Duh ume apply newtons law au?so na ukimuumiza mwanaume unakuwa umemuumiza shetani..?
hapana ni hoja tu kutokana na alchokisema mtoa mada...Duh ume apply newtons law au?
Kumbe ndio maana wengi wameokoka(walokole)..Ni kweli kabisa yatupasa kuwaheshimu sana hawa watu kwani hata maandiko yanatambua kwamba mwanamke akiomboleza Mungu anajibu
ha ha haha ha haso na ukimuumiza mwanaume unakuwa umemuumiza shetani..?
Hahahaa walikukosea nini?Wamama sawa, ila 25 kushuka chini hakuna kitu.
Mna complicate mambo sana siku hizi. By the way, Biblia haijampa nafasi sana mwanamke ... Mwanamke yuko ranked chini kabisa katika mtiririko.
Lakini, Biblia imekaza kuhusu kuwaheshimu WAZAZI (WOTE BABA + MAMA - Soma Kutoka 20:12). Ukifanya hivyo utapata baraka ya kuongezewa miaka. Hakuna sehemu iliyosema usipomheshimu mwanamke sijui itakuwa nini!
Anyways, nawaacha na andiko hili hapa chini mlitafakari;
"Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu ni mzigo kwa mamaye." - Mithali 15:20
Kwa nini mtoto akiwa na hekima, baba husifiwa lakini akiwa mpumbavu mama hulaumiwa?
Siku njema.
From 18-25 ni jipu, wengi hawajatulia. Wanajiona wako kwenye peak ya uzuri. Wanapenda kujaribu kila mtu, hata walotulia akili za maisha hawana kwasababu ya uzuri.Hahahaa walikukosea nini?
Mna complicate mambo sana siku hizi. By the way, Biblia haijampa nafasi sana mwanamke ... Mwanamke yuko ranked chini kabisa katika mtiririko.
Lakini, Biblia imekaza kuhusu kuwaheshimu WAZAZI (WOTE BABA + MAMA - Soma Kutoka 20:12). Ukifanya hivyo utapata baraka ya kuongezewa miaka. Hakuna sehemu iliyosema usipomheshimu mwanamke sijui itakuwa nini!
Anyways, nawaacha na andiko hili hapa chini mlitafakari;
"Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu ni mzigo kwa mamaye." - Mithali 15:20
Kwa nini mtoto akiwa na hekima, baba husifiwa lakini akiwa mpumbavu mama hulaumiwa?
Siku njema.
Haijamkandamiza ... Kuna kitu kinaitwa submission, kipo pia hata katika "GOD HEAD." Cha msingi kila mmoja anapaswa kusimama katika nafasi yake, wote mwanamme + mwanamke.Heeeeh! Leo ndio nimejua kumbe Biblia imemkandamiza mwanamke kiasi hicho!!!?
Khaaaaah!
Sijaelewa au Ndio amepata dem mpyaso na ukimuumiza mwanaume unakuwa umemuumiza shetani..?