya kuuliwa na pia ni mtoto wa mume wake na kaka wa wanae sijui ingekuwaje .
“Vipi nikununulie ndizi naona zimeiva na zinavutia “ Aliongea Peter baada ya kufika eneo moja liitwalo Magamba .
“Ndio nunua “ Alijibu Mama Rania huku akijilaza kwenye kiti.
“Peter alitoa wallet yake kutoa hela kwa ajili ya kulipa , lakini ile anachomoa hela kulidondoka kitu kutoka kwenye waleti yake alinunua kwanza zile ndizi na kisha na kuziweka mbele na kisha aliinama na kuokota , alijikuta macho yakimtoka na hapo hapo akakumbuka siku ambayo Rania alimletea waleti yake .
****
Rania tokea Peter aondoke alijikuta kwenye wakati mgumu sana , kwani kila akikumbka tukiio la Peter kumbusu kwenye paji la uso mwili wote ulikuwa ukimsisimka , kila saa alikuwa akiangalia kidani cha holder ya funguo alicho pewa na Peter , huku akikumbuka maneno yake kuwa huo ni kama ushahidi wa wao kuwa marafiki, alijikuta akitabasamu usiku huo , huku akijiviringisha kwenye kitanda .
“Lakini yupo kimya sijui ujumbe wangu hakuupata?? “ Alijiongesha mwenyewe huku akionekana kabisa kuna ujumbe alimtumia Peter haikujulikana kamtumia kwa njia gani ila alionekan kabisa kuna ujumbe ambao alikuwa amemtumia Peter na alikuwa akisubiria majibu.
“Sis....” Ilisikika sauti ikiit na kumfnya Rania alie lala kugeuka na kuangalia mlangoni.
“Waoh!, Nasma.. karibu sana, leo umekuja kutusalimia jamani nimekumisije mdogo wangu” Kumbe alikuwa ni Nasma.
“Nimekumiss pia mrembo , leo nimekuja kabisa kulala na ndio maana unaniona usiku”
“That is great , karibu sana mdogo wangu yaani ungejua nilivyo kumiss wewe acha tu , sema majukumu ndio yananibana nimeshindwa kuja kukusalimia huko nyumbni kwako”
“Mewe muongo , ila nafurahi nimekuona , unazidi kuwa mzuri tu dada yangu”
“Ahahaha jamanii.. wakati wewe ndio mzuri katika familia yetu kuliko wote”
“Ahaha.. sio kweli wote tunalingana” Aliongea Nasma huku wakionekana kufurahia kuonana, kwani japo walikuwa wakiishi kwenye jiji moja lakini ni mara achache sana kwa wao kuonana ,Nasma yeye alikuwa kiishi sehemu yake , kutokana na kwamba yeye haelewani kabisa na baba,Nasma hakupenda ukoloni wa baba yake.
“Jamani chakula atayari , dada Najma anawasubiri”Aliongea mfanya kazi wa ndani akiwakaribisha kwenda kula achakula cha usiku.
“Najma mambo!” Alisalimia Nasma baada ya kumkuta pacha wake kwenye meza akiwasubiri maana ndio ulikuwa utaratibu lazima kuwasubiri watu wote wafike kwenye meza ndipo uanze kujipakulia na kama sio sheria hio Najma angekuwa ashajipakulia mapema mno..
“Safi nakuona karibu” Aliongea Najma kwa kujilazimisha .
“Hata mimi nakuona tokea miaka mingi tulipo achana tokea uende masomoni umebadilika na umezizi kuwa mzuri “
“Ndio ila najua si kushidi wewe” Aliongea najma huku akijipakulia chakula
“Halafu jamani baba siku hizi anachelwa “
“Nani anachelewa ?: , mimi hapa nimerudi “ Ilisikika sauti kutoka mlangoni na Samir alionekana akiingia huku amelewa chakali huku akiyumba yumba na kuwasogelea wanae .
“Watoto wangu warembooo.. naonaaa… leo mmekusanyika kunijadili .. mimi baba yenu , ..hiki kikao chenu tukipe jina gani vilee.. eti Nasma mtukutu ... aa... mimi nakiita kikao cha masimango”Aliongea Samir kilevi na kumfanya najma aamke na kumkalisha baba yake kwenye kiti .
“Dadii.. mbona uko hivi leo jamanii “.
“Nilikuwa nasherehekea”Aliongea
“Ulikuwa unasherehekea nini ?”
“Najma msaidieni baba aende chumbni kwake acha kumuuliza maswali”Aliongea Rania
“Nilikuwa nasherehekea kupatikana kwa mchumba wa Rania “Aliongea kilevi na kumfanya Rania ashituke na kumwangali baba yake huku Nasma na Najma wakimsadia baba yao apande ngazi kueekea juu chumbani
“Hii tabia ya baba kulewa kaanza lini Najma?”Aliuliza Nasma
“Mimi hata najua sasa , ila kaanza wiki ya tatu hii na leo kawahi “
Nasma ndio alikuwa kulwa na Najma alikuwa doto.
Basi walirudi na kuanza kupiga stori , huku Rania akiwahadithia kuwa yupo mbioni kupata mchumba jambo aambalo wadogo zake walishangaa huku wakitabasamu .
“Anaitwa nani huyo ?”
“Anaitwa Peter”Alijibu bila hata ya wasiwasi
“ Jamanii ..natamani kumuona , kwa hio mshaanza kuwa na mahusiano au ni mapenzi ya mtu mmoja “ Aliuliza Nasma
“ Bado ila naamini ana nipenda maana ashanipa zawadi na kasema yeye ni tofauti na wanaume waliopita , kasema hayuko tayari kuniacha”
“wow ! jamanii.., am so so happy for you sis..”Aliongea Nasma
“Na wewe Nasma vipi ?”
“ Yes , yes .. me too” Alijibu huku akijifumba uso kwa mikono na kumfanya Rania acheke na Najma kumwangalia huku akilazimisha tabasamu .
“Haha what ! ,So all of us we are in love , how if we arrange a day kukutanishana sisi wote na wapenzi wetu au mnaonaje? Aliongea Rania
“Kwa hio hata Najma ana mpezi tayari ?”
Hapo ndipo alipo haribu kwani Najma aliondoka bila ya kusema kitu na kukimbilia ndani kwake , alifika na kujikuta akianza kulia kilio cha kwikwi.
“Uko wapi , mbona sikuoni , mbon aunaufanya mtima wangu kuwa katika maumivu kwa kiasi hiki , nakupenda njoo unitoe kwenye haya haya mawingu ya sintofahamu” Aliongea Najma kwa hisia huku akitoa machozi laiti angejua mwanaume anae mlilia ni kaka yake angeacha mara moja, lakini ndo hivyo kosa si lake kupenda kosa linaanzia kwa baba kumtelekeza mwanamke huku ilihali akijua ni damu yake , sasa watoto wanakuja kumpenda mwanaume huyo huyo ,huku mama nae akinogewa na mwaname huyo huyo
“Wanaume wajibikeni na matendo yenu madhara yake yanakuja kuwa makubwa sana na ni kama haya yanayo onekana kwa familia hi ” Maneno ya mwandishi yanywe au yateme
“Halafu mbona na wewe umenuna ghafla “ Aliuliza Rania .
“Sijakutana na mpenzi wangu bado , kwani tumekutana mara moja tu na jina simjui” Aliongea Nasma nakumfanya na yeye kushangaa
“Mhmh! basi wewe na Najma mko sawa “
“Una maanisha nini dada ?”
“ Namaanisha na yeye amependa mwanaume ambae hamjui”
Nasma na yeye alishangaa huku akimuelewa pacha wake ni maumivu kiasi gani aliokuwa akipitia kwani alikuwa akijua ni jinsi gani inauma kumpenda mtu ambae bado haujamfahamu vizuri na huna namna ya kuonana huku ukisubiria bahati ya Mungu kuwakutanisha tena ..
****
Peter alijikuta akichukua ile picha na kuigeuza nyuma na kuona maneno yameandikwa , Mama Rania alikuwa akimuangalia hivyo aliamua kuweka ile picha kwenye waleti na kisha akaendela na safari .
walifika ndani na kisha waliagiza chakula na kuanza kula na kumaliza na kisha wakaanza kuangaliia movie huku wakiwa wamekaa kwenye pozi la kimahaba kabisa , hakuna hata mmoja alie kuwa na wasiwasi.
“Nikifika nataka kukununulia nyumba kubwa mpenzi”
“Unasema kweli?”
“Ndio natamani hata ya kuishi na wewe , ila nina mume nitakununulia nyumba na nitakuwa nakuja mara kwa mara kufurahia penzi letu”
“Asante mpenzi nakupenda sana”Huku wakianza kunyonyana na hata ile muvi ikaachwa kuangaliwa na kuanza kunyanduana na kijana huyu ambae kusudi la kwendca kufanya kazi kwenye benki anayosimamia mwanamama huyu ni kwa sabababu alitaka kulipiza kisasi kwa Samiri kwa kitendo cha kumdharau , na katka kisasi chake hicho alikuwa amedhamiria kulala na wanae wote ,lakini sasa anamkula mama mtu huku watoto wa mama huyu wakiliwazia penzi la Peter yaani kisasi kinajilipa chenyewe .
Kwa yaliokuwa yanafanywa na wawili hawa pamoja na historia zao ilikuwa ni jambo la kutisha kweli kweli ,Mama Rania hakumuona tena Peter kama mtoto , tena mtu ambae alikuwa anapaswa kutembea na mwanae Rania , alimuona kama mwanaume Tena mwanaume wa kukidhi haja zake zote .
Baada ya kumaliza kufanya waliokuwa wanafanya mambo ambayo \mnele za Mungu hayakuwa na kibali , Mama Rania alipotelea usingizini , na Peter alitumia wasaa huo kuangalia kile alichokuwa na hamu ya kuona muda wote
Ilikuwa ni picha ya mrembo Rania picha ambayo ilikuwa imekatwa kipande na kufanywa kama passport , huku ikimuonesha kimwana huyo kupendeza kweli kwa tabasamu lililopamba uso wake ,Aliangalia kwa sekunde kadhaa picha hio na kisha aliigeuza nyuma na kusoma vimaandishi vidogo vilivyoandikwa . “Najua ni kipindi kifupi nimekufahamu ila umekuwa na mchango mkubwa sana kwenye furaha yangu na umenitoa kwenye kiza kinene sana juu ya mtazamo wangu kuhusu wanaume nimegundua kuwa wewe ni mwanaume wa kipekee sana , na mwanume ambae ninaweza kuishi nae , nimetokea kukupenda sana Peter nipo tayari kuwa mpenzi wako naomba unikubalie na usinione mimi kama maaya ni hisia zangu juu yako nitasubiri jibu lako ni mimi rania nakupenda sana peter naomba unifikire na unipe jibu linalotoka ndani ya moyo wako sitaki kuumia tena”

Peter alijikuta jasho likimtoka huku akiwa haamini kwa kile anacho kisoma , kwa upande wake ilikuwa ni jambo ambalo angeshangilia kwani ni kitu alicho kuwa akikitaka kwa mrembo huyo kutoa bikra tu na kuondoka zake kwani aaatakuwa kashalipa kisasi , ila maneno yale yalimfanya apatwe kutokana na kwamba japo maandihi yale yalikuwa machache lakini aligundua kuwa yalikuwa yamebeba hisiaa nzito mno .
















SEHEMU YA 22
“Nadhani ni wakati wa kutafuta mrithi wangu sasa nishachoka kuongoza kampuni nataka nibakie kwenye bodi tu ya kampuni” Aliongea Profesa Gladness.
“Sasa profesa utamwachia nani kampuni , wakati hakuna mtu ambae anafikia hata nusu yako”
“Mary ukiona natamka haya maneno jua nishapata mtu wa kukalia kiti changu”
“Ni yule mtu anae husishwa na viumbe kutoka sayari nyingine au kuna mwingine?”
“Kuhusu hilo nitaliweka wazi hivi karibuni haina haja ya kuwahi kuwaambia” Aliongea profesa Gladness bila ya kumtajia jina Mary kwani alikuwa ni shushu na hapo alikuwa yupo kiuchunguzi Zaidi kwa kile kilicho kuwa kinaendelea .Na uzuri wa profesa Gladness hakuwa akimuani mtu , na hio ndio slogani yake..
“Boss kuna wageni wako wamekuja kukutembelea “ Aliongea Mary na kumruhusu awaingize.
“ Haa…!! Mom .., dadii” Aliongea Gladness na kuwakumbatia wazazi wake ambao alikuwa ni Rafaeli na Nifani
“Mmerudi lini nchini ?”
“Ndio tumeingia leo hii nchini ,tumepitia KIA”
Gladness alifurahi sana kukutana na familia yake hio , kwani ni kipindi kirefu kidogo tokea wasafiri , kwani walikuwa wakila bata tu , na kutembelea nchi mbali mbali .
Basi familia hio walitoka na kwenda nyumbani kwa gladness sehemu ilo kuwa ikijulikana kama kijiji cha maroboti au Village G.
“UNAITWA RAFAELI MSWAKI UNAMIAKA 65 ,UFANYAJI KAZI WA TEZI YA MAFUTA MWILINI IMEPUNGUA KUFIKIA NUSU YA UZALISHAJI WAKE , PRESHA YAKO NI 137/88mmhg …, NGOZI ISHAANZA KUKUNJAMANA , UWEZO WA KUFANYA MAPENZI UMEPUNGUA KUFIKIA ROBO TATU,KWA MAKADIRIO UMEBAKISHA MIAKA SI CHINI YA KUMI KAMILI UTAKUWA USHAKUFA”
Ni baada ya kuingia tu ndani ya nyumba ya profesa Gladness na roboti lifahamikalo kwa jina la Nimrod lilimscan(skani) Rafeali na kutoa hayo maneno.
“ Nimrod tulia “ Aliongea Gladness na roboti hilo likiondoka zake huku lishaharibu hali ya hewa kwa kiherehera cha kumchunguza kila mgeni anaeingia nyumbani kwa Profesa Gladness.
“Daaa! Wewe mtoto maroboti yako yashaanza kunipa stress” Aliongea Rafeli kwani alikuwa hajui kuwa kabakisha miaka kumi mpaka kufariki kutokana na maneno na uchunguzi wa Nimrodi.
“Hapanna baba kuna muda mwingine yanakosea” Alijitetea gladness huku akimwangalia Rafaeli ambae alionekana kweli ashaanza kuwa mzee kibabu .
“Umesikia mke wangu huko ,nimebakisha miaka kumi tu kufa “
“Mume wangu bwana hayo ni maroboti “
“Kama ni maroboti basi ngja niliiite likuchunguze na wewe na wewe”
“ Hapana .. hapana .. mimi sitaki kujua nitakufa lini”
“Ahaha .. wewe si umesema hayo ni maroboti .. mbona unaogopa sasa”
“Ahahaha..mume wangu wewe anza kukaa na watoto wako vizuri na tumia muda mwingi kuwa nao “
“Ila limenidhalilisha lilivyo sema , siiwezi kazi ya chumbani vizuri .. hii dunia inavyo endelea hivi hatutaweza tunza siri kweli”
“Hahaha .. mume wangu ushakuwa babu tayari bhana “
“Na wewe si bibi kizee”
Hao walikuwa ni Rafeli na Nifani wakiwa nyumbani kwa mtoto wao mkubwa Gladness.
*****
Masumbuko kama kawaida yake alikuwa kapiga zake nne hana habari huku pembeni akiwa na vijifuko vya Ice cream akiwa anakula na kilicho kuwa kikiangaliwa kwenye TV kilikuwa ni filamu za ngono , maana kila siku kwake alikuwa akiangalia kwa dozi
Alikuwa haamini kama kweli hana nguvu za kiume
“Aaa…. Masumbuko vipi tena na hizo video “ Aliongea Peter huku akionekana kushika kijibegi na muda huo alikuwa akionekana kabisa kuwa alikuwa akitoka safarini na ndio anarudi.
“ Zinanitia mzuka na mori mori” Aliongea masumbuko na kumfanya Peter atabasamu .
“Wewe si uneenda tu hapo nje na kumpa mwanamke kumbukumbu ,unamleta humu ndani unafanya yako , kama siku ile “
“Una maanisha kama kubaka vile , si ndio “
“ Nani kakwambia kubaka , pale haulazimishi mtu bhana “
“Yule mshikaji alikuja na akaniambia kuwa kitendo kile ni kubaka “
“Mshikaji gani huyo ambae una mzungumzia ?”
“ Yule wa siku ile , Sebastiani yule”
“ Kwa hio alikuaja hapa nyumbni na ukamfungulia?”
“Ndio alikuwa anagonga mlango kwa nguvu , ndio nikamchungulia na nilivyo muona ni yeye nikajiuliza nifungue au nisifungue ila ndio nikajikuta nishafungua mlango”
“Na alisemaje sasa?”
“Hana tu ndio alinisifia tu kuwa yule mwanamke nilimpa dozi kali ya kumbaka”
Peter ilibidi amuangalie tu Masumbuko na kisha kutabasamu maana aliona kichwa cha ndugu yake huyo wa hiari kilikuwa signal zinasoma na kupotea .
Basi Peter baada ya kuweka vitu vyake vizuri alikaa sebleni huku akionekana kuna jambo linamsumbua kwani aliionekana al kiwa kwenye mawazo , huku masumbuko yeye akiwa hana hata habari .
“Peter haya magorofa marefu ushawahi kuingia?”
“Aliuliza Masumbuko na kumshtua Peter alie kuwa kwenye mawazo .
“ Sikia Masumbuko , utaniuliza baadae sasa hihvi ngoja kuna sehemu naenda maramoja “ aliongea Peter na hapo hapo akatoka hadi nje na hakuchukua gari Zaidi ya kuchukua ufunguo wa honda yake .
“Ngoja na mimi nikazunguke zunguke huko mjini “ Aliongea Masumbuko huku akivaa nguo nyingine na kuchukua buku na kutoka . alitembea mpaka barabarani na kupanda daladala inayoelekea tegeta nyuki kwenda kariakoo “
“ Unaenda wapi?”
“Gari linapo simama “ Alijibu na kuingia ,muonekano wa masumbuko ulikuwa umebadilika kwa kiasi kikubwa kwani alianza kunenepa sio kama alivyo anza kuja, kwani alikuwa akionekana amekauka ngozi ,sasa alikuwa amejaa na kifua utadhaniaa alikuwa anapiga chuma bau kwenda gym
****
MAREKANI (USA)
Katika jiji la Calforinia Alionekana profesa Snart akiwa na mwanaume mmoja hivi mwenye muonekano kama wa kiarabu ndani ya hoteli ijulikanao kwa jina la The Royal iliopo katikati kabisa ya jiji hilo .
“Paco , lete habari za misituu ya amazon .“
“ Mkuu kwanza nafurahi sana kwa kunipa ofa ya kutembelea jiji hili , unajua kutokana na kazi yangu nakuaga sina hata muda wa kufika huku ,kwani hata hali yake ya hewa sio nzuri kama ya kule msituni “
“ Yeah paco upo ndani ya jiji lenye makazi ya watu wengi na shughuli nyingi lazima hali ya hewa iwe tofauti na ya msituni “
“ Yea ni kweli “
“Uliniambia una taarifa muhimu kuhusu Queen ya kuniambia?”
“ Ndio kwanza yuko wapi kwa sasa nataka kumuona kabla sijakueleza taarifa yenyewe “
“Paco , Paco , Queen wa sasa ni mtu maarufu sana na hata nikiuonesha saivi sijui kama utamtambua kama ulivyo kuwa unamuona kule msituni , sasa hivi ni Zaidi ya mrembo “
“ Una maanisha nini kusema hivyo?”
“ Sikia Queen ile ni siraha yangu , yule ni Zaidi ya bomu la nyuklia , kwanza ana akili , hana utu kabisa na pili hajui chochote kuhusu Mungu , na harufu inayo mfurahisha ni kuona damu ya mtu inamwagika muda wote , na pia hana hisia za mapenzi kabisa kama unavyofikiria ni kwamba hawezi kupenda mwanaume yeyote yule , kwani yule muundo wake sio kama wa binadamu wa kawaida , yule nimemtengeneza na nilipata hasara kubwa kwa ajili yake lakinni mpango wangu ulifeli”
“ Una maanisha nini ukisema umemtengeneza Sbart?”
“ Yule hajazaliwa kama wewe ulivyo zaliwa na wazazi wako na pia una ndugu, Queen yule hana ndugu wala wazazi , na kwangu Queen ni kama kifaa changu cha kazi , kwani ninapo agiza kinafanya , sasa nadhani hakuna haja ya kumfatilia sana Queen maana kazi yako ulishamaliza ya kumfundisha Queen , sasa wewe niambie hilo jambo ambalo unataka kuniambia “
“ Ni Kwamba Queen kunamuda nilikuwa kama simuelewi, ni kama anajua kumsoma mtu kila anacho kifikiria akimwangalia tu kwenye macho , kwani wakati nikichukua mazoezi nae alikuwa akinipiga mapigo ambayo hata siyaelewi ,kila pigo nililokuwa nikifikiria kumpiga nalo , ni kama tayarri alikuwa ashajua kile ninacho kifikiria na anakuwa tayari ashajua udhaifu wa pigo langu na anakuwa ananichakaza na kipigo kibaya sana”
“Una maanisha nini kusema hivyo bwana Paco?” Aliongea Snart kwani taarifa hio ilikuwa ni mpya kwake .
“ Mkuu Queen ni hatari sana , kwani ana uwezo ambao sio wa kawaida kama binadamu”
Aliongea bwana Paco ambae ndie alikuwa ni master(mkufunzi wa kimapigano) wa Queen wakati alivyo kuwa nchini brazili kwenye msitu wa amazon , ndie alie kuwa akimfundisha Queen kuua , kwani walikuwa wakienda na kukamata watu na kuwanyonga na kuwachinja bila hata huruma ,nakuwaua wanyama wakali sana kama Anaconda joka anae patikana kwenye msitu huo , Chui na Simba na mafunzo hayo Queen aliyaweza kwa muda mfupi tu.
“Nadhani misheni yangu haikufeli(it was not a failed mission) , Queen atakuwa anaficha uwezo wake inanibidi kufanya utafiti upya. “ Aliongea huku akivaa koti lake la kuingilia maabara yake ndani ya kasri lake ndani ya hapo Calfornia alikuwa akiwaza maneno alioongea Paco mara baada ya kukutana nae hotelini . .
****
Masumbuko alikuja kushushwa na gari katika kituo kimoja kilicho kuwa kina fahamika kama muhimbili na hio ni baada ya kuvutiwa na majengo yalio kuwepo katika eneo hilo ,ndio maana alimwambia konda kuwa keshafika anataka kushushwa.
Alianza kutembea huku akishangaa majengo hayo na muda huo ulikuwa ni saa kumi inaenda kama na robo hivi , alinyooshana kinjia flani kinapandisha kwenda juu kwani kulikuwa na kijimlima na kutokezea kwenye barabara mbele huko kwenye mtaa mmoja ujulikanao kwa jina la mindu, alinyoosha na bara bara hiio na kuja kufika sehemu moja kwa mbele yake kulikuwa kukinekana mwendokasi inazunguka na kuna kibao kikubwa kilicho andikwa ‘HOSPITALI YA MUHIMBILI’.
“Mama hivi ni vidude gani?” Aliongea Masumbuko baada ya kufika kwa mama mmoja alie kuwa akiuza koni , sasa Masumbuko aliona vile vya kuwekea koni ndivyo alivyo kuwa akiulizia.
“Ni koni hizi ni miatano tu moja “
“ Hii inatosha alitoa Masumbuko mia nne na kumuonesha yule mama , na hi ni hela alio rudishiwa chenchi kwenye ile buku (elfu moja)ya nauli maana gharama za usafiri ilikuwa ni mia sita na hapo alitoa yote na mama yule ampatia .
“ Kumbe tamu hivi nitakuwa nakutembelea mara kwa mara “
“ Sawa lakini siku nyingine nitakuuzia kwa miatano “
“ Sawa “
Aliongea huku akitemeba huku na huko akishangaa shangaa mpaka inatimia saa kumi na moja na nusu alijikuta amezunguka amezunguka na kurudi pale pale muhimbili , Alipanda gari bila ya kujiuliza ana nauli ,gari alio panda ilikuwa inaenda Masaki na ilikuwa imejaza kweli na Masumbuko aliwekwa mwisho kabisa ya gari kiasi kwamba kwa jiinsi watu walivyo kuwa wamejaa hata konda ingekuwa ni vigumu kwake kupita na kuomba nauli.
“ Hivi ule mtaa tunao kaa unaitwaje?”Alikuwa akijiuliza kwenye gari huku linaondoka maana hakujua ile sehemu jina.
“Ila nitapaona tu halafu nitashuka”
Sasa konda kwakuwa nafasi ilikuwa imebana sana , alikuwakichukua nauli kila unapo shuka.
“Macho ,Macho hio , kuna anaeshuka ?”Aliongea konda na hapo hapo Masumbuko akaropoka kwa sauti nimefika mpaka watu wakamwangalia.
“Njoo sasa umekaa huko nyuma halafu unajua unashukia hapa karibu”
Aliongea konda baada ya gari kusimama huku Masumbuko aliependeza akishuka , kwa jinsi alivyo kuwa amependeza usingedhania kuwa wakati huo hakuwa na kitu chochote mfukoni hata nauli .
“Toa hela , unapoteza muda bwana , unashangaa nini?” Masumbuko alimwangalia yule konda huku akiwaza afanye kama kawaida yake maana alijua nauli hana .
“Usijali nitamlipia” ilisikika sauti moja nyororo na kufanya hata wale walio kuwa kwenye daladala wamwangalie anaeongea , lakini ni kwamba tayari alikuwa ashachelewa maana Masimbuko ashachezesha jicho tayari na kumpachika masaa mawili ya kumbukumbu.
“Aaa.. aa hapana . ashalipa tayari mremboo hata usisumbuke ” Aliongea konda huku akigwaya gwaya na kufanya abiria waanze kucheka na hata dereva mwenyewe alijikuta akicheka na hapo ndipo ikawa gumzo kwenye daladala maana wengi walijua konda alichanganyikiwa na yule mrembo na ndio maana alikubali Masumbuko kashalipa, wengi walimhurumia pasina kujua uwezo Masumbuko. .
“Sema ni haki yake aisee , unajua yule mwanake ni mrembo sijapata ona .. na kwa ile sauti konda ni haki yake kuchanganyikiwa , ila kanifurahisha sana leo
.. hakuna mwanaume mjanja mbele ya utamu “ Aliongea jamaa mmoja lio kuwa amevaa kanzu kasimama kwenye daladala hio alikuwa na rafudhi ya kipemba .
“Nyie mnaongea nini nyie , mimi siwezi kuchanganywa na mwanamke, yule chalii kalipa kabisa nina uhakika.” Aliongea konda na hapo ndipo vicheko vilivyo zidi kabisaa
“Aisee nilikuwa na stress ila zishaisha daah .. aisee” Aliongea jamaa mmoja nae alieshikilia mfuko mdogo hivi uliokuwa na samaki akionekana kufurahishwa sana na hilo tukio.
****
Peter alisimamisha honda yake kwenye nyumba moja maeneo ya makongo juu na kisha akabonyeza kengele na hapo mlinzi alifungua
“Bwana Peter karibu sanaaa..” Aliongea mlinzi alionekana kumfahamu Peter
“Nimemkuta Steve?”
“Ndio yupo hajatoka leo “
Basi Peter alienda moja kwa moja mpaka ndani ya nyumba hio ilikuwa nzuri sana kwa jinsi ilivyojengwa.
“Mwanagu huyo , nona leo umekuja kutusalimia?”
“Ndio mama shikamoo “
Huku wakisalimiana kwa furaha na huyo mama aliononekana kuwa mkarimu kweli , alikuwa mnene kiasi mfupi alievalia dera lililoacha mabega wazi.
“Nimemfata Steve “ Aliongea Peter na kuambiwa kuwa yupo chumbni kwake aende tu.
“ Mzee mwenyewe naona usharudi karibu”
“Yeah mzee , nimerudi, nina mawazo nikona nije kabisa nisikusumbue kwa kukuita magetoni”
“Mawazo gani tena mzee si umetoka safarini?”


“Mambo ya kisasi mzee, naona kama kigumu vile kutekelezeka , unajua nilikuwa nachukulia simple sana ila sasa na uona ugumu wake”
“Ugumu gani sasa wewe si ulikuwa wajisifia kuwa unaswaga nyingi kibao , tantalila nyingii sasa umepigwa kibuti ndio unaona ugumu “
“Si hivyo ndugu yangu , simaanishi hvyo yaani bora hata ningepigwa hiko kibuti , lakini sasa hivi nishamla mke wa Samir tayari na mtoto wake kanambia ananipenda na anasubiria jjibu langu”
“ Unasema ushakula kitumbua cha lile limama tayari na lile lishepu “ Aliongea Steve kama haamini vile kwani aliona kama masihala vile , kwa maneno alio kuwa akizungumza . na wakati wanaongea ndio hapo , simu ya Peter ilitoa mlio kuwa ilikuwa inaita .
“ Oya huyu hapa anapiga kama huamini ngoja niweke loud speaker” Aliongea huku akipokea na kuweka loudspeaker .




SEHEMU YA 23

Peter aliweka simu ile kwenye loudspeaker baada tu ya kupokea na kuanza kuongea na Mama Rania.
“Vipi mpenzi mbona unachelewa kupokea simu?” Ilisikika sauti iliokuwa ikilalama na kumfanya Steve kutoa jicho kama kabanwa na mlango kwani hakuamini kabisa kile anacho kisikia , na sio kama jambo hilo ni geni kwake kuona kijana kufanywa kiben ten , lakini hadhi na heshima alio kuwa nayo mama huyo ni vitu ambavyo kwake aliona kama ajabu vile.
“Nilikuwa nipo chumbani simu niliacha living room (sebuleni) “ Aliongea uongo Peter.
“ Jamani mpenzi unajua nilivyo kumiss , natamani sana tukutane hata twende mzunguko mmoja “ Aliongea Mama Rania .
Laiti angejua kuwa amewekewa loudspeaker asingeongea hilo neno , Peter hakutaka Steve aendelee kusikiliza , alitoa loudspeaker na kulala kabisa kitandani na kuanza kuongea huku Steve yeye alikuwa amesimama kama mnara akimwangalia rafiki yake , na kuna kitu alikuwa ashakigundua kwa Peter alikuwa ameona dalili zote za rafiki yake kuonogewa , alikuwa mzoefu wa hayo mambo .
“Daah..! unajua ni hatari hio rafiki yangu”
“ Naelewa , ila Steve yaani kila nikiongea na huyu mwanamke dudu inasoma channeli hapo hapo na mawazo yangu yanabadilika”.
“Fanaleki ushanogewa wewe , na hivyo ni mwanamke wako wa kwanza kazi unayo , mimi naogopa tu mume wake akijua sijui atakufanyaje, naogopa sana ukiingia kwenye matatizo”
“Steve ndio maana nipo hapa unipe ushauri wewe ni rafiki yangu naamini utanipa ushauri mzuri”
“Sasa wewe unataka mimi ni kwambie nini na wakati wewe mwenyewe ulisema unaenda kwenye ile benki kwa ajili ya kisasi ,lakini saivi unaonekana umenogewa tayari , mimi nakushauri uache kabisa hio misheni yako , lakini kuhusu huyo Rania na mama yake , kaa chini fikiria , jiulize maamuzi utakayo fikiria na kuamua yatakuwa na madhara gani ukishalijua hilo basi mimi sitoingilia maamuzi yako ,lakini nakupa hint tu , kwamba unacho kifanya sio kizuri na ni hatari sana ,mke wa mtu sumu ndugu yangu”
“Poa mzee mimi nitafikiria cha kufanya , ila asante sana kwa maneno yako , ngoja nirudi home ni muwahi Masumbuko” Aliaga na Steve alimsindikiza mwenzie.
****
Nasma baada ya kukaa siku kama nne nyumbni kwao , hatimae aliamua kuondoka na kurejea sehemu alio kuwa akiishi , japo ya Rania kumbembeleza sana kuhusu kubaki kwani ana ichangamsha familia , lakini hakukubali na mama yake pia alijaribu kumshawishi lakini alisimamia msimamo wake .
Alipanda kwenye gari yake na siku hio alikuwa akiendesha yeye mwenyewe pasipo ya kuwa na Lucy mfanyakazi wake , aliendesha gari lake mpaka kufikia maeneo ya Macho , sasa wakati yuko kakodoa macho barabarani kionyesha umakini katika barabara hio ndipo daladala ilio kuwa ikija upande wake ilisimama mita chache mbele yake , hapo ndipo mapigo yake ya moyo na mshangao kwa ujumla vikamtawala, kwani mwanaume alie kuwa akimuota usiku na mchana alimuona kabisa mbele yake , kwanza aliona kama kamfananisha lakini kadri alivyo sogelea gari lile ndipo alipo kuja kugundua kuwa ni yeye.
Alipita daladala ile na kisha kasimamisha kwa mbele na kutoka haraka haraka huku akiwa kabisa amesahau kufunga hata mlango na kukimbilia sehemu ile , ndipo alipogundua kuwa mwanaume yule hana nauli na alikimbia na kisha kumwambia konda kuwa atamlipia , lakini kilichomshangaza kwa mara ya pili kwani mara ya kwanza jambo kama hilo lilikuwa likitokea tena ,pale konda alipomuambia kuwa ashalipa na wakati kwa masikio yake kabisa alisikia konda huo akimdai Masumbuko nauli , lakini kutokana na hamu yake kubwa ilikuwa ni kumuona Masumbuko aliachana na hilo swala na kisha kumsalimia .
“Mambo!” Alisalimia kwa shauku kubwa Nasma huku akimwangalia Masumbuko ambae wala hakuwa hata na time nae kwani alikuwa bado akishangaa hayo maeneo kana kwamba ataiona nyumba wanayoishi .
“Hivi sista naomba nikuulize , hivi unajua eneo ambalo lina magorofa magorofa machache halafu .. halafuu.. enhee .. kuna shule halafu na barabara .. halafu..nini tenaa.. kwa mbele kabisa kuna kanisa kubwa .. unaijua hio sehemu?”
Aliongea Masumbuko huku akionekana kabisa yuko seriasi na swali lake na kwa Nasma alikuwa akishangaa maana swali lenyewe hajalielewa .
.“Mambo kwanza” Aliendelea kusalimia Nasma kwani kwanza alikuwa ana aibu na hata hapo alikuwa hajui afanye , kwani ni kweli alikuwa akihitaji kuonana na Masumbuko lakini hakuwahi kufikiria siku akionana nae ataanza anza vipi kuongea nae na ndio maana aliendelea kusalimia lakini kwa masumbuko wala hakuwa na habari kichwa chake wakati huo kiliwaza nyumbani tu.
“Ila hapa sio penyewe hapa , sijui patakuwa ni upande gani ule . halafu .. , dada mbona haunijibu sasa “
“Sijakuelewa “
“ Ni kweli huwezi kuelewa maana nina maswali magumu” Huku akiondoka na kumfanya Nasma amwangalie Masumbuko akichapa raba hana hata habari kuwa mtu alie mfuata alikuwa akikesha usiku na mchana kumtafuta na kumuwazia alijikuta chozi likimdondoka bila hata ya kujua .. sasa wakati ameduaa akimwangalia Masumbuko ndipo alipo kuja kama kuzinduka na kuita
“Kaka , nisubiri” Masumbukoo alisimama na kumwangalia Nasma anae mkimbila .. na kwa jinsi alivyokuwa akimkimbilia kwa mapozi na uzuri wake na jinsi Masumbuko alivyo kuwa akumwangalia ilikuwa ina pendeza kama vile ni filamu za kihindi.
“Nimepajua hio sehemu ulio kuwa unasema”
“ Kweli … kuna kanisa .. kuna shule kwa nyuma na barabara katikati … si ndio ni hapo”
“Ndio “
Jibu hilo lilimfanya Masumbuko aachie tabasamu na kuufanya uhendsome wake uonekane na kumfanya Nasma amwangalie kama anamshangaa ..
“Twende kwenye gari .. nikupeleke “ Masumbuko hakuleta shida kwani hi ndio jambo ambalo lilikuwa likimpa shida kwa wakati huo na hivyo alimchukulia Nasma kama mtu ambae anaweza kumpatia msaada .
Basi aliingia kwenye gari na safari ikaanza na kwa Nasma kwakuwa alikuwa ana kichwa chepesi sana kuelewa ni kwamba aligundua kuwa Masumbuko yuko , kwenye hali ya wasiwasi na ndio maana hakuwa akimpa ushirikiano .
“Kwa hio kaka ulikuwa umepotea?”
“ Ndio mimi ni mgeni na haya maeneo “ Aliongea Masumbuko huku akiangalia nje ya gari na muda huo kajigiza kalikuwa kashaanza kuingia , na kuna wakati Nasma alikuwa akimwangalia Masumbuko kwenye kioo .. aliishia kutabasamu tu na alionekana moyo wake kuwa na Amani na furaha sana . Kwani aliamini mwanaume alie kuwa akimtafuta hatimae amempata .
“Hapo hapo nimepaona simamisha gari “ Aliongea Msumbuko kwa sauti na kumfanya Nasama asimamishe gari na masumbuko kuomba kufunguliwa mlango , na Nasma alipo mfungulia tu tayari alikuwa ameshatoka tayari kwenye gari .
“ Dada asante sana .. nimepafahamu ni hapa kabisa “ Aliongea Msumbuko na kwa wakati huo walikuwa washafika eneo la Mbezi Beach ilikuwa ni bahati kwa masumbuko kwani isingekuwa Nasma kuishi hayo maeneo asingeweza kurudi nyumbani. .
Masumbuko alindoka huku akisubiria kuvuka barabara na kumfanya Nasma na yeye kutoka kwenye gari na kumfuata Masumbuko kwa nyuma hakutaka kumpoteza tena , lakini kilichomshangaza Nasma ni kwamba nyumba alio ingia Masumbuko ni nyumba ya pili na ya kwake ilipo.
“Yaani kumbe huyu mkaka kumtafuta kote kule kumbe ni jirani yangu “ Aliongea Nasma huku akijikuta akitabasamu tu nakuona kuwa mageti muda mwingine yanakuwa hayasaidii maana yanafanya usijuane na majirani, alikaa kama dakika kama tano akiangalia nyumba hio ilioenda hewani kwa gorofa nne na kisha akatoka akafara gari yake na kwenda hapo mpaka kwenye nyumba yake na kuingia na kisha akampa mlinzi ufunguo akimwambia akachukue gari ameliacha kituoni , mlinzi alishangaa ila alichukua ufunguo kwani hakuruhusiwa kuuliza swali .
***
“Ulikuwa umeenda wapi umenifanya niwe kwenye wakti mgumu kiasi hicho “ Aliongea Peter huku akionekana kuwa na wasiwasi sana .
“ Nilienda kula bata kidogo ndio nimerudi “
“Nikajua umepotea huko njiani . inabidi kesho nikakununulie simu “
“Mimi siwezi kupotea ni mgeni lakini nayajua maeneo vizuri”Aliongea Masumbuko na kumfanya Peter atabasamu na alichogundua alijua kuwa Masumbuko alikuwa akipenda sana kujisifia .
“ Haya lakini usitoke toke tu utapotea au kugongwa na gari huko ndugu yangu , unafikiri nitaishije “
Aliongea na kuachana na Masumbuko kwani alijua pia ni mtu mzima hatakiwa kumlinda ila anatakiwa kumuonyesha mazingira na kumtembeza tembeza ili asipotee.
*****
Siku ilio fuata Peter hakwenda kazini na alibaki nyumbni kwani alikuwa amepewa siku mbili za kubaki nyumbani , kwenye muda wa saa kumi na moja ndio muda ambao Peter alipigiwa simu na Mama Rania kuwa wakutane barabarani kwenye kanisa la KKKT usharika wa Mbezi Beach .
Peter alivaa vizuri na kisha akatoka zake baada ya kumuaga Masumbuko ambae alikuwa akichezea simu ambayo amenunnuliwa asubuhi hio
“Peter aliingia kwenye gari yake , maana Mama Rania alimwambia kuwa aje na gari yake , baada ya kufika tu kweli alimuona Mama Rania aliekuwa amevalia gauni flani lenye mikanda huku akiwa ameshikilia pochi kubwa na alikuwa amependeza kweli ,kwa jjinsi alivyokuwa akionekana utadhani ni mwanmke ambae anaenda dating kwa mara ya kwanza , Peter alienda kufunga beki kwenye miguu ya mama huyo na kufungua kioo na kumfanya Mama Rania atabasamu na kuingia kwenye gari na kisha likaondoshwa na kwa maelekezo ya Mama Rania walikuja kukunja baada ya kufika eneo moja linaitwa jogoo na kuchukua upande wa kulia na gari ilitembea kwa dakika kadhaa na ikasimama nje ya geti kubwa na baada ya dakika kadhaa gari hio iliingizwa ndani ya jumba hilo , hapo ndipo Peter alipo patwa na mshangao kwani jumba hilo lilikuwa moja ya jumba kubwa sana na lilikuwa na mazingira mazuri kwani kulikuwa na swiming pool upande wa kushoto ukiingia ilio zungukwa na bustani na majani yalio chongwa kwa ustadi mkubwa sana , jengo hilo limepakwa rangi ya kuvutia nyeupe lakini ilio fifia na kupendeza sana .
“ Kwanini tuko hapa?” Aliuliza Peter maana alikuwa akiona mapicha picha tu .
“Hii ndio itakuwa nyumba yako mpenzi ‘ Aliongea Mama Rania .
“ Whaat.. usiniambie kuwa umeinunua hii”
“Sijainunua leo wala jana ilikuwa ni yangu ,japo hakuna mwanafamilia anae ijua na sasa nasema nyumba hii ni ya kwako mpenzi wangu na tutakuwa tunakutana hapa unipe vitu” Aliongea Mama Rania na kumfanya Peter moyo upige kwa nguvu kwani hakuamini kuwa jumba hilo ni la kwake alianza kuona faida za kutoka na majimama..
“Mimi bado hata sijasadiki kabisa “ Aliongea Peter na Mama Rania akaachia tabasamua na kumshika mkono Peter na kisha kumvuta na wakaingia ndani .
“Chukua hio bahasha mpenzi ‘ Aliongea Mama Rania na kumfanya Peter aisogelee hio bahasha na kuifungua na ilikuwa ni hati ya nyumba na jina lake ndilo lili kuwa ndani ya hio hati .
“Peter nayafanya haya yote kwaku nakupenda na sitotaka unisaliti , nitakupa chochote utakacho kitaka , ila nakuomba usinisaliti”
Peter hakujibu Zaidi ya kumsogelea mama huyo na kuanza kupigana naye mabusu na kisha wakaanza kazi na kitu alicho pewa Mama Rania siku hio alijikuta kama yuko kwenye dunia nyingine kabisa na hakuwa kwenye ulimwengu halisi .
Walidumu kwa masaa kadhaa na kisha wakarudia tena na tena na tena na kujikuta wakipitiwa na usingizi kabisa tena wakiwa sebleni .
****
Peter alianza kukolea kwenye penzi la Mama Rania au bosi wake , japo walikuwa wakifanya mambo yao kwa siri sana na hakuna mtu hata mmoja ambae aliweza kujua kuwa wawili hao walikuwa wapenzi, kwani walikuwa wakiwekeana heshima feki wakiwa kwenye kazi , lakini wakitoka nje ya kazi walikuwa wapenzi.
Huku kwa Rania nako mambo yalizidi kuwa magumu kwani , kwani alikufa na kuoza kwa Peter , alitamani sana kuwa karibu na Peter kila saa na hata wakati mwingine Mama Rania alianza kuogopa, kwani kwa macho ambayo mwanae alikuwa akimwangalia Peter hayakuwa yakawaida, zilipita kama wiki mbili hivi ndipo Peter na Rania wote waliacha kufika kazini kutokana na chuoni mitihani ilikuwa inakaribia na walitakiwa kujiandaa .
Sasa hapo ndipo ukaribu wa Peter na na Rania kuongezeka kwani walikuwa wakisoma wote chuo kimoja na ilikuwa Rania akitoka mapema kwenye kipindi na Peter akiwa bado hajatoka basi atamsubiri mpaka atoke na waongozane wote , kunywa chai ama kula.
Rania alizidi kumzoea Peter kiasi kwamba kila siku , kila saa na kila sekunde alitamani kumuona Peter tu , kwa upende wa Peter jinsi Rania alivyo kuwa akimuonyeshea mapenzi , basi alizidi kuwa na mawazo juu ya rania , yeye , kila alivyo kuwa karibu ya Rania alijikuta moyo wake kumpenda sana Rania.
Alitamani atamke neno nakupenda ili myo wake utulie lakini hakuweza hilo , kwani kila alipo kumbuka kuwa tayari ana mahusiano na mama yake basi hakutaka kabisa kumuumiza rania huko mbeleni pindi atakapoujua ukweli , kuna muda alikaa chini na kuyafikiria matendo yake aliona kabisa kile kisasi katika kichwa chake kinaanza kusahalulika kabisa , kwani mpango wake ulikuwa ni kumfanya Samir atoe machozi kwakitendo ambachoo alikwisha kumfanyia.
Siku moja wakati Peter anatoka chuo akitembea na rafiki yake Steve , ndipo Rania alipo kuja kumuita na kumwambia kuwa kuna jambo anataka kuongea nae na ni muhimu kwake , basi Peter japo aliogopa kile alicho kuwa anaenda kuambiwa na Rania ila alijikaza na kuondoka na Rania mpaka kwenye gari lake .
“Peter najua kama ujumbe wangu nilio kuandikia uliona?”
“Ndio niliuona Rania “ alijibu Peter huku moyo ukipiga kwa nguvu .
“Peter nataka kujua jibu kwani nimeshindwa tena kusubiria naomba nisikie jibu lako leo”
Aliongea Rania hapo nakumfanya Peter jasho limtoke kwani hapo alikuwa amebanwa sehemu yenyewe .
“Rania najua unanipenda sana na mimi sitaki kukuficha nakupenda sana ila kwasasa sitaki kuanzisha mahusiano maana akili yangu haipo sawa na sijajiandaa kisaikolojia kabisa , na wewe ni mwanamke wa kipekee naomba muda niweke mambo yanguu sawa halafu nitakuambia Rania please, sitaki kuja kukuumiza kwa kutokuwajibika maana mahusiano ni uwajibikaji baina ya wapenzi” Aliongea Peter kwa hisia na ukimtazama hutoamini kama ni yule ambae alikuwa anataka kulipiza kisasi , mapenzi yameyeyusha kila kitu na kilicho baki kwenye moyo wake ni hisia za uhitaji tu , japo alijitahidi sana kutokumpenda Rania lakini ni kwamba alikuwa akijidanganya kwani kadri alivyo kuwa akimfosi atoke kwenye moyo wake ndivyo alivyo kuwa akizidi kumpenda.
“Sawa Peter nitasubiri , ila jua wewe ndio mwanume wangu wa kwanza kukupenda kwa kiasi hiki , nakupenda Peter “ Aliongea Rania mpaka chozi linamtoka mtoto wa kike na kumfanya Peter moyo umuume sana , alijkuta akimkumbatia .
“ Nakupenda Sana Rania , nakupenda sana ila naomba univumilie sawa “ aliongea Peter huku akimwangalia usoni na Rania akakubali kwa kichwa kuwa amekubaliana nae , na Peter alitoka kwenye hilo gari baada ya simu yake kutoa mlio ikionyesha kabisa kuwa inaita na mpigaji alikuwa ni Mama rania. .
Shida moja alio kuwa nayo Peter ni kwamba kila anpo ongea na Mama Rania mwili wake ulikuwa ukimsisimka sana na kuhitaji kufanya ngono .
Peter aliongea na Mama Rania na waliahidiana kuwa wakutane bila kukosa siku hio wakapeane dudu , na Peter hakupindua alikubali , maana kwa wakati huo na yeye alikuwa akipenda sana kitumbua cha mama rania .
****
Upande wa Najma nae mambo yalikuwa mambo kwani kila siku alikua akimfikiria tu mwanaume anae mfahamu kwa sura , japo maswala yake ya kufungua kampuni yake ya urembo yalikuwa yakimfanya kuwa bize sana , ila hakumsahau Peter hata mara moja .
Alikuwa akiamini kuwa lazima atamuona tu , wanaume walimtongoza kila kukicha lakini hakuna aliepewa nafasi hata mmoja hata ya kumshika tu hakuna alie pewa nafasi hio , watu na pesa zao walimchombeza kwa hongo lakini mwandada hakuteteleka , alikuwa akimuwaza Peter .
Upande wa Nasma na yeye alikuwa ashajua Masumbuko anapo kaa lakini kilicho kuwa kikimsumbua ni kwamba alikuwa na aibu na pia hakutaka kujilasisha kwa Masumbuko .
Kuna kipindi alikuwa ni kama mtoto kwani alikuwa akienda mpaka katka geti la Masumbuko kwa ajili ya kugonga lakini aliishia kurudi tu kwani hakukua na sababu ya kumuona Masumbuko na alifikiria kuwa akimuona atamwambiaje kwani alikuwa na aibu sana .
Masumbuko yeye muda wote alikuwa akiwazia ni kwa jinsi gani atakuwa na uwezo wa mnara wake kusoma channel kwani , kwa jinsi alivyo kuwa akijua na uwezo wake wa kufikiria ulipooishia ni kuangalia filamu za ngono tu huku akijifaliji kuwa utaamka tu .
“Utasimama tu “Aliongea huku akiuchezea uume wake
******
“Boss nimegundua Madam anapo elekea “ Ilisikika saiti kwnye simu Samir akiwa ofisini
“ Endelea kumfatilia na kila kinacho endelea utaniambia “
“ Sawa boss “
Samir ni kama kibao kilikuwa kimemgeukia kwani alikuwa hamuelewi kabisa mke wake , kwani hakumsubiri tena kama zamani wakati yeye akichelewa , kwani kila alipo rudi alimkuta mke wake alishapotelea kwenye usingizi mzito na wala hakuwa na habari na hata akiamka , alikuwa haulizi chochote na kilicho kuwa kikimuuma sana Samir ni kwamba hata ile mke wake kuomba gemu aliacha kabisa , na pia mke wake hakuwa hata na mawazo kama mwanzoni na alionekana kuwa mwenye furaha.
Hapo ndipo Samir alipoanza kurudi nyumbni mapema kama zamani , na kurudisha mapenzi kwa mkewe , lakini ni kwamba Mama Rania alionesha hali ya kutokuwa kabisa na time na yeye na mara nyingi usiku alionekana akichat na simu huku akitabasamu jambo ambalo lilianza kumfanya kuwa na wivu na kuona kabisa kuwa mkewe kashapata mchepuko , kila akizifikiria hisia hizo alijikuta akipandwa na wivu mkali sana na kumchoma , alivumilia sana lakini kuna siku alijikuta akikosa uvumilivu na alitaka kujua kile kinacho endelea na aliapia kama atagundua kuna mwanaume anaetoka na mke wake kimapenzi ange muua , swala hilo lilimnyima usingizi kabisa
Siku aliojikuta roho kumuuma na kujihisi kuna ninja anakata kata vipande kwenye tumbo lake ni siku alio omba tendo kwa Mama Rania , kwani ile ana peleka mkono kumshikashika Mama Rania , mkono ulitolewa na Mama Rania akainua kichwa na kumwambia neno moja tu .
“ Naomba usinisumbue nimechoka nina mambo mengi ya kufikiria natakiwa kulala mapema “
Alijikuta akiipandwa ma hasira na kukosa hata hamu ya kulala hapo ndani kwake na alicho kifanya ni kutoka usiku huo huo na kwenda bar .
Na kuanzia siku hio alikuwa akimuinda sana Mama Rania ili apate kujua mwanaume anae toka na mke wake na kwa upande wa Mama Rania alikuwa akiwaza dudu ya kijana Peter tu masaa yote kwani kila akifikiria dudu ya kijana Peter inavyo muingia na utamu anao usikiaga basi mizuka ilikuwa ikimpanda hapo hapo na hata kazi hakuweza kufanya vizuri .
Basi siku ambayo Mama Rania alipanga kukutana na Peter muda wa saa tisa , ndio muda ambao kijana wa boss Samir alikuwa akimfatilia nyuma kwa siri sana .





SEHEMU YA 24
Mama rania wala hakuwa na wasiwasi wakufatiliwa kwani aliendesha gari yake kuelekea upande wa Tegeta ambako ndio kulikuwa na nyumba ambayo amemnunulia Peter kama zawaidi ya kupewa dudu.
Lakini pasipo kujua kuwa kuna mtu anamfatilia nyuma aliendesha gari yake na kwa wakati huo ndio alikuwa anapita mwenge huku kijana aliepewa kazi na Samir alihakikisha kuwa hampotezi kabisa mama huyo kwani alielewa nini maana ya kile kitakacho tokea kama tu atakuja kumpoteza kwene macho yake na ndio maana alikuwa akiendesha karibu kabisa na gari ya Mama Rania na hakutaka kuipita , kwani ilivyo kuwa ikipunguza mwendo na yeye alikuwa akipunguza mwendo na huyu alie kuwa akimfatilia alikuwa si mwingine ila ni Kadabra , kijana machachali kabisa kwenye kazi hio ya kufatilia watu , kwani hio ndio kazi yake kubwa ambayo ilikuwa ikimuweka mjini kazi ya Ubodigadi na kufatilia watu .
Mama rania alipita lugalo yote na kuingia Mbezi Beach huku Kadabra akiwa nyuma , lakini ilipo karibia karibu na kanisa la Mbezi Beach la kilutheri gari ya Mama Rania ilikata kulia na kuelekea upande kama unaelekea shule ya sekondari Mbezi Beach , upande ambao ulikuwa ndio maeneo ambayo Peter na Nasma walikuwa wakikaa, Mama Rania aliendesha gari na kuja kuingia kwenye nyumba ya Peter , na wakati gari ikiingia sehemu hio na Kadabra alikuwa akipita geti hilo kwa mwendo wa taratibu sana huku akikodolea geti hilo macho na kwenda kusimama mbele kabisa na kutoka huku akijifanya anaongea na simu , lakini hakukaa sana gari ya Mama Rania , ilitoka na taratibu na kisha ikachukua njia ya kulekea Tegeta na Kadabra hakutaka kupoteza muda alikimbilia gari yake na kisha kuingia harakaharaka na kuliwasha na kisha kuliungia gari la Mama Rania na uzuri ni kwamba aliliona kabisa na lilikuwa karibu yake , baada ya kufikia eneo la jogoo gari lilikunja kulia na kisha likatembea mita chche kutoka barabara kuu na hatimae likaja kusimama kwenye ile nyumba na Mama Rania na gari ,Kadabra aliishuhudia kabisa ikiingia na hapo ndipo alipo alipo toa simu yake na kumpigia Samir na lilisikika neno moja tu.
“ subiri hapo hapo nina kuja , nataka nikiua unisaidie kutoa hio mizoga”.
Samir alikuwa na hasira kweli na wivu ulikuwa umemkaba kooni ,yaani hata kuhema ilikuwa ni shida kwani kila alipo fikiria swala la mke wake kuwa na mchepuko kiasi cha yeye kudharauliwa ,kilimuuma sana tena Zaidi ya kuuma , kwani hata chakula kila siku alipo kuwa akila kilikuwa hata sio kitamu kwake.

Samir alijikuta akipandwa na hasira mara mbili baada ya kusikia mke wake kaingia kwenye nyumba ambayohaifahamu aliishia kutoa matusi ya nguoni na kisha akachukua bastola yake na kuiweka kiunoni na kisha kutoka hapo na alipishana na secretary wake alie shika mafaili alijaribu kumsimamisha lakini hata sijui alisikia kwa wakati huo kwani akili yake kwa muda huo ilikuwa ikiongozwa na hisia , alipanda gari na kulitoa ofisini hapo kwa spidi ya ajabau mpaka mlinzi akamshangaa bosss wake .
Samiri alitembea na gari isivyo kawaida , na aliishia kutukana tu madereva ambao walikuwa hawataki kumpisha , kuna mdada mmoja alikuwa akiendesha Spacio , yake na Samir alikuwa akimpigia honi kumpisha , lakini mdada huyo wala hakujali , sasa Samiri alipo pata nafasi upande mwingine ya kupita , alimwangalia mdada huyo na huku mdada huyo akimwangalia , na Samir aliishia kumnyooshea kidolea cha kati akimtusi na dada yule aaliishia kusikitika tu.
Baada ya kama dakika ishirini hivi Samir alikuwa ndio anaingia sehemu alio elekezwa na Kadabra
“Ndio Hapa” Aliuliza Samir kwa jazba huku akilisogelea geti ,lakini kadabra alimzuia
“ Boss utawashitua ,sisi tunataka tuone kinacho endelea” Aliongea Kadabra
“Sasa tunafanyaje”
“Ngoja nikuoneshe”
Kadabra aliilisogelea lile geti na kuliangalia na kisha kugonga mlango mdogo kwa stali ya chini kabisa ambayo haileti bughuza na hakutumia kengele , ila yeye aligonga geti hilo na ndani ya dakika moja ndipo walipo sikia komeo likifunguliwa na kajidirisha kadogo kakafunguliwa na akatokea mlinzi.
“Niwasaidie nini?” aliuliza na kumfanya kadabra aangalie upande wa kulia na kushoto na kungalia uwepo wa watu .
“Boss Wangu pale ana shida na wewe .. kuna vitu anataka akuulize” Aliongea Kadabra huku akitoa waleti yake na kumuonesha mlinzi kuwa kazi hio ina malipo .
Mlinzi alivyo ona pesa , hakuzubaa alifungua kageti haraharaka na kisha kutoka ,lakini ni kama kosa kwake kwani ile anafungua tayari Kadabra ashamsogelea kwa staili ya kupiga roba na kumkaba kwa nyuma yule mlinzi na kisha kuingia nae ndani ya geti na kwenda kumtuliza kwenye kibanda chake baada ya kupoteza fahamu na Kadabra , alimwita Samir kwa ishara na hapo Samir akingia na geti likafungwa kabisa na funguo .
Samir mapigo yake yalikuwa yanapiga kwa nguvu kwani katika maisha yake hajawahi kufumania , kwani alikuwa akizisikia tu hizo habari za watu kufumania wake zao lakini hajawahi kukutwa na msala kama huo wa yeye kumfumania mtu tena mke wake , alisogea huku akjihisi kama presha inapanda kwa kiasi kikubwa hasa alipo kuwa akisikia sauti za mahaba kutoka ndani na kwa namna moja alijua kabisa watu hao wako sebleni wanafanya yao .
“Aisiiiii…eeeh… mpenziii… nakupenda… agha…. Nakuja mpenzi ..,. usichomoe mwagia humo humoo .. mpenziii.. aaa…”
Alijikuta roho ikimuuma sana na hasira zikizidi kumjaa na kukosa uvumilivu kabisa , kwani sauti za mahaba alizo sikia tena akisikia kabisa mwagia humoo humo alijikuta presha na roho ya mauji vikimpanda na alikosa kabisa uvumilivu , aalisukuma mlango ambao ulikuwa haujafungwa vizuri na kuingia kama mwanajeshi na kuachia risasii.. akimlenga mwanaume aliekuwa akionekana uchi akishusha kiuno na kupandisha.
“Paa..” Ulikuwa ni mvumo wa risasi uliosikikakwa nguvu
****
Nasma alikuwa amekaa sebleni huku akionekana kuwa kuna jambo ambalo alikuwa akilifikiria na jambo hilo lilikuwa likimhusu Masumbuko , japo tokea waachane siku ile kwenye gari , pasipo kuongea jambo lolote lakini kuna jambo ambalo alikuwa akiliona kwa Masumbuko kama haliko sawa , na muda huo alikuwa akijaribu kuunganisha matukio na kuona kweli kuna kitu kipo kwa Masumbuko na kitu hicho alikuwa akitamani sana kukifahamu .
“Ila mimi ni mjinga sana yaani mtu yuko jirani yangu nasumbuka kichwa changu tu hapa” Aliongea Nasma na kumfanya Lucy aliekuwa kakaa kwenye sofa kwa kujiachia akiangalia tv amwangalie.
“Nini Nasma , unaongea na mimi ?”
“Hapana , kuna sehemu naenda hapo nje nakuja sasa hivi”
“Niagize mimi nitaenda kukuchukulia , hakuna haja ya wewe kwenda”
“Nimetaka kwenda mwenyewe Lucy wee kaa hapo nakuja” Aliongea Nasma na kisha akatoka na kutembea mpaka kwenye geti la nyumba ambayo anaishi Masumbuko , aligonga na kisha alikuja mlinzi na kufungua na kumuuliza maswali na kisha aliruhusiwa kuingia.
“Samahani naulizia floor ambayo anaishi mkaka fulani hivi mweusi rangi ya chocholate” Aliuliza baada ya kuingia ndani hapo na kuwakuta Anjeli na marafiki zake wakipiga stori .
“Mhmh , hapa kuna wengi , lakinii.. hebu nenda namba nne “ Aliongea Angeli huku wote wakimwangalia Nasma kwa uzuri alio kuwa nao.
“Jamani kuna wadada wazuri .. akii..Mungu ningekuwa mimi ningekuwa danga la jiji hili lote” Aliongea Angeli huku akiungwa mkono na marafiki zake
Masumbuko alikuwa amelala fofo kwenye sofa huku Steve ambae alikuja kumsalimia rafiki yake Peter akiwepo akiangalia muvi kwenye laptop yake , na ndio wakati huo ambao Nasma aligonga Mlango na Steve ndio aliesikia na kwenda kufungua,macho yalimtoka na kujikuta akifikicha macho.
“Mambo “ Alisalimia Nasma huku akiweka tabasamu lililomuacha hoi Steve na kujikuta akimwangalia usoni Nasma na mpaka Nasma mwenyewe akaona haya na kuangalia chini.
“ Aaa poa karibu “ Aliongea Steve huku akimwangalia Nasma na alikuwa amesimama tu hapo mlangoni na alijifikiria, ila akaona aingie tu .. alisogeea mpaka kwenye sofa moja refu , kwani hapo ndani kulikuwa na masofa manne na moja lilikuwa karibu na tv na hili lilikuwa ni dogo na dogo lingine lili kuwa upande wa kulia mbali kidogo na Tv na refu kakalia Steve , ila la karibu kabisa ambalo ndilo la kwanza ukiingia hapo ndani kalalia Masumbuko .
Nasma alisogea na alikuwa na wasiwasi sana kwani ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuingia katika vyumba ya wanaume tu , kwani hakuwahi kufanya hapo kabla , alisogea na ndipo alipo muona Masumbiuko aliejinyoosha kwenye sofa akiendesha jenereta kwani alikuwa amepitiwa na usingizi mzito sana .
Nasma alikaa pembeni ya kichwa cha masumbuko kwani alikuwa ameacha nafasi kidogo ambayo ilimuwezesha kukaa , ila wakti anakaa kichwa cha masumbuko kilimgusa kwani mtoto nae alikuwa amejaliwa chungu sio poa.
“Ngoja ni kuletee juisi” Aliongea Steve kwa kubabaika kwani alikuwa ni kama haamini ,kuna muda aliona labda mwanadada huyu alikuwa amepotea njia.
Masumbuko nae muda huo ndio usingizi unaisha na alikuwa akijifikicha macho huku Nasma alikuwa akimwangalia kwa macho yenye mahaba mazito , Masumbuko alianza kunusa kama mbwa maana alisikia harufu nzuri sana kwenye pua zake na wakati anafanya kitendo hicho alikuwa amefumba macho .
“Peter leo sijui kakaribisha jini” Aliongea Msumbuko huku akifungua macho akiangalia juu na hapo ndipo macho yake yakagongana na ya nasma alie kuwa akimwangalia huku akitabasamu na Masumbuko alipo fungua macho alijikuta akishangaa na kumfanya Nasma atoe kicheko.
Na kitendo hicho Steve alikuwa akikishuhudia na aliona kama anangalia sinema VR Gasses (hizi ni miwani ambazo unaweza ukaangalia muvi au kucheza gemu kwa mazingira ya 3D na kukupa hali ya kama unakiona kitu katika mazingira halisi ) ,maana jinsi Nasma alivyo inama na Masumbuko alie kuwa kalala na walivyo kuwa wanaangaliana ilikuwa ni kama sinema la kifilipino .
“Dada juisi hii hapa”
Aliongea Steve na kumfanya Nasma amwangalie na kuachia tabasamu na kisha kusema asante , na kumfanya Steve ahisi sauti hio ilikuwa ipo tumboni ,ikitekenya maini yake.
Masumbuko mara alishtuka maana sijui alifikiria nini na alinyanyuka haraka haraka na kumshika Nasma mkono na kumfanya Nasma amwangalie huku akitabasamu na Masumbuko alimnyanyua Nasma na kumpeleka karibu na mlango wa jikoni ambapo mtu wa sebleni hawezi kuona
“Usije ukasema siku ile tulikutana na nilipotea na wewe ndio ulio nileta maana niliwaambia nalijua sana jiji sasa usije ukaniumbua , yaani kimyaa shiiip” Aliongea akimnong`oneza Nasma na kumfanya Nasma atabasamu na kuhisi msisimko wa ajabu kwani alihisi pumzi ya Masumbuko .
“Hapa leo nadhani kwa mara yangu ya kwanza ndio naangalia tamthiliya la kifilipino laivu bila chenga aliongea Steve baada ya kumuona Masumbuko akimwambia jambo Nasma.
*****
Boss mkuu kapiga simu kuhusu ule mzigo wa Congo “ Aliongea jamaa mmoja mrefu mweusi aliekuwa na mwili ulio jazia na akiwa amevaa miwani .
“ Ramso nadhani wewe unajua nini cha kufanya hapa , na nimeona una majukumu mengi sana, lakini nataka nikupe jukumu lingine na hilo .
“Jukumu gani hilo boss?”
“Nataka kwanzia sasa uwe karibu na Rania kwa kila anacho kifanya kwani muda si mrefu nitakwenda kumuoa”
“Boss una amini atakubali?”
“ Ramso unafikiri ninasema jambo bila mpango , yeye akubali asikubali ila lazima nimuoe kwa namna yoyote ile kwani baba yake tayari yupo hapa kiganjani na hana pakwenda na mama yake na yeye nina udhaifu wake mkubwa sana na nikumuonesha huo tu hatokuwa na la kusema zaidi ya kunipa baraka zote.”
Aliongea Hemedi akiwa nyumbani kwake eneo la Mapinga Bagamoyo na ndani ya jumba hilo ilikuwa ni kama ikulu kwani walionekana mabodigadi wengi walio valia suti safi wakiwa wana hakikisha ulinzi na haikueleweka walikuwa ndio wanamlinda huyo Hemedi au kuna la ziada kwani kama tujuavyo Hemedi ni mfanya biashara wa mabasi .
“Sawa Boss nitalifatilia hilo”
“ Kingine hakikisha huyo panya (Peter ) hafanyi lolote kwa huyo mwanamke , kwani ndio roho yangu na nadhani nikishampata rania roho yangu iatulia na nitatulia nae ,huyu paka kama isingekuwa analindwa na Bosco ningekuwa nishampoteza muda mrefu sana”
“Boss unamaanisha wetu anamfahamu Peter”.
“Ndio ana mfahamu vizuri sana na namheshimu sana Bosco kwani kanifikisha hapa nilipo leo hii, ila asinenipa maelekezo ya kutomgusa Peter ningekuwa nishampoteza muda mwingi sana”
Aliongea Hemedi na kumfanya Ramso ashangae , kwani sio jambo la kawaida kwa tajiri mkubwa kama Bosco kumjua Peter , kwani Bosco alikuwa ni tajri mkubwa ndani ya Congo mwenye mtandao mkubwa wa madawa ya kulevya na alikuwa ni supplier(msambazaji) kwenye nchi nyingi sana ikiwemo Tanzania alikuwa akifahamika kwa jina la The Don.
*****
Ndani ya uwanja wa kimaaifa wa Julius kambarage nyerere (JNIA) , alionekana mrembo Najma akiwa na bodigadi wake akitoka eneo la ‘Arrival’ yaani wanofika, akiwa amependeza kwelikweli na alionekana kabisa alikuwa safarini na ndio anarudi .
“Rehema naomba usinipeleke nyumbni kwanza nataka nikakae Serena mpaka nitakapo kamilisha ufunguzi wa kampuni yangu” Aliongea huku akitembea kimadaha kabisa na kuingia kwenye gari.
Gari ilitembea mpaka kwenye hoteli ya Serena ikitumia masaa machache tu kuingia kwenye hoteli hio ya hadhi ya juu na kisha mrembo huyo akaingia . na kwenda moja kwa moja mpaka mapokezi na kuchukua chumba .
“Leo unaonekana kuwa nafuraha kuliko siku zote nilizo kuzoea”Aliongea Rehema huku akiingiza mizigo ya Najma ndani ya chumba hicho .
“Acha tu nitakwambia kila kitu ila kwa sasa kuna mambo makuu mawili nataka kuyatimiza ndani ya mwezi mmoja .
“Hongera yako ,kama kuna jambo ambalo unataka kulifanikisha pia ni mwanzo wa mafanikio na ni uthamani katika uso wa dunia kwani hauvuti hewa bure , hakuna jambo zuri kuwa na sababu ya kuishi”Aliongea rehema na kisha waliagana kwa ajili ya kukutana siku inayo fuata.
Najma alifungua begi lake nakutoa laptop na kisha akawasha mtandao wa Skype na kisha akabonyeza kwenye hio laptop na likaja jina la A2
“Hello A2 “ Aliongea Najma kwa mapozi . (A2 ni Artificial intelligence roboti ambayo ilitengenezwa na Profesa Gladness , roboti ambayo inafanana kwa kila kitu na binadamu wa kawaida unaweza ukamfahamu roboti A2 kutoka kwenye simulizi ya MY DREAM MY FAVOURITE)
“Hello Beuty Najma .”
“ Nimefurahi sana kuwasiliana na wewe A2 na niliongea na aunt(shangazi) na kaniambia nikuombe msaada unaweza kunisaidia kwenye tatizo langu .
“Ndio alinidokezea na ni kwamba tatizo lako linaweza kufanyiwa kazi kisayansi kutokana na kwamba sasa kuna teknolojia ya kuweza kufanya komputa kutoa picha yoyote ile unayohitaji kutoka katika mawazo yako”
“Naweza kufika lini ili swala langu uweze kulitatua?”
“Kesho asubuhi unaweza ukafika nitakusadia hakika “
Hili ni roboti A2 liliotengenezwa na profesa gladness, na lilikuwa lipo kwenye moja ya kitengo cha usalama wa nchi , kitengo ambacho kilibadilishwa jina kutoka kwenye jina la the Hollic Shadow na kwenda kuitwa jina la AFRICA MULTNATIONAL CYBER SECURITY (AMCS) na kiongozi wa kundi hili alikuwa hajulikani jina lake , kwani kitengo hichi kilikuwa kikifanya kazi zake kwa siri sana na hata wafanyakazi walikuwa hawafahamiki .
UNAWEZA PATA SOFTCOPY YA SIMULIZI HII YOTE.

SIMULZI ZANGU NYINGINE NI
-UMOJA NAMBA TISINI NA SABA
-NDOTO ZA KIKANUNI
-BOOK OF ALL NAMES (UMOJA NAMBA TISINI NA SABA )
-MY DREAM MY FAVOURITES)

KUHUSU UTARATIBU WA MALIPO
WASILIANA NAMI KWA KUGUSA HAPAA



mawasiliano 0687151346
Hapo kwenye PAA! nini kimeendelea?

Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
 
SEHEMU YA 18
“Boss mwenyewe unarudi kutoka kazini “ Aliongea Steve baada ya Peter kufika nyumbani na kumkuta rafiki yake .
“Yeah nishakuwa boss saivi nafanya kazi katika kampuni kubwa tena benki hela zinakokaa , lazima unite boss .”
“Yeah , ila unabahati sana , unajua washikaji kila ninae mwambia kuwa unafanya kzi kwenye ile benki hakuna hata mmoja ambae ana niamini “
“ Usiwalazimishe kuamini , vipi lakini mambo yako ya field ?“
“Field iko vyema nimepata kwenye kampuni moja ya Telecom kule Posta ndiko ninako fanyia “
“ Anhaa kumbe tuko upande mmoja “
“Yeah , mrembo Rania na kisasi chako umefikia wapi au ndo unambwela “
“Kisasi kinaenda kiurahisi sana tofauti na nilivyofikiria , yaani si tumii hata nguvu”
“Eii.... wewe jamaa muongo sana , yule Rania ni mgumu wewe utampataje kirahisi hivyo , hebu acha Kamba zako hizo “
“Shida yako husadiki , ila nataka nikirudi kutoka Tanga nikuonyeshe uone kama nadanganya au wewe ndio mwenye ugonjwa wa kuto kuniamini “
“Acha wee waenda tanga kufanyae tena? “
“Naenda kwa ajili ya kazi huko na boss “
“Mhmh! , kweli naona ushaanza kuaminika kiasi hicho mpaka unaenda na boss”
“Sio kuaminika ni kwamba mfumo mpya wa ulinzi bado haueleweki kwa IT wengi kwa hio natakiwa kuurekebisha mimi mwenyewe “
“Halafu yule boss wako ana lishepu hilo , yule nakubali ani bemende “
“Aaaa… mke wa mtu yule na ni kama mama yako yule”
“Ana umama gani , hivi unafikiri yule akikutega upo chumbani nae utachomoka kama wewe ni mwanaume rijali , lazima uingie ndo utajua huyo sio mama yako ni umri tu ila tuyaache hayo”
“ Sema huyu mshikaji wako una mpango gani nae au ndo umemfanya House boy“
“ Masumbuko nina malengo nae nataka nikirudi nimfundishe kusoma na kuhesabu halafu nimtafutie biashara ya kufanya”
“Peter wewe hata usijisumbue kuniletea mwalimu au kutaka kunifundisha kwani sitaelewa kitu” Aliongea masumbuko na kumfanya Peter amwangalie huku akisogea pale kwenye sofa alipo kaa .
“Sikia Masumbuko , sijui alie kuambia kuwa huna uwezo wa kusoma na kuelewa ,ila mimi nina fahamu kabisa kuwa wewe unaweza ukasoma na kuelewa ,sema haujapata mwalimu mzuri kwa hio kuanzia sasa jua wewe una akili na unaweza kusoma na ukaelewa umesikia? “
“Ndio nimekuelewa “ Alijibu Masumbuko kwa heshima kwani hakuwahi kumuona Peter akiwa kwene hali hio ya kuwa siriasi
“Naona mshakuwa ndugu kamili kwa sasa “
“ Yeah , yaani nafurahi sasa hivi nyumbanii kuna mtu ambae naweza kumuongelesha wakati wote , nimechoka kuishi mwenyewe , hivi wewe Steve unajisikiaje unatoka shule unarudi nyumbni huku ukijua kabisa hakuna mtu , na hata pale unapokuwa na tatizo huna mtu wa kusema huyu ni ndugu yangu naweza kumuita au kumpigia simu kumuomba msaada “
“Ndio ni maisha magumu sana kiufupi sipatii hata picha lakini cha kumshukuru Mungu ni kwamba bado kakuweka hai na kukupigania mpaka sasa”
“Ndio , nilikuwa nampenda sana mama yangu na nitaendelea kumpenda daima huko aliko , alinipigania yeye mwenyewe kanikuza kwenye mazingira magumu mpaka alipo patwa na umauti , ila naamini siku moja tu nitakuja kumpata alie husika na ajali ile”
“Peter rafiki yangu kwanini usisahau yote hayo ile ilikuwa ni ajali ya kawaida tu kama polisi walivyo sema , kwanini unataka kuweka visasi moyoni , mimi nikajua ulikwisha sahau”
“ Hapana Steve siwezi kusahau kabisa yaani , na hakuna mtu wa kunishawishi , nakaa kimya tu kutokana na kwamba sitaki kisasi kifute ndoto zangu kwani naamini hata mama hatofurahia kabisa akiniona naishi kwa ajili ya kulipiza kisasi”
“Kwa hio Peter kumbe mama yako alikufa kwa ajali”Aliuliza masumbuko
“ Ndio ni story ndefu Masumbuko sipendi kuikumbuka kabisa “
“Hata mimi mama yangu alikufa kwa ajali “ Aliongea Masumbuko na kumfanya Peter amwangalie kwa maswali .
“Alikufa kwa ajali gani ??”
****
“ Nakuona unavyo mfanya mtoto akolee rafiki yangu “
Aliongea Lea akiwa amejilaza pembeni kwenye viti vya kuegamia huku akiwa ameshikilia kikombe cha pombe (Solo cup) Pembeni yake kushoti akiwepo Sebastiani akiwa amekaa mkao kama wake wote alikuwa wamevaa mavazi ya kuogela huku wakimwangalia Stella alie kuwa katika Swimming pool akiogelea kwa ustadi mkubwa ,alikuwa akizama na kwenda kuibukia mbeleni , kiufupi alikuwa kama kivutio siku hio katika eneo hilo kwani uzuri alio kuwa nao wa maji ya kunde ulikuwa ukivutia sana na shepu ambayo mungu amembariki nayo ilizidi kufanya kuonekana mzuri na hata pale alipo kuwa akiingia na kuibuka kwenye maji alifanya kuonekana kama malaika
“Huyu mwanamke mzuri sana , nimeona wanawake wazuri ila huyu ni kiboko , yaani hata huyu bwana wako namuona fala kumuacha kimwana kama huyu”
“Aacha hizo ujue Sebastian kwani kuwa mzuri ndio kupendwa ,ingekuwa wanawake walio na sura mbaya hawaolewi sasa”.
“Acha wivu wewe.. kiufupi pale haumfikii hata kwa dawa , Stella mzuri na pia ana roho nzuri , na ndio maana anazidi kuwa mzuri , sio kama wewe”
“Sikia seba.. huo utani sitaki , yote nilio yafanya nimefanya kwakuwa nampenda sana James na ningemkosa ningekuwa mwehu , mimi ni tofauti na Stella huoni hata hali yake kwa sasa ni nzuri , mimi nisingeweza roho yangu nyepesi”
“Hahaha.. kwahio ulijuaje kama Stella ataweza .. hio ndio roho mbaya ninayo zungumzia sasa, kujijali mwenyewe pasipo kumjali mwingine”
“Sikia seba utaniudhi sasa hivi , jishaue tu na wakati mimi ndio nakufanya uwe na Stella , fikiria tu siku atakavyojua ulikuwa kwenye mpango wa kumuachanisha na boyfriend wake sijui atakufanya nini”
“Basi yaishe mrembo ee , nilikua natoa ya moyoni , lakini nina furaha maana sasa hivi ninae Stella nahisi Dunia yote yangu , japo hajanikubalia ila naamini atanikubalia tu”.
“Halafu seba hivi utakuwa mzito mpaka lini , wewe unavyo endelea kuamini , utajikuta mtoto sio wako , wewe humuoni alivyokuwa mzuri wewe haya tu zembea”
“Kwa hio wewe nataka nifanyaje , na wakati unaona Stella mwenyewe bado anaonekana ana majonzi sema anajikaza kuonekana yupo sawa”
“Ndio maana nakwambia jitahidi umsahaulishe mtoto huyo na jijengee mazingira akuone mwanaume wa tofauti na wengine , mfanye akuamini “
“Najitahidi sana ”
“Bado.. , sasa sikia Stella jambo ambalo lina muumiza kwa sasa ambalo ni kama udhaifu wake mkubwa ni kumfunga Masumbuko huyo rafiki yako , lakini kumbuka akimpata Masumbuko basi na wewe umekamatika na Stella hatokuamini tena na anaweza akakufunga na wewe, maana anaijua sana sheria na utakuwa umekosa kila kitu na mimi sipo tayari kwa hilo”
“Sasa nifanyaje mbona kama unanitisha , mimi akinikamata nakuunganisha”
“ Huo ndio utakuwa umama sasa , hautokuwa mwanaume wewe inabidi ufikiria namna ya kujitoa kwenye kesi ili hata Masumbuko siku atakayo kamatwa wewe hautahusika moja kwa moja, anza kutengeneza ushahidi wa lile tukio kuwa haukushusika na pia tafuta ushahidi au hata kwa kuutengeneza ili umfanye Masumbuko kuwa na hatia moja kwa moja”
“Seba nimefurahi kweli leo asante kwa kunileta hapa , unajua nilikuwa nasikia Sea breeze ila sikujua kuwa pako vizuri kama hivi” Aliongea Stella na kuwafanya Lea na sebastiani kukanyamaza.
“ Ni kweli Stella yaani pazuri ,tupigeni picha basi” Aliongea lea huku akimsogela Stella aliekuwa akijifuta maji na taulo .
“Seba kaa na Stella basi niwapige picha” Aliongea lea na kuwafanya Stella amwangalie Sebastian na Sebastian alimwangalia Stella na kisha wakatabasamu kwa pamoja na kwa ushawishi wa Lea basi walikubali na kupigwa picha na Stella”
“Nitawatumia hizi” Aliongea Lea huku akitabasamu sana maana zilitoka kama alivyokuwa anataka .
****
Huku nyumbaani kwa Mama Rania alionekana Najma akitoka kwenye chumba chake akipiga miayo akielekea chini kwenye sebule yao na muda huo ilikuwa ni muda wa saa saba mchana .
“Hi! dad good afternoon!” Alisalimia Najma baada ya kumuona baba yake wakati tu alipofika sebuleni wakati huo baba yake alikuwa akiingia na sijui alifata nini maana siku hioo alionekana kuwahi kurudi jambo ambal sio kawaida yake .
“Naona leo umewahi , maana nakuona ukirudi saa sita au saa saba usiku “
“Leo kuna kitu nimerudi kuchukua mara moja na nitarejea baada ya muda kidogo , wewe mbona haujatoka kwenda kwenye mandalizi ya ufunguzi wa kampuni yako”.
“Nimetoa tu maagizo kwa wafanyakazi wangu siku hizi sipendi hata kutoka”
“Unaonekana kuwa na jambo maana si kawaida yako my princess“
“Yeah dadie ni juu ya yule mkaka , I am head over heels for him, please help me to find him dadii please “ (Ninamuwaza yeye tu baba )Akijidekeza kwa baba yake .
“My daughter nafanya kila njia kuhakikisha nina mpata and very soon tu utasikia taarifa ya kufurahisha maana timu yangu ipo uraiani huko inamtafuta “
“Asante sana dad ndio maana nakupenda I real love you dad “ Aliongea Najma maana alikuwa na uzungu mwingi yaani alikuwa hamuogopi baba yake kabisa ,watoto wengi wa kiafrika kumwambia baba ya kuwa wapo kwenye mapenzi ni swala gumu sana na kwao linaonekana kama ni utomvu wa nidhamu , ila kwa maisha ya wenzetu uzunguni huko ni swala la kawaida , pia baadhi ya familia za kiafrika washaathirfika na tamaduni za kizungu .
“Vipi na dada yako , unataka kuolewa kabla yake?”
“Dada naye anaanza kuwa kama mimi tu “ Alingea Najma nakumfanya Samir kumwangalia kwa mshangao , huku wakikaa kwenye masofa ya hapo sebuleni .
“Unamaanisha nini kuwa anaanza kuwa kama wewe?”
“Siku hizi hata si muelewi kuna mkaka nadhani kaanza kazi kwenye benki yetu sasa kila saa dada anamzungumzia mara amsifie na hata wakati mwingine usiku anaota akiongea huku akilitaja jina lake”
“Sasa yeye anakuwaje kama wewe , wewe si mwanaume unaempenda ,wewe ni tofauti na Rania “
“ Hata kama Dady nataka niende hapo kazini kwao nikwamuone huyo mwanume anae mchanganya dada yangu yukoje koje huyo “ Alingea Najma na kumfanya baba yake mapigo kuongezeka maana alijua kama ataenda basi anaenda kukuutana na Peter mwanaume anae mtafuta .
“Sikia unaonaje tukienda wote,mimi na wewe ,ninataka kumuona huyo mwanume kama kweli anamfaa mwanangu Rania maana nawajua wanaume waongo sana “
“Sure dad , nitakuambia siku nikipanga kwenda kumuona ili twende wote “
“Hapana Najma mimi nina kazi nyingi so nitakuambia siku nzuri ya kwenda”
“Sawa dad , but I cant wait , better make it soon dady “
“Worry out my daughter , but promise we do this together right “(Usijali mwanangu lakini hii ni ahadi ua sisi kwenda pamoja )
“Yess dady “
Samir alijikuta akitoka hapo huku akijifuta jasho maana anaona kazi inazidi kuwa ngumu watoto wake wanamchanganya vibaya .
“Nisipo fanya kitu hawa wapuuzi watakutana na inaweza kuleta matatizo kwa wote , inabidi nifanye kitu mapema kabla jambo baya halijatokea ,sina jinsi inabidi Rania aolewe na Hemedi , halafu anisaidie kumwangamiza Peter ili hawa mapacha wanaojifanya wanajua kupenda , nawaletea habari ya kifo tu”Alijiwazia huku akiingia chumbani kwake kwa ajili ya kuchukua kitu kilichomrudisha nyumbani .














SEHEMU YA 19
Samiri alikuwa kweli amedhamiria kumfanya Rania aolewe , aliamini njia ya kumuepusha na Peter ni ndoa .
Hivyo hakuwa na jinsi zaidi kumkubali rafiki yake awe mkwe, sababu hakuwa na cha kupoteza Ramia aolewapo na Hemedi , pia mali zake zingekuwa salama kuliko watoto wake kuwa na mahusiano na kijana Peter .
Alishangaa wakati mwingine ni kwanini alikuwa akimchukia sana Peter na kujithamini wapi chuki hio imetokea mpaka kuwa na nguvu ya kutomtaka kijana huyo kuingia katika maisha ya wanae , lakini hisia zake zilimwambia Peter hakuwa mtu sahihi kwa wanae zaidi ya maslahi na pia hakuamini kama kijana huyo alikuwa na mapenzi ya dhati kwa wanae , lakini pia aliona hatari ilioko kwa kijana huyo kupendwa na familia yake yote .
Siku hio wakati akiwa nyumbani alijihisi kuboreka kubakia hpo kwa muda mrefu ,lakini pia hata ile muwashawasha wa kwenda kutembea uliongezeka mara baada ya kuona meseji ya mchepuko wake Amanda , aliingia bafuni na kujiswafi .
Na kisha akaanza kujiandaa lakini wakati anachukua ufunguo ndio Mama Rannia alikuwa akiingia kutokea kazini.
Mwana mama huyu japo mume wake alikuwa akimnunia ila hakuacha kuonyesha heshima kwa mume .
“Haa ! Mume leo naona umewahi kurudi kazini”
“Ndio kuna kitu nilifuata ila ninaondoka na nitachelewa kurudi”
“Sawa mimi kesho nasafiri kikazi , unaonaje leo ukiwahi kurudi nyumbni mume wangu nimekumisi sana mpaka najisikia vibaya jamani”
Samiri wala hakujibu neno lolote zaidi ya kufungua mlango lakini kutokomea lakini sekunde mbili mlango ulifunguliwa tena na alikuwa ni Samiri , Mama Rania alimwangalia.
“Nimesahau kukutakia safari njema”
Aliongea na kisha alifunga mlango ,mwanamama huyu chozi lilimtoka na kujawa na hudhuni ,hakuamini kabisa mabadiliko ya mumewe kiasi cha kutomjali.
Alikaa kwenye kitanda akifikiria kosa gani amelifanya mpaka hali ya ndoa yake kufikia hatua hio , kuna muda alitamani hata kumfukuza Peter kazini ili hali ya ndoa yake irudi kama awali , lakini akikumbuka kuwa Peter alikuwa tegemezi katika kuimarisha ulinzi wa benki ,wazo alilitupilia mbali , ni zaidi ya mwezi yeye na mume wake kuishi kama dada na kaka
****
Ndani ya hoteli ya Coral Beach alionekana Lea siku hio ndani ya chumba kikubwa cha hadhi ya juu akiwa ameshikiliwa kiuno na James huku akiingiza mwiko wake ndani na kutoa huku kimwana huyo akitoa miliio ya kimahaba ,alionekana dozi anayopewa na james haikuwa ya kawaida .
James alikuwa akimkunja kama kambale na alionekana kubobea kweli kwenye mambo ya sita kwa sira kwani alionekana shughuli kuimudu vizuri takribani dakika kumi na tano walikuwa washamaliza na wote kufika ukingoni.
“Asante sana Hubby “ Aliongea Lea huku akimwangali James usoni aliekuwa akihema kama mbwa alie kimbia maili nyingi “
“Hauna haja ya kushukuru mpenzi wangu mimi hii ndo kazi yangu ya kuhakikisha kwamba nakuridhisha ili usije ukanitoroka ukaenda kwa wengine kwani nitaumia sana mpenzi , nimeumizwa na Stella sitaki kuumizwa na wewe tena”
“Usiwe na wasiwasi mpenzi kwa ninavyokupenda haitokuja itokee eti nakusaliti mpenzi wangu , mimi niwako tu peke yako , unavyo niacha ndivyo unavyo nikuta “
“Hata mimi nakupenda sana Lea na sipo tayari kuuona huu uso wako unatoa machozi kisa mimi kukusaliti , kwanza nataka ukimaliza tu chuo nakuoa”
“Kweli mpenzi , uko siriasi “
“Ndio kwani wewe hautaki kuolewa ,
“Nataka mpenzi ila unajua mapenzi yetu hayana uhuru kwani lazima kila siku tukifanya yetu tujifiche ili Stella asione , natamani kutembea na wewe kila mahali kuonyesha ulimwengu mzima kama napendwa na wewe james mwanume wa maisha yangu ”
Aliongea Lea kwa hisia kubwa na walianza akuchokozana tena, na kwa mara nyingine wakaingia kwenye tendo hilo la kuzini na walidumu kwa dakika kama ishirini , na kati yao hakuna hata mmoja alie kuwa akikumbuka kondomu walionekana kuaminiana.
“Vipi mpenzi lini tena warudi Kenya?”
“Kesho narudi ,nitakuwa huko kwa mwezi mmoja , halafu haujaniambia Stella anaendelaje kwa sasa , si rafiki yako?” Aliuliza James na lea kumuona bado anawasiwasi na hali ya Stella.
“Anaendelea vizuri tu wala hakuwazii , ngoja nikuoneshe maana saivi ana mpenzi mpya na hana habari na wewe “ Aliongea huku akimuonyesha baadhi ya picha ambazo zilimuonesha Stella akiwa kwenye kivazi cha kuogelea ,James alisisimka baada ya kuona umbile la Stella
Lea alikuwa akifanya kumuonesha James ,alimjunesha za Stella na Sebastian wakiwa kwenye pozi mbele ya Swimming pool
“Huyu ndio mpenzi wake mpya ?”
“Ndio huoni walivyo pendeza “
“ Hongera yake , nilijua tu kama hanipendi huyu mwanamke nilikuwa namwamini sana kumbe mchafu namna hii , sitokuja kumsamehe “
“ Usimchukie sana mpenzi , kwanza upo na mimi mwanamke ninaye kupenda , haina haja ya kumuwazia Stella tena” Aliongea Lea huku Stella akielekea bafuni akimwacha James.
James alishika simu yake na kuwasha data na kuangalia message za Watsapp, alijikuta akitabasamu baada ya kuona jumbe kutoka kwa jina la Business partner ,jumbe ya sauti (voice notes) , aliweka ‘Earphone’ masikioni na kusikiliza huku tabasamu pana likiwa limeupamba uso wake , inaonekana jumbe hio ilimfurahisha mno , pale alipomuona Lea anatoka bafuni ndio akajikausha na kuweka simu pembeni baada ya kufuta ule ujumbe .
****
Ilikuwa ni siku nyingine siku ambayo Mama Rania na kijana Peter walikuwa kwenye gari moja aina ya Range Rover Spot huku dereva akiwa Peter akiwa makini na usukani , pembeni yake alikuwa ni Mama rania alieonekana kusinzia, hakuwa na habari kabisa kwa alivyojiachia kwani sketi aliovaa ilikuwa imepanda mpaka kwenye mapaja ,ukizingatia pia kigauni alicho vaa kilikuwa chepesi sana , mwanamama huyu hayo ndio maisha yake ,alikuwa na uzungu mwingi hata kazini kwake.
Gari ilizidi kuyoyoma na ndani ya masaa manne gari ilikuwa ikipita sehemu moja inayoitwa Soni hapa ndio Mama rania alishtuka kutoka usingizini .
“Nimelala sana?”
“Yeah ndio tuko eneo moja linaitwa Soni na muda si mrefu tunafika lushoto mjini “
“ Aisee nimelala”
“Unaonekana kuchoka sana”
“Yeah nimechoka sana jana sikulala kabisa mpaka kuna kucha “
“Tatizo lilikuwa ni nini sasa ?”Aliuliza Peter huku akiwa makini zaidi na barabara kwani makona yalikuwa mengi .
“Mambo ya kawaida tu , halafu kuna baridi huku” Aliongea Mama Rania baada ya kupandisha kioo.
“Ndio huku ni juu milimani , milima ya Usambara , ni kuzuri kweli nishawahi kufika mara nyingi nyingi kuna baridi ,ila kuna maeneo mazuri ya kutembelea”
“Kumbe nipo na mwenyejii, basi inabidi unipeleke peleke hayo maeneo ya vivutio nikaone na mimi”
“Hilo hata usijali Boss”
Walitumia masaa machache sana kufika Soni, na moja kwa moja waliingia Lushoto mjini na kwakuwa ailikuwa mapema sana , waliingia kunywa chai kwenye mgahawa na baada ya hapo wakaanza ukaguzi ndani ya jengo hilo la benki , na Peter yeye akiwa na kazi ya kuweka mfumo mpya kwenye tarakishi pamoja na vimashine flani vya mtandao .
Kazi ilifanyika kwa masaa manne mpaka kuisha na iliisha mapema kabla hata ya muda ambao walipanga kuutumia , baada ya kazi zote hatimae waliondoka huku wote wakiingia kwenye gari na kuelekea kwenye hoteli moja maarufu sana ndani ya Lushoto ilio kuwa ikijulikana kama “IRENTE VIEW “ hii ni hoteli moja nzuri sana ilio kuwa ikimilikiwa na marehemu raisi mstaafu Benjamini mkapa , ilikuwa juu ya mlima na ukiangalia kwa chini unaona maeneno ya tambarare , kama nji za kwenda Moshi , Mazinde na baadhi ya maeneo mengine ni eneo zuri kweli kwa hoteli hio kuwepo .
:Jamani kuzuri huku , kuna mazingira safi hadi raha na hewa safi kabisa “ Aliongea Mama Rania wakati wakitoka kwenye gari baada ya kuingia ndani ya hoteli hio.
****
Tajiri Samir hakurudi nyumbani siku ambayo mke wake alikuwa amemuambia kuwa kesho yake atasafiri kikazi na wala hakujua kabisa mke wake alikuwa amesafiri kuelekea wapi Zaidi ya kujua yupo safari kikazi .
Usiku wa siku hio Mama Rania alimsubiri sana , alikuwa akitamani kupata haki yake ya ndoa na alikuwa kwenye hali mbaya sana , lakini Samir hakurudi kabisa kwani mchepuko ulikuwa umemshikilia sana siku hio .
“Umeamkaje mpenzi?” Aliuliza Amanda ,alikuwa amekaa kwenye Dressing table akijipodoa ,ilikuwa ni muda wa asubuhi na Samir ndio kwanza alikuwa akitoka usingizini .
“Jana umeniweza kweli yaani nimesahau kabisa kurudi nyumbani “
“Nipo hapa kwa ajili ya kukusahaulisha kuhusu mkeo maana najua upo kwenye wakati mgumu sana wewe ni familia yako “
“Ni kweli , ila yataisha tu ,”
“Vipi mke wako leo si atakuwa na presha huko”
“Kweli na anavyonipenda sidhani kama jana alilala, maana kila siku namkuta yupo macho ananisubiria , halafu aliniambia kuwa anasafiri kikazi”
“Masikini saivi atakuwa na mawazo safari nzima”Aliongea Amanda pasipo kujali kuwa anaye mfanyia hivyo ni mwanamke mwenzake na anaiharibu nda ya mwanamke mwenzie.
****
Sebastiani alikuwa ndio kwanza kutoka chuoni , aliingia ndani kwake na kisha akajirusha kwenye sofa lilipo ndani ya chumba chake .
“Stella unaninyima usingizi , ila nitakupata tu kwa namna yoyote ile upo ndani ya mawazo yangu sana , nakufikiria kila wakati” Alijiwazia sebastiani huku akiangalia feni inavyozunguka .
“Inabidi nikusaidie katika swala lako na Masumbuko na naamini kupitia hili lazima unipende mwenyewe”
Alinyanyuka na kuweka begi lake lilibeba tarakishi mpakato kwenye meza na kisha, alivua nguo zake na kuingia bafuni ,chumba chake kilikuwa ni self container , alimaliza kuoga na kuanza kujifuta maji , kuna wazo lilimjia ambalo lilimfanya atabasamu .
“Aliifuata simu yake na kisha akamtafuta Steve na kumuuliza yuko wapi na alijibiwa kuwa yupo kazini bado , aliuliza na kuhusu Masumbuko na kupewa jibu kuwa yupo nyumbani na Peter alikuwa mkoani kikazi . majibu hayo yalimfanya atabasamu na kuvaa nguo zake na kujiandaa haraka haraka .
“Hapa naenda kwa masumbuko kuchukua ushahidi au kuutengeneza na hivyo hana akili atajaa tu” Alijiongelesha huku akitabasamu kinafiki.
























SEHEMU YA 20


Sebastian alipanda daladala na moja kwa moja alielekea Mbezi Beach nyumbani kwa Peter na Masumbuko , kutokana na muda huo kutokuwa na foleni kubwa , alitumia dakika arobaini na tano hivi kufika Mbezi Beach , alikuwa akipahafamu sehemu ambayo alikuwa akiishi Peter , alivuka barabara na kunyoosha juu kabisa mpaka nyumbani wanapoishi .
Masumbuko wala hakuwa na habari kwani muda huo alikuwa akiangalia muvi kama kawaida yake maana alikuwa akipenda sana TV.
Alisikia mlango unagongwa na akanyanyuka na kusogelea na kuchungulia kwanza ni nani anaye gonga na alivyo muona ni Sebastian kwanza aliogopa na kuanza kujishauri kufungua ama asifungue , lakini mlango ulizidi kugongwa ndipo alipo kata shauri na kufungua mlango .
“ Wewe fala nagonga hata haufungui , ulikuwa umelala nini?”
“Hamna nilikua najishauri nifungue au nisifungue “
“ Ulijua anaye gonga alikuwa mimi au? “
“ Ndio nilichungulia kabla ya kufungua”
“Sasa kwanini ulikuwa unajishauri kufungua , au ulikuwa unaogopa yale ya siku ile , yale yalipita na sina time nayo chukulia poa tu “
“ Unasema kweli ?”
“Ndio namaanisha , mimi siwezi kukosana na mwanaume mwenzangu kisa demu”
“ Asante sana , mimi hata siku ile sijui nilifikiria nini maana nilijikuta tu nimefanya vile “
“Vipi umefanya” Aliuliza huku akikaa kwenye sofa
“Si kukufanya uwe muhudumu”
“Hahaha... sema ulichonifanyia wewe boya ,ndio hivyo nimekusamehe maana Peter ni rafiki yangu na wewe pia umekuwa rafiki yangu kuanzia leo na kuendelea”
“Asante Sana”
“Peter yuko wapi?”
“Kasafiri “ Alijibu Masumbuko huku akikaa na yeye maana muda wote alikuwa amesimama . wakati huo Sebastian na yeye alikaa vizuri nakutoa simu yake akatachi akapangusa pangusa na kugusa ,ilikuwa simu janja ,kisha akamwangalia Masumbuko .
“ Masumbuko halafu unajua ile siku ulinishangaza sana hivi ulimla yule mwanamke ?”
“Ndio nilimpiga kitu safi mpaka akazimia nikaachana nae maana pale nilimpa kumbukumbu za masaa mawili”
“ Haha .. kwahio ni kama ulimpiga changa la macho na ukala kitumbua si ndio?”
“Yeah nilimbadilisha mawazo sijampiga changa la macho “
“Sasa kwani kuna utoafauti gani kati ya changa la macho na kumbadilisha mtu mawazo?”
“Mimi Sijui jibu wewe”
“Namaanisha si kama umembaka vile?”
“ Kwani kumbaka mtu inakuwaje kuwaje?”
“ Si kama kumfanya bila ya kujua anacho fanyiwa, hapo utakuwa umebaka mtu kwa sababu alikuwa hajui “
“Ndio nimembaka basi”
Basi Sebastian aliaga huku akimwambia Masumbuko kuwa amekuja kwa jili ya kuonana na Peter ila kwa sababu hakuwepo alisema atakuja siku nyingine .
Sebastian alifika geto kwake huku akitabasamu na kutoa simu yake na kuanza kuplay na hapo hapo ikaanza kusikika sauti ya Masumbuko .
”Ahahaha.. nimembaka basi , masumbuko wewe huna akili na utaenda jela bila ya kupenda fala wewe”Aliongea Sebastian huku akitoa ile memory kadi na kuweka kwenye kijiboksi hapo ndani . .
*****
Tajiri Samir alikuwa amedhamiria kwa silimia mia kuwa lazima afanye maamuzi mapema , kwani kila alipo fikiria kuwa Rania ashaanza kuwa na hisia na Peter alipata wasiwasi hali hio aliiona kama bomu linalotaka kulipuka na ni yeye tu ambae anaweza kulitengua .
Wakati akiwa ofisini kwake alitoa simu yake na kumpigia rafiki yake Hemedi na kumwambia kuwa jioni wakutane maeneo yao ya kukutania kwani ana jambo la kumwambia .
Basi baada yakufanya kazi na kumaliza tayari ilikuwa ni mida ya jioni ambayo alipanga kukutana na tajiri Hemedi katika hoteli ya Kilimanjaro kwani hapo ndipo makazi ya Hemedi akitaka kujivinjari na mwanamke yeyote yule .
Samiri alifika nakuegesha gari yake na kwakuwa aliambiwa na bwana Hemedi kuwa wakutane kwenye chumba alichokuwa anapendelea kuchukua hotelini hapo , basi Samir alipandisha juu kabisa mpaka kwenye chumba hicho.
Alifungua mlango na kuingia ,alimkuta Hemedi akiwa na mwanamke mmoja alie valia chupi tu , Hemedi baada ya kumuona rafiki yake alimruhusu yule mwanadada aondoke huku akimminya kalio .
Kitendo kile alikishuhudia Samir na kujikuta akipandwa na hasira hasa alipo fikiria kuwa huyo ndio mwanume ambaye anapaswa kumpa Rania kwa ajili ya kumuoa .
“ Niambie Samir , umefikiria juu ya ombi langu?” Aliongea huku akimimina pombe kwenye glass na kumpa Samir , huku Samir wakati huo alikuwa na hasira kila akifikiria vitendo vichafu vya Hemedi alijiona kabisa huyo hafai kabisa kumuoa mwanae.
“ Ndio nimefikiria”
“ Haya niambie baba mkwe”
“ Sikia Hemedi nimegundua wewe sio rafiki yangu umnafiki , unatumia nafasi ya matatizo yangu ili kumpata mwanangu , sasa mimi kama baba yake sipo tayari kwa hilo.”
“ Samir wewe ni rafiki yangu sana na tumesaidiana katika mengi na unanijua vizuri , kwani kuna shida gani ya mimi kumuoa mwanao?: na kwanza wewe unakuwa kwenye nafasi nzuri kwani Rania utampa mali zako na mimi sina shida na mali zake atazitunza na kumpa mwanae atakae mzaa na hakutakuwa na mgogoro wa mali zangu na watoto wangu wakubwa sasa hiko unacho kichukia ni kipi, mbona kuna watu wengi tu wazima wana oa mabinti “
“Sikia Hemedi wewe ni mnafiki sana na nia yako nishaijua wewe kwa kupenda kwako ngono najua unamtaka na mtoto wangu kwa ajili ya kumchezea , hivi na hio tabia yako kweli naweza nikakupa kweli mtoto wangu mimi si nina mchimbia kaburi mwenyewe “
“ Sikia Samir ni kweli unajua tabia yangu ila ni kuhakikishie kuwa nipo tayari kubadilika kwa ajili ya Rania kwasababu sijampenda Rania jana wala leo , ni muda mrefu sana na nilikuwa nikiogopa sana kukuambia hilo lisije lika leta athari kwenye urafiki wetu”
“ Kwa hio ulisubiri mpaka sasa ambapo nina matatizo ndio kuniambia kwakuwa unajua kabisa sitokuwa na jinsi?”
“ Sio hivyo rafiki yangu , ni kwamba sipo tayari kumuona Rania anampenda mtu mwingine na wakati mimi nipo hai , na isitoshe pia sitaki na familia yako kusambaratika na kuingia kwenye migogoro kisa mwanaume , tena mwanaume ambae hana mbele wala nyuma”
“ Hio sio sababu ya kutosha ya mimi kukupa mtoto wangu”
“Sababu kubwa ni hii hapa” Alivuta bahasha moja na kutoa picha na kuzimwaga mezani na hapo ndipo Samir aliona kama akili yake haifanyi kazi vizuri kwani aliona picha zikimuonesha Rania akibusiwa kwenye paji la uso na Peter”
“ Nadhani umeona sasa, hio nayo ni sababu kwani inanikasirisha sana kumuona mwanmke ninae mpenda akibusiwa hivyo na hio ni kwenye paji la uso kesho na kesho kutwa atabusiwa kwenye lipsi na kumpa kabisa kitumbua , nadhani kwa kiburi ambacho watoto wako wamerithi kutoka kwako sijui utamwambia nini akuelewe kuwa umemtafutia mchumba wa kumuoa”
Samir alijikuta akikaa chini na kunywa glass yote ya bia na kuisikilizia inavyo choma koo na kisha akatulia na kuanza kufikiria huku akiziangalia picha zilizo kuwepo hapo mezani , alipeleka mawazo yake kwa Rania na kufikiria ubishi wake na msimamo wake pale anapohitaji kitu , akamfikiria Nasma
ujeuri aliokuwa nao , akamfikiria Peter na yeye na kuanza kumpima sifa zake kama anafaa kuwa na mwanae hata mmoja aliona hafai.
“ Unajua Samiri wewe hata kuua mtu najua hauwezi , ila mimi nitakusadia kumpoteza kijana Peter kwajili ya kuwaokoa wanao “ Aliongea Hemedi na kumfanya Samir aliekuwa kwenye mawazo amwangalie na kujiuliza hitaji lake kuu ni nini , alijibu kuwa kujiambia kuwa hitaji lake kuu ni Peter kupotea katika uso wa Dunia ili kuiokoa familia yake.
“ Una uhakika juu ya hilo la kumpoteza Peter “
“ Ndio hilo naweza sana na lipo ndani ya uwezo wangu ,ni wewe tu kunipa baraka nimuoe mwanao na wewe utumie ubaba kumfosi mwanao nimuoe na mimi najua jinsi ya kumpata Rania kama ndio jambo ambalo lina kuumiza kichwa .
Samir alimwangalia rafiki yake huyo ambae dakika chache za nyuma alikuwa akimwamini sana katika kumwambia shida zake , kwake aliona mazungumzo hayo yalikuwa ni kama ya kibiashara.
“ Daah..! “ Aliongea Samiri na kukatishwa na simu ilokuwa ikitoa mlio wa sauti ikioonesha kuwa kuna mpigaji , alitoa na kuona ni namba ngeni .
“ Boss za siku nyingi!”
“ Salama nani mwenzangu?”
“ Ni mimi Krispine kutoka kampuni ya POPOTE TUNAFIKA , ulinipa kazi nifuatilie taarifa za yule mwanamke ,nimepata taarifa yake na mwanae”
“Uko wapi?”
“Nipo Ubungo”
“ Nakuja “
“Hili tutaongea siku nyingine Hemedi” Aliongea Samir na kisha kuondoka .
****
Tukiingia ndani ya mji wa Lushoto , alionekanna Mama Rania akiwa kwenye chumba chake ndani ya hoteli , baada ya kila mtu kuchukua chumba .
Chumba cha Peter kikiwa kipo mkabala na chumba cha Mama Rania , hoteli ilikuwa na mazingira ya kuvutia sana kwani chumba kilionekana kuwa kizuri mno .
Mama Rania alikuwa amekaa kwenye kitanda chake akionekana kuwa na mawazo , akiwa ameshikilia simu yake , ni kama alikuwa akisubiria mtu amtafute . na nikweli alikuwa akisubiria ujumbe ama simu kutoka kwa mume wake , kwani tokea alivyo ondoka jana yake nyumbani hakurejea kabisa , na mbaya Zaidi ni kwamba na yeye ameondoka bila ya kuonana nae , japo alikuwa akijua kuwa mume wake alikuwa akichepuka lakini hakuacha kumpenda mume wake na alitaka tu kujua hali ya mme wake kuwa anandeleaje .
Wakati akiwa kwenye mawazo akiwa amekaa kwenye sofa , jina la ‘My favourite Naa’ lilisomeka kwenye kioo cha simu yake janja ukiambatana na mlio wa sauti wa wimbo wa ‘Alan walker –Faded’, alikuwa ni mwanadada Nasma ,alitabasamu huku akiipokea na kuweka sikioni na kuanza kuongea na mwanae . alionekana kuna jambo la kufurahisha ambalo alikuwa akiongea na mwanae huyo maana hali yake ilibadilika na kuonekana kutabasamu .
Mama Rania alijikuta akitamani kupiga soga na Peter mara baada ya kumaliza kuongea na simu , kwani alikuwa amemzoea sana Peter na hususani akiwa kwenye hali ya mawazo mara nyingi mtu ambae amekuwa tabibu wake wa kumrudisha katika hali sawa alikua ni Peter , alinyanyuka kivivu na kuchukua kitenge chake na kujifunga huku akiwa amevalia kijisketi chake chepesi kwa ndani alitoka na kwenda mpaka kwenye chumba cha Peter , aligonga na kusubiria na baada ya muda Peter alifungua mlango hukua akiwa amevalia singlend na bukta lake .
“ Vipi naweza kuingia? “ Aliongea Mama Rania huku akimwangalia Peter usoni aliejifikiria kwa sekunde na kisha alimruhusu mama huyo na kuingia
“ Najihisi upweke kukaa mwenyewe nimeona nije unichangamshe
changamshe maana naona kama mawazo yananiandama”Aliongea Mama Rania
na Peter kwa akili yake ya haraka alijua kabisa mama huyo alikuwa akisumbuliwa na mawazo kwani kule njiani alikumbuka alimwambia kuwa hakulala kabisa usiku wa jana mpaka kunakucha .
“ Basi stori zilianza , na kama kawaida Peter kwakuwa alikuwa haishiwi na stori za uongo na kweli Mama Rania hali yake ya furaha hatimae ilikuwa imerudi kwa kiasi fulani , uzuri wa kile chumba ni kwamba kilikuwa na sehemu ya kukaa yaani kulikuwa na masofa(master suite room) ambayo yamepangwa na yalikuwa yakiruhusu watu kama watatu kukaa .
Baada ya kupiga stori kwa muda mrefu , huku hali ya hewa ya Lushoto ikizidi kuwapa kajiubaridi na kumfanya Mama Rania atoe ile khanga alio jifunga na kujifunika mabegani na wakati huo walikuwa wamehamia kwenye kungalia onyesho fulani la wanamuziki kutoka Marekani wakionyesha uwezo wa kwenye kuimba(Stage perfomance ) , sasa Peter alidhania mama Rania anapenda kile alichokuwa akiangalia kumbe mwenzake alikuwa ashalala muda na saa ilikuwa ikisoma saa nne usiku muda huo , Peter muda wote alikuwa akijua kuwa na mwenzake yupo makini kwenye kuangalia maana alikuwa akiona vijiaibu flani hivi vya kugeuka na kumwangalia Mama Rania usoni. Na hakujua kwa nini alikuwa na hali hio .
Baada ya dakika kadhaa alijikuta akigeuka na kumwangalia Mama Rania , hapo ndipo alipo gundua kumbe mwenzake ashapotelea usingizini muda mrefu huku akijiegamiza vibaya kwenye lile sofa ,Peter alimwangalia na kuona kweli boss wake kachoka , aliamua kunyanyuka lakini mara Mama Rania kwa jinsi alivyo kuwa ameegamia lile sofa alijikuta akielekea chini na Peter kwa uharaka wake alijikuta akichuchumaa na kumdaka na hapo Mama Rania ndipo alipo kuja kushituka akiwa kwenye kifua cha mwanaume na uso umekaribiana na wa Peter huku akihisi pumzi ya joto ya kijana , kwakuwa kijisketi alicho vaa kilikuwa kifupi kwani hizo ndio nguo zake , basi mapaja yote yalikuwa yamegusana na miguu ya Peter kwani alikuwa amevalia bukta .
Mama Rania alijikuta akihisi joto Fulani na pumzi ya Peter ilio kuwa ikimpumulia na kujikuta hisia za mapenzi zikimpanda na kwa upande wa Peter kama mwanaume rijali alikuwa akihisi joto la ajabu sana kutoka kwenye mwili wa Mama Rania na kujikuta dunguso yake kusimama wima na kugusa mapaja ya Mama Rania.
Mama Rania alijikuta akishusha mdomo wake taratibu kwa Peter , kisha lips zikagusana na kwakuwa Peter alikuwa mgeni alikuwa haelewi haelewi chakufanya alikuwa kama mtu aliepigwa shoto na kuhitaji kunasuliwa , Mama Rania alicharuka kwani hisia zilikuwa zimempanda kiasi kwamba kwa hali alio kuwa nayo shetani asingeweza kujizuia , na ukizingatia hajakutana na mwanaume kwa muda mrefu hali ilikuwa mbaya kwake alijisemea liwalo na liwe .
Mama Rania alimshika Peter mkono na kuushikisha kwenye mapaja yake karibu kabisa na kitumbua na kumfanya Peter ahisi msisimko wa ajabu sana na uliongezeka pale Mama Rania alipogusa dunguso ya Peter.
Peter alishindwa kabisa kujizuia kwani hisia zilikuwa zipo juu na ukizingatia kuwa hakuwahi kufanya kitendo hicho tokea azaliwe, basi kujikontrol ilikuwa ni ngumu sana kwa kijana kama Peter kwani alianza kabisa kutoa ushirikiano , Mama Rania alinyanyuka na kumuinua Peter huku wakipeana juisi ya mdomoni na mwanzoni Peter alikuwa hajui hatua ila muda ulivyo zidi kwenda alijikuta akianza kuwa fundi , Mama Rania alishusha nguo yake ya ndani pasipo kuvua ile sketi na kisha akatoa na sidiria na kijiblazia alichovaa, alichukua mkono wa Peter na kushikisha kwenye hazina yake na Peter alielewa somo na kutumbukiza kidole na kuanza kazi ya kusugua na kumfanya Mama Rania atoe miguno huku akijinyonga nyonga , Mama Rania aliona kama anacheleweshwa kwani wakati huo hata haikueleweka Peter alivua saa ngapi lile libukta ,wakati huo msumali ulikuwa dede na umetuna ,Mama Rania aliinama na kupandisha kile kijisketi juu kabisa na kumwachia Peter kazi na Peter mwenyewe hakuzubaa maana akili yake hapo ilikuwa haifanyi kazi vizuri , aliingiza mtwangio wake na kumfanya mama wa watu apanue mdomo na kukugugumia kwa utamu kama wote.
Baada ya nusu saa mbele Peter alionekana fahamu kumrudia huku Mama Rania akiwa hana nguo hata moja na Peter nae alivaa bukta lake haraka haraka na kuangalia pembeni kwani alianza kujutia kwa kile alichofnya , kwani aliona kabisa ashakwisha lala na mke wa mtu.
Kwa Mama Rania wala hakuwa hata na wasiwasi , tena tabasamu lilionekana likipamba uso wake , kwake kufika kileleni lilikuwa ni historia ya muda mrefu na histora hio ndio imejirudia siku hio akiwa na kijana mdogo Peter , alitambua wasiwasi aliokuwa nao Peter hivyo aliamua kumsogelea na kisha alimkumbatia huku akimwagia sifa kedekede .
Naam ! Liwalo na liwe .
****
Samiri aliendesha gari lake kwa haraka kubwa ili kuwahi sehemu ambayo amepanga kuonana na bwana Krispine ambae ni mfanya kazi wa kampuni ya kutafuta watu ijulikanayo kwa jina la “POPOTE TUNAFIKA” , alitumia muda wa saa limoja tu kutoka mjini Posta mpaka Ubungo Landmark Hotel , sehemu ambayo ndio alipo panga kukutana na bwana huyo .
“Za Siku Nyingi Boss” Alisalimia kijana mdogo kabisa alie valia suti yake safi kwa heshima kabisa , huku akiweka mkoba wake pembeni .
“ Salama kabisa namshukuru mwenyezi Mungu kwa kila hali”
“Nimechelewa kidogo kulikamilisha zoezi hili, kutokana na kwamba sikua na muongozo wowote katika kumtafuta ila nashukuru nimefanikiwa kumpata .
“Niambie anapatikana wapi?” Aliuliza Samir kwa shauku kubwa ya kutaka kujua sehemu ambayo anapatikana
“Kwa majina anaitwa Irene mshana ni mwenyeji wa mji wa Arusha sehemiu alipozaliwa:”Alipozi kidogo huku akifungua makaratasi yalio kuwa kwenye begi lake hilo .
“Alihamia jijini Dar kwa ajili ya kutafuta maisha baada ya mama yake kufariki kwa ugonjwa wa maralia , kuhusu taarifa za baba yake na ndugu kwa ujumla sijazipata .
Hapa jijini alikuwa akiishi maeneo ya Sinza mpaka alipo jifungua mtoto wa kiume ndipo alipo hama , na taarifa kwa sehemu alipo hamia hazijafahamika kwa undani Zaidi ,lakini nimefahamu kuwa alijifungua mtoto wa kiume lakini jambo la kusikitisha ni kwamba kwa utafutaji wa kampuni tumeweza kugundua kuwa mwanamama huyu alipoteza maisha yeye pamoja na mwanae.”
Samir alijikuta kwenye mshangao mkubwa sana na maumivu makali baada ya kusikia kuwa wote wawili walipoteza maisha hapo hapo .
“ Samir alijikuta akinyong`onyea baada ya taarifa hio kwani ilikuwa ni taarifa ambayo ilisikitisha mno mbali na mategemeo yake , hasa alipo sikia kuwa mwamke yule alijifungua mtoto wa kiume ambae anamtafuta usiku na mchana ili kuja kumrithisha mali zake kwani hakuwa na uhakika na maamuzi ya mali zake kuzirithisha kwa wanae wa kike .
“Ni hayo tu mheshimiwa na kama kuna jipya nitakalo libaini basi nitakuambia mapema iwezekenzvyo “ Aliongea bwana yule na kisha akapeana mkono na Samir na kisha kuondoka .
Alikaa chini na kujifikiria kwa muda huku akihuzunika kwa uzembe wake ,lakini mwishowe alikubaliana na hali halisi kwa kuona kwamba hayo yote yalikuwa mapenzi ya Allah.
Alijkuta akitoa simu yake na kumpigia tajiri Hemedi rafiki yake
“Una baraka zangu zote, nipo tayari kukupa mtoto wangu umuoe ila kwa masharti makuu mawili la kwanza ubadili tabia yako , kwani sipo tayri kumuona mwanangu akilia kwa kuumizwa na tabia yako ,na pili najua wewe ni mtu mwenye mtandao mkubwa sana kwa hio naomba umpoteze kijana Peter kwenye uso wa hii Tanzania maana sitaki kumuona akihusika na familia yangu “ Alisema maneno hayo Samir na kisha akaagiza chupa ya bia na kuanza kunywa hapo hapo hotelini na alipanga siku hio alewe chakari kutoa mawazo.
Wahenga wanasema”Majuto ni mjukuu” na “usiloijua ni kama usiku wa kiza kinene .






SEHEMU YA 21

Peter aliekuwa amegeuka upande wa dirishani alikuwa akiona hata aibu ya kumwangalia mama huyo , kwani kitendo walicho kifanya muda mfupi ulio pita kilikkuwa ni kitendo ambacho alikiona kama ushetani au dhambi kubwa sana japo hakuwa na dini , ila aliamini kuwepo kwa Mungu mhukumu wa watu wenye dhambi na yeye aliona kuwa amefanya dhambi kulaa na mke wa mtu, ilishangaza kwa yeye kujutia kwani moja ya malengo yake katika kisasi chake ni kutembea na familia nzima ya Samiri .
Peter aliitoa mikono ya Mama Rania na kisha kumgeukia na hapo ndipo alipo kosea kwani ile anageuka tu Mama Rania alikuwa tayari ashapeleka mdomo wake na kuanza kumyonya midomo , Peter aliannza kuleta ugumu lakini aliposhikwa dunguso yake na mikono milaini ya mama huyo alijikuta akinywea kama maji kwenye mtungi na kumuacha afanye kile anacho taka , mchezo uliendelea kwani walisogea mpaka kitandani na Peter kusukummwa kitandani na boss wake Shani au Mama Rania na kisha akamvua bukta na kutupa kwenye kona ,Mama huyu alishika kirungu na kuanza kuchezea jambo ambalo lilimfanya Peter awehuke kwani kitu anacho fanyiwa kilikuwa ni cha levo ya ktabu cha ‘Super Erotic Romance’ mama alikuwa akijua mambo kwani yeye alikuwa tayari ameolewa ukiachana na historia ya nyuma ya maisha yake kabla ya ndoa ,alijua mbinu jinsi ya kumpoteza mwanaume yeyote yule kwenye dunia ya mapenzi, Peter hakufurukuta kwani alikuwa kwenye sayari nyingine kabisa , sayari ambayo hakuna mtaalamu yoyote wa mambo ya anga amefanikiwa kuiona kwa Darubini .
“Liwalo na liwe” Aliongea Peter na kumshika Shani na kumgeuza hata Shani mwenyewe alishangaa kitendo hicho cha Peter kumgeuza kwanguvu kama mbogo . alimkunja kama kambale na kuingiza mtwagio wake maana ulikuwa mkubwa wa haja na kwakuwa Mama Rania katika kujifungua kwake kote ilikuwa ni kwa njia ya upasuaji basi eneo lake lilikuwa kama la binti mdogo .
Peter alimpelekea moto mama huyu Rwanda magere anaziiita Bakora za kimkakati , haikujulikana hata ujuzi alikuwa ameutolea (hivi vitu tunazaliwa navyo ni asili ) ,Mama Rania au ukipenda muite Shani alikunjwa na kukunjuliwa na kunyoooshwa na kupinduliwa , akafika kitonga akashuka akapanda tena akashuka akapanda tena na kushuka tena na kujikuta akiweka historia ya kuukwea na kuupanda mlima kitonga kwa mara kibao.
“Asante sana mpenzi , yaani hata siamini nikajua unajuwa kuchezesha vidole kwenye komputa tu kumbe hata kwenye mwili wa mtu uko vizuri ,umenifanyia kitu ambacho sitakaa chini na kuukosa uhondo huu “ Alijidekeza kabisa huku akitoa sifa zote kwa Peter huku akisahau kabisa mkononi ana pete ya ndoa .
Basi ukawa mwanzo na mwendelezo wa kupanda vilima na kushuka , siku tatu zote walizo kuwa katika jiji hilo la Lushoto kwaminajiri ya kufungua benki katika wilaya hilo uliambatana na ufunguzi wa mapenzi yao yasio na kibali mbele za Mwenyezi Mungu, walitembea kwenye vivutio vyote vya utalii vilivyopo ndani ya wilaya hio , huku kila siku wakirudi kupeana dudu , hata chumba alicho chukua Peter ilibidi akirudishe tu kwani alikuwa hakitumii tena, ilikuwa ni mwendo wa kupeana dudu tu , kiufupi sio Mama Rania sio Peter wote walinogewa , Peter alinogewa na vitu alivyo kuwa akipewa na mama huyo na Mama Rania na yeye alijikuta hata akimdharau mume wake kabisa na kuona sasa wako droo.
“Peter mpenzi wangu nakupenda sana , yaani natamani ungekuwa wewe ndio mume wangu “ Aliongea huyu kwa mapozi kabisa ukidhania ni binti wa miaka therathini au ishirini na hajawahi kuzaa kumbe ana mitoto tena mikubwa na mizuri kabisa ambayo ipo kwenye lika la kuolewa na kuwa na familia kama kijana Peter. .
“Nakupenda pia mpenzi , siku zote sikujua kumbe hii sehemu inanoga kiasi hiki” Huku akimshika na wakati huo walikuwa kwenye gari kuelekea hotelini wakitokea eneo moja linaitwa Mkuzi huko kwenye vivutio vya utalii , na mama Rania hakuwa hata na wasiwasi yaani alikuwa akijiona dunia nyingine kabisa na alitamani kabisa kutorudi nyumbni ,wakae tu huko hata mwezi mzima , na kwa Peter alikuwa amenogewa na yeye alitamani alekitumbua tu kwani utamu aliokuwa akihisi wakati akichovya kibuyu hicho cha asali haukuwa wakawaida laiti angejua kuwa mwanamke ambae ana mkunja kila siku na kumkunjua na kuonesha ubabe wake ni mwanamke alie husika na mauaji ya mama yake sijui angefanya nini na kwa Mama Rania na yeye laiti angejua kuwa mwanaume huyo alio kuwepo hapo ndio mtoto aliotoa maagizo kwa ajili ya kuuliwa na pia ni mtoto wa mume wake na kaka wa wanae sijui ingekuwaje .
“Vipi nikununulie ndizi naona zimeiva na zinavutia “ Aliongea Peter baada ya kufika eneo moja liitwalo Magamba .
“Ndio nunua “ Alijibu Mama Rania huku akijilaza kwenye kiti.
“Peter alitoa wallet yake kutoa hela kwa ajili ya kulipa , lakini ile anachomoa hela kulidondoka kitu kutoka kwenye waleti yake alinunua kwanza zile ndizi na kisha na kuziweka mbele na kisha aliinama na kuokota , alijikuta macho yakimtoka na hapo hapo akakumbuka siku ambayo Rania alimletea waleti yake .
****
Rania tokea Peter aondoke alijikuta kwenye wakati mgumu sana , kwani kila akikumbka tukiio la Peter kumbusu kwenye paji la uso mwili wote ulikuwa ukimsisimka , kila saa alikuwa akiangalia kidani cha holder ya funguo alicho pewa na Peter , huku akikumbuka maneno yake kuwa huo ni kama ushahidi wa wao kuwa marafiki, alijikuta akitabasamu usiku huo , huku akijiviringisha kwenye kitanda .
“Lakini yupo kimya sijui ujumbe wangu hakuupata?? “ Alijiongesha mwenyewe huku akionekana kabisa kuna ujumbe alimtumia Peter haikujulikana kamtumia kwa njia gani ila alionekan kabisa kuna ujumbe ambao alikuwa amemtumia Peter na alikuwa akisubiria majibu.
“Sis....” Ilisikika sauti ikiit na kumfnya Rania alie lala kugeuka na kuangalia mlangoni.
“Waoh!, Nasma.. karibu sana, leo umekuja kutusalimia jamani nimekumisije mdogo wangu” Kumbe alikuwa ni Nasma.
“Nimekumiss pia mrembo , leo nimekuja kabisa kulala na ndio maana unaniona usiku”
“That is great , karibu sana mdogo wangu yaani ungejua nilivyo kumiss wewe acha tu , sema majukumu ndio yananibana nimeshindwa kuja kukusalimia huko nyumbni kwako”
“Mewe muongo , ila nafurahi nimekuona , unazidi kuwa mzuri tu dada yangu”
“Ahahaha jamanii.. wakati wewe ndio mzuri katika familia yetu kuliko wote”
“Ahaha.. sio kweli wote tunalingana” Aliongea Nasma huku wakionekana kufurahia kuonana, kwani japo walikuwa wakiishi kwenye jiji moja lakini ni mara achache sana kwa wao kuonana ,Nasma yeye alikuwa kiishi sehemu yake , kutokana na kwamba yeye haelewani kabisa na baba,Nasma hakupenda ukoloni wa baba yake.
“Jamani chakula atayari , dada Najma anawasubiri”Aliongea mfanya kazi wa ndani akiwakaribisha kwenda kula achakula cha usiku.
“Najma mambo!” Alisalimia Nasma baada ya kumkuta pacha wake kwenye meza akiwasubiri maana ndio ulikuwa utaratibu lazima kuwasubiri watu wote wafike kwenye meza ndipo uanze kujipakulia na kama sio sheria hio Najma angekuwa ashajipakulia mapema mno..
“Safi nakuona karibu” Aliongea Najma kwa kujilazimisha .
“Hata mimi nakuona tokea miaka mingi tulipo achana tokea uende masomoni umebadilika na umezizi kuwa mzuri “
“Ndio ila najua si kushidi wewe” Aliongea najma huku akijipakulia chakula
“Halafu jamani baba siku hizi anachelwa “
“Nani anachelewa ?: , mimi hapa nimerudi “ Ilisikika sauti kutoka mlangoni na Samir alionekana akiingia huku amelewa chakali huku akiyumba yumba na kuwasogelea wanae .
“Watoto wangu warembooo.. naonaaa… leo mmekusanyika kunijadili .. mimi baba yenu , ..hiki kikao chenu tukipe jina gani vilee.. eti Nasma mtukutu ... aa... mimi nakiita kikao cha masimango”Aliongea Samir kilevi na kumfanya najma aamke na kumkalisha baba yake kwenye kiti .
“Dadii.. mbona uko hivi leo jamanii “.
“Nilikuwa nasherehekea”Aliongea
“Ulikuwa unasherehekea nini ?”
“Najma msaidieni baba aende chumbni kwake acha kumuuliza maswali”Aliongea Rania
“Nilikuwa nasherehekea kupatikana kwa mchumba wa Rania “Aliongea kilevi na kumfanya Rania ashituke na kumwangali baba yake huku Nasma na Najma wakimsadia baba yao apande ngazi kueekea juu chumbani
“Hii tabia ya baba kulewa kaanza lini Najma?”Aliuliza Nasma
“Mimi hata najua sasa , ila kaanza wiki ya tatu hii na leo kawahi “
Nasma ndio alikuwa kulwa na Najma alikuwa doto.
Basi walirudi na kuanza kupiga stori , huku Rania akiwahadithia kuwa yupo mbioni kupata mchumba jambo aambalo wadogo zake walishangaa huku wakitabasamu .
“Anaitwa nani huyo ?”
“Anaitwa Peter”Alijibu bila hata ya wasiwasi
“ Jamanii ..natamani kumuona , kwa hio mshaanza kuwa na mahusiano au ni mapenzi ya mtu mmoja “ Aliuliza Nasma
“ Bado ila naamini ana nipenda maana ashanipa zawadi na kasema yeye ni tofauti na wanaume waliopita , kasema hayuko tayari kuniacha”
“wow ! jamanii.., am so so happy for you sis..”Aliongea Nasma
“Na wewe Nasma vipi ?”
“ Yes , yes .. me too” Alijibu huku akijifumba uso kwa mikono na kumfanya Rania acheke na Najma kumwangalia huku akilazimisha tabasamu .
“Haha what ! ,So all of us we are in love , how if we arrange a day kukutanishana sisi wote na wapenzi wetu au mnaonaje? Aliongea Rania
“Kwa hio hata Najma ana mpezi tayari ?”
Hapo ndipo alipo haribu kwani Najma aliondoka bila ya kusema kitu na kukimbilia ndani kwake , alifika na kujikuta akianza kulia kilio cha kwikwi.
“Uko wapi , mbona sikuoni , mbon aunaufanya mtima wangu kuwa katika maumivu kwa kiasi hiki , nakupenda njoo unitoe kwenye haya haya mawingu ya sintofahamu” Aliongea Najma kwa hisia huku akitoa machozi laiti angejua mwanaume anae mlilia ni kaka yake angeacha mara moja, lakini ndo hivyo kosa si lake kupenda kosa linaanzia kwa baba kumtelekeza mwanamke huku ilihali akijua ni damu yake , sasa watoto wanakuja kumpenda mwanaume huyo huyo ,huku mama nae akinogewa na mwaname huyo huyo
“Wanaume wajibikeni na matendo yenu madhara yake yanakuja kuwa makubwa sana na ni kama haya yanayo onekana kwa familia hi ” Maneno ya mwandishi yanywe au yateme
“Halafu mbona na wewe umenuna ghafla “ Aliuliza Rania .
“Sijakutana na mpenzi wangu bado , kwani tumekutana mara moja tu na jina simjui” Aliongea Nasma nakumfanya na yeye kushangaa
“Mhmh! basi wewe na Najma mko sawa “
“Una maanisha nini dada ?”
“ Namaanisha na yeye amependa mwanaume ambae hamjui”
Nasma na yeye alishangaa huku akimuelewa pacha wake ni maumivu kiasi gani aliokuwa akipitia kwani alikuwa akijua ni jinsi gani inauma kumpenda mtu ambae bado haujamfahamu vizuri na huna namna ya kuonana huku ukisubiria bahati ya Mungu kuwakutanisha tena ..
****
Peter alijikuta akichukua ile picha na kuigeuza nyuma na kuona maneno yameandikwa , Mama Rania alikuwa akimuangalia hivyo aliamua kuweka ile picha kwenye waleti na kisha akaendela na safari .
walifika ndani na kisha waliagiza chakula na kuanza kula na kumaliza na kisha wakaanza kuangaliia movie huku wakiwa wamekaa kwenye pozi la kimahaba kabisa , hakuna hata mmoja alie kuwa na wasiwasi.
“Nikifika nataka kukununulia nyumba kubwa mpenzi”
“Unasema kweli?”
“Ndio natamani hata ya kuishi na wewe , ila nina mume nitakununulia nyumba na nitakuwa nakuja mara kwa mara kufurahia penzi letu”
“Asante mpenzi nakupenda sana”Huku wakianza kunyonyana na hata ile muvi ikaachwa kuangaliwa na kuanza kunyanduana na kijana huyu ambae kusudi la kwendca kufanya kazi kwenye benki anayosimamia mwanamama huyu ni kwa sabababu alitaka kulipiza kisasi kwa Samiri kwa kitendo cha kumdharau , na katka kisasi chake hicho alikuwa amedhamiria kulala na wanae wote ,lakini sasa anamkula mama mtu huku watoto wa mama huyu wakiliwazia penzi la Peter yaani kisasi kinajilipa chenyewe .
Kwa yaliokuwa yanafanywa na wawili hawa pamoja na historia zao ilikuwa ni jambo la kutisha kweli kweli ,Mama Rania hakumuona tena Peter kama mtoto , tena mtu ambae alikuwa anapaswa kutembea na mwanae Rania , alimuona kama mwanaume Tena mwanaume wa kukidhi haja zake zote .
Baada ya kumaliza kufanya waliokuwa wanafanya mambo ambayo \mnele za Mungu hayakuwa na kibali , Mama Rania alipotelea usingizini , na Peter alitumia wasaa huo kuangalia kile alichokuwa na hamu ya kuona muda wote
Ilikuwa ni picha ya mrembo Rania picha ambayo ilikuwa imekatwa kipande na kufanywa kama passport , huku ikimuonesha kimwana huyo kupendeza kweli kwa tabasamu lililopamba uso wake ,Aliangalia kwa sekunde kadhaa picha hio na kisha aliigeuza nyuma na kusoma vimaandishi vidogo vilivyoandikwa . “Najua ni kipindi kifupi nimekufahamu ila umekuwa na mchango mkubwa sana kwenye furaha yangu na umenitoa kwenye kiza kinene sana juu ya mtazamo wangu kuhusu wanaume nimegundua kuwa wewe ni mwanaume wa kipekee sana , na mwanume ambae ninaweza kuishi nae , nimetokea kukupenda sana Peter nipo tayari kuwa mpenzi wako naomba unikubalie na usinione mimi kama maaya ni hisia zangu juu yako nitasubiri jibu lako ni mimi rania nakupenda sana peter naomba unifikire na unipe jibu linalotoka ndani ya moyo wako sitaki kuumia tena”

Peter alijikuta jasho likimtoka huku akiwa haamini kwa kile anacho kisoma , kwa upande wake ilikuwa ni jambo ambalo angeshangilia kwani ni kitu alicho kuwa akikitaka kwa mrembo huyo kutoa bikra tu na kuondoka zake kwani aaatakuwa kashalipa kisasi , ila maneno yale yalimfanya apatwe kutokana na kwamba japo maandihi yale yalikuwa machache lakini aligundua kuwa yalikuwa yamebeba hisiaa nzito mno .
















SEHEMU YA 22
“Nadhani ni wakati wa kutafuta mrithi wangu sasa nishachoka kuongoza kampuni nataka nibakie kwenye bodi tu ya kampuni” Aliongea Profesa Gladness.
“Sasa profesa utamwachia nani kampuni , wakati hakuna mtu ambae anafikia hata nusu yako”
“Mary ukiona natamka haya maneno jua nishapata mtu wa kukalia kiti changu”
“Ni yule mtu anae husishwa na viumbe kutoka sayari nyingine au kuna mwingine?”
“Kuhusu hilo nitaliweka wazi hivi karibuni haina haja ya kuwahi kuwaambia” Aliongea profesa Gladness bila ya kumtajia jina Mary kwani alikuwa ni shushu na hapo alikuwa yupo kiuchunguzi Zaidi kwa kile kilicho kuwa kinaendelea .Na uzuri wa profesa Gladness hakuwa akimuani mtu , na hio ndio slogani yake..
“Boss kuna wageni wako wamekuja kukutembelea “ Aliongea Mary na kumruhusu awaingize.
“ Haa…!! Mom .., dadii” Aliongea Gladness na kuwakumbatia wazazi wake ambao alikuwa ni Rafaeli na Nifani
“Mmerudi lini nchini ?”
“Ndio tumeingia leo hii nchini ,tumepitia KIA”
Gladness alifurahi sana kukutana na familia yake hio , kwani ni kipindi kirefu kidogo tokea wasafiri , kwani walikuwa wakila bata tu , na kutembelea nchi mbali mbali .
Basi familia hio walitoka na kwenda nyumbani kwa gladness sehemu ilo kuwa ikijulikana kama kijiji cha maroboti au Village G.
“UNAITWA RAFAELI MSWAKI UNAMIAKA 65 ,UFANYAJI KAZI WA TEZI YA MAFUTA MWILINI IMEPUNGUA KUFIKIA NUSU YA UZALISHAJI WAKE , PRESHA YAKO NI 137/88mmhg …, NGOZI ISHAANZA KUKUNJAMANA , UWEZO WA KUFANYA MAPENZI UMEPUNGUA KUFIKIA ROBO TATU,KWA MAKADIRIO UMEBAKISHA MIAKA SI CHINI YA KUMI KAMILI UTAKUWA USHAKUFA”
Ni baada ya kuingia tu ndani ya nyumba ya profesa Gladness na roboti lifahamikalo kwa jina la Nimrod lilimscan(skani) Rafeali na kutoa hayo maneno.
“ Nimrod tulia “ Aliongea Gladness na roboti hilo likiondoka zake huku lishaharibu hali ya hewa kwa kiherehera cha kumchunguza kila mgeni anaeingia nyumbani kwa Profesa Gladness.
“Daaa! Wewe mtoto maroboti yako yashaanza kunipa stress” Aliongea Rafeli kwani alikuwa hajui kuwa kabakisha miaka kumi mpaka kufariki kutokana na maneno na uchunguzi wa Nimrodi.
“Hapanna baba kuna muda mwingine yanakosea” Alijitetea gladness huku akimwangalia Rafaeli ambae alionekana kweli ashaanza kuwa mzee kibabu .
“Umesikia mke wangu huko ,nimebakisha miaka kumi tu kufa “
“Mume wangu bwana hayo ni maroboti “
“Kama ni maroboti basi ngja niliiite likuchunguze na wewe na wewe”
“ Hapana .. hapana .. mimi sitaki kujua nitakufa lini”
“Ahaha .. wewe si umesema hayo ni maroboti .. mbona unaogopa sasa”
“Ahahaha..mume wangu wewe anza kukaa na watoto wako vizuri na tumia muda mwingi kuwa nao “
“Ila limenidhalilisha lilivyo sema , siiwezi kazi ya chumbani vizuri .. hii dunia inavyo endelea hivi hatutaweza tunza siri kweli”
“Hahaha .. mume wangu ushakuwa babu tayari bhana “
“Na wewe si bibi kizee”
Hao walikuwa ni Rafeli na Nifani wakiwa nyumbani kwa mtoto wao mkubwa Gladness.
*****
Masumbuko kama kawaida yake alikuwa kapiga zake nne hana habari huku pembeni akiwa na vijifuko vya Ice cream akiwa anakula na kilicho kuwa kikiangaliwa kwenye TV kilikuwa ni filamu za ngono , maana kila siku kwake alikuwa akiangalia kwa dozi
Alikuwa haamini kama kweli hana nguvu za kiume
“Aaa…. Masumbuko vipi tena na hizo video “ Aliongea Peter huku akionekana kushika kijibegi na muda huo alikuwa akionekana kabisa kuwa alikuwa akitoka safarini na ndio anarudi.
“ Zinanitia mzuka na mori mori” Aliongea masumbuko na kumfanya Peter atabasamu .
“Wewe si uneenda tu hapo nje na kumpa mwanamke kumbukumbu ,unamleta humu ndani unafanya yako , kama siku ile “
“Una maanisha kama kubaka vile , si ndio “
“ Nani kakwambia kubaka , pale haulazimishi mtu bhana “
“Yule mshikaji alikuja na akaniambia kuwa kitendo kile ni kubaka “
“Mshikaji gani huyo ambae una mzungumzia ?”
“ Yule wa siku ile , Sebastiani yule”
“ Kwa hio alikuaja hapa nyumbni na ukamfungulia?”
“Ndio alikuwa anagonga mlango kwa nguvu , ndio nikamchungulia na nilivyo muona ni yeye nikajiuliza nifungue au nisifungue ila ndio nikajikuta nishafungua mlango”
“Na alisemaje sasa?”
“Hana tu ndio alinisifia tu kuwa yule mwanamke nilimpa dozi kali ya kumbaka”
Peter ilibidi amuangalie tu Masumbuko na kisha kutabasamu maana aliona kichwa cha ndugu yake huyo wa hiari kilikuwa signal zinasoma na kupotea .
Basi Peter baada ya kuweka vitu vyake vizuri alikaa sebleni huku akionekana kuna jambo linamsumbua kwani aliionekana al kiwa kwenye mawazo , huku masumbuko yeye akiwa hana hata habari .
“Peter haya magorofa marefu ushawahi kuingia?”
“Aliuliza Masumbuko na kumshtua Peter alie kuwa kwenye mawazo .
“ Sikia Masumbuko , utaniuliza baadae sasa hihvi ngoja kuna sehemu naenda maramoja “ aliongea Peter na hapo hapo akatoka hadi nje na hakuchukua gari Zaidi ya kuchukua ufunguo wa honda yake .
“Ngoja na mimi nikazunguke zunguke huko mjini “ Aliongea Masumbuko huku akivaa nguo nyingine na kuchukua buku na kutoka . alitembea mpaka barabarani na kupanda daladala inayoelekea tegeta nyuki kwenda kariakoo “
“ Unaenda wapi?”
“Gari linapo simama “ Alijibu na kuingia ,muonekano wa masumbuko ulikuwa umebadilika kwa kiasi kikubwa kwani alianza kunenepa sio kama alivyo anza kuja, kwani alikuwa akionekana amekauka ngozi ,sasa alikuwa amejaa na kifua utadhaniaa alikuwa anapiga chuma bau kwenda gym
****
MAREKANI (USA)
Katika jiji la Calforinia Alionekana profesa Snart akiwa na mwanaume mmoja hivi mwenye muonekano kama wa kiarabu ndani ya hoteli ijulikanao kwa jina la The Royal iliopo katikati kabisa ya jiji hilo .
“Paco , lete habari za misituu ya amazon .“
“ Mkuu kwanza nafurahi sana kwa kunipa ofa ya kutembelea jiji hili , unajua kutokana na kazi yangu nakuaga sina hata muda wa kufika huku ,kwani hata hali yake ya hewa sio nzuri kama ya kule msituni “
“ Yeah paco upo ndani ya jiji lenye makazi ya watu wengi na shughuli nyingi lazima hali ya hewa iwe tofauti na ya msituni “
“ Yea ni kweli “
“Uliniambia una taarifa muhimu kuhusu Queen ya kuniambia?”
“ Ndio kwanza yuko wapi kwa sasa nataka kumuona kabla sijakueleza taarifa yenyewe “
“Paco , Paco , Queen wa sasa ni mtu maarufu sana na hata nikiuonesha saivi sijui kama utamtambua kama ulivyo kuwa unamuona kule msituni , sasa hivi ni Zaidi ya mrembo “
“ Una maanisha nini kusema hivyo?”
“ Sikia Queen ile ni siraha yangu , yule ni Zaidi ya bomu la nyuklia , kwanza ana akili , hana utu kabisa na pili hajui chochote kuhusu Mungu , na harufu inayo mfurahisha ni kuona damu ya mtu inamwagika muda wote , na pia hana hisia za mapenzi kabisa kama unavyofikiria ni kwamba hawezi kupenda mwanaume yeyote yule , kwani yule muundo wake sio kama wa binadamu wa kawaida , yule nimemtengeneza na nilipata hasara kubwa kwa ajili yake lakinni mpango wangu ulifeli”
“ Una maanisha nini ukisema umemtengeneza Sbart?”
“ Yule hajazaliwa kama wewe ulivyo zaliwa na wazazi wako na pia una ndugu, Queen yule hana ndugu wala wazazi , na kwangu Queen ni kama kifaa changu cha kazi , kwani ninapo agiza kinafanya , sasa nadhani hakuna haja ya kumfatilia sana Queen maana kazi yako ulishamaliza ya kumfundisha Queen , sasa wewe niambie hilo jambo ambalo unataka kuniambia “
“ Ni Kwamba Queen kunamuda nilikuwa kama simuelewi, ni kama anajua kumsoma mtu kila anacho kifikiria akimwangalia tu kwenye macho , kwani wakati nikichukua mazoezi nae alikuwa akinipiga mapigo ambayo hata siyaelewi ,kila pigo nililokuwa nikifikiria kumpiga nalo , ni kama tayarri alikuwa ashajua kile ninacho kifikiria na anakuwa tayari ashajua udhaifu wa pigo langu na anakuwa ananichakaza na kipigo kibaya sana”
“Una maanisha nini kusema hivyo bwana Paco?” Aliongea Snart kwani taarifa hio ilikuwa ni mpya kwake .
“ Mkuu Queen ni hatari sana , kwani ana uwezo ambao sio wa kawaida kama binadamu”
Aliongea bwana Paco ambae ndie alikuwa ni master(mkufunzi wa kimapigano) wa Queen wakati alivyo kuwa nchini brazili kwenye msitu wa amazon , ndie alie kuwa akimfundisha Queen kuua , kwani walikuwa wakienda na kukamata watu na kuwanyonga na kuwachinja bila hata huruma ,nakuwaua wanyama wakali sana kama Anaconda joka anae patikana kwenye msitu huo , Chui na Simba na mafunzo hayo Queen aliyaweza kwa muda mfupi tu.
“Nadhani misheni yangu haikufeli(it was not a failed mission) , Queen atakuwa anaficha uwezo wake inanibidi kufanya utafiti upya. “ Aliongea huku akivaa koti lake la kuingilia maabara yake ndani ya kasri lake ndani ya hapo Calfornia alikuwa akiwaza maneno alioongea Paco mara baada ya kukutana nae hotelini . .
****
Masumbuko alikuja kushushwa na gari katika kituo kimoja kilicho kuwa kina fahamika kama muhimbili na hio ni baada ya kuvutiwa na majengo yalio kuwepo katika eneo hilo ,ndio maana alimwambia konda kuwa keshafika anataka kushushwa.
Alianza kutembea huku akishangaa majengo hayo na muda huo ulikuwa ni saa kumi inaenda kama na robo hivi , alinyooshana kinjia flani kinapandisha kwenda juu kwani kulikuwa na kijimlima na kutokezea kwenye barabara mbele huko kwenye mtaa mmoja ujulikanao kwa jina la mindu, alinyoosha na bara bara hiio na kuja kufika sehemu moja kwa mbele yake kulikuwa kukinekana mwendokasi inazunguka na kuna kibao kikubwa kilicho andikwa ‘HOSPITALI YA MUHIMBILI’.
“Mama hivi ni vidude gani?” Aliongea Masumbuko baada ya kufika kwa mama mmoja alie kuwa akiuza koni , sasa Masumbuko aliona vile vya kuwekea koni ndivyo alivyo kuwa akiulizia.
“Ni koni hizi ni miatano tu moja “
“ Hii inatosha alitoa Masumbuko mia nne na kumuonesha yule mama , na hi ni hela alio rudishiwa chenchi kwenye ile buku (elfu moja)ya nauli maana gharama za usafiri ilikuwa ni mia sita na hapo alitoa yote na mama yule ampatia .
“ Kumbe tamu hivi nitakuwa nakutembelea mara kwa mara “
“ Sawa lakini siku nyingine nitakuuzia kwa miatano “
“ Sawa “
Aliongea huku akitemeba huku na huko akishangaa shangaa mpaka inatimia saa kumi na moja na nusu alijikuta amezunguka amezunguka na kurudi pale pale muhimbili , Alipanda gari bila ya kujiuliza ana nauli ,gari alio panda ilikuwa inaenda Masaki na ilikuwa imejaza kweli na Masumbuko aliwekwa mwisho kabisa ya gari kiasi kwamba kwa jiinsi watu walivyo kuwa wamejaa hata konda ingekuwa ni vigumu kwake kupita na kuomba nauli.
“ Hivi ule mtaa tunao kaa unaitwaje?”Alikuwa akijiuliza kwenye gari huku linaondoka maana hakujua ile sehemu jina.
“Ila nitapaona tu halafu nitashuka”
Sasa konda kwakuwa nafasi ilikuwa imebana sana , alikuwakichukua nauli kila unapo shuka.
“Macho ,Macho hio , kuna anaeshuka ?”Aliongea konda na hapo hapo Masumbuko akaropoka kwa sauti nimefika mpaka watu wakamwangalia.
“Njoo sasa umekaa huko nyuma halafu unajua unashukia hapa karibu”
Aliongea konda baada ya gari kusimama huku Masumbuko aliependeza akishuka , kwa jinsi alivyo kuwa amependeza usingedhania kuwa wakati huo hakuwa na kitu chochote mfukoni hata nauli .
“Toa hela , unapoteza muda bwana , unashangaa nini?” Masumbuko alimwangalia yule konda huku akiwaza afanye kama kawaida yake maana alijua nauli hana .
“Usijali nitamlipia” ilisikika sauti moja nyororo na kufanya hata wale walio kuwa kwenye daladala wamwangalie anaeongea , lakini ni kwamba tayari alikuwa ashachelewa maana Masimbuko ashachezesha jicho tayari na kumpachika masaa mawili ya kumbukumbu.
“Aaa.. aa hapana . ashalipa tayari mremboo hata usisumbuke ” Aliongea konda huku akigwaya gwaya na kufanya abiria waanze kucheka na hata dereva mwenyewe alijikuta akicheka na hapo ndipo ikawa gumzo kwenye daladala maana wengi walijua konda alichanganyikiwa na yule mrembo na ndio maana alikubali Masumbuko kashalipa, wengi walimhurumia pasina kujua uwezo Masumbuko. .
“Sema ni haki yake aisee , unajua yule mwanake ni mrembo sijapata ona .. na kwa ile sauti konda ni haki yake kuchanganyikiwa , ila kanifurahisha sana leo
.. hakuna mwanaume mjanja mbele ya utamu “ Aliongea jamaa mmoja lio kuwa amevaa kanzu kasimama kwenye daladala hio alikuwa na rafudhi ya kipemba .
“Nyie mnaongea nini nyie , mimi siwezi kuchanganywa na mwanamke, yule chalii kalipa kabisa nina uhakika.” Aliongea konda na hapo ndipo vicheko vilivyo zidi kabisaa
“Aisee nilikuwa na stress ila zishaisha daah .. aisee” Aliongea jamaa mmoja nae alieshikilia mfuko mdogo hivi uliokuwa na samaki akionekana kufurahishwa sana na hilo tukio.
****
Peter alisimamisha honda yake kwenye nyumba moja maeneo ya makongo juu na kisha akabonyeza kengele na hapo mlinzi alifungua
“Bwana Peter karibu sanaaa..” Aliongea mlinzi alionekana kumfahamu Peter
“Nimemkuta Steve?”
“Ndio yupo hajatoka leo “
Basi Peter alienda moja kwa moja mpaka ndani ya nyumba hio ilikuwa nzuri sana kwa jinsi ilivyojengwa.
“Mwanagu huyo , nona leo umekuja kutusalimia?”
“Ndio mama shikamoo “
Huku wakisalimiana kwa furaha na huyo mama aliononekana kuwa mkarimu kweli , alikuwa mnene kiasi mfupi alievalia dera lililoacha mabega wazi.
“Nimemfata Steve “ Aliongea Peter na kuambiwa kuwa yupo chumbni kwake aende tu.
“ Mzee mwenyewe naona usharudi karibu”
“Yeah mzee , nimerudi, nina mawazo nikona nije kabisa nisikusumbue kwa kukuita magetoni”
“Mawazo gani tena mzee si umetoka safarini?”


“Mambo ya kisasi mzee, naona kama kigumu vile kutekelezeka , unajua nilikuwa nachukulia simple sana ila sasa na uona ugumu wake”
“Ugumu gani sasa wewe si ulikuwa wajisifia kuwa unaswaga nyingi kibao , tantalila nyingii sasa umepigwa kibuti ndio unaona ugumu “
“Si hivyo ndugu yangu , simaanishi hvyo yaani bora hata ningepigwa hiko kibuti , lakini sasa hivi nishamla mke wa Samir tayari na mtoto wake kanambia ananipenda na anasubiria jjibu langu”
“ Unasema ushakula kitumbua cha lile limama tayari na lile lishepu “ Aliongea Steve kama haamini vile kwani aliona kama masihala vile , kwa maneno alio kuwa akizungumza . na wakati wanaongea ndio hapo , simu ya Peter ilitoa mlio kuwa ilikuwa inaita .
“ Oya huyu hapa anapiga kama huamini ngoja niweke loud speaker” Aliongea huku akipokea na kuweka loudspeaker .




SEHEMU YA 23

Peter aliweka simu ile kwenye loudspeaker baada tu ya kupokea na kuanza kuongea na Mama Rania.
“Vipi mpenzi mbona unachelewa kupokea simu?” Ilisikika sauti iliokuwa ikilalama na kumfanya Steve kutoa jicho kama kabanwa na mlango kwani hakuamini kabisa kile anacho kisikia , na sio kama jambo hilo ni geni kwake kuona kijana kufanywa kiben ten , lakini hadhi na heshima alio kuwa nayo mama huyo ni vitu ambavyo kwake aliona kama ajabu vile.
“Nilikuwa nipo chumbani simu niliacha living room (sebuleni) “ Aliongea uongo Peter.
“ Jamani mpenzi unajua nilivyo kumiss , natamani sana tukutane hata twende mzunguko mmoja “ Aliongea Mama Rania .
Laiti angejua kuwa amewekewa loudspeaker asingeongea hilo neno , Peter hakutaka Steve aendelee kusikiliza , alitoa loudspeaker na kulala kabisa kitandani na kuanza kuongea huku Steve yeye alikuwa amesimama kama mnara akimwangalia rafiki yake , na kuna kitu alikuwa ashakigundua kwa Peter alikuwa ameona dalili zote za rafiki yake kuonogewa , alikuwa mzoefu wa hayo mambo .
“Daah..! unajua ni hatari hio rafiki yangu”
“ Naelewa , ila Steve yaani kila nikiongea na huyu mwanamke dudu inasoma channeli hapo hapo na mawazo yangu yanabadilika”.
“Fanaleki ushanogewa wewe , na hivyo ni mwanamke wako wa kwanza kazi unayo , mimi naogopa tu mume wake akijua sijui atakufanyaje, naogopa sana ukiingia kwenye matatizo”
“Steve ndio maana nipo hapa unipe ushauri wewe ni rafiki yangu naamini utanipa ushauri mzuri”
“Sasa wewe unataka mimi ni kwambie nini na wakati wewe mwenyewe ulisema unaenda kwenye ile benki kwa ajili ya kisasi ,lakini saivi unaonekana umenogewa tayari , mimi nakushauri uache kabisa hio misheni yako , lakini kuhusu huyo Rania na mama yake , kaa chini fikiria , jiulize maamuzi utakayo fikiria na kuamua yatakuwa na madhara gani ukishalijua hilo basi mimi sitoingilia maamuzi yako ,lakini nakupa hint tu , kwamba unacho kifanya sio kizuri na ni hatari sana ,mke wa mtu sumu ndugu yangu”
“Poa mzee mimi nitafikiria cha kufanya , ila asante sana kwa maneno yako , ngoja nirudi home ni muwahi Masumbuko” Aliaga na Steve alimsindikiza mwenzie.
****
Nasma baada ya kukaa siku kama nne nyumbni kwao , hatimae aliamua kuondoka na kurejea sehemu alio kuwa akiishi , japo ya Rania kumbembeleza sana kuhusu kubaki kwani ana ichangamsha familia , lakini hakukubali na mama yake pia alijaribu kumshawishi lakini alisimamia msimamo wake .
Alipanda kwenye gari yake na siku hio alikuwa akiendesha yeye mwenyewe pasipo ya kuwa na Lucy mfanyakazi wake , aliendesha gari lake mpaka kufikia maeneo ya Macho , sasa wakati yuko kakodoa macho barabarani kionyesha umakini katika barabara hio ndipo daladala ilio kuwa ikija upande wake ilisimama mita chache mbele yake , hapo ndipo mapigo yake ya moyo na mshangao kwa ujumla vikamtawala, kwani mwanaume alie kuwa akimuota usiku na mchana alimuona kabisa mbele yake , kwanza aliona kama kamfananisha lakini kadri alivyo sogelea gari lile ndipo alipo kuja kugundua kuwa ni yeye.
Alipita daladala ile na kisha kasimamisha kwa mbele na kutoka haraka haraka huku akiwa kabisa amesahau kufunga hata mlango na kukimbilia sehemu ile , ndipo alipogundua kuwa mwanaume yule hana nauli na alikimbia na kisha kumwambia konda kuwa atamlipia , lakini kilichomshangaza kwa mara ya pili kwani mara ya kwanza jambo kama hilo lilikuwa likitokea tena ,pale konda alipomuambia kuwa ashalipa na wakati kwa masikio yake kabisa alisikia konda huo akimdai Masumbuko nauli , lakini kutokana na hamu yake kubwa ilikuwa ni kumuona Masumbuko aliachana na hilo swala na kisha kumsalimia .
“Mambo!” Alisalimia kwa shauku kubwa Nasma huku akimwangalia Masumbuko ambae wala hakuwa hata na time nae kwani alikuwa bado akishangaa hayo maeneo kana kwamba ataiona nyumba wanayoishi .
“Hivi sista naomba nikuulize , hivi unajua eneo ambalo lina magorofa magorofa machache halafu .. halafuu.. enhee .. kuna shule halafu na barabara .. halafu..nini tenaa.. kwa mbele kabisa kuna kanisa kubwa .. unaijua hio sehemu?”
Aliongea Masumbuko huku akionekana kabisa yuko seriasi na swali lake na kwa Nasma alikuwa akishangaa maana swali lenyewe hajalielewa .
.“Mambo kwanza” Aliendelea kusalimia Nasma kwani kwanza alikuwa ana aibu na hata hapo alikuwa hajui afanye , kwani ni kweli alikuwa akihitaji kuonana na Masumbuko lakini hakuwahi kufikiria siku akionana nae ataanza anza vipi kuongea nae na ndio maana aliendelea kusalimia lakini kwa masumbuko wala hakuwa na habari kichwa chake wakati huo kiliwaza nyumbani tu.
“Ila hapa sio penyewe hapa , sijui patakuwa ni upande gani ule . halafu .. , dada mbona haunijibu sasa “
“Sijakuelewa “
“ Ni kweli huwezi kuelewa maana nina maswali magumu” Huku akiondoka na kumfanya Nasma amwangalie Masumbuko akichapa raba hana hata habari kuwa mtu alie mfuata alikuwa akikesha usiku na mchana kumtafuta na kumuwazia alijikuta chozi likimdondoka bila hata ya kujua .. sasa wakati ameduaa akimwangalia Masumbuko ndipo alipo kuja kama kuzinduka na kuita
“Kaka , nisubiri” Masumbukoo alisimama na kumwangalia Nasma anae mkimbila .. na kwa jinsi alivyokuwa akimkimbilia kwa mapozi na uzuri wake na jinsi Masumbuko alivyo kuwa akumwangalia ilikuwa ina pendeza kama vile ni filamu za kihindi.
“Nimepajua hio sehemu ulio kuwa unasema”
“ Kweli … kuna kanisa .. kuna shule kwa nyuma na barabara katikati … si ndio ni hapo”
“Ndio “
Jibu hilo lilimfanya Masumbuko aachie tabasamu na kuufanya uhendsome wake uonekane na kumfanya Nasma amwangalie kama anamshangaa ..
“Twende kwenye gari .. nikupeleke “ Masumbuko hakuleta shida kwani hi ndio jambo ambalo lilikuwa likimpa shida kwa wakati huo na hivyo alimchukulia Nasma kama mtu ambae anaweza kumpatia msaada .
Basi aliingia kwenye gari na safari ikaanza na kwa Nasma kwakuwa alikuwa ana kichwa chepesi sana kuelewa ni kwamba aligundua kuwa Masumbuko yuko , kwenye hali ya wasiwasi na ndio maana hakuwa akimpa ushirikiano .
“Kwa hio kaka ulikuwa umepotea?”
“ Ndio mimi ni mgeni na haya maeneo “ Aliongea Masumbuko huku akiangalia nje ya gari na muda huo kajigiza kalikuwa kashaanza kuingia , na kuna wakati Nasma alikuwa akimwangalia Masumbuko kwenye kioo .. aliishia kutabasamu tu na alionekana moyo wake kuwa na Amani na furaha sana . Kwani aliamini mwanaume alie kuwa akimtafuta hatimae amempata .
“Hapo hapo nimepaona simamisha gari “ Aliongea Msumbuko kwa sauti na kumfanya Nasama asimamishe gari na masumbuko kuomba kufunguliwa mlango , na Nasma alipo mfungulia tu tayari alikuwa ameshatoka tayari kwenye gari .
“ Dada asante sana .. nimepafahamu ni hapa kabisa “ Aliongea Msumbuko na kwa wakati huo walikuwa washafika eneo la Mbezi Beach ilikuwa ni bahati kwa masumbuko kwani isingekuwa Nasma kuishi hayo maeneo asingeweza kurudi nyumbani. .
Masumbuko alindoka huku akisubiria kuvuka barabara na kumfanya Nasma na yeye kutoka kwenye gari na kumfuata Masumbuko kwa nyuma hakutaka kumpoteza tena , lakini kilichomshangaza Nasma ni kwamba nyumba alio ingia Masumbuko ni nyumba ya pili na ya kwake ilipo.
“Yaani kumbe huyu mkaka kumtafuta kote kule kumbe ni jirani yangu “ Aliongea Nasma huku akijikuta akitabasamu tu nakuona kuwa mageti muda mwingine yanakuwa hayasaidii maana yanafanya usijuane na majirani, alikaa kama dakika kama tano akiangalia nyumba hio ilioenda hewani kwa gorofa nne na kisha akatoka akafara gari yake na kwenda hapo mpaka kwenye nyumba yake na kuingia na kisha akampa mlinzi ufunguo akimwambia akachukue gari ameliacha kituoni , mlinzi alishangaa ila alichukua ufunguo kwani hakuruhusiwa kuuliza swali .
***
“Ulikuwa umeenda wapi umenifanya niwe kwenye wakti mgumu kiasi hicho “ Aliongea Peter huku akionekana kuwa na wasiwasi sana .
“ Nilienda kula bata kidogo ndio nimerudi “
“Nikajua umepotea huko njiani . inabidi kesho nikakununulie simu “
“Mimi siwezi kupotea ni mgeni lakini nayajua maeneo vizuri”Aliongea Masumbuko na kumfanya Peter atabasamu na alichogundua alijua kuwa Masumbuko alikuwa akipenda sana kujisifia .
“ Haya lakini usitoke toke tu utapotea au kugongwa na gari huko ndugu yangu , unafikiri nitaishije “
Aliongea na kuachana na Masumbuko kwani alijua pia ni mtu mzima hatakiwa kumlinda ila anatakiwa kumuonyesha mazingira na kumtembeza tembeza ili asipotee.
*****
Siku ilio fuata Peter hakwenda kazini na alibaki nyumbni kwani alikuwa amepewa siku mbili za kubaki nyumbani , kwenye muda wa saa kumi na moja ndio muda ambao Peter alipigiwa simu na Mama Rania kuwa wakutane barabarani kwenye kanisa la KKKT usharika wa Mbezi Beach .
Peter alivaa vizuri na kisha akatoka zake baada ya kumuaga Masumbuko ambae alikuwa akichezea simu ambayo amenunnuliwa asubuhi hio
“Peter aliingia kwenye gari yake , maana Mama Rania alimwambia kuwa aje na gari yake , baada ya kufika tu kweli alimuona Mama Rania aliekuwa amevalia gauni flani lenye mikanda huku akiwa ameshikilia pochi kubwa na alikuwa amependeza kweli ,kwa jjinsi alivyokuwa akionekana utadhani ni mwanmke ambae anaenda dating kwa mara ya kwanza , Peter alienda kufunga beki kwenye miguu ya mama huyo na kufungua kioo na kumfanya Mama Rania atabasamu na kuingia kwenye gari na kisha likaondoshwa na kwa maelekezo ya Mama Rania walikuja kukunja baada ya kufika eneo moja linaitwa jogoo na kuchukua upande wa kulia na gari ilitembea kwa dakika kadhaa na ikasimama nje ya geti kubwa na baada ya dakika kadhaa gari hio iliingizwa ndani ya jumba hilo , hapo ndipo Peter alipo patwa na mshangao kwani jumba hilo lilikuwa moja ya jumba kubwa sana na lilikuwa na mazingira mazuri kwani kulikuwa na swiming pool upande wa kushoto ukiingia ilio zungukwa na bustani na majani yalio chongwa kwa ustadi mkubwa sana , jengo hilo limepakwa rangi ya kuvutia nyeupe lakini ilio fifia na kupendeza sana .
“ Kwanini tuko hapa?” Aliuliza Peter maana alikuwa akiona mapicha picha tu .
“Hii ndio itakuwa nyumba yako mpenzi ‘ Aliongea Mama Rania .
“ Whaat.. usiniambie kuwa umeinunua hii”
“Sijainunua leo wala jana ilikuwa ni yangu ,japo hakuna mwanafamilia anae ijua na sasa nasema nyumba hii ni ya kwako mpenzi wangu na tutakuwa tunakutana hapa unipe vitu” Aliongea Mama Rania na kumfanya Peter moyo upige kwa nguvu kwani hakuamini kuwa jumba hilo ni la kwake alianza kuona faida za kutoka na majimama..
“Mimi bado hata sijasadiki kabisa “ Aliongea Peter na Mama Rania akaachia tabasamua na kumshika mkono Peter na kisha kumvuta na wakaingia ndani .
“Chukua hio bahasha mpenzi ‘ Aliongea Mama Rania na kumfanya Peter aisogelee hio bahasha na kuifungua na ilikuwa ni hati ya nyumba na jina lake ndilo lili kuwa ndani ya hio hati .
“Peter nayafanya haya yote kwaku nakupenda na sitotaka unisaliti , nitakupa chochote utakacho kitaka , ila nakuomba usinisaliti”
Peter hakujibu Zaidi ya kumsogelea mama huyo na kuanza kupigana naye mabusu na kisha wakaanza kazi na kitu alicho pewa Mama Rania siku hio alijikuta kama yuko kwenye dunia nyingine kabisa na hakuwa kwenye ulimwengu halisi .
Walidumu kwa masaa kadhaa na kisha wakarudia tena na tena na tena na kujikuta wakipitiwa na usingizi kabisa tena wakiwa sebleni .
****
Peter alianza kukolea kwenye penzi la Mama Rania au bosi wake , japo walikuwa wakifanya mambo yao kwa siri sana na hakuna mtu hata mmoja ambae aliweza kujua kuwa wawili hao walikuwa wapenzi, kwani walikuwa wakiwekeana heshima feki wakiwa kwenye kazi , lakini wakitoka nje ya kazi walikuwa wapenzi.
Huku kwa Rania nako mambo yalizidi kuwa magumu kwani , kwani alikufa na kuoza kwa Peter , alitamani sana kuwa karibu na Peter kila saa na hata wakati mwingine Mama Rania alianza kuogopa, kwani kwa macho ambayo mwanae alikuwa akimwangalia Peter hayakuwa yakawaida, zilipita kama wiki mbili hivi ndipo Peter na Rania wote waliacha kufika kazini kutokana na chuoni mitihani ilikuwa inakaribia na walitakiwa kujiandaa .
Sasa hapo ndipo ukaribu wa Peter na na Rania kuongezeka kwani walikuwa wakisoma wote chuo kimoja na ilikuwa Rania akitoka mapema kwenye kipindi na Peter akiwa bado hajatoka basi atamsubiri mpaka atoke na waongozane wote , kunywa chai ama kula.
Rania alizidi kumzoea Peter kiasi kwamba kila siku , kila saa na kila sekunde alitamani kumuona Peter tu , kwa upende wa Peter jinsi Rania alivyo kuwa akimuonyeshea mapenzi , basi alizidi kuwa na mawazo juu ya rania , yeye , kila alivyo kuwa karibu ya Rania alijikuta moyo wake kumpenda sana Rania.
Alitamani atamke neno nakupenda ili myo wake utulie lakini hakuweza hilo , kwani kila alipo kumbuka kuwa tayari ana mahusiano na mama yake basi hakutaka kabisa kumuumiza rania huko mbeleni pindi atakapoujua ukweli , kuna muda alikaa chini na kuyafikiria matendo yake aliona kabisa kile kisasi katika kichwa chake kinaanza kusahalulika kabisa , kwani mpango wake ulikuwa ni kumfanya Samir atoe machozi kwakitendo ambachoo alikwisha kumfanyia.
Siku moja wakati Peter anatoka chuo akitembea na rafiki yake Steve , ndipo Rania alipo kuja kumuita na kumwambia kuwa kuna jambo anataka kuongea nae na ni muhimu kwake , basi Peter japo aliogopa kile alicho kuwa anaenda kuambiwa na Rania ila alijikaza na kuondoka na Rania mpaka kwenye gari lake .
“Peter najua kama ujumbe wangu nilio kuandikia uliona?”
“Ndio niliuona Rania “ alijibu Peter huku moyo ukipiga kwa nguvu .
“Peter nataka kujua jibu kwani nimeshindwa tena kusubiria naomba nisikie jibu lako leo”
Aliongea Rania hapo nakumfanya Peter jasho limtoke kwani hapo alikuwa amebanwa sehemu yenyewe .
“Rania najua unanipenda sana na mimi sitaki kukuficha nakupenda sana ila kwasasa sitaki kuanzisha mahusiano maana akili yangu haipo sawa na sijajiandaa kisaikolojia kabisa , na wewe ni mwanamke wa kipekee naomba muda niweke mambo yanguu sawa halafu nitakuambia Rania please, sitaki kuja kukuumiza kwa kutokuwajibika maana mahusiano ni uwajibikaji baina ya wapenzi” Aliongea Peter kwa hisia na ukimtazama hutoamini kama ni yule ambae alikuwa anataka kulipiza kisasi , mapenzi yameyeyusha kila kitu na kilicho baki kwenye moyo wake ni hisia za uhitaji tu , japo alijitahidi sana kutokumpenda Rania lakini ni kwamba alikuwa akijidanganya kwani kadri alivyo kuwa akimfosi atoke kwenye moyo wake ndivyo alivyo kuwa akizidi kumpenda.
“Sawa Peter nitasubiri , ila jua wewe ndio mwanume wangu wa kwanza kukupenda kwa kiasi hiki , nakupenda Peter “ Aliongea Rania mpaka chozi linamtoka mtoto wa kike na kumfanya Peter moyo umuume sana , alijkuta akimkumbatia .
“ Nakupenda Sana Rania , nakupenda sana ila naomba univumilie sawa “ aliongea Peter huku akimwangalia usoni na Rania akakubali kwa kichwa kuwa amekubaliana nae , na Peter alitoka kwenye hilo gari baada ya simu yake kutoa mlio ikionyesha kabisa kuwa inaita na mpigaji alikuwa ni Mama rania. .
Shida moja alio kuwa nayo Peter ni kwamba kila anpo ongea na Mama Rania mwili wake ulikuwa ukimsisimka sana na kuhitaji kufanya ngono .
Peter aliongea na Mama Rania na waliahidiana kuwa wakutane bila kukosa siku hio wakapeane dudu , na Peter hakupindua alikubali , maana kwa wakati huo na yeye alikuwa akipenda sana kitumbua cha mama rania .
****
Upande wa Najma nae mambo yalikuwa mambo kwani kila siku alikua akimfikiria tu mwanaume anae mfahamu kwa sura , japo maswala yake ya kufungua kampuni yake ya urembo yalikuwa yakimfanya kuwa bize sana , ila hakumsahau Peter hata mara moja .
Alikuwa akiamini kuwa lazima atamuona tu , wanaume walimtongoza kila kukicha lakini hakuna aliepewa nafasi hata mmoja hata ya kumshika tu hakuna alie pewa nafasi hio , watu na pesa zao walimchombeza kwa hongo lakini mwandada hakuteteleka , alikuwa akimuwaza Peter .
Upande wa Nasma na yeye alikuwa ashajua Masumbuko anapo kaa lakini kilicho kuwa kikimsumbua ni kwamba alikuwa na aibu na pia hakutaka kujilasisha kwa Masumbuko .
Kuna kipindi alikuwa ni kama mtoto kwani alikuwa akienda mpaka katka geti la Masumbuko kwa ajili ya kugonga lakini aliishia kurudi tu kwani hakukua na sababu ya kumuona Masumbuko na alifikiria kuwa akimuona atamwambiaje kwani alikuwa na aibu sana .
Masumbuko yeye muda wote alikuwa akiwazia ni kwa jinsi gani atakuwa na uwezo wa mnara wake kusoma channel kwani , kwa jinsi alivyo kuwa akijua na uwezo wake wa kufikiria ulipooishia ni kuangalia filamu za ngono tu huku akijifaliji kuwa utaamka tu .
“Utasimama tu “Aliongea huku akiuchezea uume wake
******
“Boss nimegundua Madam anapo elekea “ Ilisikika saiti kwnye simu Samir akiwa ofisini
“ Endelea kumfatilia na kila kinacho endelea utaniambia “
“ Sawa boss “
Samir ni kama kibao kilikuwa kimemgeukia kwani alikuwa hamuelewi kabisa mke wake , kwani hakumsubiri tena kama zamani wakati yeye akichelewa , kwani kila alipo rudi alimkuta mke wake alishapotelea kwenye usingizi mzito na wala hakuwa na habari na hata akiamka , alikuwa haulizi chochote na kilicho kuwa kikimuuma sana Samir ni kwamba hata ile mke wake kuomba gemu aliacha kabisa , na pia mke wake hakuwa hata na mawazo kama mwanzoni na alionekana kuwa mwenye furaha.
Hapo ndipo Samir alipoanza kurudi nyumbni mapema kama zamani , na kurudisha mapenzi kwa mkewe , lakini ni kwamba Mama Rania alionesha hali ya kutokuwa kabisa na time na yeye na mara nyingi usiku alionekana akichat na simu huku akitabasamu jambo ambalo lilianza kumfanya kuwa na wivu na kuona kabisa kuwa mkewe kashapata mchepuko , kila akizifikiria hisia hizo alijikuta akipandwa na wivu mkali sana na kumchoma , alivumilia sana lakini kuna siku alijikuta akikosa uvumilivu na alitaka kujua kile kinacho endelea na aliapia kama atagundua kuna mwanaume anaetoka na mke wake kimapenzi ange muua , swala hilo lilimnyima usingizi kabisa
Siku aliojikuta roho kumuuma na kujihisi kuna ninja anakata kata vipande kwenye tumbo lake ni siku alio omba tendo kwa Mama Rania , kwani ile ana peleka mkono kumshikashika Mama Rania , mkono ulitolewa na Mama Rania akainua kichwa na kumwambia neno moja tu .
“ Naomba usinisumbue nimechoka nina mambo mengi ya kufikiria natakiwa kulala mapema “
Alijikuta akiipandwa ma hasira na kukosa hata hamu ya kulala hapo ndani kwake na alicho kifanya ni kutoka usiku huo huo na kwenda bar .
Na kuanzia siku hio alikuwa akimuinda sana Mama Rania ili apate kujua mwanaume anae toka na mke wake na kwa upande wa Mama Rania alikuwa akiwaza dudu ya kijana Peter tu masaa yote kwani kila akifikiria dudu ya kijana Peter inavyo muingia na utamu anao usikiaga basi mizuka ilikuwa ikimpanda hapo hapo na hata kazi hakuweza kufanya vizuri .
Basi siku ambayo Mama Rania alipanga kukutana na Peter muda wa saa tisa , ndio muda ambao kijana wa boss Samir alikuwa akimfatilia nyuma kwa siri sana .





SEHEMU YA 24
Mama rania wala hakuwa na wasiwasi wakufatiliwa kwani aliendesha gari yake kuelekea upande wa Tegeta ambako ndio kulikuwa na nyumba ambayo amemnunulia Peter kama zawaidi ya kupewa dudu.
Lakini pasipo kujua kuwa kuna mtu anamfatilia nyuma aliendesha gari yake na kwa wakati huo ndio alikuwa anapita mwenge huku kijana aliepewa kazi na Samir alihakikisha kuwa hampotezi kabisa mama huyo kwani alielewa nini maana ya kile kitakacho tokea kama tu atakuja kumpoteza kwene macho yake na ndio maana alikuwa akiendesha karibu kabisa na gari ya Mama Rania na hakutaka kuipita , kwani ilivyo kuwa ikipunguza mwendo na yeye alikuwa akipunguza mwendo na huyu alie kuwa akimfatilia alikuwa si mwingine ila ni Kadabra , kijana machachali kabisa kwenye kazi hio ya kufatilia watu , kwani hio ndio kazi yake kubwa ambayo ilikuwa ikimuweka mjini kazi ya Ubodigadi na kufatilia watu .
Mama rania alipita lugalo yote na kuingia Mbezi Beach huku Kadabra akiwa nyuma , lakini ilipo karibia karibu na kanisa la Mbezi Beach la kilutheri gari ya Mama Rania ilikata kulia na kuelekea upande kama unaelekea shule ya sekondari Mbezi Beach , upande ambao ulikuwa ndio maeneo ambayo Peter na Nasma walikuwa wakikaa, Mama Rania aliendesha gari na kuja kuingia kwenye nyumba ya Peter , na wakati gari ikiingia sehemu hio na Kadabra alikuwa akipita geti hilo kwa mwendo wa taratibu sana huku akikodolea geti hilo macho na kwenda kusimama mbele kabisa na kutoka huku akijifanya anaongea na simu , lakini hakukaa sana gari ya Mama Rania , ilitoka na taratibu na kisha ikachukua njia ya kulekea Tegeta na Kadabra hakutaka kupoteza muda alikimbilia gari yake na kisha kuingia harakaharaka na kuliwasha na kisha kuliungia gari la Mama Rania na uzuri ni kwamba aliliona kabisa na lilikuwa karibu yake , baada ya kufikia eneo la jogoo gari lilikunja kulia na kisha likatembea mita chche kutoka barabara kuu na hatimae likaja kusimama kwenye ile nyumba na Mama Rania na gari ,Kadabra aliishuhudia kabisa ikiingia na hapo ndipo alipo alipo toa simu yake na kumpigia Samir na lilisikika neno moja tu.
“ subiri hapo hapo nina kuja , nataka nikiua unisaidie kutoa hio mizoga”.
Samir alikuwa na hasira kweli na wivu ulikuwa umemkaba kooni ,yaani hata kuhema ilikuwa ni shida kwani kila alipo fikiria swala la mke wake kuwa na mchepuko kiasi cha yeye kudharauliwa ,kilimuuma sana tena Zaidi ya kuuma , kwani hata chakula kila siku alipo kuwa akila kilikuwa hata sio kitamu kwake.

Samir alijikuta akipandwa na hasira mara mbili baada ya kusikia mke wake kaingia kwenye nyumba ambayohaifahamu aliishia kutoa matusi ya nguoni na kisha akachukua bastola yake na kuiweka kiunoni na kisha kutoka hapo na alipishana na secretary wake alie shika mafaili alijaribu kumsimamisha lakini hata sijui alisikia kwa wakati huo kwani akili yake kwa muda huo ilikuwa ikiongozwa na hisia , alipanda gari na kulitoa ofisini hapo kwa spidi ya ajabau mpaka mlinzi akamshangaa bosss wake .
Samiri alitembea na gari isivyo kawaida , na aliishia kutukana tu madereva ambao walikuwa hawataki kumpisha , kuna mdada mmoja alikuwa akiendesha Spacio , yake na Samir alikuwa akimpigia honi kumpisha , lakini mdada huyo wala hakujali , sasa Samiri alipo pata nafasi upande mwingine ya kupita , alimwangalia mdada huyo na huku mdada huyo akimwangalia , na Samir aliishia kumnyooshea kidolea cha kati akimtusi na dada yule aaliishia kusikitika tu.
Baada ya kama dakika ishirini hivi Samir alikuwa ndio anaingia sehemu alio elekezwa na Kadabra
“Ndio Hapa” Aliuliza Samir kwa jazba huku akilisogelea geti ,lakini kadabra alimzuia
“ Boss utawashitua ,sisi tunataka tuone kinacho endelea” Aliongea Kadabra
“Sasa tunafanyaje”
“Ngoja nikuoneshe”
Kadabra aliilisogelea lile geti na kuliangalia na kisha kugonga mlango mdogo kwa stali ya chini kabisa ambayo haileti bughuza na hakutumia kengele , ila yeye aligonga geti hilo na ndani ya dakika moja ndipo walipo sikia komeo likifunguliwa na kajidirisha kadogo kakafunguliwa na akatokea mlinzi.
“Niwasaidie nini?” aliuliza na kumfanya kadabra aangalie upande wa kulia na kushoto na kungalia uwepo wa watu .
“Boss Wangu pale ana shida na wewe .. kuna vitu anataka akuulize” Aliongea Kadabra huku akitoa waleti yake na kumuonesha mlinzi kuwa kazi hio ina malipo .
Mlinzi alivyo ona pesa , hakuzubaa alifungua kageti haraharaka na kisha kutoka ,lakini ni kama kosa kwake kwani ile anafungua tayari Kadabra ashamsogelea kwa staili ya kupiga roba na kumkaba kwa nyuma yule mlinzi na kisha kuingia nae ndani ya geti na kwenda kumtuliza kwenye kibanda chake baada ya kupoteza fahamu na Kadabra , alimwita Samir kwa ishara na hapo Samir akingia na geti likafungwa kabisa na funguo .
Samir mapigo yake yalikuwa yanapiga kwa nguvu kwani katika maisha yake hajawahi kufumania , kwani alikuwa akizisikia tu hizo habari za watu kufumania wake zao lakini hajawahi kukutwa na msala kama huo wa yeye kumfumania mtu tena mke wake , alisogea huku akjihisi kama presha inapanda kwa kiasi kikubwa hasa alipo kuwa akisikia sauti za mahaba kutoka ndani na kwa namna moja alijua kabisa watu hao wako sebleni wanafanya yao .
“Aisiiiii…eeeh… mpenziii… nakupenda… agha…. Nakuja mpenzi ..,. usichomoe mwagia humo humoo .. mpenziii.. aaa…”
Alijikuta roho ikimuuma sana na hasira zikizidi kumjaa na kukosa uvumilivu kabisa , kwani sauti za mahaba alizo sikia tena akisikia kabisa mwagia humoo humo alijikuta presha na roho ya mauji vikimpanda na alikosa kabisa uvumilivu , aalisukuma mlango ambao ulikuwa haujafungwa vizuri na kuingia kama mwanajeshi na kuachia risasii.. akimlenga mwanaume aliekuwa akionekana uchi akishusha kiuno na kupandisha.
“Paa..” Ulikuwa ni mvumo wa risasi uliosikikakwa nguvu
****
Nasma alikuwa amekaa sebleni huku akionekana kuwa kuna jambo ambalo alikuwa akilifikiria na jambo hilo lilikuwa likimhusu Masumbuko , japo tokea waachane siku ile kwenye gari , pasipo kuongea jambo lolote lakini kuna jambo ambalo alikuwa akiliona kwa Masumbuko kama haliko sawa , na muda huo alikuwa akijaribu kuunganisha matukio na kuona kweli kuna kitu kipo kwa Masumbuko na kitu hicho alikuwa akitamani sana kukifahamu .
“Ila mimi ni mjinga sana yaani mtu yuko jirani yangu nasumbuka kichwa changu tu hapa” Aliongea Nasma na kumfanya Lucy aliekuwa kakaa kwenye sofa kwa kujiachia akiangalia tv amwangalie.
“Nini Nasma , unaongea na mimi ?”
“Hapana , kuna sehemu naenda hapo nje nakuja sasa hivi”
“Niagize mimi nitaenda kukuchukulia , hakuna haja ya wewe kwenda”
“Nimetaka kwenda mwenyewe Lucy wee kaa hapo nakuja” Aliongea Nasma na kisha akatoka na kutembea mpaka kwenye geti la nyumba ambayo anaishi Masumbuko , aligonga na kisha alikuja mlinzi na kufungua na kumuuliza maswali na kisha aliruhusiwa kuingia.
“Samahani naulizia floor ambayo anaishi mkaka fulani hivi mweusi rangi ya chocholate” Aliuliza baada ya kuingia ndani hapo na kuwakuta Anjeli na marafiki zake wakipiga stori .
“Mhmh , hapa kuna wengi , lakinii.. hebu nenda namba nne “ Aliongea Angeli huku wote wakimwangalia Nasma kwa uzuri alio kuwa nao.
“Jamani kuna wadada wazuri .. akii..Mungu ningekuwa mimi ningekuwa danga la jiji hili lote” Aliongea Angeli huku akiungwa mkono na marafiki zake
Masumbuko alikuwa amelala fofo kwenye sofa huku Steve ambae alikuja kumsalimia rafiki yake Peter akiwepo akiangalia muvi kwenye laptop yake , na ndio wakati huo ambao Nasma aligonga Mlango na Steve ndio aliesikia na kwenda kufungua,macho yalimtoka na kujikuta akifikicha macho.
“Mambo “ Alisalimia Nasma huku akiweka tabasamu lililomuacha hoi Steve na kujikuta akimwangalia usoni Nasma na mpaka Nasma mwenyewe akaona haya na kuangalia chini.
“ Aaa poa karibu “ Aliongea Steve huku akimwangalia Nasma na alikuwa amesimama tu hapo mlangoni na alijifikiria, ila akaona aingie tu .. alisogeea mpaka kwenye sofa moja refu , kwani hapo ndani kulikuwa na masofa manne na moja lilikuwa karibu na tv na hili lilikuwa ni dogo na dogo lingine lili kuwa upande wa kulia mbali kidogo na Tv na refu kakalia Steve , ila la karibu kabisa ambalo ndilo la kwanza ukiingia hapo ndani kalalia Masumbuko .
Nasma alisogea na alikuwa na wasiwasi sana kwani ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuingia katika vyumba ya wanaume tu , kwani hakuwahi kufanya hapo kabla , alisogea na ndipo alipo muona Masumbiuko aliejinyoosha kwenye sofa akiendesha jenereta kwani alikuwa amepitiwa na usingizi mzito sana .
Nasma alikaa pembeni ya kichwa cha masumbuko kwani alikuwa ameacha nafasi kidogo ambayo ilimuwezesha kukaa , ila wakti anakaa kichwa cha masumbuko kilimgusa kwani mtoto nae alikuwa amejaliwa chungu sio poa.
“Ngoja ni kuletee juisi” Aliongea Steve kwa kubabaika kwani alikuwa ni kama haamini ,kuna muda aliona labda mwanadada huyu alikuwa amepotea njia.
Masumbuko nae muda huo ndio usingizi unaisha na alikuwa akijifikicha macho huku Nasma alikuwa akimwangalia kwa macho yenye mahaba mazito , Masumbuko alianza kunusa kama mbwa maana alisikia harufu nzuri sana kwenye pua zake na wakati anafanya kitendo hicho alikuwa amefumba macho .
“Peter leo sijui kakaribisha jini” Aliongea Msumbuko huku akifungua macho akiangalia juu na hapo ndipo macho yake yakagongana na ya nasma alie kuwa akimwangalia huku akitabasamu na Masumbuko alipo fungua macho alijikuta akishangaa na kumfanya Nasma atoe kicheko.
Na kitendo hicho Steve alikuwa akikishuhudia na aliona kama anangalia sinema VR Gasses (hizi ni miwani ambazo unaweza ukaangalia muvi au kucheza gemu kwa mazingira ya 3D na kukupa hali ya kama unakiona kitu katika mazingira halisi ) ,maana jinsi Nasma alivyo inama na Masumbuko alie kuwa kalala na walivyo kuwa wanaangaliana ilikuwa ni kama sinema la kifilipino .
“Dada juisi hii hapa”
Aliongea Steve na kumfanya Nasma amwangalie na kuachia tabasamu na kisha kusema asante , na kumfanya Steve ahisi sauti hio ilikuwa ipo tumboni ,ikitekenya maini yake.
Masumbuko mara alishtuka maana sijui alifikiria nini na alinyanyuka haraka haraka na kumshika Nasma mkono na kumfanya Nasma amwangalie huku akitabasamu na Masumbuko alimnyanyua Nasma na kumpeleka karibu na mlango wa jikoni ambapo mtu wa sebleni hawezi kuona
“Usije ukasema siku ile tulikutana na nilipotea na wewe ndio ulio nileta maana niliwaambia nalijua sana jiji sasa usije ukaniumbua , yaani kimyaa shiiip” Aliongea akimnong`oneza Nasma na kumfanya Nasma atabasamu na kuhisi msisimko wa ajabu kwani alihisi pumzi ya Masumbuko .
“Hapa leo nadhani kwa mara yangu ya kwanza ndio naangalia tamthiliya la kifilipino laivu bila chenga aliongea Steve baada ya kumuona Masumbuko akimwambia jambo Nasma.
*****
Boss mkuu kapiga simu kuhusu ule mzigo wa Congo “ Aliongea jamaa mmoja mrefu mweusi aliekuwa na mwili ulio jazia na akiwa amevaa miwani .
“ Ramso nadhani wewe unajua nini cha kufanya hapa , na nimeona una majukumu mengi sana, lakini nataka nikupe jukumu lingine na hilo .
“Jukumu gani hilo boss?”
“Nataka kwanzia sasa uwe karibu na Rania kwa kila anacho kifanya kwani muda si mrefu nitakwenda kumuoa”
“Boss una amini atakubali?”
“ Ramso unafikiri ninasema jambo bila mpango , yeye akubali asikubali ila lazima nimuoe kwa namna yoyote ile kwani baba yake tayari yupo hapa kiganjani na hana pakwenda na mama yake na yeye nina udhaifu wake mkubwa sana na nikumuonesha huo tu hatokuwa na la kusema zaidi ya kunipa baraka zote.”
Aliongea Hemedi akiwa nyumbani kwake eneo la Mapinga Bagamoyo na ndani ya jumba hilo ilikuwa ni kama ikulu kwani walionekana mabodigadi wengi walio valia suti safi wakiwa wana hakikisha ulinzi na haikueleweka walikuwa ndio wanamlinda huyo Hemedi au kuna la ziada kwani kama tujuavyo Hemedi ni mfanya biashara wa mabasi .
“Sawa Boss nitalifatilia hilo”
“ Kingine hakikisha huyo panya (Peter ) hafanyi lolote kwa huyo mwanamke , kwani ndio roho yangu na nadhani nikishampata rania roho yangu iatulia na nitatulia nae ,huyu paka kama isingekuwa analindwa na Bosco ningekuwa nishampoteza muda mrefu sana”
“Boss unamaanisha wetu anamfahamu Peter”.
“Ndio ana mfahamu vizuri sana na namheshimu sana Bosco kwani kanifikisha hapa nilipo leo hii, ila asinenipa maelekezo ya kutomgusa Peter ningekuwa nishampoteza muda mwingi sana”
Aliongea Hemedi na kumfanya Ramso ashangae , kwani sio jambo la kawaida kwa tajiri mkubwa kama Bosco kumjua Peter , kwani Bosco alikuwa ni tajri mkubwa ndani ya Congo mwenye mtandao mkubwa wa madawa ya kulevya na alikuwa ni supplier(msambazaji) kwenye nchi nyingi sana ikiwemo Tanzania alikuwa akifahamika kwa jina la The Don.
*****
Ndani ya uwanja wa kimaaifa wa Julius kambarage nyerere (JNIA) , alionekana mrembo Najma akiwa na bodigadi wake akitoka eneo la ‘Arrival’ yaani wanofika, akiwa amependeza kwelikweli na alionekana kabisa alikuwa safarini na ndio anarudi .
“Rehema naomba usinipeleke nyumbni kwanza nataka nikakae Serena mpaka nitakapo kamilisha ufunguzi wa kampuni yangu” Aliongea huku akitembea kimadaha kabisa na kuingia kwenye gari.
Gari ilitembea mpaka kwenye hoteli ya Serena ikitumia masaa machache tu kuingia kwenye hoteli hio ya hadhi ya juu na kisha mrembo huyo akaingia . na kwenda moja kwa moja mpaka mapokezi na kuchukua chumba .
“Leo unaonekana kuwa nafuraha kuliko siku zote nilizo kuzoea”Aliongea Rehema huku akiingiza mizigo ya Najma ndani ya chumba hicho .
“Acha tu nitakwambia kila kitu ila kwa sasa kuna mambo makuu mawili nataka kuyatimiza ndani ya mwezi mmoja .
“Hongera yako ,kama kuna jambo ambalo unataka kulifanikisha pia ni mwanzo wa mafanikio na ni uthamani katika uso wa dunia kwani hauvuti hewa bure , hakuna jambo zuri kuwa na sababu ya kuishi”Aliongea rehema na kisha waliagana kwa ajili ya kukutana siku inayo fuata.
Najma alifungua begi lake nakutoa laptop na kisha akawasha mtandao wa Skype na kisha akabonyeza kwenye hio laptop na likaja jina la A2
“Hello A2 “ Aliongea Najma kwa mapozi . (A2 ni Artificial intelligence roboti ambayo ilitengenezwa na Profesa Gladness , roboti ambayo inafanana kwa kila kitu na binadamu wa kawaida unaweza ukamfahamu roboti A2 kutoka kwenye simulizi ya MY DREAM MY FAVOURITE)
“Hello Beuty Najma .”
“ Nimefurahi sana kuwasiliana na wewe A2 na niliongea na aunt(shangazi) na kaniambia nikuombe msaada unaweza kunisaidia kwenye tatizo langu .
“Ndio alinidokezea na ni kwamba tatizo lako linaweza kufanyiwa kazi kisayansi kutokana na kwamba sasa kuna teknolojia ya kuweza kufanya komputa kutoa picha yoyote ile unayohitaji kutoka katika mawazo yako”
“Naweza kufika lini ili swala langu uweze kulitatua?”
“Kesho asubuhi unaweza ukafika nitakusadia hakika “
Hili ni roboti A2 liliotengenezwa na profesa gladness, na lilikuwa lipo kwenye moja ya kitengo cha usalama wa nchi , kitengo ambacho kilibadilishwa jina kutoka kwenye jina la the Hollic Shadow na kwenda kuitwa jina la AFRICA MULTNATIONAL CYBER SECURITY (AMCS) na kiongozi wa kundi hili alikuwa hajulikani jina lake , kwani kitengo hichi kilikuwa kikifanya kazi zake kwa siri sana na hata wafanyakazi walikuwa hawafahamiki .
UNAWEZA PATA SOFTCOPY YA SIMULIZI HII YOTE.

SIMULZI ZANGU NYINGINE NI
-UMOJA NAMBA TISINI NA SABA
-NDOTO ZA KIKANUNI
-BOOK OF ALL NAMES (UMOJA NAMBA TISINI NA SABA )
-MY DREAM MY FAVOURITES)

KUHUSU UTARATIBU WA MALIPO
WASILIANA NAMI KWA KUGUSA HAPAA



mawasiliano 0687151346
Mtunzi wa huu Uzi ameingia vichakani haonekan tubamaliza karibu wiki Sasa hebu aseme neno tums
 
SEHEMU YA 18
“Boss mwenyewe unarudi kutoka kazini “ Aliongea Steve baada ya Peter kufika nyumbani na kumkuta rafiki yake .
“Yeah nishakuwa boss saivi nafanya kazi katika kampuni kubwa tena benki hela zinakokaa , lazima unite boss .”
“Yeah , ila unabahati sana , unajua washikaji kila ninae mwambia kuwa unafanya kzi kwenye ile benki hakuna hata mmoja ambae ana niamini “
“ Usiwalazimishe kuamini , vipi lakini mambo yako ya field ?“
“Field iko vyema nimepata kwenye kampuni moja ya Telecom kule Posta ndiko ninako fanyia “
“ Anhaa kumbe tuko upande mmoja “
“Yeah , mrembo Rania na kisasi chako umefikia wapi au ndo unambwela “
“Kisasi kinaenda kiurahisi sana tofauti na nilivyofikiria , yaani si tumii hata nguvu”
“Eii.... wewe jamaa muongo sana , yule Rania ni mgumu wewe utampataje kirahisi hivyo , hebu acha Kamba zako hizo “
“Shida yako husadiki , ila nataka nikirudi kutoka Tanga nikuonyeshe uone kama nadanganya au wewe ndio mwenye ugonjwa wa kuto kuniamini “
“Acha wee waenda tanga kufanyae tena? “
“Naenda kwa ajili ya kazi huko na boss “
“Mhmh! , kweli naona ushaanza kuaminika kiasi hicho mpaka unaenda na boss”
“Sio kuaminika ni kwamba mfumo mpya wa ulinzi bado haueleweki kwa IT wengi kwa hio natakiwa kuurekebisha mimi mwenyewe “
“Halafu yule boss wako ana lishepu hilo , yule nakubali ani bemende “
“Aaaa… mke wa mtu yule na ni kama mama yako yule”
“Ana umama gani , hivi unafikiri yule akikutega upo chumbani nae utachomoka kama wewe ni mwanaume rijali , lazima uingie ndo utajua huyo sio mama yako ni umri tu ila tuyaache hayo”
“ Sema huyu mshikaji wako una mpango gani nae au ndo umemfanya House boy“
“ Masumbuko nina malengo nae nataka nikirudi nimfundishe kusoma na kuhesabu halafu nimtafutie biashara ya kufanya”
“Peter wewe hata usijisumbue kuniletea mwalimu au kutaka kunifundisha kwani sitaelewa kitu” Aliongea masumbuko na kumfanya Peter amwangalie huku akisogea pale kwenye sofa alipo kaa .
“Sikia Masumbuko , sijui alie kuambia kuwa huna uwezo wa kusoma na kuelewa ,ila mimi nina fahamu kabisa kuwa wewe unaweza ukasoma na kuelewa ,sema haujapata mwalimu mzuri kwa hio kuanzia sasa jua wewe una akili na unaweza kusoma na ukaelewa umesikia? “
“Ndio nimekuelewa “ Alijibu Masumbuko kwa heshima kwani hakuwahi kumuona Peter akiwa kwene hali hio ya kuwa siriasi
“Naona mshakuwa ndugu kamili kwa sasa “
“ Yeah , yaani nafurahi sasa hivi nyumbanii kuna mtu ambae naweza kumuongelesha wakati wote , nimechoka kuishi mwenyewe , hivi wewe Steve unajisikiaje unatoka shule unarudi nyumbni huku ukijua kabisa hakuna mtu , na hata pale unapokuwa na tatizo huna mtu wa kusema huyu ni ndugu yangu naweza kumuita au kumpigia simu kumuomba msaada “
“Ndio ni maisha magumu sana kiufupi sipatii hata picha lakini cha kumshukuru Mungu ni kwamba bado kakuweka hai na kukupigania mpaka sasa”
“Ndio , nilikuwa nampenda sana mama yangu na nitaendelea kumpenda daima huko aliko , alinipigania yeye mwenyewe kanikuza kwenye mazingira magumu mpaka alipo patwa na umauti , ila naamini siku moja tu nitakuja kumpata alie husika na ajali ile”
“Peter rafiki yangu kwanini usisahau yote hayo ile ilikuwa ni ajali ya kawaida tu kama polisi walivyo sema , kwanini unataka kuweka visasi moyoni , mimi nikajua ulikwisha sahau”
“ Hapana Steve siwezi kusahau kabisa yaani , na hakuna mtu wa kunishawishi , nakaa kimya tu kutokana na kwamba sitaki kisasi kifute ndoto zangu kwani naamini hata mama hatofurahia kabisa akiniona naishi kwa ajili ya kulipiza kisasi”
“Kwa hio Peter kumbe mama yako alikufa kwa ajali”Aliuliza masumbuko
“ Ndio ni story ndefu Masumbuko sipendi kuikumbuka kabisa “
“Hata mimi mama yangu alikufa kwa ajali “ Aliongea Masumbuko na kumfanya Peter amwangalie kwa maswali .
“Alikufa kwa ajali gani ??”
****
“ Nakuona unavyo mfanya mtoto akolee rafiki yangu “
Aliongea Lea akiwa amejilaza pembeni kwenye viti vya kuegamia huku akiwa ameshikilia kikombe cha pombe (Solo cup) Pembeni yake kushoti akiwepo Sebastiani akiwa amekaa mkao kama wake wote alikuwa wamevaa mavazi ya kuogela huku wakimwangalia Stella alie kuwa katika Swimming pool akiogelea kwa ustadi mkubwa ,alikuwa akizama na kwenda kuibukia mbeleni , kiufupi alikuwa kama kivutio siku hio katika eneo hilo kwani uzuri alio kuwa nao wa maji ya kunde ulikuwa ukivutia sana na shepu ambayo mungu amembariki nayo ilizidi kufanya kuonekana mzuri na hata pale alipo kuwa akiingia na kuibuka kwenye maji alifanya kuonekana kama malaika
“Huyu mwanamke mzuri sana , nimeona wanawake wazuri ila huyu ni kiboko , yaani hata huyu bwana wako namuona fala kumuacha kimwana kama huyu”
“Aacha hizo ujue Sebastian kwani kuwa mzuri ndio kupendwa ,ingekuwa wanawake walio na sura mbaya hawaolewi sasa”.
“Acha wivu wewe.. kiufupi pale haumfikii hata kwa dawa , Stella mzuri na pia ana roho nzuri , na ndio maana anazidi kuwa mzuri , sio kama wewe”
“Sikia seba.. huo utani sitaki , yote nilio yafanya nimefanya kwakuwa nampenda sana James na ningemkosa ningekuwa mwehu , mimi ni tofauti na Stella huoni hata hali yake kwa sasa ni nzuri , mimi nisingeweza roho yangu nyepesi”
“Hahaha.. kwahio ulijuaje kama Stella ataweza .. hio ndio roho mbaya ninayo zungumzia sasa, kujijali mwenyewe pasipo kumjali mwingine”
“Sikia seba utaniudhi sasa hivi , jishaue tu na wakati mimi ndio nakufanya uwe na Stella , fikiria tu siku atakavyojua ulikuwa kwenye mpango wa kumuachanisha na boyfriend wake sijui atakufanya nini”
“Basi yaishe mrembo ee , nilikua natoa ya moyoni , lakini nina furaha maana sasa hivi ninae Stella nahisi Dunia yote yangu , japo hajanikubalia ila naamini atanikubalia tu”.
“Halafu seba hivi utakuwa mzito mpaka lini , wewe unavyo endelea kuamini , utajikuta mtoto sio wako , wewe humuoni alivyokuwa mzuri wewe haya tu zembea”
“Kwa hio wewe nataka nifanyaje , na wakati unaona Stella mwenyewe bado anaonekana ana majonzi sema anajikaza kuonekana yupo sawa”
“Ndio maana nakwambia jitahidi umsahaulishe mtoto huyo na jijengee mazingira akuone mwanaume wa tofauti na wengine , mfanye akuamini “
“Najitahidi sana ”
“Bado.. , sasa sikia Stella jambo ambalo lina muumiza kwa sasa ambalo ni kama udhaifu wake mkubwa ni kumfunga Masumbuko huyo rafiki yako , lakini kumbuka akimpata Masumbuko basi na wewe umekamatika na Stella hatokuamini tena na anaweza akakufunga na wewe, maana anaijua sana sheria na utakuwa umekosa kila kitu na mimi sipo tayari kwa hilo”
“Sasa nifanyaje mbona kama unanitisha , mimi akinikamata nakuunganisha”
“ Huo ndio utakuwa umama sasa , hautokuwa mwanaume wewe inabidi ufikiria namna ya kujitoa kwenye kesi ili hata Masumbuko siku atakayo kamatwa wewe hautahusika moja kwa moja, anza kutengeneza ushahidi wa lile tukio kuwa haukushusika na pia tafuta ushahidi au hata kwa kuutengeneza ili umfanye Masumbuko kuwa na hatia moja kwa moja”
“Seba nimefurahi kweli leo asante kwa kunileta hapa , unajua nilikuwa nasikia Sea breeze ila sikujua kuwa pako vizuri kama hivi” Aliongea Stella na kuwafanya Lea na sebastiani kukanyamaza.
“ Ni kweli Stella yaani pazuri ,tupigeni picha basi” Aliongea lea huku akimsogela Stella aliekuwa akijifuta maji na taulo .
“Seba kaa na Stella basi niwapige picha” Aliongea lea na kuwafanya Stella amwangalie Sebastian na Sebastian alimwangalia Stella na kisha wakatabasamu kwa pamoja na kwa ushawishi wa Lea basi walikubali na kupigwa picha na Stella”
“Nitawatumia hizi” Aliongea Lea huku akitabasamu sana maana zilitoka kama alivyokuwa anataka .
****
Huku nyumbaani kwa Mama Rania alionekana Najma akitoka kwenye chumba chake akipiga miayo akielekea chini kwenye sebule yao na muda huo ilikuwa ni muda wa saa saba mchana .
“Hi! dad good afternoon!” Alisalimia Najma baada ya kumuona baba yake wakati tu alipofika sebuleni wakati huo baba yake alikuwa akiingia na sijui alifata nini maana siku hioo alionekana kuwahi kurudi jambo ambal sio kawaida yake .
“Naona leo umewahi , maana nakuona ukirudi saa sita au saa saba usiku “
“Leo kuna kitu nimerudi kuchukua mara moja na nitarejea baada ya muda kidogo , wewe mbona haujatoka kwenda kwenye mandalizi ya ufunguzi wa kampuni yako”.
“Nimetoa tu maagizo kwa wafanyakazi wangu siku hizi sipendi hata kutoka”
“Unaonekana kuwa na jambo maana si kawaida yako my princess“
“Yeah dadie ni juu ya yule mkaka , I am head over heels for him, please help me to find him dadii please “ (Ninamuwaza yeye tu baba )Akijidekeza kwa baba yake .
“My daughter nafanya kila njia kuhakikisha nina mpata and very soon tu utasikia taarifa ya kufurahisha maana timu yangu ipo uraiani huko inamtafuta “
“Asante sana dad ndio maana nakupenda I real love you dad “ Aliongea Najma maana alikuwa na uzungu mwingi yaani alikuwa hamuogopi baba yake kabisa ,watoto wengi wa kiafrika kumwambia baba ya kuwa wapo kwenye mapenzi ni swala gumu sana na kwao linaonekana kama ni utomvu wa nidhamu , ila kwa maisha ya wenzetu uzunguni huko ni swala la kawaida , pia baadhi ya familia za kiafrika washaathirfika na tamaduni za kizungu .
“Vipi na dada yako , unataka kuolewa kabla yake?”
“Dada naye anaanza kuwa kama mimi tu “ Alingea Najma nakumfanya Samir kumwangalia kwa mshangao , huku wakikaa kwenye masofa ya hapo sebuleni .
“Unamaanisha nini kuwa anaanza kuwa kama wewe?”
“Siku hizi hata si muelewi kuna mkaka nadhani kaanza kazi kwenye benki yetu sasa kila saa dada anamzungumzia mara amsifie na hata wakati mwingine usiku anaota akiongea huku akilitaja jina lake”
“Sasa yeye anakuwaje kama wewe , wewe si mwanaume unaempenda ,wewe ni tofauti na Rania “
“ Hata kama Dady nataka niende hapo kazini kwao nikwamuone huyo mwanume anae mchanganya dada yangu yukoje koje huyo “ Alingea Najma na kumfanya baba yake mapigo kuongezeka maana alijua kama ataenda basi anaenda kukuutana na Peter mwanaume anae mtafuta .
“Sikia unaonaje tukienda wote,mimi na wewe ,ninataka kumuona huyo mwanume kama kweli anamfaa mwanangu Rania maana nawajua wanaume waongo sana “
“Sure dad , nitakuambia siku nikipanga kwenda kumuona ili twende wote “
“Hapana Najma mimi nina kazi nyingi so nitakuambia siku nzuri ya kwenda”
“Sawa dad , but I cant wait , better make it soon dady “
“Worry out my daughter , but promise we do this together right “(Usijali mwanangu lakini hii ni ahadi ua sisi kwenda pamoja )
“Yess dady “
Samir alijikuta akitoka hapo huku akijifuta jasho maana anaona kazi inazidi kuwa ngumu watoto wake wanamchanganya vibaya .
“Nisipo fanya kitu hawa wapuuzi watakutana na inaweza kuleta matatizo kwa wote , inabidi nifanye kitu mapema kabla jambo baya halijatokea ,sina jinsi inabidi Rania aolewe na Hemedi , halafu anisaidie kumwangamiza Peter ili hawa mapacha wanaojifanya wanajua kupenda , nawaletea habari ya kifo tu”Alijiwazia huku akiingia chumbani kwake kwa ajili ya kuchukua kitu kilichomrudisha nyumbani .














SEHEMU YA 19
Samiri alikuwa kweli amedhamiria kumfanya Rania aolewe , aliamini njia ya kumuepusha na Peter ni ndoa .
Hivyo hakuwa na jinsi zaidi kumkubali rafiki yake awe mkwe, sababu hakuwa na cha kupoteza Ramia aolewapo na Hemedi , pia mali zake zingekuwa salama kuliko watoto wake kuwa na mahusiano na kijana Peter .
Alishangaa wakati mwingine ni kwanini alikuwa akimchukia sana Peter na kujithamini wapi chuki hio imetokea mpaka kuwa na nguvu ya kutomtaka kijana huyo kuingia katika maisha ya wanae , lakini hisia zake zilimwambia Peter hakuwa mtu sahihi kwa wanae zaidi ya maslahi na pia hakuamini kama kijana huyo alikuwa na mapenzi ya dhati kwa wanae , lakini pia aliona hatari ilioko kwa kijana huyo kupendwa na familia yake yote .
Siku hio wakati akiwa nyumbani alijihisi kuboreka kubakia hpo kwa muda mrefu ,lakini pia hata ile muwashawasha wa kwenda kutembea uliongezeka mara baada ya kuona meseji ya mchepuko wake Amanda , aliingia bafuni na kujiswafi .
Na kisha akaanza kujiandaa lakini wakati anachukua ufunguo ndio Mama Rannia alikuwa akiingia kutokea kazini.
Mwana mama huyu japo mume wake alikuwa akimnunia ila hakuacha kuonyesha heshima kwa mume .
“Haa ! Mume leo naona umewahi kurudi kazini”
“Ndio kuna kitu nilifuata ila ninaondoka na nitachelewa kurudi”
“Sawa mimi kesho nasafiri kikazi , unaonaje leo ukiwahi kurudi nyumbni mume wangu nimekumisi sana mpaka najisikia vibaya jamani”
Samiri wala hakujibu neno lolote zaidi ya kufungua mlango lakini kutokomea lakini sekunde mbili mlango ulifunguliwa tena na alikuwa ni Samiri , Mama Rania alimwangalia.
“Nimesahau kukutakia safari njema”
Aliongea na kisha alifunga mlango ,mwanamama huyu chozi lilimtoka na kujawa na hudhuni ,hakuamini kabisa mabadiliko ya mumewe kiasi cha kutomjali.
Alikaa kwenye kitanda akifikiria kosa gani amelifanya mpaka hali ya ndoa yake kufikia hatua hio , kuna muda alitamani hata kumfukuza Peter kazini ili hali ya ndoa yake irudi kama awali , lakini akikumbuka kuwa Peter alikuwa tegemezi katika kuimarisha ulinzi wa benki ,wazo alilitupilia mbali , ni zaidi ya mwezi yeye na mume wake kuishi kama dada na kaka
****
Ndani ya hoteli ya Coral Beach alionekana Lea siku hio ndani ya chumba kikubwa cha hadhi ya juu akiwa ameshikiliwa kiuno na James huku akiingiza mwiko wake ndani na kutoa huku kimwana huyo akitoa miliio ya kimahaba ,alionekana dozi anayopewa na james haikuwa ya kawaida .
James alikuwa akimkunja kama kambale na alionekana kubobea kweli kwenye mambo ya sita kwa sira kwani alionekana shughuli kuimudu vizuri takribani dakika kumi na tano walikuwa washamaliza na wote kufika ukingoni.
“Asante sana Hubby “ Aliongea Lea huku akimwangali James usoni aliekuwa akihema kama mbwa alie kimbia maili nyingi “
“Hauna haja ya kushukuru mpenzi wangu mimi hii ndo kazi yangu ya kuhakikisha kwamba nakuridhisha ili usije ukanitoroka ukaenda kwa wengine kwani nitaumia sana mpenzi , nimeumizwa na Stella sitaki kuumizwa na wewe tena”
“Usiwe na wasiwasi mpenzi kwa ninavyokupenda haitokuja itokee eti nakusaliti mpenzi wangu , mimi niwako tu peke yako , unavyo niacha ndivyo unavyo nikuta “
“Hata mimi nakupenda sana Lea na sipo tayari kuuona huu uso wako unatoa machozi kisa mimi kukusaliti , kwanza nataka ukimaliza tu chuo nakuoa”
“Kweli mpenzi , uko siriasi “
“Ndio kwani wewe hautaki kuolewa ,
“Nataka mpenzi ila unajua mapenzi yetu hayana uhuru kwani lazima kila siku tukifanya yetu tujifiche ili Stella asione , natamani kutembea na wewe kila mahali kuonyesha ulimwengu mzima kama napendwa na wewe james mwanume wa maisha yangu ”
Aliongea Lea kwa hisia kubwa na walianza akuchokozana tena, na kwa mara nyingine wakaingia kwenye tendo hilo la kuzini na walidumu kwa dakika kama ishirini , na kati yao hakuna hata mmoja alie kuwa akikumbuka kondomu walionekana kuaminiana.
“Vipi mpenzi lini tena warudi Kenya?”
“Kesho narudi ,nitakuwa huko kwa mwezi mmoja , halafu haujaniambia Stella anaendelaje kwa sasa , si rafiki yako?” Aliuliza James na lea kumuona bado anawasiwasi na hali ya Stella.
“Anaendelea vizuri tu wala hakuwazii , ngoja nikuoneshe maana saivi ana mpenzi mpya na hana habari na wewe “ Aliongea huku akimuonyesha baadhi ya picha ambazo zilimuonesha Stella akiwa kwenye kivazi cha kuogelea ,James alisisimka baada ya kuona umbile la Stella
Lea alikuwa akifanya kumuonesha James ,alimjunesha za Stella na Sebastian wakiwa kwenye pozi mbele ya Swimming pool
“Huyu ndio mpenzi wake mpya ?”
“Ndio huoni walivyo pendeza “
“ Hongera yake , nilijua tu kama hanipendi huyu mwanamke nilikuwa namwamini sana kumbe mchafu namna hii , sitokuja kumsamehe “
“ Usimchukie sana mpenzi , kwanza upo na mimi mwanamke ninaye kupenda , haina haja ya kumuwazia Stella tena” Aliongea Lea huku Stella akielekea bafuni akimwacha James.
James alishika simu yake na kuwasha data na kuangalia message za Watsapp, alijikuta akitabasamu baada ya kuona jumbe kutoka kwa jina la Business partner ,jumbe ya sauti (voice notes) , aliweka ‘Earphone’ masikioni na kusikiliza huku tabasamu pana likiwa limeupamba uso wake , inaonekana jumbe hio ilimfurahisha mno , pale alipomuona Lea anatoka bafuni ndio akajikausha na kuweka simu pembeni baada ya kufuta ule ujumbe .
****
Ilikuwa ni siku nyingine siku ambayo Mama Rania na kijana Peter walikuwa kwenye gari moja aina ya Range Rover Spot huku dereva akiwa Peter akiwa makini na usukani , pembeni yake alikuwa ni Mama rania alieonekana kusinzia, hakuwa na habari kabisa kwa alivyojiachia kwani sketi aliovaa ilikuwa imepanda mpaka kwenye mapaja ,ukizingatia pia kigauni alicho vaa kilikuwa chepesi sana , mwanamama huyu hayo ndio maisha yake ,alikuwa na uzungu mwingi hata kazini kwake.
Gari ilizidi kuyoyoma na ndani ya masaa manne gari ilikuwa ikipita sehemu moja inayoitwa Soni hapa ndio Mama rania alishtuka kutoka usingizini .
“Nimelala sana?”
“Yeah ndio tuko eneo moja linaitwa Soni na muda si mrefu tunafika lushoto mjini “
“ Aisee nimelala”
“Unaonekana kuchoka sana”
“Yeah nimechoka sana jana sikulala kabisa mpaka kuna kucha “
“Tatizo lilikuwa ni nini sasa ?”Aliuliza Peter huku akiwa makini zaidi na barabara kwani makona yalikuwa mengi .
“Mambo ya kawaida tu , halafu kuna baridi huku” Aliongea Mama Rania baada ya kupandisha kioo.
“Ndio huku ni juu milimani , milima ya Usambara , ni kuzuri kweli nishawahi kufika mara nyingi nyingi kuna baridi ,ila kuna maeneo mazuri ya kutembelea”
“Kumbe nipo na mwenyejii, basi inabidi unipeleke peleke hayo maeneo ya vivutio nikaone na mimi”
“Hilo hata usijali Boss”
Walitumia masaa machache sana kufika Soni, na moja kwa moja waliingia Lushoto mjini na kwakuwa ailikuwa mapema sana , waliingia kunywa chai kwenye mgahawa na baada ya hapo wakaanza ukaguzi ndani ya jengo hilo la benki , na Peter yeye akiwa na kazi ya kuweka mfumo mpya kwenye tarakishi pamoja na vimashine flani vya mtandao .
Kazi ilifanyika kwa masaa manne mpaka kuisha na iliisha mapema kabla hata ya muda ambao walipanga kuutumia , baada ya kazi zote hatimae waliondoka huku wote wakiingia kwenye gari na kuelekea kwenye hoteli moja maarufu sana ndani ya Lushoto ilio kuwa ikijulikana kama “IRENTE VIEW “ hii ni hoteli moja nzuri sana ilio kuwa ikimilikiwa na marehemu raisi mstaafu Benjamini mkapa , ilikuwa juu ya mlima na ukiangalia kwa chini unaona maeneno ya tambarare , kama nji za kwenda Moshi , Mazinde na baadhi ya maeneo mengine ni eneo zuri kweli kwa hoteli hio kuwepo .
:Jamani kuzuri huku , kuna mazingira safi hadi raha na hewa safi kabisa “ Aliongea Mama Rania wakati wakitoka kwenye gari baada ya kuingia ndani ya hoteli hio.
****
Tajiri Samir hakurudi nyumbani siku ambayo mke wake alikuwa amemuambia kuwa kesho yake atasafiri kikazi na wala hakujua kabisa mke wake alikuwa amesafiri kuelekea wapi Zaidi ya kujua yupo safari kikazi .
Usiku wa siku hio Mama Rania alimsubiri sana , alikuwa akitamani kupata haki yake ya ndoa na alikuwa kwenye hali mbaya sana , lakini Samir hakurudi kabisa kwani mchepuko ulikuwa umemshikilia sana siku hio .
“Umeamkaje mpenzi?” Aliuliza Amanda ,alikuwa amekaa kwenye Dressing table akijipodoa ,ilikuwa ni muda wa asubuhi na Samir ndio kwanza alikuwa akitoka usingizini .
“Jana umeniweza kweli yaani nimesahau kabisa kurudi nyumbani “
“Nipo hapa kwa ajili ya kukusahaulisha kuhusu mkeo maana najua upo kwenye wakati mgumu sana wewe ni familia yako “
“Ni kweli , ila yataisha tu ,”
“Vipi mke wako leo si atakuwa na presha huko”
“Kweli na anavyonipenda sidhani kama jana alilala, maana kila siku namkuta yupo macho ananisubiria , halafu aliniambia kuwa anasafiri kikazi”
“Masikini saivi atakuwa na mawazo safari nzima”Aliongea Amanda pasipo kujali kuwa anaye mfanyia hivyo ni mwanamke mwenzake na anaiharibu nda ya mwanamke mwenzie.
****
Sebastiani alikuwa ndio kwanza kutoka chuoni , aliingia ndani kwake na kisha akajirusha kwenye sofa lilipo ndani ya chumba chake .
“Stella unaninyima usingizi , ila nitakupata tu kwa namna yoyote ile upo ndani ya mawazo yangu sana , nakufikiria kila wakati” Alijiwazia sebastiani huku akiangalia feni inavyozunguka .
“Inabidi nikusaidie katika swala lako na Masumbuko na naamini kupitia hili lazima unipende mwenyewe”
Alinyanyuka na kuweka begi lake lilibeba tarakishi mpakato kwenye meza na kisha, alivua nguo zake na kuingia bafuni ,chumba chake kilikuwa ni self container , alimaliza kuoga na kuanza kujifuta maji , kuna wazo lilimjia ambalo lilimfanya atabasamu .
“Aliifuata simu yake na kisha akamtafuta Steve na kumuuliza yuko wapi na alijibiwa kuwa yupo kazini bado , aliuliza na kuhusu Masumbuko na kupewa jibu kuwa yupo nyumbani na Peter alikuwa mkoani kikazi . majibu hayo yalimfanya atabasamu na kuvaa nguo zake na kujiandaa haraka haraka .
“Hapa naenda kwa masumbuko kuchukua ushahidi au kuutengeneza na hivyo hana akili atajaa tu” Alijiongelesha huku akitabasamu kinafiki.
























SEHEMU YA 20


Sebastian alipanda daladala na moja kwa moja alielekea Mbezi Beach nyumbani kwa Peter na Masumbuko , kutokana na muda huo kutokuwa na foleni kubwa , alitumia dakika arobaini na tano hivi kufika Mbezi Beach , alikuwa akipahafamu sehemu ambayo alikuwa akiishi Peter , alivuka barabara na kunyoosha juu kabisa mpaka nyumbani wanapoishi .
Masumbuko wala hakuwa na habari kwani muda huo alikuwa akiangalia muvi kama kawaida yake maana alikuwa akipenda sana TV.
Alisikia mlango unagongwa na akanyanyuka na kusogelea na kuchungulia kwanza ni nani anaye gonga na alivyo muona ni Sebastian kwanza aliogopa na kuanza kujishauri kufungua ama asifungue , lakini mlango ulizidi kugongwa ndipo alipo kata shauri na kufungua mlango .
“ Wewe fala nagonga hata haufungui , ulikuwa umelala nini?”
“Hamna nilikua najishauri nifungue au nisifungue “
“ Ulijua anaye gonga alikuwa mimi au? “
“ Ndio nilichungulia kabla ya kufungua”
“Sasa kwanini ulikuwa unajishauri kufungua , au ulikuwa unaogopa yale ya siku ile , yale yalipita na sina time nayo chukulia poa tu “
“ Unasema kweli ?”
“Ndio namaanisha , mimi siwezi kukosana na mwanaume mwenzangu kisa demu”
“ Asante sana , mimi hata siku ile sijui nilifikiria nini maana nilijikuta tu nimefanya vile “
“Vipi umefanya” Aliuliza huku akikaa kwenye sofa
“Si kukufanya uwe muhudumu”
“Hahaha... sema ulichonifanyia wewe boya ,ndio hivyo nimekusamehe maana Peter ni rafiki yangu na wewe pia umekuwa rafiki yangu kuanzia leo na kuendelea”
“Asante Sana”
“Peter yuko wapi?”
“Kasafiri “ Alijibu Masumbuko huku akikaa na yeye maana muda wote alikuwa amesimama . wakati huo Sebastian na yeye alikaa vizuri nakutoa simu yake akatachi akapangusa pangusa na kugusa ,ilikuwa simu janja ,kisha akamwangalia Masumbuko .
“ Masumbuko halafu unajua ile siku ulinishangaza sana hivi ulimla yule mwanamke ?”
“Ndio nilimpiga kitu safi mpaka akazimia nikaachana nae maana pale nilimpa kumbukumbu za masaa mawili”
“ Haha .. kwahio ni kama ulimpiga changa la macho na ukala kitumbua si ndio?”
“Yeah nilimbadilisha mawazo sijampiga changa la macho “
“Sasa kwani kuna utoafauti gani kati ya changa la macho na kumbadilisha mtu mawazo?”
“Mimi Sijui jibu wewe”
“Namaanisha si kama umembaka vile?”
“ Kwani kumbaka mtu inakuwaje kuwaje?”
“ Si kama kumfanya bila ya kujua anacho fanyiwa, hapo utakuwa umebaka mtu kwa sababu alikuwa hajui “
“Ndio nimembaka basi”
Basi Sebastian aliaga huku akimwambia Masumbuko kuwa amekuja kwa jili ya kuonana na Peter ila kwa sababu hakuwepo alisema atakuja siku nyingine .
Sebastian alifika geto kwake huku akitabasamu na kutoa simu yake na kuanza kuplay na hapo hapo ikaanza kusikika sauti ya Masumbuko .
”Ahahaha.. nimembaka basi , masumbuko wewe huna akili na utaenda jela bila ya kupenda fala wewe”Aliongea Sebastian huku akitoa ile memory kadi na kuweka kwenye kijiboksi hapo ndani . .
*****
Tajiri Samir alikuwa amedhamiria kwa silimia mia kuwa lazima afanye maamuzi mapema , kwani kila alipo fikiria kuwa Rania ashaanza kuwa na hisia na Peter alipata wasiwasi hali hio aliiona kama bomu linalotaka kulipuka na ni yeye tu ambae anaweza kulitengua .
Wakati akiwa ofisini kwake alitoa simu yake na kumpigia rafiki yake Hemedi na kumwambia kuwa jioni wakutane maeneo yao ya kukutania kwani ana jambo la kumwambia .
Basi baada yakufanya kazi na kumaliza tayari ilikuwa ni mida ya jioni ambayo alipanga kukutana na tajiri Hemedi katika hoteli ya Kilimanjaro kwani hapo ndipo makazi ya Hemedi akitaka kujivinjari na mwanamke yeyote yule .
Samiri alifika nakuegesha gari yake na kwakuwa aliambiwa na bwana Hemedi kuwa wakutane kwenye chumba alichokuwa anapendelea kuchukua hotelini hapo , basi Samir alipandisha juu kabisa mpaka kwenye chumba hicho.
Alifungua mlango na kuingia ,alimkuta Hemedi akiwa na mwanamke mmoja alie valia chupi tu , Hemedi baada ya kumuona rafiki yake alimruhusu yule mwanadada aondoke huku akimminya kalio .
Kitendo kile alikishuhudia Samir na kujikuta akipandwa na hasira hasa alipo fikiria kuwa huyo ndio mwanume ambaye anapaswa kumpa Rania kwa ajili ya kumuoa .
“ Niambie Samir , umefikiria juu ya ombi langu?” Aliongea huku akimimina pombe kwenye glass na kumpa Samir , huku Samir wakati huo alikuwa na hasira kila akifikiria vitendo vichafu vya Hemedi alijiona kabisa huyo hafai kabisa kumuoa mwanae.
“ Ndio nimefikiria”
“ Haya niambie baba mkwe”
“ Sikia Hemedi nimegundua wewe sio rafiki yangu umnafiki , unatumia nafasi ya matatizo yangu ili kumpata mwanangu , sasa mimi kama baba yake sipo tayari kwa hilo.”
“ Samir wewe ni rafiki yangu sana na tumesaidiana katika mengi na unanijua vizuri , kwani kuna shida gani ya mimi kumuoa mwanao?: na kwanza wewe unakuwa kwenye nafasi nzuri kwani Rania utampa mali zako na mimi sina shida na mali zake atazitunza na kumpa mwanae atakae mzaa na hakutakuwa na mgogoro wa mali zangu na watoto wangu wakubwa sasa hiko unacho kichukia ni kipi, mbona kuna watu wengi tu wazima wana oa mabinti “
“Sikia Hemedi wewe ni mnafiki sana na nia yako nishaijua wewe kwa kupenda kwako ngono najua unamtaka na mtoto wangu kwa ajili ya kumchezea , hivi na hio tabia yako kweli naweza nikakupa kweli mtoto wangu mimi si nina mchimbia kaburi mwenyewe “
“ Sikia Samir ni kweli unajua tabia yangu ila ni kuhakikishie kuwa nipo tayari kubadilika kwa ajili ya Rania kwasababu sijampenda Rania jana wala leo , ni muda mrefu sana na nilikuwa nikiogopa sana kukuambia hilo lisije lika leta athari kwenye urafiki wetu”
“ Kwa hio ulisubiri mpaka sasa ambapo nina matatizo ndio kuniambia kwakuwa unajua kabisa sitokuwa na jinsi?”
“ Sio hivyo rafiki yangu , ni kwamba sipo tayari kumuona Rania anampenda mtu mwingine na wakati mimi nipo hai , na isitoshe pia sitaki na familia yako kusambaratika na kuingia kwenye migogoro kisa mwanaume , tena mwanaume ambae hana mbele wala nyuma”
“ Hio sio sababu ya kutosha ya mimi kukupa mtoto wangu”
“Sababu kubwa ni hii hapa” Alivuta bahasha moja na kutoa picha na kuzimwaga mezani na hapo ndipo Samir aliona kama akili yake haifanyi kazi vizuri kwani aliona picha zikimuonesha Rania akibusiwa kwenye paji la uso na Peter”
“ Nadhani umeona sasa, hio nayo ni sababu kwani inanikasirisha sana kumuona mwanmke ninae mpenda akibusiwa hivyo na hio ni kwenye paji la uso kesho na kesho kutwa atabusiwa kwenye lipsi na kumpa kabisa kitumbua , nadhani kwa kiburi ambacho watoto wako wamerithi kutoka kwako sijui utamwambia nini akuelewe kuwa umemtafutia mchumba wa kumuoa”
Samir alijikuta akikaa chini na kunywa glass yote ya bia na kuisikilizia inavyo choma koo na kisha akatulia na kuanza kufikiria huku akiziangalia picha zilizo kuwepo hapo mezani , alipeleka mawazo yake kwa Rania na kufikiria ubishi wake na msimamo wake pale anapohitaji kitu , akamfikiria Nasma
ujeuri aliokuwa nao , akamfikiria Peter na yeye na kuanza kumpima sifa zake kama anafaa kuwa na mwanae hata mmoja aliona hafai.
“ Unajua Samiri wewe hata kuua mtu najua hauwezi , ila mimi nitakusadia kumpoteza kijana Peter kwajili ya kuwaokoa wanao “ Aliongea Hemedi na kumfanya Samir aliekuwa kwenye mawazo amwangalie na kujiuliza hitaji lake kuu ni nini , alijibu kuwa kujiambia kuwa hitaji lake kuu ni Peter kupotea katika uso wa Dunia ili kuiokoa familia yake.
“ Una uhakika juu ya hilo la kumpoteza Peter “
“ Ndio hilo naweza sana na lipo ndani ya uwezo wangu ,ni wewe tu kunipa baraka nimuoe mwanao na wewe utumie ubaba kumfosi mwanao nimuoe na mimi najua jinsi ya kumpata Rania kama ndio jambo ambalo lina kuumiza kichwa .
Samir alimwangalia rafiki yake huyo ambae dakika chache za nyuma alikuwa akimwamini sana katika kumwambia shida zake , kwake aliona mazungumzo hayo yalikuwa ni kama ya kibiashara.
“ Daah..! “ Aliongea Samiri na kukatishwa na simu ilokuwa ikitoa mlio wa sauti ikioonesha kuwa kuna mpigaji , alitoa na kuona ni namba ngeni .
“ Boss za siku nyingi!”
“ Salama nani mwenzangu?”
“ Ni mimi Krispine kutoka kampuni ya POPOTE TUNAFIKA , ulinipa kazi nifuatilie taarifa za yule mwanamke ,nimepata taarifa yake na mwanae”
“Uko wapi?”
“Nipo Ubungo”
“ Nakuja “
“Hili tutaongea siku nyingine Hemedi” Aliongea Samir na kisha kuondoka .
****
Tukiingia ndani ya mji wa Lushoto , alionekanna Mama Rania akiwa kwenye chumba chake ndani ya hoteli , baada ya kila mtu kuchukua chumba .
Chumba cha Peter kikiwa kipo mkabala na chumba cha Mama Rania , hoteli ilikuwa na mazingira ya kuvutia sana kwani chumba kilionekana kuwa kizuri mno .
Mama Rania alikuwa amekaa kwenye kitanda chake akionekana kuwa na mawazo , akiwa ameshikilia simu yake , ni kama alikuwa akisubiria mtu amtafute . na nikweli alikuwa akisubiria ujumbe ama simu kutoka kwa mume wake , kwani tokea alivyo ondoka jana yake nyumbani hakurejea kabisa , na mbaya Zaidi ni kwamba na yeye ameondoka bila ya kuonana nae , japo alikuwa akijua kuwa mume wake alikuwa akichepuka lakini hakuacha kumpenda mume wake na alitaka tu kujua hali ya mme wake kuwa anandeleaje .
Wakati akiwa kwenye mawazo akiwa amekaa kwenye sofa , jina la ‘My favourite Naa’ lilisomeka kwenye kioo cha simu yake janja ukiambatana na mlio wa sauti wa wimbo wa ‘Alan walker –Faded’, alikuwa ni mwanadada Nasma ,alitabasamu huku akiipokea na kuweka sikioni na kuanza kuongea na mwanae . alionekana kuna jambo la kufurahisha ambalo alikuwa akiongea na mwanae huyo maana hali yake ilibadilika na kuonekana kutabasamu .
Mama Rania alijikuta akitamani kupiga soga na Peter mara baada ya kumaliza kuongea na simu , kwani alikuwa amemzoea sana Peter na hususani akiwa kwenye hali ya mawazo mara nyingi mtu ambae amekuwa tabibu wake wa kumrudisha katika hali sawa alikua ni Peter , alinyanyuka kivivu na kuchukua kitenge chake na kujifunga huku akiwa amevalia kijisketi chake chepesi kwa ndani alitoka na kwenda mpaka kwenye chumba cha Peter , aligonga na kusubiria na baada ya muda Peter alifungua mlango hukua akiwa amevalia singlend na bukta lake .
“ Vipi naweza kuingia? “ Aliongea Mama Rania huku akimwangalia Peter usoni aliejifikiria kwa sekunde na kisha alimruhusu mama huyo na kuingia
“ Najihisi upweke kukaa mwenyewe nimeona nije unichangamshe
changamshe maana naona kama mawazo yananiandama”Aliongea Mama Rania
na Peter kwa akili yake ya haraka alijua kabisa mama huyo alikuwa akisumbuliwa na mawazo kwani kule njiani alikumbuka alimwambia kuwa hakulala kabisa usiku wa jana mpaka kunakucha .
“ Basi stori zilianza , na kama kawaida Peter kwakuwa alikuwa haishiwi na stori za uongo na kweli Mama Rania hali yake ya furaha hatimae ilikuwa imerudi kwa kiasi fulani , uzuri wa kile chumba ni kwamba kilikuwa na sehemu ya kukaa yaani kulikuwa na masofa(master suite room) ambayo yamepangwa na yalikuwa yakiruhusu watu kama watatu kukaa .
Baada ya kupiga stori kwa muda mrefu , huku hali ya hewa ya Lushoto ikizidi kuwapa kajiubaridi na kumfanya Mama Rania atoe ile khanga alio jifunga na kujifunika mabegani na wakati huo walikuwa wamehamia kwenye kungalia onyesho fulani la wanamuziki kutoka Marekani wakionyesha uwezo wa kwenye kuimba(Stage perfomance ) , sasa Peter alidhania mama Rania anapenda kile alichokuwa akiangalia kumbe mwenzake alikuwa ashalala muda na saa ilikuwa ikisoma saa nne usiku muda huo , Peter muda wote alikuwa akijua kuwa na mwenzake yupo makini kwenye kuangalia maana alikuwa akiona vijiaibu flani hivi vya kugeuka na kumwangalia Mama Rania usoni. Na hakujua kwa nini alikuwa na hali hio .
Baada ya dakika kadhaa alijikuta akigeuka na kumwangalia Mama Rania , hapo ndipo alipo gundua kumbe mwenzake ashapotelea usingizini muda mrefu huku akijiegamiza vibaya kwenye lile sofa ,Peter alimwangalia na kuona kweli boss wake kachoka , aliamua kunyanyuka lakini mara Mama Rania kwa jinsi alivyo kuwa ameegamia lile sofa alijikuta akielekea chini na Peter kwa uharaka wake alijikuta akichuchumaa na kumdaka na hapo Mama Rania ndipo alipo kuja kushituka akiwa kwenye kifua cha mwanaume na uso umekaribiana na wa Peter huku akihisi pumzi ya joto ya kijana , kwakuwa kijisketi alicho vaa kilikuwa kifupi kwani hizo ndio nguo zake , basi mapaja yote yalikuwa yamegusana na miguu ya Peter kwani alikuwa amevalia bukta .
Mama Rania alijikuta akihisi joto Fulani na pumzi ya Peter ilio kuwa ikimpumulia na kujikuta hisia za mapenzi zikimpanda na kwa upande wa Peter kama mwanaume rijali alikuwa akihisi joto la ajabu sana kutoka kwenye mwili wa Mama Rania na kujikuta dunguso yake kusimama wima na kugusa mapaja ya Mama Rania.
Mama Rania alijikuta akishusha mdomo wake taratibu kwa Peter , kisha lips zikagusana na kwakuwa Peter alikuwa mgeni alikuwa haelewi haelewi chakufanya alikuwa kama mtu aliepigwa shoto na kuhitaji kunasuliwa , Mama Rania alicharuka kwani hisia zilikuwa zimempanda kiasi kwamba kwa hali alio kuwa nayo shetani asingeweza kujizuia , na ukizingatia hajakutana na mwanaume kwa muda mrefu hali ilikuwa mbaya kwake alijisemea liwalo na liwe .
Mama Rania alimshika Peter mkono na kuushikisha kwenye mapaja yake karibu kabisa na kitumbua na kumfanya Peter ahisi msisimko wa ajabu sana na uliongezeka pale Mama Rania alipogusa dunguso ya Peter.
Peter alishindwa kabisa kujizuia kwani hisia zilikuwa zipo juu na ukizingatia kuwa hakuwahi kufanya kitendo hicho tokea azaliwe, basi kujikontrol ilikuwa ni ngumu sana kwa kijana kama Peter kwani alianza kabisa kutoa ushirikiano , Mama Rania alinyanyuka na kumuinua Peter huku wakipeana juisi ya mdomoni na mwanzoni Peter alikuwa hajui hatua ila muda ulivyo zidi kwenda alijikuta akianza kuwa fundi , Mama Rania alishusha nguo yake ya ndani pasipo kuvua ile sketi na kisha akatoa na sidiria na kijiblazia alichovaa, alichukua mkono wa Peter na kushikisha kwenye hazina yake na Peter alielewa somo na kutumbukiza kidole na kuanza kazi ya kusugua na kumfanya Mama Rania atoe miguno huku akijinyonga nyonga , Mama Rania aliona kama anacheleweshwa kwani wakati huo hata haikueleweka Peter alivua saa ngapi lile libukta ,wakati huo msumali ulikuwa dede na umetuna ,Mama Rania aliinama na kupandisha kile kijisketi juu kabisa na kumwachia Peter kazi na Peter mwenyewe hakuzubaa maana akili yake hapo ilikuwa haifanyi kazi vizuri , aliingiza mtwangio wake na kumfanya mama wa watu apanue mdomo na kukugugumia kwa utamu kama wote.
Baada ya nusu saa mbele Peter alionekana fahamu kumrudia huku Mama Rania akiwa hana nguo hata moja na Peter nae alivaa bukta lake haraka haraka na kuangalia pembeni kwani alianza kujutia kwa kile alichofnya , kwani aliona kabisa ashakwisha lala na mke wa mtu.
Kwa Mama Rania wala hakuwa hata na wasiwasi , tena tabasamu lilionekana likipamba uso wake , kwake kufika kileleni lilikuwa ni historia ya muda mrefu na histora hio ndio imejirudia siku hio akiwa na kijana mdogo Peter , alitambua wasiwasi aliokuwa nao Peter hivyo aliamua kumsogelea na kisha alimkumbatia huku akimwagia sifa kedekede .
Naam ! Liwalo na liwe .
****
Samiri aliendesha gari lake kwa haraka kubwa ili kuwahi sehemu ambayo amepanga kuonana na bwana Krispine ambae ni mfanya kazi wa kampuni ya kutafuta watu ijulikanayo kwa jina la “POPOTE TUNAFIKA” , alitumia muda wa saa limoja tu kutoka mjini Posta mpaka Ubungo Landmark Hotel , sehemu ambayo ndio alipo panga kukutana na bwana huyo .
“Za Siku Nyingi Boss” Alisalimia kijana mdogo kabisa alie valia suti yake safi kwa heshima kabisa , huku akiweka mkoba wake pembeni .
“ Salama kabisa namshukuru mwenyezi Mungu kwa kila hali”
“Nimechelewa kidogo kulikamilisha zoezi hili, kutokana na kwamba sikua na muongozo wowote katika kumtafuta ila nashukuru nimefanikiwa kumpata .
“Niambie anapatikana wapi?” Aliuliza Samir kwa shauku kubwa ya kutaka kujua sehemu ambayo anapatikana
“Kwa majina anaitwa Irene mshana ni mwenyeji wa mji wa Arusha sehemiu alipozaliwa:”Alipozi kidogo huku akifungua makaratasi yalio kuwa kwenye begi lake hilo .
“Alihamia jijini Dar kwa ajili ya kutafuta maisha baada ya mama yake kufariki kwa ugonjwa wa maralia , kuhusu taarifa za baba yake na ndugu kwa ujumla sijazipata .
Hapa jijini alikuwa akiishi maeneo ya Sinza mpaka alipo jifungua mtoto wa kiume ndipo alipo hama , na taarifa kwa sehemu alipo hamia hazijafahamika kwa undani Zaidi ,lakini nimefahamu kuwa alijifungua mtoto wa kiume lakini jambo la kusikitisha ni kwamba kwa utafutaji wa kampuni tumeweza kugundua kuwa mwanamama huyu alipoteza maisha yeye pamoja na mwanae.”
Samir alijikuta kwenye mshangao mkubwa sana na maumivu makali baada ya kusikia kuwa wote wawili walipoteza maisha hapo hapo .
“ Samir alijikuta akinyong`onyea baada ya taarifa hio kwani ilikuwa ni taarifa ambayo ilisikitisha mno mbali na mategemeo yake , hasa alipo sikia kuwa mwamke yule alijifungua mtoto wa kiume ambae anamtafuta usiku na mchana ili kuja kumrithisha mali zake kwani hakuwa na uhakika na maamuzi ya mali zake kuzirithisha kwa wanae wa kike .
“Ni hayo tu mheshimiwa na kama kuna jipya nitakalo libaini basi nitakuambia mapema iwezekenzvyo “ Aliongea bwana yule na kisha akapeana mkono na Samir na kisha kuondoka .
Alikaa chini na kujifikiria kwa muda huku akihuzunika kwa uzembe wake ,lakini mwishowe alikubaliana na hali halisi kwa kuona kwamba hayo yote yalikuwa mapenzi ya Allah.
Alijkuta akitoa simu yake na kumpigia tajiri Hemedi rafiki yake
“Una baraka zangu zote, nipo tayari kukupa mtoto wangu umuoe ila kwa masharti makuu mawili la kwanza ubadili tabia yako , kwani sipo tayri kumuona mwanangu akilia kwa kuumizwa na tabia yako ,na pili najua wewe ni mtu mwenye mtandao mkubwa sana kwa hio naomba umpoteze kijana Peter kwenye uso wa hii Tanzania maana sitaki kumuona akihusika na familia yangu “ Alisema maneno hayo Samir na kisha akaagiza chupa ya bia na kuanza kunywa hapo hapo hotelini na alipanga siku hio alewe chakari kutoa mawazo.
Wahenga wanasema”Majuto ni mjukuu” na “usiloijua ni kama usiku wa kiza kinene .






SEHEMU YA 21

Peter aliekuwa amegeuka upande wa dirishani alikuwa akiona hata aibu ya kumwangalia mama huyo , kwani kitendo walicho kifanya muda mfupi ulio pita kilikkuwa ni kitendo ambacho alikiona kama ushetani au dhambi kubwa sana japo hakuwa na dini , ila aliamini kuwepo kwa Mungu mhukumu wa watu wenye dhambi na yeye aliona kuwa amefanya dhambi kulaa na mke wa mtu, ilishangaza kwa yeye kujutia kwani moja ya malengo yake katika kisasi chake ni kutembea na familia nzima ya Samiri .
Peter aliitoa mikono ya Mama Rania na kisha kumgeukia na hapo ndipo alipo kosea kwani ile anageuka tu Mama Rania alikuwa tayari ashapeleka mdomo wake na kuanza kumyonya midomo , Peter aliannza kuleta ugumu lakini aliposhikwa dunguso yake na mikono milaini ya mama huyo alijikuta akinywea kama maji kwenye mtungi na kumuacha afanye kile anacho taka , mchezo uliendelea kwani walisogea mpaka kitandani na Peter kusukummwa kitandani na boss wake Shani au Mama Rania na kisha akamvua bukta na kutupa kwenye kona ,Mama huyu alishika kirungu na kuanza kuchezea jambo ambalo lilimfanya Peter awehuke kwani kitu anacho fanyiwa kilikuwa ni cha levo ya ktabu cha ‘Super Erotic Romance’ mama alikuwa akijua mambo kwani yeye alikuwa tayari ameolewa ukiachana na historia ya nyuma ya maisha yake kabla ya ndoa ,alijua mbinu jinsi ya kumpoteza mwanaume yeyote yule kwenye dunia ya mapenzi, Peter hakufurukuta kwani alikuwa kwenye sayari nyingine kabisa , sayari ambayo hakuna mtaalamu yoyote wa mambo ya anga amefanikiwa kuiona kwa Darubini .
“Liwalo na liwe” Aliongea Peter na kumshika Shani na kumgeuza hata Shani mwenyewe alishangaa kitendo hicho cha Peter kumgeuza kwanguvu kama mbogo . alimkunja kama kambale na kuingiza mtwagio wake maana ulikuwa mkubwa wa haja na kwakuwa Mama Rania katika kujifungua kwake kote ilikuwa ni kwa njia ya upasuaji basi eneo lake lilikuwa kama la binti mdogo .
Peter alimpelekea moto mama huyu Rwanda magere anaziiita Bakora za kimkakati , haikujulikana hata ujuzi alikuwa ameutolea (hivi vitu tunazaliwa navyo ni asili ) ,Mama Rania au ukipenda muite Shani alikunjwa na kukunjuliwa na kunyoooshwa na kupinduliwa , akafika kitonga akashuka akapanda tena akashuka akapanda tena na kushuka tena na kujikuta akiweka historia ya kuukwea na kuupanda mlima kitonga kwa mara kibao.
“Asante sana mpenzi , yaani hata siamini nikajua unajuwa kuchezesha vidole kwenye komputa tu kumbe hata kwenye mwili wa mtu uko vizuri ,umenifanyia kitu ambacho sitakaa chini na kuukosa uhondo huu “ Alijidekeza kabisa huku akitoa sifa zote kwa Peter huku akisahau kabisa mkononi ana pete ya ndoa .
Basi ukawa mwanzo na mwendelezo wa kupanda vilima na kushuka , siku tatu zote walizo kuwa katika jiji hilo la Lushoto kwaminajiri ya kufungua benki katika wilaya hilo uliambatana na ufunguzi wa mapenzi yao yasio na kibali mbele za Mwenyezi Mungu, walitembea kwenye vivutio vyote vya utalii vilivyopo ndani ya wilaya hio , huku kila siku wakirudi kupeana dudu , hata chumba alicho chukua Peter ilibidi akirudishe tu kwani alikuwa hakitumii tena, ilikuwa ni mwendo wa kupeana dudu tu , kiufupi sio Mama Rania sio Peter wote walinogewa , Peter alinogewa na vitu alivyo kuwa akipewa na mama huyo na Mama Rania na yeye alijikuta hata akimdharau mume wake kabisa na kuona sasa wako droo.
“Peter mpenzi wangu nakupenda sana , yaani natamani ungekuwa wewe ndio mume wangu “ Aliongea huyu kwa mapozi kabisa ukidhania ni binti wa miaka therathini au ishirini na hajawahi kuzaa kumbe ana mitoto tena mikubwa na mizuri kabisa ambayo ipo kwenye lika la kuolewa na kuwa na familia kama kijana Peter. .
“Nakupenda pia mpenzi , siku zote sikujua kumbe hii sehemu inanoga kiasi hiki” Huku akimshika na wakati huo walikuwa kwenye gari kuelekea hotelini wakitokea eneo moja linaitwa Mkuzi huko kwenye vivutio vya utalii , na mama Rania hakuwa hata na wasiwasi yaani alikuwa akijiona dunia nyingine kabisa na alitamani kabisa kutorudi nyumbni ,wakae tu huko hata mwezi mzima , na kwa Peter alikuwa amenogewa na yeye alitamani alekitumbua tu kwani utamu aliokuwa akihisi wakati akichovya kibuyu hicho cha asali haukuwa wakawaida laiti angejua kuwa mwanamke ambae ana mkunja kila siku na kumkunjua na kuonesha ubabe wake ni mwanamke alie husika na mauaji ya mama yake sijui angefanya nini na kwa Mama Rania na yeye laiti angejua kuwa mwanaume huyo alio kuwepo hapo ndio mtoto aliotoa maagizo kwa ajili ya kuuliwa na pia ni mtoto wa mume wake na kaka wa wanae sijui ingekuwaje .
“Vipi nikununulie ndizi naona zimeiva na zinavutia “ Aliongea Peter baada ya kufika eneo moja liitwalo Magamba .
“Ndio nunua “ Alijibu Mama Rania huku akijilaza kwenye kiti.
“Peter alitoa wallet yake kutoa hela kwa ajili ya kulipa , lakini ile anachomoa hela kulidondoka kitu kutoka kwenye waleti yake alinunua kwanza zile ndizi na kisha na kuziweka mbele na kisha aliinama na kuokota , alijikuta macho yakimtoka na hapo hapo akakumbuka siku ambayo Rania alimletea waleti yake .
****
Rania tokea Peter aondoke alijikuta kwenye wakati mgumu sana , kwani kila akikumbka tukiio la Peter kumbusu kwenye paji la uso mwili wote ulikuwa ukimsisimka , kila saa alikuwa akiangalia kidani cha holder ya funguo alicho pewa na Peter , huku akikumbuka maneno yake kuwa huo ni kama ushahidi wa wao kuwa marafiki, alijikuta akitabasamu usiku huo , huku akijiviringisha kwenye kitanda .
“Lakini yupo kimya sijui ujumbe wangu hakuupata?? “ Alijiongesha mwenyewe huku akionekana kabisa kuna ujumbe alimtumia Peter haikujulikana kamtumia kwa njia gani ila alionekan kabisa kuna ujumbe ambao alikuwa amemtumia Peter na alikuwa akisubiria majibu.
“Sis....” Ilisikika sauti ikiit na kumfnya Rania alie lala kugeuka na kuangalia mlangoni.
“Waoh!, Nasma.. karibu sana, leo umekuja kutusalimia jamani nimekumisije mdogo wangu” Kumbe alikuwa ni Nasma.
“Nimekumiss pia mrembo , leo nimekuja kabisa kulala na ndio maana unaniona usiku”
“That is great , karibu sana mdogo wangu yaani ungejua nilivyo kumiss wewe acha tu , sema majukumu ndio yananibana nimeshindwa kuja kukusalimia huko nyumbni kwako”
“Mewe muongo , ila nafurahi nimekuona , unazidi kuwa mzuri tu dada yangu”
“Ahahaha jamanii.. wakati wewe ndio mzuri katika familia yetu kuliko wote”
“Ahaha.. sio kweli wote tunalingana” Aliongea Nasma huku wakionekana kufurahia kuonana, kwani japo walikuwa wakiishi kwenye jiji moja lakini ni mara achache sana kwa wao kuonana ,Nasma yeye alikuwa kiishi sehemu yake , kutokana na kwamba yeye haelewani kabisa na baba,Nasma hakupenda ukoloni wa baba yake.
“Jamani chakula atayari , dada Najma anawasubiri”Aliongea mfanya kazi wa ndani akiwakaribisha kwenda kula achakula cha usiku.
“Najma mambo!” Alisalimia Nasma baada ya kumkuta pacha wake kwenye meza akiwasubiri maana ndio ulikuwa utaratibu lazima kuwasubiri watu wote wafike kwenye meza ndipo uanze kujipakulia na kama sio sheria hio Najma angekuwa ashajipakulia mapema mno..
“Safi nakuona karibu” Aliongea Najma kwa kujilazimisha .
“Hata mimi nakuona tokea miaka mingi tulipo achana tokea uende masomoni umebadilika na umezizi kuwa mzuri “
“Ndio ila najua si kushidi wewe” Aliongea najma huku akijipakulia chakula
“Halafu jamani baba siku hizi anachelwa “
“Nani anachelewa ?: , mimi hapa nimerudi “ Ilisikika sauti kutoka mlangoni na Samir alionekana akiingia huku amelewa chakali huku akiyumba yumba na kuwasogelea wanae .
“Watoto wangu warembooo.. naonaaa… leo mmekusanyika kunijadili .. mimi baba yenu , ..hiki kikao chenu tukipe jina gani vilee.. eti Nasma mtukutu ... aa... mimi nakiita kikao cha masimango”Aliongea Samir kilevi na kumfanya najma aamke na kumkalisha baba yake kwenye kiti .
“Dadii.. mbona uko hivi leo jamanii “.
“Nilikuwa nasherehekea”Aliongea
“Ulikuwa unasherehekea nini ?”
“Najma msaidieni baba aende chumbni kwake acha kumuuliza maswali”Aliongea Rania
“Nilikuwa nasherehekea kupatikana kwa mchumba wa Rania “Aliongea kilevi na kumfanya Rania ashituke na kumwangali baba yake huku Nasma na Najma wakimsadia baba yao apande ngazi kueekea juu chumbani
“Hii tabia ya baba kulewa kaanza lini Najma?”Aliuliza Nasma
“Mimi hata najua sasa , ila kaanza wiki ya tatu hii na leo kawahi “
Nasma ndio alikuwa kulwa na Najma alikuwa doto.
Basi walirudi na kuanza kupiga stori , huku Rania akiwahadithia kuwa yupo mbioni kupata mchumba jambo aambalo wadogo zake walishangaa huku wakitabasamu .
“Anaitwa nani huyo ?”
“Anaitwa Peter”Alijibu bila hata ya wasiwasi
“ Jamanii ..natamani kumuona , kwa hio mshaanza kuwa na mahusiano au ni mapenzi ya mtu mmoja “ Aliuliza Nasma
“ Bado ila naamini ana nipenda maana ashanipa zawadi na kasema yeye ni tofauti na wanaume waliopita , kasema hayuko tayari kuniacha”
“wow ! jamanii.., am so so happy for you sis..”Aliongea Nasma
“Na wewe Nasma vipi ?”
“ Yes , yes .. me too” Alijibu huku akijifumba uso kwa mikono na kumfanya Rania acheke na Najma kumwangalia huku akilazimisha tabasamu .
“Haha what ! ,So all of us we are in love , how if we arrange a day kukutanishana sisi wote na wapenzi wetu au mnaonaje? Aliongea Rania
“Kwa hio hata Najma ana mpezi tayari ?”
Hapo ndipo alipo haribu kwani Najma aliondoka bila ya kusema kitu na kukimbilia ndani kwake , alifika na kujikuta akianza kulia kilio cha kwikwi.
“Uko wapi , mbona sikuoni , mbon aunaufanya mtima wangu kuwa katika maumivu kwa kiasi hiki , nakupenda njoo unitoe kwenye haya haya mawingu ya sintofahamu” Aliongea Najma kwa hisia huku akitoa machozi laiti angejua mwanaume anae mlilia ni kaka yake angeacha mara moja, lakini ndo hivyo kosa si lake kupenda kosa linaanzia kwa baba kumtelekeza mwanamke huku ilihali akijua ni damu yake , sasa watoto wanakuja kumpenda mwanaume huyo huyo ,huku mama nae akinogewa na mwaname huyo huyo
“Wanaume wajibikeni na matendo yenu madhara yake yanakuja kuwa makubwa sana na ni kama haya yanayo onekana kwa familia hi ” Maneno ya mwandishi yanywe au yateme
“Halafu mbona na wewe umenuna ghafla “ Aliuliza Rania .
“Sijakutana na mpenzi wangu bado , kwani tumekutana mara moja tu na jina simjui” Aliongea Nasma nakumfanya na yeye kushangaa
“Mhmh! basi wewe na Najma mko sawa “
“Una maanisha nini dada ?”
“ Namaanisha na yeye amependa mwanaume ambae hamjui”
Nasma na yeye alishangaa huku akimuelewa pacha wake ni maumivu kiasi gani aliokuwa akipitia kwani alikuwa akijua ni jinsi gani inauma kumpenda mtu ambae bado haujamfahamu vizuri na huna namna ya kuonana huku ukisubiria bahati ya Mungu kuwakutanisha tena ..
****
Peter alijikuta akichukua ile picha na kuigeuza nyuma na kuona maneno yameandikwa , Mama Rania alikuwa akimuangalia hivyo aliamua kuweka ile picha kwenye waleti na kisha akaendela na safari .
walifika ndani na kisha waliagiza chakula na kuanza kula na kumaliza na kisha wakaanza kuangaliia movie huku wakiwa wamekaa kwenye pozi la kimahaba kabisa , hakuna hata mmoja alie kuwa na wasiwasi.
“Nikifika nataka kukununulia nyumba kubwa mpenzi”
“Unasema kweli?”
“Ndio natamani hata ya kuishi na wewe , ila nina mume nitakununulia nyumba na nitakuwa nakuja mara kwa mara kufurahia penzi letu”
“Asante mpenzi nakupenda sana”Huku wakianza kunyonyana na hata ile muvi ikaachwa kuangaliwa na kuanza kunyanduana na kijana huyu ambae kusudi la kwendca kufanya kazi kwenye benki anayosimamia mwanamama huyu ni kwa sabababu alitaka kulipiza kisasi kwa Samiri kwa kitendo cha kumdharau , na katka kisasi chake hicho alikuwa amedhamiria kulala na wanae wote ,lakini sasa anamkula mama mtu huku watoto wa mama huyu wakiliwazia penzi la Peter yaani kisasi kinajilipa chenyewe .
Kwa yaliokuwa yanafanywa na wawili hawa pamoja na historia zao ilikuwa ni jambo la kutisha kweli kweli ,Mama Rania hakumuona tena Peter kama mtoto , tena mtu ambae alikuwa anapaswa kutembea na mwanae Rania , alimuona kama mwanaume Tena mwanaume wa kukidhi haja zake zote .
Baada ya kumaliza kufanya waliokuwa wanafanya mambo ambayo \mnele za Mungu hayakuwa na kibali , Mama Rania alipotelea usingizini , na Peter alitumia wasaa huo kuangalia kile alichokuwa na hamu ya kuona muda wote
Ilikuwa ni picha ya mrembo Rania picha ambayo ilikuwa imekatwa kipande na kufanywa kama passport , huku ikimuonesha kimwana huyo kupendeza kweli kwa tabasamu lililopamba uso wake ,Aliangalia kwa sekunde kadhaa picha hio na kisha aliigeuza nyuma na kusoma vimaandishi vidogo vilivyoandikwa . “Najua ni kipindi kifupi nimekufahamu ila umekuwa na mchango mkubwa sana kwenye furaha yangu na umenitoa kwenye kiza kinene sana juu ya mtazamo wangu kuhusu wanaume nimegundua kuwa wewe ni mwanaume wa kipekee sana , na mwanume ambae ninaweza kuishi nae , nimetokea kukupenda sana Peter nipo tayari kuwa mpenzi wako naomba unikubalie na usinione mimi kama maaya ni hisia zangu juu yako nitasubiri jibu lako ni mimi rania nakupenda sana peter naomba unifikire na unipe jibu linalotoka ndani ya moyo wako sitaki kuumia tena”

Peter alijikuta jasho likimtoka huku akiwa haamini kwa kile anacho kisoma , kwa upande wake ilikuwa ni jambo ambalo angeshangilia kwani ni kitu alicho kuwa akikitaka kwa mrembo huyo kutoa bikra tu na kuondoka zake kwani aaatakuwa kashalipa kisasi , ila maneno yale yalimfanya apatwe kutokana na kwamba japo maandihi yale yalikuwa machache lakini aligundua kuwa yalikuwa yamebeba hisiaa nzito mno .
















SEHEMU YA 22
“Nadhani ni wakati wa kutafuta mrithi wangu sasa nishachoka kuongoza kampuni nataka nibakie kwenye bodi tu ya kampuni” Aliongea Profesa Gladness.
“Sasa profesa utamwachia nani kampuni , wakati hakuna mtu ambae anafikia hata nusu yako”
“Mary ukiona natamka haya maneno jua nishapata mtu wa kukalia kiti changu”
“Ni yule mtu anae husishwa na viumbe kutoka sayari nyingine au kuna mwingine?”
“Kuhusu hilo nitaliweka wazi hivi karibuni haina haja ya kuwahi kuwaambia” Aliongea profesa Gladness bila ya kumtajia jina Mary kwani alikuwa ni shushu na hapo alikuwa yupo kiuchunguzi Zaidi kwa kile kilicho kuwa kinaendelea .Na uzuri wa profesa Gladness hakuwa akimuani mtu , na hio ndio slogani yake..
“Boss kuna wageni wako wamekuja kukutembelea “ Aliongea Mary na kumruhusu awaingize.
“ Haa…!! Mom .., dadii” Aliongea Gladness na kuwakumbatia wazazi wake ambao alikuwa ni Rafaeli na Nifani
“Mmerudi lini nchini ?”
“Ndio tumeingia leo hii nchini ,tumepitia KIA”
Gladness alifurahi sana kukutana na familia yake hio , kwani ni kipindi kirefu kidogo tokea wasafiri , kwani walikuwa wakila bata tu , na kutembelea nchi mbali mbali .
Basi familia hio walitoka na kwenda nyumbani kwa gladness sehemu ilo kuwa ikijulikana kama kijiji cha maroboti au Village G.
“UNAITWA RAFAELI MSWAKI UNAMIAKA 65 ,UFANYAJI KAZI WA TEZI YA MAFUTA MWILINI IMEPUNGUA KUFIKIA NUSU YA UZALISHAJI WAKE , PRESHA YAKO NI 137/88mmhg …, NGOZI ISHAANZA KUKUNJAMANA , UWEZO WA KUFANYA MAPENZI UMEPUNGUA KUFIKIA ROBO TATU,KWA MAKADIRIO UMEBAKISHA MIAKA SI CHINI YA KUMI KAMILI UTAKUWA USHAKUFA”
Ni baada ya kuingia tu ndani ya nyumba ya profesa Gladness na roboti lifahamikalo kwa jina la Nimrod lilimscan(skani) Rafeali na kutoa hayo maneno.
“ Nimrod tulia “ Aliongea Gladness na roboti hilo likiondoka zake huku lishaharibu hali ya hewa kwa kiherehera cha kumchunguza kila mgeni anaeingia nyumbani kwa Profesa Gladness.
“Daaa! Wewe mtoto maroboti yako yashaanza kunipa stress” Aliongea Rafeli kwani alikuwa hajui kuwa kabakisha miaka kumi mpaka kufariki kutokana na maneno na uchunguzi wa Nimrodi.
“Hapanna baba kuna muda mwingine yanakosea” Alijitetea gladness huku akimwangalia Rafaeli ambae alionekana kweli ashaanza kuwa mzee kibabu .
“Umesikia mke wangu huko ,nimebakisha miaka kumi tu kufa “
“Mume wangu bwana hayo ni maroboti “
“Kama ni maroboti basi ngja niliiite likuchunguze na wewe na wewe”
“ Hapana .. hapana .. mimi sitaki kujua nitakufa lini”
“Ahaha .. wewe si umesema hayo ni maroboti .. mbona unaogopa sasa”
“Ahahaha..mume wangu wewe anza kukaa na watoto wako vizuri na tumia muda mwingi kuwa nao “
“Ila limenidhalilisha lilivyo sema , siiwezi kazi ya chumbani vizuri .. hii dunia inavyo endelea hivi hatutaweza tunza siri kweli”
“Hahaha .. mume wangu ushakuwa babu tayari bhana “
“Na wewe si bibi kizee”
Hao walikuwa ni Rafeli na Nifani wakiwa nyumbani kwa mtoto wao mkubwa Gladness.
*****
Masumbuko kama kawaida yake alikuwa kapiga zake nne hana habari huku pembeni akiwa na vijifuko vya Ice cream akiwa anakula na kilicho kuwa kikiangaliwa kwenye TV kilikuwa ni filamu za ngono , maana kila siku kwake alikuwa akiangalia kwa dozi
Alikuwa haamini kama kweli hana nguvu za kiume
“Aaa…. Masumbuko vipi tena na hizo video “ Aliongea Peter huku akionekana kushika kijibegi na muda huo alikuwa akionekana kabisa kuwa alikuwa akitoka safarini na ndio anarudi.
“ Zinanitia mzuka na mori mori” Aliongea masumbuko na kumfanya Peter atabasamu .
“Wewe si uneenda tu hapo nje na kumpa mwanamke kumbukumbu ,unamleta humu ndani unafanya yako , kama siku ile “
“Una maanisha kama kubaka vile , si ndio “
“ Nani kakwambia kubaka , pale haulazimishi mtu bhana “
“Yule mshikaji alikuja na akaniambia kuwa kitendo kile ni kubaka “
“Mshikaji gani huyo ambae una mzungumzia ?”
“ Yule wa siku ile , Sebastiani yule”
“ Kwa hio alikuaja hapa nyumbni na ukamfungulia?”
“Ndio alikuwa anagonga mlango kwa nguvu , ndio nikamchungulia na nilivyo muona ni yeye nikajiuliza nifungue au nisifungue ila ndio nikajikuta nishafungua mlango”
“Na alisemaje sasa?”
“Hana tu ndio alinisifia tu kuwa yule mwanamke nilimpa dozi kali ya kumbaka”
Peter ilibidi amuangalie tu Masumbuko na kisha kutabasamu maana aliona kichwa cha ndugu yake huyo wa hiari kilikuwa signal zinasoma na kupotea .
Basi Peter baada ya kuweka vitu vyake vizuri alikaa sebleni huku akionekana kuna jambo linamsumbua kwani aliionekana al kiwa kwenye mawazo , huku masumbuko yeye akiwa hana hata habari .
“Peter haya magorofa marefu ushawahi kuingia?”
“Aliuliza Masumbuko na kumshtua Peter alie kuwa kwenye mawazo .
“ Sikia Masumbuko , utaniuliza baadae sasa hihvi ngoja kuna sehemu naenda maramoja “ aliongea Peter na hapo hapo akatoka hadi nje na hakuchukua gari Zaidi ya kuchukua ufunguo wa honda yake .
“Ngoja na mimi nikazunguke zunguke huko mjini “ Aliongea Masumbuko huku akivaa nguo nyingine na kuchukua buku na kutoka . alitembea mpaka barabarani na kupanda daladala inayoelekea tegeta nyuki kwenda kariakoo “
“ Unaenda wapi?”
“Gari linapo simama “ Alijibu na kuingia ,muonekano wa masumbuko ulikuwa umebadilika kwa kiasi kikubwa kwani alianza kunenepa sio kama alivyo anza kuja, kwani alikuwa akionekana amekauka ngozi ,sasa alikuwa amejaa na kifua utadhaniaa alikuwa anapiga chuma bau kwenda gym
****
MAREKANI (USA)
Katika jiji la Calforinia Alionekana profesa Snart akiwa na mwanaume mmoja hivi mwenye muonekano kama wa kiarabu ndani ya hoteli ijulikanao kwa jina la The Royal iliopo katikati kabisa ya jiji hilo .
“Paco , lete habari za misituu ya amazon .“
“ Mkuu kwanza nafurahi sana kwa kunipa ofa ya kutembelea jiji hili , unajua kutokana na kazi yangu nakuaga sina hata muda wa kufika huku ,kwani hata hali yake ya hewa sio nzuri kama ya kule msituni “
“ Yeah paco upo ndani ya jiji lenye makazi ya watu wengi na shughuli nyingi lazima hali ya hewa iwe tofauti na ya msituni “
“ Yea ni kweli “
“Uliniambia una taarifa muhimu kuhusu Queen ya kuniambia?”
“ Ndio kwanza yuko wapi kwa sasa nataka kumuona kabla sijakueleza taarifa yenyewe “
“Paco , Paco , Queen wa sasa ni mtu maarufu sana na hata nikiuonesha saivi sijui kama utamtambua kama ulivyo kuwa unamuona kule msituni , sasa hivi ni Zaidi ya mrembo “
“ Una maanisha nini kusema hivyo?”
“ Sikia Queen ile ni siraha yangu , yule ni Zaidi ya bomu la nyuklia , kwanza ana akili , hana utu kabisa na pili hajui chochote kuhusu Mungu , na harufu inayo mfurahisha ni kuona damu ya mtu inamwagika muda wote , na pia hana hisia za mapenzi kabisa kama unavyofikiria ni kwamba hawezi kupenda mwanaume yeyote yule , kwani yule muundo wake sio kama wa binadamu wa kawaida , yule nimemtengeneza na nilipata hasara kubwa kwa ajili yake lakinni mpango wangu ulifeli”
“ Una maanisha nini ukisema umemtengeneza Sbart?”
“ Yule hajazaliwa kama wewe ulivyo zaliwa na wazazi wako na pia una ndugu, Queen yule hana ndugu wala wazazi , na kwangu Queen ni kama kifaa changu cha kazi , kwani ninapo agiza kinafanya , sasa nadhani hakuna haja ya kumfatilia sana Queen maana kazi yako ulishamaliza ya kumfundisha Queen , sasa wewe niambie hilo jambo ambalo unataka kuniambia “
“ Ni Kwamba Queen kunamuda nilikuwa kama simuelewi, ni kama anajua kumsoma mtu kila anacho kifikiria akimwangalia tu kwenye macho , kwani wakati nikichukua mazoezi nae alikuwa akinipiga mapigo ambayo hata siyaelewi ,kila pigo nililokuwa nikifikiria kumpiga nalo , ni kama tayarri alikuwa ashajua kile ninacho kifikiria na anakuwa tayari ashajua udhaifu wa pigo langu na anakuwa ananichakaza na kipigo kibaya sana”
“Una maanisha nini kusema hivyo bwana Paco?” Aliongea Snart kwani taarifa hio ilikuwa ni mpya kwake .
“ Mkuu Queen ni hatari sana , kwani ana uwezo ambao sio wa kawaida kama binadamu”
Aliongea bwana Paco ambae ndie alikuwa ni master(mkufunzi wa kimapigano) wa Queen wakati alivyo kuwa nchini brazili kwenye msitu wa amazon , ndie alie kuwa akimfundisha Queen kuua , kwani walikuwa wakienda na kukamata watu na kuwanyonga na kuwachinja bila hata huruma ,nakuwaua wanyama wakali sana kama Anaconda joka anae patikana kwenye msitu huo , Chui na Simba na mafunzo hayo Queen aliyaweza kwa muda mfupi tu.
“Nadhani misheni yangu haikufeli(it was not a failed mission) , Queen atakuwa anaficha uwezo wake inanibidi kufanya utafiti upya. “ Aliongea huku akivaa koti lake la kuingilia maabara yake ndani ya kasri lake ndani ya hapo Calfornia alikuwa akiwaza maneno alioongea Paco mara baada ya kukutana nae hotelini . .
****
Masumbuko alikuja kushushwa na gari katika kituo kimoja kilicho kuwa kina fahamika kama muhimbili na hio ni baada ya kuvutiwa na majengo yalio kuwepo katika eneo hilo ,ndio maana alimwambia konda kuwa keshafika anataka kushushwa.
Alianza kutembea huku akishangaa majengo hayo na muda huo ulikuwa ni saa kumi inaenda kama na robo hivi , alinyooshana kinjia flani kinapandisha kwenda juu kwani kulikuwa na kijimlima na kutokezea kwenye barabara mbele huko kwenye mtaa mmoja ujulikanao kwa jina la mindu, alinyoosha na bara bara hiio na kuja kufika sehemu moja kwa mbele yake kulikuwa kukinekana mwendokasi inazunguka na kuna kibao kikubwa kilicho andikwa ‘HOSPITALI YA MUHIMBILI’.
“Mama hivi ni vidude gani?” Aliongea Masumbuko baada ya kufika kwa mama mmoja alie kuwa akiuza koni , sasa Masumbuko aliona vile vya kuwekea koni ndivyo alivyo kuwa akiulizia.
“Ni koni hizi ni miatano tu moja “
“ Hii inatosha alitoa Masumbuko mia nne na kumuonesha yule mama , na hi ni hela alio rudishiwa chenchi kwenye ile buku (elfu moja)ya nauli maana gharama za usafiri ilikuwa ni mia sita na hapo alitoa yote na mama yule ampatia .
“ Kumbe tamu hivi nitakuwa nakutembelea mara kwa mara “
“ Sawa lakini siku nyingine nitakuuzia kwa miatano “
“ Sawa “
Aliongea huku akitemeba huku na huko akishangaa shangaa mpaka inatimia saa kumi na moja na nusu alijikuta amezunguka amezunguka na kurudi pale pale muhimbili , Alipanda gari bila ya kujiuliza ana nauli ,gari alio panda ilikuwa inaenda Masaki na ilikuwa imejaza kweli na Masumbuko aliwekwa mwisho kabisa ya gari kiasi kwamba kwa jiinsi watu walivyo kuwa wamejaa hata konda ingekuwa ni vigumu kwake kupita na kuomba nauli.
“ Hivi ule mtaa tunao kaa unaitwaje?”Alikuwa akijiuliza kwenye gari huku linaondoka maana hakujua ile sehemu jina.
“Ila nitapaona tu halafu nitashuka”
Sasa konda kwakuwa nafasi ilikuwa imebana sana , alikuwakichukua nauli kila unapo shuka.
“Macho ,Macho hio , kuna anaeshuka ?”Aliongea konda na hapo hapo Masumbuko akaropoka kwa sauti nimefika mpaka watu wakamwangalia.
“Njoo sasa umekaa huko nyuma halafu unajua unashukia hapa karibu”
Aliongea konda baada ya gari kusimama huku Masumbuko aliependeza akishuka , kwa jinsi alivyo kuwa amependeza usingedhania kuwa wakati huo hakuwa na kitu chochote mfukoni hata nauli .
“Toa hela , unapoteza muda bwana , unashangaa nini?” Masumbuko alimwangalia yule konda huku akiwaza afanye kama kawaida yake maana alijua nauli hana .
“Usijali nitamlipia” ilisikika sauti moja nyororo na kufanya hata wale walio kuwa kwenye daladala wamwangalie anaeongea , lakini ni kwamba tayari alikuwa ashachelewa maana Masimbuko ashachezesha jicho tayari na kumpachika masaa mawili ya kumbukumbu.
“Aaa.. aa hapana . ashalipa tayari mremboo hata usisumbuke ” Aliongea konda huku akigwaya gwaya na kufanya abiria waanze kucheka na hata dereva mwenyewe alijikuta akicheka na hapo ndipo ikawa gumzo kwenye daladala maana wengi walijua konda alichanganyikiwa na yule mrembo na ndio maana alikubali Masumbuko kashalipa, wengi walimhurumia pasina kujua uwezo Masumbuko. .
“Sema ni haki yake aisee , unajua yule mwanake ni mrembo sijapata ona .. na kwa ile sauti konda ni haki yake kuchanganyikiwa , ila kanifurahisha sana leo
.. hakuna mwanaume mjanja mbele ya utamu “ Aliongea jamaa mmoja lio kuwa amevaa kanzu kasimama kwenye daladala hio alikuwa na rafudhi ya kipemba .
“Nyie mnaongea nini nyie , mimi siwezi kuchanganywa na mwanamke, yule chalii kalipa kabisa nina uhakika.” Aliongea konda na hapo ndipo vicheko vilivyo zidi kabisaa
“Aisee nilikuwa na stress ila zishaisha daah .. aisee” Aliongea jamaa mmoja nae alieshikilia mfuko mdogo hivi uliokuwa na samaki akionekana kufurahishwa sana na hilo tukio.
****
Peter alisimamisha honda yake kwenye nyumba moja maeneo ya makongo juu na kisha akabonyeza kengele na hapo mlinzi alifungua
“Bwana Peter karibu sanaaa..” Aliongea mlinzi alionekana kumfahamu Peter
“Nimemkuta Steve?”
“Ndio yupo hajatoka leo “
Basi Peter alienda moja kwa moja mpaka ndani ya nyumba hio ilikuwa nzuri sana kwa jinsi ilivyojengwa.
“Mwanagu huyo , nona leo umekuja kutusalimia?”
“Ndio mama shikamoo “
Huku wakisalimiana kwa furaha na huyo mama aliononekana kuwa mkarimu kweli , alikuwa mnene kiasi mfupi alievalia dera lililoacha mabega wazi.
“Nimemfata Steve “ Aliongea Peter na kuambiwa kuwa yupo chumbni kwake aende tu.
“ Mzee mwenyewe naona usharudi karibu”
“Yeah mzee , nimerudi, nina mawazo nikona nije kabisa nisikusumbue kwa kukuita magetoni”
“Mawazo gani tena mzee si umetoka safarini?”


“Mambo ya kisasi mzee, naona kama kigumu vile kutekelezeka , unajua nilikuwa nachukulia simple sana ila sasa na uona ugumu wake”
“Ugumu gani sasa wewe si ulikuwa wajisifia kuwa unaswaga nyingi kibao , tantalila nyingii sasa umepigwa kibuti ndio unaona ugumu “
“Si hivyo ndugu yangu , simaanishi hvyo yaani bora hata ningepigwa hiko kibuti , lakini sasa hivi nishamla mke wa Samir tayari na mtoto wake kanambia ananipenda na anasubiria jjibu langu”
“ Unasema ushakula kitumbua cha lile limama tayari na lile lishepu “ Aliongea Steve kama haamini vile kwani aliona kama masihala vile , kwa maneno alio kuwa akizungumza . na wakati wanaongea ndio hapo , simu ya Peter ilitoa mlio kuwa ilikuwa inaita .
“ Oya huyu hapa anapiga kama huamini ngoja niweke loud speaker” Aliongea huku akipokea na kuweka loudspeaker .




SEHEMU YA 23

Peter aliweka simu ile kwenye loudspeaker baada tu ya kupokea na kuanza kuongea na Mama Rania.
“Vipi mpenzi mbona unachelewa kupokea simu?” Ilisikika sauti iliokuwa ikilalama na kumfanya Steve kutoa jicho kama kabanwa na mlango kwani hakuamini kabisa kile anacho kisikia , na sio kama jambo hilo ni geni kwake kuona kijana kufanywa kiben ten , lakini hadhi na heshima alio kuwa nayo mama huyo ni vitu ambavyo kwake aliona kama ajabu vile.
“Nilikuwa nipo chumbani simu niliacha living room (sebuleni) “ Aliongea uongo Peter.
“ Jamani mpenzi unajua nilivyo kumiss , natamani sana tukutane hata twende mzunguko mmoja “ Aliongea Mama Rania .
Laiti angejua kuwa amewekewa loudspeaker asingeongea hilo neno , Peter hakutaka Steve aendelee kusikiliza , alitoa loudspeaker na kulala kabisa kitandani na kuanza kuongea huku Steve yeye alikuwa amesimama kama mnara akimwangalia rafiki yake , na kuna kitu alikuwa ashakigundua kwa Peter alikuwa ameona dalili zote za rafiki yake kuonogewa , alikuwa mzoefu wa hayo mambo .
“Daah..! unajua ni hatari hio rafiki yangu”
“ Naelewa , ila Steve yaani kila nikiongea na huyu mwanamke dudu inasoma channeli hapo hapo na mawazo yangu yanabadilika”.
“Fanaleki ushanogewa wewe , na hivyo ni mwanamke wako wa kwanza kazi unayo , mimi naogopa tu mume wake akijua sijui atakufanyaje, naogopa sana ukiingia kwenye matatizo”
“Steve ndio maana nipo hapa unipe ushauri wewe ni rafiki yangu naamini utanipa ushauri mzuri”
“Sasa wewe unataka mimi ni kwambie nini na wakati wewe mwenyewe ulisema unaenda kwenye ile benki kwa ajili ya kisasi ,lakini saivi unaonekana umenogewa tayari , mimi nakushauri uache kabisa hio misheni yako , lakini kuhusu huyo Rania na mama yake , kaa chini fikiria , jiulize maamuzi utakayo fikiria na kuamua yatakuwa na madhara gani ukishalijua hilo basi mimi sitoingilia maamuzi yako ,lakini nakupa hint tu , kwamba unacho kifanya sio kizuri na ni hatari sana ,mke wa mtu sumu ndugu yangu”
“Poa mzee mimi nitafikiria cha kufanya , ila asante sana kwa maneno yako , ngoja nirudi home ni muwahi Masumbuko” Aliaga na Steve alimsindikiza mwenzie.
****
Nasma baada ya kukaa siku kama nne nyumbni kwao , hatimae aliamua kuondoka na kurejea sehemu alio kuwa akiishi , japo ya Rania kumbembeleza sana kuhusu kubaki kwani ana ichangamsha familia , lakini hakukubali na mama yake pia alijaribu kumshawishi lakini alisimamia msimamo wake .
Alipanda kwenye gari yake na siku hio alikuwa akiendesha yeye mwenyewe pasipo ya kuwa na Lucy mfanyakazi wake , aliendesha gari lake mpaka kufikia maeneo ya Macho , sasa wakati yuko kakodoa macho barabarani kionyesha umakini katika barabara hio ndipo daladala ilio kuwa ikija upande wake ilisimama mita chache mbele yake , hapo ndipo mapigo yake ya moyo na mshangao kwa ujumla vikamtawala, kwani mwanaume alie kuwa akimuota usiku na mchana alimuona kabisa mbele yake , kwanza aliona kama kamfananisha lakini kadri alivyo sogelea gari lile ndipo alipo kuja kugundua kuwa ni yeye.
Alipita daladala ile na kisha kasimamisha kwa mbele na kutoka haraka haraka huku akiwa kabisa amesahau kufunga hata mlango na kukimbilia sehemu ile , ndipo alipogundua kuwa mwanaume yule hana nauli na alikimbia na kisha kumwambia konda kuwa atamlipia , lakini kilichomshangaza kwa mara ya pili kwani mara ya kwanza jambo kama hilo lilikuwa likitokea tena ,pale konda alipomuambia kuwa ashalipa na wakati kwa masikio yake kabisa alisikia konda huo akimdai Masumbuko nauli , lakini kutokana na hamu yake kubwa ilikuwa ni kumuona Masumbuko aliachana na hilo swala na kisha kumsalimia .
“Mambo!” Alisalimia kwa shauku kubwa Nasma huku akimwangalia Masumbuko ambae wala hakuwa hata na time nae kwani alikuwa bado akishangaa hayo maeneo kana kwamba ataiona nyumba wanayoishi .
“Hivi sista naomba nikuulize , hivi unajua eneo ambalo lina magorofa magorofa machache halafu .. halafuu.. enhee .. kuna shule halafu na barabara .. halafu..nini tenaa.. kwa mbele kabisa kuna kanisa kubwa .. unaijua hio sehemu?”
Aliongea Masumbuko huku akionekana kabisa yuko seriasi na swali lake na kwa Nasma alikuwa akishangaa maana swali lenyewe hajalielewa .
.“Mambo kwanza” Aliendelea kusalimia Nasma kwani kwanza alikuwa ana aibu na hata hapo alikuwa hajui afanye , kwani ni kweli alikuwa akihitaji kuonana na Masumbuko lakini hakuwahi kufikiria siku akionana nae ataanza anza vipi kuongea nae na ndio maana aliendelea kusalimia lakini kwa masumbuko wala hakuwa na habari kichwa chake wakati huo kiliwaza nyumbani tu.
“Ila hapa sio penyewe hapa , sijui patakuwa ni upande gani ule . halafu .. , dada mbona haunijibu sasa “
“Sijakuelewa “
“ Ni kweli huwezi kuelewa maana nina maswali magumu” Huku akiondoka na kumfanya Nasma amwangalie Masumbuko akichapa raba hana hata habari kuwa mtu alie mfuata alikuwa akikesha usiku na mchana kumtafuta na kumuwazia alijikuta chozi likimdondoka bila hata ya kujua .. sasa wakati ameduaa akimwangalia Masumbuko ndipo alipo kuja kama kuzinduka na kuita
“Kaka , nisubiri” Masumbukoo alisimama na kumwangalia Nasma anae mkimbila .. na kwa jinsi alivyokuwa akimkimbilia kwa mapozi na uzuri wake na jinsi Masumbuko alivyo kuwa akumwangalia ilikuwa ina pendeza kama vile ni filamu za kihindi.
“Nimepajua hio sehemu ulio kuwa unasema”
“ Kweli … kuna kanisa .. kuna shule kwa nyuma na barabara katikati … si ndio ni hapo”
“Ndio “
Jibu hilo lilimfanya Masumbuko aachie tabasamu na kuufanya uhendsome wake uonekane na kumfanya Nasma amwangalie kama anamshangaa ..
“Twende kwenye gari .. nikupeleke “ Masumbuko hakuleta shida kwani hi ndio jambo ambalo lilikuwa likimpa shida kwa wakati huo na hivyo alimchukulia Nasma kama mtu ambae anaweza kumpatia msaada .
Basi aliingia kwenye gari na safari ikaanza na kwa Nasma kwakuwa alikuwa ana kichwa chepesi sana kuelewa ni kwamba aligundua kuwa Masumbuko yuko , kwenye hali ya wasiwasi na ndio maana hakuwa akimpa ushirikiano .
“Kwa hio kaka ulikuwa umepotea?”
“ Ndio mimi ni mgeni na haya maeneo “ Aliongea Masumbuko huku akiangalia nje ya gari na muda huo kajigiza kalikuwa kashaanza kuingia , na kuna wakati Nasma alikuwa akimwangalia Masumbuko kwenye kioo .. aliishia kutabasamu tu na alionekana moyo wake kuwa na Amani na furaha sana . Kwani aliamini mwanaume alie kuwa akimtafuta hatimae amempata .
“Hapo hapo nimepaona simamisha gari “ Aliongea Msumbuko kwa sauti na kumfanya Nasama asimamishe gari na masumbuko kuomba kufunguliwa mlango , na Nasma alipo mfungulia tu tayari alikuwa ameshatoka tayari kwenye gari .
“ Dada asante sana .. nimepafahamu ni hapa kabisa “ Aliongea Msumbuko na kwa wakati huo walikuwa washafika eneo la Mbezi Beach ilikuwa ni bahati kwa masumbuko kwani isingekuwa Nasma kuishi hayo maeneo asingeweza kurudi nyumbani. .
Masumbuko alindoka huku akisubiria kuvuka barabara na kumfanya Nasma na yeye kutoka kwenye gari na kumfuata Masumbuko kwa nyuma hakutaka kumpoteza tena , lakini kilichomshangaza Nasma ni kwamba nyumba alio ingia Masumbuko ni nyumba ya pili na ya kwake ilipo.
“Yaani kumbe huyu mkaka kumtafuta kote kule kumbe ni jirani yangu “ Aliongea Nasma huku akijikuta akitabasamu tu nakuona kuwa mageti muda mwingine yanakuwa hayasaidii maana yanafanya usijuane na majirani, alikaa kama dakika kama tano akiangalia nyumba hio ilioenda hewani kwa gorofa nne na kisha akatoka akafara gari yake na kwenda hapo mpaka kwenye nyumba yake na kuingia na kisha akampa mlinzi ufunguo akimwambia akachukue gari ameliacha kituoni , mlinzi alishangaa ila alichukua ufunguo kwani hakuruhusiwa kuuliza swali .
***
“Ulikuwa umeenda wapi umenifanya niwe kwenye wakti mgumu kiasi hicho “ Aliongea Peter huku akionekana kuwa na wasiwasi sana .
“ Nilienda kula bata kidogo ndio nimerudi “
“Nikajua umepotea huko njiani . inabidi kesho nikakununulie simu “
“Mimi siwezi kupotea ni mgeni lakini nayajua maeneo vizuri”Aliongea Masumbuko na kumfanya Peter atabasamu na alichogundua alijua kuwa Masumbuko alikuwa akipenda sana kujisifia .
“ Haya lakini usitoke toke tu utapotea au kugongwa na gari huko ndugu yangu , unafikiri nitaishije “
Aliongea na kuachana na Masumbuko kwani alijua pia ni mtu mzima hatakiwa kumlinda ila anatakiwa kumuonyesha mazingira na kumtembeza tembeza ili asipotee.
*****
Siku ilio fuata Peter hakwenda kazini na alibaki nyumbni kwani alikuwa amepewa siku mbili za kubaki nyumbani , kwenye muda wa saa kumi na moja ndio muda ambao Peter alipigiwa simu na Mama Rania kuwa wakutane barabarani kwenye kanisa la KKKT usharika wa Mbezi Beach .
Peter alivaa vizuri na kisha akatoka zake baada ya kumuaga Masumbuko ambae alikuwa akichezea simu ambayo amenunnuliwa asubuhi hio
“Peter aliingia kwenye gari yake , maana Mama Rania alimwambia kuwa aje na gari yake , baada ya kufika tu kweli alimuona Mama Rania aliekuwa amevalia gauni flani lenye mikanda huku akiwa ameshikilia pochi kubwa na alikuwa amependeza kweli ,kwa jjinsi alivyokuwa akionekana utadhani ni mwanmke ambae anaenda dating kwa mara ya kwanza , Peter alienda kufunga beki kwenye miguu ya mama huyo na kufungua kioo na kumfanya Mama Rania atabasamu na kuingia kwenye gari na kisha likaondoshwa na kwa maelekezo ya Mama Rania walikuja kukunja baada ya kufika eneo moja linaitwa jogoo na kuchukua upande wa kulia na gari ilitembea kwa dakika kadhaa na ikasimama nje ya geti kubwa na baada ya dakika kadhaa gari hio iliingizwa ndani ya jumba hilo , hapo ndipo Peter alipo patwa na mshangao kwani jumba hilo lilikuwa moja ya jumba kubwa sana na lilikuwa na mazingira mazuri kwani kulikuwa na swiming pool upande wa kushoto ukiingia ilio zungukwa na bustani na majani yalio chongwa kwa ustadi mkubwa sana , jengo hilo limepakwa rangi ya kuvutia nyeupe lakini ilio fifia na kupendeza sana .
“ Kwanini tuko hapa?” Aliuliza Peter maana alikuwa akiona mapicha picha tu .
“Hii ndio itakuwa nyumba yako mpenzi ‘ Aliongea Mama Rania .
“ Whaat.. usiniambie kuwa umeinunua hii”
“Sijainunua leo wala jana ilikuwa ni yangu ,japo hakuna mwanafamilia anae ijua na sasa nasema nyumba hii ni ya kwako mpenzi wangu na tutakuwa tunakutana hapa unipe vitu” Aliongea Mama Rania na kumfanya Peter moyo upige kwa nguvu kwani hakuamini kuwa jumba hilo ni la kwake alianza kuona faida za kutoka na majimama..
“Mimi bado hata sijasadiki kabisa “ Aliongea Peter na Mama Rania akaachia tabasamua na kumshika mkono Peter na kisha kumvuta na wakaingia ndani .
“Chukua hio bahasha mpenzi ‘ Aliongea Mama Rania na kumfanya Peter aisogelee hio bahasha na kuifungua na ilikuwa ni hati ya nyumba na jina lake ndilo lili kuwa ndani ya hio hati .
“Peter nayafanya haya yote kwaku nakupenda na sitotaka unisaliti , nitakupa chochote utakacho kitaka , ila nakuomba usinisaliti”
Peter hakujibu Zaidi ya kumsogelea mama huyo na kuanza kupigana naye mabusu na kisha wakaanza kazi na kitu alicho pewa Mama Rania siku hio alijikuta kama yuko kwenye dunia nyingine kabisa na hakuwa kwenye ulimwengu halisi .
Walidumu kwa masaa kadhaa na kisha wakarudia tena na tena na tena na kujikuta wakipitiwa na usingizi kabisa tena wakiwa sebleni .
****
Peter alianza kukolea kwenye penzi la Mama Rania au bosi wake , japo walikuwa wakifanya mambo yao kwa siri sana na hakuna mtu hata mmoja ambae aliweza kujua kuwa wawili hao walikuwa wapenzi, kwani walikuwa wakiwekeana heshima feki wakiwa kwenye kazi , lakini wakitoka nje ya kazi walikuwa wapenzi.
Huku kwa Rania nako mambo yalizidi kuwa magumu kwani , kwani alikufa na kuoza kwa Peter , alitamani sana kuwa karibu na Peter kila saa na hata wakati mwingine Mama Rania alianza kuogopa, kwani kwa macho ambayo mwanae alikuwa akimwangalia Peter hayakuwa yakawaida, zilipita kama wiki mbili hivi ndipo Peter na Rania wote waliacha kufika kazini kutokana na chuoni mitihani ilikuwa inakaribia na walitakiwa kujiandaa .
Sasa hapo ndipo ukaribu wa Peter na na Rania kuongezeka kwani walikuwa wakisoma wote chuo kimoja na ilikuwa Rania akitoka mapema kwenye kipindi na Peter akiwa bado hajatoka basi atamsubiri mpaka atoke na waongozane wote , kunywa chai ama kula.
Rania alizidi kumzoea Peter kiasi kwamba kila siku , kila saa na kila sekunde alitamani kumuona Peter tu , kwa upende wa Peter jinsi Rania alivyo kuwa akimuonyeshea mapenzi , basi alizidi kuwa na mawazo juu ya rania , yeye , kila alivyo kuwa karibu ya Rania alijikuta moyo wake kumpenda sana Rania.
Alitamani atamke neno nakupenda ili myo wake utulie lakini hakuweza hilo , kwani kila alipo kumbuka kuwa tayari ana mahusiano na mama yake basi hakutaka kabisa kumuumiza rania huko mbeleni pindi atakapoujua ukweli , kuna muda alikaa chini na kuyafikiria matendo yake aliona kabisa kile kisasi katika kichwa chake kinaanza kusahalulika kabisa , kwani mpango wake ulikuwa ni kumfanya Samir atoe machozi kwakitendo ambachoo alikwisha kumfanyia.
Siku moja wakati Peter anatoka chuo akitembea na rafiki yake Steve , ndipo Rania alipo kuja kumuita na kumwambia kuwa kuna jambo anataka kuongea nae na ni muhimu kwake , basi Peter japo aliogopa kile alicho kuwa anaenda kuambiwa na Rania ila alijikaza na kuondoka na Rania mpaka kwenye gari lake .
“Peter najua kama ujumbe wangu nilio kuandikia uliona?”
“Ndio niliuona Rania “ alijibu Peter huku moyo ukipiga kwa nguvu .
“Peter nataka kujua jibu kwani nimeshindwa tena kusubiria naomba nisikie jibu lako leo”
Aliongea Rania hapo nakumfanya Peter jasho limtoke kwani hapo alikuwa amebanwa sehemu yenyewe .
“Rania najua unanipenda sana na mimi sitaki kukuficha nakupenda sana ila kwasasa sitaki kuanzisha mahusiano maana akili yangu haipo sawa na sijajiandaa kisaikolojia kabisa , na wewe ni mwanamke wa kipekee naomba muda niweke mambo yanguu sawa halafu nitakuambia Rania please, sitaki kuja kukuumiza kwa kutokuwajibika maana mahusiano ni uwajibikaji baina ya wapenzi” Aliongea Peter kwa hisia na ukimtazama hutoamini kama ni yule ambae alikuwa anataka kulipiza kisasi , mapenzi yameyeyusha kila kitu na kilicho baki kwenye moyo wake ni hisia za uhitaji tu , japo alijitahidi sana kutokumpenda Rania lakini ni kwamba alikuwa akijidanganya kwani kadri alivyo kuwa akimfosi atoke kwenye moyo wake ndivyo alivyo kuwa akizidi kumpenda.
“Sawa Peter nitasubiri , ila jua wewe ndio mwanume wangu wa kwanza kukupenda kwa kiasi hiki , nakupenda Peter “ Aliongea Rania mpaka chozi linamtoka mtoto wa kike na kumfanya Peter moyo umuume sana , alijkuta akimkumbatia .
“ Nakupenda Sana Rania , nakupenda sana ila naomba univumilie sawa “ aliongea Peter huku akimwangalia usoni na Rania akakubali kwa kichwa kuwa amekubaliana nae , na Peter alitoka kwenye hilo gari baada ya simu yake kutoa mlio ikionyesha kabisa kuwa inaita na mpigaji alikuwa ni Mama rania. .
Shida moja alio kuwa nayo Peter ni kwamba kila anpo ongea na Mama Rania mwili wake ulikuwa ukimsisimka sana na kuhitaji kufanya ngono .
Peter aliongea na Mama Rania na waliahidiana kuwa wakutane bila kukosa siku hio wakapeane dudu , na Peter hakupindua alikubali , maana kwa wakati huo na yeye alikuwa akipenda sana kitumbua cha mama rania .
****
Upande wa Najma nae mambo yalikuwa mambo kwani kila siku alikua akimfikiria tu mwanaume anae mfahamu kwa sura , japo maswala yake ya kufungua kampuni yake ya urembo yalikuwa yakimfanya kuwa bize sana , ila hakumsahau Peter hata mara moja .
Alikuwa akiamini kuwa lazima atamuona tu , wanaume walimtongoza kila kukicha lakini hakuna aliepewa nafasi hata mmoja hata ya kumshika tu hakuna alie pewa nafasi hio , watu na pesa zao walimchombeza kwa hongo lakini mwandada hakuteteleka , alikuwa akimuwaza Peter .
Upande wa Nasma na yeye alikuwa ashajua Masumbuko anapo kaa lakini kilicho kuwa kikimsumbua ni kwamba alikuwa na aibu na pia hakutaka kujilasisha kwa Masumbuko .
Kuna kipindi alikuwa ni kama mtoto kwani alikuwa akienda mpaka katka geti la Masumbuko kwa ajili ya kugonga lakini aliishia kurudi tu kwani hakukua na sababu ya kumuona Masumbuko na alifikiria kuwa akimuona atamwambiaje kwani alikuwa na aibu sana .
Masumbuko yeye muda wote alikuwa akiwazia ni kwa jinsi gani atakuwa na uwezo wa mnara wake kusoma channel kwani , kwa jinsi alivyo kuwa akijua na uwezo wake wa kufikiria ulipooishia ni kuangalia filamu za ngono tu huku akijifaliji kuwa utaamka tu .
“Utasimama tu “Aliongea huku akiuchezea uume wake
******
“Boss nimegundua Madam anapo elekea “ Ilisikika saiti kwnye simu Samir akiwa ofisini
“ Endelea kumfatilia na kila kinacho endelea utaniambia “
“ Sawa boss “
Samir ni kama kibao kilikuwa kimemgeukia kwani alikuwa hamuelewi kabisa mke wake , kwani hakumsubiri tena kama zamani wakati yeye akichelewa , kwani kila alipo rudi alimkuta mke wake alishapotelea kwenye usingizi mzito na wala hakuwa na habari na hata akiamka , alikuwa haulizi chochote na kilicho kuwa kikimuuma sana Samir ni kwamba hata ile mke wake kuomba gemu aliacha kabisa , na pia mke wake hakuwa hata na mawazo kama mwanzoni na alionekana kuwa mwenye furaha.
Hapo ndipo Samir alipoanza kurudi nyumbni mapema kama zamani , na kurudisha mapenzi kwa mkewe , lakini ni kwamba Mama Rania alionesha hali ya kutokuwa kabisa na time na yeye na mara nyingi usiku alionekana akichat na simu huku akitabasamu jambo ambalo lilianza kumfanya kuwa na wivu na kuona kabisa kuwa mkewe kashapata mchepuko , kila akizifikiria hisia hizo alijikuta akipandwa na wivu mkali sana na kumchoma , alivumilia sana lakini kuna siku alijikuta akikosa uvumilivu na alitaka kujua kile kinacho endelea na aliapia kama atagundua kuna mwanaume anaetoka na mke wake kimapenzi ange muua , swala hilo lilimnyima usingizi kabisa
Siku aliojikuta roho kumuuma na kujihisi kuna ninja anakata kata vipande kwenye tumbo lake ni siku alio omba tendo kwa Mama Rania , kwani ile ana peleka mkono kumshikashika Mama Rania , mkono ulitolewa na Mama Rania akainua kichwa na kumwambia neno moja tu .
“ Naomba usinisumbue nimechoka nina mambo mengi ya kufikiria natakiwa kulala mapema “
Alijikuta akiipandwa ma hasira na kukosa hata hamu ya kulala hapo ndani kwake na alicho kifanya ni kutoka usiku huo huo na kwenda bar .
Na kuanzia siku hio alikuwa akimuinda sana Mama Rania ili apate kujua mwanaume anae toka na mke wake na kwa upande wa Mama Rania alikuwa akiwaza dudu ya kijana Peter tu masaa yote kwani kila akifikiria dudu ya kijana Peter inavyo muingia na utamu anao usikiaga basi mizuka ilikuwa ikimpanda hapo hapo na hata kazi hakuweza kufanya vizuri .
Basi siku ambayo Mama Rania alipanga kukutana na Peter muda wa saa tisa , ndio muda ambao kijana wa boss Samir alikuwa akimfatilia nyuma kwa siri sana .





SEHEMU YA 24
Mama rania wala hakuwa na wasiwasi wakufatiliwa kwani aliendesha gari yake kuelekea upande wa Tegeta ambako ndio kulikuwa na nyumba ambayo amemnunulia Peter kama zawaidi ya kupewa dudu.
Lakini pasipo kujua kuwa kuna mtu anamfatilia nyuma aliendesha gari yake na kwa wakati huo ndio alikuwa anapita mwenge huku kijana aliepewa kazi na Samir alihakikisha kuwa hampotezi kabisa mama huyo kwani alielewa nini maana ya kile kitakacho tokea kama tu atakuja kumpoteza kwene macho yake na ndio maana alikuwa akiendesha karibu kabisa na gari ya Mama Rania na hakutaka kuipita , kwani ilivyo kuwa ikipunguza mwendo na yeye alikuwa akipunguza mwendo na huyu alie kuwa akimfatilia alikuwa si mwingine ila ni Kadabra , kijana machachali kabisa kwenye kazi hio ya kufatilia watu , kwani hio ndio kazi yake kubwa ambayo ilikuwa ikimuweka mjini kazi ya Ubodigadi na kufatilia watu .
Mama rania alipita lugalo yote na kuingia Mbezi Beach huku Kadabra akiwa nyuma , lakini ilipo karibia karibu na kanisa la Mbezi Beach la kilutheri gari ya Mama Rania ilikata kulia na kuelekea upande kama unaelekea shule ya sekondari Mbezi Beach , upande ambao ulikuwa ndio maeneo ambayo Peter na Nasma walikuwa wakikaa, Mama Rania aliendesha gari na kuja kuingia kwenye nyumba ya Peter , na wakati gari ikiingia sehemu hio na Kadabra alikuwa akipita geti hilo kwa mwendo wa taratibu sana huku akikodolea geti hilo macho na kwenda kusimama mbele kabisa na kutoka huku akijifanya anaongea na simu , lakini hakukaa sana gari ya Mama Rania , ilitoka na taratibu na kisha ikachukua njia ya kulekea Tegeta na Kadabra hakutaka kupoteza muda alikimbilia gari yake na kisha kuingia harakaharaka na kuliwasha na kisha kuliungia gari la Mama Rania na uzuri ni kwamba aliliona kabisa na lilikuwa karibu yake , baada ya kufikia eneo la jogoo gari lilikunja kulia na kisha likatembea mita chche kutoka barabara kuu na hatimae likaja kusimama kwenye ile nyumba na Mama Rania na gari ,Kadabra aliishuhudia kabisa ikiingia na hapo ndipo alipo alipo toa simu yake na kumpigia Samir na lilisikika neno moja tu.
“ subiri hapo hapo nina kuja , nataka nikiua unisaidie kutoa hio mizoga”.
Samir alikuwa na hasira kweli na wivu ulikuwa umemkaba kooni ,yaani hata kuhema ilikuwa ni shida kwani kila alipo fikiria swala la mke wake kuwa na mchepuko kiasi cha yeye kudharauliwa ,kilimuuma sana tena Zaidi ya kuuma , kwani hata chakula kila siku alipo kuwa akila kilikuwa hata sio kitamu kwake.

Samir alijikuta akipandwa na hasira mara mbili baada ya kusikia mke wake kaingia kwenye nyumba ambayohaifahamu aliishia kutoa matusi ya nguoni na kisha akachukua bastola yake na kuiweka kiunoni na kisha kutoka hapo na alipishana na secretary wake alie shika mafaili alijaribu kumsimamisha lakini hata sijui alisikia kwa wakati huo kwani akili yake kwa muda huo ilikuwa ikiongozwa na hisia , alipanda gari na kulitoa ofisini hapo kwa spidi ya ajabau mpaka mlinzi akamshangaa bosss wake .
Samiri alitembea na gari isivyo kawaida , na aliishia kutukana tu madereva ambao walikuwa hawataki kumpisha , kuna mdada mmoja alikuwa akiendesha Spacio , yake na Samir alikuwa akimpigia honi kumpisha , lakini mdada huyo wala hakujali , sasa Samiri alipo pata nafasi upande mwingine ya kupita , alimwangalia mdada huyo na huku mdada huyo akimwangalia , na Samir aliishia kumnyooshea kidolea cha kati akimtusi na dada yule aaliishia kusikitika tu.
Baada ya kama dakika ishirini hivi Samir alikuwa ndio anaingia sehemu alio elekezwa na Kadabra
“Ndio Hapa” Aliuliza Samir kwa jazba huku akilisogelea geti ,lakini kadabra alimzuia
“ Boss utawashitua ,sisi tunataka tuone kinacho endelea” Aliongea Kadabra
“Sasa tunafanyaje”
“Ngoja nikuoneshe”
Kadabra aliilisogelea lile geti na kuliangalia na kisha kugonga mlango mdogo kwa stali ya chini kabisa ambayo haileti bughuza na hakutumia kengele , ila yeye aligonga geti hilo na ndani ya dakika moja ndipo walipo sikia komeo likifunguliwa na kajidirisha kadogo kakafunguliwa na akatokea mlinzi.
“Niwasaidie nini?” aliuliza na kumfanya kadabra aangalie upande wa kulia na kushoto na kungalia uwepo wa watu .
“Boss Wangu pale ana shida na wewe .. kuna vitu anataka akuulize” Aliongea Kadabra huku akitoa waleti yake na kumuonesha mlinzi kuwa kazi hio ina malipo .
Mlinzi alivyo ona pesa , hakuzubaa alifungua kageti haraharaka na kisha kutoka ,lakini ni kama kosa kwake kwani ile anafungua tayari Kadabra ashamsogelea kwa staili ya kupiga roba na kumkaba kwa nyuma yule mlinzi na kisha kuingia nae ndani ya geti na kwenda kumtuliza kwenye kibanda chake baada ya kupoteza fahamu na Kadabra , alimwita Samir kwa ishara na hapo Samir akingia na geti likafungwa kabisa na funguo .
Samir mapigo yake yalikuwa yanapiga kwa nguvu kwani katika maisha yake hajawahi kufumania , kwani alikuwa akizisikia tu hizo habari za watu kufumania wake zao lakini hajawahi kukutwa na msala kama huo wa yeye kumfumania mtu tena mke wake , alisogea huku akjihisi kama presha inapanda kwa kiasi kikubwa hasa alipo kuwa akisikia sauti za mahaba kutoka ndani na kwa namna moja alijua kabisa watu hao wako sebleni wanafanya yao .
“Aisiiiii…eeeh… mpenziii… nakupenda… agha…. Nakuja mpenzi ..,. usichomoe mwagia humo humoo .. mpenziii.. aaa…”
Alijikuta roho ikimuuma sana na hasira zikizidi kumjaa na kukosa uvumilivu kabisa , kwani sauti za mahaba alizo sikia tena akisikia kabisa mwagia humoo humo alijikuta presha na roho ya mauji vikimpanda na alikosa kabisa uvumilivu , aalisukuma mlango ambao ulikuwa haujafungwa vizuri na kuingia kama mwanajeshi na kuachia risasii.. akimlenga mwanaume aliekuwa akionekana uchi akishusha kiuno na kupandisha.
“Paa..” Ulikuwa ni mvumo wa risasi uliosikikakwa nguvu
****
Nasma alikuwa amekaa sebleni huku akionekana kuwa kuna jambo ambalo alikuwa akilifikiria na jambo hilo lilikuwa likimhusu Masumbuko , japo tokea waachane siku ile kwenye gari , pasipo kuongea jambo lolote lakini kuna jambo ambalo alikuwa akiliona kwa Masumbuko kama haliko sawa , na muda huo alikuwa akijaribu kuunganisha matukio na kuona kweli kuna kitu kipo kwa Masumbuko na kitu hicho alikuwa akitamani sana kukifahamu .
“Ila mimi ni mjinga sana yaani mtu yuko jirani yangu nasumbuka kichwa changu tu hapa” Aliongea Nasma na kumfanya Lucy aliekuwa kakaa kwenye sofa kwa kujiachia akiangalia tv amwangalie.
“Nini Nasma , unaongea na mimi ?”
“Hapana , kuna sehemu naenda hapo nje nakuja sasa hivi”
“Niagize mimi nitaenda kukuchukulia , hakuna haja ya wewe kwenda”
“Nimetaka kwenda mwenyewe Lucy wee kaa hapo nakuja” Aliongea Nasma na kisha akatoka na kutembea mpaka kwenye geti la nyumba ambayo anaishi Masumbuko , aligonga na kisha alikuja mlinzi na kufungua na kumuuliza maswali na kisha aliruhusiwa kuingia.
“Samahani naulizia floor ambayo anaishi mkaka fulani hivi mweusi rangi ya chocholate” Aliuliza baada ya kuingia ndani hapo na kuwakuta Anjeli na marafiki zake wakipiga stori .
“Mhmh , hapa kuna wengi , lakinii.. hebu nenda namba nne “ Aliongea Angeli huku wote wakimwangalia Nasma kwa uzuri alio kuwa nao.
“Jamani kuna wadada wazuri .. akii..Mungu ningekuwa mimi ningekuwa danga la jiji hili lote” Aliongea Angeli huku akiungwa mkono na marafiki zake
Masumbuko alikuwa amelala fofo kwenye sofa huku Steve ambae alikuja kumsalimia rafiki yake Peter akiwepo akiangalia muvi kwenye laptop yake , na ndio wakati huo ambao Nasma aligonga Mlango na Steve ndio aliesikia na kwenda kufungua,macho yalimtoka na kujikuta akifikicha macho.
“Mambo “ Alisalimia Nasma huku akiweka tabasamu lililomuacha hoi Steve na kujikuta akimwangalia usoni Nasma na mpaka Nasma mwenyewe akaona haya na kuangalia chini.
“ Aaa poa karibu “ Aliongea Steve huku akimwangalia Nasma na alikuwa amesimama tu hapo mlangoni na alijifikiria, ila akaona aingie tu .. alisogeea mpaka kwenye sofa moja refu , kwani hapo ndani kulikuwa na masofa manne na moja lilikuwa karibu na tv na hili lilikuwa ni dogo na dogo lingine lili kuwa upande wa kulia mbali kidogo na Tv na refu kakalia Steve , ila la karibu kabisa ambalo ndilo la kwanza ukiingia hapo ndani kalalia Masumbuko .
Nasma alisogea na alikuwa na wasiwasi sana kwani ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuingia katika vyumba ya wanaume tu , kwani hakuwahi kufanya hapo kabla , alisogea na ndipo alipo muona Masumbiuko aliejinyoosha kwenye sofa akiendesha jenereta kwani alikuwa amepitiwa na usingizi mzito sana .
Nasma alikaa pembeni ya kichwa cha masumbuko kwani alikuwa ameacha nafasi kidogo ambayo ilimuwezesha kukaa , ila wakti anakaa kichwa cha masumbuko kilimgusa kwani mtoto nae alikuwa amejaliwa chungu sio poa.
“Ngoja ni kuletee juisi” Aliongea Steve kwa kubabaika kwani alikuwa ni kama haamini ,kuna muda aliona labda mwanadada huyu alikuwa amepotea njia.
Masumbuko nae muda huo ndio usingizi unaisha na alikuwa akijifikicha macho huku Nasma alikuwa akimwangalia kwa macho yenye mahaba mazito , Masumbuko alianza kunusa kama mbwa maana alisikia harufu nzuri sana kwenye pua zake na wakati anafanya kitendo hicho alikuwa amefumba macho .
“Peter leo sijui kakaribisha jini” Aliongea Msumbuko huku akifungua macho akiangalia juu na hapo ndipo macho yake yakagongana na ya nasma alie kuwa akimwangalia huku akitabasamu na Masumbuko alipo fungua macho alijikuta akishangaa na kumfanya Nasma atoe kicheko.
Na kitendo hicho Steve alikuwa akikishuhudia na aliona kama anangalia sinema VR Gasses (hizi ni miwani ambazo unaweza ukaangalia muvi au kucheza gemu kwa mazingira ya 3D na kukupa hali ya kama unakiona kitu katika mazingira halisi ) ,maana jinsi Nasma alivyo inama na Masumbuko alie kuwa kalala na walivyo kuwa wanaangaliana ilikuwa ni kama sinema la kifilipino .
“Dada juisi hii hapa”
Aliongea Steve na kumfanya Nasma amwangalie na kuachia tabasamu na kisha kusema asante , na kumfanya Steve ahisi sauti hio ilikuwa ipo tumboni ,ikitekenya maini yake.
Masumbuko mara alishtuka maana sijui alifikiria nini na alinyanyuka haraka haraka na kumshika Nasma mkono na kumfanya Nasma amwangalie huku akitabasamu na Masumbuko alimnyanyua Nasma na kumpeleka karibu na mlango wa jikoni ambapo mtu wa sebleni hawezi kuona
“Usije ukasema siku ile tulikutana na nilipotea na wewe ndio ulio nileta maana niliwaambia nalijua sana jiji sasa usije ukaniumbua , yaani kimyaa shiiip” Aliongea akimnong`oneza Nasma na kumfanya Nasma atabasamu na kuhisi msisimko wa ajabu kwani alihisi pumzi ya Masumbuko .
“Hapa leo nadhani kwa mara yangu ya kwanza ndio naangalia tamthiliya la kifilipino laivu bila chenga aliongea Steve baada ya kumuona Masumbuko akimwambia jambo Nasma.
*****
Boss mkuu kapiga simu kuhusu ule mzigo wa Congo “ Aliongea jamaa mmoja mrefu mweusi aliekuwa na mwili ulio jazia na akiwa amevaa miwani .
“ Ramso nadhani wewe unajua nini cha kufanya hapa , na nimeona una majukumu mengi sana, lakini nataka nikupe jukumu lingine na hilo .
“Jukumu gani hilo boss?”
“Nataka kwanzia sasa uwe karibu na Rania kwa kila anacho kifanya kwani muda si mrefu nitakwenda kumuoa”
“Boss una amini atakubali?”
“ Ramso unafikiri ninasema jambo bila mpango , yeye akubali asikubali ila lazima nimuoe kwa namna yoyote ile kwani baba yake tayari yupo hapa kiganjani na hana pakwenda na mama yake na yeye nina udhaifu wake mkubwa sana na nikumuonesha huo tu hatokuwa na la kusema zaidi ya kunipa baraka zote.”
Aliongea Hemedi akiwa nyumbani kwake eneo la Mapinga Bagamoyo na ndani ya jumba hilo ilikuwa ni kama ikulu kwani walionekana mabodigadi wengi walio valia suti safi wakiwa wana hakikisha ulinzi na haikueleweka walikuwa ndio wanamlinda huyo Hemedi au kuna la ziada kwani kama tujuavyo Hemedi ni mfanya biashara wa mabasi .
“Sawa Boss nitalifatilia hilo”
“ Kingine hakikisha huyo panya (Peter ) hafanyi lolote kwa huyo mwanamke , kwani ndio roho yangu na nadhani nikishampata rania roho yangu iatulia na nitatulia nae ,huyu paka kama isingekuwa analindwa na Bosco ningekuwa nishampoteza muda mrefu sana”
“Boss unamaanisha wetu anamfahamu Peter”.
“Ndio ana mfahamu vizuri sana na namheshimu sana Bosco kwani kanifikisha hapa nilipo leo hii, ila asinenipa maelekezo ya kutomgusa Peter ningekuwa nishampoteza muda mwingi sana”
Aliongea Hemedi na kumfanya Ramso ashangae , kwani sio jambo la kawaida kwa tajiri mkubwa kama Bosco kumjua Peter , kwani Bosco alikuwa ni tajri mkubwa ndani ya Congo mwenye mtandao mkubwa wa madawa ya kulevya na alikuwa ni supplier(msambazaji) kwenye nchi nyingi sana ikiwemo Tanzania alikuwa akifahamika kwa jina la The Don.
*****
Ndani ya uwanja wa kimaaifa wa Julius kambarage nyerere (JNIA) , alionekana mrembo Najma akiwa na bodigadi wake akitoka eneo la ‘Arrival’ yaani wanofika, akiwa amependeza kwelikweli na alionekana kabisa alikuwa safarini na ndio anarudi .
“Rehema naomba usinipeleke nyumbni kwanza nataka nikakae Serena mpaka nitakapo kamilisha ufunguzi wa kampuni yangu” Aliongea huku akitembea kimadaha kabisa na kuingia kwenye gari.
Gari ilitembea mpaka kwenye hoteli ya Serena ikitumia masaa machache tu kuingia kwenye hoteli hio ya hadhi ya juu na kisha mrembo huyo akaingia . na kwenda moja kwa moja mpaka mapokezi na kuchukua chumba .
“Leo unaonekana kuwa nafuraha kuliko siku zote nilizo kuzoea”Aliongea Rehema huku akiingiza mizigo ya Najma ndani ya chumba hicho .
“Acha tu nitakwambia kila kitu ila kwa sasa kuna mambo makuu mawili nataka kuyatimiza ndani ya mwezi mmoja .
“Hongera yako ,kama kuna jambo ambalo unataka kulifanikisha pia ni mwanzo wa mafanikio na ni uthamani katika uso wa dunia kwani hauvuti hewa bure , hakuna jambo zuri kuwa na sababu ya kuishi”Aliongea rehema na kisha waliagana kwa ajili ya kukutana siku inayo fuata.
Najma alifungua begi lake nakutoa laptop na kisha akawasha mtandao wa Skype na kisha akabonyeza kwenye hio laptop na likaja jina la A2
“Hello A2 “ Aliongea Najma kwa mapozi . (A2 ni Artificial intelligence roboti ambayo ilitengenezwa na Profesa Gladness , roboti ambayo inafanana kwa kila kitu na binadamu wa kawaida unaweza ukamfahamu roboti A2 kutoka kwenye simulizi ya MY DREAM MY FAVOURITE)
“Hello Beuty Najma .”
“ Nimefurahi sana kuwasiliana na wewe A2 na niliongea na aunt(shangazi) na kaniambia nikuombe msaada unaweza kunisaidia kwenye tatizo langu .
“Ndio alinidokezea na ni kwamba tatizo lako linaweza kufanyiwa kazi kisayansi kutokana na kwamba sasa kuna teknolojia ya kuweza kufanya komputa kutoa picha yoyote ile unayohitaji kutoka katika mawazo yako”
“Naweza kufika lini ili swala langu uweze kulitatua?”
“Kesho asubuhi unaweza ukafika nitakusadia hakika “
Hili ni roboti A2 liliotengenezwa na profesa gladness, na lilikuwa lipo kwenye moja ya kitengo cha usalama wa nchi , kitengo ambacho kilibadilishwa jina kutoka kwenye jina la the Hollic Shadow na kwenda kuitwa jina la AFRICA MULTNATIONAL CYBER SECURITY (AMCS) na kiongozi wa kundi hili alikuwa hajulikani jina lake , kwani kitengo hichi kilikuwa kikifanya kazi zake kwa siri sana na hata wafanyakazi walikuwa hawafahamiki .
UNAWEZA PATA SOFTCOPY YA SIMULIZI HII YOTE.

SIMULZI ZANGU NYINGINE NI
-UMOJA NAMBA TISINI NA SABA
-NDOTO ZA KIKANUNI
-BOOK OF ALL NAMES (UMOJA NAMBA TISINI NA SABA )
-MY DREAM MY FAVOURITES)

KUHUSU UTARATIBU WA MALIPO
WASILIANA NAMI KWA KUGUSA HAPAA



mawasiliano 0687151346
Singano jr Tubeless vigongo weekend hii tutaisahau Sasa huu Uzi
 
Ukute jamaa kaibiwa simu Tena Kama kwenye umoja-97 ndo maana yupo kimya tunapata hofu huenda labda hatumii hili jukwaa maana Arosto imezidi aiseeeee maqn tangu February huyu jamaa hasemi neno kabisa Wana uzi
 
SEHEMU YA 25
“Paa.. paa..!” risasi ilipiga kwenye kioo cha hapo sebuleni na kukipasua hi o ni baada ya Samir kukosea shabaha kabisa , kwani japo siku nyingi alikuwa na kifaa hicho cha moto ila hakuwahi hata kujifundisha kulenga na ndio maana aliachia risasi mfululizo zilizo pasua kioo cha hapo sebleni na kwa bahati nzuri ni kwamba Kadabra baada ya kuingia alifunga mlango na kwakuwa nyumba ile ilikuwa ina ‘sound proof’ basi mlio ule wa risasi haukwenda mbali sana nje ya nyumba hio”
“Edmund…!” Alishangaa Samir baada ya kuona mwanaume alie mkosa kosa kwa risasi ni dereva wa Mama Rania aitwaye Edmund lakini kilicho mshangaza ni kwamba mwanamke alie kuwa yupo uchi alikuwa Sio Mama Rania kama alivyo fikiria , alikuwa ni msichana mwingine kabisa asiemjua .
Edmund alimkimbilia msichana wake na kisha akamkumbatia kwa mbela ili asidhalilike kwani alikuwa uchi na Edmund aliwapa waangalie makalio yake tu huku akimgeuza msichana huyo aliejawa na aibu kweli na akiwa katika woga mkali kwani alikuwa akipumulia mdomo kwa woga wa mlio ule wa risasi , kwa Edmund wala alikuwa kawaida na alionekana kama mtu aliezoea milio ya risasi .
Edmund aligeuza shingo na kujmwangalia Kadabra ambae alikuwa haelewi elewi na Edmund akamuonyesha kwa macho ampe nguo zilizo kuwa chini yake , alizichukua na kumrushia na kisha akamfunika yule mwanamke na kisha akamkalisha na yeye akivaa boksa yake .
“Mama Rania yuko wapiii..” Aliuliza Samir huku akiwa kama haamini amini kwani alikuwa akizungushamacho huku na huko .
“Hivi unaniulizaje kuhusu boss na wakati hapa kidogo tu ungeniua “ Aliongea Edmund kwa jazba kabisa huku akimsogelea Samir “
“Sikia Edmund nadhani hujui unae ongea nae hapa ama akili yako ina bangi kichwani na hujui kuwa unae mpandishia ni mume wa bosi wako.”
“Sikia Samir nakuheshimu sana na ulicho kifanya siku ya leo nimekupuuza kabisa , je? kama hizo risasi zingenipata si ningekuwa maiti , halafu unaniuliza kuhusu mkeo kwani mimi ananihusu nini na ni nani napaswa kujua wapi alipo boss zaidi yako” Aliongea Edmund kwa hasira kali sana na kumfanya hata Samir mwenyewe amuogope Edmund kwani siku zote alikuwa akimchukulia kama dereva tu wa mke wake , lakini alikuwa ni Zaidi ya dereva kwa sura alio iona .
“Sikia nimechanganya mafaili nikajua mtu ninae mfatilia ni yeye kumbe ni wewe , ninacho taka kujua mke wangu yuko wapi sasa hivi kabla sijamalizia risasi zilizo baki .
“ Alongea na kumfanya Edmund atabasamu na kisha alichukua simu yake ilio dondoka chini kwa kupona chupuchupu na kisha alitafuta namba ya Mama Rania ambayo kaisave boss na kisha alipiga na kuweka lod speaker .
“Boss, uko wapi ?” Aliulizia Edmund
“Nipo nyumbni nimepunzika vipi usharudi huko niliko kuagiza ?”
“Ndio ila kuna mambo ambayo yametokea ila nitakueleza kesho asubuhi “ Aliongea Edmund na kisha akakata simu na kumfanya Samir kwa mshangao amwangalie Kadabra na kisha akamwangalia Edmund.
“Bwana Edmund nadhani kuna makosa ya kiufundi .. naomba unisamehe kwa kuingilia starehe yenu na kimwana wako , pia nitalipia fidia niliosababisha leo , ila nakuomba jambo moja tu , usimwambie mke wangu kilichotokea siku ya leo najua wewe ni mwanume na unaelewa”
Edd aliishia kutabasamu na kisha akatingisha kichwa na kuonyesha kama kakubali na Samir aliondoka zake na Kadabra huku akimwangaliaa bodigadi wake huyo kwa hasira na aibu alizomsababishia .
“Umenitia sana aibu Kadabra leo , yaani huyu fala ambae siku zote ndio kama mbwa wetu wa nyumbni leo hii ananipandishia mimi , haki ya nani nadhani makali yangu yamepungua na kila mtu ananiona zoba”
“Sio hivyo bosi na nisamehe sikufahamu , uliniambia nifatilie gari ..”
“Nyamaza sitaki tena kusikia upuuzi ,wewe mwehu kwanza panda daladala sitaki kupanda na wewe mpuuzi “ Aliongea Samir akimuacha Kadabra anamwangalia boss wake huyo aliemtimulia vumbi na gari tu huku yeye akianza kuuchapa mguu kwenda barabarani kutafuta daladala.
****
Masaa matatu nyuma Mama Rania alionekana ndani ya hoteli akiwasiliana na Peter kwa jili ya kwenda kupewa dudu kwani alikuwa kila akimuwaza kijana huyo ikulu yake ilikuwa ikiingiwa na kajiupepo flani hivi kaliko msababishia mtekenyo , ulio hitaji kuguswa na kitu chochote ili kutulie na mtu alietaka kutekeleza adhima yake hio alikuwa ni kijana Peter.
“Huyu mwehu huyu saivi lazima atakuwa ameniwekea maspy .. sasa nitamuonesha kama mimi ni zadi ya spy” Aliongea Mama Rania huku akikaa kwenye kiti chake hicho cha kiboss na kuzunguka kuangalia mji kwa chini kwani ofisi yake ilikuwa juu kabisa ya ghorofa .
Baada ya kufikiria ndipo alipomuita Edmund ambae alimfupisha sana kwa jina la Edd..
“Edd ..” Aliita Mama Rania huku akimwangalia .. na Edd akaitika kiheshima .
“Kuna mchezo leo nataka tucheze maana hisia zangu leo zimekaa vibaya “
“Kwa hio unataka nifanye nini boss”
Madam Shani kama alivyokuwa akiitwa kazini alimwambia Edd asogee karibu yake kwenye meza yake na kuna jambo alimwambia na Edd kuashiria kuwa ameelewa .
Baada kama ya nusu saa hivi alionekana kijana Peter akiingia ndani ya jengo la benk x na gari yake na moja kwa moja alienda mpaka kwa boss Shani yaani Mama Rania kwenye ofisi yake ilipo ,lakini wakati Peter anaingia ofisini ndio gari ya Mama Rania ilikuwa ikitoka kwa mwendo wa taratibu sana kwenye geti na ikatokomea na muda huo huo ndio gari ya Kadabra iliokuwa nje ya geti ilipo unga nyuma akijua anamfatilia Mama Rania .
“Yaani mpenzi huamini , kila ukinipigia simu mashine inasisimka yaani hata sijielewei “ aliongea Peter baada ya kuingia ndani ya ofisi ya mama rania .
“Wewe hunizidi mimi , hata sijielewi kabisa najiona kama ndio sasa naishi maisha yangu na kipindi chote cha nyuma nilikuwa naisha maisha ambayo sio yangu”
Aliongea Mama Rania huku akiweka vitu vyake vizuri na kisha akachukua mkoba wake na kisha kutoka na kuongozana na Peter huku akiwa nyuma akiangalia hilo tetemeko na kujikuta hamasa ya kufanya mapenzi ikimpanda maradufu na alitamani huko wanako enda wafike haraka .
“Mbona umebonyeza floor ya kwenda juu kabisa “
“ Mpenzi hii ghorofa alijenga baba yangu na mama yangu na mimi ndio naimiliki , wewe ngoja utaona “ Aliongea Mama Rania na kisha lift ilipanda mpaka juu kabisa ghorofa ya kumi na tano walitoka kwenye lift hioo na kisha mama rania alisimama nyuma ya lift nyingine ambayo aliweka jicho na lift ile ikafunguka na Peter yeye alikuwa akishangaa tu , ndipo ilikuja kufunguka kwenye moja floor ilio kuwa imenakshiwa vizuri sana na ikiwa inavutia kweli kweli kwa muonekano wake na muundo wake kwa ujumla . Peter alijikuta akijisemea kuwa kuna watu wana hela .

“Taraa… aliongea mama Samir baada ya kufungua mlango na kumuonesha mazingiea yaliokuwa humo ndani kwani ilikuwa ni kama ‘apartment’ ilio kuwa imejengea kwa ufanisi wa hali ya juu na , kilicho changia kupendeza kwake ni samani zilizokuwa zimewekwa.
“Wewe ndio wa kwanza kufika sehemu hii mpenzi” Aliongea Mama Rania huku wakianza kupigana mabusu na Peter hakutaka kurembesha alipeleka mkono kwenye tetemeko na kuliminya kwa nguvu huku akimsukuma Mama Rania kwa nguvu na kumrudisha nyuma mpaka kwenye moja ya sofa na kisha alimlaza huku Shani akichanua miguu na kufanya sketi yake hio ilio kuwa na pasua kupanda juu na kuacha wazi vyandani kuonekana , Peter alikuwa akishika kote kote nyonyo na ikulu ya mama huyo , alitumbukiza vidole viwili na kumfanya mama wa watu kuweweseka kama ana mchango huku akikata kiuno , baada ya dakika mbele hakuna alie kuwa na nguo na mama rania alishika mtwangio na kujilengesha na alitoa pumzi kali .. kama anapokea tuzo ya kuwa mwanariadha bora kwemye mashindano ya Olympic. .
Baada ya masaa mawili na nusu mbele walikuwa washaenda safari mbili ,walienda kuoga na kisha kila mtu kuvaa nguo zake na huku Peter akiendelea kushangaa mandhari ya humo ndani lakini Mama Rania alimwambia atamueleza kwenye gari
“Ile ni sehemu ambayo baba alikuwa akipumzika kipindi hicho akiwa hataki kurudi nyumbni”
“Baba yako alikuwa na hela ee?”
“Ndio , halafu nimesahau kukwambia kitu nadhani utafurahi”
“Nini?”
“Nataka niombe talaka “
“Ninii!!?
“Ndio mpenzi au hautaki kuwa na mimi , nataka unioe Peter, nitakupa kila kitu”
“Shida sio hio , unaomba talaka kwa sababu gani? “
“Hilo niachie mimi , mimi ninacho hitaji ni kujua kama utanikubalia hilo tu basi “
Peter alijikuta akichachawa , na aliona sasa mambo ndio yanazidi kuwa mambo kwani anaona hata kisasi sasa kinamgeukia , maana akikumbuka maneno ya Rania na kujumlisha na ya mama yake hapo ndipo jasho sio jasho sijui alikuwa akijihisi nini tu lakini, hakuwa sawa kabisa , alinusa hatari .
“Kwa hio mpenzi najua nimekushtukiza , ila nakupenda sana Peter najua unaniona kama mmama , ila nakuhakikishai mimi ndio mwenye mapenzi kwako na nipo tayari kukupa kila kitu changu ili niwe na wewe , naomba ufikirie hilo mpenzi”Aliongea Mama Rania na hapo gari lilikuwa lishafika maeneo ya nyumbani kwake Masaki na Peter alisimamisha nyuma kidogo na geti na kisha Mama Rania alimbusu na kisha kushuka na kuelekea ndani kwake , Peter aliishia kuangalia tu tetemeko la mama huyo na kuwaza , alijikuta akiondoa gari yake na kuelekea nyumbani.
Hivyo Samir wakati anaweweseka kumfumania mke wake , mke mwenyewe ndio kwanza alikuwa kesharudi anapigwa na upepo wa feni kupoza poza maana kulikuwa kunawaka moto na kijana mdogo Peter kijana ambae alikuwa akitaka auawe miaka kadhaa nyuma ndio anaempa dozi kiasi cha kutaka talaka .
****
“Kwa hio wewe una uwezo wa kumfanya mtu awe na mawazo kama yako au una maanisha nini maana kama siamini vile”
Aliongea Nasma baada ya Masumbuko kumwambia , baada ya Nasma kumuuliza kuhusu yale matukio , wakati huo walikuwa ni kama wanapiga stori na hata Steve alikuwa ashasahaulika kabisa. Kwani Masumbuko na Nasma walikuwa wakiongea yao na mara nyingi Nasma alikuwa akimwangalia Masumbuko usoni tu na kuna kipindi hata Steve alikuwa akijaribu kujiunga kwa kile kinachozungumzwa hapo lakini hata hakuangaliwa , Masumbuko yeye alikuwa akiongea ujinga jinga tu ila ulikuwa ukionekana wa maana katika masikio ya Nasma kuliko kile ambacho Steve alikuwa akikizungumza .
“Ndio , naweza kukupa kumbukumbu za masaa mawili na unakuwa haukumbuki chochote unakumbuka kile ninachotaka ukumbuke”
“Muongo , mbona hata siamini , wakati kaka ni kweli ?” Aliuliza Nasma na kumfanya Steve sasa aone hio ndo nafasi yake ya kuongea na mrembo huyo .
“Yeah ndio ana uwezo wa kimaajabu maajabu , ila mimi naonaga ni uchawi tu , kwahio usikae nae karibu sana , anaweza kukupa kumbukumbu , halafu akufanyie mchezo mbaya “
“Masumbuko hayuko hivyo , mimi namjua maana siku ile ndie alieniokoa na yule rafiki yake”
“Rafiki yake mimi hapa “ Aliongea Peter na kumungalia nasma na uzuri alio kuwa nao nakumfanya ajihisi kama amepigwa na shoti kwani mara ya kwanza kumuona uzuri wake na wa leo anaouona ni kwamba umezidi kuongezeka .
*****
Ni ndani ya kambi ilio kuwa ikimilikiwa na The Hollic Shadow ilio kuwepo ndani ya eneo la Bagamoyo ndani y amkoa wa Pwani ,alionekana mwanadada Najma akiiniga ndani ya kambi hio kw amaelekezo ya Robot A2.
“wow!”
Alitamka maneno hayo Najma baada ya kuingia ndani ya kambi hii ilio kuwepo chini kabisa ya ardhi ambayo imetenganishwa na hoteli juu kabisa kubwa ya nyota tatu .
Kiufupi ndani ya eneo hili la AMCS ambalo zamani lilikuwa linamilikiwa na The hollic shadow kulikuwa na mabadilikoo makubwa sana ya kimiundombinu pamoja na teknolojia zilizofungwa humo ndani. Huku kukionekana mamashine makubwa ambayo kwa macho tu ungejua hayo mamashine sio ya kawaida na yametumia teknolojia kubwa sana mpaka kukamilika kutengenezwa kwake .
“Welcome miss” kilikuwa ni kiroboti kidogo ambacho kilikuwa na vijitaili kikimkaribisha Najma .
“Najma nadhani hatuna muda wa kupoteza kama tulivyo ongea nimeshaandaa zoezi lako na unachotakiwa kwa sasa ni kuvua nguo zako zote na kuingia kwenye hii mashine . tuanze kuprint hio picha , unacho takiwa ni kuvuta kumbukumbu ya tukio jinsi lilivyo tokea na mashine itaanalyze HBW(human brain waves) patterns(mpangilio wa kisayansi ) na zitatafsiliwa na utaona picha ya tukio” Aliongea A2 huku Najma akiingizwa kwenye mashine hio iliokuwa ikionekana kama zile CT scan .
“Auto assesment procedure initialized , syestem wili start analyzing hbv waves , please concentrate to bring a good results”.(mchakato wa uchunguzi usio hiari umeanzishwa , mfumo utachambua mawimbi ya ubongo ,tafadhari endelea kuwa makini ili kuleta majawabu mazuri).
Ilikuwa ni hatua kubwa kwa kuona ndani ya taifa kama la Tanzania kuna teknolojia kama hio , japo haikujulikana lakini bado ni swala la kujivunia sana .
Baada ya muda Najma alikuwa haamini kwani ni kama vile vile kule hotelini tukio lile lilivyokuwa limetokea pindi alivyodakwa na mkaka anae muota kila siku hakuamini kama angeweza kuipata picha yake tena ilio halisi na yeye .
Ni kweli picha ile ilitoka vizuri sana na kiufupi ni kwamba sijui ni nini kilitokea kwenye picha ile ila ni kwamba picha ile haikuwa kama ilivyokuwa pale hotelini ila najma nadhani ndie aliebadilisha mawazo na kuifanya picha ile itoke kivingine japo sura ya Peter ilionekana kabisa tena vizuri na mrembo Najma sura yake pia ilionekana vizuri kabisa , na kwa pozi hilo la kudondoka ni kama waigizaji , kwanza walipendezana halafu ile picha najma aliitengenezea mazingira ya kwenye bustani moja nzuri sana ya kuvutia , huku nguo alizovaa Peter zikiuwa ni tofauti na zile alizovaa siku walio gongana .
“Hili ndio vazi langu maalumu nitakalo litambulisha siku ya ufunguzi wa kampuni yangu “ Aliongea Najma huku akitabasamu kwa pozi alilokuwa ameonekana katika picha hio .
Wasifu wa picha hio uko hivi kwanza mazingira yalikuwa ni kwenye uwanja wa mpira lakini ulio zungungwa na fensi halafu Peter alikuwa amevaa vazi moja maalumu sana la rangi nyeupe na blue huku Najma akiwa amevaa gauni fupi la pink likiwa na mkanda wa blue na kijikofia kama muundo wa heti na raba nyeupe huku Peter akiwa ameshikilia kiuno cha Najma na Najma alikuwa akionekana anacheka kwa furaha akimwangalia Peter usoni na Peter na yeye alikuwa akionesha tabasamu la kuvutia kama utalinganisha eneo hilo ni kama kwenye wimbo wa msanii wa bongo fleva rayvanny uitwao Teamo , ikiwa na mwanadada kwenye eneo flani hivi .
Huo ndio uwezo wa mashine hio , ulikuwa inauwezo wa kuprint kila picha unayo iona katika kicwa chako ama kuifikiria kwa kuchambua mawimbi ya ubongona kiufupi teknolojia hii bado ni siri sana na hakuna anaejua kama ipo kwani wnasayansi duniani wnajua tu kuwa hio ni nadharia lakini kupitia Profesa Gladness na A2 waliweza kuvumbua teknolojia na kuifanya kuwa halisi katika mazingira ya kibinadamu.
“Kwa hio A2 naweza nikafikiria picha yoyote na ikatoka”
“Ndio lakini kuna sheria na impulse logic pamoja na aligorithm ya mashine hii kuweza kufanya kazi , kwanza sio kila picha inaweza kuwa printed ila ni picha ambazo zimefikia Threshold level( kiwango flani katika ubongo ambacho kinatafsirika ) , kiwango ambacho ubongo unafikia hatua ya kutenengeza hormone ifahamikayo kwa jina la Dopamine homoni ,hii homoni inapoungana na Serotonin hormone inazalisha mawimbi (waves) ambazo ni very Unique(kipekee) ambazo hakuna mashine yoyote duniani ambayo inauwezo wa kuzinasa hizo waves Zaidi ya mashine hii sasa hapo ndio inatafsiri kwa kuzibadilisha hizi waves kwa kutengeneza color wavelength ndio hapo picha inapotokea as output”
“Kwa hio sio kila ninacho fikiria kinaweza kutolewa na hii machine “
“Ndio ila ninaamini miaka michache ijayo tutafanikiwa katika hili kwani kuna projekti nyingi za kumtafuta mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiria”
“Asante sana A2 na nimemwahidi Aunt kwamba sitosema chochote nitakacho kiona hapa”
“Hilo ndilo la kuzingatia”
“Yeeessss!!!! , njia ya kumpata mwanaume wa ndoto zangu ishafunguka , hii picha ndo itakuwa cover siku ya ufunguzi wa kampuni na nitatengenza kopi ya picha zake nyingi ziwe katika Red carorpet .
****
Samir alifadhaika sana kwa kile kilichomtokea na kuona yeye ndio mchepukaji na mke wake sio mchepukaji , maana aliona tukio hilo la leo ni kama kukosa uaminifu kwa mke wake na aliona jambo hil anatakiwa kulifanyia kazi mapema ili kurudisha kila kitu kama kilivyokuwa .
Aliendesha gari yake kuelekea nyumbani kwake na lengo kuu ni kwenda kuongea na mke wake ili wasuruhishe tofauti zao na mambo yarudi kama zamani .
Hakuchukua muda mrefu alifika maeneo ya Masaki mtaa wa ushuani na kisha aliingiza gari yake na kuipark huku akiangalia nyumba yake hio na kuanza kuvuta kumbukumbu miaka ya nyuma jinsi walivyokuwa na Amani na furaha na mke wake .
Huku ndani ya chumba cha Mama Rania allionekana akiwa amekaa akiangalia video alizotumiwa na Edmund kwenye simu yake zikimuonesha Samir akila bata na mwandada Amanda na mpaka video wanafanya mapenzi zilionekana kabisa kama mkanda wa filamu za ngono .
Mama rania alijikuta akitoa chozi , kwani licha ya yanayo endelea , bado alikuwa akimpeda mme wake na alikuwa na wivu na video zile zilimfanya atoe machozi na kuona kuwa ndoa yake inaenda kuvunjiaka .
Alipo sikia gari inanguruma nje alichungulia na kumuona ni Samir mume wake , alichukua ile laptop na kuiseti ile video ijirudie rudie kila ikifika mwisho na kisha akaiweka kwenye kijimeza na akapanda kitandani na kulala kifudi fudi huku akionesha Analia .
“Mke wangu” Aliita Samir tu baada ya kuingia huku akiweka funguo kwenye meza ndipo alipo jikuta akishtuka kujiona kwenye hio video akikata kiuno n kama gwajiboy mkono wa baunsa..
Alijikuta jicho likimtoka na mwil kukosa nguvu kabisa na presha ilianza kupanda na kujikuta akidondoka chini na hapo ndipo Mama Rania alipo nyanyuka harakaharaka na kumwangalia Samir , alijikuta akiropoka na Rania aliekuwa upende wa juu akichezea simu yake alimsikia mama yake na kujikuta akishuka na kuingia chumbani kwa mama yake akimwangalia baba yake , pale chini huku akitoa kilio na wati huo ile video bado inajianzisha na ikifika mwisho inarudi tena .
“Rania chukua hizo funguo zake za gari hapo kwenye meza tumpeleke hospitalini “ Aliongea Mama rania na kusahau kwenye meza kuna bomu na mtoto wake anaweza akaliona na ikawa aibu zaidi











SEHEMU YA 26
Rania alichukua funguo haraka haraka na kisha aliingia na kuja kusaidiana na Mama Rania ambae hata kuvaa alisahau kwani wakati huo alikuwa amevaa kanga tu alio jifunga .
“Mama kavae nguo utaenda hivyo” Aliongea Rania baada ya kumuona mama yake akiwa hata hajavaa nguo , Mama Rania aliingia ndani haraka haraka na kisha alivaa dela na kuchomoka huku akifunga ile laptop na kisha akatoka na alipotoka Rania alikuwa tayari ashaukalia usukani na hapo hapo gari iliwashwa na kuingia barabarani na ndani ya nusu saa tu walikuwa washafka kwenye hospitali ya Ocean Road na kisha samiri alichukuliwa na machela kisha wakampeleka kwenye chumba cha wagonjwa wa dharula .
Rania alijikuta akikaa chini kwenye mabenchi na kuanza kulia na kumfanya mama yake kumwangalia mwanae huyo na kisha aliinuka alipo kaa na kumfata kisha akamkumbatia . huku wakifarijiana , baada ya kama nusu saa hivi dokta alitoka na hapo wakwanza kuamka alikuwa ni Rania .
“Baba yangu anaendeleaje Dokta” Aliuliza Rania na Mama Rania na yeye aliinuka na kumsogelea Dokta na Dokta aliwaambia wamfuate .
“Hali ya mgojwa inaendelea vizuri japo bado hajarudiwa na fahamu , lakini kiufupi ni kwamba kapata mshituko wa moyo na muda si mrefu atakuwa sawa”
“ Kwa hio tunaweza kumuona?”
“Sio kwa sasa , sasa hivi nawashauri kwanza mrudi nyumbani na mtarudi hapa siku ya kesho , kwani saivi yupo kwenye uangalizi maalumu kwani tunataka kuujihakikisha kabisa kuwa hana shida nyingine” .
“Dokta Mosesi habari”Aliongea mwanaume mmoja akiwa mlangoni alieonekana kuwa mtanashati sana na akichangiwa na uhandsome .
“Dokta Singano “ Rania alinyanyuka na kwenda kumkumbatia mwanaume yule kwa muda ndipo walipo achiana.
“Mimi ni dokta wa familia , nipo hapa kwa ajili ya kumuangalia mgonjwa wangu”Aliongea Dokta Singano na hapo Dokta Moses akatingisha kichwa kukubaliana na Dokta Singano huku wote wakitoka nje .
“Madam nadhani mnaweza kwenda tu kwa sasa , nitakaa hapa kuangalia hali ya mgonjwa” Aliongea Dokta Singano na Mama Rania alie kuwa yupo kimya muda wote akionekana kwenye mawazo aliitika kwa kichwa kukubaliana nae
“Mimi nitabaki mpaka nimuone baba akiamka “ Aliongea Rania na mama yake alimwangalia kisha akakubaliana nae na akaondoka eneo hilo .
“Jamani Singano umerudi lini kutoka masomoni, na umezidi kupendeza na kunawili”
“Nina wiki sasa”Aliongea Singano kwa mapozi akimuangalia Rania kwani walionekana kulingana kiumri japo Singano alionekana kuwa mkubwa kidogo.
Basi baada ya masaa kama mawili hivi Samir alirudiwa na fahamu na wakati huo alikuwa tayari ashatolewa kwenye chumba cha dharula na kupelekwa katika wodi ya VIP ,Rania alikuwa mpaka wakati huo hajandoka bado na muda ulikuwa ni kama saa moja inaenda na nusu na alikuwepo katika chumba hicho cha ward .
“Dady!!“ Aliongea Rania baada ya kupapaswa mkono na baba yake kwani alikuwa amepitiwa na usingizi.
“Mama yako yuko wapi ?” Aliongea Samir kwa wasiwasi kweli .
“Kaenda nyumbni alikuwa hapa muda si mrefu” Alijibu na Samir kufumba macho na wakati huo Dokta Singano aliingia na kumfanyia vipimo.
“Hali yake ipo sawa inabidi turudi nae nyumbani kwa sasa ,nitamhudumia akiwa nyumbani” Aliongea Dokta Singano na kisha Rania alitoka na kwenda mpaka mapokezi na kupewa karatasi ya kumruhusu mgonjwa na baada ya taratibu zote Samir alitolewa huku akiwa mzima japo alikuwa akionesha hayuko sawa kimawazo .
*****
Peter alishangaa uwepo wa mrembo alie kutana nae kule fukwe ya kawe kwani alikuwa akimkumbuka sana na hajawahi kuisahau sura yake .
“Kumbe mnaishi wote?”Aliongea Nasma na kasauti kake kakitoto lakini mwili mkubwa na kumfanya Peter atabasamu .
“Ndio sisi ni ndugu” Aliongea Peter huku akimwangalia Masumbuko na kurudisha uso wake kwa Nasma na kisha akasogea mpaka kwenye sofa na kukaa .
“Vipi Steve mgeni wetu mshamkaribisha vizuri?”
“Yeah , ndio kama unavyo ona kaja kwa ajili ya Masumbuko”
“Sijaja kwa ajili ya Masumbuko tu , ila nimekuja kwa wewe pia “ Aliongea Nasma kwa hali ya aibu huku akimwangalia Peter na kushusha macho chini jambo ambalo lilimvutia sana Peter.
“Halafu isitoshe mimi ni jirani yenu “ Aliongezea .
“Mhmh tangu lini?”
“Muda mrefu tu , halafu nilikuwa nikiwatafuta kila siku niwashukuru kwa siku ile , ila juzi nilikutana na Masumbuko kaa..”
“Kafanyaje ?”Aliuliza Peter na kumfanya Masumbuko amwangalie Nasma kwa sura ngumu kama askari anaemrushia adui risasi , alitamani hata ambadilishe mawazo kwani hakutaka kuumbuka.
“Nilikutana nae hapo nje ya geti” Alibadilisha na kumfanya Masumbuko ashushe pumzi na kutabasamu na Nasma na yeye alitabasamu na kitendo hicho Peter alikishuhudia na hata Steve .
“Kwa hio wewe unakaa wapi?”
“Nakaa nyumba hio hapo yenye geti lililoonakshiwa kwa rangi ya silver”
“Kumbe una kaa hapo jirani tu hapo, inaonekana familia yenu iko vizuri sana” Aliongea Peter maana hakujua kuwa mtu anae ongea nae alikuwa ni mtoto wa adui yake yaani tajiri Samir na pia ni mtoto wa mchepuko wake yaani Mama Rania Au Shani The Boss ,lakini pia hakujua kama anaongea na mdogo wake wa damu.
“Hapana nakaa mwenyewe tu ni nyumba yangu baba na mama wako nje ya nchi kwa sasa” Aliongea Nasma huku akidanganya maana hakutaka wajue kuwa yeye ni mtoto wa tajiri mkubwa nchini tajiri Samir .
Basi Peter alienda kubadilisha nguo zake na kisha akarudi sebleni ambako Nasma na Masumbuko walikuwa wakipiga stori kana kwamba wamekutana miaka mingi iliopita kumbe ndio mara ya tatu walikuwa wanakutana , aliwaangalia na kisha akamgeukia Steve aliekuwa akiwashangaa na muda wote alikuwa akimshangaa Nasma tu na alikuwa akitamani bahati ya Masumbuko iwe ya kwake,Peter alitabasamu na kisha akamkonyeza Steve na kumuita chumbani kwake .
“Hivi hawa unawaelewa kweli?” Aliuliza Peter .
“Mimi hata sielewi maana mtot kaja Masumbuko kamvuta kwenye kona ya jiko ile na si nikaenda kupiga chabo nilikuta mtoto ananong`onezwa na Masumbuko.
“Hili jamaa na ndio maana nakwambia huyu muhuni sana huyu, unajua mambo ambayo anayofanya namuona kama kiumbe kutoka sayari nyingine”
“Mimi natamani niwe kama yeye halafu yule mwanamke ni mzuri ile mbaya , halafu wanaonekana wamekutana mara nyingi hawa”
“Hahaha..Steve wewe huwezi cheza na nyota ya Masumbuko ushasahau kuwa alikula mtoto mkaliiii.. wewe ambaae huwezi mla . sasa huyo Nasma inaonekana tayari keshajaa kwenye kumi na nane za Masumbuko , sijui walikutana wakapeana kumbukumbu hata sijui” Aliongea Peter huku kuna karoho ka wivu kakimsumbua maana alikuwa akimkumbuka sana Nasma sema mambo yake ya kisasi yalikuwa ndio yamemsahaulisha kwa muda . “Kaka eti Masumbuko hajui kusoma?” Aliuliza Nasma baada tu ya wao kutoka kwenye chumba ambacho walikuwa wa wakipiga umbea na mwenzake Steve.
“Ndio , kwani kakuambia?”
“Ndio , nitamfundisha mimi na atajua kusoma”
“Wewe huwezi kunifanya nijue kusoma mimi ni Zaidi ya kilaza nimesoma mpaka darasa la saba najua kuandika baba , mama , na kaka tu” .
“Utajua mimi nakwambia mimi wewe kubali ni kufundishe , kubali basi “ Aliongea Nasma kwa kumlazimisha Masumbuko na ubishi wake alikubali maana hata yeye alikuwa keshavutiwa na Nasma na muda mchache walio kuwa wamekaa pamoja alijikuta Masumbuko akifurahi sana .

******
Hii nchi ni nzuri sana , kwa mara yangu ya kwanza najisikia kuwa huru na mwenye furaha kama hivi” Aliongea mrembo aliekuwa amezungukwa na walinzi kibao na huyu sio mwingine ni Queen mrembo na mwanamitindo ambae wana habari hawakuwa nae mbali, kila mahali alipo kuwa anaenda walikuwa wakirusha habali zake kwa kila kitu alicho kuwa akifanya kwani watu wengi walionesha kuvutiwa na mwandada huyo .
“Ndio Madam , hi inchi imebarikiwa sana ina vivutio vingi”
“Kweli”
“Ndio , na kwasababu wewe ushakuwa mmoja ya mabalozi wetu basi tutahakikisha kwa muda utakao kuwa hapa nchini unatembelea kila kivutio “
“Nitafurahi sana “
“Dadii” ilisikika sauti ya mtoto ikiita na kumfanya waziri wa utalii aliekuwa akionge na mrembo Queen kugeuka na kuangalia sauti iliko tokea kwani alikuwa akiifahamu sauti ya mwanae kuliko sauti zote .
“My daughter huyoo .. huku wakikimbiliana na kukumbatiana na kisha akahamia kwa mama yake alie kuwa na mtoto huyo .
“Queen kutana na familia yangu , huyu ni Paskalina mke wangu “ Aliongea waziri na kumfanya Queen kuvutiwa na kila kitu kuhusu familia .
“Na huyu ni malikia wangu ajulikane kwa jina la Patricia “
“Dadii .. nilimuona kwenye tv “ Aliongea Patricia na kumfanya Queen ajiulize mtoto huyo kasema nini.
“She says has seen you on Tv “
“Wow! so beutifull you are so cute”
Basi Queen siku hio alijikuta akifurahi sana siku hio , na kilicho mpa furaha na kujihisi wa tofauti katika maisha yake ni uwepo wa familia ya waziri, kwake ni kituambacho hakuwahi kupitia hapo kabla.
Kwa siku hio walikuwa katika moja ya vivutio vilivyopo Ngorongoro Crater , Paskalina au Mama P kama wengi walivyozoeakumuita na Queen urafiki wao ulianzia hapo kwani ucheshi na ujuaji wa lugha ya kingereza kwa paskalina vilimfanya waendane sana katika mazungumzo na mwanadada Queen.
Na ni moja ya kitu ambacho kwa namna moja kilimfanya ajihisi wa tofauti katika siku zake za kuishi kwani hakuwahi kuishi kwa furaha kiasi hicho , hii ni kutokana tokea azaliwe katika ‘tube’ aliotengenezewa hakuwahi kukutana na mwanafamilia wa Profesa Snart , licha ya kwamba tajiri huyo alikuwa akimwaminisha Queen kuwa yeye ni baba yake na hana ndugu wengine Zaidi yake .
***
Maisha ya Stella na Sebastiani pamoja na rafiki yake Lea ambae alikuwa akimwamini sana yaliendelea , huku ukaribu wa Sebastiani na stella ukizidi kukomaa , licha ya ukaribu huo kukomaa, Sebastiani hakuwahi kumwambia Stella alikuwa akimpenda sana ,alikuwa ni kama hajiamini na alikuwa akikosa ujasiri wa kumwambia Stella kuwa anampenda.
Na mara nyingi sana walikuwa wakikutana chuoni na kuongea na Stella kama ni kwenda kula walikuwa wakienda pamoja na kufanya mambo mengi pamoja , lakini pia kila mmoja alikuwa bize sana na masomo kwani muda wakuingia kwenye mitihani yao ya mwisho ili waweze kupewa vyeti vyao vya shahada ukikribia
Stella aliendelea kumchekea na kumuamini rafiki yake Lea usoni na kumbe upande mwingine ndie aliekuwa injinia mkuu kabisa wa kutengana kwao na James mwanaume alietokea kumpemnda sana na kudumu nae katika mahusiano. .
Mapenzi kati ya James na Lea yaliendelea huku Lea akiamini kabisa kuwa James alikuwa akimpenda kwa mapenzi ya dhati kabisa .
Stella japo alikuwa yuko bize na mitihani na pamoja kuwa karibu na Sebastiani lakini hakuna siku ambayo alikuwa ashawahi kumsahau hata maramoja James , kwani alimkumbuka kila siku na kuna siku alitamani hata ampigie aongee nae au kumtumia ujumbe wa maandishi , lakini haikuwezekana kwani kwa muda huo alikuwa ashablokiwa muda mrefu na hakukuwa na njia zozote za kumpata kimawasiliano.
Siku hio alijikuta kumkumbuka sana James wake hata akajikuta akikosa kabisa Amani ndani ya moyo wake na kutamani sana kuiskia sauti ya James , kwani kile alicho kuwa akiamini katika moyo wake ni kwamba james alikuwa akimpenda na ndio maana wamedumu katika mapenzi kwa muda mrefui kwa kiasi hicho.
Pasipo kujua kuwa katika mapenzi muda hautafsiri mtu kukupenda , kwani unaweza ukakutana na mtu ambae ndio Mungu amekupangia kuwa nae ukaona kwa vitu mlivyofanya kwa muda mfupi basi ni zadi ya muda wa miaka mitano au kumi ulivyofanya na mtu ambae si sahihi kwako..
Siku hio alijikuta akipanda juu kabisa ya nyumba(Apartment) ambayo alikuwa kapanga gorofa ya juu kwani chini yake alikuwa amepanga mtu mwingine na uzuri wa nyumba ile ni kwamba kila gorofa kwa juu ilikuwa na sehemu ya kupumzikia na sehemu ya kuogelea pia kama tu utataka yaani ‘swimming pool’ (Infinity pool) ni moja ya Apartment ghali sana ndani ya jiji la Dar ,lakini gharama yake iliendana na mazingira na ubora wa Apartment hizo kwa haraka haraka unaweza ukasema ni ‘Penthhouse’.
Wakati akiwa anaangalia mbele juu kabisa ya nyumba hio huku mawazo juu ya James yakimwendesha ndipo alipo jikuta akishusha macho yake chini na kumuona mwanume mwenye mwili kama wa James wake akiwa akiogelea kwenye swimming pool ilio kuwa kwa chini ya nyumba hio .
Mwanaume yule alionyesha ujuzi mkubwa sana katika kuogelea na alionekana mtu ambae alikuwa akipenda sana kuogelea , kwani ufundi alio kuwa akionyesha ulikuwa wa hali ya juu sana . kwani alikuwa akiogelea kama vile alikuwa akishindana jambo hilo lilimfanya Stella hata yale mawazo yake juu ya James kupotea kwa muda na kujikuta akimshangaa mwanaume huyo aliekuwa na uwezo kwa kuogelea kwa ujuzi mkubwa sana , japo hakumjua mwanaume yule ila mawazo yake yualimwambia labda ndio mpangaji alio kuwa akiambiwa na mtu alie mpangisha hio nyumba .
Alijikuta mapigo yake yakipiga kwanguvu baada ya mwanaume huyo kuibukia juu ya maji na kuonyesha sura yake , na mwanume yule aliangalia juu na kumuona Stella, alimwangalia jambo ambalo lilisababisha kwa wao kugongana kwa macho (Puzzled look)
****
“Madam naweza kuongea na wewe” Ni Dokta Singano aliekuwa akiongea na hio ni baada tu ya kuingia ndani ya nyumba hio ya tajiri Samir na jambo ambalo lilimsukuma kufanya hivyo ni kuona kuwa kuna hali ambayo sio ya kawaida inayoendelea ndani ya nyumba hio na yeye kama daktari ambae alikuwa akihakikisha kuwa kila kitu katika nyumba hio kinakuwa sawa ili afya za wateja wake kuwa sawa pia , aliona ni vyema sana kama ataongea na Madam ili kupata kufahamu tatizo ni nini , kwani alikuwa akimjua sana Samir alikuwa mtu mwenye afya yake na hakuwahi kupatwa na tatizo la moyo hapo kabla .
“Sawa tunaweza kuongea “ Alijibu Mama Rania baada ya kumfunika Samir vizuri na kisha akatoka na wakaongozana katika ofisi moja iliokuwa imejaa vitabu katika nyumba hio na ilionekana kama ni kijimaktaba kidogo cha kusomea maana kilikuwa na vitabu(Home library)
“Nipo hapa kwa ajili ya kujua shida ni nini haswa mpka kikapelekea hali ya afya ya boss wangu kubadilika ghafla” .
“Ni maswala ya ndoa tu Singano na nipo tayari kukuambia kwani najua wewe ni Daktari na pia mnajua jinsi ya kumsahuri mtu”
“Ni kweli kabisa unaweza kuniambia”
Mama Rania alianza kumwambia kila kitu na hapo ndipo Dokta Singano alipo kuja kujua ni nin kilitokea mpaka kikapeleka hali ya Samir kuwa katika hali ile maana alikuwa akimjua sana mteja wake huyo na alikuwa akiifatilia afya yake na mara ya mwisho kuangalia afya yake ni mara tu alipo tua nchini .
“Najua ni jambo ambalo linauma sana na mimi kama mshauri siwezi kulizingumzia hili katika njia ya kukwambia unacho takiwa kufanya , lakini jambo ambalo ninataka kukushauri ambalo litakusaidia wewe mwenyewe kufikia hatua ya kulitatua tatizo hili bila kuathiri muunganiko wa familia ni kuangalia ni faida gani na hasara kwa maamuzi utakayo chukua , jaribu kuweka hisia zako pembeni na jaribu kufikira juu ya hilo . pia napenda ni kushauri kabla ya hayo maamuzi utakayo yafikia kaeni chini muongee ila msishtukizane hali ambayo inaweza kuleta madhara ya kiafya , Angalieni chanzo cha kuanza kwa matatizo yenu ni nini na kama mnaweza kurekebisha kaeni chini muongee na muangalie ni namna gani mnaweza kufanya kuokoa hali inayo endelea katika familia” .
Aliongea Dokta Singano na kisha akatoka hapo na kwenda chini ambako alikutana na Rania .
“Singano naweza kuongea na wewe kabla haujaondoka?”
“Ndio “
“Unajua sielewei hali ya baba imekuwaje mpaka akiwa vile na najua mama hawezi kuniambia chochote , kwahio mimi najua ushamuuliza na kakwambia kila kitu sasa nataka namimi uniambie ni nini kinaendelea kati ya baba na mama please” Aliongea Rania kwa hali ya kuomba kabisa.
“Sikia Rania mimi ni daktari na daktari ili kuilinda heshima yangu lazima nilinde na kutii sheria zote nilizo wekewa kuzifata na moja ya sheria kubwa ni kutotoa taarifa zozote za mgonjwa pasipo ridhaa yake mwenyewe nafikiri wewe ni msomi unaelewa hilo, najua unawasiwasi lakini ni swala dogo sana litaisha”Aliongea Dokta Singano na hapo hapo akachukua kijibegi chake na kisha kutoka huku akipisha na Najma ambae alikuwa akiingia ndani hapo bila kujua ni kipi kilicho kuwa kinaendelea .
****
Mke wangu naomba unisamehe sana , najua ni kosa ambalo litahitaji muda na ujasiri wa kunisamehe ila niko chini ya miguu yako naomba unisamehe tafadhari mke wangu nakupenda sana na sipo tyari ya kukupoteza “ Hayo ni maneno yalio kuwa yakimtoka Samir .
Mama Rania alimwangalia Samir kwa hasira huku akionekana aking`ata meno na alionekana kufanya maamuzi tayari na yupo tayari kutoa hukumu yake kwa mume wake .
Mama Rania alitoa simu yake na kupiga simu kwa Peter na mume wake akiwa anamuangalia na haikujulikana hata dhumuni la kupiga simu hio kwa Peter mcheouko wake mbele ya mme wake ilikua ni nini .
“Hellow!”
“Naulizia lile jambo tuliloongea mchana kama upo tayari naomba unijibu sasa hivi ni muhimu sana” hayo ndio maneno ya Mama Rania yalio sikika na Samir vizuri na kumfaya mwanume aliepiga goti chini kuonesha kujutia kwa kitendo chake cha kutoka nje ya ndoa .
laiti angejua kuwa hapo ni ngoma droo kwani kila mtu alikuwa na mchepuko wake nadhani asingepiga magoti hayo chini kwani kitendo hicho kilionekana kumpa ushindi Mama Rania .

















SEHEMU YA 27
Mama rania alikuwa ni mwenye kuhitaji kutoka kwa Peter ili aweze kiutoa maazu juu ya mme wake , alishusha simu yake chini na kumwangalia samir kwa hasira , na kisha alipanda kitandani na kuchukua shuka na kulala akiangalia upande wa ukutani , Samir alijikuta akikosa cha kufanya na kunyanyuka zake na kutoka kwenye chumba hicho na kwenda kwenye chumba cha kujisomea na kisha alikaa huko mpaka akapitiwa na usingizi , na kwa jinsi alivyo kuwa amelala alikuwa akitia sana huruma kwani ungeambiwa masaa mawili alikuwa kwenye chumba cha wagonjwa wa dharula usingeamini.
Rania alikuwa akiingia ndani ya chumba hiko cha kujisomea ndipo alipojikuta akishangaa sana kwa kuwepo wa baba yake katika chumba hicho , alijikuta akijuliza alifikaje fikaje hapo kwani alikuwa akijua kuwa baba yake alikuwa kapumzika na muda huo ulikuwa ni usiku yapata saa nne za usiku , alijikuta akidondosha chozi la huruma kumhurumia baba yake , kwani alikuwa akimpenda sana baba yake na alikuwa hayupo tayari kumuona akiwa katika hali kama hio , alijikuta akimgusa baba yake kwenye bega na kumuamsha na Samir aliejiinamia kwenye meza akuwa amelala alishtuka .
“Rania nimepitiwa na usingizi”
“Baba jamani mbona uko hapa daktari si alikuambia kuwa unahitaji kupumzika”
“Nilikuwa nimepumzika nikawa sijisikii kulala na ndipo nilipo kuja kusoma kidogo sasa nilipitiwa na usingizi” Aliongea Samir huku akijiamsha kivivu na kisha akatoka na kumuacha Rania akiwa kwenye huzuni sana kwani alijua yote baba yake alio yasema sio ya kweli na kuna jambo kubwa ambalo lilikuwa likiuendelea yeye na mama yake , na hakuwa na jinsi ya kulitatua .
“Yakiendelea hivi nitampigia bibi na babu simu” Aliongea rania huku akikaa kwenye kijimeza na kuanza kusoma kitabu chake alicho kuwa ameshikilia , lakini kadiri alivyo kuwa akisoma kitabu hicho alijikuta akizama kwenye mawazo ya kumfikiria Peter .
“Daah .. Peter nimekupenda kwanini unaamua kunifanya nisubiri kiasi hichi , moyo wangu umechoka nakuona kama haunipendi kama ninavyo kupenda na unanisubiilisha kwakuwa una mwanamke mwingine” Aliongea mwenyewe na kujikuta hata machozi yakimtoka bila hata ya kujielewa .
Alijikuta akitamani sana kusikia sauti ya Peter , lakini alijizuia kwani alitaka ampigie simu.
****
Peter baada ya Nasma kuondoka huku akimwahidi Masumbuko kuwa atakuwa anamuita kwenye nyumba yao ka ajili ya kumfundisha jinsi ya kusoma na kuandika basi aliona apumzike na alikuwa amechoka kwani mchana alikuwa kwenye shoo ya kumridhisha Mama Rania , alijikuta akipitiwa na usingizi na kilicho kuja kumshitusha ni simu aliangalia nani anapiga ndipo alipoona kuwa ni mama rania ama boss wake .
Alipokea simu hio kivivu lakini swali alilo ulizwa na mama huyo lilimfanya ainuke na kukaa vizuri .
“Lakini si nilikuambia kuwa naomba muda wa kufikiria juu ya hili Shani , siwezi kujibi swala kama hili kwani ni muhimu sana na linagusa maisha yangu , kwa hio naomba nifikirie”
Aliongea Peter na kuona kama mwanamama huyu alikuwa akimpelekesha maana hapo hapo alipo sema maneneo hayo alikata simu, alijikuta akivuta shuka lake jepesi na kuendelea kulala kwani hakutaka kufikiria chochote
“Mwanangu mambo unayo yafanya hayanifurahishi kabisa mimi mama yako , ushasahau kuwa mimi nimekufa kwa kuonewa , nimekufa kifo chakusababishiwa na watu ambao wanayafurahia maisha , kwanini unasahau ni kwa jinsi gani mimi mama yako nilivyo kufa , mwangu nataka uwatafute walio nisababishia mimi kufa , mwanangu anza sasa kuwatafuta ili mama yako nipumzike kwa Amani , anza sasa , anza sasa mwanangu , inuka anza sasa”
“Mamaaa” Ilisikika sauti ya Peter akipiga makele na kumfanya masumbuko aliekuwa akiota anafanya mapenzi na mwanmke mrembo kushituka na yeye na kukimbilia kwenye chumba cha ndugu yake Peter na aliingia kwani mlango ulikuwa haujafungwa.. na kumkuta Peter akitokwa na jasho jingi sana alijikuta akimkumbatia Masumbuko kwa woga sana , masumbuko alijikuta akikosa cha kufanya kwani kufariji alikuwa hajui alimwnagalia Peter aliekuwa akitetemeka kwa hofu.
“Peter” Aliita Masumbuko na Peter kwa wasiwasi alimwangalia Masumbuko na Masumbuko hakuchelewa alimchezeshea na kumpa faili la masaamawili ya kumbukumbu na Peter alijikuta akiwa sawa kabisa na kuchukuwa shuka na kulala zake .
Masumbuko alitabasamu na kisha akamfunika kaka yake huyo na kisha kisha na yeye aliondoka zake kulala maana ilikuwa ni usiku sana . .
Peter aliamka zake asubuhi na wala hakuna kitu alicho kuwa akikumbuka kabisa zaidi ya kujiandaa kwa jili ya kuelekea chuoni kwani kwani hata yeye alikuwa yupo mbioni kumaliza chuo .
Basi hio ndio ikawa maisha ya Peter kila siku alikuwa akiota ndoto ambayo mimi msimuliaji nimeamua kuita kwa neno la ‘Anza Sasa’kwani kila siku Peter alikuwa akiota ndoto hio na kubweka usiku na Masumbuko alikuwa akiamka na kumpa faili la kumbukumbu na akiamka subuhi ashasahau kabisa kuhusu ndoto.
****
Stella alijikuta akiona aibu baada ya kukutanisha macho kwa macho na mwanaume yule . na kujikuta akitoka hapo na kuelekea ndani kwake na kukaa , huko huku akichukua laptop yake na kuanza kujisomea ,kwaajili ya mtihani hakutaka kujiuliza zaidi yule mwanaume ni nani kwa muda huo lakini jambo hilo lilishindikana.
Lakini ilikuwa kama ni starehe ya mwanume yule kwani kila siku alikuwa akimuona akiogelea na Stella ule muda alikuwa akipanda juu kwa jili ya kumuona mwanume yule na ni kweli kila siku alikuwa akimkuta akiogelea , yaani ni kama wanaume yule asie mfahamu jina hio ndio ilikuwa ratiba yake au na yeye alifanya makusudi kumuona Stella , kwani kila siku alikuwa on time alikua akiogelea ,lakini mwanume yule hakuwa hata na habari na Stella kwani alionekana hata alikuwa hajali kabisa , lakini kwa Stella ilikuwa na yeye ratiba yake imebadilika kwani kila akirudi chuo alikuwa akipanda juu kabisa ya nyumba hio na kungalia chini kumuona mwanume yule akiogelea , kila siku alijikuta akipenda sana kumuona mwanaume yule akiogelea katika swimming pool na kilichomfurahisha mwanume yule ni jinsi mbavyo mwanaume yule alikua akiogelea .
****
Ukaribu wa Nasma na Masumbuko ulikomaa zaiidi na zaidi na walikuwa wamezoeana sana kiasi kwamba ilifikia kipindi Masumbuko alikuwa akienda nyumbani kwa Nasma , na alipo kuwa Nasma anasoma na Masumbuko alikuwa yupo anasoma na nasma ndio alikuwa mwalimu wa masumbuko , alijitahidi kila siku kumfundisha masumbuko kusoma lakini masumbuko akili yake ilikuwa ni kusahau tu kwani anvyofundishwa leo kesho alikuwa tayari amekwisha sahau kabisa na Nasma hakukata tamaa kabisa katika kumfundisha kwani kwanza alikuwa kifurahia kwa jinsi Masumbuko alivyokuwa akimchekesha na kumfanya afurahi kiufupi alifurahia uwepo wa Masumbuko.
Kuna muda alikuwa akimuomba Masumbuko alale mahali hapo , lakini masumbuko aligoma kwani alikuwa anajua anakazi moja usiku ya kufanya , ya kumpa Peter dozi ya kumbukumbu ili asisumbuliwe na ndoto zake za kila siku zilizo kuwa zikimsumbua , kwani Peter kila anapo ota , alikuwa akimpa dozi ya kumbukumbu za masaa mawili na kisha Peter analala na akiamka asubuhi amesahau kama usiku alikuwa ameota ndoto ya ‘Anza sasa’.
Hayo ndio maisha ya Peter , lakini kiufupi ni kama Masumbuko alikuwa anamsaidia sana Peter kwani kipindi hicho Peter ilikuwa ndio wakati wake wa kuuthibitisha uwezo wake katika masomo yake ambayo alikuwa ndio kwanza anamalizia na zilikuwa zimebaki siku chache sana mpaka kufikia siku ya mtihani , na hata kwa upande wa Rania ilikua ni hivyo hivyo hakumsumbua sana Peter kuhusu mapenzi kwani wote walikua katika mitihani yao ya mwisho na kila mtu alikuwa na ndoto za kupata GPA za juu kabisa.
***
Mama Rania hakumsamehe kabisa Samir na hakutaka kusikia kabisa mume wake akimuomba msamaha , kwa upande wa Samir alikuwa amebadilika sana na kilicho msaidia kumbadilisha ni kwamba Amanda alikuwa tayari amekwisha ondoka na kurudi .
Na kutokana Samir hakuwa na mtu ambae alikuwa akimchelewasha kurudi , basi hakuchelewa kazini na hata Mama Rania nae hakuchelewa kazini , aliwahi kurudi lakini hakuna kupeana dudu kwani Mama Rania alikuwa hataki hata kuguswa na Samir alichojua ni kwamba mke wake huyo ana hasira bado ila kuna siku atamsamehe na ndio maana alikuwa kila siku akirudi kutoka kazini na zawadi kwa ajili ya mke wake , lakini zawadi hizo wala hazikuleta athari au kumbadilisha mawazo kabisa Mama Rania kwani wakati huo alikuwa kafa kaoza kwa dudu ya Peter, kwani vitu ambavyo walikuwa wakipeana na Peter vilikuwa ni vitu ambavyoo vilimfanya asimtamani kabisa mume wake .
Lakini kutokana na kuomba msamaha na kuonesha kujutia sana kwa Samir hatimae Mama Rania alimsamehe mumewe bila kinyongo jambo ambalo Samir hakulitarajia siku hio na hata Najma na Rania walivyo ona wazazi wao wamemaliza tofauti zao , jambo hilo liliwafurahisha sana .
“Mom , dady jumamosi ijayo ni graduation yangu”Aliongea Rania siku hio walipo kuwa wapo mezani familia nzima wakiwa wanapata chakula cha usiku .
“Dada yaani ndo siku hio na mimi napanga kufungua kampuni yangu usiku huo rasmi” Aliongea Najma
Ungejiuliza ni kwanini Najma yeye kamaliza chuo na dada yake bado lakini jibu ni kwamba Rania yeye alikuwa anachukua masters ya uchumi na kwa Najma yeye alipita moja kwa moja kwenda chuo baada ya kumaliza ‘high school’ kwa mtaala wa Cambridge kwani ulikuwa unachukua miaka kumi na moja tu .
“haitakuwa mbaya tutaweza kuzifanya sherehe zote kwa wakati mmoja , kwakuwa wewe ufunguzi wa kampuni yako itakuwa ni usiku , basi tutaanza na Rania huku watu wengine wakiweka sawa kila kitu kwa ajili ya usiku na sisi familia tutakuwa kwenye sherehe,pindi sherehe itakapofika tamati tutajiandaa kwa jili ya ufunguzi wa kampuni yako .
“Ni sawa dady itakuwa vizuri”Aliongea Rania na Najma na yeye alikubali
Mama Rania aliangalia watoto wake hao na kujikuta akitamani na Nasma angekuwepoo ila ndio hivyo Nasma alikuwa akipenda kuishi mwenyewe na alikuwa hapendi kujulikana kama mtoto wa kitajiri na alikuwa amekosana na baba yake nyuma kabisa kisa ni kwa Nasma kwenda kusomea nje ya nchi lakini Nasma alikataa kabisa ndipo ugomvi ulio sababisha Nasma kuhama nyumbni ukatokea kwani Samiri aliweka walinzi wakumfatilia Nasma kila anapo enda jambo ambalo lilimkasirisha mwanadada huyo baada ya kugundua na mama yake kumpa nyumba akaishi baada ya kutaka kuhama, na kwa Samiri hakuwa na shida maana alikuwa amechoka kugombana nae
. ****
“Boss unampango gani na Rania kwa sasa?“ Aliuliza Ramso .
“Kwa sasa nadhani kama unavyojua kuwa yupo mbioni kumaliza chuo , na kama baba yake alivyoniahidi ni kwamba akishamaliza tu basi nitapeleka barua ya posa na nitawafanya wazazi wake wakubali na mimi mwenyuewe ninayo njia ya kumfanya binti yao akubaliane na mimi kwa namna yoyote ile” Aliongea Hemedi huku akitabasamu kifedhuli.
“Boss ukimpata yule utakuwa umepata chombo maana kila siku nikimwangalia nasisimka”
“Pumbavu wewe na nikishampata wewe nakuhamisha kikazi maana ushaanza kumtamani mke wangu mtarajiwa”
“Sio hivyo boss”
“Ramso wewe ni kijana wangu ila kwa Rania atakae mgusa tu hata unywele napiga risasi”
“Sawa boss , ila haujaniambia ni udhaifu gani utamshawoshi mama yake kukubalia na umuoe bint yake”
“Hivi Ramso unanifanya mimi kama mtoto mdogo , mimi najua kila kitu kinacho muhusu Mama Rania na lazima akubaliene na mimi kwa namna yoyote il” .
“ kwanza siku yake ya mahafali nataka ukamnunulie gari ambalo hakuna mwanke anae litumia hapa Dar, gari hilo litakuwa nizawadi yangu kwake”
“Sawa boss”
****
Ilikuwa ni siku ambayo ilisubiliwa na kila mmoja , siku ambayo ilikuwa ndio siku maalumu kwa wanachuo walio kuwa wakimaliza masomo yao katika ngazi tofauti tofauti , kuna waliokuwa wakimaliza katika level ya shahada ,kuna waliokuwa wakimaliza katika ngazi ya udhamiri (Masters) kuna waliokuwa wakimaliza katika ngazi ya PhD graduation hii ilifanyika kabla ya mtihani wa mwisho jambo ambalo halikuzoeleka lakini lililokubalika kwa wahitimu na hawakupewa vyeti halisi .
“Naona mzee leo umetoka chicha ile mbaya” Aliongea Steve siku hio alio kuja asubuhi kwa jili ya kumpitia rafiki yake kwa ajili ya kwenda kwenye sherehe hio .
“Hata wewe umetoka sana na hiko kitai chako”
Siku hio Peter alikuwa na furaha sana kwa kile kilicho kuwa kinakwenda kutokea , alijikuta akiisogelea picha ya mama yake na , kisha kuingalia kwa huzuni sana.
“Mama natamani siku hii ungekuwepo unione mwanao katika sherehe hii” Aliongea Peter kwa huzuni sana kwani alionekana alikuwa amemkumbuka mama yake sana.
“Tuondoke muda tayari , Masumbuko yeye si kasema anakuja na Nasma ,sisi tutangulie”
“Okey , halafu najihisi siku hizi kuna kitu hakipo vizuri ,. Nahisi kuna kitu nimesahau “ aliongea Peter wakati wakitoka nje ya nyumba hio na kuliendea gari .
“Kwanini ?“
“Hamna tu yaani hata sielewi kuna kitu nahisi nakisahau ila hata sielewi nahisi moyo wangu kuwa mzito kila ninapoamka asubuhi”
“Itakuwa mawazo tu ndio maana usiliweke sana akilini hilo”
“Daah! poa .. ngoja tukasherehekee hivyo muda si mrefu tunamalizana na chuo na tunrudi mtaani”
Waliendesha gari mpaka chuoni na kuungana na wenzao kwani sherehe hio ilikuwa ikifanyika mapema,
Baada kama masaa mawili ya wao kuwasili chuoni hatimae walivaa majoho yao na kuingia kwenye ukumbi mkubwa wa Nkurumah Hall , ili kuanza sherehe hio .
Huku kwenye geti la kuingialia alionekana Mama Rania na mumewe wakiingia ndani ya chuo na haikupita hata muda mrefu alionekana Masumbuko akiwa na mwanadada mrembo Nasma na yeye akishuka kwenye gari moja nzuri , huku Masumbuko nae akiwa amependeza kweli kweli na kama ungemuona usingejua ni Masumbuko maana kwanza likuwa amevalia miwani moja ya jua huku akiwa amevalia suti fulani ilioshonwa kwa mtindo wa kipekee sana ya rangi ya bluu.
Waliongozana na Nasma na kuingia ndani ya chuo hicho huku watu wengi wakiwaangalia walivyopendezana , na walio kuwa wakimshangaa Zaidi ni Masumbuko kwani umaarufu aliokuwa nao Nasma wa kuwa mzuri na bila ya kuonekana na mwanaume wa aina yoyote tokea aanze masomo halafu siku hio kuongozana na mwanaume , ni jambo ambalo wengi walihitaji kumjua huyo mwanume ni wa aina gani, anapesa kiasi gani na kipi spesho hata aweze kumpata mrembo Nasma hukuwatu wengi wakishindwa kumpata mrembo huyo. .
Basi sherehe hio ilienda vizuri,mheshimiwa rais ambae alikuwa mgeni rasmi siku hio , alitoa hotuba yake na hapo wanafunzi ambao walifanya vizuri wakizawadiwa,akiwemo Peter ,Stella , Rania na Steve hao ndio moja ya wanfunzi ambao walipata zawadi katika maswala ya taaluma.
Ratiba ilienda haraka haraka sana na baada ya saa saba mchana sherehe hio iliisha na watu walianza kupeana zawaidi , huku wengine wakipiga picha .
Wakati huo Peter akiwa anapiga picha na Masumbuko , ndio wakati ambao na familia nzima ya Samir ilifika katika eneo hilo ,mwanzoni hakuna alie muona Peter kwani alikuwa amezungukwa na watu wengi na alikuwa haonekani mpaka pale Samir na familia yake walivyofika katika eneno hilo .
Hapo ndipo Peter alivyo geuka na kukutanisha macho na ya Samiri akiwa na familia yake. .
UNAWEZA PATA SOFTCOPY YA SIMULIZI HII YOTE.

SIMULZI ZANGU NYINGINE NI
-UMOJA NAMBA TISINI NA SABA
-NDOTO ZA KIKANUNI
-BOOK OF ALL NAMES (UMOJA NAMBA TISINI NA SABA )
-MY DREAM MY FAVOURITES)

KUHUSU UTARATIBU WA MALIPO
WASILIANA NAMI KWA KUGUSA HAPAA

mawasiliano 0687151346
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom